Wewe ni mtangazaji nguli sana! Kongole kwa kazi ambazo unafanya! Mungu akupe heri na kukufanikishia yote! Big up sana Salim Kikeke Umeonyesha uzalendo kurudi nyumbani kurudisha na kuchangia katika taifa lako!! Pongezi sana kuonyesha muhimu na dhamani ya kazi yako. Kuwepo nyumbani tu inaonyesha na pia inawapa nguvu wale ambao wanadharau kazi kama yako!! nenda na msimamo huo wa kuonesha na kuelimisha jamii na wengine kuhusu dhamani ya kazi yako na pia mabadiliko ya mwajiri na mwajiliwa. Karibu sana nyumbani.
Yani mwanadamu ukiwa Africa unapachoka ukienda ulaya unapachoka ukila sana ni shida, ukiwa na njaa ni shida ,,,raha pekee na amani na tulizo lipo ndani ya YESU KRISTO tu
One of the best interview.. Yametemwa madini Sana, nmependa ubunifu, kuanzia kwenye intro ya uyo dada, ilo beat na utulivu wa show...Kikeke toka aondoke BBC sifatilii tena Dira ya Dunia.
Wasanii na watu mashuhuri kuna cha kujifunza hapa; Salim licha ya kukaa Uingereza miaka 20 bado anatumia lugha moja kwenye mazungumzo. Sijasikia popote akichanganya Lugha ya Kiswahili na Kiingereza. Kuna kubwa la kujifunza hapa. Hongera Salim.
Nakupongeza sana Mr Salimu Kikeke kwa uamuzi wa kurudi nyumbani. Wengine hudharau kwao kwamba Ulaya ni bora. Wewe ni mfano wa kuigwa. Karibu sana Tanzania tujenge wote nchi yetu.
Wajat sijaja ulaya nilimuomba Mungu sana nipate kazi uku ila tangu nifike ulaya namuomba Mungu sana nilud Tanzania sema mkataba unanibana Yan ndugu zangu wote kila siku nawambia jmni Tanzania ni kuzur mno maisha ya uku ni magumu cjawah kufurahia kuish uku
Vizuri sana Salim, kuna vitu viwili kwetu vinatupa utambulisho mbaya sana sana kwa watu wengine 1.Kujali 2.Kuthamini Washahili yapaswa tujizoeze kuja muda, kuja makubaliano, kujali fulsa. Pia kuthamini kitu cha mtu, kuthamini utu wa mtu, kuthamini chako na cha mwenzako. Mwisho kutambua!
“Voluntary Redundancy” kwa muda aliotumikia BBC kuna malipo ambayo mwajiri anamlipa mwajiriwa au unalipwa pale tu mwajiri anapokubali ombi lako. Na malipo yanategemea na umri wako na muda uliotumikia, kwa Iyo Kikeke hajarudi mtupu kuna Maokoto yake mfukoni yanamsogeza sogeza katika muda huu alioamua kuja kupambana nyumbani, Well done Kikeke
Ukimwambia mtu aliyeko afrika kwamba ulaya kuna upweke anaona unaongea nini wewe??mi napata pesa yangu nzuri sina muda kuwaza upweke😂😂😂😂😂😂usilolijua ni kama usiku wa giza
Amejitahidi sana awe hazungumzib kwa kutumia maneno ya Kiingereza, na akitamka neno kwa Kiingereza basi amesahau maana yake kwa lugha ya Kiswahili. This is fantastic, tofauti na watu wetu wengi, Kiingereza kingi na hawakijui
Karibu nyumbani. Naipenda nchi yangu. Nami ni mmoja wa wake wanaopenda nyumbani. Hata hapa Tz maisha mazuri yanapatikana na furaha na mengine mengi Mungu aliyotupatia au kutupendelea sisi wakushi. Mungu fundi. Mungu ibariki Mungu ibariki Tanzania. Usiogope maisha yanaenda tuuuu
Upo vizuri sana kaka salim, binafc nmeanza kukuckiliza Redion ukitangaza ktk idhaa ya BBC, ulinifanya nikawa siachi kutembea na karedio kadogooo, ilimlad tu nikuckilize ukitangaza mpira wa wingereza, pongezi sana kaka🎉
Huwezi kutulia lazima uzurule ujifunze, huwezi kujirundika sehemu Moja. Nilianza kuzurura( Europe na kuishi USA)nikiwa na umri wa miaka 29 nikararudi nikiwa na 39. Nimerudi naninafurahia kuzurura kwangu. SASA nina 68. Nakubaliana 100% na S. Kike, there is "No Free lunch"! Kuna ups na downs za maisha mahali popote duniani. Lakini katika maisha " seeing is believing"/ " kuona ni kuamini".
