Mfahamu Sheikh Kipozeo, Maisha Yake Ya Utotoni, Familia Na Elimu Yake | SALAMA NA SHEIKH KIPOZEO PT1

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 гру 2022
  • #SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
    Sheikh Hilali Shaweji Makarani au Sheikh Kipozeo ni mtu wa watu, au niseme kama ambavyo tunasema kwetu Uswazi, Sheikh ni mwana wa wana, anaweza kuwapa wana darsa kwa lugha yao na wakawa huru na wao kusema maoni yao au uelewa wao kwa raha na bashasha nyingi na naamini hii imemfanya yeye awe ni mmoja ya Ma Sheikh wanao tambulika zaidi kwenye mitandao ya kijamii nje na ndani ya Tanzania. Lugha hiyo ya wana ambayo anaitumia inasaidia sana kufikisha ujumbe ambao ameukusudia kwa wakati huo na ikapata mpaka majadilioano, majadiliano hayo ndo huzaa majibu ya maswali mengi ambayo wengi hujiuliza.
    Kwetu au kwangu ilikua ni kaji task ambako nilikua najua inabidi nikakamilishe, na jina lake kurejea kutajwa mara kwa mara na watazamaji wa kipindi hiki pia ilichochea dhamira hiyo kwa kiasi kikubwa. Nilikua sijawahi kukutana nae kwahiyo hii nami ilikua ni mara yangu ya kwanza kukutana nae uso kwa macho, shabiki yake? Oh yes, mkubwa tu. Nimekua nikimskiliza na kumuangalia kila nipatapo nafasi ya kukutana na mafunzo yake, kwahiyo hamu ya kutaka kuongea nae ilikua inaongezeka kila siku zinavyozidi kwenda. Wakati ambao Mwenyezi Mungu ameupanga ndo wakati sahihi kabisa. Na naamini huu ndo ulikua muda ambao tulikua tumepangiwa haya mazungumzo kutokea na haikua huko nyuma ambako pengine tulidhani tungemtafuta na kuweza kuongea nae.
    Alikua mkarimu kwangu, humchukua muda pia kuongea kama yule wa kwenye video maana kama Mwalimu nadhani huwa anaangalia spidi ambayo uko nayo na kujua anaenda na wewe vipi ili iwe imekaa mahala pake. Na naam, tuliweza kwenda vizuri, alinifanya nami niwe huru na muwazi kwa yale ambayo tulikua tumepanga na wenzangu kumuuliza.
    Akiwa Baba na mume mpedwa kwa familia yake, Sheikh Kipozeo amekua akipata mialiko sehemu mbali mbali ili aweze kuwapa watu ‘dawa’. Humu zaidi sisi tulitaka kujua jina lilipo anzia na jitihada zake za kufikisha neno la Mwenyezi Mungu kwa wanaohusika. Alituambia pia kuhusu asili yake na ‘urithi’ wa dini ulipotokea. Lini hasa alijua kwamba ambacho anakifanya sasa ndo ambacho alikua anatakiwa kufanya kwenye maisha yake yote?
    Yangu matumaini dawa itaingia na uta enjoy kuangalia au kuskiliza episode hii yetu ya nne.
    Love,
    Salama.
    Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
    SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
    Listen our Podcast on
    Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
    ‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
    GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
    Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
    ‪UA-cam Link bit.ly/UA-camSalamaNa
    Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
    Follow:
    Twitter: / yahstonetown
    Instagram: / yahstonetown
    Facebook: / yahstonetown
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: slidedigitaltz
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 253

  • @jasmineedamu6089
    @jasmineedamu6089 Рік тому +151

    Wanaosmile wakimwona kipozeo weka like

  • @higahassib6614
    @higahassib6614 Рік тому +16

    Kwa heshima ungefunika kichwa kwa kanuni na maadili ya kiislam (Mashallah sheikh kipozeo baraka Allahu fik)

