NABII TITO KUMBE CHIZI, JIONEE KAMANDA ALIVYOMTOA NISHAI!
Вставка
- Опубліковано 22 січ 2018
- Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linamshikilia Onesmo Machibya maarufu kama Nabii Tito kwa kosa la kuenzeza chuki dhidi ya dini nyingine anaoufanya kufatia kusambaza vipande vya video mitandaoni.
Nabii Tito amekutwa na kosa la kuvunja kifungu cha sharia namba 129 cha kanuni ya adhabu sura 16 na marekebisho yake ya mwaka 2002.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto amesema walimfikisha mtuhumiwa huyo Hospitali ya Rufaa ya Magonjwa ya Akili, Milembe mjini Dodoma na baada ya vipimo alibainika ana matatizo ya akili lakini wamedai bado wanaendelea na uchunguzi kubaini iwapo ana akili timamu au anafafanya makusudi.
Subscribe muda huu / uwazi1 Install #GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. .
TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli . - Розваги
Asanteh Mungu,,, Nashukuru sana jeshi la polis kwa kumkamata uyu mtumiwa yan anadhalilisha dini weka ndan
From Kenya,, am not a Christian but am not supporting any one to go against any other Religion in bad ways like this, he did a very bad act and that should be a Lesson to other's who are doing the same from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kazi nzuri hongereni sana
Thank you
Asante sana jeshi la polisi wakamatwe na kuchukuliwa hatua hasa wanaochafua kitabu cha Mungu kwa maslai yake au ya kundi lake,
asante sana Mungu kwa kukamatwa kwa huyo mgonjwa.. amekuwa akiongea utumbo usio faa.. asante kamanda wa polisi.
From Kenya I support Tanzania police good work hakika Tito alikosa maadili
Q
Kazi nzuri sana jeshi la tanzania. Huyu alifaa kushikwa kuanzia zamani. Mi mkenya lakini nilipomuona kwenye mtandao nilijua huyu hajui anachokifanya si nabii huyu ni kichaa anayetaka viboko vingi sana..
thanks for the updates
Nigerian movie's
Kazi nzuri
Asante mungu
Safii sana polisi
Safi sana Bb Fanya kazi yako
Asante mungu kwauwezo wako
Jamn uyu kmanda anajitahidi hongera
Good job
Safii mungu awalipe huyu anaharibu dini ,,,ila hapo Kuna karushwa mmekula sababu anapesa
Ahsante mungu kwakukamatwa Hugo mweu muongo
Hongera kamanda
Asante Mungu
Kama umesikia neno MILIMBI kutoka kwa mkuu wa mapolisi gonga like hapa 😂😂😂
Sukuma ndani hana unabii wowote
sukuma ndani..
Appreciated with news
Uyo atakuwa ametumwa
Nabii ni noma sana uyo
Jamani mwacheni mungu afanye kazi yake
Afunguliwe mashtaka!!
Asante mung sababu umeona hill mung wet hajawah kulala wala kusinzis
Congrats kwenu polisi
mbaya sana
Wakumpa pole sana
jamani ashughulikiwe maana anayiyafanya jamani hapana hayampendezikilam2
Chiziii!!!😳😳😳🤔🤔😂😂😂
Kuna sku mtajua democracy mloikubali ina upuuz mwingi tu. Huyo mtu umoja wa mataifa hana kosa... Liberty ndo hyo . Kna ktu kinaitwa religious tolerance.... tumekubali upuuz mwng n utatucost mbeleni
Safi Sana kamanda..kazi nzuri
Doricy Audax Hello miss
Mrotooo uko vzr sana staafu salama
Pengine sii mzima jamani mchungaji kavaa eboebo😬
Hahah
Hahahaaaaa
Hahaaaa
Hahaaa
Mungu anamuona
Mimi hiyo nilimuona chizi Sikh nyingi sana aidha kweli anatumiwa sweka ndani
jmn huyuuu akiil haikooo sawaa jmn aende kabx kisangaaa akakae hukooo
Kajichubua..usoni...😂😂😂😂😂miguu na mikono ziko tofauti na uso
Doricy Audax changamoto aixeee
la ana hii
kama umesikia neno JOHO HAPO kwa sauti ya mkuu gonga like
eti amejikilim hahahaaa jaman
Safi sana afungwe
Kweli kbs tuone km akili azita rud ye sianajifanya chize
Hongera kamanda moroto👍👍👍👍
Duuuh kazi ipo
Kabisaaaaaaa
anaitaji viboko kwanza
😂😂😂😂😂 uwiiii...
Hicho kingeleza cha kamanda sijamuelewa kabisa ila huyo nabii sio kwa kujichubua hivyo. Ahahahaha
huyo sio kichaa ana akili zake timam
Hayo yalitsbiliwa pia ndvyo watu wengi wanakoenda maana wame badly maandko nakusema kunywa kidogo usilewe Mara wanakata mauno ovyo tu
Naf
Safi xana
ananipa hasira huyuu
Daaah
anavyohangaika sasa😂😂😂asante kamanda
Hatar
Pls can some interpret this statement or summarise this.
Pls
hongera jeshi la police kwa kaz nzuri
aise taifa la leo c la zaman, asante mungu
Ayubu Henry
.
Chunguzeni kwa makini jeshi langu wengine Huwa wakikamatwa kwa makosa Yao ndugu jamaa zao Huwa wanakimbilia Hospitali na kununua vyeti kwa kisingizio ndugu yetu ni chizi Ili aachiwe na kiendeleza ujinga wake mchunguzeni sana huyo ikiwezekana apelekwe milembe kule ndio watajuwa ni chizi kweli au anapotosha jamii.