Sababu sio za msingi sana .ila kwa kuwa kaamuwa .kila pahala watu wanaish life style yao kila eneo dunian.maisha ya ulaya na marekan kama unapata kaz utakiw kuwa mvivu..maana muda wa kupumzika n mdogo sana ..na BILLS za kutosha .hakuna kukwepa kwepa kama huku .
Kwanza Mr Salim Kikeke wewe ni mfano wa kuingwa na unaroho nzuri sana unaroho ya kusaidia wenzako na Allah Subhanallahu wa Taala anakuwezesha tunamshukuru kwa kutunuku hilo na tunamuomba aendelee kukujalia kila la kheri. Na wa Tanzania viongozi wa juu tambueni umuhimu wa huyu mtu muhimu kwetu aweze kupata nafasi ya kudumu ya juu hapa kwetu aweze kuwezesha watoto/wajukuu wetu kupata alicho nacho
Safi Kikeke ila mandevu hayo hayapendezi kabisa yanachukiza sana. Hebu naomba uyakate kisha hiyo canter uiweke kichwani kwenye nywele. Ni ushauri wangu kakangu nakupenda sana hasa ulivyokuwa ukitangaza big up!
hongera sana mtangazaji unayehoji maswali, hakika unauliza maswali kwa umakini na utulivu sanaaa. hakika una utulivu wa kiuandishi. fanya hivyo kwa wengine hadi kwa makamu wa raisi.
Kheri zaidi mtu kuenda nje kwa ajili kupata msingi wa kipato na mabalozi wanastahiki kuwa saidia wananchi wa tanzania wanapokwenda nje ya nchi kuwasimamia kupata ajira kwa wale ambao wanapata tabu ktk suala la ajira ili unapofika mda wa kurudi baada miaka wawe wameshapata misingi ya kimaisha kama mzee kikeke apo na wengneo
✓ukiwa na wanawake wengi utachoka ✓ ukiwa na wanaume wengi pia utachoka ✓ ukilala sana utachoka ✓ ukiwa kwenye hotel kubwa unachoka ✓ ukiwa mganga unachoka, ❤Lakini ukiwa kwa Yesu kristo hakuna kuchoka katika hali na mali.Yesu nitie nguvu nimalize mwendo salama
Yani ningekua nimeshakusanya ela nyingi ningerudi Tanzania maisha ya ulaya no ya upweke sana, kikubwa ningebaki tu na Access ya kwenda na kurudi tu kwa ajiri ya kutibiwa tu na vacations
Ni Mwanamajununi Mbobezi.... Ila tu ADHIHIRISHE Uanagenzi Kwenye KISWAHILI kwa Kuondoa hizo Eeeeeh nyingi. Ili ajidhihilishe hafikiri Senteso inayo fuata.