  • @echolude
    @echolude Рік тому +55

    Easily the best interview to date. I am not a Muslim but Sheikh Kipozeo was able to answer and frame all questions in accordance with his faith, in the context of the prophet teachings. He is a very attentive listener and answered his questions very thoughtfully and without haste or hyperbole. So many subtle insights in his answers; insights that we all can include in our daily interactions, especially when dealing with children's and our wives. I already listened to the spotify version of this but nonetheless it was important to revisit it and see the video version.
    On a different note: Salama has such breadth and is so far ahead of her colleagues, especially in her fidelity to Kiswahili and all its eloquence. Big ups!

    • @gxygxy9143
      @gxygxy9143 Рік тому +2

      I'm flabbergasted by you post, big up 💪💪!

    • @sylviaoum2943
      @sylviaoum2943 Рік тому

      👏👏👏👏

    • @jabilingandule6621
      @jabilingandule6621 Рік тому +1

      @@gxygxy9143 😂😂😂😂

    • @maliknyangasa9216
      @maliknyangasa9216 Рік тому +2

      Very well put. I am a Muslim. Reading this put a smile on my face. 👏🏾

    • @RioIpo
      @RioIpo Рік тому

      She's Zanzibaris

  • @anumario7footballlife936
    @anumario7footballlife936 Рік тому +8

    Salaam aleyki dada salama.. Nahisi utakuwa umejisahau hizo ndo hisia zangu.. Wakati unajitambulisha mimi ni salama na hawa ni rafki zangu basi unge jitahidi kumkaribisha huyo rafki yako alovaa hijaab ingependeza sana kumhoji shekh ndani ya hilo vazi.. Naimani umesahau. god bles you

  • @com5766
    @com5766 Рік тому +16

    Nice interview from kenya here, just put like for me guys

    • @rehemaothman2475
      @rehemaothman2475 Рік тому

      🥰🥰🥰🥰

    • @TheFire_Gamer
      @TheFire_Gamer Рік тому +2

      Salama unazungumza na sheikh wengevaa mtandio na wengevaa na baibui Kwa ufupi wengejistiri wengependeza zaidi Kwa uislaam

    • @princegerard4704
      @princegerard4704 Рік тому

      @@TheFire_Gamer kwamba shekhe Ni Mungu au ni nyumba ya ibada? 🤔

    • @ahmedzahor2975
      @ahmedzahor2975 Рік тому +3

      @@princegerard4704 Kujihifadhi ni lazima ktk uislam

    • @ahmedzahor2975
      @ahmedzahor2975 Рік тому +1

      @@princegerard4704 Kwetu sie Waislam ni lazima Amri tumeambiwa katika Quran

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056 Рік тому +7

    Sheikh Kipozeo. Hili jina aliyempa hakukosea, Kipoozeo, unamsikiliza ni mwalimu mzuri sana. Ni mtu anayefanya ukielewe kinywa chake! Mungunamjalie afya njema aweze ifaa jamii

  • @Omarinina28
    @Omarinina28 Рік тому +21

    Best interview for 2022. Sheikh is well composed and huchoki kumsikiliza. Big up kwa #SalamaNaTeam agizeni Fanta popote mlipo, tukikutana nitawalipa😎

  • @miangijunior4358
    @miangijunior4358 Рік тому +4

    Masha ALLAH Jazakallahu khair sheikh wewe nimfano mwema wa kuigwa kwenye jamii Umejipamba na Qur-an na Sunnah huu ndio UISLAMU hakika hivi ndivyo hata Mtume Wetu Muhammad S.A.W Alivyokua akiishi Kwa upole na maneno Mazuli, na tabia mzuri Kwa Ujumla.
    Tunamuomba Mwenyezi MUNGU Akutunze Duniani na kesho Akhera Amiin

  • @abudimuddy517
    @abudimuddy517 Рік тому +25

    Salama kwenye hii interview ulikua unatakiwa ujitande kichwa ila nafkiri ulighafilika ama ulikusudia.

