Mfahamu Sheikh Kipozeo, Maisha Yake Ya Utotoni, Familia Na Elimu Yake | SALAMA NA SHEIKH KIPOZEO PT1
Вставка
- Опубліковано 11 гру 2022
- #SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
Sheikh Hilali Shaweji Makarani au Sheikh Kipozeo ni mtu wa watu, au niseme kama ambavyo tunasema kwetu Uswazi, Sheikh ni mwana wa wana, anaweza kuwapa wana darsa kwa lugha yao na wakawa huru na wao kusema maoni yao au uelewa wao kwa raha na bashasha nyingi na naamini hii imemfanya yeye awe ni mmoja ya Ma Sheikh wanao tambulika zaidi kwenye mitandao ya kijamii nje na ndani ya Tanzania. Lugha hiyo ya wana ambayo anaitumia inasaidia sana kufikisha ujumbe ambao ameukusudia kwa wakati huo na ikapata mpaka majadilioano, majadiliano hayo ndo huzaa majibu ya maswali mengi ambayo wengi hujiuliza.
Kwetu au kwangu ilikua ni kaji task ambako nilikua najua inabidi nikakamilishe, na jina lake kurejea kutajwa mara kwa mara na watazamaji wa kipindi hiki pia ilichochea dhamira hiyo kwa kiasi kikubwa. Nilikua sijawahi kukutana nae kwahiyo hii nami ilikua ni mara yangu ya kwanza kukutana nae uso kwa macho, shabiki yake? Oh yes, mkubwa tu. Nimekua nikimskiliza na kumuangalia kila nipatapo nafasi ya kukutana na mafunzo yake, kwahiyo hamu ya kutaka kuongea nae ilikua inaongezeka kila siku zinavyozidi kwenda. Wakati ambao Mwenyezi Mungu ameupanga ndo wakati sahihi kabisa. Na naamini huu ndo ulikua muda ambao tulikua tumepangiwa haya mazungumzo kutokea na haikua huko nyuma ambako pengine tulidhani tungemtafuta na kuweza kuongea nae.
Alikua mkarimu kwangu, humchukua muda pia kuongea kama yule wa kwenye video maana kama Mwalimu nadhani huwa anaangalia spidi ambayo uko nayo na kujua anaenda na wewe vipi ili iwe imekaa mahala pake. Na naam, tuliweza kwenda vizuri, alinifanya nami niwe huru na muwazi kwa yale ambayo tulikua tumepanga na wenzangu kumuuliza.
Akiwa Baba na mume mpedwa kwa familia yake, Sheikh Kipozeo amekua akipata mialiko sehemu mbali mbali ili aweze kuwapa watu ‘dawa’. Humu zaidi sisi tulitaka kujua jina lilipo anzia na jitihada zake za kufikisha neno la Mwenyezi Mungu kwa wanaohusika. Alituambia pia kuhusu asili yake na ‘urithi’ wa dini ulipotokea. Lini hasa alijua kwamba ambacho anakifanya sasa ndo ambacho alikua anatakiwa kufanya kwenye maisha yake yote?
Yangu matumaini dawa itaingia na uta enjoy kuangalia au kuskiliza episode hii yetu ya nne.
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
UA-cam Link bit.ly/UA-camSalamaNa
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz - Розваги
Wanaosmile wakimwona kipozeo weka like
Salama wengevaa hijab
@@TheFire_Gamer kbsaaaaaaa 💯%🤝😘
😊😊🥰
Kwa heshima ungefunika kichwa kwa kanuni na maadili ya kiislam (Mashallah sheikh kipozeo baraka Allahu fik)
Hewaaa
Easily the best interview to date. I am not a Muslim but Sheikh Kipozeo was able to answer and frame all questions in accordance with his faith, in the context of the prophet teachings. He is a very attentive listener and answered his questions very thoughtfully and without haste or hyperbole. So many subtle insights in his answers; insights that we all can include in our daily interactions, especially when dealing with children's and our wives. I already listened to the spotify version of this but nonetheless it was important to revisit it and see the video version.
On a different note: Salama has such breadth and is so far ahead of her colleagues, especially in her fidelity to Kiswahili and all its eloquence. Big ups!
I'm flabbergasted by you post, big up 💪💪!
