Safari Ya Adam Mchomvu, Kusoma Uganda Mpaka Kufanya Kazi Clouds | SALAMA NA ADAM MCHOMVU PART 1
Вставка
- Опубліковано 8 лют 2025
- #SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
Adam Mchomvu ni jina kubwa kati ya majina makubwa ya watangazaji mahiri ambao nchi yetu imeshawahi kuona. Toka kuanzishwa kwa Radio za FM hapa nyumbani ambayo ilikua miaka ya kati kati ya 90 mpaka mwanzoni mwa miaka ya 2000, hapo pia ndo kilipoanza kuzalishwa kizazi cha watangazaji na ma DJ mahiri ambao pia kwa kiasi kikubwa waliweza kulisukuma soko la vipaji mbali mbali vya muziki na filamu kufikia hapa vilipo leo hii. Kazi nzuri iliyotukuka ambayo pia imejaa jasho machozi na damu ilipitiwa. Mpaka leo hii ukiona watu wana launch album zao au filamu zao ujue kuna kazi nzuri ya kujenga misingi ilifanywa na walioianza kazi hii miaka hiyo ya nyuma.
Kwa uelewa wangu Adam ni Generation ya tatu ya wimbo hilo la watangazaji, ukiachana na kina Charles Hilary, Abubakar Liongo na Marehemu Misanya Bingi au Mike Mhagama, kizazi kilichofuata baada ya hapo ni hiki chetu, cha kiza Dozen na Fetty na Anna Peter na kina Adam Mchomvu. Generation sasa ya Bongo Flava na Bongo movie. Kizazi hiki ndo ambacho umahiri wa Adam ulianza kuonekana, XXL bila ya yeye kwa asilimia 100 utalisikia pengo lake, aina ya matamshi na kusema mambo kwa jinsi yalivyo ndo kumemjengea huo upekee. Ila pia ukaribu wake na wasanii wa Bongo flava pia umesaidia kumpatia story za ndani kabisa pamoja na kujua maendeleo ya kazi zao na struggle zao.
Pengine ukaribu huo ndio ulimfanya na yeye atake kuwa mwana muziki?
Sote tunajua kama mziki una mambo yake mengi sana, pengine wewe unaweza ukadhani unauweza na ni rahisi sana kuufanya lakini nadhani ukimuangalia Adam na kumfuatilia kwa kiasi kikubwa unaweza kujua ugumu wa zoezi zima maana kwa mtu kama Adam ambaye yuko jikoni kabisa ameshindwa kufanya muziki kama kazi yake nyengine au kama ambavyo yeye angetaka iwe muziki ndo maisha yake, si tahisi kama ambavyo unadhania. Kwa miaka ambayo nimekua nilifanya kazi kama mtangazaji wa Radio nimeona watangazaji wengi nao wakitaka kujikita kwenye muziki, ambao wamefanikiwa ni wanawake zaidi kuliko wanaume. Adam ameniambia kwenye maongezi yetu haya kwamba wakati mwengine anaona kama watu wanahisi hayuko seriou pengine, pia ameniambia kuhusu utajiri wa nyimbo alizonazo kwenye hifadhi yake. Hii pia imenionyesha jinsi tunavyokua tunafanya kazi ambayo wewe una hakika nayo ni nzuri sana ila kwa watu upokeaji wake unakua sio kama ambavyo wewe umetegemea.
Mi naamini kuna siku tutamuelewa tu maana kwa kumskiliza tu utaelewa utashi wake na jinsi ambavyo anaangalia vitu na uelewaji wake. Kwa wengi Adam ni HODARI na ambaye ameweza kufanya kazi kwa muda mrefu na kuwa muaminifu pia kwa muajiri wake, kama unakumbuka hapo katikati kulikua na wimbi la wafanyakazi wa Radio kupata ofa kubwa za kuhamia Radio nyengine, na nna uhakika mwingi na yeye ofa hizo alizipata, tena nyingi ila aliamua kuendelea kubaki palepale alipokua. Tunaambiwa loyalty haiuzwi wala huwezi kumfundisha mtu, ni aidha unakua nayo au hauna.