  • @christopherjoseph9981
    @christopherjoseph9981 Рік тому +4

    Sheikh yupo well composed!safi sana sheikh

  • @issrahayattv1356
    @issrahayattv1356 Рік тому +3

    Salama leo hapa umepatia sana kumleta sheikh asante mashaAllah nampenda sn huyu sheikh,i wish Sheikh nyundo ungekua hai pia naami ungewai keti hapa Allah akurehemu uko ulipo

    • @user-lm3lt7xx6l
      @user-lm3lt7xx6l 4 місяці тому

      Kwa nn kipozeo asikatae kwasab ya hiyo hali naujuwe alivyokasalama zambi kwasab mvyele hajafujika kipozeo anajuwa inamana anamuacha salama abebe sambi na kipozeo yupp karib na kwa ushehe sio heshina

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 Рік тому +5

    DADA yangu,Waislamu wote ni wapenzi wakubwa kwa Mwenye ezi Mungu na Mtume wake,na Wala hakuna aliyekamilika ila Mola mwenyewe,yetu ni kufundishana,kuekekezana na Kusameheana. Wala sio kumcheka aliyepotea,inawezekana akawa yeye mbora klk tunavyofikiri..😍

    • @erastomwakalukwa3946
      @erastomwakalukwa3946 Рік тому

      Kama WAISLAMU wote wangekua Kama wewe, Basi ningeslimu 🙋🙋‍♀️

    • @gulionigulioni3234
      @gulionigulioni3234 Рік тому

      @@erastomwakalukwa3946 endelea kuwa kafiri hivyo hivyo, uislam hauendi eti kwa mtu flan kafanya nini.
      Uislam unaendeshwa na Qoran tukufu basi.

  • @dullapira1.511
    @dullapira1.511 Рік тому +14

    Ni ushauri tu mi nafikiri siku nyengine ukifanya mahojiano na mashekhe ungevaa ule mtandio wako mweusi ingependeza zaidi

  • @user-ef8py8bt6r
    @user-ef8py8bt6r 7 місяців тому +1

    Kwanini usingemlingania kabisa huyo,maana yupo tu kama dime na yeyote mwenye kujifanisha na mwanaume huo amelaaniwa.hapo hata shungi Hana! Mtihani sana

  • @hashimshaban4675
    @hashimshaban4675 Рік тому +2

    Shekhe msikivu na anajibu vizuri sana with examples,yupo deep sana

  • @saidimwanyiro5147
    @saidimwanyiro5147 Рік тому +2

    Unakaa na sheikh kichwa wazi inna ilaih wa inna ilaih raajiun mtt wa kiislam

  • @mohdahmed5389
    @mohdahmed5389 Рік тому +8

    Dada muogope Allah ,funika kichwa chako na vaa mavazi ya heshima ,hii dunia ni mapito tu

  • @dullahyunusu3072
    @dullahyunusu3072 Рік тому +21

    Shekhe yuko very humble Yani anaongea ndani ya utulivu mkubwa mno Allah azidi kumuongoza

  • @ramadhanbaweni9735
    @ramadhanbaweni9735 Рік тому +1

    MAA Shaa Allah 🙏 alhamdulilah Allah akupe furaha Salama na Shekhe Kipoozeo 🙏

  • @samwelpeter7840
    @samwelpeter7840 Рік тому +6

    Like kwangu nimekuwa wa Kwanza

  • @salimdibundile4872
    @salimdibundile4872 Рік тому +4

    Ahsante sana salama kwa hii interview na hapo bado hata sijaiangalia nimeanza na kukoment kwa sababu najua hii ya leo itakua n kaali sana

  • @jamalimweyo5749
    @jamalimweyo5749 Рік тому +2

    Kwann ujajitanda ww wakat na ww muislam innalilah wahina ilahhi rajiun

  • @hawa6052
    @hawa6052 Рік тому

    Mashaa Allah shekh wetu

  • @jumakalinga2812
    @jumakalinga2812 Рік тому

    Mashaallah

  • @janethmwasuka6465
    @janethmwasuka6465 Рік тому +6

    Nimeipenda hii interview mnooo.

