Salama Na ANNA TIBAIJUKA SE6 EP58 | LA PROFESSEUR PART 1 | SendTip MPESA LIPA NO 5578460

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 вер 2024
  • #SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
    Nilipoandikiwa ujumbe mfupi na Edwin Bruno ambaye ni mkwe wa Professor kwamba Mama amekubalia kufanya kipindi na sisi siku hiyo ya Jumapili akishatoka church nilihisi kama naota. Mwenyezi Mungu anajua kwa kiasi gani tumekua tukitaka kufanya maongezi nae kwenye kipindi chetu. U busy wake na pengine mara nyingi kutokuwepo Dar es Salaam napo palikua panaleta ugumu, nyengine ilkua ni tarehe zetu za kufanya production na availability yake zilikua zinapishana sana. So unaweza ukaelewa excitement ambayo nilikua nayo baada ya finally samaki kujaa kwenye ndoana.
    Professor Anna Tibaijuka ni LEGEND miongoni ma magwiji kwenye nchi hii kwa kazi yake na usomi wake na uzazi wake na kujibeba kwake. Kazi mbali mbali ambazo amewahi kuzifanya na kuliwakilisha Taifa hili zinajizungumza kwa sauti kubwa. Ila Safari yake mpaka anafikia kwenda kufanya kazi kwenye Taasisi kubwa duniani hakukumdondokea tu miguuni. Usomi wake ambao aliupambania toka akiwa mdogo na kupata ushirikiano kutoka kwa Marehemu Baba yake ndo kila kitu. Enzi ambazo mtoto wa kike alikua anaandaliwa kuwa Mama wa nyumbani, Baba yake aliamini zaidi kwenye kumpeleka mtoto wake shuleni na kwa mujibu wa Mama Tibaijuka Baba yake alikua aliwasisitiza wazee wenzake kufanya hivyo maana dunia ndo ilikua inaelekea huko, kuna ambao walimsikiliza na wengine ambao waliona anapoteza tu pesa na muda.
    Mama Tibaijuka na Mimi tuliongelea kuhusu gharama za elimu enzi hizo Mimi nikidhani elimu “ilikua bure” pasi na kujua elimu kipindi hiko ilikua ghali pengine kuliko sasa na ukichukulia shule zenyewe zilikua mbali kweli kweli. Ananiambia pia suala la yeye kutaka kutomuangusha Baba yake ambaye baadhi ya watu walikua wanamcheka kwa kumpeleka Anna shuleni na kuingia gharama zote hizo. Pia ananiambia kuhusu Mama yake kufanya kazi zaidi ili masuala ya nyumbani aweze kuyafanya yeye ili kumsaidia mumewe ambaye pesa yake karibia yote alikua akilipia elimu ya Binti yake.
    Mama Anna pia ananisimulia humu jinsi ambavyo aliposwa alipokua kidato cha tano na mchumba ilibidi amsubiri mpaka alipomaliza Chuo Kikuu. Nili enjoy kila sekunde ya maongezi haya ambayo kwa kiasi kikubwa naamini yatakua na faida kwetu sote. Ananihadithia pia jinsi ambavyo alienda Sweden na mumewe ambayo alikua huko kikazi na jinsi ambavyo alipata nafasi ya kusoma Chuo Kikuu BURE na ni nafasi ambayo aliipokea kwa mikono miwili na kuhakikisha hafanyi makosa.
    Mama Anna ameshaifanyia Dunia hii mambo tele ya kimaendeleo wakati akifanya kazi zake UN na baada ya hapo alirudi nyumbani na kukifanya kazi Chama cha Mapinduzi kama Mbunge wa Muleba Kusini na Waziri wa Ardhi, nyumba na Maendeleo ya makazi. Hapo kwenye uwaziri sasa… Kulikua na mengi yaliyotokea wakati yeye yuko kwenye cheo hiko na ambayo kwa ki ufupi tu tuliyajadili kwenye meza yetu. Mama Anna yuko na Respect ya hali ya juu kwa Rais wa awamu ya nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ambaye kwa kiasi kikubwa alimfanya Professor Tibaijuka arudi nyumbani na kulifaidisha Taifa na yale alojifunza wakati anafanya kazi huko kwenye Umoja wa Mataifa.
    Yangu matumaini utaokota kadhaa kwenye maongezi yetu haya na kwa kiasi flani yatakusaidia kwenye maisha yako. Tafadhali enjoy pia.
    Love,
    Salama.
    Support us through anchor.fm/yahs...
    SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
    Listen our Podcast on
    Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
    ‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
    GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
    Audiomack Link bit.ly/YahSton...
    ‪UA-cam Link bit.ly/UA-camS...
    Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
    Follow:
    Twitter: / yahstonetown
    Instagram: / yahstonetown
    Facebook: / yahstonetown
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: slidedigitaltz

КОМЕНТАРІ • 144

  • @johnwilfred3920
    @johnwilfred3920 Рік тому +19

    Huyu Professor ana madini mengi sana. Kichwa chake ni hazina.

