EXCLUSIVE: KIKEKE AFUNGUKA SABABU ZA KUONDOKA BBC “HAKUNA HAKIKISHO LA MAISHA BORA ULAYA”

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 537

  • @johnsonchonja4032
    @johnsonchonja4032 Рік тому +18

    Presenter apewe maua yake, fantastic interview 🔥🔥🙌💯

  • @DeejayMaasai-EneMkulati
    @DeejayMaasai-EneMkulati Рік тому +25

    Wewe ni mtangazaji nguli sana! Kongole kwa kazi ambazo unafanya! Mungu akupe heri na kukufanikishia yote! Big up sana Salim Kikeke Umeonyesha uzalendo kurudi nyumbani kurudisha na kuchangia katika taifa lako!! Pongezi sana kuonyesha muhimu na dhamani ya kazi yako. Kuwepo nyumbani tu inaonyesha na pia inawapa nguvu wale ambao wanadharau kazi kama yako!! nenda na msimamo huo wa kuonesha na kuelimisha jamii na wengine kuhusu dhamani ya kazi yako na pia mabadiliko ya mwajiri na mwajiliwa. Karibu sana nyumbani.

  • @RashidiMngoya
    @RashidiMngoya Рік тому +14

    Siku zote mkataa kwao no mtumwa Mimi nakuku Bali Sana Kaka Salim like mungu akulinde nafitna za wanadam karbu nyumbani kk

  • @flm1530
    @flm1530 Рік тому +282

    Yani mwanadamu ukiwa Africa unapachoka ukienda ulaya unapachoka ukila sana ni shida, ukiwa na njaa ni shida ,,,raha pekee na amani na tulizo lipo ndani ya YESU KRISTO tu

  • @melkizedeckelsonmbise4424
    @melkizedeckelsonmbise4424 Рік тому +8

    One of the best interview..
    Yametemwa madini Sana, nmependa ubunifu, kuanzia kwenye intro ya uyo dada, ilo beat na utulivu wa show...Kikeke toka aondoke BBC sifatilii tena Dira ya Dunia.

  • @Babuu200
    @Babuu200 Рік тому +32

    Nyie huyu Jamaa anayemhoji Kikeke Anajua 🔥🔥

    • @ndayisengaamissi6102
      @ndayisengaamissi6102 Рік тому +1

      anajua na anajua tena😊

    • @cosmasjulius
      @cosmasjulius Рік тому

      AyoTv inshort ipo vizuri kila sehem anzia kwa wafanyakaz wake, (chunguza)

    • @davidjoseph1143
      @davidjoseph1143 4 місяці тому

      Kumhoji professional wa habari ni kzi lzim ujipange so ayo alitafuta best presenter ili kumhoj kikeke

  • @ephrahimmasiko9873
    @ephrahimmasiko9873 Рік тому +42

    Wasanii na watu mashuhuri kuna cha kujifunza hapa; Salim licha ya kukaa Uingereza miaka 20 bado anatumia lugha moja kwenye mazungumzo. Sijasikia popote akichanganya Lugha ya Kiswahili na Kiingereza.
    Kuna kubwa la kujifunza hapa. Hongera Salim.

    • @waltergilbert3967
      @waltergilbert3967 Рік тому +1

      kaangalie akiwa anatangaza vitu vya utalii anavyoongea english tupu

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Рік тому +5

      ​@@waltergilbert3967hio ni utalii umeshasema😅

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 Рік тому +2

      @@waltergilbert3967 umeshasema, " UTALII" af hapo anahojiwa ni tofauti na kutangaza

    • @ireneseth
      @ireneseth Рік тому +2

      Hapo tungesikia yes yu nooo nyoko nyoko

    • @paulalove1223
      @paulalove1223 Рік тому

      ​@@irenesethmara actually usually ndo kingereza chao😂

  • @athmanmzee7144
    @athmanmzee7144 Рік тому +10

    He is one of the best swahili broadcaster in the swahili region.....Great love from Kenya.

