Sheikh Kipozeo: "Sisi Ni Watu Wa Mwisho Wa Dunia, Kiama Bado" | SALAMA NA SHEIKH KIPOZEO PT 2
Вставка
- Опубліковано 7 вер 2024
- #SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
Sheikh Hilali Shaweji Makarani au Sheikh Kipozeo ni mtu wa watu, au niseme kama ambavyo tunasema kwetu Uswazi, Sheikh ni mwana wa wana, anaweza kuwapa wana darsa kwa lugha yao na wakawa huru na wao kusema maoni yao au uelewa wao kwa raha na bashasha nyingi na naamini hii imemfanya yeye awe ni mmoja ya Ma Sheikh wanao tambulika zaidi kwenye mitandao ya kijamii nje na ndani ya Tanzania. Lugha hiyo ya wana ambayo anaitumia inasaidia sana kufikisha ujumbe ambao ameukusudia kwa wakati huo na ikapata mpaka majadilioano, majadiliano hayo ndo huzaa majibu ya maswali mengi ambayo wengi hujiuliza.
Kwetu au kwangu ilikua ni kaji task ambako nilikua najua inabidi nikakamilishe, na jina lake kurejea kutajwa mara kwa mara na watazamaji wa kipindi hiki pia ilichochea dhamira hiyo kwa kiasi kikubwa. Nilikua sijawahi kukutana nae kwahiyo hii nami ilikua ni mara yangu ya kwanza kukutana nae uso kwa macho, shabiki yake? Oh yes, mkubwa tu. Nimekua nikimskiliza na kumuangalia kila nipatapo nafasi ya kukutana na mafunzo yake, kwahiyo hamu ya kutaka kuongea nae ilikua inaongezeka kila siku zinavyozidi kwenda. Wakati ambao Mwenyezi Mungu ameupanga ndo wakati sahihi kabisa. Na naamini huu ndo ulikua muda ambao tulikua tumepangiwa haya mazungumzo kutokea na haikua huko nyuma ambako pengine tulidhani tungemtafuta na kuweza kuongea nae.
Alikua mkarimu kwangu, humchukua muda pia kuongea kama yule wa kwenye video maana kama Mwalimu nadhani huwa anaangalia spidi ambayo uko nayo na kujua anaenda na wewe vipi ili iwe imekaa mahala pake. Na naam, tuliweza kwenda vizuri, alinifanya nami niwe huru na muwazi kwa yale ambayo tulikua tumepanga na wenzangu kumuuliza.
Akiwa Baba na mume mpedwa kwa familia yake, Sheikh Kipozeo amekua akipata mialiko sehemu mbali mbali ili aweze kuwapa watu ‘dawa’. Humu zaidi sisi tulitaka kujua jina lilipo anzia na jitihada zake za kufikisha neno la Mwenyezi Mungu kwa wanaohusika. Alituambia pia kuhusu asili yake na ‘urithi’ wa dini ulipotokea. Lini hasa alijua kwamba ambacho anakifanya sasa ndo ambacho alikua anatakiwa kufanya kwenye maisha yake yote?
Yangu matumaini dawa itaingia na uta enjoy kuangalia au kuskiliza episode hii yetu ya nne.
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahs...
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
Audiomack Link bit.ly/YahSton...
UA-cam Link bit.ly/UA-camS...
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Interview ya Kibabe sana. Huyu Jamaa ana kipaji cha kuongea na dini imetaraadadi kwake. Big up Salama kwa Kumleta Sheikh Kipoozeo.
TUNAOMBA SHEIKH AJE TENA HAPA KATIKA KIPINDI
🤝
MashaAllah
Sheikh Mmoja mfaswaha sana Allah amjaze kheir Sheikh Kipozeo. Allah akuongozee Hekima na busara
Alhmdullilah.
Mlete tena salama huyu sheikh bado tunataman kumsikiliza
MUNGU Akurehem Sheikh. 🙏🙏🙏
natamani interview isifike mwisho. Thanks Salama. Invite him again please. the interview is so enlightening.
