Це відео не доступне.
Перепрошуємо.

"TUISHI KAMA KENYA" KWA UCHUNGU WANANCHI WAMLILIA RAIS SAMIA, wamtaja Waziri wa JERRY SLAA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лип 2024
  • "TUISHI KAMA KENYA" KWA UCHUNGU WANANCHI WAMLILIA RAIS SAMIA, wamtaja Waziri wa JERRY SLAA
    🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
    🔘WhatsApp (+255 692 318213)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com

КОМЕНТАРІ • 61

  • @user-rv2ht5vm5k
    @user-rv2ht5vm5k 26 днів тому +1

    Poleni Watangabyika Nchi aina uongozi Ishauzwa

  • @raymondnlelwa427
    @raymondnlelwa427 25 днів тому +1

    Mbona sasa hivi kila mahali watu wanalia na kulalamika sana? Kwani viongozi hawapo? Mungu wasaidie watz

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula 27 днів тому +3

    Mwarabu huyo TZ IMEVAMIWA

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 26 днів тому

    Sasa kama bahari kwa nini manajenga???

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 26 днів тому +2

    Hayo maneno hayatawasaidi Nchi inauzwa chukuweni hatua.

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 26 днів тому

      Kama wanaume kweli 😂😂😂😂 chukuweni hatua 😂😂😂 mngechukuwa hatuwa zamani hapo Tanganyika..

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j 26 днів тому

    Angalie cheo chake na cha ruto kopi kikubwa?

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent9408 24 дні тому

    Kuwa kiongoz mkuu sio rahisi ,msione raisi mkahisi inafanana na raisi ,hapana sio kweli kuna huyu ndio kuna huyu hapana huwez jua wapi ila ninachomuomba mama samia akubali katiba mpya kwasababu katiba ndio tatizo naona kwa uwelewa wangu mdogo tu pia wanachi wapewe elimu maana hizo sheria hatujafundishwa mashuleni bali tunakutana nazo tu wananchi wa hali ya chini kitu ambacho sio sawa tukijua haki zetu tuu hata wewe raisi mambo yako yatakuwa rahisi hatutaibiwa na diwani wala mmbunge natamani ungeona hii sms mimi ni mwanachi wa hali ya chini elim darasa la saba😢😢😢😢

  • @kessydieselengineers3205
    @kessydieselengineers3205 26 днів тому +1

    Mtajisoti hiyo ndiyo ccm

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 26 днів тому

      😂😂😂 CCM mshaijuwa lakini hao wengine hamjawajuwa…

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 26 днів тому +1

    Kama loliondo vile mwarabu Nini

  • @antonymangu3458
    @antonymangu3458 25 днів тому

    Wachana na kenya tunajua haki zetu ndoo uanalia manake ujui utafanya nini

  • @kazigembeleke5958
    @kazigembeleke5958 26 днів тому +1

    Kawa nini utaje Kenya, ongea ya kwako

    • @user-xx8fb4ed5u
      @user-xx8fb4ed5u 24 дні тому

      Ko kwa akili yako yanayofanyika unachelewa?

  • @beinafuu6219
    @beinafuu6219 27 днів тому +1

    Kenya hakuna vita kama ujui kaa kimia.kenya wanadai haki.uwonevu.matumizi makubwa ya pesa ya wananchi.viongozi kujilimbikizia ukakas.ndo wanata vikome hakuna vita.

    • @kazigembeleke5958
      @kazigembeleke5958 26 днів тому

      Ufinyu wa kufahamu huyo mama

    • @user-wi8og3sv4j
      @user-wi8og3sv4j 26 днів тому

      Unajua vita ni nini,karibu watu mia wameuliwa hio sio vita ni amani?