  • @deodartngaiza6664
    @deodartngaiza6664 Рік тому +9

    Nakupongeza sana Mr Salimu Kikeke kwa uamuzi wa kurudi nyumbani. Wengine hudharau kwao kwamba Ulaya ni bora. Wewe ni mfano wa kuigwa. Karibu sana Tanzania tujenge wote nchi yetu.

    • @banguha
      @banguha Рік тому

      Wajat sijaja ulaya nilimuomba Mungu sana nipate kazi uku ila tangu nifike ulaya namuomba Mungu sana nilud Tanzania sema mkataba unanibana Yan ndugu zangu wote kila siku nawambia jmni Tanzania ni kuzur mno maisha ya uku ni magumu cjawah kufurahia kuish uku

  • @bezalelmbijima8182
    @bezalelmbijima8182 Рік тому +3

    Vizuri sana Salim, kuna vitu viwili kwetu vinatupa utambulisho mbaya sana sana kwa watu wengine
    1.Kujali
    2.Kuthamini
    Washahili yapaswa tujizoeze kuja muda, kuja makubaliano, kujali fulsa.
    Pia kuthamini kitu cha mtu, kuthamini utu wa mtu, kuthamini chako na cha mwenzako.
    Mwisho kutambua!

  • @alhabibsudi7997
    @alhabibsudi7997 Рік тому +19

    “Voluntary Redundancy” kwa muda aliotumikia BBC kuna malipo ambayo mwajiri anamlipa mwajiriwa au unalipwa pale tu mwajiri anapokubali ombi lako.
    Na malipo yanategemea na umri wako na muda uliotumikia, kwa Iyo Kikeke hajarudi mtupu kuna Maokoto yake mfukoni yanamsogeza sogeza katika muda huu alioamua kuja kupambana nyumbani,
    Well done Kikeke

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Рік тому +4

    Ukimwambia mtu aliyeko afrika kwamba ulaya kuna upweke anaona unaongea nini wewe??mi napata pesa yangu nzuri sina muda kuwaza upweke😂😂😂😂😂😂usilolijua ni kama usiku wa giza

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar Рік тому +4

    Milard Ayo una watangazaji professional ' Huyu kaka ni mtangazaji wa Kimataifa' Yani ni 🔥🔥🔥

    • @dreamboy5674
      @dreamboy5674 Рік тому +1

      Huoni anaiga sauti ya zuhura yunis

  • @mohamedmacha
    @mohamedmacha Рік тому +4

    Hongera sana Salim Kikeke.
    Kazi nzuri mtangazaji, mahojiano mazuri.

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Рік тому +10

    MashaAllah 🎉🎉🎉huyu kaka is very well spoken.
    No wonder tunampenda,

  • @EstherKisandu
    @EstherKisandu Рік тому +6

    Huyu anayehoji hapa ni genius 🙌

  • @joshuabryson8044
    @joshuabryson8044 Рік тому +3

    Wizara iwatumie watu kama Hawa katika wizara ya habari Ili waikuze sekta ya habari 18:02

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 Рік тому +8

    Hongera Bwana Kikeke kwa interview iliyojaa weredi na mvuto wa kipeke. Nimefurahi kusikia kwamba mkono (5) unakuhusu!

  • @barakafundo9208
    @barakafundo9208 Рік тому +11

    One of the coolest interviews
    Big up mwandishi

  • @JilbertDanifordMathayo-sn2gy
    @JilbertDanifordMathayo-sn2gy Рік тому +9

    Kaka SALIMU BBC uliifanya ing'are na hasa kwapenda KISWAHILI. Karibu tunakupenda. MAGUFULI alisema nyumbani kumenoga. Mungu amhifadhi salama.

