Mawaidha mazuri saaana ktk zama hizi tunazoishi hakika mwisho u jirani sana tuombe sana na tumrudie Allah na tuwe na hofu ya Allah… Allah Ibariq Sheikh 🎉🎉
Watanzania salam aleikhum jamani mniambie huyu Sheikh Kipozeo yu hai au vipi manake yalienea sana huku Kenya kwamba kaaga?nitafurahi sana nikijua bado yu hai,napenda mawaidha yake sana
@@user-fc4vl8zi4r Waleikhum Salam nimeshukuruns kufutahi sana kwa kuniambia Yu hai Allah atujalie umri InshaAllah pamoja na Sheikh wetu,nawe pia shukran sana kwa kuchukua muda wako kinijibu,Allah akutimizie haja zako InshaAllah👍SHUKRAN!!
Laa haula wala quwata ila billahi ,,tumrudie Allah
Ni kwel shekh ila ni wachache sana wanaoelewa kuwa ndio mwisho wa dunia Allah atusaidie 😢
Shukraan jazillah
Mawaidha mazuri saaana ktk zama hizi tunazoishi hakika mwisho u jirani sana tuombe sana na tumrudie Allah na tuwe na hofu ya Allah… Allah Ibariq Sheikh 🎉🎉
Wa aleykum salam,sheikh Kipozeo yupo hai@ShamimWanjiru
Ni kweli Sheikh kipezeo hiz Ni zama za mwisho ,,waislam tuzindduken jamn na matukio tunazinduliwa tumejisahau na duniya Ni Mapito,,
Sheikh kipozeo yupo hai mzima wa afya.
Wanasema mabadriko ya tabianchi badara ya kusema mabadiriko tabia binadamu.
AMIIN 😢
Swadakta shekhe upo sahihi
Jazaka llah kher wabilah taufiq
Sheikh dhulma ndio sababu ya majanga yanayo tokea
Shukrani sheik
Watanzania salam aleikhum jamani mniambie huyu Sheikh Kipozeo yu hai au vipi manake yalienea sana huku Kenya kwamba kaaga?nitafurahi sana nikijua bado yu hai,napenda mawaidha yake sana
Waaleykum msalam yuhai alhamdulilah Allah amjaliye umri mrefu
@@user-fc4vl8zi4r Waleikhum Salam nimeshukuruns kufutahi sana kwa kuniambia Yu hai Allah atujalie umri InshaAllah pamoja na Sheikh wetu,nawe pia shukran sana kwa kuchukua muda wako kinijibu,Allah akutimizie haja zako InshaAllah👍SHUKRAN!!