Upweke au maisha ya Upweke nimoja ya sabau zinazo sumbua sana watu wanao ishi mbali na nchi zao. Maisha bila kuwa karibu na familia au ndugu zako pamoja na marafiki wako nivigumu kufurahia kuishi nje ya nchi. Kuongea na ndugu au marafiki zako kupitia simu haitoshi, kuna muda unaitaji ata salamu ya kugusa mtu kwa mkono, kukaa na kuongea na marafiki zako ana kwa ana. Nimeishi nje/ China wakati wa corona Upweke kidogo unifanye kicha. Maisha Bora na ya furaha yako hapo hapo ulipo nyumbani kijijini kwenu kuliko kwenye nchi za watu. Mungu akutangulie S.Kikeke tunajivunia watu kama wewe. Wale tunao ishi nje ya nchi tukkumbuke kuwa nchi yetu inaitaji msaada wetu ili kuendelea na kutoa maisha ya kiwango cha juu kama maisha tunayo kimbilia kutafuta kwenye nchi za watu. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Africa.
Well said, lakini kumbuka kupuuzia mipango mingi ya kupata pesa wakati huna kazi ya kueleweka! Kwakufanya hivyo utafurahia sana maisha ya Nyumbani Tanzania.
Sio kweli jamaa unasema Tanzania ũkĩwa huna hela unakuwa mpweke? Nakataa sasa si watanzania wengi si wangekuwa wapweke sana? Kinacholeta upweke mkubwa tz ni watu kutaka kuishi maisha ya kupita uwezo au viwango vyao,mfano hapa dar watu wengi wanaishi kwa upweke sana maana wanapenda kushindana kwenye nyanja Za maisha ,kutaka maisha ya juu na kuishi Kuliko kipato chako ni sababu kuu ya upweke.lakini ukisema kukosa hela sio kweli maana asilimia 80 ya watanzania wanategemea Kilimo na Kilimo kuna MUda wa kusubiri ilĩ mazao yakomae sasa unadhani inakuwaje
interview nzuri na location nzuri ila MILLARD izo wired mike ni very local,itashusha taasisi kwann msingeweka meza na avae wireless mike?,,lifanyieni kazi hilo sio mtangazaji mkubwa ashike maiki mkononi mwanzo mwisho,mmemkosea
Presenter apewe maua yake, fantastic interview 🔥🔥🙌💯
Wewe ni mtangazaji nguli sana! Kongole kwa kazi ambazo unafanya! Mungu akupe heri na kukufanikishia yote! Big up sana Salim Kikeke Umeonyesha uzalendo kurudi nyumbani kurudisha na kuchangia katika taifa lako!! Pongezi sana kuonyesha muhimu na dhamani ya kazi yako. Kuwepo nyumbani tu inaonyesha na pia inawapa nguvu wale ambao wanadharau kazi kama yako!! nenda na msimamo huo wa kuonesha na kuelimisha jamii na wengine kuhusu dhamani ya kazi yako na pia mabadiliko ya mwajiri na mwajiliwa. Karibu sana nyumbani.
Siku zote mkataa kwao no mtumwa Mimi nakuku Bali Sana Kaka Salim like mungu akulinde nafitna za wanadam karbu nyumbani kk
Yani mwanadamu ukiwa Africa unapachoka ukienda ulaya unapachoka ukila sana ni shida, ukiwa na njaa ni shida ,,,raha pekee na amani na tulizo lipo ndani ya YESU KRISTO tu
Yote Ni ubatili mtupu
Amen UBARIKIWE zaidi 🙌🙌🙌
Hakika, yote ni ubatili mtupu pasipo *Yesu Kristo*
Fact kabsa,
Yesu ndo nani??? Nyie hapa duniani hakuna maisha bora tufanye ibada tukaishe maisha ya milele
One of the best interview..
Yametemwa madini Sana, nmependa ubunifu, kuanzia kwenye intro ya uyo dada, ilo beat na utulivu wa show...Kikeke toka aondoke BBC sifatilii tena Dira ya Dunia.
