Mkuu afande nakupongeza sana kwa kz nzuli ambayo mnaifanya hapo dodoma na sikuzote kazi nzuri upongezwa ila kwa ushauli wangu uyo jamaa aliacha ujambazi nakujisalisha aachiwe hulu uku uchunguzi ukiendelea dhidi yake pia kama kunanamna yakumlinda uyo bwana kuna mengi atatusaidia kutokomeza uhalifu ktk nchiyetu
Bastola ina muda mrefu hiyo. Alafu kuhusu loli kuibiwa n kiki uongo mkubwa iliwezekanaje iibwe iendelee kufanya ruti za mizigo mikoani kweli acheni maigizo ya viwango vya kati
@@samirasleman4163 ukweli utabaki ukweli mbele za Mungu aliye hai.mi ccm no one tena niliyesomea .ila mimi kuwaonea watu sipendi.napenda kuwa na amani na watu wote.kama nimekukera nisamehe mi ni binadamu
Nimeshakumiss jaman yani hakuna siku uliyonifurasha kama leo nakupenda bure na soon narudi bongo najua tutakuta kule kule Zanzibar b.o.t kwa mchina mwanzo
Serikali kama Serikali, Mtu kama huyo apewe kazi ya SECURITY kwa kuwavua wengine wao. Hapa kazi hakuna kulala. TZ Oyeee, Mwe. JPM Oyeeeee. Mungu azidi kumpa mkono wabaraka wa Uhendeleshaji wa kazi.
Huyo inamaana hata jamii ilikuwa tayar imemtenga na mitaa huenda pakitokea wizi alifikia kutajwa yeye....Sasa ili asijekufa mapema kaona ajisafishe....hongera sana
Broo bora umeacha ujambaz fungua biashara sasa unajua ukiacha ujambaz unakuwa ni rafiki na polise ila jee ulinz wako unakuaje wenzako c wanaeza kukuua maana lazima mlikuwa group
Kwani tindu lissu nani???mwenye uwezo wa kweli ni m'mungu tu hata angewekea ulinzi kiasi gani m'mungu angeamua kumchukua angemchukua tu lakini kaamua kumnusuru mpaka leo bado ya hai
Wengine wasiojulikana Mbona hamuwaongelei na lisu alipigwa Dodoma unaposema hawataki Mbona wa lisu walitoka na huwaongelei uhai wa mtu kwanza magari baadae
Najivunia kuona polis wakifanya kazi nzuri sana rpc dodoma respect to you
Kipigo chake ni cha mbwa kokoo😁😂😂😂😂😂
👏👏👏👏👏Muroto nakukubaliii mnoooooo..Mungu akupe uhaii mrefu kwa manufaa ya wengiiiii..
Mzee wa Kiki kama kawa
Sasa Kama kaacha uhalifu mbona unamnadi hivyo? Nakumbuka ulishaambiwa na G.P siro hacha kunadi watu peleka kesi mahakamani
+254 uwa nakupendaga sana mzee
Mkuu afande nakupongeza sana kwa kz nzuli ambayo mnaifanya hapo dodoma na sikuzote kazi nzuri upongezwa ila kwa ushauli wangu uyo jamaa aliacha ujambazi nakujisalisha aachiwe hulu uku uchunguzi ukiendelea dhidi yake pia kama kunanamna yakumlinda uyo bwana kuna mengi atatusaidia kutokomeza uhalifu ktk nchiyetu
Duh kuna watu ni noma sana wanaiba hadi Lori! Ahsante sana Kamanda. #watapatatabusana
Hahaaaaaa mbavu zangu mie
Big up Tz police .. Hongera sana kamanda, Kenyan police corrupt, ...
ila baba una sifa mpaka basi.
Mungu Awatie nguvu Awape Afya tele .mtekeleze majukumu yenu kwa Ukamirifu Na mtangulizeni mungu mbele kwa kila jambo.InshaAllah.
Afande mroto na afande silo msistafu mapema kazi mnaiweza mungu awalinde. Hammoei mtu pasu kwa pasu
Bastola ina muda mrefu hiyo. Alafu kuhusu loli kuibiwa n kiki uongo mkubwa iliwezekanaje iibwe iendelee kufanya ruti za mizigo mikoani kweli acheni maigizo ya viwango vya kati
Ww hujuwilolote wenZio wamefuzukwakazihizi
Naomba riport ya Tundu Lissu walio husika achana na mambo hayo kwanza Mzee
Baba yakopiakahusika
Hongera kamamda kwa kazi unazozifanya
Askari msisite kuchukua hatia hata Kwa viongozi wetu wajingawajinga tuko pamoja nanyi . salute.
Asante Askari wetu Kwa kutuakikishia usalama wetu .
Sawa sawa Wachu, piaga kazi! Waharifu watapata taabu sana!!
