Siri ya Utajiri ni Kuwa na Vyanzo Vingi Vya Mapato - Eric Shigongo

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 153

  • @MungeteMwampulo
    @MungeteMwampulo 2 місяці тому +5

    Asante sana mh Shigongo, kwa kutemà madini.

  • @vincentmutugi4597
    @vincentmutugi4597 2 місяці тому +6

    This is very true, most people are sinking in the ego of being educated and end up retering poor and become sources of problems in the society. I agree education alone is not enough,but rather let us use our education as a foundation to build multiple sources of income. people without education must use their physical energy to build sources of incomes...i encourage those who not educated that,not only education is the way to life,but good plan and acceptance. Above all put God first in everything and the doors will open 👐

    • @hamasikatv
      @hamasikatv  2 місяці тому

      Asante kwa maoni yako
      Tuendelee kujifunza

  • @renatusamos9018
    @renatusamos9018 2 місяці тому +1

    Amina kaka, nimekuelewa Sana. Nimepokea

  • @DrMbonea
    @DrMbonea Місяць тому +9

    Haya ni mawazo ya kitajiri kama una akili za kimaskini huwezi muelewa shigongo

  • @robertamos3646
    @robertamos3646 3 місяці тому +3

    Umeeleweka sana.Bravo.

  • @amansamson-335
    @amansamson-335 Місяць тому +4

    Ili uweze kufanikiwa unatakiwa uondoe akili ya kushindwa kwenye kuanzisha biashara yako

  • @ericfelician7996
    @ericfelician7996 3 місяці тому +4

    Amina nitaanzisha muda siyo mrefu kwa jina la yesu

  • @gabrielmoses6860
    @gabrielmoses6860 2 місяці тому +2

    Ahsante Shigongo

  • @yoratusndambo8495
    @yoratusndambo8495 3 місяці тому +10

    Safiii sana kaka Eric.
    Somo la ubosi,heshima.

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 Місяць тому

    Hakika mkuu. Asante kwa mchango wako

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 2 місяці тому +20

    🤔Kweli, hao wanaosema ni kudra za Mungu kwani Mungu kakataza kuwa na vyanzo vingi vya mapato? Hakika Hii ni elimu nzuri kwa wote Asante kwa kuchangia🤝

    • @mochemba
      @mochemba Місяць тому

      Masikini wa akili hao hata uwape milioni mia tano bado watakufa masikini maana hawana akili ya kusema wanataka watoke kimaisha bali watabaki kusema Mungu ndo anajua. Ukiona mtu kila kitu yeye ni anaongelea Mungu Mungu jua huyo ni masikini kuanzia akili hadi maisha, tajiri anawaza kuongeza vitega uchumi masikini anawaza maombi kuwa ndo yatamsaidia. Usiombe uwe na akili za kimasikini kwenye hii dunia.

    • @JumamohamedJuma
      @JumamohamedJuma 10 днів тому

      Nice😅😅😅

  • @PrinceWasa
    @PrinceWasa Місяць тому +2

    Mafunzo ya ajabu ajabu haya, kuna watu hawana hela wala kazi, wafundishe hao namna yakupata hizo vyanzo vya mapato,naona unachofundisha ni kwa wale wanahela tayari ila unataka waongeze kipato zaid.unaruka hatua kubwa sana bro

  • @arnold9406
    @arnold9406 2 місяці тому +9

    Acheni kumtupia mungu kila tambala bovu, mungu amekupa akili na maalifa ndio maana amekuumba binadamu tumia hivyo vipaji, ukisubilia mungu aje na mkongojo kuja kukupa wewe maalifa utangoja saana, kwahiyo mr Eric upo sahihi.