  • @aivanandrea2160
    @aivanandrea2160 Рік тому +13

    Uongozi sio kuongezeka vyeo..bali kuwasaidia watu kufikia malengo yao🙌🙌🙌🙌

  • @liliankilave3496
    @liliankilave3496 Рік тому +13

    I just loved the positivity and the Haya people perspectives😅😅😅😅

  • @mfamauomary7969
    @mfamauomary7969 Рік тому +14

    Hongera sana da Salama kwa kutuletea huyu bib Anna❤
    Yupo sahihi kwa anayoyaelezaaa hongera akee❤

  • @wellbrand3415
    @wellbrand3415 Рік тому +12

    Wow...
    Just wow...
    Huyu mama nampenda sana...

  • @swahiliwithZita
    @swahiliwithZita Рік тому +11

    Our UN habitat way maker. She paved the way for African/Tanzanian women

    • @barbarasara4033
      @barbarasara4033 Рік тому +2

      She stole money and akasema pesa ya mboga shame on her

    • @user-bg5kg2bb4j
      @user-bg5kg2bb4j Рік тому

      She stolen not but she given hela ya mboga.

  • @margarethmwampondele7858
    @margarethmwampondele7858 Рік тому +12

    my role model. good interview.. ...asante sana Salama kwa kubuni kipindi. we love u

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 Рік тому +5

    Kudos Prof. nimefurahi sana kukusikia ukiongelea kizazi cha wapigania uhuru, vijana wengi siku hizi wanayachukua haya mambo for granted na wanauona utamaduni wetu kama vile ni kero kwao.

  • @prettypretty9745
    @prettypretty9745 Рік тому +10

    Napenda Sana wakristo wanapotumia neno Alhamdulillah katika njia ya kumshukuru Allah ........... The powerful of Islamic

    • @productuzur7585
      @productuzur7585 Рік тому

      Sisi hatuna unaguzi wa kidini

    • @joachimmapunda4125
      @joachimmapunda4125 Місяць тому +2

      Alhamdulilah sio uislam. Ni kiarabu. Kama wewe ulivyotumia hapo kiingereza cha mchongo.

    • @coms2640
      @coms2640 Місяць тому

      It's an Arabic word not Islamic word

  • @ziadamtebwa3712
    @ziadamtebwa3712 Рік тому +10

    Kwa kweli yupo juu huyu mama asante salama

    • @bettymassanja881
      @bettymassanja881 Рік тому

      "Leadership is about raising others to achieve their goals".
      Such a statement can only be given out by rich - hearted people, under the sun, like the Prof. Anna Tibaijuka herself.
      May the Lord grant her healthful and long life.

  • @kaizamulinda633
    @kaizamulinda633 Рік тому +9

    I love the fact that she identifies herself more as an academic than a politician. Our current professors are struggling to erase their academic history in favour of political titles! "Umenitoa jalalani"

  • @twahasuleiman-lo9vl
    @twahasuleiman-lo9vl Рік тому +5

    Alhamdulillah nimemuelewa na nimejifunza...

  • @AfricaYangu
    @AfricaYangu Рік тому +4

    I was just thinking how educational system haiendani na ulimwengu wa leo , Natumaini serikali itafanyia hili mabadiliko ili kujikwamua kiuchumi. Well said Mama Tibaijuka 👏

  • @blasioshitsirishibachi9739
    @blasioshitsirishibachi9739 Рік тому +3

    Watching from Nairobi Kenya. We love you mama. Respect Mungu akuongezee miaka na maisha mema.

  • @msafirikilongo7429
    @msafirikilongo7429 Рік тому +7

    Ukiangalia nyuma nakujuta Basi hujui ulipo na unapokwenda 🙏🙏

  • @japhetmgema3208
    @japhetmgema3208 Рік тому +5

    We, academicians, are so proud of you Prof. Anna

  • @eliasmbise4328
    @eliasmbise4328 Рік тому +4

    Bado nimewahi naombeni like zenu ....

  • @charlesluanda9161
    @charlesluanda9161 Рік тому +6

    One of the best interviews Salama has ever done.

