Kuna vitu ukielezwa na wakubwa usiulize kwanini wewe Fanya Tu- Sheikh Walid Alhad

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 жов 2023

КОМЕНТАРІ • 115

  • @zubedaallymuhammed8465
    @zubedaallymuhammed8465 5 хвилин тому

    Sheikh wetu.mashallah allah akupe umri mrefu uzidi kuwazindua waislam.hao wanaokupinga tumeshawazoea. Ni watu wafitna .

  • @AshamanenoYusuph-rd3eq
    @AshamanenoYusuph-rd3eq 9 місяців тому +2

    Mashaallah wallah sheh upo vzr saaana asiyekuelewa ana dini ila yupo kimaslahi ya dunia tu Allah akuongoze sheh wetu.

  • @nurumohammed1310
    @nurumohammed1310 3 місяці тому

    Huyu shekhe nampenda sana yaani akizungumza kama hataki sio wale mashekhe wengine wanasema kama wanagombana mungu akulinde shekhe wetu inshaallah

  • @UessoSalimo-cd3mw
    @UessoSalimo-cd3mw 9 місяців тому +2

    Mashallah from Mozambique

  • @jasminmohamed6145
    @jasminmohamed6145 3 місяці тому

    SUBHANALLAH
    ALLAHUMA SWALLI ALA SAIDINA MOHAMMADIN WAALI SAIDINA MOHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM
    Barakallahu Feek

  • @user-gp9vg6sw6e
    @user-gp9vg6sw6e 6 місяців тому

    Tumekuelewa sana wasiokuelewa Wana shida zao Allah akulinde kama alivyo mlinda MTUME pangoni lnshaa Allah

  • @user-gp9vg6sw6e
    @user-gp9vg6sw6e 6 місяців тому

    Maashaa Allah Shekhe wetu tunavuna hekma zako Allah akulinde na maadui pembe zote duniani❤

  • @hajiissa9200
    @hajiissa9200 8 місяців тому +1

    Masha allah from kijitonyama

  • @moanamessi1749
    @moanamessi1749 9 місяців тому +1

    Mashaallah tabaraka llah

  • @khadijamohamed8919
    @khadijamohamed8919 9 місяців тому +1

    Mashaallah Mashaallah

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 3 місяці тому

    Sheikh langu usiumize vichwa Mtume ( s a w)alituambia itafika siku watu watataka kujua nasaba ya Mumba wetu.Ghafuru Rahim .Astagfirullah.Yarrabi tufanye kuwa samiina wa twaana,Amin.

  • @iddymohammed1890
    @iddymohammed1890 4 місяці тому

    baraqal llahu fi qum

  • @hanspop6961
    @hanspop6961 6 місяців тому

    Mashallah from USA

  • @issaathumani-je7iy
    @issaathumani-je7iy 9 місяців тому +1

    masha allah allah ni mkubw

  • @thedriver.michael.3975
    @thedriver.michael.3975 9 місяців тому

    Walaa taquulu limayyuqutalu fii sabilillah amuwaat, bal ahyaaa uwwalaakillaa tash'whuruun. Swadakallah kheyr.

  • @user-di8me2wb7p
    @user-di8me2wb7p 9 місяців тому

    ❤mashaLLAH

  • @user-du2fy5sd5u
    @user-du2fy5sd5u 4 місяці тому

    Swala Allahu alaihi wassallam Waalaalihi

  • @user-xj4ye2mt4o
    @user-xj4ye2mt4o Місяць тому

    Endelea shekheee ivyo ivyooo ukosahihi kabisaaaa

  • @abdulhalim5950
    @abdulhalim5950 2 дні тому +1

    Tatizo ushahidi wa hadeeth hamna ndo mana tunawakata.
    Pia MASUfi hamjafunzwa kuuliza kwanini ndo mana nynyi Hamdai dalili nyny mupo tu kansema shekhe