  • @malimachacha4500
    @malimachacha4500 Рік тому +14

    Huyu dada aliyeweka sauti at the beginning yuko vizuri, Vijana wa kileo wanatumia lugha ya kwamba apewe maua yake

  • @AbdulSuleiman-q7e
    @AbdulSuleiman-q7e Рік тому +17

    Mimi ni mpenzi wa Dira ya Dunia kuodoka kwa S.K kumenifanya niache kuisikiliza.Mungu ampe maisha marefu aweze kutumia kipaji chake kujenga Tanzania.

  • @Rmkh88
    @Rmkh88 Рік тому +6

    Amejitahidi sana awe hazungumzib kwa kutumia maneno ya Kiingereza, na akitamka neno kwa Kiingereza basi amesahau maana yake kwa lugha ya Kiswahili. This is fantastic, tofauti na watu wetu wengi, Kiingereza kingi na hawakijui

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Рік тому +13

    Amekaa Uingereza miaka 20 anaongea kiswahili murwaa. Kutana sasa na wabongo movie😂😂😂

  • @zonemedia_tz
    @zonemedia_tz Рік тому +1

    Interview Bora sana Broh Rama #TZA umetulia sana maswali ya ukika pia Salim saf sana .....Bonge moja la Interview 🔥🔥🔥

  • @stevenvictor437
    @stevenvictor437 Рік тому +12

    Mm ni mmoja wa watu ambao nakukubali sana Salim kikeke, endelea kuchapa kazi hata hapa tz tutaendelea kuwa nyuma Yako.

  • @martinsntonyo8537
    @martinsntonyo8537 Рік тому +9

    Kaka Salimu you are a great man mtu wa mfano long live ila nilianza kuchukia dira ya dunia ulivoondoka ndo hvyo hvyo nimeanza tena upya

  • @annamussa185
    @annamussa185 Рік тому +6

    Anzisha kampuni yako handsome boy wa Taifa Africa mashariki na kati😍😍😍

  • @gasperymisungwi960
    @gasperymisungwi960 Рік тому +8

    Kikeke is a star, inspirational and talented

  • @lusekelogerald4714
    @lusekelogerald4714 Рік тому +14

    one of the best interview in this year🔥🔥🔥

  • @KeziaMgomo
    @KeziaMgomo Рік тому +2

    Karibu nyumbani. Naipenda nchi yangu. Nami ni mmoja wa wake wanaopenda nyumbani. Hata hapa Tz maisha mazuri yanapatikana na furaha na mengine mengi Mungu aliyotupatia au kutupendelea sisi wakushi. Mungu fundi. Mungu ibariki Mungu ibariki Tanzania. Usiogope maisha yanaenda tuuuu

  • @monicasimpilu6257
    @monicasimpilu6257 Рік тому +25

    Nyumbani ni nyumbani karibu Mbeya. Tunafurahi kurudi home. ❤

    • @winnerjudith2007
      @winnerjudith2007 Рік тому

      ni mtu wa mbeya?

    • @monicasimpilu6257
      @monicasimpilu6257 Рік тому

      @@winnerjudith2007 sina hakika sana japo kuna kipindi alikua anahojiwa akasema Mbeya ameishi

    • @MrNdanguza
      @MrNdanguza Рік тому

      ​@@monicasimpilu6257hamna bana huyu mwamba mpemba zanzibar.

    • @UsafiMichael-mc8kt
      @UsafiMichael-mc8kt Рік тому

      ​@@winnerjudith2007sidhani asee kama hichi Chuma cha mbeya

    • @faustinombilinyi9809
      @faustinombilinyi9809 4 місяці тому

      Hii chuma sidhani km ya mbeya hii itakuwa kusini huku mtwara mtwara labda

  • @AniziaKamanzi
    @AniziaKamanzi Рік тому

    Salim kikeke interview yako iko makini na ina somo kubwa salute bro

  • @nobody07241
    @nobody07241 Рік тому +20

    Interview imetulia sana big up kwa mtangazaji

  • @Anthony_Genge
    @Anthony_Genge Рік тому +6

    Upo vizuri sana kaka salim, binafc nmeanza kukuckiliza Redion ukitangaza ktk idhaa ya BBC, ulinifanya nikawa siachi kutembea na karedio kadogooo, ilimlad tu nikuckilize ukitangaza mpira wa wingereza, pongezi sana kaka🎉

  • @victorsabuni6801
    @victorsabuni6801 Рік тому +9

    very professional interview congrats🎉

  • @aciamwinyi3991
    @aciamwinyi3991 Рік тому +3

    Mashaallah Mwenyezi Mungu akujalie kila kheli nakuona mbali sana, Umuhimu wako Unajulika ni jambo la muda tu.

