Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
"TUISHI KAMA KENYA" KWA UCHUNGU WANANCHI WAMLILIA RAIS SAMIA, wamtaja Waziri wa JERRY SLAA
Вставка
- Опубліковано 8 лип 2024
- "TUISHI KAMA KENYA" KWA UCHUNGU WANANCHI WAMLILIA RAIS SAMIA, wamtaja Waziri wa JERRY SLAA
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 692 318213)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com
Poleni Watangabyika Nchi aina uongozi Ishauzwa
Mbona sasa hivi kila mahali watu wanalia na kulalamika sana? Kwani viongozi hawapo? Mungu wasaidie watz
Mwarabu huyo TZ IMEVAMIWA
Sasa kama bahari kwa nini manajenga???
Hayo maneno hayatawasaidi Nchi inauzwa chukuweni hatua.
Kama wanaume kweli 😂😂😂😂 chukuweni hatua 😂😂😂 mngechukuwa hatuwa zamani hapo Tanganyika..
Angalie cheo chake na cha ruto kopi kikubwa?
Kuwa kiongoz mkuu sio rahisi ,msione raisi mkahisi inafanana na raisi ,hapana sio kweli kuna huyu ndio kuna huyu hapana huwez jua wapi ila ninachomuomba mama samia akubali katiba mpya kwasababu katiba ndio tatizo naona kwa uwelewa wangu mdogo tu pia wanachi wapewe elimu maana hizo sheria hatujafundishwa mashuleni bali tunakutana nazo tu wananchi wa hali ya chini kitu ambacho sio sawa tukijua haki zetu tuu hata wewe raisi mambo yako yatakuwa rahisi hatutaibiwa na diwani wala mmbunge natamani ungeona hii sms mimi ni mwanachi wa hali ya chini elim darasa la saba😢😢😢😢
Mtajisoti hiyo ndiyo ccm
😂😂😂 CCM mshaijuwa lakini hao wengine hamjawajuwa…
Kama loliondo vile mwarabu Nini
Wachana na kenya tunajua haki zetu ndoo uanalia manake ujui utafanya nini
Kawa nini utaje Kenya, ongea ya kwako
Ko kwa akili yako yanayofanyika unachelewa?
Kenya hakuna vita kama ujui kaa kimia.kenya wanadai haki.uwonevu.matumizi makubwa ya pesa ya wananchi.viongozi kujilimbikizia ukakas.ndo wanata vikome hakuna vita.
Ufinyu wa kufahamu huyo mama
Unajua vita ni nini,karibu watu mia wameuliwa hio sio vita ni amani?
Kwani Kenya kuna shida gani ya kutulinganisha nao
Akifa hatakichanga kwa kwa mafuriko atajua nguvu ya wananchi na pesa yake kipi cha thamani
Mama yenu hana uwezo wa kutawala hata kidogo
Tawala wewe ATAFANYA mangapi mlienda kwa waziri wa ardhi kwani mishahara analipwa wanini fikiria kabla ya kusema wewe ndio utaweza kuendesha nchi acheni maneno mnafikiri Kenya kuzuri si muende mkakae huko
@@samwa9496 acha kutetea uuzaji ardhi za watanzania. Akaiuze Zanzibar. Nyinyi maccm mnatetea ujinga mtupu.
Wanampa 5 tena, nchi itabaki mikononi mwa wageni
Hawa hawajali raia kufa watuwaliandamana mpaka Kwa waziri mkuu kizota huku Dodoma waliambiwa nenda Jiji na baado
Hiyo ya wakubwa wanatesa sana kuna siku jeova yupo
Labda hili eneo la waziri mwenyewe au la raisi mwenyewe sasa tuta semaje
Labda hili eneo la waziri mwenyewe au la raisi mwenyewe sasa tuta semaje nchi ya kichawi
Mtalia saana waziri katumwa tu....? Hii ni nchi ya mabepari
Tunakomesha huu ubepari muda cyo mrefu
Au kashapewa mwarabu hapo…
KATIBA ndiyo suluhisho mimi nafikiria wanainchi waulizwe nini wanataka katika KATIBA ijayo kwa ya mateso na watawala wa ccm ili KATIBA iweze kudhibiti hata watawala wa vyama vyo vyote kwa sababu watu wengi wakipata kutawala wanageuka mara moja miungu watu kama huyu Awamu ya 5 maana hata hii inayojifanya ni kwa sababu ya KATIBA. Kwa sababu Magufuli alikufa ikiwa Awamu ya 5 sasa Awamu ya 6 nani alimpigia kura kuharibu mtirirko wa Awamu? Na kupachika ati Awamu ya sita ili aweze kuwania uchaguzi wa wizi tena mwani akijiegeshea kuwa yuko Awamu ya 6. Hata KATIBA hii mbovu inayowaruhusu Watawala wa CCM kufanya watanganyika kama watumwa wao.
