ENGINEER: "Tumekuta Club Inaishi Manzese, Cost Zote Alikuwa Anabeba Ghalib | SALAMA NA ENGINEER PT 1

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 гру 2022
  • #SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
    Kama kichwa cha habari kinavyosema, Engineer Hersi ndo chachu ya furaha kwa mashabiki wa moja ya timu kongwe kabisa ya Taifa hili, timu ya wananchi, timu yenye mataji mengi zaidi yaani mabingwa wa ki historia. Nikiwa kama shabiki wa Simba Sports Club basi sina la zaidi la kufanya ila kumpa mtani wangu Hongera ya kuongeza taji jengine kwenye historia yao na pia kumsifu round hii kwa kutuzuia kuchukua ubingwa kwa mara ya tano MFULULIZO.
    Engineer Hersi Ally Saidi aliingia pale kwa njia ya mdhamini (GSM) ila baada ya kuonekana kazi nzuri ambayo ameifanya kwa kipindi cha miaka miwili, Yanga sasa inaingia katika mchakato wa kuifanya timu iwe na muekezaji na mchakato huo yeye ndiye ambaye anauongoza. Kama mshabiki wa klabu, suala la GSM kuwa mdhamini mkuu kulileta chachu ya yeye kuweza kuongoza mabadiliko hayo ambayo yataanza hivi karibuni. Na yeye ndiye anatabiriwa kuwa Rais wa klabu yake pendwa baada ya uchaguzi ambao utafanyika mwezi ujao.
    Narudia tena, kama shabiki wa SIMBA, mchakato ambao watani wetu wanaenda nao mmoja anaweza kuwa kakaa mbali na kutamani tu yale ambayo yanaendelea na kuomba (kwa nia njema) wenzetu wafanikiwe zaidi ya pale ambapo sisi tulifika kwenye mabadiliko hayo. SIMBA ndo ilikua timu ya kwanza kwenda kwenye mchakato huu ila inaonekana kama kuna sehemu zoezi limekwama na maswali mengi yamekua yakijitokeza na kuulizwa na baadhi ya mashabiki, mashabiki ambao pia wengi wao ni watu wenye vyeo na mamlaka. Tena, yangu matumaini wenzetu wataweza kukamilisha zoezi hili mpaka mwisho ili wengine waweze kujifunza.
    Engineer pia ni Engineer, Baba, Kaka, Rafiki na mtu poa sana, mfanya biashara pia kwa upande wake mwengine wa maisha. Ametoka katika familia ambayo ilihakikisha anapata elimu na kuwa mfano bora kwa jamii ambayo inamzunguka. Amekua Baba mzuri kwa watoto wake watatu, Engineer mzuri kwenye kazi yake, moja ya kazi yake ni ile HQ ya GSM pale mtaa wa Samora na kiongozi BORA mbele ya macho ya wana Yanga Afrika.
    Niliongea nae pia kuhusu maoni yake kwenye suala la mfupi wa elimu hapa Tanzania na kama huwa anasaidia maoni yake hasa kwenye kitengo cha elimu ya ufundi zaidi ukichukulia yeye ni mmoja wa uzawa wa shule za ufundi.
    Yangu matumaini basi uta enjoy na kujifunza jambo kama ilivyo kawaida yetu.
    Love,
    Salama.
    Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
    SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
    Listen our Podcast on
    Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
    ‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
    GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
    Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
    ‪UA-cam Link bit.ly/UA-camSalamaNa
    Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
    Follow:
    Twitter: / yahstonetown
    Instagram: / yahstonetown
    Facebook: / yahstonetown
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: slidedigitaltz
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 85

  • @pambanyepesi8949
    @pambanyepesi8949 Рік тому +18

    Huyu Engeniar ni mungu alimleta. Mungu akubariki endelea Kua mweledi unaweka Alana ambavyo itakumbukwa. Badae utakuja Kua MTU mkuubwa Sana nchi hii nakuombea Kwa mungu

  • @jocelinejohn7294
    @jocelinejohn7294 Рік тому +5

    Sema nimegundua watu wenye hela wana uongeaj flan hiv hauna makelele 🙌🏻🙌🏻🙌🏻utulivu wa hal ya juu

  • @everlynkimaro40
    @everlynkimaro40 Рік тому +14

    This man is very humble, even when you meet him 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @lydiathomas2905
    @lydiathomas2905 Рік тому +15

    Mimi ni Simba damu, but the guy is good example for young people in Tanzania.

