SHEKH KIPOZEO afunguka ukaribu wake na MCHUNGAJI HANANJA , sisi tunaka watu wanyooke

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 29 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 25

  • @user-kn5bv3qj8p
    @user-kn5bv3qj8p 5 місяців тому

    Swadakta sheikh kipozeo

  • @omarimaftah-wu5zb
    @omarimaftah-wu5zb 5 місяців тому +2

    Huyu mwenye kuuliza hana uwezo wa kuuliza maswali yenye maana unampotezea muda Sheikh

  • @user-cm7yl9ej7i
    @user-cm7yl9ej7i 5 місяців тому

    Namkubar sana kipozeo siwezi lala bila kumsikiliza ingawa Mimi ni ndugu yake wa damu kama anavyosemaga ongea ukweli kuhusu imani Mzee wangu hata kama wapo wasiokukubari

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 4 місяці тому

    Taaluma ya habari imevamiwa... anayehoji hana taaluma ya habari/uandishi..usharobaro..

  • @Kekulebenzene
    @Kekulebenzene 5 місяців тому +2

    Hakuna sheikh hapa, ni comedian tu

  • @allymussa4646
    @allymussa4646 5 місяців тому +1

    Mlinganie aingie kwenye haki

  • @zuberimusamazari7003
    @zuberimusamazari7003 5 місяців тому

    Kipozeo zamani nilikuwa nikimkubali sana wakati wa ramadhan kama hivi yupo pale kigogo

  • @user-it6zi7zw8y
    @user-it6zi7zw8y 5 місяців тому

    shekhe tunavyo jua kua kuimba nyimbo haram kuskia nyimbo haram licha ya rizki mbona ilo swali umelijibu kua ukimnyenyekea allah akunyimi rizki mbona hukujib kua kuimba haram kama dini inavyo sema shekhe wetu

  • @bosssyedmund8785
    @bosssyedmund8785 5 місяців тому +1

    Jamaa kakariri watu maarufu ..... ndo nini sasa😏

  • @user-cm7yl9ej7i
    @user-cm7yl9ej7i 5 місяців тому

    Naomba kama naweza pata namba yake Mzee wangu

  • @sheemaryam
    @sheemaryam 4 місяці тому

    Na wale wanafanya dawah mitaaani na wankuwa na viatu wakisoma quran3 je vipi hao?

  • @mbarakashekallaghe1210
    @mbarakashekallaghe1210 5 місяців тому

    Interview pia hajajipanga kuuliza masuala ya msingi

  • @JemshidMaulana
    @JemshidMaulana 5 місяців тому

    Nakukubali kupita maelezo

  • @pacifiquemukanya1009
    @pacifiquemukanya1009 5 місяців тому

    Wewe jean aca comment za kitoto

  • @DaudaBilikesi
    @DaudaBilikesi 5 місяців тому

    JeanMuzaliwa unaongea kitu usicho na elimu nacho.Una uhakika hizo ndevu zimechomwa? Jifunze hilo kwanza halafu ndo uje barazani kuongelea mambo yenye kuhitaji uelewa wa kutosha.Halafu ni jambo jema hata kwenye maelekezo ya dini ya jina lako kuwa adabu kwa watu wazima na viongozi wakiwemo wa dini.Hicho ulichokusudia kusema kwa kuandika 'choga' ni ukusefu wa adabu.Hata hivyo,hiyo rangi ya ndevu zake siyo alama ya hicho ulichikilenga.
    HICJO ULICHOKILENGA KWA KIONGOZI HUYO,KITAKURUDIA WEWE MWENYEWE.HESHIMA YA SHEIKH KIPOZEO NI KUBWA KULIKO CHOCHOTE CHAKO.BADILIKA
    NDUGU.

  • @tyronemofekeng7152
    @tyronemofekeng7152 5 місяців тому

    Maandishi hujielewi

  • @kaidiSaid-ot9nl
    @kaidiSaid-ot9nl 5 місяців тому

    Nadhani ameshitukishwa majibu haya laa

  • @goldlineofficial8778
    @goldlineofficial8778 4 місяці тому

    Wewe interviewer una matatizo maswali yako Mimi ningekutia kofi Bwege ww huna akili

  • @BJMKANGALA1
    @BJMKANGALA1 5 місяців тому

    Taaluma ya uandishi imevamiwa!

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 5 місяців тому +1

    Tumesikia ukaribu wa kipozeo na Hananja, unaongopa na huku umefunga. Anyway hata hivyo uongo unaruhusiwa kwenye Uislam ili mradi uwe kwa manufaa ya Uislam.

  • @JeanMuzaliwa-bs6qh
    @JeanMuzaliwa-bs6qh 5 місяців тому

    we mwenyewe umeshachoma ndevu la kufuatia utakuwa choga,kama ww kiongozi unakaa ivo vp kuhusu wale unaoongoza?dini nyingine ni shida tupu!

    • @godwinkileo7702
      @godwinkileo7702 5 місяців тому

      Hajachoma kaweka hina

    • @pacifiquemukanya1009
      @pacifiquemukanya1009 5 місяців тому

      WWE JEAN ACA COMMENT ZA KIJINGA KAMA HUJIWI UMUHIM WA HINNA ULIZA

    • @JeanMuzaliwa-bs6qh
      @JeanMuzaliwa-bs6qh 5 місяців тому

      @@pacifiquemukanya1009 kama ww ni muislamu uko kwenye hatari,pia naomba unifunze ww mwenyewe kujuwa!