Mi niliona status kwa mtu imebidi niingie u tube nicheki
kila mwanadamu anaweza kujifunza chochote kama atapenda na atataka-sheikh KIPOZEO
Sikuwahi kujua Sheikh Kipozeo Hamble kiasi hiki, mwelevu sana huyu mwamba...."he knows almost everything kwenye uislam"... hongera sana Salama...this was the best interview ever! Nashukuru nimemjua huyu Sheikh...
Salama good questions big up salama your fun from ug 🇺🇬 since 2005 salama jabir
Huwezi choka kumsikiliza amekaa NONDO sana. Ana uwezo mkubwa wa kufundisha
Muongezee muda, mrudishe tena please, anahamasisha vizuri sana
DADA SALAMA,kujua zaidi kusoma, kujiendeleza,kuuliza,kusikiliza na yote hayo WEKA IMANI YAKO KUBWA KWA MOLA WAKO.yaani lmani na VITENDO,baadae utafanikiwa,Kwani utakuwa umejiwakilisha nafsi yako kwa MUUMBA KILA KITU. 🤝
HAKIKA hii interview ni Bora sanaaa. Na tunaomba aitwe tena. Kwa kweli ni kama umeturambisha tu.
Salama Bado Tunakuhitaji Sheikh Darasa lake ni Tamu sana Mashaallah
Salama nimeipenda kipindii y leo sana mashaAllah umefanya ikawa n mabadiliko n vile vile tumepata elmu kw sheikh wetu kipozeo mashaAllah uwe unaleta pia c tu wasanii
Salama umeuliza maswali yooote konki.. You are the best interwier hii afrika mashariki na kati.. Maswali tata umeyauliza katika njia rahisi mno..
Mashaallah Sheikh Hilaly Shauweji Makalani a.k.a Sheikh Kipozeo
Hiyo ndio dini yahaki mashaallah
Safi sana salama.ikiwezekana awa viongozi wa dini muwe mnawaita sana kuja kutoa muongozo kwakua tunapo kwenda ivi sasa sipo kabisa.
Siku ya pili dada salama jishushe mbele ya shekh vaa shungi ingependeza kama anavyopendeza mama yetu samia suluhu
Kuna elimu kubwa Sana, kwa Sheikh Kipozeo! Kwanza ana ufasaha wa kuongezea na unyenyekevu katika ulimi wake!
Ila Salama hata shungi your so real ❤
Nimezifurahia MB zangu,Ahsante sheikh kipozeo
Mashallah allah azidi kukuongoza shekhe wetu inshallah
MashaAllah from Kenya.Big up sana Salama,binafsi nimefurahi kw kutuletea shekh kw In Shaa ALLAH mlete tena kama ulivyo muahidi
Masha ALLAH Jazakallahu khair sheikh wewe nimfano mwema wa kuigwa kwenye jamii Umejipamba na Qur-an na Sunnah huu ndio UISLAMU hakika hivi ndivyo hata Mtume Wetu Muhammad S.A.W Alivyokua akiishi Kwa upole na maneno Mazuli, na tabia mzuri Kwa Ujumla.
Tunamuomba Mwenyezi MUNGU Akutunze Duniani na kesho Akhera Amiin
Unaweza kumleta tena salama kwa sababu elimu imekuwa sawa sana
Thanks salama you nailed it 💅 today umeleta mtu ambaye ni kweli watu wengi wanapenda kumsikia
Aloooo Moja kati ya interview Bora kabxa hii n number 1 nmeipenda mnoooooooooooooooooooo
SHEIKH KIPOOZEO ANAWEZA AKAKUFANYA USLIMU NA KUFWATA DINI YA KISLAMU.