  • @emilysanga7662
    @emilysanga7662 Рік тому +3

    Yuko vizuri sana mkataa kwao mtumwa namkubali sana Salim sana

  • @OteshaTime_Services
    @OteshaTime_Services Рік тому +2

    Vijana jifunzeni kutulia katika maisha kupitia kwa Bro Salim Kikeke... karibuni

    • @williammakali1759
      @williammakali1759 5 місяців тому

      Huwezi kutulia lazima uzurule ujifunze, huwezi kujirundika sehemu Moja. Nilianza kuzurura( Europe na kuishi USA)nikiwa na umri wa miaka 29 nikararudi nikiwa na 39. Nimerudi naninafurahia kuzurura kwangu. SASA nina 68. Nakubaliana 100% na S. Kike, there is "No Free lunch"! Kuna ups na downs za maisha mahali popote duniani. Lakini katika maisha " seeing is believing"/ " kuona ni kuamini".

    • @williammakali1759
      @williammakali1759 5 місяців тому

      Sorry, Kikeke

  • @veen-24
    @veen-24 Рік тому

    Namkubali sana Mr Kikeke, ur really an inspiration, Unastahii heshima, U have it all brother

  • @salhamrishoi4943
    @salhamrishoi4943 Рік тому +1

    Hii intaview angemuoji mirad ayo ingekuwa bonge moja la intaview ila siyo mbaya kijana upo vizuri🎉❤❤❤

    • @Gitano255
      @Gitano255 Рік тому

      Huwezi kujua baada ya interview hii kijana atakuwa wapi
      sio kila kitu afanye Milard maana kuna Vidox nae alikuwa poa saiz kala shavu Clouds Media

  • @augustuss4503
    @augustuss4503 Рік тому +51

    Hata mimi nimechoka sana maisha ya Ulaya. Baada ya miaka 27 Denmark nataka kurudi Tanzania.

    • @khamisjuma8501
      @khamisjuma8501 Рік тому +9

      Mimi miaka 23 USA 🇺🇸 I miss home

    • @chibunews5642
      @chibunews5642 Рік тому +4

      Kaka usitamani huku sisi tunatamani kuja huko njia hakuna

    • @khamisjuma8501
      @khamisjuma8501 Рік тому

      @@chibunews5642 Sasa tuelewane niko dollars laki bili kwenye bank huku tunalipa ma bili nduguzagu Tanzania

    • @kdloon2030
      @kdloon2030 Рік тому +2

      ​@@chibunews5642😂😂😂😂Ukifika huku ndiyo,utafeel hayo tunayo yapitia!

    • @mpwaguzipwagu3199
      @mpwaguzipwagu3199 Рік тому

      😂😂😂

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 4 місяці тому

    ❤❤❤ salim for president

  • @gigoyrn4394
    @gigoyrn4394 Рік тому +19

    😊😊😊 nimechoka maisha ya hapa Denmark wa 12 narudi Tanzania

    • @abelianraphili5150
      @abelianraphili5150 Рік тому +2

      ,,,,,😂😂😂😂 mtu uko Mbagala ...tu hapo labda uwende Moshi ... December ukaesabiwe

    • @mayaally2512
      @mayaally2512 Рік тому +2

      Njoo upauke pumbu

    • @edwinkinyamagoha1228
      @edwinkinyamagoha1228 Рік тому +1

      IGA ufeee 😅😅😅

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 Рік тому +1

      Uzuri wa ulaya hata kama huna pesa unabidilisha wasenge hii kitu mimi ndiyo maana naipenda.