  • @sakrypapilon1320
    @sakrypapilon1320 Рік тому +12

    entreprenuership is an organizational skill, well put!! such a good interview.

  • @fridageorge2809
    @fridageorge2809 Рік тому +5

    Nakumbuka shule yangu Jangwani it was 💕 skills za kutosha unatoka umekamilika!

  • @angelmwoleka7892
    @angelmwoleka7892 Рік тому +3

    Mahojiani bora kuwahi kutokea. Prof. Anna Tibaijuka amefanya kazi kubwa ya kubadilisha mtazamo wa jamii kuhusu kumsomesha binti wa kike. Mungu akupe maisha marefu Profesa.

  • @lilianbayekela
    @lilianbayekela Рік тому +7

    Interview nzuri sana,yaan zaidi ya darasa Nimefurahia kuanzia mwanzo hadi mwisho.Hongera sana Salama na Prof . Anna Tibaijuka

  • @mtaanionlinetv9200
    @mtaanionlinetv9200 Рік тому +5

    Bonge moja la intervew,🙌🙌

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma4543 Рік тому +5

    Mama Anna kichwaa 👏👏👏👏 Asante Salama.

  • @braysonminja6744
    @braysonminja6744 Рік тому +8

    Kabla sijaanza kusikiliza nimeipenda

  • @ernestsalla9293
    @ernestsalla9293 Рік тому +2

    Hongera sana mama Prof Anna. Safari yako ya maisha ni chachu na msukumo chanya kwa watoto wetu wa kike na kiume pia. Endelea kushare uzoefu na maono yako kwa manufaa ya wengi...

  • @farajalongo4528
    @farajalongo4528 Рік тому +4

    "Kazi iliyombele yetu ni kubwa kuliko kule tunakotoka." 🙌

  • @premierktg4323
    @premierktg4323 Рік тому +8

    Very very beautiful interview Mungu ambariki sana Mama Anna Tibaijuka

  • @siamacha3749
    @siamacha3749 Рік тому +2

    Prof. Tibajuka ❤ you are the best mama . May God bless you mama

  • @shijamashima5511
    @shijamashima5511 Рік тому +8

    Ni enjoy hilo jibu kuhusu mfumo wa elimu

  • @caritastheophil509
    @caritastheophil509 Рік тому +2

    Hongera sana salama kwa mama yetu, nampenda sana mama tibaijuka, ni role model wangu, namkubali sana

  • @AfiSoul103
    @AfiSoul103 Рік тому +5

    Jamani...hii vision ya babaake ndio iliyofanya tumjue leo huyu muheshimiwa ANNA....🤗🤗 I wish my father could 😭

  • @ikupaalimwene6751
    @ikupaalimwene6751 Рік тому +5

    Mhayaaa

  • @leonidaleonard9382
    @leonidaleonard9382 Рік тому +6

    Hongera Mama ana

  • @jilalamaligisa6298
    @jilalamaligisa6298 Рік тому +1

    Salama nafuatilia sana kazi zako tangu enzi za Mkasi ila huwa unaboa sana kitu kimoja, una masuali ya kurukaruka mambo muhimu, mfano huyo mama ni mtu muhimu sana kwa kizazi cha leo na vijavyo, wanapaswa kumfahamu kiundani ili waige mazuri yake lakini sasa wewe unaanza na suali eti kuhusiana na kuingia kwenye siasa, kwa nini usiyatazame maisha yake kwa mpangilio mzuri kuanzia wazazi wake, kuzaliwa, makuzi, kusoma, kazi, siasa mpaka sasa, unarukaruka na kuacha mambo muhimu hii sipendi kabisa.

    • @CheupeEceJay
      @CheupeEceJay Рік тому

      Anzisha chako usiwe unarukaruka...Nadhani utatisha sana! Pia asante kwa KUFUATILIA SANA!

  • @raymullah
    @raymullah Рік тому +7

    Interesting interview

  • @musorobenjamin227
    @musorobenjamin227 Рік тому +1

    Wahaya ndomana wanafanikiwa sana

  • @edigergabriel3711
    @edigergabriel3711 Рік тому +7

    Du mama ni noma

  • @hamisimahenge5807
    @hamisimahenge5807 Рік тому +1

    ❤❤❤!!!!!. Guys!!!!, Frankly speaking!!!, This woman is very very 🧠 🧠 intelligent!!!!!.

