IBILISI NI MSHENZI TU //SHEIKH KIPOZEO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 вер 2024
  • USISAHAU KU SUBSCRIBE

КОМЕНТАРІ • 51

  • @KhalidRashid-yr2hu
    @KhalidRashid-yr2hu Місяць тому +1

    Wallah hamna shekhe nampenda dunian kama shekhe kipozeo yarrabi kwa rehm zako mjalie shekhe kipozeo pepo ya firdaus amiiiiiiiiiin

  • @allyshaban5444
    @allyshaban5444 2 місяці тому +2

    ALLAH AKUHIFADHI SHEKH WETU HILAL SHAWEJI MAKARANI A.K.A KIPOZEO

  • @mwaringakali483
    @mwaringakali483 Рік тому +9

    Kazi nzuri sana bwana kipozeo Allah akupe afya na nguvu

  • @Moranotz
    @Moranotz Місяць тому +1

    Mashallah isilamu ❤

  • @ibrahimally8073
    @ibrahimally8073 Рік тому +6

    SubHanaAllah.. Allah atujaliye mwisho mwema

  • @rajabukimosa3377
    @rajabukimosa3377 Рік тому +5

    Mashaallah Allah akupe heri duniani na Akulipe wema Akhera

  • @AnnoyedSunlightForest-uv2cx
    @AnnoyedSunlightForest-uv2cx Місяць тому +1

    MashaAllah

  • @stevenkipara9310
    @stevenkipara9310 6 місяців тому +1

    Mmmm! Mbona huyu Sheih yote anayo zungumza yapo kwenye bibilia Mungu akubariki mtumishi wa Mungu

  • @hadjrahkhalfan3584
    @hadjrahkhalfan3584 Рік тому +4

    Manshallah tabarakallah imam Abuu Hanifah kwa jibu zuri saana

  • @zayanaduduna1405
    @zayanaduduna1405 Рік тому +1

    Maa shaa ALLAH tabaraka ALLAH ALLAH akupe JANNAH FILDAUSI ALLAHUMMA AMIN YA RABBI 🤲🤲🤲🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @user-sy3qw2zk1b
    @user-sy3qw2zk1b Рік тому +1

    Mwenyezi MUNGU akupe umri mrefu na akuongezee hekima ktk mafundisho yako ya kilimani. Mimi ni mkristo lkn napenda kusikiza hekima hii ulionayo.

    • @ibnukhatwib2969
      @ibnukhatwib2969 7 місяців тому

      Karibu katika dini ya haki,ndugu mpendwa

  • @abduladenya2435
    @abduladenya2435 Рік тому +3

    Sheikh Mola amjaze kheri ana ilmu kubwa na Bora zaidi,Kenya tuna m enzi

  • @asrymohd6690
    @asrymohd6690 Рік тому +7

    Muda mwengine mada zako zinanikosha Mashallaaah

  • @saidmwakulika9945
    @saidmwakulika9945 Рік тому +2

    Kugongozwa roho Allah atupe wepesi

  • @zitoncombo1317
    @zitoncombo1317 Рік тому +4

    Mashallah Tabarakallah shekh.

  • @safielimjema4593
    @safielimjema4593 Рік тому +1

    Nakuelew sana sheikh kipoozeo

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Рік тому +4

    Mtihani kwa kweli

  • @saidmwakulika9945
    @saidmwakulika9945 Рік тому +2

    Yani 😂😂😂😂 ustadhi wangu huwa nakutambua sanaaa

  • @RadjabuNiragira-xr5zr
    @RadjabuNiragira-xr5zr Рік тому +1

    Mansha allah nakupenda sana maana mawaifha yako napata faida alafu na unanicekesha

  • @stanleychisasa4343
    @stanleychisasa4343 Рік тому +1

    A like this papa

  • @othmanmasoud1672
    @othmanmasoud1672 8 місяців тому +1

    Maana vijana wa kileonataka kukifanya kila kitu mnajuwa kazi yenu kuwakosoa mashekhe tu hata kama hamjui