    • @colinlegend191
      @colinlegend191 Місяць тому

      Kabisaaa mungu alishatubariki tangu kuzaliwa kwetu kilichobaki ni sisi tuu kupata maarifa ya kufanikiwa kwa maana mafanikio sio nguvu bali ni maarifa

    • @mochemba
      @mochemba Місяць тому

      Ujue kuna watu watakufa masikini wamekuta familia zao ni masikini na wao pia wanaendeleza umasikini, kwa kuamini kuwa Mungu Mungu ni lini mtu alikuwa amekaa ndani akasikia sauti ikimwambia kuanzia Leo nakupa utajiri, na huu upumbavu Afrika umetujaa Sana kila kitu utasikia Mungu hiki hapendi mara mambo kibao wazungu hao hao walioleta dini hii wanachapa kazi huwezi kuta mzungu akiongelea Mungu kwenye utafutaji. Sasa mtu anapewa madini yeye anasema Mungu ndo anatoa. Mm naamini kweli kutegemea kitega uchumi kimoja ni kweli huwezi fanya Jambo, ukitegemea mshahara tu siku kazi ikiisha ndo wale hujiua maana hawana cha kuwaokoa.
      Shigongo mm nakuelewa na hii sio inspiration kama wale wanaosema eti nilianza na mtaji wa elfu tano leo namiliki kampuni, Lkni hapa anamaanisha pale ukiwa na kazi Jitahidi kuwekeza.

  • @amirigogolo6004
    @amirigogolo6004 Місяць тому +1

    Elimu hii mbunge wetu ipeleke kwa wananchi wako wa buchosa watakushukuru sasa....haswaa vijana kama sisi...

  • @geraldnkya4732
    @geraldnkya4732 2 місяці тому +2

    Kaka ni kweli hili lipo kibiblia kabisa ili SoMo tumefundishwa ,mtumishi Mwl Onesmo wa Mbingu Duniani ministry
    _na misitari ya Bible hii mwanzo13:2;
    2mambo ya nyakati 17:12-13.
    Zabur 1:3;mwanzo 2:10-11.
    Kaka nimekuelewa Sana!!

    • @jumamrisho1389
      @jumamrisho1389 Місяць тому

      Nimependa Sana comment yako nalipataje hilo somo ndugu

  • @christagosbert2676
    @christagosbert2676 3 місяці тому +4

    Sijawai kujuta kufatilia na kusoma vitabu vyako since I was 17 years age till now🤗 you are blessed na umeeleweka mnoo🎉🎉🎉🎉

  • @MIBWA
    @MIBWA Місяць тому +1

    Thanks

  • @roseasimwe827
    @roseasimwe827 Місяць тому +9

    Mwenyezi Mungu nisaidie nipe kitu kingine cha kufanya tofauti na mshahara

    • @adelmarcymallya772
      @adelmarcymallya772 Місяць тому +1

      Mm ni mwalimu ila napika bites,cake,nna duka,nafanya oda mbalimbali za chakula ko inawezekana

    • @lucasmgalula8022
      @lucasmgalula8022 12 днів тому

      Maombi yako Ni Kama yangu dada inaumiza Sana kutegemee mshahara pekee yake hatutoboi Siri ya utajiri Ni kuwa na vyanzo vingi vya mapato aisee

  • @mathiasmateru9977
    @mathiasmateru9977 2 місяці тому +2

    Somo zuri sana
    We have to change and to act immediately.

  • @shepherdnoelkeneth
    @shepherdnoelkeneth 3 місяці тому +1

    Nmekuelewa sana sana

  • @mkambaselemani-ej7np
    @mkambaselemani-ej7np Місяць тому +1

    Bwana na cc wa bupandwa na mwangika tupo na wanyakato meco tekila! Punguza ungenge

  • @gracenunu6108
    @gracenunu6108 2 місяці тому +2

    Asante sana kwa somo zuri,barikiwa

  • @ayubuayubu2811
    @ayubuayubu2811 Місяць тому +2

    Upo sahii sana ..kaka

  • @erastosanga1694
    @erastosanga1694 2 місяці тому +15

    Yesu mkombozi wangu hakika nitafanya,Amina.

