ASKOF MWANAMAPINDUZI "SAKATA LA MPINA NI KESI YA NYANI KWA NGEDERE/ALIPO UWANJA SIO WAKE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 лип 2024
  • ASKOF MWANAMAPINDUZI "SAKATA LA MPINA NI KESI YA NYANI KWA NGEDERE/ALIPO UWANJA SIO WAKE
    🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
    🔘WhatsApp (+255 692 318213)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com

КОМЕНТАРІ • 50

  • @user-jt4lo1og8w
    @user-jt4lo1og8w 19 днів тому +5

    Tumekuelewa mchungaji,tumekuelewa❤❤❤❤❤❤

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 19 днів тому +9

    Mpina hata iweje yupo juu

    • @KaburuKimath-eu5nf
      @KaburuKimath-eu5nf 19 днів тому +1

      Mimi sihauri kumchukua mpina Kwa sababu tumejifunza Kwa Mzee WA monduli tutafute watu ambao sii mamluki

  • @eliassumila8173
    @eliassumila8173 19 днів тому +4

    Tunakusikiliza,Tunakuamini sana Lz

  • @chezariboy
    @chezariboy 19 днів тому +2

    Big up, mwanamapinduzi

  • @user-bj9ej7tt1k
    @user-bj9ej7tt1k 19 днів тому +2

    Namimi.msukuma.arinikera.sana.aririniumiza.sana.kumshaburia.mpina.mtetezi.wetu.wawanyonge.tuko.pamoja.nae.usku.namchana

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq 19 днів тому +3

    Ukitaka kuwa mkweli ondoka ccm maana hao ni majambazi wameshikwa mikono na police pamoja natume ila 2025 afe beki afe kipa

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 20 днів тому +3

    Kumchukua mpina ni ujinga,chadema izalishe watu wake,iache kuchukuachukua mamluki,ili kuepuka ya kina lowassa

  • @AthumanDauda
    @AthumanDauda 19 днів тому +2

    Ccm yasasa imerudi kule ktk zama za upigaji magufur alisema ccm aina watu waadilifu ispokua inamajiz TU ngoja niatumbue amkeni watanzania wanyonge

  • @Wiittole
    @Wiittole 19 днів тому +2

    Tafadhalini sana chadema msije muingiza mpina ktk chama chenu.ccm wanajua hawatakiwi ktk nchi hii kutokana na ufisadi waliofanyia watz kwa muda wote.hivyo ukikaribia uchaguzi lzm watengeneza mamluki waje kuvuruga upinzani,na huu ni mkakati tu kumtoa mpina lao ni moja.

    • @user-jj7qv7kh2s
      @user-jj7qv7kh2s 19 днів тому

      Acha chuki wewe mpina hata yeye ni adui wa ccm.

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 19 днів тому +2

    Kesi ya Mpina imewashangaza wengi. Wamemugeuzia Mpina yeye ndiye akawa mshitakiwa. Bashe yumo kweye chama cha mafisadi kilichoteka Bunge. Hata Rais Magufuli aliposhika uongozi walifikiri atakukuwa kama wawo. Alipigana na ufisadi peke yake. Viongozi wetu wanajuwa wanaongoza watu woga na wajinga. Wanatuongoza wanavyotaka wawo, na sio wananchi.

  • @EdwardKwiyanga
    @EdwardKwiyanga 19 днів тому +4

    Ni kwel kbx msukuma anausalit ukweli alikuwa akihubir

    • @edsonkahesi8603
      @edsonkahesi8603 19 днів тому

      Msukuma kwasasa hamna kitu na hamna kitu kabisa yule, nilianza kumdharau ktk sakata la bandari afu anadhani sisi hatujui kinachoendelea, tutampuuza na tutaendelea kumdharau.

  • @daudimaembe3360
    @daudimaembe3360 4 дні тому

    Tanzaniaaaaaaaa my mother country,kwa nini lakini yanakuwa haya.Lakini mtu mwenye haki atastawi kama mtende(Mpina).

