This is very true, most people are sinking in the ego of being educated and end up retering poor and become sources of problems in the society. I agree education alone is not enough,but rather let us use our education as a foundation to build multiple sources of income. people without education must use their physical energy to build sources of incomes...i encourage those who not educated that,not only education is the way to life,but good plan and acceptance. Above all put God first in everything and the doors will open 👐
Masikini wa akili hao hata uwape milioni mia tano bado watakufa masikini maana hawana akili ya kusema wanataka watoke kimaisha bali watabaki kusema Mungu ndo anajua. Ukiona mtu kila kitu yeye ni anaongelea Mungu Mungu jua huyo ni masikini kuanzia akili hadi maisha, tajiri anawaza kuongeza vitega uchumi masikini anawaza maombi kuwa ndo yatamsaidia. Usiombe uwe na akili za kimasikini kwenye hii dunia.
Mafunzo ya ajabu ajabu haya, kuna watu hawana hela wala kazi, wafundishe hao namna yakupata hizo vyanzo vya mapato,naona unachofundisha ni kwa wale wanahela tayari ila unataka waongeze kipato zaid.unaruka hatua kubwa sana bro
Acheni kumtupia mungu kila tambala bovu, mungu amekupa akili na maalifa ndio maana amekuumba binadamu tumia hivyo vipaji, ukisubilia mungu aje na mkongojo kuja kukupa wewe maalifa utangoja saana, kwahiyo mr Eric upo sahihi.
Ujue kuna watu watakufa masikini wamekuta familia zao ni masikini na wao pia wanaendeleza umasikini, kwa kuamini kuwa Mungu Mungu ni lini mtu alikuwa amekaa ndani akasikia sauti ikimwambia kuanzia Leo nakupa utajiri, na huu upumbavu Afrika umetujaa Sana kila kitu utasikia Mungu hiki hapendi mara mambo kibao wazungu hao hao walioleta dini hii wanachapa kazi huwezi kuta mzungu akiongelea Mungu kwenye utafutaji. Sasa mtu anapewa madini yeye anasema Mungu ndo anatoa. Mm naamini kweli kutegemea kitega uchumi kimoja ni kweli huwezi fanya Jambo, ukitegemea mshahara tu siku kazi ikiisha ndo wale hujiua maana hawana cha kuwaokoa. Shigongo mm nakuelewa na hii sio inspiration kama wale wanaosema eti nilianza na mtaji wa elfu tano leo namiliki kampuni, Lkni hapa anamaanisha pale ukiwa na kazi Jitahidi kuwekeza.
Kaka ni kweli hili lipo kibiblia kabisa ili SoMo tumefundishwa ,mtumishi Mwl Onesmo wa Mbingu Duniani ministry _na misitari ya Bible hii mwanzo13:2; 2mambo ya nyakati 17:12-13. Zabur 1:3;mwanzo 2:10-11. Kaka nimekuelewa Sana!!
Haya mzee alafu wanaofanikiwa useme wachawi na ma-freemason😂😂😂😂subiri Qadar watu wenyew wa nchi za nnje Wanagundua mavitu kila kukicha kwakua wanajua maisha yetu yanahitaji pesa kwa kila kitu
Mimi sikubariani na huyu jamaa ,kwani ukifungua duka kubwa lenye bidhaa nyingi zenye kuigusa jamii nyingi Kwa Nini usiufikie huo uhuru wa kifedha ?kuliko kutapanya Mali zako na wasimamizi wenyewe no majizi TU.
Tanzania Hakuna Mfanyabiashara Kuna wapiga deal tu,Huwezi kuwa na Biashara 30 Ukajiita mfanyabiashara,Wahindi wanakuja Bongo wanafanikiwa kuliko wazawa wao wanabobea katika biashara Moja mpaka wanaimudu, sababu Mzawa amelala usingizi na Serikali Yetu ni Kama Shamba la Bibi walowezi wanakuja wanafungua Biashara ndogo ndogo kwa mitaji mikubwa ambazo Wazawa walitakiwa wafanye kwahiyo Hatuna Wawekezaji pia bali Tuna Walanguzi tuu,mfanyabiashara Lazima uwe na Speacialty au Biashara ama huduma maalum unayotoa sio mara vitunguu mara mikate mara boda boda mara Mikaa ni Vurugu tupu ukifa nani ataendeleza upuuzi wako huo??lazima mtoto arithi biashara fulani ya familia ambayo ameikulia na kuimudu na pia Serikali yetu lazima Tuilazimishe iwe na Sera zinazohamasisha wananchi waachane na Uvivu na Umaskini kwa kuwapa mikopo na kuondoa Tozo pumbavu za watu wa chini na pia kuwalinda sehemu zao za Biashara
Hujakaa na wahindi hawategemei jambo moja kama unavyofikiria wao wanatengeneza mambo mengi ila wanagawana katika familia flani wewe utasimama dukani, flan utakua hapa so nyumba inakua na vyanzo vingi vya mapato na havimtegemei mtu mmoja kama tunavyoaminishwa.