    • @kevinmary7129
      @kevinmary7129 2 місяці тому

      Tafuta Mungu na fanya kaz na biashara usiwe maskini sio dhambi

  • @KHALIDKIRAMA-iq6en
    @KHALIDKIRAMA-iq6en 3 місяці тому +29

    Siri ya utajiri ni Qadari ya MUNGU

    • @SaimonKazimoto-xt1zo
      @SaimonKazimoto-xt1zo 2 місяці тому +12

      Subri Ivo Ivo uone

    • @bakariomary5781
      @bakariomary5781 2 місяці тому +2

      Haya mzee alafu wanaofanikiwa useme wachawi na ma-freemason😂😂😂😂subiri Qadar watu wenyew wa nchi za nnje Wanagundua mavitu kila kukicha kwakua wanajua maisha yetu yanahitaji pesa kwa kila kitu

    • @ElishadBashiru
      @ElishadBashiru 2 місяці тому +5

      Mungu anaweza ibadilisha qadar Yako lakini kwakumuomba Boss

    • @KIDUCHUCASHPOINT
      @KIDUCHUCASHPOINT 2 місяці тому

      😢😢😢

    • @WechuliMakokha
      @WechuliMakokha 2 місяці тому +1

      Kwenye utajiri hamna mungu wala dini ila bidii tu

  • @leonardmisalaba7946
    @leonardmisalaba7946 3 місяці тому +4

    Hii nimeipenda bwana shigongo

  • @elizabethmhapa3658
    @elizabethmhapa3658 Місяць тому +2

    Asante sana nimekuelewa

  • @kombomvungi730
    @kombomvungi730 2 місяці тому +3

    Sawa, tuna vianzishaje? Na mtaji ndo kamzozo? Hebu zungumzia swala la mtaji.

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 3 місяці тому +1

    Husimuache,jusimdhalilishe,husimdhiaki siku ukifanikiwa ukaanxa kupata mlichochuma wote.Ahsamte kws elimu nzuri kufanya kazi mbalimbali utafanikiwa.

  • @magdalenamoro7629
    @magdalenamoro7629 2 місяці тому +1

    Asante sana mchungaji.ni kweli kabisa, chanzo kimoja chamapato ni muhimu sana.😊

  • @MdOmane-yg9gi
    @MdOmane-yg9gi 2 місяці тому +2

    Nimekupata vizuri na nimekifunza kitu...

  • @fadhilikibinda845
    @fadhilikibinda845 15 днів тому

    Mungu ametujaalia akili, so lazima uitumie vizur

  • @Le0nardLeonardjmsomba
    @Le0nardLeonardjmsomba 16 днів тому

    Nimeelewa sana naamin ntafanikiwa kwa kuyafanya haya

  • @leonardgachenia2200
    @leonardgachenia2200 2 місяці тому +2

    Uko sawa mzeia, nitajitahidi

  • @PhilbertGosbert
    @PhilbertGosbert 2 місяці тому +2

    Car wash tuaje

  • @barikislaa80
    @barikislaa80 День тому

    Fact

  • @msetikebwasi7270
    @msetikebwasi7270 2 місяці тому +2

    Mimi sikubariani na huyu jamaa ,kwani ukifungua duka kubwa lenye bidhaa nyingi zenye kuigusa jamii nyingi Kwa Nini usiufikie huo uhuru wa kifedha ?kuliko kutapanya Mali zako na wasimamizi wenyewe no majizi TU.

    • @ndojes711
      @ndojes711 2 місяці тому +1

      Mchek Bakheresa, MO, GSM woooote hao wanavitu vingiiiiiii. Unga, nguo, vinywaji na vitu vingi,. You may start slowly ukikurupuka UTAIBIWA MZEEEE

  • @QUEENJoseph-kh6cb
    @QUEENJoseph-kh6cb 3 місяці тому +6

    Na mimi nataka nije huko maana ninahasira ya utajiri kweli kweli😂😂

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 2 місяці тому +1

    Mwajina umefundisha kitu kikubwa kwenye maisha.