  • @mohammedrajabumwamba1322
    @mohammedrajabumwamba1322 Рік тому +1

    Dada salama tunashukuru kwa maswali yetu mazuri ktk kumuhoji sheikh nae amejibu vzr alhamdulillah. sasa ww salama ulikua unajua kabisa kesho nitakua na Interview na sheikh unashindwa kuendana nae kuvaa hata hijaab na mtandio kweli??????
    Siku nyingine usirudie salama kumbuka nawe umri umeenda mambo mengine siompaka uambiwe mama. Sema bigap kwa sheikh wetu kipenzi kipozeo naww pia Jazaakumullahu khaira 🙏

  • @matanokarabu5580
    @matanokarabu5580 Рік тому

    MAASHA ALLAH shekh kipozeo ALLAH akubariki

  • @salumuseif3324
    @salumuseif3324 Рік тому +3

    Ebana salama umenfurahisha sana kumleta mwamba

  • @fatimasaid4906
    @fatimasaid4906 Рік тому

    Mashallah 🥰

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Рік тому +2

    Interview yenye masisimko. Masha Allah

  • @iduelabu4007
    @iduelabu4007 Рік тому +1

    Kipenzi changu Allah akuhifadh sheikh wetu

  • @abdulmajaliwa6376
    @abdulmajaliwa6376 Рік тому

    Allah akujalie kila lenye kheli🙏🙏🙏

  • @oyay2821
    @oyay2821 Рік тому

    Nice interview

  • @godfreymagoso5334
    @godfreymagoso5334 Рік тому

    Binafsi acha nikupongeze salama@salma bint jabr,,, you are matured enough now!!!
    Good looking na utulivu wa hali ya juu,,,,,,, umekomaa hakika!!!

  • @abdulnaseermrisho4342
    @abdulnaseermrisho4342 Рік тому +4

    Sheikh Hilal shawej kipozeo 😁😁😁,Baraqallah

  • @hk_ballers
    @hk_ballers Рік тому

    Salama you do good.

  • @theowallcot6635
    @theowallcot6635 Рік тому

    Top Notch....TOP TOP TOP TOP TOP
    Unique idea... Very Educative to all Faiths.
    What a surprise

  • @mnyamwezijuma1140
    @mnyamwezijuma1140 Рік тому

    😮 allah akulipe kwa interview nzuri dada salama

  • @mmutajr
    @mmutajr Рік тому +3

    Mashaallah Sheikh Kipozeo Nakukubali kwa Nasaha zako pia Hongera Sana Salama kwa Kipindi Chako

  • @danielnella6309
    @danielnella6309 Рік тому

    Leo salama umepatikana..Umekuwa msikilizaji...

  • @edgardevis8152
    @edgardevis8152 Рік тому +2

    Aunt salama na kurespect

  • @bekarpaul
    @bekarpaul Рік тому +1

    Huyu mzee yupo vizuri sana kiukweli

  • @sousmyuno6429
    @sousmyuno6429 Рік тому

    Man nshallah

  • @hamyrhai9957
    @hamyrhai9957 Рік тому

    Sheikh wangu 🥰

  • @harounramadhan9771
    @harounramadhan9771 Рік тому +1

    Chechei
    Namie naiweka langu neno
    Mana hiki mie ndo kipindi changu Sasa da salama
    Kipindi kikianza Hua tuna kuona picha moja ume vaa bui bui wazotu kama litapendeza ukihojiana na shegh sivibaya ukavai lile vazi la buibui na mtandi niwazo tu Salam alaykum

  • @samxx411
    @samxx411 Рік тому +5

    ila sheikh hayo maneno ya mtume (hadithi) ni maneno mazito sana kwenye kuyazingatia na yana maana nzito sana inshallah M/Mungu atuongoze kufanya mema

  • @aboubakarkam6419
    @aboubakarkam6419 Рік тому +4

    Literally my favorite one so far

  • @mwemajuma1431
    @mwemajuma1431 Рік тому +10

    Jamani tujistiri munawapa kazi mashekhe wetu

  • @nemestesha7784
    @nemestesha7784 Рік тому +3

    heshima kwako sheikh..!!..