Hata mm kabisa, BBC sifatilii tena
Nyie huyu Jamaa anayemhoji Kikeke Anajua 🔥🔥
anajua na anajua tena😊
AyoTv inshort ipo vizuri kila sehem anzia kwa wafanyakaz wake, (chunguza)
Kumhoji professional wa habari ni kzi lzim ujipange so ayo alitafuta best presenter ili kumhoj kikeke
Wasanii na watu mashuhuri kuna cha kujifunza hapa; Salim licha ya kukaa Uingereza miaka 20 bado anatumia lugha moja kwenye mazungumzo. Sijasikia popote akichanganya Lugha ya Kiswahili na Kiingereza.
Kuna kubwa la kujifunza hapa. Hongera Salim.
kaangalie akiwa anatangaza vitu vya utalii anavyoongea english tupu
@@waltergilbert3967hio ni utalii umeshasema😅
@@waltergilbert3967 umeshasema, " UTALII" af hapo anahojiwa ni tofauti na kutangaza
Hapo tungesikia yes yu nooo nyoko nyoko
@@irenesethmara actually usually ndo kingereza chao😂
He is one of the best swahili broadcaster in the swahili region.....Great love from Kenya.
Nakupongeza sana Mr Salimu Kikeke kwa uamuzi wa kurudi nyumbani. Wengine hudharau kwao kwamba Ulaya ni bora. Wewe ni mfano wa kuigwa. Karibu sana Tanzania tujenge wote nchi yetu.
Wajat sijaja ulaya nilimuomba Mungu sana nipate kazi uku ila tangu nifike ulaya namuomba Mungu sana nilud Tanzania sema mkataba unanibana Yan ndugu zangu wote kila siku nawambia jmni Tanzania ni kuzur mno maisha ya uku ni magumu cjawah kufurahia kuish uku
Vizuri sana Salim, kuna vitu viwili kwetu vinatupa utambulisho mbaya sana sana kwa watu wengine
1.Kujali
2.Kuthamini
Washahili yapaswa tujizoeze kuja muda, kuja makubaliano, kujali fulsa.
Pia kuthamini kitu cha mtu, kuthamini utu wa mtu, kuthamini chako na cha mwenzako.
Mwisho kutambua!
“Voluntary Redundancy” kwa muda aliotumikia BBC kuna malipo ambayo mwajiri anamlipa mwajiriwa au unalipwa pale tu mwajiri anapokubali ombi lako.
Na malipo yanategemea na umri wako na muda uliotumikia, kwa Iyo Kikeke hajarudi mtupu kuna Maokoto yake mfukoni yanamsogeza sogeza katika muda huu alioamua kuja kupambana nyumbani,
Well done Kikeke
Ukimwambia mtu aliyeko afrika kwamba ulaya kuna upweke anaona unaongea nini wewe??mi napata pesa yangu nzuri sina muda kuwaza upweke😂😂😂😂😂😂usilolijua ni kama usiku wa giza
Milard Ayo una watangazaji professional ' Huyu kaka ni mtangazaji wa Kimataifa' Yani ni 🔥🔥🔥
Huoni anaiga sauti ya zuhura yunis
Hongera sana Salim Kikeke.
Kazi nzuri mtangazaji, mahojiano mazuri.
MashaAllah 🎉🎉🎉huyu kaka is very well spoken.
No wonder tunampenda,
Huyu anayehoji hapa ni genius 🙌
Wizara iwatumie watu kama Hawa katika wizara ya habari Ili waikuze sekta ya habari 18:02
Hongera Bwana Kikeke kwa interview iliyojaa weredi na mvuto wa kipeke. Nimefurahi kusikia kwamba mkono (5) unakuhusu!
One of the coolest interviews
Big up mwandishi
Kaka SALIMU BBC uliifanya ing'are na hasa kwapenda KISWAHILI. Karibu tunakupenda. MAGUFULI alisema nyumbani kumenoga. Mungu amhifadhi salama.
Huyu dada aliyeweka sauti at the beginning yuko vizuri, Vijana wa kileo wanatumia lugha ya kwamba apewe maua yake
Mimi ni mpenzi wa Dira ya Dunia kuodoka kwa S.K kumenifanya niache kuisikiliza.Mungu ampe maisha marefu aweze kutumia kipaji chake kujenga Tanzania.