  • @user-vy7jd5th5e
    @user-vy7jd5th5e 6 місяців тому

    Assalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh...muogope ALLAH sheikh haya maisha ya dunia ni yakupita tu tungeneza akhera yako vyemaaa uongo ni katika maas nawe wajua alafu wadanganya ummah... Allah akuongoze katika Haq

  • @mansoursaid8
    @mansoursaid8 8 місяців тому +1

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏👏

  • @saidilaay9490
    @saidilaay9490 13 днів тому

    Katika barazanji anayezungumziwa ni mtume Muhamad S.A.W kufuata quran na suna sifa zake alizonazo.
    Tusiwe wabishi turejee darasani.

  • @hasnaly
    @hasnaly 2 місяці тому

    😂😂 hii kabisa inamuhusu mood bachu

  • @user-gn8ls8ji5x
    @user-gn8ls8ji5x 3 місяці тому

    سبحان الله hayamaneno yamlmungu mnasema uwengo muogopenemlungu

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 3 місяці тому

    😂😂😂😂😂utatunzwa sana 😂😂😂😂

  • @warshysaid8564
    @warshysaid8564 9 місяців тому

    Allah anasema mtume haongeei kwa matamanio yake bali ni wahyi kukoka kwa mola wake sasa anaejuwa ghaibu ni allah pekee mtume anapewa wahyi tuu kwa kilacho au kitakachotokea mbele ili kuwaelimisha waislamu waliopo muda huo ambao ni maswahaba na hajao mbele mpka sisi wasasa na watakao kuja baada yetu ili kujitasimini kwa kila kinachotokea ktk maisha yetu sasa kusema mtume anajuwa ghaibu unakosea sheikh wetu

  • @user-db5sx4ex3x
    @user-db5sx4ex3x 7 місяців тому

    A/alaikum shekh samahani nilikuwa naswali nje yamada Yako nilitakakujuwa hekma yakutoa sauti katika swala ya mag'haribi,ishaa,na alfajiri?

  • @abdalahaby3658
    @abdalahaby3658 15 днів тому

    Kwa wenye D mbili tu ndo hawajamuelewa Waleed hapa.

  • @fay9687
    @fay9687 9 місяців тому +1

    Hivi hawa ndio viongozi wetu kweli sijui wamesomea wapiii

    • @salehislem671
      @salehislem671 9 місяців тому +1

      Tulia wewe majnoon...huna ulijualo

    • @rydertz3372
      @rydertz3372 9 місяців тому +1

      Kakosea nn katika maongez yake!!!?

    • @user-hx8bh1jt4k
      @user-hx8bh1jt4k 9 місяців тому +1

      Ww umesomea wp mwehu?hata baba Yako hampati ki elimu

    • @harithally2264
      @harithally2264 9 місяців тому +1

      Kasomea kwa baba yako

  • @mattarmattar3026
    @mattarmattar3026 Місяць тому

    Shekhe Mimi ninasuali ambalo najaribu kuliulizia ulizia lkn sijabahatika kuona nimejibiwa,
    Suala ni hii elimu inayoitwa BARAHATII jee ni elimu isiyo na mashaka yeyote juu ya muisilamu kama ataiamini na kuitenda,?
    Hebu naomba unifafanulie faida zake za jumla na kama Kuna hasara zake pia unifafanulie Ili nijuwe ukweli wake

  • @selemaniselemani591
    @selemaniselemani591 9 місяців тому

    Mtume s.a.w hasifiwi, anafwatwa.

    • @mahmoudally3906
      @mahmoudally3906 6 місяців тому

      Allah ndiye aliyeanza kumsifia na pia ndiye aliyeamrisha tumfuate. Na alisifiwa hata kabla ya watu kujua kuwa yeye ni Mtume.
      Sasa utajipa tabu kuzuia asisifiwe, sema tu kuwa asisifiwe sifa zitakazopelekea watu kumuabudu au kumfananisha na Mungu.