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar Рік тому +6

    Salim Kikeke ❤️

  • @AshaNalinga-g8r
    @AshaNalinga-g8r Рік тому +2

    Kikeke nakukubali sana katika kazi zako mungu azidi kukubari

  • @Stan-103
    @Stan-103 Рік тому +8

    Millard, nunua wireless microphone, unawachosha watu mikono, sikuhz interview hatufanyi na mic za kushika mkononi😅

    • @VeroJulius-s4y
      @VeroJulius-s4y 5 місяців тому +1

      Mtu anashika lungu hadi anasahau ya kuongea kwer

  • @AziziMapunda-vt4nv
    @AziziMapunda-vt4nv 6 місяців тому

    Ongela Sana mungu akubaliki🎉🎉🎉🎉

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 Рік тому +2

    Genius man🎉

  • @robertlinuma6051
    @robertlinuma6051 Рік тому +9

    Sababu sio za msingi sana .ila kwa kuwa kaamuwa .kila pahala watu wanaish life style yao kila eneo dunian.maisha ya ulaya na marekan kama unapata kaz utakiw kuwa mvivu..maana muda wa kupumzika n mdogo sana ..na BILLS za kutosha .hakuna kukwepa kwepa kama huku .

    • @joshck4117
      @joshck4117 Рік тому

      kwake ni sababu za msingi

    • @lydiabandio9416
      @lydiabandio9416 Рік тому

      Kwako wewe ni hivyo Kwa mwingine sio, so sababu alizozitoa ni sa msingi upweke sio kitu kizuri kabisa.

  • @ayrunyjtayruny279
    @ayrunyjtayruny279 Рік тому +2

    Além de kikeke gostei também de postura de apresentador coloca bem as questões 🇲🇿

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 Рік тому

    Pongezi kwake Salmu Kikeke ❤❤❤❤ mkataa kwao ni mtumwaa .hongera.kaka

  • @NuelyAlphonce-ts2dx
    @NuelyAlphonce-ts2dx Рік тому +1

    Namkubar sana salim kikeke noma kweli

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5tr Рік тому +2

    Inawezekana huyu kikeke pesa zimemtosha

  • @MichaelEliyahu
    @MichaelEliyahu Рік тому +4

    Mungu akubariki sana kikeke kwa maamuzi Yako binafsi yenye hekima na busara

  • @JackobGalish-ky3no
    @JackobGalish-ky3no Рік тому +6

    A very good interview

  • @salminasalim5630
    @salminasalim5630 Рік тому +4

    Kwanza Mr Salim Kikeke wewe ni mfano wa kuingwa na unaroho nzuri sana unaroho ya kusaidia wenzako na Allah Subhanallahu wa Taala anakuwezesha tunamshukuru kwa kutunuku hilo na tunamuomba aendelee kukujalia kila la kheri. Na wa Tanzania viongozi wa juu tambueni umuhimu wa huyu mtu muhimu kwetu aweze kupata nafasi ya kudumu ya juu hapa kwetu aweze kuwezesha watoto/wajukuu wetu kupata alicho nacho

  • @helenarhobi1250
    @helenarhobi1250 Рік тому +1

    Safi Kikeke ila mandevu hayo hayapendezi kabisa yanachukiza sana. Hebu naomba uyakate kisha hiyo canter uiweke kichwani kwenye nywele. Ni ushauri wangu kakangu nakupenda sana hasa ulivyokuwa ukitangaza big up!

    • @j4amas5
      @j4amas5 Рік тому

      Sunnah hiyo

    • @mustavic7750
      @mustavic7750 Рік тому

      Facial hair ni pambo zuri kwa wanaume na ni sunnah pia kwa sisi waislamu, kila mtu ana mitazamo tofauti

    • @DaviesKaale-v9s
      @DaviesKaale-v9s 6 місяців тому

      huyo ni muislam shika adabu yako

  • @amibeamibe7261
    @amibeamibe7261 Рік тому +1

    hongera sana mtangazaji unayehoji maswali, hakika unauliza maswali kwa umakini na utulivu sanaaa. hakika una utulivu wa kiuandishi. fanya hivyo kwa wengine hadi kwa makamu wa raisi.