  • @johnsmwandu7338
    @johnsmwandu7338 Місяць тому +1

    Saana mbunge wangu

  • @nassorrama6839
    @nassorrama6839 Місяць тому +1

    Mimi nimeelewa sana mwalimu

  • @myself4128
    @myself4128 2 місяці тому +1

    Tanzania Hakuna Mfanyabiashara Kuna wapiga deal tu,Huwezi kuwa na Biashara 30 Ukajiita mfanyabiashara,Wahindi wanakuja Bongo wanafanikiwa kuliko wazawa wao wanabobea katika biashara Moja mpaka wanaimudu, sababu Mzawa amelala usingizi na Serikali Yetu ni Kama Shamba la Bibi walowezi wanakuja wanafungua Biashara ndogo ndogo kwa mitaji mikubwa ambazo Wazawa walitakiwa wafanye kwahiyo Hatuna Wawekezaji pia bali Tuna Walanguzi tuu,mfanyabiashara Lazima uwe na Speacialty au Biashara ama huduma maalum unayotoa sio mara vitunguu mara mikate mara boda boda mara Mikaa ni Vurugu tupu ukifa nani ataendeleza upuuzi wako huo??lazima mtoto arithi biashara fulani ya familia ambayo ameikulia na kuimudu na pia Serikali yetu lazima Tuilazimishe iwe na Sera zinazohamasisha wananchi waachane na Uvivu na Umaskini kwa kuwapa mikopo na kuondoa Tozo pumbavu za watu wa chini na pia kuwalinda sehemu zao za Biashara

    • @mutaji5454
      @mutaji5454 2 місяці тому +1

      Inabdi ufungue Nawe sasa biashara

    • @jfisherkaaya5958
      @jfisherkaaya5958 2 місяці тому

      Hujakaa na wahindi hawategemei jambo moja kama unavyofikiria wao wanatengeneza mambo mengi ila wanagawana katika familia flani wewe utasimama dukani, flan utakua hapa so nyumba inakua na vyanzo vingi vya mapato na havimtegemei mtu mmoja kama tunavyoaminishwa.

    • @ShabanAbdulrahman-b6r
      @ShabanAbdulrahman-b6r 2 місяці тому

      Umeongea Kwa uchungu sana ndugu mungu akubariki tukayafanyie kazi mawazo yako🙏

  • @JosephSimiyu
    @JosephSimiyu 2 місяці тому +1

    Amina Barikiwa ndugu kwa ushauri wako wa busara

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 22 дні тому

    Ok

  • @benjaminmlaghila5453
    @benjaminmlaghila5453 Місяць тому

    MUNGU MWEMA
    alitupa kila kitu kwa kutupa utambuzi wa mema na mabaya. Kwahiyo kupanga ni kuchagua kama mtu akili yake imemtuma afanye maisha ya umaskini ni maamuzi yake mwenyewe sio MUNGU leo hii mtu hafanyi kazi na kama akifanya kazi au biashara hana akili ya jinsi gani anaweza kufikia malengo makubwa, unapata pesa unahonga,kulewa,kubet,kunujua vitu bila mpago na kupelekea maisha kuganda

  • @EbsonSanya-ps6sp
    @EbsonSanya-ps6sp Місяць тому

    Mkuu kwenye kuanzisha ndo panachangamoto baba hapo ndipo watu wengi tunakwama

  • @suedahmadi9091
    @suedahmadi9091 2 місяці тому +1

    Utajiri sio kitu rahisi kama unavyoongea kirahisi ongea ukweli uliopo nyuma ya siri ya mafanikio yako

    • @liannsambu7264
      @liannsambu7264 2 місяці тому +1

      Upi Sasa , kama wewe unahistoria Yako SI useme ,mbona kikinzana na anachosema yeye ndugu , tuache kujaji watu Kwa mitazamo yenu , TAFUTA ELA NDUGU FANYA KAZI , HUTAKI ACHA HAHAHAAAAAA

    • @revocatusmartine7159
      @revocatusmartine7159 Місяць тому

      Ilo n wazo litakalokufanya ubak kua maskin ukibak kuamini nguvu za giza,, utaish maisha ya kulalamika

  • @PraxedaKishenyi-w8t
    @PraxedaKishenyi-w8t 3 місяці тому +8

    Tumutafute mungu sana, wakati wa kukuinua ukifika, maharifa atakupa mwenyewe, kikubwa nibaraka.