Sasa kama daktali kasema mgojwa wa akili kwa nini mnamfunguli mashitaka hiyo ni sawa?
I wish Kenya ingekua kama tanzania. Kenya wamejaa pastor wanaofanya mabaya zaidi ya huyu..
Chizi hahukumiwi mpelekeni hospital akili zake zilud ndo solution
kwa sisi wakufunzi wa mental health including psychiatry, kama mtuhumiwa awe wa mauwaji au amefanya kosa linalopelekea kutokana na matatizo alokuwa nayo ya akili (mentality sick) na uchunguzi wa madaktari as been certified kwamba ana shida iyo under written document, basi uyo asiwepo mkononi mwa sheria bali aludishwe milembe akaendelee na dose as mentally sick, kwakuw sio kwaatakwa yke bali ni afya ya akili
Mo derji kapakana au bado
Hakika umenena
Hahahaha nabii tito ametusumbua sana
Huyu nabii Tito ni noma kwanza amejichubua usoni, miguu na mikono nyeusi halafu nabii kavaa yeboyebo jamani halafu anamtaka Wema Sepetu awe mke wake fyuuu huyu nabii kweli apelekwe akakae Milembe kbs.
huyo anaye jiita nabii tito anamkejeri mungu hajui kama amegusa mboni ya jicho la bwana jenahanam inamsubiri
pole sana dada angu wastara juma usinung'unike hicho kikombe ulichokinywa ni kwamapenzi ya mungu
+Isaka Masulya mav we
Elizabeth Mwandu
Elizabeth Mwandu
Kabisa mtie ndani akanyee segerea
amelaniwa na mungu wake
atapata tabu sana😁😁😁😁😁
kwel chz
Mariam ziaka
Mungu ata muhukumu ila bina dabadamu hamna haki ya kwazibu bina dana ile ilikua agano lakale
afungwe maisha
Hahahaha anamatatizo ya akili kumbe 🤣🤣🤣🤣
Dokta ashasibitisha kichaa nyinyi mnamuweka ndan subiri awazuruu sasa
Duuuuuh! Dunia simama nishukeeeee
😀
duuuu moyo wangu ulikuwa unaniuma sana nikiona anafanya mambo yake yale, bora mmemkamata asante mungu
Sasa mbona kama analia USO umepwaya na yeboyebo zake uwo msalaba bonge jiti
Agnes ayubu naliyo andika iyo bibliya vizr akamatwe nayepiya afungiwe
mkojo wangedere
Agnes Ayubu daaa uyu mchungaji ata ukumiwa na mungu ana cheza na mung
@@stevemwakihaba3804 🤣😂😂😂😂
kweli ni kichaa
Hizi lugha za subtitles ni lugha gani maana kiingereza si kiingereza haieleweki
Safi sana nafurahi kuiona serikali ya awamu ya tano ikicgukua hatua Mara moja kwenye mambo yanayotaka kutuabisha kama taifa walizoea kufanya vituko bila kuulizwa!
mke vipi?je naye ni mgonjwa?mbona wapo pamoja?
MUNGU tusaidie
+Elizabeth Abed naalaniw
I wish nimuone huyu police nimpe soda nilivyofurah asante mungu kwa kuliona hili
Andrew joram
Tito inatakiwa afungwe kifungo cha miaka 40
Baba askofu mungu anakuona
mushi mushi t t
ibilisi huyu na chizi mpumbavu
Kweli dunia imeisha huyo si wa kuachiwa
Hana ugonjwa wa akili huyo , akafungwe spate adabu
Mi naona ana akili timam kabisa uyo
Kama ni Chiz ni bora arudishwe tu uko uko Milembe,Akaendelee na tiba,asiharbu watu na kusababisha uvunjfu Wa amaniiii!!!!....
Makanisan mnacheza viduku mkdai mnamwimbia Bwana mmedhalilshwa nn?mmezoea shanglieni ndo zenu Tito ni mwenzeni unganeni tu kganya yenu
Huyo nabii mfungeni maana a maxima such dini nyingine
Anajihita ikomando
C kunauhuru wa dini?
Afande uko vizur
Eeee
Zekomed
i
Jamani huo nimsalaba au bango lakanisa
Serikaliiii haina dini ilaa kosa la tito ni kukashifu dini ya kikrosto
aja kosea yeye ana sema anachose ki amini kwani wale wislamu wanao tumia biblia kwa ku kuikashufu mbona awaja chukuliwa atuwa naona uyo kamanda ana tafuta sifa tu
Hongereni sana kwa kumkamata huyo mshenzi
Wengi wamekosea kutafasiri maandiko ya mungu ndo maana kunadini nyingi naiman tofauti kwan hakuna madhehebu yanayo ruhusu pombe na wanakunywa nahuyu anahitaji mafundisho ya bblia kama wengine wala siyo chzi
Hayo anayoyasema huyo Nabii Titto yangekuwa ni dhidi ya uislam asingechukuliwa hatua hiyo na maoni ya madaktar yangezingatiwa
asley
Huyu nabii kabisa
Leo ni kada mwenzenu wa CCM 🤣🤣🤣 chizi mwenzenu msiojitambua mnaounga juhudi za magu.
😀😀😀
kumbe
kuna kitu hapa chini ya pazia
Huyo nabii ni mgonjwa wa akili na hao wanawake pia ni wagonjwa wa akili? huyo ni mzima daktar sema kwel
Hugo nabii tito achukuliwe
Ata za kisheria