  • @mrlabay9871
    @mrlabay9871 Рік тому

    👋

  • @idrissamustafabukenya6110
    @idrissamustafabukenya6110 10 місяців тому

    Dada next time ukimualika sheikh kipozewo weka kakitamba kichwani kwa hishima ya sheikh na mwisilamu.thankx

  • @geraldsanzala8119
    @geraldsanzala8119 Рік тому +1

    Salama ukiacha ule u mainstream na force za enzi ni bonge la interviewer was wakati huu na uliopita kiasi. Anajua saana kuuliza kutokana na nature ya interviewee na legacy yake.

  • @abdallahmanula1627
    @abdallahmanula1627 Рік тому +4

    Ebu mkumbushe mwaipopo anaonekana anajaziba Sana kama yeye anaenda peponi kesho

  • @twahasaid1172
    @twahasaid1172 8 місяців тому

    fFrom Nairobi kenya ushungi huo siyo mziki

  • @Ukhtyzuhura
    @Ukhtyzuhura Рік тому +10

    Interview was amazing
    We learned something as Muslim...is ummu Ahmad
    From Northampton uk
    Just advice: music background
    Wasn't good idea to be
    As u invited sheikh of course
    We gonna hear about Allah
    Prophet e.t.c
    I think it depends
    Who u invite if as musician
    Would be no problem

  • @rahimajuma4633
    @rahimajuma4633 Рік тому +1

    Nakubali Sana kazi yake ya daawa lakin hata Salama kazi yako

  • @kilamiko8299
    @kilamiko8299 Рік тому +2

    Salama the best of all time..

  • @jumawangai3873
    @jumawangai3873 Рік тому

    😊

  • @matanokarabu5580
    @matanokarabu5580 Рік тому

    Àsalam aleykum warahmatullah wabarakat MAASHA ALLAH dada salama umefanya vizuri kwa hii interview na umependeza ila ungependeza zaidi kama ungejistiri kwa mavazi pia pole kama nimekukwaza

