ASKOFU MWAMALANGA AIVAA NEC NA VYAMA JUU YA POLISI "HAMUWASHIRIKISHI/WANATOROSHA KURA"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 чер 2024
  • ASKOFU MWAMALANGA AIVAA NEC NA VYAMA JUU YA POLISI "HAMUWASHIRIKISHI/WANATOROSHA KURA"
    🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
    🔘WhatsApp (+255 767 400402)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com

КОМЕНТАРІ • 36

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 Місяць тому +5

    ⁸Asante na hongera askofu kwa kuongea ukweli.

  • @salihinashamaghana513
    @salihinashamaghana513 Місяць тому +2

    Baba askofu Mwamalanga Mungu akupe maisha marefu ,

  • @donaldmaziku7915
    @donaldmaziku7915 Місяць тому +4

    Polisi uwa wanapewa maelekezo na serikali kuhakikisha ccm inashinda, ndio maana wanabeba masanduku ya kura na kukimbia nayo.

  • @MayalakusekwaNkwabi
    @MayalakusekwaNkwabi Місяць тому +3

    Viongozi wakubwa wa Dini acheni UNAFIKI semeni Ukweli KATIBA ni mbovu inamfanya Rais kuwa Mungu mtu CCM wanatumia polisi,Jeshi na usalama kuiba masanduku ya kura .

  • @TitoRufizi-xb2ub
    @TitoRufizi-xb2ub Місяць тому +2

    Safi sana watumishi wa Mungu,ccm wamezidi kwa wizi wakura watakuja kuharibu amani ya nchi

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso Місяць тому +2

    Good advice

  • @Dagerboy97
    @Dagerboy97 Місяць тому +2

    usidanganyike ogopa kuone neno uhuru halikupaswa kuandikwaaa likiandikwa madhara yake ni makubwa sanaaaa uhuru ni wajibu

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 Місяць тому +2

    Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Місяць тому +2

    ASKARI ANAKUWA ANASABABISHIWA UADUUI WA WANANCHI😢😢

  • @nelsonmwavipa9761
    @nelsonmwavipa9761 Місяць тому +1

    Mimi nakuelewa vizuri sana mtumishi wa mungu.

  • @IssakaKamala
    @IssakaKamala Місяць тому +2

    Viongozi wa dini wasimamie uchaguz bilashaka matatizo yataisha
    .

  • @LemaRapoi-np2gs
    @LemaRapoi-np2gs Місяць тому +1

    Mungu akupe maaisha marefu mchungaji emungu tuletee watu kamahawa kwenye uongozi wataifaletu

  • @jeitangogo-rf8uf
    @jeitangogo-rf8uf Місяць тому +1

    Amina baba asikofu sena kweli🎉🎉🎉

  • @joshuac.mashida1378
    @joshuac.mashida1378 Місяць тому +1

    Mwenda zake kumbe alitoa maelekeza ya kuhalibu kwenye taifa hili maana%kubwa wanalalamika Sana watawala jifunzeni mnatengeneza sumu kwa Wana nchi simameni kwanyenafasi zenu askari mnaingiliwa msibebe raana isiyo yakwenu

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku Місяць тому

    Askofu Mwambalang,uwa na kuelewa sana,viongozi wa dini mnaojitambua lisimamieni ukweli na haki,kila mwenyemamlaka aogope kwenye nafasi yake kuharibu uchaguzi,aogope kuliangamiza taifa,watanzania tunapenda haki.

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq Місяць тому +1

    Hawa wanaoharibu uchaguzi ni sawa mtu anaendesha mutumbwi anaporundika mzigo upande Moja ukizima watu waliomo huzama kwahiyo hatamunaoiba hamutakuwa salama sote tutaitwa wakimbizi

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza Місяць тому +1

    Safari hii uchaguzi ni mgumu sana. Haki itendeke.

  • @user-rt3nt1lj7n
    @user-rt3nt1lj7n Місяць тому +2

    Safisana.ubalikiwe

  • @stevensteve7519
    @stevensteve7519 Місяць тому

    Kila siku tunawaombea viongozi watuongoze kwa haki na kweli. Viongozi wanaojipatia nafasi za uongozi kwa njia zisizohalali Mungu atawapiga hatawaacha kamwe.