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 Рік тому

      Huyu tunaweza,kumuongeza ktk watu wenye akili pale uto😊😊😊

  • @shamsally6277
    @shamsally6277 7 місяців тому +3

    Nice interview nimejifunza mengi asa kama shabiki wa yanga sc

  • @AlexMumoMalonza
    @AlexMumoMalonza Рік тому +7

    This is my best Show,from Nakuru city Kenya

  • @tattoz4677
    @tattoz4677 Рік тому +9

    Waswahili wanasemaje sio kwa ubaya
    Kusifia kazi bora inayofanywa na Yanstone town, Great job

  • @beingrosy
    @beingrosy Рік тому +5

    So calm and Collected, this Man genius aisee, so educated and so professional, Wananchi tunajivunia wewe sana Engineer 🙌🙌🙌

  • @prospermatovu3334
    @prospermatovu3334 Рік тому +2

    Tulichelewa wapi kumpata mtu kama huyu big up Eng Heris Mungu akulinde na uwe na maisha matefu. Daima Yanga mbele nyuma mwiko.

  • @mgallason...5686
    @mgallason...5686 Рік тому +2

    Tunakwenda vizuri. Yanga has gifted a president from God. #vivayangasc

  • @zakaliajoseph7705
    @zakaliajoseph7705 Рік тому +3

    Mie mwanasimba lakini namkubali Sana hers yupo kisoka Hana maneneo machafu ya usimba na yanga mungu akupe umri mreefu Kaka unajielewa mnoo

  • @panchovalentino3576
    @panchovalentino3576 Рік тому +4

    Viva Rais engineer Hersi said 💥🔥💚💛💯

  • @ourmath8725
    @ourmath8725 Рік тому +24

    5:00
    Mwenyezi Mungu atubariki wanaume wote tunaopambania familia zetu tusibaki na madeni kwa watoto wetu
    nimeipenda sana hii kauli
    Mzee wa watu Mungu amrehemu sana
    Amefariki huku akiwa amejitahidi kama Baba... Hadi kusikia mtoto anasema Baba amefariki lakini Hana deni..Hatumdai chochote

    • @patriciamaganga3891
      @patriciamaganga3891 Рік тому +2

      Na kina mama pia ❤

    • @ellsonmkonyi1319
      @ellsonmkonyi1319 Рік тому

      Sasa mlienda lalaliga kufanyaje wakati huo ndio mfumo wa Simba eng ? 49 wanachams 51 mmiliki?

    • @MRJ1308
      @MRJ1308 Рік тому +1

      @@ellsonmkonyi1319 bus lenu liko wapi

  • @chriskiddo1304
    @chriskiddo1304 Рік тому +10

    this guy is a total genious! a true engineer

  • @abrahammtongole2747
    @abrahammtongole2747 Рік тому +4

    Big up Eng. Hersi Said. Akili kubwa

  • @daudhabona8897
    @daudhabona8897 Рік тому +7

    Huyu ni kijana WA maana sana. Vijana tujifunze kutoka kwake. Yanga Kwa mfumo huu tuko makini na mbali lazima tufike

  • @patraychriss5723
    @patraychriss5723 Рік тому +5

    Business Technical Strategist 💫 naisubiri ya Big Joe

  • @edinamkubwa2629
    @edinamkubwa2629 9 місяців тому +1

    Fantastic interview!! Tunamuomba Jimmy mafufu dada salamaa

  • @jodepoultryfarm5212
    @jodepoultryfarm5212 Рік тому +1

    Wanachama 40,000, kwa club kubwa kama Yanga sio nzuri. We need over 500k members contributing to the club anually

  • @coffeemuya618
    @coffeemuya618 Рік тому +2

    Salama mlete doctor rick abdalah mchambuz wa soka nampenda sana

  • @makamlamuhammed3746
    @makamlamuhammed3746 Рік тому +4

    Salama sjaionaa interviews na masoud naiptjee nisaidien

  • @farajamtalemwa9336
    @farajamtalemwa9336 Рік тому +4

    Uyu mtu ana uwezo wa kuliongoza ata taifa 🟢⚫🟡

  • @catenzeki678
    @catenzeki678 Рік тому +2

    Hongera da Salama kwa kazi nzuri

  • @user-pf2cf4hp6w
    @user-pf2cf4hp6w 11 місяців тому +1

    Uyu mbona mstarabuu sanaa

  • @stephanoedimund7841
    @stephanoedimund7841 Рік тому +2

    Kazi nzuri

  • @marcelinojunior6340
    @marcelinojunior6340 Рік тому +1

    I salute you man🙏

  • @user-yo3km7su9x
    @user-yo3km7su9x 5 місяців тому +1

    Jamani nisaidieni Enginia alishawahi kufanya kazi Simba

  • @saidadam2165
    @saidadam2165 Рік тому +6

    From unguja town ningependa sisy umlete mezani feysal salum abdallah fei toto fundi kijana #hometownzanzibar

    • @najmaahmed3840
      @najmaahmed3840 Рік тому

      Feitoto nani wewe mama mwambie akuite wewe

    • @saidadam2165
      @saidadam2165 Рік тому

      Fei toto ni mchezaji wa mpira team ya yanga pia kma atanialikaa mezani nitaenda inshaallah

  • @abdulraufmohammedsalum6806
    @abdulraufmohammedsalum6806 Рік тому +4

    Engineer 🙌

  • @amoscharles241
    @amoscharles241 Рік тому

    Think Tanker.... Engr you are the best

  • @patriciamaganga3891
    @patriciamaganga3891 Рік тому +3

    my President, my Club 💛💚🖤🟡🟢⚫️

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 Рік тому +2

    Salama jabir anajuwa

  • @yussuphsultan1400
    @yussuphsultan1400 Рік тому +5

    Natafuta jina zuri la kusifu hii "interview" naona kama yanapelea.