    • @IbraFareed
      @IbraFareed 2 місяці тому

      Sele umesoma wap 😂😂

  • @fay9687
    @fay9687 9 місяців тому +3

    Hhhh hata kama anakupoteza kwani wakubwa hawakoseiii

    • @fikafikan8484
      @fikafikan8484 9 місяців тому

      Hawakupotezi kwa sababu wao wakuelekeza kupitia quran na hadithi sasa utakosea vp wakati watumia quran na hadithi

    • @rydertz3372
      @rydertz3372 9 місяців тому

      Umesoma tuu caption au umeskiliza mpka mwsho!!???

    • @saydouside9468
      @saydouside9468 9 місяців тому

      mwambie hata wahuni wanazeeka...Barzanji imezua mambo...na waislam hataki kusoma..akisoma yoyote akitoka na kiarabu ..huyo no shekh duuuuuh

    • @fikafikan8484
      @fikafikan8484 9 місяців тому

      @@saydouside9468 ww ndio hutaki kusoma na bachu wako ungesoma ungemuelewa barzanji kumbe muko wengi mahasidi wa mtume Allah atawashinda insha Allah

  • @nshimirimanadjibril
    @nshimirimanadjibril 9 місяців тому +1

    unashindwa kuchunga mapenzi yake kwa mtume

  • @saidhmuhammad5567
    @saidhmuhammad5567 9 місяців тому +2

    Angalia watu wazama za Mtume Muhammad s.a.w walipokua wakiabudu masanamu wakiulizwa kwa nini muna fanya hivo wanasema tuliwakuta wazee wakifanya na ss ndio tunafanya..Nabii Ibrahim a.s alimuuliza babake mbona mwaabudu haya masanamu na yenywe hayadhuru wala hayanufaishi kwa lolote walijibu kua waliwakuta wazee wao wakifanya na wao wanaendelea nayo hivo hivo..kwahio Sheikh usizungumze kuputia hawaa zako ama kufaya inadi kwa wanao pinga Maulidi..na kuna baadhi ya watu ukiwauliza kwa nni munasoma Maulidi wanasema hvo hvo kua wazee wao walikisoma na wao pia wanasoma yai mtu hataki kujua ni sawa au si sawa yy anafanya maadamu mzee wangu alifanya na mm nafanya. Subhana_Allah Mungu atuongoze sote jamii Islam

    • @hamisiramadhani14
      @hamisiramadhani14 9 місяців тому +4

      Ufahamu wako haujawa bado na uwezo wa kuelewa na kuchanganua kinachokusudiwa

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express 9 місяців тому +3

      Umetumia akili kuongea❤

    • @rajabmembe6695
      @rajabmembe6695 9 місяців тому +1

      Sheikh wa mkoa kakosea kusema hapo, kakosea sana aajichunguze kauli sake kama kiongozi

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express 9 місяців тому +1

      @@rajabmembe6695 kavuruga vuruga yaani anajiona kasoma lakini msikilizaji anaweka 100% hajui lolote ingawa kasoma

    • @mohammedseif3072
      @mohammedseif3072 9 місяців тому

      🤔

  • @user-qs8yo4kw9g
    @user-qs8yo4kw9g 7 місяців тому

    😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅mtume na suti

  • @fay9687
    @fay9687 9 місяців тому

    Huo ni dalili ya ujinga

  • @mohammedal7864
    @mohammedal7864 9 місяців тому

    Ibadh ndio dheheb pekee ambalo hawavutani juu ya aqida wanamsimo mmoja tu sasa masuni kwanini kila mmoja anaaqida yake?

    • @mahmoudally3906
      @mahmoudally3906 6 місяців тому

      Kuna mambo hutengenezwa ili yapatikane makundi kuugawa ummah wa kiislam. Na dhamira ni ili usiweze kuungana wakawa na nguvu.