    • @babujeishayo2576
      @babujeishayo2576 2 місяці тому +2

      Maarifa tunapaswa kutafuta sisi si kupewa na Mungu

    • @babujeishayo2576
      @babujeishayo2576 2 місяці тому +2

      Maarifa tunapaswa kutafuta sisi si kupewa na Mungu

    • @calvinloveambroce842
      @calvinloveambroce842 2 місяці тому +3

      Mungu hampi maarifa wala kumuinua mtu aliyekaa tu akiamini siku yake ipo

    • @hadithizetutv
      @hadithizetutv 2 місяці тому +1

      Endeleeni kujaza huo ujinga

    • @EneaMwakamyanda-i7p
      @EneaMwakamyanda-i7p Місяць тому

      Kuna sehemu ya Mungu kufanya yaani kukupa wazo lakini kuna sehemu ya wewe kufanya namaanisha kutekeleza wazo lile Mungu kakupa.

  • @graceanakisenga8046
    @graceanakisenga8046 Місяць тому

    Asante sana kutufunulia siri hii baba...vitabu vyako nimevisoma sana kweli kupitia wewe nimejifunza

  • @suedahmadi9091
    @suedahmadi9091 2 місяці тому

    Gharama unazolipa/Sadaka/Kafara unazotoa kwenye kuimalisha utajiri wako, muda

  • @BukelebeTv
    @BukelebeTv 3 місяці тому +2

    Somo zuri

  • @marykibogoya2769
    @marykibogoya2769 2 місяці тому +1

    Umenena kweli mdau. Ubarikiwe

  • @PineTree-n9y
    @PineTree-n9y Місяць тому

    Mwalimu ubarikiwe sana hata Mimi nimekuelewa vizuri sana

  • @magrethwilliam1436
    @magrethwilliam1436 2 місяці тому

    Asante sana

  • @erastosanga1694
    @erastosanga1694 2 місяці тому +1

    Thanks giving shigongo

  • @BulugushindikaMathias-zk3yf
    @BulugushindikaMathias-zk3yf 26 днів тому

    Hayapoa nimekuerewa..kaka ❤Buchosatupo

  • @trillhappybeautypoint9874
    @trillhappybeautypoint9874 16 днів тому

    Asante sana👏

  • @daviddonatus8121
    @daviddonatus8121 2 місяці тому

    Kuwaza jambo ni vyepesi sana na kudhubuti ni jambo gumu sana ...😂

  • @adinaismail118
    @adinaismail118 Місяць тому

    Imdet

  • @VeronicaMkunga
    @VeronicaMkunga 3 місяці тому

    Ni kweli kaka,

  • @radojembe7347
    @radojembe7347 2 місяці тому +1

    Nakubali my mentor

  • @salmongivoh2307
    @salmongivoh2307 2 місяці тому +1

    namshkuru Mungu kwa ujumbe huu

  • @beatricedanken8936
    @beatricedanken8936 26 днів тому

    Baba wew ni mtu mkubwa unae ni influence sanaa

  • @soberhousetv2245
    @soberhousetv2245 2 місяці тому

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @GodfreyMalenge
    @GodfreyMalenge 2 місяці тому

    ninaomba kuelewa zaidi apo kwenye ku create multiple sources of income vipi kama mtu ametenga biashara yake moja na akawekeza nguvu zake zote apo will it not make him or her affluent

  • @thobiasLoti
    @thobiasLoti 2 місяці тому

    Hv kwa madini haya ni kweli shigongo ni darasa la 7 au mnatudanganya tu

  • @thobiasLoti
    @thobiasLoti 2 місяці тому

    Cjui mnamuelewa mwalimu?😅acha kuuliza chakula kwa mama ntilie😅

  • @thomasudoba7077
    @thomasudoba7077 2 місяці тому

    Shigongo the hero

  • @samsonmusyimi1782
    @samsonmusyimi1782 3 місяці тому +1

    Aky ni kweli

  • @karlschrader4026
    @karlschrader4026 2 місяці тому

    Hapo Ndo ushasema unaenda kijijini kumbe mchizi Uko kwenye pipa unaenda Dubai afu pipa limedondoka 😮kazi italipia mazishi na kiinua mgongo ulichoacha?