  • @briankatani6770
    @briankatani6770 26 днів тому

    Kwani Kenya kuna shida gani ya kutulinganisha nao

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j 26 днів тому

    Akifa hatakichanga kwa kwa mafuriko atajua nguvu ya wananchi na pesa yake kipi cha thamani

  • @stanslausbernard5950
    @stanslausbernard5950 27 днів тому +2

    Mama yenu hana uwezo wa kutawala hata kidogo

    • @samwa9496
      @samwa9496 26 днів тому

      Tawala wewe ATAFANYA mangapi mlienda kwa waziri wa ardhi kwani mishahara analipwa wanini fikiria kabla ya kusema wewe ndio utaweza kuendesha nchi acheni maneno mnafikiri Kenya kuzuri si muende mkakae huko

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm 26 днів тому

      @@samwa9496 acha kutetea uuzaji ardhi za watanzania. Akaiuze Zanzibar. Nyinyi maccm mnatetea ujinga mtupu.

    • @justardzelphine6526
      @justardzelphine6526 26 днів тому

      Wanampa 5 tena, nchi itabaki mikononi mwa wageni

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 26 днів тому

    Hawa hawajali raia kufa watuwaliandamana mpaka Kwa waziri mkuu kizota huku Dodoma waliambiwa nenda Jiji na baado

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko 26 днів тому

    Hiyo ya wakubwa wanatesa sana kuna siku jeova yupo

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 27 днів тому

    Labda hili eneo la waziri mwenyewe au la raisi mwenyewe sasa tuta semaje

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 27 днів тому

    Labda hili eneo la waziri mwenyewe au la raisi mwenyewe sasa tuta semaje nchi ya kichawi

  • @mutalemwajohanes-kx9dj
    @mutalemwajohanes-kx9dj 27 днів тому

    Mtalia saana waziri katumwa tu....? Hii ni nchi ya mabepari

  • @user-xx8fb4ed5u
    @user-xx8fb4ed5u 24 дні тому

    Tunakomesha huu ubepari muda cyo mrefu

  • @tumainimayala8187
    @tumainimayala8187 26 днів тому

    Au kashapewa mwarabu hapo…

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 26 днів тому +1

    KATIBA ndiyo suluhisho mimi nafikiria wanainchi waulizwe nini wanataka katika KATIBA ijayo kwa ya mateso na watawala wa ccm ili KATIBA iweze kudhibiti hata watawala wa vyama vyo vyote kwa sababu watu wengi wakipata kutawala wanageuka mara moja miungu watu kama huyu Awamu ya 5 maana hata hii inayojifanya ni kwa sababu ya KATIBA. Kwa sababu Magufuli alikufa ikiwa Awamu ya 5 sasa Awamu ya 6 nani alimpigia kura kuharibu mtirirko wa Awamu? Na kupachika ati Awamu ya sita ili aweze kuwania uchaguzi wa wizi tena mwani akijiegeshea kuwa yuko Awamu ya 6. Hata KATIBA hii mbovu inayowaruhusu Watawala wa CCM kufanya watanganyika kama watumwa wao.

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b 27 днів тому

    Wewe ulimushilikisha nani kiwanja chakwako acha ujinga ulikuja kulima

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge6794 27 днів тому +1

    Labda ni mali ya raisi..

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula 27 днів тому

    Ni nani unaongea sana pointing haluna

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k 26 днів тому

    Hakuna utawala wa sheria kwa mafisadi wanyonge tuungane tuwe kama kenya

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 26 днів тому

      Unganeni kama Wa Kenya 😂😂😂😂 toka lini kwenye historia ya Tanganyika mmewahi hufanya ubabe huo….Mhhhh

  • @FatumaMamlo-st8pj
    @FatumaMamlo-st8pj 26 днів тому

    Mwarabu akichujua eneo utajuta mamae anajenga likuta hata iwe heka 700 mtu unavurugwa kila kona

  • @Omwami-lc4dd
    @Omwami-lc4dd 27 днів тому

    Kila mahali ni kenya pumbavu hawa

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 27 днів тому +2

    Wananchi tujitetee wenyewe aisee

  • @kessydieselengineers3205
    @kessydieselengineers3205 26 днів тому

    Mbomoe msimshirikishe mtu yoyote

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b 27 днів тому

    Wewe siyo afisa mipango miji avunje ukuta wanini chakula Cha wazee acha mufe ccm oyeee