Amejitahidi sana awe hazungumzib kwa kutumia maneno ya Kiingereza, na akitamka neno kwa Kiingereza basi amesahau maana yake kwa lugha ya Kiswahili. This is fantastic, tofauti na watu wetu wengi, Kiingereza kingi na hawakijui
Amekaa Uingereza miaka 20 anaongea kiswahili murwaa. Kutana sasa na wabongo movie😂😂😂
hiki ndo nachojiuliza
😂😂😂😂narud ku comments
Interview Bora sana Broh Rama #TZA umetulia sana maswali ya ukika pia Salim saf sana .....Bonge moja la Interview 🔥🔥🔥
Mm ni mmoja wa watu ambao nakukubali sana Salim kikeke, endelea kuchapa kazi hata hapa tz tutaendelea kuwa nyuma Yako.
Kaka Salimu you are a great man mtu wa mfano long live ila nilianza kuchukia dira ya dunia ulivoondoka ndo hvyo hvyo nimeanza tena upya
Anzisha kampuni yako handsome boy wa Taifa Africa mashariki na kati😍😍😍
Kikeke is a star, inspirational and talented
one of the best interview in this year🔥🔥🔥
Karibu nyumbani. Naipenda nchi yangu. Nami ni mmoja wa wake wanaopenda nyumbani. Hata hapa Tz maisha mazuri yanapatikana na furaha na mengine mengi Mungu aliyotupatia au kutupendelea sisi wakushi. Mungu fundi. Mungu ibariki Mungu ibariki Tanzania. Usiogope maisha yanaenda tuuuu
Nyumbani ni nyumbani karibu Mbeya. Tunafurahi kurudi home. ❤
ni mtu wa mbeya?
@@winnerjudith2007 sina hakika sana japo kuna kipindi alikua anahojiwa akasema Mbeya ameishi
@@monicasimpilu6257hamna bana huyu mwamba mpemba zanzibar.
@@winnerjudith2007sidhani asee kama hichi Chuma cha mbeya
Hii chuma sidhani km ya mbeya hii itakuwa kusini huku mtwara mtwara labda
Salim kikeke interview yako iko makini na ina somo kubwa salute bro
Interview imetulia sana big up kwa mtangazaji
Upo vizuri sana kaka salim, binafc nmeanza kukuckiliza Redion ukitangaza ktk idhaa ya BBC, ulinifanya nikawa siachi kutembea na karedio kadogooo, ilimlad tu nikuckilize ukitangaza mpira wa wingereza, pongezi sana kaka🎉
very professional interview congrats🎉
Mashaallah Mwenyezi Mungu akujalie kila kheli nakuona mbali sana, Umuhimu wako Unajulika ni jambo la muda tu.
Yuko vizuri sana mkataa kwao mtumwa namkubali sana Salim sana
Vijana jifunzeni kutulia katika maisha kupitia kwa Bro Salim Kikeke... karibuni
Huwezi kutulia lazima uzurule ujifunze, huwezi kujirundika sehemu Moja. Nilianza kuzurura( Europe na kuishi USA)nikiwa na umri wa miaka 29 nikararudi nikiwa na 39. Nimerudi naninafurahia kuzurura kwangu. SASA nina 68. Nakubaliana 100% na S. Kike, there is "No Free lunch"! Kuna ups na downs za maisha mahali popote duniani. Lakini katika maisha " seeing is believing"/ " kuona ni kuamini".
Sorry, Kikeke
Namkubali sana Mr Kikeke, ur really an inspiration, Unastahii heshima, U have it all brother
Hii intaview angemuoji mirad ayo ingekuwa bonge moja la intaview ila siyo mbaya kijana upo vizuri🎉❤❤❤
Huwezi kujua baada ya interview hii kijana atakuwa wapi
sio kila kitu afanye Milard maana kuna Vidox nae alikuwa poa saiz kala shavu Clouds Media
Hata mimi nimechoka sana maisha ya Ulaya. Baada ya miaka 27 Denmark nataka kurudi Tanzania.