👏👏👏👏
@@gxygxy9143 😂😂😂😂
Very well put. I am a Muslim. Reading this put a smile on my face. 👏🏾
She's Zanzibaris
Salaam aleyki dada salama.. Nahisi utakuwa umejisahau hizo ndo hisia zangu.. Wakati unajitambulisha mimi ni salama na hawa ni rafki zangu basi unge jitahidi kumkaribisha huyo rafki yako alovaa hijaab ingependeza sana kumhoji shekh ndani ya hilo vazi.. Naimani umesahau. god bles you
Nice interview from kenya here, just put like for me guys
🥰🥰🥰🥰
Salama unazungumza na sheikh wengevaa mtandio na wengevaa na baibui Kwa ufupi wengejistiri wengependeza zaidi Kwa uislaam
@@TheFire_Gamer kwamba shekhe Ni Mungu au ni nyumba ya ibada? 🤔
@@princegerard4704 Kujihifadhi ni lazima ktk uislam
@@princegerard4704 Kwetu sie Waislam ni lazima Amri tumeambiwa katika Quran
Sheikh Kipozeo. Hili jina aliyempa hakukosea, Kipoozeo, unamsikiliza ni mwalimu mzuri sana. Ni mtu anayefanya ukielewe kinywa chake! Mungunamjalie afya njema aweze ifaa jamii
Best interview for 2022. Sheikh is well composed and huchoki kumsikiliza. Big up kwa #SalamaNaTeam agizeni Fanta popote mlipo, tukikutana nitawalipa😎
Masha ALLAH Jazakallahu khair sheikh wewe nimfano mwema wa kuigwa kwenye jamii Umejipamba na Qur-an na Sunnah huu ndio UISLAMU hakika hivi ndivyo hata Mtume Wetu Muhammad S.A.W Alivyokua akiishi Kwa upole na maneno Mazuli, na tabia mzuri Kwa Ujumla.
Tunamuomba Mwenyezi MUNGU Akutunze Duniani na kesho Akhera Amiin
Salama kwenye hii interview ulikua unatakiwa ujitande kichwa ila nafkiri ulighafilika ama ulikusudia.
Sheikh yupo well composed!safi sana sheikh
Salama leo hapa umepatia sana kumleta sheikh asante mashaAllah nampenda sn huyu sheikh,i wish Sheikh nyundo ungekua hai pia naami ungewai keti hapa Allah akurehemu uko ulipo
Kwa nn kipozeo asikatae kwasab ya hiyo hali naujuwe alivyokasalama zambi kwasab mvyele hajafujika kipozeo anajuwa inamana anamuacha salama abebe sambi na kipozeo yupp karib na kwa ushehe sio heshina
DADA yangu,Waislamu wote ni wapenzi wakubwa kwa Mwenye ezi Mungu na Mtume wake,na Wala hakuna aliyekamilika ila Mola mwenyewe,yetu ni kufundishana,kuekekezana na Kusameheana. Wala sio kumcheka aliyepotea,inawezekana akawa yeye mbora klk tunavyofikiri..😍
Kama WAISLAMU wote wangekua Kama wewe, Basi ningeslimu 🙋🙋♀️
@@erastomwakalukwa3946 endelea kuwa kafiri hivyo hivyo, uislam hauendi eti kwa mtu flan kafanya nini.
Uislam unaendeshwa na Qoran tukufu basi.
Ni ushauri tu mi nafikiri siku nyengine ukifanya mahojiano na mashekhe ungevaa ule mtandio wako mweusi ingependeza zaidi
Kwanini usingemlingania kabisa huyo,maana yupo tu kama dime na yeyote mwenye kujifanisha na mwanaume huo amelaaniwa.hapo hata shungi Hana! Mtihani sana
Shekhe msikivu na anajibu vizuri sana with examples,yupo deep sana
Unakaa na sheikh kichwa wazi inna ilaih wa inna ilaih raajiun mtt wa kiislam
Dada muogope Allah ,funika kichwa chako na vaa mavazi ya heshima ,hii dunia ni mapito tu
Umemshauri vyema sana. Allah amuongoze
Shekhe yuko very humble Yani anaongea ndani ya utulivu mkubwa mno Allah azidi kumuongoza
Amiin
MAA Shaa Allah 🙏 alhamdulilah Allah akupe furaha Salama na Shekhe Kipoozeo 🙏
Like kwangu nimekuwa wa Kwanza
Ahsante sana salama kwa hii interview na hapo bado hata sijaiangalia nimeanza na kukoment kwa sababu najua hii ya leo itakua n kaali sana
Kwann ujajitanda ww wakat na ww muislam innalilah wahina ilahhi rajiun
Mashaa Allah shekh wetu
Mashaallah
Nimeipenda hii interview mnooo.