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Рік тому +6

    Awesome
    👌🏽

  • @ralphweston6807
    @ralphweston6807 Рік тому +7

    Mother anaongea vizur 🙌

  • @Bob-kz2ql
    @Bob-kz2ql Рік тому +18

    Hatari sana mama kasoma hadi kasoma tena…NICE one Prof, too bad ckhz tumebaki na ma Prof wa kupost picha za kubenjua makalio tu insta

  • @barakakusa7606
    @barakakusa7606 Рік тому +4

    Nimeipenda hii👍

  • @joviangeofrey6918
    @joviangeofrey6918 Рік тому +6

    Iwe bojooooo

    • @albs1448
      @albs1448 Рік тому +1

      Waitu oliyo bojo?

  • @kilamiko8299
    @kilamiko8299 Рік тому +2

    Salama! you are the best!

  • @maureenmpate5941
    @maureenmpate5941 Рік тому +4

    Nice interview

  • @farajalongo4528
    @farajalongo4528 Рік тому +3

    Ability Vs Willingness 🙌🙌

  • @mwatangalukwili8745
    @mwatangalukwili8745 Рік тому

    My role model,educated woman Prof Anna Tibaijuka.

  • @sophiak8837
    @sophiak8837 Рік тому +3

    Loved this, i laughed the whole part two section

  • @cherietigress3109
    @cherietigress3109 Рік тому

    one of the best interview 🙌 👌 Tunajivunia mama Anna Tibaijuka

  • @frankmushi4846
    @frankmushi4846 Рік тому +4

    Bonge ya interview 🙌

  • @Gracemhadisa3009
    @Gracemhadisa3009 Рік тому

    If professor you read these comments,, I love you from my heart

  • @magnusmutayoba8040
    @magnusmutayoba8040 Рік тому +2

    Interview kali sana 👏👏

  • @justinejackson1731
    @justinejackson1731 Рік тому

    Dah! Akili kubwa...kumuelewa unatakiwa kukaa kwa kutulia sana, atema madini mda wote.

  • @peterjovit7342
    @peterjovit7342 Місяць тому

    2024 still hii ni best interview

  • @gastokakiziba7871
    @gastokakiziba7871 Рік тому +1

    Prof yuko vzr sana,kuna vijana weng sana wanadgree mtaani lakin wamefungua migahawa

  • @richardkosianga8981
    @richardkosianga8981 Рік тому

    one of the best interview hongera sanaa salama

  • @makiniautospare2648
    @makiniautospare2648 Рік тому

    Inasikitisha sana sihasa inavyowageuza wasomi wetu kuwa wabinafsi waliopitiliza na kuweka taaluma zao kando.

  • @niriacatering172
    @niriacatering172 Рік тому +3

    Prof upo vizuri sanaa

  • @Steve3821
    @Steve3821 Рік тому

    Such a lovely interview, my lovely sister Salama you are the best. ❤

  • @margepeter6697
    @margepeter6697 Рік тому +2

    My rolemodel 😍😍😍

  • @stanymccary7136
    @stanymccary7136 Рік тому

    Mama kichwa sana, sema Siasa zilitaka kumuharibia IQ yake lkn mtu ambaye ni msomi kweli na ni icon ya wahaya

  • @christopheritambo1315
    @christopheritambo1315 Рік тому +3

    Nilisoma story za huyu mama I guess form three or form four

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056 Рік тому

    Natamani Salama siku moja nae amhoji Salama!... nimependa sana hii interview

    • @jojigeorige1056
      @jojigeorige1056 Рік тому

      Pia nimejifunza mengi sana. With my headphones on nimejikuta na nod mara nyingi kupiliza. Mama katema madini aisee

  • @antonyjosephatkaiza2565
    @antonyjosephatkaiza2565 Рік тому

    mafanikio ni product ya teamwork na mazingira 👏

  • @arnoldkimbory485
    @arnoldkimbory485 Рік тому

    Interview nzur sana

  • @emmanueltibahwa2615
    @emmanueltibahwa2615 Рік тому

    Life is what you make it!

  • @michaelcyprian6733
    @michaelcyprian6733 Рік тому

    Miongoni mwa Interviews bora kabisa.

  • @sangomamourice3539
    @sangomamourice3539 Рік тому +4

    Wakurungwa mmeshawahi

  • @nambuacassandramlaki3516
    @nambuacassandramlaki3516 Рік тому

    Love you Mama.