  • @onekisstv8412
    @onekisstv8412 Рік тому +6

    Mzee msomali tumeishi nae mailimbili dodoma

  • @dianerditto
    @dianerditto Рік тому +5

    Simba na yanga zimekutana live, ila hers nimemfahamu sababu ya interview yako na manara alimwita hamnazo😀😀😀

  • @user-sg9vd7tm8x
    @user-sg9vd7tm8x Рік тому +1

    Bigup Eng😂

  • @Dj_anaetumia_kanda_AloyceG
    @Dj_anaetumia_kanda_AloyceG Рік тому +1

    Japo mimi sio Yanga but jamaa anaeleweka sanaaaa kuna mengi yakujifunza kwake

  • @mgallason...5686
    @mgallason...5686 Рік тому +1

    Salama waandishi wengi wanapaswa kujifunza kwako the way unauliza maswali.

  • @hamphreyalfred1156
    @hamphreyalfred1156 Рік тому +3

    Mambo vipi salama naomba mahojiano yako na mzee zorro

  • @iammichaellukindo
    @iammichaellukindo Рік тому

    Dope

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Рік тому +1

    🔥

  • @dianabanga2625
    @dianabanga2625 Рік тому +4

    👏👏💚🖤💛

  • @clausemsemwa297
    @clausemsemwa297 Рік тому +2

    Tatizo ni MFUMO.....Hili jitu naliekewa

  • @delekalxon7221
    @delekalxon7221 Рік тому +4

    Engineer anahojiwa na Kolo

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 Рік тому +1

    Jemedari kasikia bila shaka

  • @comics3437
    @comics3437 Рік тому +2

    MGAA GAA NA UPAWA HALI WALI MKAVU (Yaani ukikaa karibu na mwiko huwezi kula wali bila mchuzi)

    • @goodluckferdnand9380
      @goodluckferdnand9380 Рік тому +1

      Maana ya io methali ni ukipitapita pembezoni mwa mwambao wa habari (upwa) huwezi kosa kitowewo cha samaki ikakupelekea kula wali mkavu

  • @hamphreyalfred1156
    @hamphreyalfred1156 Рік тому +2

    Basi naomba nisaidie niweze kupata itazama

  • @shilagijisandu3101
    @shilagijisandu3101 Рік тому +3

    Kaaah, kumbe engineer hersi ,mumetukosea mashabiki kumficha sura Mimi nilifikilia engineer wa mjengo wako

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 Рік тому +2

    Anavyoongea yani hata kama kiziwi utaelewa anamaanisha nini maana anaongea kwa vitendo kweli uyu jamaa ni Engeniar aliye nyooka.

  • @tariqmaduga8051
    @tariqmaduga8051 Рік тому +2

    Mahojiano yangu bora ni Haya na Master J mpaka sasa.

  • @seyyactor1418
    @seyyactor1418 Рік тому +2

    1 to comment

  • @burhanngomile6216
    @burhanngomile6216 Рік тому +1

    Engineer gan mbona anaongea sana unakosa la kuulza

  • @paulsamuel6265
    @paulsamuel6265 Рік тому +2

    Tuletee Barbara Gonzalez Pia

  • @BasesTunu
    @BasesTunu Місяць тому +1

    Rojoooo 😂

  • @donnietommie8444
    @donnietommie8444 Рік тому +4

    #SalamaNaDr.Leaky

  • @BasesTunu
    @BasesTunu Місяць тому +1

    Rojoooo😂

  • @tinomasangia5511
    @tinomasangia5511 Рік тому +3

    Nice engineer…. Sema the most successful club in the World sio Real Madrid bali ni Al Ahly SC ya Cairo…alafu kuna watu kadhaa alafu ndio Real Madrid.

    • @kinthermedia6164
      @kinthermedia6164 Рік тому

      Duuuu

    • @MRJ1308
      @MRJ1308 Рік тому

      @@kinthermedia6164 ni mwongo huyu jamaa Al Ahly ya Cairo ndo iwe most successful in the world

  • @yudakassim1138
    @yudakassim1138 Рік тому +1

    Rais wamabingwa

  • @nasrimohamed7556
    @nasrimohamed7556 Рік тому +6

    Salama ufanye uolewe sas khaaa