MUNGU MWEMA alitupa kila kitu kwa kutupa utambuzi wa mema na mabaya. Kwahiyo kupanga ni kuchagua kama mtu akili yake imemtuma afanye maisha ya umaskini ni maamuzi yake mwenyewe sio MUNGU leo hii mtu hafanyi kazi na kama akifanya kazi au biashara hana akili ya jinsi gani anaweza kufikia malengo makubwa, unapata pesa unahonga,kulewa,kubet,kunujua vitu bila mpago na kupelekea maisha kuganda
Upi Sasa , kama wewe unahistoria Yako SI useme ,mbona kikinzana na anachosema yeye ndugu , tuache kujaji watu Kwa mitazamo yenu , TAFUTA ELA NDUGU FANYA KAZI , HUTAKI ACHA HAHAHAAAAAA
ninaomba kuelewa zaidi apo kwenye ku create multiple sources of income vipi kama mtu ametenga biashara yake moja na akawekeza nguvu zake zote apo will it not make him or her affluent
Mathayo 16:26 [26]Kwani atafaidiwa nini mtu akiupata ulimwengu wote, na kupata hasara ya nafsi yake? Au mtu atatoa nini badala ya nafsi yake? For what is a man profited, if he shall gain the whole world, and lose his own soul? or what shall a man give in exchange for his soul?
Mathayo 6:24 [24]Hakuna mtu awezaye kutumikia mabwana wawili; kwa maana atamchukia huyu, na kumpenda huyu; ama atashikamana na huyu, na kumdharau huyu. Hamwezi kumtumikia Mungu na mali. No man can serve two masters: for either he will hate the one, and love the other; or else he will hold to the one, and despise the other. Ye cannot serve God and mammon.
Asante sana mh Shigongo, kwa kutemà madini.
This is very true, most people are sinking in the ego of being educated and end up retering poor and become sources of problems in the society. I agree education alone is not enough,but rather let us use our education as a foundation to build multiple sources of income. people without education must use their physical energy to build sources of incomes...i encourage those who not educated that,not only education is the way to life,but good plan and acceptance. Above all put God first in everything and the doors will open 👐
Asante kwa maoni yako
Tuendelee kujifunza
Amina kaka, nimekuelewa Sana. Nimepokea
Haya ni mawazo ya kitajiri kama una akili za kimaskini huwezi muelewa shigongo
Umeeleweka sana.Bravo.
Ili uweze kufanikiwa unatakiwa uondoe akili ya kushindwa kwenye kuanzisha biashara yako
Amina nitaanzisha muda siyo mrefu kwa jina la yesu
Ahsante Shigongo
Safiii sana kaka Eric.
Somo la ubosi,heshima.
Hakika mkuu. Asante kwa mchango wako
🤔Kweli, hao wanaosema ni kudra za Mungu kwani Mungu kakataza kuwa na vyanzo vingi vya mapato? Hakika Hii ni elimu nzuri kwa wote Asante kwa kuchangia🤝
Masikini wa akili hao hata uwape milioni mia tano bado watakufa masikini maana hawana akili ya kusema wanataka watoke kimaisha bali watabaki kusema Mungu ndo anajua. Ukiona mtu kila kitu yeye ni anaongelea Mungu Mungu jua huyo ni masikini kuanzia akili hadi maisha, tajiri anawaza kuongeza vitega uchumi masikini anawaza maombi kuwa ndo yatamsaidia. Usiombe uwe na akili za kimasikini kwenye hii dunia.