Humu mimi na yeye tulizungumzia mwanzo wake, fahamu zake za vitu na maamuzi yake ya kutaka kufanya kazi ambayo anafanya leo. Jinsi ambavyo wazazi au mzazi wake alilipikea hilo. Pia nilitaka kujua mazingira ambayo amekulia, humu amenielezea utukutu wake na jinsi ambavyo alikua na uwezo wa kumdanganya Mama yake ilimradi aishi kwenye aina ya maisha ambayo alikua ameichagua. Na jinsi pia ambavyo aliweza kujichomoa kutoka kwenye dunia hiyo ambayo ilikua imejaa kupotea kama asingekua makini.
Yangu matumaini kuna kadhaa ya kujifunza na yatakua na faida kwako na kwa uwapedao.
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahs...
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
Audiomack Link bit.ly/YahSton...
UA-cam Link bit.ly/UA-camS...
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz - Розваги
Tunataka Millard ayo munipe like kama tunakubaliana
Adam Mchomvu the krislam, imekaa vizuri
Adam mchomvu namkubali xn
Adam is most recognised media personality in Tz.. Mshikaji anajielewa sana, Akili yake inafanya kazi effectively..
Ona hapo alivyowatoa matongotongo wafiadini na wale wanaojifanya wakihudhuria sana huko kwenye majumba ya ibada ndio kuiona pepo.
Salut kwako salama jabir
Napenda sana interview za Adam Tisha sana.
Dada salamà nakukubali mno kwanza tangu no kuone nampenda sana kitu unacho kisema kweli uko vinzuri naomba mungu sikumoja tuonane tuongee
Napenda sana Hiki kinamafunzo mengi yamaish nk
Naomba 2wekeeni na yamchungaji Rich
Salama ungekuwa mwalim Basi ingekuwa unafundisha watoto na wangekuelewa sana.......humble
Pole siku ukija kujua ushachelewa Mzee.Mungu akupe hidaya.Isha allah
hii Krislam kama nipo nayo jamani!! naamini huyu Mungu wetu ni mmoja wa wote Mimi Mkristo na Waislam Pia...God bless us
Bangi mbaya sana....
Noma sana
Mchomvu anabonga sana! Kumsikiliza hachoshi kabisa ✊🏿🙌🏿
His my brother from another religion the first Man kwa dunia Arifu.
....
Ipo. Sawa
Woooow nimewapenda
Namjua Issack Momenaaa
Adamu nakubal sana... presenter
Huwez Amin nilipanga kusikiliza dakika tatu Ila Mwamba anastory hadi nimemaliza
Best interview.... nzur san... haichoshi kbs
Namkubali adamu sana
Kaza safi
Kubwa sana hiiiii hongera sana mchomvu
I have to comment on this. Eyooo Mchomvu! Wape Mashavu Wanaaa...!
Vicks Kingo was our best advert when growing up in Kenya..🇰🇪🇰🇪🇰🇪 big up!! Your story inspires na sikujua eti wewe Toto la Arusha, kumbe ndio maana kijiti cha majani ni kama ibada, big up Adam Mchovu🤝👏🏿👏🏿👏🏿
Mchomvu A.k.a Rugha Nyingi namkubali Sana Sana
Adam bna comed nyingi sana
Namkubali sana AD+ daaaah basi tu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mwanangu mwenyewe AD+ namkubali sana
Salama na gwajima waiting for it
Napenda salama anavocheka
Mtangazaji anayependwa na vijana mchomvu
🤣🤣🤣🤣🤣big up @adammchomvu nimecheka sana Asante Dada Salama umenipa kicheko.
Hakuna Krislam hommy # Allah akuongoze ln Shaa Allah uelekee kwenye Haki nothing but sharing good vibes
Uyu mshkaji Mchomvu ni muhuni anaongea kihuni mpka anaharibu interview usela mwingi sana Brother mpka unaharibu
Legend 🚬🚬🚬❤❤❤
AD+ umetisha sana
Adam we 🔥🔥🔥
broo umetisha
Yes mchomvu mzee wa johnii johnii yes papaa
Salama anakuwaga msengemsenge sana wao na T.I.D
Big up Mchomvu !