  • @SamMus-qn1pu
    @SamMus-qn1pu 9 місяців тому +1

    Sasa hapa ndio pakuonekana uongo wa watu wa maulidi sasa mbona haikutajwa khabar io ya barazanji katika qur an na suna uzushi mtupu

  • @user-jq2ox3er2w
    @user-jq2ox3er2w 9 місяців тому +1

    Hayo.mambo.unayoongea.hayana.mashiko.hata.kwamjinga

  • @fay9687
    @fay9687 9 місяців тому

    Porojoooo

    • @khadijaramadhani5562
      @khadijaramadhani5562 9 місяців тому

      Kuna Aya za Allah zinatajwa na jila la rasulullah latajwa hapo

  • @user-du2fy5sd5u
    @user-du2fy5sd5u 4 місяці тому

    Sisi tuliumbiwa chumvi ni dawa ya mbonga

  • @mohammedal7864
    @mohammedal7864 9 місяців тому

    Masuni wengine wanafungia sala tumboni wengine kifuani wengine baina ya kifua na tumbo na wengine wa nyanyua mikono na kushusha je nani yu sahiih?

  • @saidhmuhammad5567
    @saidhmuhammad5567 9 місяців тому +1

    Hicho kisa cha Israi Wal Miraj kina dalili zote Shiekh na hatukatai kua jambo lolote kwa mtume swala Allahu Alaihi Wasalam linaweza kufanyika ila musimsingizie kwa mambo ambayo hayakutokea kwake..hilo jambo lakua wanyama waliongea hamuna dalili zozote...na usiseme kua ukisikia jambo kua ntume kafanya au kasema usibishane ww amini tu huo ni ujinga kwa sababu mwamsingizia na kwenye Dini usitie mila na tamaduni hizo mila na tamaduni Zina shirki kubwa sna..Sheikh wazee wazamani kweli ni wazee wetu na tunawaheshimu ila kuna mambo sio katika Dini walikua wakifanya

    • @mahfoudhally2879
      @mahfoudhally2879 9 місяців тому +1

      Hhhhh basi wewe pia huamini pale sisi mizi walipomuona nabii suleiman wakaongea suleiman akawasikia

    • @saidhmuhammad5567
      @saidhmuhammad5567 9 місяців тому

      Ndugu hapo hatumuongelei Nabii Suleiman A.S na hakuna ambae ana shaka juu ya hilo kwamba aliwasikia sisimizi wakiongea.

    • @yes_yes1310
      @yes_yes1310 9 місяців тому

      Kwa hio Nabii suleiman na Mtume Muhammad swalaa llahu alay wa salama, nani bora?

    • @herimsham3459
      @herimsham3459 9 місяців тому

      Said kakosa jibu.😊

    • @saidhmuhammad5567
      @saidhmuhammad5567 9 місяців тому

      Sio kwamba sina jibu hapa hatuangalii mambo ya ubora..kwahio kma Mtume Muhammad s.a.w ni bora ndio mumuekee mambobya urongo?

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express 9 місяців тому +1

    😂 Ngoja nicheke tu sina chakuongea.... Kwahiyo babu yako akikwambia uchawi ulikuwepo tangu na tangu shika tunguli tupae usiulize tii tu!... Usitake kufananisha zama ya Mtume na zama hii. Enzi zile huenda wengi kati yetu tungekuwa makafiri kwamtazamo huo wakusema mkubwa akisema usiulize. Kwani wao siwaliabudu masanamu kwasababu walikuta mababu zao wanaabudu!?. Walimkataa Mtume kwahoja yako hiyo hiyo yakusema Mkubwa akisema fuata tu. Ushahidi wa Mtume (S.A.W) kwa miujiza aliyopewa na Allah na Allah kuwaongoa watu ndipo wakafaa dini. Dini inaenda kwa dalili sio kwakuambiwa tu unafata