Aicee huyo aliyeiba gari kubwa na kuligeuza kwa ajili kubeba mizigo ya wizi katisha kama komando john,
Jambazo ameogopa kipigo cha mbwa koko
Hongera sana kamanda. KAZI nzur rr
Kalee wajukuu we mzee
Wakamateni wale watu wasiojulikana wanaoteka na kupoteza watu kwanza hapo nitajua mnafanya kazi maana uhai wa watu ni bora kuliko hayo magari.amina
Nawewe uso wambuzi unasemaje watuwanazungumzia mchuzi we we unaletamaada zamavuzi
@@samirasleman4163 kama matusi ndo dini yako Mungu na ashughulike na wewe.mimi siwezi amina
@@gililwise maana mnakera mnaifundisha serikari utendaji wakazi wewe ukitaka upateshida hapaduniyani letakidomodomo nakuikosowa serikari utaishia kuburuzamguu kama tundulisu
@@samirasleman4163 kwani kusema
@@samirasleman4163 ukweli utabaki ukweli mbele za Mungu aliye hai.mi ccm no one tena niliyesomea .ila mimi kuwaonea watu sipendi.napenda kuwa na amani na watu wote.kama nimekukera nisamehe mi ni binadamu
Amen amen. Ualifu siyo dili ndugu . poleni. Amen.
Kamanda muroto hongera sana
Kama umemuona board guard wa muroto cheka kidogo 😁😁😁😁😁
Sisi wananchi tunaomba utuambie waliomshambulia lissu walitokaje maana hapo ndiyo tutajua dodoma sio salama
Majibu ya swali hilo analo Mbowe na Dereva wa lissu
Umuulize tundulisu dereva wake yukowapi?ukishajuwa aliko dereva naakikubali kurudi tanzania dipo utapata jibu sahii
Huyu kamanda anafanya good job
uko vizuri mroto
Pongezi kwa kazi njema.wahalifu jisalimisheni
Sasa wale walio mshambulia mbunge Tundulisu walitokaje dodoma jaman
Swali zuri
Ayoub Mwanawima chadema walimshambulia
Hilo swali gumu hawana jibu hahaha
Muulize dereva wa Tundu ana majibu ya swali lako. Kama risasi nyingi hivo iweje hata moja ya kukwaruza?!
@@samsonmwijage1602 we ndo kenge kweli Sasa walishindwaje kumkamata
Nimeshakumiss jaman yani hakuna siku uliyonifurasha kama leo nakupenda bure na soon narudi bongo najua tutakuta kule kule Zanzibar b.o.t kwa mchina mwanzo
Baby imma jaman kweli umeacha iyo kazi
Serikali kama Serikali, Mtu kama huyo apewe kazi ya SECURITY kwa kuwavua wengine wao. Hapa kazi hakuna kulala. TZ Oyeee, Mwe. JPM Oyeeeee. Mungu azidi kumpa mkono wabaraka wa Uhendeleshaji wa kazi.
Huyo inamaana hata jamii ilikuwa tayar imemtenga na mitaa huenda pakitokea wizi alifikia kutajwa yeye....Sasa ili asijekufa mapema kaona ajisafishe....hongera sana
Nawapeni hongera maskari wetu
Barikiwa sana sana Kamanda Muroto kwa kazi tukufu ya kuilinda nchi yetu. Muroto hoyeeee!hoyeeee!hoyeeee!Muroto juuuu!juuuu!juuuu!
Big-up kamanda Mroto
Habari ya tundu lissu ishapitwa na wakati
Safi kamanda
Mungu awape nguvu zaidi
Jambazi amepata shibe vizuri...atakuwa anaiba vyakula
Inakuwaje dreva awe na leseni mbili wakati finger print zinatumika?
We jamaa uwanga mnafiki ulixhinda kuwamata waliomshambulia lissu una2letea umama wako hapa WA kinafiki
Muulize dereva wa lissu
Ana wapumbaza2
Tunapeleka fire kubwa mitaani 😂😂😂
Mbona hamuwasemi waliomshambulia tundu lisu
Wewe choko wako kafunguwa jarada wapi? Kituo gani?