Albert nakuomba soma hii dini na Wala usiangalie propaganda za wachungaji zinazowaingizia pesa kwa kuukashifu uislam
Karibu
Allah akupe uongofu
Karibu iokoe nafasi yako
Sheikh mzuri. Nilikuwa namkubali kabla hajawa maarufu
Assalam Alaykum naomba kushauri kidogo
Kwa vile kunasomwa Qur an katika interview naomba kupendekeza mungekata music
Muda umekuwa mdgo sana kwa Kipozeo Inshaallah natumai kuna cku nitakutana nae na tutaongea zaid. Allahuma Amiin 🤲🙏
Penda sana shekhe Kipozeo
Dah mwenyz mungu akuwek san shekh uzid kutuelmisha
Mashallah
Kipozeo needs I more time and very Mapema Salama tena ongeza more matayarisho namanisha hata kupitia watu wengine tofauti ya hiyo team yako hapo umesema mwenyewe jamaa kila anachokujibu hukujibu for pasent
Shekhee kipozeo arudishwee lk Zangu pls
Bado tunahitaji mengi kutoka kwake,nimatumaini kuwa atarudi wakati Mchache ujao. Asante kwa Darasa 🙏🥰
Amenitoa machozi sheikh hilali kipozeo kwa maneno mazito aliyokuwa akiyafasili hususani pale alipo muongelea baba yetu Adam . Allah azidi kumlinda sheikh wetu amiin 🤲😍
Sheikh ana hekima sana hasa namna ya kujibu maswali
Mashaa Allah sheikh Shaweji
Shekhe kipozeo daa anamajibu ya hekma na busala kweli Masha Allah shekhe mungu akulinde na hasadi na husuda,Allah akupe Pepo yake amini
MashaaAllah kipindi kizuri kitaongeza imani zaidi upendo zaidi na amani katiyetu zaidi mubarikiwe sana salama na wote as Tim na sheikh wetu mpendwa H S ( Kipozeo) shukrani slm alkm.
Kupenda na kutaka jambo lolote ukitaka kufanya fanya ivi vitu zingatia 🤝, Asante Sheh.
Mimi ni Mkristo ila Nampenda huyu Sheikh sana, anakufanya uione Dini ya kiislam ni nzuri c'se hana dharau kwa Wakristo na kuwaita Makafiri. Mungu amuongoze
Hili suala la mwisho nimelielewa..🔆 la kupenda na kutaka..
Best interview ever🙏
Interview bora kwa mwaka huu
Sister Salama ulitakiwa hiyo Hijab uivae wewe na si uvalishe mic
Salam tunakuomba rafiki yetu mlete sheikh wetu tena na umpe mda wa kutosha plz plz plz
Namkubali sana ayu mzee sichoki kusikiliza
Salama tuletee tena please 🙏 ❤
ALLAH akuifadh sheikh Hillary shaweji
kutokea kenya nimependa darasa lako
Salaama tuletee Othman Maalim
Mbona Shekh haujampa kinywaji au kafunga🥲
huu muziki muuondoe hapa kuna aya za mwenyezi mungu zinasomwa kuweni makini sana
Salama tafadhali tuleteeni SHEIKH MUHIDDIN MAALIM SIASA NA SABRA MACHANO WATU ZANZIBAR
Shekhe kipozeo🙏ALLAH AKUHIFADHI💟💟💟💟jaman ungemuulza ana wake wangapi.huenda mmoja akaniongeza na mie.mfano wa maziwa kuinama nmecheka 🤣he is genius and humble
mashallah this was the best interview may allah bress you salama and shekh kipozeo and all muslim we need more interview like this ameeen
Salama 4real u'r doing a wonderful job, God bless u. Keep going girl. Lv from 254.
Sunan an-Nasa'i 5388
It was narrated that Abu Bakrah said:
"Allah protected me with something that I heard from the Messenger of Allah [SAW]. When Chosroes died, he said: 'Whom have they appointed as his successor?' They said: 'His daughter.' He said: 'No people will ever prosper who entrust their leadership to a woman.'"
Hao ndo tunataka hapo tumepata faida kubwa sana mlete tena sheikh ao watafute na ma sheikh wengine siyo kila siku wasani tu haki nimefurahi sana
Ahsante Mama, kumwalika huyo Mzee Kipozeo!
Melhor entrevista de final do Ano
Jamaani niraha saana atasisi Uganda, twapenda kumsikiliza!