  • @kashiririrkaasongwisye9487
    @kashiririrkaasongwisye9487 27 днів тому +3

    Hii ndo Tanzania yaani walivyowema wewe fanya chochote wao kazi yao ni kulalamika tu hawachukuagi hatua

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 27 днів тому +2

    CCM wamefeli kwenye ardhi wana babaisha tuuu hata waziri anasumbuka tu mbona dodoma kashindwa tena wana hangaika kipindi cha uchaguzi

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b 27 днів тому +2

    Watu wanavamia bunge itakua bonde halima mdee COVID 19

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 27 днів тому +2

    Katiba mpya inahitajika ili tupate viongozi sahihi na watakaoheshimu misingi ya katiba hiyo.

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm 26 днів тому +2

    Muungane kijiji kizima pigeni kele na mvunje ukuta. Mnawaachaje watu au kuwaangalia wakijenga. Wote mkaumzuie.kijiji kataeni mwekezaji uwanjani kwenu sababa hamkuhusishwa chichote. Ni kama mmevamiwa. Kataaeni.

    • @monicamwita7865
      @monicamwita7865 25 днів тому

      Piga chini kuanzia serikalì za mitaa

    • @raymondnlelwa427
      @raymondnlelwa427 25 днів тому

      Ili msikike vunja vunja hiyo takataka msije kufa. Ninyi ni wa thamani zaidi kuliko huo ukuta.

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 26 днів тому +1

    Mtakoma mlidhihaki magu

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 26 днів тому

    Wakishindwa kuwa sikiliza wanainchi bomoa hilo liukuta mkiendelea kuwalea CCM mtakuja kufa kwa maji na watoto hawataenda shule mvua ikinyesha kwa ajili ya mtanganyika mmoja kwani ninyi siyo watanganyika? Tumewalea sana ndiyo sababu wanatutumikisha.

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 27 днів тому +1

    Kama mtu anataman kuishi kenya aende.akaishi.jaman msitamani vita.ya wenyewe kwA.wenyewe fujofujo tu fikilieni mama samia angekuwa ndugu yenu ivi mngejisikiaje nendeni kenya mkaishi

    • @charlesmtangi9046
      @charlesmtangi9046 27 днів тому

      Kwaiyo wanapaswa kufanyiwa ivo watanzania ??? Kila seem migogoro ya aridhi aseeh

    • @festinamwakipale3919
      @festinamwakipale3919 26 днів тому

      @@charlesmtangi9046 hawastahili sheria zipo kusanyiken Wana kijiji mtu moja hawezi kuwashinda hata kama tajiri lawama zimezidi samia nae ni binadamu ndio ma'ana nimesema fikilieni angekua au dada yenu au mama yenu au ukoo wenu Watanzania tusome sana guraan na biblia ndo msaada ndio msaada rais ni mwanadamu tu kama wewe

    • @user-wi8og3sv4j
      @user-wi8og3sv4j 26 днів тому

      ​@@charlesmtangi9046ungekuwa ni wewe umehamishiwa mkondo wa maji ukusombelee baharini wewe na familia ungejisikiaje sio vita ni amani?

    • @user-xx8fb4ed5u
      @user-xx8fb4ed5u 24 дні тому

      Wewe ni walewale na ulaaniwe hiv watu wanateseka wew unakataa anachokiongea huyu mama ni bure?,nyooooooooooooooo!,na yanayofanyika kenya yanakuja tanzania kama hali itabakia hiv

    • @TunauzaSimu-fn2ff
      @TunauzaSimu-fn2ff 24 дні тому

      @@user-wi8og3sv4j huo ndio ujinga wa watanzania walio wengi. Tujue haki zetu tucogope vita. Zanzibar ilimwagika damu ndio tukawa huru na mapinduzi daima.