Mimi miaka 23 USA 🇺🇸 I miss home
Kaka usitamani huku sisi tunatamani kuja huko njia hakuna
@@chibunews5642 Sasa tuelewane niko dollars laki bili kwenye bank huku tunalipa ma bili nduguzagu Tanzania
@@chibunews5642😂😂😂😂Ukifika huku ndiyo,utafeel hayo tunayo yapitia!
😂😂😂
❤❤❤ salim for president
😊😊😊 nimechoka maisha ya hapa Denmark wa 12 narudi Tanzania
,,,,,😂😂😂😂 mtu uko Mbagala ...tu hapo labda uwende Moshi ... December ukaesabiwe
Njoo upauke pumbu
IGA ufeee 😅😅😅
Uzuri wa ulaya hata kama huna pesa unabidilisha wasenge hii kitu mimi ndiyo maana naipenda.
Salim Kikeke ❤️
Kikeke nakukubali sana katika kazi zako mungu azidi kukubari
Millard, nunua wireless microphone, unawachosha watu mikono, sikuhz interview hatufanyi na mic za kushika mkononi😅
Mtu anashika lungu hadi anasahau ya kuongea kwer
Ongela Sana mungu akubaliki🎉🎉🎉🎉
Genius man🎉
Sababu sio za msingi sana .ila kwa kuwa kaamuwa .kila pahala watu wanaish life style yao kila eneo dunian.maisha ya ulaya na marekan kama unapata kaz utakiw kuwa mvivu..maana muda wa kupumzika n mdogo sana ..na BILLS za kutosha .hakuna kukwepa kwepa kama huku .
kwake ni sababu za msingi
Kwako wewe ni hivyo Kwa mwingine sio, so sababu alizozitoa ni sa msingi upweke sio kitu kizuri kabisa.
Além de kikeke gostei também de postura de apresentador coloca bem as questões 🇲🇿
Pongezi kwake Salmu Kikeke ❤❤❤❤ mkataa kwao ni mtumwaa .hongera.kaka
Namkubar sana salim kikeke noma kweli
Inawezekana huyu kikeke pesa zimemtosha
Mungu akubariki sana kikeke kwa maamuzi Yako binafsi yenye hekima na busara
I learn alot
A very good interview
Kwanza Mr Salim Kikeke wewe ni mfano wa kuingwa na unaroho nzuri sana unaroho ya kusaidia wenzako na Allah Subhanallahu wa Taala anakuwezesha tunamshukuru kwa kutunuku hilo na tunamuomba aendelee kukujalia kila la kheri. Na wa Tanzania viongozi wa juu tambueni umuhimu wa huyu mtu muhimu kwetu aweze kupata nafasi ya kudumu ya juu hapa kwetu aweze kuwezesha watoto/wajukuu wetu kupata alicho nacho
Safi Kikeke ila mandevu hayo hayapendezi kabisa yanachukiza sana. Hebu naomba uyakate kisha hiyo canter uiweke kichwani kwenye nywele. Ni ushauri wangu kakangu nakupenda sana hasa ulivyokuwa ukitangaza big up!
Sunnah hiyo
Facial hair ni pambo zuri kwa wanaume na ni sunnah pia kwa sisi waislamu, kila mtu ana mitazamo tofauti
huyo ni muislam shika adabu yako
hongera sana mtangazaji unayehoji maswali, hakika unauliza maswali kwa umakini na utulivu sanaaa. hakika una utulivu wa kiuandishi. fanya hivyo kwa wengine hadi kwa makamu wa raisi.
