Hapo katika Sunna mjomba umechanganyikiwa. Allah katuamuru tufuate kitabu chake. Muhammad alikuwa ni mjumbe tu. Tufuate ujumbe aliopewa, Qur'an. Wala hakuna cha makhulafaa wala khilafa. Huo ni uzushi chungeni
Shekhe mwalimu alijua kuwa ankufa saabu alikua na stage 4 cancer alikufa muda alioambiwa atakufa na alikufa muda alioambiwa na madaktari na nyerere alimwambia ata mkapa ( ugonjwa huu mimi sitopona) na mkapa akawaambia wananchi
Hiyo sio mada hayo ni mawaidha wee vip eti wakati mwingine mada zako zinanikosha alafu huyo shekhe kama hujui anavitu vingi kichwani achilia mbali huo uchale wake
Wallah hamna shekhe nampenda dunian kama shekhe kipozeo yarrabi kwa rehm zako mjalie shekhe kipozeo pepo ya firdaus amiiiiiiiiiin
ALLAH AKUHIFADHI SHEKH WETU HILAL SHAWEJI MAKARANI A.K.A KIPOZEO
Kazi nzuri sana bwana kipozeo Allah akupe afya na nguvu
Mashallah isilamu ❤
SubHanaAllah.. Allah atujaliye mwisho mwema
Mashaallah Allah akupe heri duniani na Akulipe wema Akhera
MashaAllah
Mmmm! Mbona huyu Sheih yote anayo zungumza yapo kwenye bibilia Mungu akubariki mtumishi wa Mungu
Manshallah tabarakallah imam Abuu Hanifah kwa jibu zuri saana
Maa shaa ALLAH tabaraka ALLAH ALLAH akupe JANNAH FILDAUSI ALLAHUMMA AMIN YA RABBI 🤲🤲🤲🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Mwenyezi MUNGU akupe umri mrefu na akuongezee hekima ktk mafundisho yako ya kilimani. Mimi ni mkristo lkn napenda kusikiza hekima hii ulionayo.
Karibu katika dini ya haki,ndugu mpendwa
Sheikh Mola amjaze kheri ana ilmu kubwa na Bora zaidi,Kenya tuna m enzi
Muda mwengine mada zako zinanikosha Mashallaaah
Kugongozwa roho Allah atupe wepesi
Mashallah Tabarakallah shekh.
Nakuelew sana sheikh kipoozeo
Mtihani kwa kweli
Kila la kheri shekhe
Yani 😂😂😂😂 ustadhi wangu huwa nakutambua sanaaa
Mansha allah nakupenda sana maana mawaifha yako napata faida alafu na unanicekesha
A like this papa
Maana vijana wa kileonataka kukifanya kila kitu mnajuwa kazi yenu kuwakosoa mashekhe tu hata kama hamjui
Mzee wa mizigo miss bantu
Ustad kipozeo MashaAllah. Maustadhi wengi tz huwa nimatabibu Inna Lilah wa Inna Lilah rajiun
Shehe fundi mashaallaa baraka Allah
Wisdom of the divine
Shekh irali kipozeo nakukubali sana
Hapo katika Sunna mjomba umechanganyikiwa. Allah katuamuru tufuate kitabu chake. Muhammad alikuwa ni mjumbe tu. Tufuate ujumbe aliopewa, Qur'an. Wala hakuna cha makhulafaa wala khilafa. Huo ni uzushi chungeni
Sun bwana wana chunguza mada nzima ili wapate kwakukosoa sio kupata dawa wao niubishanitu
Alla Karim🙏
Sheikh, Mtwara hakuna Nanjilinji, yapasa kuweka kumbukumbu sawa.
Nice
Nayapenda mawaidha ya sheikh kipozeo lakini kwanini hapendi kuja Kenya??
Cre
Shekhe mwalimu alijua kuwa ankufa saabu alikua na stage 4 cancer alikufa muda alioambiwa atakufa na alikufa muda alioambiwa na madaktari na nyerere alimwambia ata mkapa ( ugonjwa huu mimi sitopona) na mkapa akawaambia wananchi
Uwezo wa kufikiri wa mwanadamu una kikomo ,hivyo na ww hapo ndo mwisho wako wa kufikiri
😊😊😊
❤
Hiyo sio mada hayo ni mawaidha wee vip eti wakati mwingine mada zako zinanikosha alafu huyo shekhe kama hujui anavitu vingi kichwani achilia mbali huo uchale wake
Naminywilu ndo wapi shekh
Mkoa pwani
😂😂😂😂😂😂
MASHEIKH WETU MNAFULAI SANA KUPATA RAIS MWANAMKE MASHEIKH INABIDI TUPATE NA MAIMAMU WANAWAKE
UNA AKILI TIMAMU KWELI WEWE IMAM MWANA MKE ULI MUONA WAPI😢
Do you real mean it ama wasema thuu for the sake of
Imamu mwanamke ni kombo na dini ya kiislamu.
Sasa kama maka ni nchi takatifu aliko zaliwa mtukufu wa drja,mbona makka wakitutangazieni muandamo wa mwezi tunpingaa
Kwani huyo rais wame muweka mashekhe
Ukitaka kumjuwa IBLIS kwanza ijuwe nafsi yako mwenyewe.