Tukamatieni waliompa kilema Mh. Tundu Lisu😂🙏
Moto kwa waarifu uendelee
Ewe mwenyez MUNGU mkuu enderea kuyapa nguvu majeshi yetu yote
Big up
Hongera mkuuu
Muheshimiwa sifa nyingi. Mbona kwa risu hamja wakamata wale askari wenu waliogetini
Hongera sana kamanda
Mkuu wa kituo anateneza jina
Kwa huo mwili wa huyo alojisalimisha kweli akikupiga ngeta utatoka
Kazi nzurii ila jamn kunakipind ap nyuma ilikua ni shida yaaan ndugu zetu walikua wanabebwaa hatarii ukikutwA umekaa kaa tuu unabebwaa hasa wakaka
Ila mkulu hana imani na nyie tena😂😂😂,mkulu kawa na mawazo km yangu Sasa,toka zamani sina imani na police kabisaaa
waukweeli nikkon yani ni hivyo tena kusema kupeleka moto mitaani ndo watakusanywa bila hatia ili kutoka kwa peas,
Kazi kazi kamanda tuna kuwaminia kamanda wetu wa dodoma
Mtu anaibaje gari kubwa hivyo jamani duh. Watanzania wamekua jambazi hivyo
Watanzania ni waibaji wengi wao
Broo bora umeacha ujambaz fungua biashara sasa unajua ukiacha ujambaz unakuwa ni rafiki na polise ila jee ulinz wako unakuaje wenzako c wanaeza kukuua maana lazima mlikuwa group
Tunapeleka moto...hekaheka ni nyingi
Huyo kamanda ni chapa kazi hao waje niwafunze kazi za mikono kama kuchora chereani ujenzi na seremala
Safi sana dodoma mkojuu
watapata taabu sana!
Daaa noma sana
Kwani tindu lissu nani???mwenye uwezo wa kweli ni m'mungu tu hata angewekea ulinzi kiasi gani m'mungu angeamua kumchukua angemchukua tu lakini kaamua kumnusuru mpaka leo bado ya hai
Hongera kwa kujisalimisha inaashilia umeamua kuacha hayo mambo, ubarikiwe sana, okoka kwa Yesu Kristo kuna Raha na amani tupu
Kamanda unatuongopea sasa waliompiga risasi lissu mbona walitoka
Mbowe
Mtuambie.Alie.mpiga.lisu
kama rais anatilia shaka stori zenu nani atakae waamini hata mkija na watu mnao waita majambazi?
wise riziki big up bongo muvi tuone na mastaa wengine
Huko ni kupoteza muda hakuna wa kuona Kuna ukweli hapo
Huna lolote kama walotaka kumuua tundu lisu.acha poropoganda
Mkuu Upo vizur
Kaka keke KIKI koko kuku
Hata mm naona ndugu KAKA KEKE kiki KOKO KUKU
😂😂😂😂😂😂 kiki
Hongera baba kwa kaz nzur hongera sana
Kumi na kenda ni kumi na mbili au
Kumi na tisa hiyooo
Kenda ni tisa
babu hii mushafeli mwenye akili zake timamu atajua hii cinema ya kihindi mtu gani aje kuwambieni kastaafu uhalifu.
Inaonyesha na we we nimiongoni mwao
safi sana kamanda mroto
Sad San
wewe mzee subili tuko kutoa taarifa. i😂😂😂😂😂 huyo mzee aliye jitokeza hapo mwishoni
Jasho la mtu Haliliwi😒😒
Mbona kama maigizo
Tambuen hata shetan anapendwa kuliko jehova , tundu ni zaid ya shtn hilo mtalijua si muda
Wewe si mkiristo mwenzio yule unamuitaje shetani kisa siasa mhhh
Hapa kazi tu
Na Tanzania kwa ujumla wasifanye.
Wengine wasiojulikana Mbona hamuwaongelei na lisu alipigwa Dodoma unaposema hawataki Mbona wa lisu walitoka na huwaongelei uhai wa mtu kwanza magari baadae
*Sasa kama mnajinadi hvo kwann tundu lissu alipigwa risasi*
Hapo sasa ndio ujue kuwa utawala huu unasarakasi nyingi sana.
JD online hahaaaaa
JD online 😀😀😀 hapo sasa
Unajitahidi baadhi ya mambo afande ,,fanya kazi
Heka heka
Ludlow
Gumba
Izo juhudi zote mngefanya kwa tukio na Lisu ingekua poa ila apoo naenda kuleee
Mbona huwapandishi vyeo vijana wako, wanafanya kazi nzuri
😅👍
Jibu maswali kuhusu kushambuliwa kwa lissu hayo mengine kawaida sana mzee,ila uko vizuri nakukubali
Majibu ya Lissu muulize Mbowe na Dereva wake
Izo gari watajeni wamiliki
Arthur Festo kamanda kasema wahalifu hawatoki Dodoma sio kama ni lazima wakamatwe ila tu hawatoki
Unachekeshaga
MAmae watu wanaiba Hadi rori
Nakukubali nakukubali ww mno
Kalibuni wageni mtokao nje ya jiji la Dodoma, lakini mjue mkiingia Dodoma hamtoki
It's me forever mbona wa Tundu lisu walitoka
Ha ha haaa,kwamba tutawanyanganya harakaharaka
Gonga like kama ulikua umemiss afande Muroto akihoji!
the coming IGP.. Anadeserve.. God bless this RPC
Kazi nzuriiiii