Mla rushwa afungwe maisha
Wewe ulimushilikisha nani kiwanja chakwako acha ujinga ulikuja kulima
Labda ni mali ya raisi..
Ni nani unaongea sana pointing haluna
Hakuna utawala wa sheria kwa mafisadi wanyonge tuungane tuwe kama kenya
Unganeni kama Wa Kenya 😂😂😂😂 toka lini kwenye historia ya Tanganyika mmewahi hufanya ubabe huo….Mhhhh
Mwarabu akichujua eneo utajuta mamae anajenga likuta hata iwe heka 700 mtu unavurugwa kila kona
Kila mahali ni kenya pumbavu hawa
Wananchi tujitetee wenyewe aisee
Mbomoe msimshirikishe mtu yoyote
Wewe siyo afisa mipango miji avunje ukuta wanini chakula Cha wazee acha mufe ccm oyeee
Hii ndo Tanzania yaani walivyowema wewe fanya chochote wao kazi yao ni kulalamika tu hawachukuagi hatua
CCM wamefeli kwenye ardhi wana babaisha tuuu hata waziri anasumbuka tu mbona dodoma kashindwa tena wana hangaika kipindi cha uchaguzi
Watu wanavamia bunge itakua bonde halima mdee COVID 19
Katiba mpya inahitajika ili tupate viongozi sahihi na watakaoheshimu misingi ya katiba hiyo.
Muungane kijiji kizima pigeni kele na mvunje ukuta. Mnawaachaje watu au kuwaangalia wakijenga. Wote mkaumzuie.kijiji kataeni mwekezaji uwanjani kwenu sababa hamkuhusishwa chichote. Ni kama mmevamiwa. Kataaeni.
Piga chini kuanzia serikalì za mitaa
Ili msikike vunja vunja hiyo takataka msije kufa. Ninyi ni wa thamani zaidi kuliko huo ukuta.
Mtakoma mlidhihaki magu
Wakishindwa kuwa sikiliza wanainchi bomoa hilo liukuta mkiendelea kuwalea CCM mtakuja kufa kwa maji na watoto hawataenda shule mvua ikinyesha kwa ajili ya mtanganyika mmoja kwani ninyi siyo watanganyika? Tumewalea sana ndiyo sababu wanatutumikisha.
Kama mtu anataman kuishi kenya aende.akaishi.jaman msitamani vita.ya wenyewe kwA.wenyewe fujofujo tu fikilieni mama samia angekuwa ndugu yenu ivi mngejisikiaje nendeni kenya mkaishi
Kwaiyo wanapaswa kufanyiwa ivo watanzania ??? Kila seem migogoro ya aridhi aseeh
@@charlesmtangi9046 hawastahili sheria zipo kusanyiken Wana kijiji mtu moja hawezi kuwashinda hata kama tajiri lawama zimezidi samia nae ni binadamu ndio ma'ana nimesema fikilieni angekua au dada yenu au mama yenu au ukoo wenu Watanzania tusome sana guraan na biblia ndo msaada ndio msaada rais ni mwanadamu tu kama wewe
@@charlesmtangi9046ungekuwa ni wewe umehamishiwa mkondo wa maji ukusombelee baharini wewe na familia ungejisikiaje sio vita ni amani?
Wewe ni walewale na ulaaniwe hiv watu wanateseka wew unakataa anachokiongea huyu mama ni bure?,nyooooooooooooooo!,na yanayofanyika kenya yanakuja tanzania kama hali itabakia hiv
@@user-wi8og3sv4j huo ndio ujinga wa watanzania walio wengi. Tujue haki zetu tucogope vita. Zanzibar ilimwagika damu ndio tukawa huru na mapinduzi daima.