  • @mweusisimba7185
    @mweusisimba7185 Рік тому +1

    Mama ampe kazi tu ata akiongezeka kwenye habari akiwa msemaji mtangazaji wa serikali sio mbaya

  • @JacoboleKampuni-px9rd
    @JacoboleKampuni-px9rd Рік тому +7

    Legendary

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 4 місяці тому

    I love salim ❤

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 4 місяці тому

    Hakika tulizoea sauti zenu na Zuhura mmetubeba sana. Hongereni. Njooni musaidie waandishi vijana Tanzania nao wawe mahiri hasa ktk uandishi wa kiuchunguzi ( Investigative Journalism).

  • @barakarobertmochungu
    @barakarobertmochungu Рік тому +15

    Mwana habari nguri zaidi na mfano wa kuigwa kwa wengine Salim kikeke

    • @vt-kn6qf
      @vt-kn6qf Рік тому

      Sio nguri Brother ni nguli ok

  • @WorshippersofGodarmy-ot1mk
    @WorshippersofGodarmy-ot1mk Рік тому

    Hongera rafiki yangu, katk radio

  • @InnocentWakwanza
    @InnocentWakwanza Рік тому +1

    kikike waambie watu ukweli kwamba bbc swahili ilirudishwa africa tena hapo kenya sasa wewe ungebaki ulaya kufanya nini tena

  • @pceodhc
    @pceodhc Рік тому +7

    Great interview! 👏🏾

  • @neema_mollel
    @neema_mollel Рік тому +6

    Nampendaga sana kikeke

  • @KhamisJihadi
    @KhamisJihadi Рік тому +6

    Kheri zaidi mtu kuenda nje kwa ajili kupata msingi wa kipato na mabalozi wanastahiki kuwa saidia wananchi wa tanzania wanapokwenda nje ya nchi kuwasimamia kupata ajira kwa wale ambao wanapata tabu ktk suala la ajira ili unapofika mda wa kurudi baada miaka wawe wameshapata misingi ya kimaisha kama mzee kikeke apo na wengneo

  • @vascostanleymbise8993
    @vascostanleymbise8993 Рік тому +1

    Una kitu kaka, Utafika mbali

  • @JackobGalish-ky3no
    @JackobGalish-ky3no Рік тому +3

    Maisha ya ughaibuni ni ya kupita. Lakini kama inawezekana hakikisha unayapitia😃😃

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 Рік тому +4

    Walikupenda na pia kuna kitu kipo ndani yako ndomana walikua wanakung'ang'ania. Hongera sana.

  • @chimnyengeUpdate
    @chimnyengeUpdate 9 місяців тому +3

    Mimi ni Salim Kikeke , alamsiki

  • @samirabdulla7675
    @samirabdulla7675 Рік тому +1

    Waziri wa Habari wa miaka ya mbeleni
    😊😊😊

  • @UsafiMichael-mc8kt
    @UsafiMichael-mc8kt Рік тому +1

    ✓ukiwa na wanawake wengi utachoka
    ✓ ukiwa na wanaume wengi pia utachoka
    ✓ ukilala sana utachoka
    ✓ ukiwa kwenye hotel kubwa unachoka
    ✓ ukiwa mganga unachoka,
    ❤Lakini ukiwa kwa Yesu kristo hakuna kuchoka katika hali na mali.Yesu nitie nguvu nimalize mwendo salama