Dada salama tunashukuru kwa maswali yetu mazuri ktk kumuhoji sheikh nae amejibu vzr alhamdulillah. sasa ww salama ulikua unajua kabisa kesho nitakua na Interview na sheikh unashindwa kuendana nae kuvaa hata hijaab na mtandio kweli??????
Siku nyingine usirudie salama kumbuka nawe umri umeenda mambo mengine siompaka uambiwe mama. Sema bigap kwa sheikh wetu kipenzi kipozeo naww pia Jazaakumullahu khaira 🙏
MAASHA ALLAH shekh kipozeo ALLAH akubariki
Ebana salama umenfurahisha sana kumleta mwamba
Mashallah 🥰
Interview yenye masisimko. Masha Allah
Kipenzi changu Allah akuhifadh sheikh wetu
Allah akujalie kila lenye kheli🙏🙏🙏
Nice interview
Binafsi acha nikupongeze salama@salma bint jabr,,, you are matured enough now!!!
Good looking na utulivu wa hali ya juu,,,,,,, umekomaa hakika!!!
Sheikh Hilal shawej kipozeo 😁😁😁,Baraqallah
Salama you do good.
Top Notch....TOP TOP TOP TOP TOP
Unique idea... Very Educative to all Faiths.
What a surprise
😮 allah akulipe kwa interview nzuri dada salama
Mashaallah Sheikh Kipozeo Nakukubali kwa Nasaha zako pia Hongera Sana Salama kwa Kipindi Chako
Leo salama umepatikana..Umekuwa msikilizaji...
Aunt salama na kurespect
Huyu mzee yupo vizuri sana kiukweli
Man nshallah
Sheikh wangu 🥰
Chechei
Namie naiweka langu neno
Mana hiki mie ndo kipindi changu Sasa da salama
Kipindi kikianza Hua tuna kuona picha moja ume vaa bui bui wazotu kama litapendeza ukihojiana na shegh sivibaya ukavai lile vazi la buibui na mtandi niwazo tu Salam alaykum
ila sheikh hayo maneno ya mtume (hadithi) ni maneno mazito sana kwenye kuyazingatia na yana maana nzito sana inshallah M/Mungu atuongoze kufanya mema
Literally my favorite one so far
Hiyi ni nipendwa kwang kabisa kiufupi
Jamani tujistiri munawapa kazi mashekhe wetu
Ingefaa salama leo ungevaa hijab
Kabisa wala
Kazi gani wanawapa????
heshima kwako sheikh..!!..
👋
Dada next time ukimualika sheikh kipozewo weka kakitamba kichwani kwa hishima ya sheikh na mwisilamu.thankx
Salama ukiacha ule u mainstream na force za enzi ni bonge la interviewer was wakati huu na uliopita kiasi. Anajua saana kuuliza kutokana na nature ya interviewee na legacy yake.
Ebu mkumbushe mwaipopo anaonekana anajaziba Sana kama yeye anaenda peponi kesho
fFrom Nairobi kenya ushungi huo siyo mziki
Interview was amazing
We learned something as Muslim...is ummu Ahmad
From Northampton uk
Just advice: music background
Wasn't good idea to be
As u invited sheikh of course
We gonna hear about Allah
Prophet e.t.c
I think it depends
Who u invite if as musician
Would be no problem
i agree with you 100%
Kabisa music umeharibu interview
Mashaallah shekh kipoozeo❤️
Nakubali Sana kazi yake ya daawa lakin hata Salama kazi yako
Salama the best of all time..
😊
Àsalam aleykum warahmatullah wabarakat MAASHA ALLAH dada salama umefanya vizuri kwa hii interview na umependeza ila ungependeza zaidi kama ungejistiri kwa mavazi pia pole kama nimekukwaza
Plz salama teletee Shk MAZINGE
Mbona sio comments za wakristo
Mngaliondoa ilo rege ingalikua vizuri
Wakwanza leo nilikua naisubiri snaaa hii ya Sheikh kipozeo🤣
Ww ni mtt wa ushungi hapo umetubeba noma sana umezingua sana
Salama na chid bez
fundi kabisa
Mzee wa mizigo maashallah
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
mzigoo dawaa,mambo ya kutanabai 🤣🤣
@@phreemanb 🤣🤣🤣🤣
#SalamaNaDrLeaky
Can't wait
😮😮salama unge vaa basi ushungi hapo umengor'oa yani umezingua
Weka na part 2
Ninge penda kuona salama na Mazinge
O melhor entrevista de final do Ano
salama dadangu ningekunasihi japo jichupie mtandio wa kichwa jistiri jamanii si mbaya..... mbona unajisahau ivyo.