    • @HusseinKoja-ww7gi
      @HusseinKoja-ww7gi 8 місяців тому

      Kwani kila usichokiuliza unakuwa umekipokea

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express 8 місяців тому

      @@HusseinKoja-ww7gi sikiliza video yake kwanza kisha soma comment yangu utaelewa nini naongea

    • @user-dp1dj8ti6h
      @user-dp1dj8ti6h 5 місяців тому

      😢 x

    • @mahmoudsultan3445
      @mahmoudsultan3445 3 місяці тому

      Wee si nabii unamiujiza yako yakupinga endelea kupinga tu

  • @saidhmuhammad5567
    @saidhmuhammad5567 9 місяців тому

    Sheikh hayo maneno yako yakua ukiambiwa wazee jambo usiulize ww ufanye tu sio sawa kabisa. Nivlazima ujue uulize uambiwe maana kisha uyapime katika mizani ya dini..hicho kisa cha Israi Wal Miraj Abubakar r.a aliamini moja kwa moja kwa sababu ni maneno ya Mtume Muhammad s.a.w...na sisi tumeletewa dalili zote ndani ya Quran na kwa Hadith lazima tuamini..kwahio maneno ya wazee ikiwa sio katika misingi ya Dini usifuate na utajua vp ikiwa haiko katika misingi ya Dini ni lazima uulize

    • @user-ev7dh1np3w
      @user-ev7dh1np3w 9 місяців тому

      Kwa fikra zako ungekuwa ww usinge kubali pia muelewe vizuri anavyosema utapata faida ukiskiliza kiupizani autaelewa kamwe

    • @user-ev7dh1np3w
      @user-ev7dh1np3w 9 місяців тому

      Anaezungumziwa hapo ni mtume hayo mnayoyatilia mashaka ni madogo sana

    • @harithally2264
      @harithally2264 9 місяців тому

      Unajua mizan ww

    • @mahmoudsultan3445
      @mahmoudsultan3445 3 місяці тому

      Tatizo lako umekaa kiushabik alipoanzia wee hutak unachukua mfano kua ndio ujumbe alichokisema maneno ya mtume hayatiwi hoja hago maneno ya wakubwa n mfano tu wa utiifu juu ya viumbe lakn Kwa mtume hamtak kutii ukisikiliza kiushabik hutaelewa

  • @mkemiawarap3645
    @mkemiawarap3645 4 місяці тому

    كاذب

  • @mohdkhatib223
    @mohdkhatib223 9 місяців тому

    Hata akikwambia ukalewe? Huyu alipoteuliwa ushekh wa bakwata ndio amezidi kuboronga

    • @sadiqselengu4197
      @sadiqselengu4197 9 місяців тому +1

      Wewe huyu umemjua juzi..
      Tunaomjua tumetulia..
      Toka lini mwanachuoni (sheikh) akakuamrisha ukalewe??
      Tuliolelewa na wachamungu tunamuelewa NYIE WA KILA KITU KUBISHA ENDELEE.

    • @rydertz3372
      @rydertz3372 9 місяців тому +1

      Kakosea nini katika maongezi yake!!??

    • @hamisiramadhani14
      @hamisiramadhani14 9 місяців тому

      Kukaa kimya ni hekima sana kuliko kuzungumza bila elimu na ufahamu

    • @harithally2264
      @harithally2264 9 місяців тому

      Na ww bidaa mkubwa sn tena mzushi

    • @harithally2264
      @harithally2264 9 місяців тому

      Usimseme usie mjua sheikh wetu tunamkubali na ana Haki ya kulindwa na watu kama nyinyi

  • @user-vy7jd5th5e
    @user-vy7jd5th5e 6 місяців тому

    Assalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh...muogope ALLAH sheikh haya maisha ya dunia ni yakupita tu tungeneza akhera yako vyemaaa uongo ni katika maas nawe wajua alafu wadanganya ummah... Allah akuongoze katika Haq.