Mama ampe kazi tu ata akiongezeka kwenye habari akiwa msemaji mtangazaji wa serikali sio mbaya
Legendary
I love salim ❤
Hakika tulizoea sauti zenu na Zuhura mmetubeba sana. Hongereni. Njooni musaidie waandishi vijana Tanzania nao wawe mahiri hasa ktk uandishi wa kiuchunguzi ( Investigative Journalism).
Mwana habari nguri zaidi na mfano wa kuigwa kwa wengine Salim kikeke
Sio nguri Brother ni nguli ok
Hongera rafiki yangu, katk radio
kikike waambie watu ukweli kwamba bbc swahili ilirudishwa africa tena hapo kenya sasa wewe ungebaki ulaya kufanya nini tena
Great interview! 👏🏾
Nampendaga sana kikeke
Kheri zaidi mtu kuenda nje kwa ajili kupata msingi wa kipato na mabalozi wanastahiki kuwa saidia wananchi wa tanzania wanapokwenda nje ya nchi kuwasimamia kupata ajira kwa wale ambao wanapata tabu ktk suala la ajira ili unapofika mda wa kurudi baada miaka wawe wameshapata misingi ya kimaisha kama mzee kikeke apo na wengneo
Una kitu kaka, Utafika mbali
Maisha ya ughaibuni ni ya kupita. Lakini kama inawezekana hakikisha unayapitia😃😃
Walikupenda na pia kuna kitu kipo ndani yako ndomana walikua wanakung'ang'ania. Hongera sana.
Mimi ni Salim Kikeke , alamsiki
Waziri wa Habari wa miaka ya mbeleni
😊😊😊
✓ukiwa na wanawake wengi utachoka
✓ ukiwa na wanaume wengi pia utachoka
✓ ukilala sana utachoka
✓ ukiwa kwenye hotel kubwa unachoka
✓ ukiwa mganga unachoka,
❤Lakini ukiwa kwa Yesu kristo hakuna kuchoka katika hali na mali.Yesu nitie nguvu nimalize mwendo salama
Amina😂😂😂😂😂😂sijui umewaza nn
Huyo muongo aliona BBC inahamia Kenya itakua sio ulaya tena
NAKUPONGEZA NDUGIANGU KWA KURUDI NYUMBANI NA KUTHANI UTU WAKO NA TAIFA LAKO KILA LA KHERY INSHAALLAH!!! ❤❤❤
Mansha Allah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Role model💕🥰
Ila emb tu appreciate kazi ya uyu presenter anayemhoji kikeke ametulia na amejipanga mno on point
Ni interview lakini kama Dira ya Dunia mpaka Raha🤗
Masha ALLAH
hongera ndg salimu kurejea nyumban maana wachache sana
Awesome interview ❤
MTANGAZAJI YUKO SO SMART,ANAULIZA MASWALI STANDARD,AMETULIA,HANA PAPARA...... NAKUONA MBALI..
Anaye muhoji pia ni nguli
Elimu pia zinasaidia sana
Yani ningekua nimeshakusanya ela nyingi ningerudi Tanzania maisha ya ulaya no ya upweke sana, kikubwa ningebaki tu na Access ya kwenda na kurudi tu kwa ajiri ya kutibiwa tu na vacations
Interview unasikiliza mpaka mwisho na haukwaziki,yaani anayehoji na anayehojiwa wote mafunzo🙌🙌Akili nyingi Sana.
Hadi raha naam 😊
Nimechoka maisha ya hapa JORODOM, narudi nyumbani Tanzania
Hahaha wapo huko...au chini ya mlima hannangw
@@josephlorri431😂😂😂😂😂😂
Nilikua nawakubali Sana na naipenda Sana BBC ila kwa sasa sio kama mwazo
Najikuta navizia maswali ya muulizaji..dah huyu anajitaidi sana. Alafu ametulia anapomuuliza Salim..safi sana
This man is genius
Ni Mwanamajununi Mbobezi....