Bado Sheikh Mazinge daa Salama
Ni bora ma sheikh nawo wakiombwa interview watowe masharti yao kabla ya kwenda ikiwemo kuwaambiya wajistiri
Salama hujatembea nimikoa minne tu ndio yenye waganga waisilim hiyo mingine wakilsto ndio waganga tena wachawi tena kwakutoa makafala usiseme tena maiafala ya binaadam wenzao haswa watu wadamu waislam watatoa kafala zakuku mbuzi kondoo nazi hebu chunguza vizuri
Inakuaj dada mhuni kumuohoji shkh na vaazi hilo vitu wakati mwingine heshima iwepo muache upuuzi
Vipi kusifia MIZIGO ya wanawake ni dhambi au sawa tu
Salama mbona hujamuuliza?
Sheikh langu kachemka Leo mume akitaka kuoa kumuelezea mke wake ni kwa ushauri tuu lakini sio ruhusa. Mke hatoi ruhusa
Hamna mushkeli ukiwa muwazi na mwenzako kwenye mahusiano, mimi kama siwezi kuwa na access na simu emails ya mwenzangu basi bora niwe bechula maisha
I use to watch all the adds, Thats my type of tip. 🤣🤣🤣
Same here
Salama Leo naona ana maneno ya adabu na utulivu sn.
HY DADA HAWEZI KAA HV MBELE YA MFUTI WA TANZANIA PIA NI MOJA UKITAKA KUFAHAMU ILIYO NAYO HAINA ATHARI KWA JAMINII SALAMA ANAMCHUKULIA KIPOZEO NI MTU KAWAIDA NDO MAANA WALA HAKUWA NA HAJA YA KUJISTIRI
Salama kweli ungevaa mtandio ndio ingekuwa vzr
Yaani Salama anaongea na Sheikh ameshindwa kuvaa hata mtandio na kujistiri kweli? Maadili yameporomoka kweli 😏
background Music kwenye maneno mazuri ya Allah 😢😳
Bonge la Sheikh,,tunakupenda Sheikh
Inna lillah wainna ilahi rajiuun, dada jiheshimu nastara wajua lkn wajifanya hamnazo bint jaabr liesh?
Problem nikwambia lazima aingie kwenye hedhi nawanaume hawana uvumilivu kwa ili sasa hawezi chukua nafasi za wake wa nne
Umeona ee
@@abduomar8438 eeh
@@mwanakonyaume3611 asant na hongera kw kulijuwa hilo
🤣😂😂😂😂🙌👍
Kosa la adamu ni kutokutiii sio kuzini jamani hakuna ukristi unaoamini Adam alizini
Kabisa Hawa alikuwa ni mke halali wa Adam sasa angezinije 😂😂 Walikosa Wote utii na Usikivu
Mashallah Mashallah shekh wetu Allah akupe Afya na salama nakupenda sana nakufatilia sana
Usisahau kuweka tip yako kwenye hiyo namba ya mpesa, hapo juu, ni muhimu kutoa sadaka yako
Dakika ya 6:06 salama amesema kwa MFANO yeye ni mwanamke 😂😂😂
Salama na juma lokole please
😅🤣🤣🤣🤣🤣Atakua aongea hata haja ulizwa swali
Mhhh itakuwa balaaa atajibu kabla ajaulizwa
Yule choko asije
Nyie wanaume hamna subra mafatani tu hamna illa kupenda kuoa na kucheat.
Salama nenda mikoa ya Bara mfano Mbeya, Njombe, Sumbawanga, Kighoma ndiyo utajua hao wanaotuhumiwa uchawi na imani zao. Wachuna ngozi, wanaoua wenye vipara, wanaoua walemavu wa ngozi nk. All in all dini zote zinakataza shirki.
SHEKH UMEULIZWA NILAZIMA AKUBALI MKEO AU SI LAZIMA JIBU SWALI USISEME NIVIZURI
Kuchwa kutwa ukisema ndoa ya mke mmoja ni ndoa ya kikristo leo unaiunga mkono?
Yaani hapo Sheikh,itakuwa Malezi na Ulipokulia kimalezi ya KIDINI
Tunashauri na huyu Dasalama ajistir avae mavazi ya stara pia itapendeza zaidi
Hizi ndio elimu za kiislam unasikia raha kuzisikiliza na kuzifuata
Interview nikama hzi kidogo zifanye ndefu
Mbona huyu dada hakujistiri na sheikh umekaa naye akiwa uchi nusu