  • @ahmedkhator3968
    @ahmedkhator3968 Рік тому +2

    Plz salama teletee Shk MAZINGE

  • @ernestkatyega5781
    @ernestkatyega5781 Рік тому +1

    Mbona sio comments za wakristo

  • @maryamsuleiman6340
    @maryamsuleiman6340 4 місяці тому

    Mngaliondoa ilo rege ingalikua vizuri

  • @saidfabiano9588
    @saidfabiano9588 Рік тому +6

    Wakwanza leo nilikua naisubiri snaaa hii ya Sheikh kipozeo🤣

  • @twahasaid1172
    @twahasaid1172 8 місяців тому

    Ww ni mtt wa ushungi hapo umetubeba noma sana umezingua sana

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Рік тому

    Salama na chid bez

  • @kilindimomsati1489
    @kilindimomsati1489 Рік тому

    fundi kabisa

  • @hamzaforogo
    @hamzaforogo Рік тому

    Mzee wa mizigo maashallah

    • @swaumdodoma7591
      @swaumdodoma7591 Рік тому

      😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂

    • @phreemanb
      @phreemanb Рік тому

      mzigoo dawaa,mambo ya kutanabai 🤣🤣

    • @prettypretty9745
      @prettypretty9745 Рік тому

      @@phreemanb 🤣🤣🤣🤣

  • @donnietommie8444
    @donnietommie8444 Рік тому

    #SalamaNaDrLeaky

    • @RioIpo
      @RioIpo Рік тому

      Can't wait

  • @twahasaid1172
    @twahasaid1172 8 місяців тому

    😮😮salama unge vaa basi ushungi hapo umengor'oa yani umezingua

  • @edgardevis8152
    @edgardevis8152 Рік тому +2

    Weka na part 2

  • @jei_Ibrahim
    @jei_Ibrahim Рік тому

    Ninge penda kuona salama na Mazinge

  • @madrassatqadriyapalma
    @madrassatqadriyapalma Рік тому +4

    O melhor entrevista de final do Ano

  • @halimakassimngare4873
    @halimakassimngare4873 Рік тому +1

    salama dadangu ningekunasihi japo jichupie mtandio wa kichwa jistiri jamanii si mbaya..... mbona unajisahau ivyo.

  • @munirashughuli618
    @munirashughuli618 Рік тому +1

    Bado Sheikh Mazinge daa Salama

    • @Desireyakubu
      @Desireyakubu Рік тому +2

      Ni bora ma sheikh nawo wakiombwa interview watowe masharti yao kabla ya kwenda ikiwemo kuwaambiya wajistiri

    • @profwangwande5978
      @profwangwande5978 Рік тому

      Salama hujatembea nimikoa minne tu ndio yenye waganga waisilim hiyo mingine wakilsto ndio waganga tena wachawi tena kwakutoa makafala usiseme tena maiafala ya binaadam wenzao haswa watu wadamu waislam watatoa kafala zakuku mbuzi kondoo nazi hebu chunguza vizuri

  • @jj-iv1wm
    @jj-iv1wm 3 місяці тому

    Inakuaj dada mhuni kumuohoji shkh na vaazi hilo vitu wakati mwingine heshima iwepo muache upuuzi

  • @zayanaalmarjibi4254
    @zayanaalmarjibi4254 Рік тому +1

    Vipi kusifia MIZIGO ya wanawake ni dhambi au sawa tu
    Salama mbona hujamuuliza?

  • @jumamwarome4733
    @jumamwarome4733 Рік тому +1

    Sheikh langu kachemka Leo mume akitaka kuoa kumuelezea mke wake ni kwa ushauri tuu lakini sio ruhusa. Mke hatoi ruhusa

  • @utaani1
    @utaani1 Рік тому

    Hamna mushkeli ukiwa muwazi na mwenzako kwenye mahusiano, mimi kama siwezi kuwa na access na simu emails ya mwenzangu basi bora niwe bechula maisha

  • @ofmae-thebrainstech3501
    @ofmae-thebrainstech3501 Рік тому +1

    I use to watch all the adds, Thats my type of tip. 🤣🤣🤣

  • @saidhamza5318
    @saidhamza5318 Рік тому

    Salama Leo naona ana maneno ya adabu na utulivu sn.

  • @mjedamjeda4734
    @mjedamjeda4734 Рік тому

    HY DADA HAWEZI KAA HV MBELE YA MFUTI WA TANZANIA PIA NI MOJA UKITAKA KUFAHAMU ILIYO NAYO HAINA ATHARI KWA JAMINII SALAMA ANAMCHUKULIA KIPOZEO NI MTU KAWAIDA NDO MAANA WALA HAKUWA NA HAJA YA KUJISTIRI

  • @salmasalim3525
    @salmasalim3525 Рік тому +9

    Salama kweli ungevaa mtandio ndio ingekuwa vzr

    • @alsam4881
      @alsam4881 Рік тому +1

      Yaani Salama anaongea na Sheikh ameshindwa kuvaa hata mtandio na kujistiri kweli? Maadili yameporomoka kweli 😏

  • @mohamedmwaphalu6268
    @mohamedmwaphalu6268 Рік тому +2

    background Music kwenye maneno mazuri ya Allah 😢😳

  • @halidijuma1884
    @halidijuma1884 Рік тому +3

    Bonge la Sheikh,,tunakupenda Sheikh

  • @yunusramadhan2546
    @yunusramadhan2546 Рік тому +2

    Inna lillah wainna ilahi rajiuun, dada jiheshimu nastara wajua lkn wajifanya hamnazo bint jaabr liesh?