Oyaa leo sawaa mtu sahihi
Da kweli maisha yanaenda Kasi, Salama Amekuwa mmama Sasa jaman da
Yan hata siamini kweli hamna mkate mgumu kwa chai
Alafu kanenepa
I had to pause and comment. What a match of energy this is 🙌🏿🙌🏿
So much entertainment and education all in one bundle 🎉
Kislam tukutane hapa
The Classic presenter AD+
Appreciated
Interview kal sana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥📌
Interview ni mbaya kwa kwel I can't lie . Anahisi kama ana present bado
binafs sijaenjoy
Bonge la story tamu
Ndo ela yako ya mwisho uko vizur kaka
Huaga namuelewa sana Salama ...much love from 🇶🇦🇶🇦
Doha au Bahrain
Makaveli--umefika apa
@@khamisramadhan5133 hapa sikosi
sasa leo umecheza mtu wangu... naacha kazi nicheck hii interview
Mimi naicheki na niko job shift vinomanoma hadi na replay 😅😅
@@MzeeKobe_254 Hahahah
Aaaaah hii kali sana nataman muda ungeongezwa 😂😂😂😂😂
Interview imempata mwenyewe Sasa hapo. Yani hapo mnainterviweana
Huyu jamaa namkubali kinoma
Kama huamini Mungu sema tu huna dini.
Usiseme una dini zote mbuli na hujui la kujibu.
Kama waamini Mungu,iliweka swala ziwe swhemu husika.
Kuna swala na kuomba mahitaji yako.
Mahitaji waweza omba popote.
@salama for all interviews ume do,huyu ameharibu.
Acha nitie neno hapa
#Bonge la show 🔥
Salama wish u all the best.
Adam adam mwanetu sana
Kiruuu, salama muhoji kistaarabu, achelewi huyo ku🤸
😂🙌😂
Nimependa sana hii show madam salama
I'm the first one today...
I love you salama all the way from Zambia
MY DAWG ADAM
My favorite interview
Adamu namkubalisana anajua mpaka anaboa
Baba john hatari sanaa💥💥💥
Me ukufwatilia sana kutoka Nairobi Kenya
dingi wa hm katisha, salama mwambie Adamu anifundishe namna ya kufunga mastyle hiyo kitu hapo shingoni nazikubali kinoma bas arif
Adam is a great storyteller ! 😂
............
Chrislam 🤣🤣 I like that na ni sana bcoz it comes from brother from another mother 🙌🏾
🔥🔥🔥🔥 bonge la interview
Wape mashavu Wana @adam mchomvu. #chuga #republic
Viti vimechoka sister mkibadilisha itakua pouwa
Kipindi safi sana
Adamu ni mtu mwenye heshima saaana kwenye game ya bongoflava .........jamaaa uzuri anafanya kitu anachokipenda
🔥🔥🔥🔥
Yani huchoki kumsikiliza ...This interview is 💥💥💥💥
Daa nimecheka Sana Sana Mambo lokapu Tena toli wa ajabu
Adamu Mtu Peac Sana🖐️
Ila adam🙌🏽😂
Sauti haijatokea vizuri. Nahisi kuna kitu hakikukaa sawa kwenye editing za sauti.
All in all hongereni kwa kipindi. Nick Trick hapa niko Maputo Mozambique
Acha wivu jombaaaa
Adam The First Man On The Earth
Alivyoanza tu kujibu swali la kwanza mie hoi...😂🙌😂
Adam Ni mtt wa kihuni
Baba joniiiii
Hili jembe nalakubali kinom
jamani salama na zuchu tunaisubiri,I love zuchu much
Zuchu alishafanya nae kipindi mbona
@@bakariburuhani7956 bado hawajaupload you tube ndo anachomaanisha
Tunamtaka ney wa mitego
kinachonishangaza bongo watu]hawa wapi'Heshima Wanayostahili Hawa watangazaji wa3 -Fety Mchomvu Na B12…wameipigania sana bongo flavor watu kuielewa km ni kazi sio Uhuni…Ndiomana kila mtangazaji wa kipindi km Chao ataiga swaga zao…
Uwe unabadilisha hilo tisheti Salama!!!
🤣🤣🤣🤣🤣aisee nimecheka sana
Bangi mbaya nyie,mnamsikia vizuri Adam lakini😂😂😂
Mjomba hapa NI Paradise ..paradiso...sawa arifu...
Siyo bangi ni mjani🤣🤣
Adam mabange
AD+ 🙌
Salama tunasubiria Esha buheti
Bangi mamae sio poa
🤣🤣🤣
Mchomvuuu
tall wa ajabu way back since 89.5 Mbeya fM
Kutikuamini tu siku ya mwisho hio inakutoa kwenye uislam kwahiyo wewe tayari ni mkristo usichanganye watu
Adam Mchomvu wape mashavu jombaaa