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 10 місяців тому

      Amina😂😂😂😂😂😂sijui umewaza nn

  • @davidmwabusisya3856
    @davidmwabusisya3856 Рік тому +1

    Huyo muongo aliona BBC inahamia Kenya itakua sio ulaya tena

  • @halimamremi5375
    @halimamremi5375 Рік тому +1

    NAKUPONGEZA NDUGIANGU KWA KURUDI NYUMBANI NA KUTHANI UTU WAKO NA TAIFA LAKO KILA LA KHERY INSHAALLAH!!! ❤❤❤

  • @kamikazisalma5209
    @kamikazisalma5209 Рік тому +5

    Mansha Allah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @victoriaowen909
    @victoriaowen909 Рік тому +5

    Role model💕🥰

  • @jethanpaul818
    @jethanpaul818 Рік тому

    Ila emb tu appreciate kazi ya uyu presenter anayemhoji kikeke ametulia na amejipanga mno on point

  • @annamussa185
    @annamussa185 Рік тому +3

    Ni interview lakini kama Dira ya Dunia mpaka Raha🤗

  • @azzahrau
    @azzahrau Рік тому +1

    Masha ALLAH

  • @Dorajulius-o6m
    @Dorajulius-o6m Рік тому

    hongera ndg salimu kurejea nyumban maana wachache sana

  • @hassanabuu6
    @hassanabuu6 Рік тому +1

    Awesome interview ❤

  • @songweforecast9685
    @songweforecast9685 Рік тому +4

    MTANGAZAJI YUKO SO SMART,ANAULIZA MASWALI STANDARD,AMETULIA,HANA PAPARA...... NAKUONA MBALI..

  • @wahapahapa3279
    @wahapahapa3279 Рік тому +5

    Yani ningekua nimeshakusanya ela nyingi ningerudi Tanzania maisha ya ulaya no ya upweke sana, kikubwa ningebaki tu na Access ya kwenda na kurudi tu kwa ajiri ya kutibiwa tu na vacations

  • @sekilonge
    @sekilonge Рік тому +1

    Interview unasikiliza mpaka mwisho na haukwaziki,yaani anayehoji na anayehojiwa wote mafunzo🙌🙌Akili nyingi Sana.

  • @samwelnaal7952
    @samwelnaal7952 Рік тому +9

    Nimechoka maisha ya hapa JORODOM, narudi nyumbani Tanzania

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Рік тому

      Hahaha wapo huko...au chini ya mlima hannangw

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 10 місяців тому

      ​@@josephlorri431😂😂😂😂😂😂

  • @KhamisSerenge
    @KhamisSerenge Рік тому +1

    Nilikua nawakubali Sana na naipenda Sana BBC ila kwa sasa sio kama mwazo

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 8 місяців тому

    Najikuta navizia maswali ya muulizaji..dah huyu anajitaidi sana. Alafu ametulia anapomuuliza Salim..safi sana

  • @jasirimjasirimedia7940
    @jasirimjasirimedia7940 Рік тому +18

    This man is genius

    • @robertmhangwa218
      @robertmhangwa218 Рік тому +1

      Ni Mwanamajununi Mbobezi....
      Ila tu ADHIHIRISHE Uanagenzi Kwenye KISWAHILI kwa Kuondoa hizo Eeeeeh nyingi.
      Ili ajidhihilishe hafikiri Senteso inayo fuata.

    • @ريهامبنتمام
      @ريهامبنتمام Рік тому

      Haina shida hio usifikirie sentensi ijayo ili iweje.

    • @omarali797
      @omarali797 Рік тому +3

      Hii genius watanzania tunaifahamu maana yake? Maana hapa sioni kikubwa cha kumfanya awe genius

    • @mohamedisalimu
      @mohamedisalimu Рік тому

      Du..izo comment!!
      ""umajununi"
      "uanagenzi"