Nice😅😅😅
Mafunzo ya ajabu ajabu haya, kuna watu hawana hela wala kazi, wafundishe hao namna yakupata hizo vyanzo vya mapato,naona unachofundisha ni kwa wale wanahela tayari ila unataka waongeze kipato zaid.unaruka hatua kubwa sana bro
Acheni kumtupia mungu kila tambala bovu, mungu amekupa akili na maalifa ndio maana amekuumba binadamu tumia hivyo vipaji, ukisubilia mungu aje na mkongojo kuja kukupa wewe maalifa utangoja saana, kwahiyo mr Eric upo sahihi.
Kabisaaa mungu alishatubariki tangu kuzaliwa kwetu kilichobaki ni sisi tuu kupata maarifa ya kufanikiwa kwa maana mafanikio sio nguvu bali ni maarifa
Ujue kuna watu watakufa masikini wamekuta familia zao ni masikini na wao pia wanaendeleza umasikini, kwa kuamini kuwa Mungu Mungu ni lini mtu alikuwa amekaa ndani akasikia sauti ikimwambia kuanzia Leo nakupa utajiri, na huu upumbavu Afrika umetujaa Sana kila kitu utasikia Mungu hiki hapendi mara mambo kibao wazungu hao hao walioleta dini hii wanachapa kazi huwezi kuta mzungu akiongelea Mungu kwenye utafutaji. Sasa mtu anapewa madini yeye anasema Mungu ndo anatoa. Mm naamini kweli kutegemea kitega uchumi kimoja ni kweli huwezi fanya Jambo, ukitegemea mshahara tu siku kazi ikiisha ndo wale hujiua maana hawana cha kuwaokoa.
Shigongo mm nakuelewa na hii sio inspiration kama wale wanaosema eti nilianza na mtaji wa elfu tano leo namiliki kampuni, Lkni hapa anamaanisha pale ukiwa na kazi Jitahidi kuwekeza.
Elimu hii mbunge wetu ipeleke kwa wananchi wako wa buchosa watakushukuru sasa....haswaa vijana kama sisi...
Kaka ni kweli hili lipo kibiblia kabisa ili SoMo tumefundishwa ,mtumishi Mwl Onesmo wa Mbingu Duniani ministry
_na misitari ya Bible hii mwanzo13:2;
2mambo ya nyakati 17:12-13.
Zabur 1:3;mwanzo 2:10-11.
Kaka nimekuelewa Sana!!
Nimependa Sana comment yako nalipataje hilo somo ndugu
Sijawai kujuta kufatilia na kusoma vitabu vyako since I was 17 years age till now🤗 you are blessed na umeeleweka mnoo🎉🎉🎉🎉
Thanks
Mwenyezi Mungu nisaidie nipe kitu kingine cha kufanya tofauti na mshahara
Mm ni mwalimu ila napika bites,cake,nna duka,nafanya oda mbalimbali za chakula ko inawezekana
Maombi yako Ni Kama yangu dada inaumiza Sana kutegemee mshahara pekee yake hatutoboi Siri ya utajiri Ni kuwa na vyanzo vingi vya mapato aisee
Somo zuri sana
We have to change and to act immediately.
Nmekuelewa sana sana
Bwana na cc wa bupandwa na mwangika tupo na wanyakato meco tekila! Punguza ungenge
Asante sana kwa somo zuri,barikiwa
Upo sahii sana ..kaka
Yesu mkombozi wangu hakika nitafanya,Amina.
Tafuta Mungu na fanya kaz na biashara usiwe maskini sio dhambi
Siri ya utajiri ni Qadari ya MUNGU
Subri Ivo Ivo uone
Haya mzee alafu wanaofanikiwa useme wachawi na ma-freemason😂😂😂😂subiri Qadar watu wenyew wa nchi za nnje Wanagundua mavitu kila kukicha kwakua wanajua maisha yetu yanahitaji pesa kwa kila kitu
Mungu anaweza ibadilisha qadar Yako lakini kwakumuomba Boss
😢😢😢
Kwenye utajiri hamna mungu wala dini ila bidii tu
Hii nimeipenda bwana shigongo
Asante sana nimekuelewa
Sawa, tuna vianzishaje? Na mtaji ndo kamzozo? Hebu zungumzia swala la mtaji.
Ela ulo nayo ni mtaji wa kitu chengine
Uza CMU fuga kuku
Husimuache,jusimdhalilishe,husimdhiaki siku ukifanikiwa ukaanxa kupata mlichochuma wote.Ahsamte kws elimu nzuri kufanya kazi mbalimbali utafanikiwa.