  • @user-ih1pk1vs4q
    @user-ih1pk1vs4q Місяць тому +2

    Binadamu asiye mwaminifu hutafuta maneno matamu kama TBC ukweli na uhakika ( Tuma huru ya uchaguzi kuna maneno haha ya kitaperi ukweli ) na Huru pia

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Місяць тому +1

    KATIBA MPYA MBONA HUJAGUSIA MWESHIMIWA ASKOFU4

  • @williammwamalanga1065
    @williammwamalanga1065 Місяць тому +1

    Fuatilia inafuata nawashukuru kwa kufuatilia

  • @melchiadepaschal3097
    @melchiadepaschal3097 Місяць тому +1

    Viongozi mlijisahau, sasa mmeamka, tunashukiru kwa hilo,

  • @user-fr7jj1bo7y
    @user-fr7jj1bo7y Місяць тому +1

    polisi mkoa wa Dar es salaam walikuwa busy usiku wakisambaza masanduku yakiwa na kura na hata wale waliokamatwa na vitita vya kura kwy mabegi hakuna aliyechukuliwa hatua hata mmoja

  • @petroalfred5108
    @petroalfred5108 Місяць тому

    Hawa ndio viongozi wa dini sasa sio wale wanaopishana milangoni kwa wanasiasa kujipendekeza

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 Місяць тому

    Party too please

  • @allymusira2153
    @allymusira2153 29 днів тому

    Mbona hamkuongea wakati magufuli yupo hai? Huo ni unafiki

  • @gidongailo7174
    @gidongailo7174 Місяць тому +1

    Baba mchungaji, kumbuka kuwa polisi wanaagizwa tu kufanya hayo wanayoyafanya, sio kwamba huwa wanajiamulia wenyewe kuharibu uchaguzi.

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 Місяць тому +1

      Kweli, polisi wanapokea, kutii na kutekeleza maagizo yanayosababisha chuki na lawama za wananchi kwa askari polisi wetu.

    • @FrankMwakatundu-cu6bd
      @FrankMwakatundu-cu6bd Місяць тому +1

      UCHAGUZI WA 2019 NA 2020 CHAGUZI ZILE ZILIKUWA NI ZA KIJAMBAZI KABISA UJAMBAZI WA AIBU DUNIANI!!!

    • @reginas1832
      @reginas1832 Місяць тому

      Wanatakiwa watumie akili waliyopewa na Mungu.​@@FrankMwakatundu-cu6bd

  • @user-xe8xv6so6s
    @user-xe8xv6so6s 29 днів тому

    Ni kweli police ndio wavuluga Amani. Kwanini police wanawasikiliza Wana CCM peke yake? Wala sio tume huru. Tunadanganywa. Kama time huru kweli. Tamisemi wasisimie uchaguzi. Tasisi ya dini isimamii uchaguzi. Maneno Yao kusema boresheni daftari la wapiga kura. Kila mwanaichi anahaki. Hakuna haki yeyote.

  • @user-xe8xv6so6s
    @user-xe8xv6so6s 29 днів тому

    Vurugu ni za CCM.bado Wana CCM anasema upinzani wanavuruga. Chama tawala muogopeni mungu. Na ndio maana Leo viongozi wa Chama tawala mungu anawapa adhabu. Mnaanza kulawiti. Mara kumuingiza kijana chupa kinyume na maadali. Mungu hapendi watu wake wateseke

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Місяць тому

    Baba Askofu tumeona rushwa zikianza kutolewa kila mahali bahasha,bahasha hata katika baadhi ya nyumba za ibada!, pikipiki zenye alama ya SSH mia 700 kila mkoa!, kampeni za kutatua matatizo ya wananchi yaliyosababishwa na wao wenyewe, nk sijui vyama wataanzia wapi kuialika polisi kuwaambia wanataka uchaguzi huru wakati kuna maelekezo watapewa kutoka juu na mdau wa uchaguzi ambaye ndiye mteule wa IGP?!

  • @eliaskitundu7377
    @eliaskitundu7377 Місяць тому

    Tunaomba