Best interview ever
Tunamuomba tena Shekhe wetu
Nimefurahishwa na hiii interview, lakini ungependeza zaidi kama ungejitandia , but congratulations 👏🎉
Salama, kama ikikupendeza, please mrudishe tena Kipoozeo…
Masha-Allah
Salama please mualike sheikh Walid Al Had imam wa msikiti wa kichangani he is Superior Trust me, Thank you.
fantastic masha-Allah
Umeongea vizur
❤️ mashaallah
Ahsante salama impressed with your latest please bring more of this kind of personality
Namkubali sana kipozeo
Mashallah uko vizur sana sheikh wangu
Mlete tena sheikh kipozeo
Sijamuona jescca kumpelekea kinywaji sheikh kipozeo
tatizo mda hatujamfaidi vizuri
Pamoja na uzuri wa interview, ni vyema unapowaalika Mashekhe wetu ukajistiri Dada Salama, kama ulivyofanya kwa Sheikh Mardhiyya.
Pia tuondoshee huo mziki
Baraqallah aleyh 💞
Wallah kisa kidogo cha mtume Suleiman lakini kama umekitoa chote yaani raha kabisa
Salama umetisha sana kumleta kipozeo, nakuomba utuletee na shekhe Maulana Abubakar huyo ni shekhe wa matablii
Ivi mbna hujamuuliza lile swali kma yuapenda kwl mizingo hyu sheikh
Shukran sana
Intive agaaaaaaaaiiiin
salama napenda vipindi vyako
Salama please interview nurdin kishki or Othman maalim
Bonge la intaview tangu yahstonetown imeanzaa
Tunashkuru ..Pia tunaomba next time salama na Mch.kimaro wa KKKT
Mwambie shekh إعملوا فكل ميسر لماخقله
Ukijaaliwa mlete tena
Hatuja ridhika tuonba part 3 na part 4
Nimependa mjadala wenu namba umrudishe tena siku nyingine
Shekh karukaruka swali kkk swali kwann mungu aweke matabaka kuwe na wema na ubaya ikiwa kilankitu kinaandikwa kbl?
Umeeelimika kabisa Salama 😀😀😀😀😀😀😀. Hayo maswali yote unamuuliza anayajua sana na ni mkali sana kwa kujibu. Unapewa jibu la swali haendi uku wala kule. Unapata jibu kwa ufupi basi point.
Hivyo ndo ulivyo uislam
🙌🙏
Salama bist du ruhig bleiben
Mimi sikufurahi vizuri leo shekh alivyojibu masuali hasa lile la kadari yaani kwanini mmoja awe mwema na mwengine awe mbaya na hali yakua mambo yote yameshakadiriwa na allah,,,Salama naomba hem njoo huku zanzibari uwahoji mashekh kama Mselem Ali au shekh salum Msabah mambo pengine yatajjibika na yatanoga zaidi
Wew Mushkel wako uko wapiii?
@@shinnennaazshine896 katumia zaidi kujibu hoja kiakili kuliko kutumia aya na hadithi ,,na pia kama kayajibu juu juu tu hivi,,yaani kama hakujitayarisha hivi,,na tunaujua uwezo wa shekh katika kujibu majibu ni hodari sana ,kwa maoni yangu sasa sijui kwa nini kawa mwepesi sana ,,
@@rashidomar2771 kwanza muda ni mdogo wa kipindi, pili mlango wa qadar ni mpana mno na una mkanganyiko mkubwa kwa sababu kila jibu utalopewa linaibua hoja nyengine fikirishi, sasa kwa hekma sheikh ikabidi aende kwenye akili na huru tuliopewa wanadamu, ili kufupisha habari vyenginevyo angejikita katika kujibu swali la salama kama lilivyoulizwa, kuna watu wangejiona wapo sahihi katika kufanya maasi kwa kudhani kwamba ndivyo walivyokadiriwa na Allah...hata mtume maswahaba walimuuliza sana haya mambo ya qadar, mwisho mtume akawataka wasihoji sana bali wajikite ktk kufanya ibada kwn hakuna anayejua amekadiriwa kitu gani...na Allah anajua zaidi.
Sheikh kipozeo arudi bhana arudi bhana arudi tena