Asante sana mchungaji.ni kweli kabisa, chanzo kimoja chamapato ni muhimu sana.😊
Nimekupata vizuri na nimekifunza kitu...
Mungu ametujaalia akili, so lazima uitumie vizur
Nimeelewa sana naamin ntafanikiwa kwa kuyafanya haya
Uko sawa mzeia, nitajitahidi
Car wash tuaje
Fact
Mimi sikubariani na huyu jamaa ,kwani ukifungua duka kubwa lenye bidhaa nyingi zenye kuigusa jamii nyingi Kwa Nini usiufikie huo uhuru wa kifedha ?kuliko kutapanya Mali zako na wasimamizi wenyewe no majizi TU.
Mchek Bakheresa, MO, GSM woooote hao wanavitu vingiiiiiii. Unga, nguo, vinywaji na vitu vingi,. You may start slowly ukikurupuka UTAIBIWA MZEEEE
Na mimi nataka nije huko maana ninahasira ya utajiri kweli kweli😂😂
😂😂
Mwajina umefundisha kitu kikubwa kwenye maisha.
Saana mbunge wangu
Mimi nimeelewa sana mwalimu
Tanzania Hakuna Mfanyabiashara Kuna wapiga deal tu,Huwezi kuwa na Biashara 30 Ukajiita mfanyabiashara,Wahindi wanakuja Bongo wanafanikiwa kuliko wazawa wao wanabobea katika biashara Moja mpaka wanaimudu, sababu Mzawa amelala usingizi na Serikali Yetu ni Kama Shamba la Bibi walowezi wanakuja wanafungua Biashara ndogo ndogo kwa mitaji mikubwa ambazo Wazawa walitakiwa wafanye kwahiyo Hatuna Wawekezaji pia bali Tuna Walanguzi tuu,mfanyabiashara Lazima uwe na Speacialty au Biashara ama huduma maalum unayotoa sio mara vitunguu mara mikate mara boda boda mara Mikaa ni Vurugu tupu ukifa nani ataendeleza upuuzi wako huo??lazima mtoto arithi biashara fulani ya familia ambayo ameikulia na kuimudu na pia Serikali yetu lazima Tuilazimishe iwe na Sera zinazohamasisha wananchi waachane na Uvivu na Umaskini kwa kuwapa mikopo na kuondoa Tozo pumbavu za watu wa chini na pia kuwalinda sehemu zao za Biashara
Inabdi ufungue Nawe sasa biashara
Hujakaa na wahindi hawategemei jambo moja kama unavyofikiria wao wanatengeneza mambo mengi ila wanagawana katika familia flani wewe utasimama dukani, flan utakua hapa so nyumba inakua na vyanzo vingi vya mapato na havimtegemei mtu mmoja kama tunavyoaminishwa.
Umeongea Kwa uchungu sana ndugu mungu akubariki tukayafanyie kazi mawazo yako🙏
Amina Barikiwa ndugu kwa ushauri wako wa busara
Ok
MUNGU MWEMA
alitupa kila kitu kwa kutupa utambuzi wa mema na mabaya. Kwahiyo kupanga ni kuchagua kama mtu akili yake imemtuma afanye maisha ya umaskini ni maamuzi yake mwenyewe sio MUNGU leo hii mtu hafanyi kazi na kama akifanya kazi au biashara hana akili ya jinsi gani anaweza kufikia malengo makubwa, unapata pesa unahonga,kulewa,kubet,kunujua vitu bila mpago na kupelekea maisha kuganda
Mkuu kwenye kuanzisha ndo panachangamoto baba hapo ndipo watu wengi tunakwama
Utajiri sio kitu rahisi kama unavyoongea kirahisi ongea ukweli uliopo nyuma ya siri ya mafanikio yako
Upi Sasa , kama wewe unahistoria Yako SI useme ,mbona kikinzana na anachosema yeye ndugu , tuache kujaji watu Kwa mitazamo yenu , TAFUTA ELA NDUGU FANYA KAZI , HUTAKI ACHA HAHAHAAAAAA
Ilo n wazo litakalokufanya ubak kua maskin ukibak kuamini nguvu za giza,, utaish maisha ya kulalamika
Tumutafute mungu sana, wakati wa kukuinua ukifika, maharifa atakupa mwenyewe, kikubwa nibaraka.