  • @user-du6bd3no2b
    @user-du6bd3no2b 7 місяців тому +1

    Mzee wa mizigo miss bantu

  • @mohamedali7544
    @mohamedali7544 Рік тому +1

    Ustad kipozeo MashaAllah. Maustadhi wengi tz huwa nimatabibu Inna Lilah wa Inna Lilah rajiun

  • @mudrckshaamal-wb9vx
    @mudrckshaamal-wb9vx Рік тому +2

    Shehe fundi mashaallaa baraka Allah

  • @issachitupa590
    @issachitupa590 Рік тому +1

    Shekh irali kipozeo nakukubali sana

  • @abdallahbrek1698
    @abdallahbrek1698 Рік тому

    Hapo katika Sunna mjomba umechanganyikiwa. Allah katuamuru tufuate kitabu chake. Muhammad alikuwa ni mjumbe tu. Tufuate ujumbe aliopewa, Qur'an. Wala hakuna cha makhulafaa wala khilafa. Huo ni uzushi chungeni

    • @fahadmussa8879
      @fahadmussa8879 Рік тому

      Sun bwana wana chunguza mada nzima ili wapate kwakukosoa sio kupata dawa wao niubishanitu

  • @nurdinibrahimu7312
    @nurdinibrahimu7312 11 місяців тому +1

    Alla Karim🙏

  • @engyhy1985
    @engyhy1985 6 місяців тому

    Sheikh, Mtwara hakuna Nanjilinji, yapasa kuweka kumbukumbu sawa.

  • @pangapeter2758
    @pangapeter2758 Рік тому

    Nice

  • @khadijanyevu5866
    @khadijanyevu5866 Рік тому

    Nayapenda mawaidha ya sheikh kipozeo lakini kwanini hapendi kuja Kenya??

  • @musegedi3197
    @musegedi3197 10 місяців тому

    Cre

  • @lulurubby2235
    @lulurubby2235 Рік тому

    Shekhe mwalimu alijua kuwa ankufa saabu alikua na stage 4 cancer alikufa muda alioambiwa atakufa na alikufa muda alioambiwa na madaktari na nyerere alimwambia ata mkapa ( ugonjwa huu mimi sitopona) na mkapa akawaambia wananchi

    • @SultanAkram-ou8nt
      @SultanAkram-ou8nt 6 місяців тому

      Uwezo wa kufikiri wa mwanadamu una kikomo ,hivyo na ww hapo ndo mwisho wako wa kufikiri

    • @SultanAkram-ou8nt
      @SultanAkram-ou8nt 6 місяців тому

      😊😊😊

  • @abdallagaza6864
    @abdallagaza6864 Рік тому +1

  • @othmanmasoud1672
    @othmanmasoud1672 8 місяців тому

    Hiyo sio mada hayo ni mawaidha wee vip eti wakati mwingine mada zako zinanikosha alafu huyo shekhe kama hujui anavitu vingi kichwani achilia mbali huo uchale wake

  • @ManaseManase-in3bg
    @ManaseManase-in3bg Рік тому

    Naminywilu ndo wapi shekh

  • @edoedo4973
    @edoedo4973 Рік тому +1

    MASHEIKH WETU MNAFULAI SANA KUPATA RAIS MWANAMKE MASHEIKH INABIDI TUPATE NA MAIMAMU WANAWAKE

    • @hassancharo1496
      @hassancharo1496 Рік тому +1

      UNA AKILI TIMAMU KWELI WEWE IMAM MWANA MKE ULI MUONA WAPI😢

    • @ashaabubakar5036
      @ashaabubakar5036 Рік тому

      Do you real mean it ama wasema thuu for the sake of

    • @abdulhakimhasan7673
      @abdulhakimhasan7673 Рік тому

      Imamu mwanamke ni kombo na dini ya kiislamu.

    • @saidisesa5446
      @saidisesa5446 Рік тому

      Sasa kama maka ni nchi takatifu aliko zaliwa mtukufu wa drja,mbona makka wakitutangazieni muandamo wa mwezi tunpingaa

    • @mohammedsururu4047
      @mohammedsururu4047 Рік тому +1

      Kwani huyo rais wame muweka mashekhe

  • @soudhussein7396
    @soudhussein7396 Рік тому

    Ukitaka kumjuwa IBLIS kwanza ijuwe nafsi yako mwenyewe.