  • @user-jb3tr9id6z
    @user-jb3tr9id6z 18 днів тому

    Mwana mapinduzi uko sawa kabisa hupepesagi macho kwenye ukweli

  • @kijadogan6711
    @kijadogan6711 15 днів тому

    Mpina endelea kukaza msuli na Mungu akutangulie

  • @eliasnshashi3196
    @eliasnshashi3196 14 днів тому

    Mpina yupo sawa hata alipokuwepo hayati magufuli msimamo wake kutetea masilahi ya watanganyika maskini kila hoja zake zipo makini

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 19 днів тому +1

    Mpina kama msigwa tu alivyotolewa uwaziri ndokabadilika chadema tutashinda bila kuchukua mamuluki

  • @MukameMachel
    @MukameMachel 18 днів тому +1

    Askofu Yuko SAWA kabisa, hiyo adhabu kwa mpina hakustahili kabisa

  • @user-di9yb2pb7w
    @user-di9yb2pb7w 20 днів тому +2

    Duh

  • @AlfredMwakabana
    @AlfredMwakabana 19 днів тому +1

    Hivi tulia anakili kichwani mpina mwacha unachafuka mimi ni mwana mbeya unitia aibu mbona nakwani sana mamaangu mimi niko uyole

  • @islamsultan8563
    @islamsultan8563 15 днів тому

    Tanzania 😢

  • @JosephMagige-lf9ns
    @JosephMagige-lf9ns 19 днів тому +1

    Pamoja mchungaji

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 19 днів тому +1

    Inamaana ndugumwandishi kumwita kwenye chama inamana kure kunauraji watasema sisi wezi Sasa mpina urikura Nini? Mpaka umelopoka msihangaike maombi yawananchi nimakubwa ameamua walopoke nabaado hirotela

  • @edsonkahesi8603
    @edsonkahesi8603 19 днів тому +1

    Yani Tanganyika tuna viongozi wezi, wezi, wezi kupindukia na hadi wanamob waandishi wa habari mfano yule mwenyekiti wao ili atetee kilichofanywa na bashe na yule spika wake.

  • @Nasibuhelemani
    @Nasibuhelemani 19 днів тому +1

    Mchungaji uko sawa tulia ubunge aspire tena

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh 19 днів тому +1

    Pina karibu mpina cdm

  • @TemuCalvinWilbard
    @TemuCalvinWilbard 19 днів тому

    Hapa Uganda kilo ya sukari ni Ug shs 4000 ambayo ni sawa na Tshs 2600

  • @JeremiaholendikaMakeseni
    @JeremiaholendikaMakeseni 19 днів тому +1

    Musukuma ni mafiki tu anatea tumbo yake tuu

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali1946 18 днів тому

    Umesema kweli kiongozi

  • @raykas9976
    @raykas9976 17 днів тому

    Msukuma na kibajaji nilikuwa nawaheshimu sana na kuwapenda km wabunge watetezi wa haki za wananchi lkn kwa swala la Mpina nimeona ni wachumia tumbo hawana lolote.

  • @SeverinepauloPeter
    @SeverinepauloPeter 19 днів тому +1

    Sukari siyo kisesa ni ya tanzania makuma hawa na spika wao

    • @judicalosika7642
      @judicalosika7642 14 днів тому

      Hivi, unawezaje kuandika neno gumu hivyo!!!😳😳

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k 18 днів тому +1

    Bunge la mchongo spka wa mchongo

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 15 днів тому

    Vibaraka wa ccm walitumika kumpinga Mpina! Msukuma na wote waliyompinga Mpina ni Machawa wa ccm!

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 15 днів тому

    Mch.hao mafisadi usingetoa ushauri wa kuwasaidia ccm majizi!

  • @AthumanDauda
    @AthumanDauda 19 днів тому

    Msukuma anajiras nampina pia rusinde nichawa kiufp ccm imerud kuli k

  • @user-mo3ik6go6r
    @user-mo3ik6go6r 18 днів тому

    Hakuna mbunge wa ccm niliyo namuhamin rasaba mwezangu msukuma rakini

  • @HamzaHeri
    @HamzaHeri 19 днів тому

    HUYO MCHUKUWENI HARAKA SANA MBUMBU WALA HATUMUHITAJI

  • @SeverinepauloPeter
    @SeverinepauloPeter 19 днів тому

    Tupeni mpina

  • @HeriMohamedi-re7xu
    @HeriMohamedi-re7xu 19 днів тому

    Ktk wabunge wapumbavu ni yule msukumu Yuko Kama matako yaliyongangania mkundu

  • @nyembobea7285
    @nyembobea7285 19 днів тому

    Umechanganyikiwa mchungaji chizi mchukue huyo kitatange wako

  • @muharamijuma1569
    @muharamijuma1569 19 днів тому

    HUYO TAPERI HANA JIPYA KAVAA BAZEE AÒNEKANE

  • @JeremiaholendikaMakeseni
    @JeremiaholendikaMakeseni 19 днів тому

    Musiwape wajinga elimu

  • @TemuCalvinWilbard
    @TemuCalvinWilbard 19 днів тому

    Hapa Uganda kilo ya sukari ni Ug shs 4000 ambayo ni sawa na Tshs 2600