  • @mwanakonyaume3611
    @mwanakonyaume3611 Рік тому +1

    Problem nikwambia lazima aingie kwenye hedhi nawanaume hawana uvumilivu kwa ili sasa hawezi chukua nafasi za wake wa nne

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Рік тому

    🤣😂😂😂😂🙌👍

  • @ibel4lf
    @ibel4lf Рік тому +5

    Kosa la adamu ni kutokutiii sio kuzini jamani hakuna ukristi unaoamini Adam alizini

    • @princegerard4704
      @princegerard4704 Рік тому +1

      Kabisa Hawa alikuwa ni mke halali wa Adam sasa angezinije 😂😂 Walikosa Wote utii na Usikivu

    • @najmaalabri8835
      @najmaalabri8835 Рік тому

      Mashallah Mashallah shekh wetu Allah akupe Afya na salama nakupenda sana nakufatilia sana

  • @sadickd_knuckle5456
    @sadickd_knuckle5456 Рік тому +1

    Usisahau kuweka tip yako kwenye hiyo namba ya mpesa, hapo juu, ni muhimu kutoa sadaka yako

  • @mwisukulu1
    @mwisukulu1 Рік тому +1

    Dakika ya 6:06 salama amesema kwa MFANO yeye ni mwanamke 😂😂😂

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Рік тому +5

    Salama na juma lokole please

    • @rehemaothman2475
      @rehemaothman2475 Рік тому +1

      😅🤣🤣🤣🤣🤣Atakua aongea hata haja ulizwa swali

    • @azizamohamed7692
      @azizamohamed7692 Рік тому +1

      Mhhh itakuwa balaaa atajibu kabla ajaulizwa

    • @RioIpo
      @RioIpo Рік тому

      Yule choko asije

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 Рік тому

    Nyie wanaume hamna subra mafatani tu hamna illa kupenda kuoa na kucheat.

  • @sophiesadick5510
    @sophiesadick5510 Рік тому

    Salama nenda mikoa ya Bara mfano Mbeya, Njombe, Sumbawanga, Kighoma ndiyo utajua hao wanaotuhumiwa uchawi na imani zao. Wachuna ngozi, wanaoua wenye vipara, wanaoua walemavu wa ngozi nk. All in all dini zote zinakataza shirki.

  • @moodyzanzibar4336
    @moodyzanzibar4336 Рік тому

    SHEKH UMEULIZWA NILAZIMA AKUBALI MKEO AU SI LAZIMA JIBU SWALI USISEME NIVIZURI

  • @aishathabit3732
    @aishathabit3732 Рік тому

    Kuchwa kutwa ukisema ndoa ya mke mmoja ni ndoa ya kikristo leo unaiunga mkono?

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 Рік тому

    Yaani hapo Sheikh,itakuwa Malezi na Ulipokulia kimalezi ya KIDINI

  • @mohdmbarouk8465
    @mohdmbarouk8465 Рік тому +3

    Tunashauri na huyu Dasalama ajistir avae mavazi ya stara pia itapendeza zaidi

  • @samxx411
    @samxx411 Рік тому +3

    Hizi ndio elimu za kiislam unasikia raha kuzisikiliza na kuzifuata

  • @abdallasalim4457
    @abdallasalim4457 Рік тому

    Interview nikama hzi kidogo zifanye ndefu

  • @dorcasmwangi5710
    @dorcasmwangi5710 Рік тому

    Mbona huyu dada hakujistiri na sheikh umekaa naye akiwa uchi nusu