    • @jasirimjasirimedia7940
      @jasirimjasirimedia7940 Рік тому

      @@omarali797 hata wewe ni genius kwenye eneo lako

  • @egbertcharles
    @egbertcharles Рік тому +18

    Upweke au maisha ya Upweke nimoja ya sabau zinazo sumbua sana watu wanao ishi mbali na nchi zao. Maisha bila kuwa karibu na familia au ndugu zako pamoja na marafiki wako nivigumu kufurahia kuishi nje ya nchi. Kuongea na ndugu au marafiki zako kupitia simu haitoshi, kuna muda unaitaji ata salamu ya kugusa mtu kwa mkono, kukaa na kuongea na marafiki zako ana kwa ana. Nimeishi nje/ China wakati wa corona Upweke kidogo unifanye kicha. Maisha Bora na ya furaha yako hapo hapo ulipo nyumbani kijijini kwenu kuliko kwenye nchi za watu.
    Mungu akutangulie S.Kikeke tunajivunia watu kama wewe. Wale tunao ishi nje ya nchi tukkumbuke kuwa nchi yetu inaitaji msaada wetu ili kuendelea na kutoa maisha ya kiwango cha juu kama maisha tunayo kimbilia kutafuta kwenye nchi za watu.
    Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Africa.

  • @TheboyTz1-yf3xl
    @TheboyTz1-yf3xl Рік тому +2

    Tanzania ukiwa mgenii utaonekana mzuriii wakikuchoka unakuwa hovyooooo hongera kwa kurudii bong kwetu

  • @DorothMtwale
    @DorothMtwale Рік тому +2

    Karibu nyumba mpendwa wetu

  • @lelomellowtz
    @lelomellowtz Рік тому +14

    • Tanzania ni pazuri kama una hela, ila kama hauna utazunguka tu mwishowe bado utakua na upweke wa Umaskini.

    • @kautharyhamza6731
      @kautharyhamza6731 Рік тому +1

      Well said

    • @mandalorian_4.11
      @mandalorian_4.11 Рік тому +1

      Well said, lakini kumbuka kupuuzia mipango mingi ya kupata pesa wakati huna kazi ya kueleweka! Kwakufanya hivyo utafurahia sana maisha ya Nyumbani Tanzania.

    • @UsafiMichael-mc8kt
      @UsafiMichael-mc8kt Рік тому

      Sio kweli jamaa unasema Tanzania ũkĩwa huna hela unakuwa mpweke? Nakataa sasa si watanzania wengi si wangekuwa wapweke sana? Kinacholeta upweke mkubwa tz ni watu kutaka kuishi maisha ya kupita uwezo au viwango vyao,mfano hapa dar watu wengi wanaishi kwa upweke sana maana wanapenda kushindana kwenye nyanja Za maisha ,kutaka maisha ya juu na kuishi Kuliko kipato chako ni sababu kuu ya upweke.lakini ukisema kukosa hela sio kweli maana asilimia 80 ya watanzania wanategemea Kilimo na Kilimo kuna MUda wa kusubiri ilĩ mazao yakomae sasa unadhani inakuwaje

  • @khamisjuma8501
    @khamisjuma8501 Рік тому +2

    Umenifubua Cho my brother Salam zangu kutoka USA I'm coming back home Africa zanzibar

  • @godfreychaula3969
    @godfreychaula3969 Рік тому +14

    interview nzuri na location nzuri ila MILLARD izo wired mike ni very local,itashusha taasisi kwann msingeweka meza na avae wireless mike?,,lifanyieni kazi hilo sio mtangazaji mkubwa ashike maiki mkononi mwanzo mwisho,mmemkosea

    • @joelsamwel2580
      @joelsamwel2580 Рік тому

      Mbona zipo izo fatilia interview za Millard ayo

  • @vivianikiria143
    @vivianikiria143 Рік тому +1

    HONGERA SANA KAKA KURUDI NYUMBANI NQKUEKEWA SANAAAAA❤❤❤

    • @medrickchris2653
      @medrickchris2653 Рік тому

      nimejufunza mengi kupitia interview hii AHSANTEN WAHUSIKA

  • @norbert_gilbert_nganzi
    @norbert_gilbert_nganzi Рік тому +1

    That is

  • @robertbutahe2835
    @robertbutahe2835 4 місяці тому

    Huyu Salimu Kikeke ni mtu rahimu sana na mtu makini sana.