MWABUKUSI AMUANIKA MSIGWA KWA KUJIAMINI "SI KILA ANAYEKIMBIA NI MHALIFU/CCM WENGI WANAMAPENGO"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лип 2024
  • MWABUKUSI AMUANIKA MSIGWA KWA KUJIAMINI "SI KILA ANAYEKIMBIA NI MHALIFU/CCM WENGI WANAMAPENGO"
    🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
    🔘WhatsApp (+255 692 318213)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com

КОМЕНТАРІ • 32

  • @sskondopoleani9616
    @sskondopoleani9616 14 днів тому +2

    Mwabukusi you have spoken, nimekukubali kwamba wewe ni Msumeno kata huku na huku🎉

  • @DittoSylvester
    @DittoSylvester 14 днів тому +7

    Msigwa yale alokua ameyatamka kwenye mikutano ya Lisu atayabadili?hata huko kanisani kwake akiwa mchungaji ajihoji.sana!?aangalie achunge ulimi .jana alipinga mikataba ya bandari leo ataiunga?!wa Tz!??

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 14 днів тому +1

    Mwabukusi ana akili sana anaamini ndani ya CCM kuna watu wazuri sana lakikini kimetekwa na majambazi. 🖐🖐🖐🖐🖐

  • @laninjeje8290
    @laninjeje8290 14 днів тому +1

    Umeongea point sana, sio kila anaehama amenunuliwa. Good point kwasababu CHADEMA wakipokea watu kutoka ccm wanafurahia kwahiyo na wenyewe wananunua kutoka ccm??

  • @gifatmahundi8750
    @gifatmahundi8750 14 днів тому

    Safi sana mwambukusi

  • @cristinaruka9293
    @cristinaruka9293 14 днів тому

    Hana thamani Tena anaenda kutumika akili ndogo pole sana msigwa sawa na mtu anayo safari ya mbinguni Kisha akaanza kuelekea kuzimu

  • @EliaHiluka
    @EliaHiluka 14 днів тому

    Kwani kwenda ccma nikuonyesha yupo upande wamafisadi na hayuko tayari kutetea maslahi ya wananchi

  • @jesaminzo
    @jesaminzo 14 днів тому

    #Adv

  • @eliphasmlengu6331
    @eliphasmlengu6331 14 днів тому

    Kuhama it personal interest lakini unachokihubiri kuhusu ulikotoka kinatoa maswali mengi that why Msigwa ananaonekana kwenye hayo anayo waziwa nayo

  • @user-gk6ty7tt9o
    @user-gk6ty7tt9o 14 днів тому

    Kuhama vyama siyo sifa njema. Hapo tusidanganyane.

  • @isackphilipo9870
    @isackphilipo9870 14 днів тому

    Kwahiyo msukuma ni muongo aliye sema Msigwa anafadhiliwa na hela za ccm na akamwambia afungue mdomo kama haajachia message hewani na msigwa hajafungua mdomo hapo Mwabukusi kuna namna unataka kutuingiza chaka

  • @hamisimuhunzi7916
    @hamisimuhunzi7916 14 днів тому

    muandishi unatia mpaka Aibu Msigwa Msigwa Msigwa hakuna mambo ya kujadili yanayoguza maisha ya watanzania walio wengi zaidi ya Msihwa.

  • @reginas1832
    @reginas1832 14 днів тому

    Alichokifanya msigwa kinatia aibu. Alikuwa mpinzani njaa

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 14 днів тому +1

    Iko hivi sisi hatukatai mtuu kuhama chama lakini sauti yake itelendelea kuwa haki kwa watanzania tukagundua kuwa msigwA alikohamia kaenda kupangiwa maneno ya kusema Hilo ndilo kosa chama alichoenda hakiwezi mruhusu kukosoa yoyote yule atalamishwa kusifia hata km ni kibovu ndio kosa lake tufanye akili ndogo kuendesha akili kubwa Haina tena thamani kwakwe kuwa ccm Bora angeenda CT wazalendo hata km mtizamo wake ulikuwa tofouti na freeman mbowe asingeenda huko ccm ili uwezo wake wakisiasa ubaki pale pale angechukua tuu Jimbo lake la lranga na kuwa kiongozi na angesaidiwa na chadema vile vile sababu lngekuwa lile Jimbo ngumu wakaa chini wakubaliane lakini kwa Sasa chadema na ccm himo haliwezekani tena

  • @erickmsigala138
    @erickmsigala138 14 днів тому

    Huyu jamaa mimi simuelewagi kabisa

  • @isackphilipo9870
    @isackphilipo9870 14 днів тому

    Kwahiyo na wewe Mwabukusi Unataka kutuaminishaje umma wa CHADEMA

  • @EliaHiluka
    @EliaHiluka 14 днів тому

    Sisi tungeweza kumwona msigwa kama msaliti pia kitendo Cha yeye kuhamia ccm mi kuonyesha yeye ni mtu mwenye tamaa ya madaraka

  • @SixbertDamo
    @SixbertDamo 14 днів тому

    Kuhama ni hiari yake tu

  • @dentomedicalresourceslimit4602
    @dentomedicalresourceslimit4602 14 днів тому

    Sikia, Msigwa kahama kwa kukosa CHEO. Full stop. hayo mengine ni Blaah blaah tu

  • @JafetGuzuye
    @JafetGuzuye 14 днів тому

    Aa