  • @alexandermutakha882
    @alexandermutakha882 Рік тому

    Kazi iendelee

  • @ulludots
    @ulludots Рік тому

    Interview nzuri sana

  • @roberteliezer9576
    @roberteliezer9576 Рік тому

    powerfull

  • @lutfiayussuf4729
    @lutfiayussuf4729 Рік тому

    The best interview ever❤ #SALAMA NA PROF ANNA TIBAIJUKA

  • @vediowkiritasi3163
    @vediowkiritasi3163 Рік тому

    Very nice Interview

  • @faisalihamudi9206
    @faisalihamudi9206 Рік тому +2

    Mama kuna Newyork city kule Muleba

  • @CaAidan
    @CaAidan Рік тому +2

    I underestimated this mama🙌🙌🙌

  • @alexandermutakha882
    @alexandermutakha882 Рік тому +1

    Wazazi walikuwa na maono kweli.

  • @erickmsigwa
    @erickmsigwa Рік тому +4

    Wapili

  • @michaelwaryoba4904
    @michaelwaryoba4904 Рік тому

    Huyu mama Yuko vizuri sana .

  • @ashirafmgonanze-pl6qf
    @ashirafmgonanze-pl6qf Рік тому +3

    First

  • @abuusirleh8196
    @abuusirleh8196 Рік тому

    Mjanja mjanja

  • @damsonwilson5202
    @damsonwilson5202 Рік тому +1

    Huyu Mama Ana Akili sana

  • @godfreypeter9265
    @godfreypeter9265 Рік тому +1

    Ameongea ki2 ambacho serikali kwa ujumla inatakiwa kuzingatia sana juu ya elimu

  • @annakweka421
    @annakweka421 Рік тому +1

    Anna

  • @musorobenjamin227
    @musorobenjamin227 Рік тому

    Hii interview nitaitunza kwa ajili ya mwanangu wa kike

  • @ludovickbenjamin6104
    @ludovickbenjamin6104 Рік тому

    uyu mama anajielewa sana.

  • @abelchacha5977
    @abelchacha5977 Рік тому

    Mama hauna ha mjakazi angalau........ningekua na wewe ningefaidika sana. Napenda ushauri wako, napenda maamuzi yako.

  • @aggreyenock1221
    @aggreyenock1221 Рік тому +1

    MHAYA

  • @g-abbastechnology1818
    @g-abbastechnology1818 Рік тому +1

    kohoa upate tonge nan mwingine kaiona iyo

  • @mosesmashili4969
    @mosesmashili4969 Рік тому +8

    Dada Salama, Boresha kwenye Uulizaji wa Maswali... unauliza maswali laini sana naweza sema hivyo, tunahitaji kujifunza zaidi.

    • @barakakusa7606
      @barakakusa7606 Рік тому +4

      Onesha mfano wa maswali magumu ambayo ulitamani angeuliza.

    • @hellendaniel3809
      @hellendaniel3809 Рік тому +4

      Khaaaa wewe sio mfuatiliaji salama ana uzoefu sio wa jana ni longtime ago in Bethlehem

    • @mosesmashili4969
      @mosesmashili4969 Рік тому +1

      @@hellendaniel3809 Salama nimeanza kumfatilia tangu yupo Chanel 5 MKASI, ni long time namfahamu kuliko Unavyodhani... Ebu mfatilie Stanislaus Lambat wa Dar24 ndio utanielewa ni nini namaanisha.

    • @barbarasara4033
      @barbarasara4033 Рік тому +1

      Exactly Ile scandal ya wizi ilimshusha kiasi gan mpaka akasema pesa ya mboga. Nilitaka kufahamu haya mengine Utopolo tu

    • @abdulsataribashiri8300
      @abdulsataribashiri8300 Рік тому +2

      Hakuna muulizaji Wa maswali magumu hapa bongo kama huyu Salama wengne wte hamna kitu

  • @yuliahenry3383
    @yuliahenry3383 Рік тому

    Nice MAMA

  • @stevesundu1671
    @stevesundu1671 Рік тому

    Tunataka interview na zumaridi!

  • @bestantony7917
    @bestantony7917 Рік тому

    Duu Prof Akili kubwa

  • @jescajoseph1072
    @jescajoseph1072 Рік тому +1

    👏👏👏❤

  • @abdulmajidchum9085
    @abdulmajidchum9085 Рік тому

    Tunaomba utuletee zimbwe junior Mohamed hussein

  • @julianamushi3392
    @julianamushi3392 Рік тому +4

    Namuona ebitoke😆😆ni utani jmn sina mwanasheria

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Рік тому

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️👊

  • @TheParty.
    @TheParty. Рік тому

    👏👏👏👏👏👍👍👍👍

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 9 місяців тому

    Not she is a crook just like any politician in Bongo. Her, bishops et al, was given a lot of stolen money. When she got caught, she claimed she gave the money to a private school as a gift.