Maarifa tunapaswa kutafuta sisi si kupewa na Mungu
Maarifa tunapaswa kutafuta sisi si kupewa na Mungu
Mungu hampi maarifa wala kumuinua mtu aliyekaa tu akiamini siku yake ipo
Endeleeni kujaza huo ujinga
Kuna sehemu ya Mungu kufanya yaani kukupa wazo lakini kuna sehemu ya wewe kufanya namaanisha kutekeleza wazo lile Mungu kakupa.
Asante sana kutufunulia siri hii baba...vitabu vyako nimevisoma sana kweli kupitia wewe nimejifunza
Gharama unazolipa/Sadaka/Kafara unazotoa kwenye kuimalisha utajiri wako, muda
Somo zuri
Umenena kweli mdau. Ubarikiwe
Mwalimu ubarikiwe sana hata Mimi nimekuelewa vizuri sana
Asante sana
Thanks giving shigongo
Hayapoa nimekuerewa..kaka ❤Buchosatupo
Asante sana👏
Kuwaza jambo ni vyepesi sana na kudhubuti ni jambo gumu sana ...😂
Imdet
Ni kweli kaka,
Nakubali my mentor
namshkuru Mungu kwa ujumbe huu
Baba wew ni mtu mkubwa unae ni influence sanaa
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
ninaomba kuelewa zaidi apo kwenye ku create multiple sources of income vipi kama mtu ametenga biashara yake moja na akawekeza nguvu zake zote apo will it not make him or her affluent
Yes
Hv kwa madini haya ni kweli shigongo ni darasa la 7 au mnatudanganya tu
Cjui mnamuelewa mwalimu?😅acha kuuliza chakula kwa mama ntilie😅
Shigongo the hero
Aky ni kweli
Hapo Ndo ushasema unaenda kijijini kumbe mchizi Uko kwenye pipa unaenda Dubai afu pipa limedondoka 😮kazi italipia mazishi na kiinua mgongo ulichoacha?
🇮🇱 eh wewe unawaza kuzikwa na Company 😳😳😳😳😳
Nikiwa mkubwa nataka kuwa kama wewe
Sir you deserve to be minister.
Vizur
Amina
Unapata wap mtaji wa kuanzisha hzo multiple sources? Mbn mnatuchanganya,mara mnatwambia tudeal na kitu kmoja
Uki deal na kitu kimoja kikifanikiwa kitakuwezesha kuanzisha kingine na kingine. Hauwezimkuwa na multiples kwa mara moja..
Ameeleza vizur sana.
Ok
Nimejifunza kitu leo
Well said
❤❤❤❤❤❤
nmekuelewa sana
Tufanye kazi
Mathayo 16:26
[26]Kwani atafaidiwa nini mtu akiupata ulimwengu wote, na kupata hasara ya nafsi yake? Au mtu atatoa nini badala ya nafsi yake?
For what is a man profited, if he shall gain the whole world, and lose his own soul? or what shall a man give in exchange for his soul?
Mawazo ya umaskini hayo
Ulitaka kusemaje?
Mathayo 6:24
[24]Hakuna mtu awezaye kutumikia mabwana wawili; kwa maana atamchukia huyu, na kumpenda huyu; ama atashikamana na huyu, na kumdharau huyu. Hamwezi kumtumikia Mungu na mali.
No man can serve two masters: for either he will hate the one, and love the other; or else he will hold to the one, and despise the other. Ye cannot serve God and mammon.
Love it❤❤❤
Upon sawa shigongo
Eric unajua sanaa
Ft
Mbona wewe maskini
Humjui Eric Shigongo. Kama humjui mtu bora uulizie Ndugu yangu. Huyu ni tajiri.
Dini haruhusu kutegemea qadar
No! VISION No! Solving problems...✍️ UBARIKIWE sana hata na uzao wako baada yako YOHANA 14:14🙏
Asante kwa maoni yako
Tuendelee kujifunza
Ok
Unaongea na wadada peke yao?
Asante kwa maoni yako, Hiyo Seminar alikua anazungumza na Hao Wanawake Wahasibu ingawa ujumbe ni kwa wote
Tuendelee kujifunza
chukua linalo kuhusu