    • @judicalosika7642
      @judicalosika7642 2 місяці тому

      🇮🇱 eh wewe unawaza kuzikwa na Company 😳😳😳😳😳

  • @OctaviaMakunda
    @OctaviaMakunda 2 місяці тому

    Nikiwa mkubwa nataka kuwa kama wewe

  • @kalumangachannel4760
    @kalumangachannel4760 2 місяці тому

    Sir you deserve to be minister.

  • @adinaismail118
    @adinaismail118 Місяць тому

    Vizur

  • @franknyamungu9703
    @franknyamungu9703 2 місяці тому

    Amina

  • @JasminHassan-p8u
    @JasminHassan-p8u 2 місяці тому

    Unapata wap mtaji wa kuanzisha hzo multiple sources? Mbn mnatuchanganya,mara mnatwambia tudeal na kitu kmoja

  • @Greystonmwazembe
    @Greystonmwazembe 2 місяці тому

    Ok

  • @WitinessJoseph
    @WitinessJoseph Місяць тому

    Nimejifunza kitu leo

  • @joshuanzioka4611
    @joshuanzioka4611 2 місяці тому

    Well said

  • @SuleimanButa
    @SuleimanButa Місяць тому

    ❤❤❤❤❤❤

  • @VeronicaPanga-zd6yt
    @VeronicaPanga-zd6yt 2 місяці тому

    nmekuelewa sana

  • @basilvenance1368
    @basilvenance1368 2 місяці тому

    Tufanye kazi

  • @asaphasaph6415
    @asaphasaph6415 2 місяці тому

    Mathayo 16:26
    [26]Kwani atafaidiwa nini mtu akiupata ulimwengu wote, na kupata hasara ya nafsi yake? Au mtu atatoa nini badala ya nafsi yake?
    For what is a man profited, if he shall gain the whole world, and lose his own soul? or what shall a man give in exchange for his soul?

    • @juliusmwita-ye3eg
      @juliusmwita-ye3eg 2 місяці тому +2

      Mawazo ya umaskini hayo

    • @bonifacemkasanga3448
      @bonifacemkasanga3448 2 місяці тому

      Ulitaka kusemaje?

    • @asaphasaph6415
      @asaphasaph6415 2 місяці тому

      Mathayo 6:24
      [24]Hakuna mtu awezaye kutumikia mabwana wawili; kwa maana atamchukia huyu, na kumpenda huyu; ama atashikamana na huyu, na kumdharau huyu. Hamwezi kumtumikia Mungu na mali.
      No man can serve two masters: for either he will hate the one, and love the other; or else he will hold to the one, and despise the other. Ye cannot serve God and mammon.

  • @ashabogasi
    @ashabogasi 2 місяці тому

    Love it❤❤❤

  • @erastosanga1694
    @erastosanga1694 2 місяці тому

    Upon sawa shigongo

  • @richkaja3317
    @richkaja3317 2 місяці тому

    Eric unajua sanaa

  • @charlesruwa5844
    @charlesruwa5844 2 місяці тому

    Ft

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula 2 місяці тому

    Mbona wewe maskini

    • @simo_n_jilala
      @simo_n_jilala 2 місяці тому

      Humjui Eric Shigongo. Kama humjui mtu bora uulizie Ndugu yangu. Huyu ni tajiri.

  • @shamyathman9198
    @shamyathman9198 2 місяці тому +1

    Dini haruhusu kutegemea qadar

  • @emmanuelfari8924
    @emmanuelfari8924 3 місяці тому +1

    No! VISION No! Solving problems...✍️ UBARIKIWE sana hata na uzao wako baada yako YOHANA 14:14🙏

  • @dannypeter4951
    @dannypeter4951 3 місяці тому +2

    Unaongea na wadada peke yao?

    • @hamasikatv
      @hamasikatv  3 місяці тому +3

      Asante kwa maoni yako, Hiyo Seminar alikua anazungumza na Hao Wanawake Wahasibu ingawa ujumbe ni kwa wote
      Tuendelee kujifunza

    • @DishenKabuje
      @DishenKabuje 3 місяці тому

      chukua linalo kuhusu