Ila tu ADHIHIRISHE Uanagenzi Kwenye KISWAHILI kwa Kuondoa hizo Eeeeeh nyingi.
Ili ajidhihilishe hafikiri Senteso inayo fuata.
Haina shida hio usifikirie sentensi ijayo ili iweje.
Hii genius watanzania tunaifahamu maana yake? Maana hapa sioni kikubwa cha kumfanya awe genius
Du..izo comment!!
""umajununi"
"uanagenzi"
@@omarali797 hata wewe ni genius kwenye eneo lako
Upweke au maisha ya Upweke nimoja ya sabau zinazo sumbua sana watu wanao ishi mbali na nchi zao. Maisha bila kuwa karibu na familia au ndugu zako pamoja na marafiki wako nivigumu kufurahia kuishi nje ya nchi. Kuongea na ndugu au marafiki zako kupitia simu haitoshi, kuna muda unaitaji ata salamu ya kugusa mtu kwa mkono, kukaa na kuongea na marafiki zako ana kwa ana. Nimeishi nje/ China wakati wa corona Upweke kidogo unifanye kicha. Maisha Bora na ya furaha yako hapo hapo ulipo nyumbani kijijini kwenu kuliko kwenye nchi za watu.
Mungu akutangulie S.Kikeke tunajivunia watu kama wewe. Wale tunao ishi nje ya nchi tukkumbuke kuwa nchi yetu inaitaji msaada wetu ili kuendelea na kutoa maisha ya kiwango cha juu kama maisha tunayo kimbilia kutafuta kwenye nchi za watu.
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Africa.
Tanzania very social country ❤
Point❤
Kabisa yaaani ulichoandika
nakumbuka enzi za covid kuna siku nimeingia kwenye lift kaihong mall wachina wakatoka wote 😄😂
That was normal. ...
Which city were you living ? @@samwelmichaelchangarawe5800
Tanzania ukiwa mgenii utaonekana mzuriii wakikuchoka unakuwa hovyooooo hongera kwa kurudii bong kwetu
Karibu nyumba mpendwa wetu
• Tanzania ni pazuri kama una hela, ila kama hauna utazunguka tu mwishowe bado utakua na upweke wa Umaskini.
Well said
Well said, lakini kumbuka kupuuzia mipango mingi ya kupata pesa wakati huna kazi ya kueleweka! Kwakufanya hivyo utafurahia sana maisha ya Nyumbani Tanzania.
Sio kweli jamaa unasema Tanzania ũkĩwa huna hela unakuwa mpweke? Nakataa sasa si watanzania wengi si wangekuwa wapweke sana? Kinacholeta upweke mkubwa tz ni watu kutaka kuishi maisha ya kupita uwezo au viwango vyao,mfano hapa dar watu wengi wanaishi kwa upweke sana maana wanapenda kushindana kwenye nyanja Za maisha ,kutaka maisha ya juu na kuishi Kuliko kipato chako ni sababu kuu ya upweke.lakini ukisema kukosa hela sio kweli maana asilimia 80 ya watanzania wanategemea Kilimo na Kilimo kuna MUda wa kusubiri ilĩ mazao yakomae sasa unadhani inakuwaje
Umenifubua Cho my brother Salam zangu kutoka USA I'm coming back home Africa zanzibar
Seriously 😮 binafsi naplan za ku relocate USA.
interview nzuri na location nzuri ila MILLARD izo wired mike ni very local,itashusha taasisi kwann msingeweka meza na avae wireless mike?,,lifanyieni kazi hilo sio mtangazaji mkubwa ashike maiki mkononi mwanzo mwisho,mmemkosea
Mbona zipo izo fatilia interview za Millard ayo
HONGERA SANA KAKA KURUDI NYUMBANI NQKUEKEWA SANAAAAA❤❤❤
nimejufunza mengi kupitia interview hii AHSANTEN WAHUSIKA
That is
Huyu Salimu Kikeke ni mtu rahimu sana na mtu makini sana.