Huyo mume alijipalia makaa na huyo mwanamke ndo alikuwa mafanikio yake lait angekaa naye hadi leo basi wangekuwa matajiri wa maana lakin mwanaume aliona kulisha mkia wake ni fahari kulko maisha angalia sasa huyu mwanamke hata akiwa kwenye ndoa ni muaminifu hawezi kusaliti ❤️
Millard Ayo, Hizi ndio habari za kutweet na sio zile zingine za kukamata wadada poa. Nashauri ungekuwa na kipindi rasmi kwa ajiri ya vitu hivi kwani vinajenga mno.
Mwanamke wa shoka ,wengi watasema kunakitu chaziada unategemea,lkn hawajui kwamba unasev ,nahaswa ukijua unataka nn nakuamua Mungu akuangulie karanga inahela nyie achen tu
Kosa baada ya watoto 2? Amesema kuna mama alikuwa anakuja hapo kufanya kazi za ndani ndio akapindua meza, ni huyo baba ndio amejichanganya, kosa ndio likufanye uende kwa mwanamke mwengine?
Hebu ushushiwe na wewe tuone mie n muuza karanga pia Niko Arusha biashara ndogo ndogo zinzlipa sana wekeza kwenye vikoba au michezo uone kama hujatoboa
@@user-yd9ds1zs1iinawezekana tena saana utakuta kajenga hiyo nyumba kwa miaka hata miwili au tatu akipata faida ananunuwa gunia 3au inne ya simenti mdogo mdogo anajenga yote ni ma hesabu na nidhamu ya bageti
INAWEZEKANA kabisa Ukiwa Na Mungu na ukiwa Na Focus ❤
Utukufu kwa Mungu, mambo hayo yanawezekana aswa ikiwa mwaminifu kwa mungu na kila Mtu Mungu anangangia namna ya kufanikiwa, hongere sana dada
Mashallah hongera mama mola hamtupi mja wake 💝💝💝💝💝
Huyo mume alijipalia makaa na huyo mwanamke ndo alikuwa mafanikio yake lait angekaa naye hadi leo basi wangekuwa matajiri wa maana lakin mwanaume aliona kulisha mkia wake ni fahari kulko maisha angalia sasa huyu mwanamke hata akiwa kwenye ndoa ni muaminifu hawezi kusaliti ❤️
Nimekupenda sana umezidi kunipa ujasiri kua naweza🤝🤲🏼🤲🏼🤲🏼♥️
Hongera sana dada, Mwenyezi Mungu akuzidishie zaidi
Millard Ayo,
Hizi ndio habari za kutweet na sio zile zingine za kukamata wadada poa. Nashauri ungekuwa na kipindi rasmi kwa ajiri ya vitu hivi kwani vinajenga mno.
Hongera dada wewe sasa ndio super woman.
Kabisaaaa
Safi sana hongera mamaa hivi ndio vitu navipenda...so inspiring
Hongera mdogo wangu, mpambanaji mwenzangu mwenyezi Mungu aendelee kukupigania🎉🎉
Historia ya mafanikio yake naiamini kabisa ni uangaikaji wake binafsi hongera sana mama Mungu akuzidishie !
Karanga zina lipa sana
Mungu humwinua mtu kutoka mavumbini.
Kabisa
Amiin
Hongera sana Kuna midada ipo MTAAN eti ohoo mie nibebe beseni kichwan mie hongera sana my dear
Mashaallah M mungu akuzidishie kila la kheri akuondolee vikwazo kwenye biashara yako
Hongera kipnz,Mungu akasikie kilio chako
Hongera sana
Hongera sana, wewe ni wa mfano. Mungu aendelee kukubariki utakuja kuwa bilionea siku za usoni
Mashaallah 🥰 Allah bless you mpambanaj💪.....nataman nikuone nipo nyankumbu pia jmn
Masha ALLAH hongera sana ❤
Asante malikia wa nguvu ❤ wanawake tunaweza
Monica hongera hata Mimi napambana mungu atufanikishe
Maa shaa Allah hongera sana hata mm naweza In shaa Allah biidhn Allah
Huyu ndio super woman.mpambanaji wa nguvu.
Ongera san. Mungu abariki. Rizki ya halal
Vizuri sana dada❤❤❤
Hongera Sana mpendwa wangu
Ameeeen ameeeeen safi sana. Mungu atukuzwe.
Be blessed Bertha
Hiyo nyumba haipungui m 50 Kwa macho ninavyoona
Mwanamke wa shoka ,wengi watasema kunakitu chaziada unategemea,lkn hawajui kwamba unasev ,nahaswa ukijua unataka nn nakuamua Mungu akuangulie karanga inahela nyie achen tu
Hongera sana dada mzuri
Hongera sana dada
Mainshaallah
Hongera Mama
Hongera sana mama
Mungu nisaidie na mm
Allah atazidi kukuongoza.
MashaAllah
Hongera
Hii ni historia inayoleta nguvu.
Hongera sana mom😢
Anaposimulia unaweza ukafikiri ni jambo la week moja tuu,ila ukiwa ushakutana nayo ndo unaelewa
🎉🎉🎉🎉
Hallelujah! Mungu azidi kukubariki na kukuongeza Katika jina la Yesu! 🙏🏾
Mfano wa kuiga
Inapendeza mama mjasiriamali
Ongera dada
🎉🎉❤
Amen
🙏
💯
Kwakweli Mungu ni mwema
Uyu ni Mimi kbsa mungu mkubwa sana
😅😅😅au siooo.... !!,hapagwi mtu apa
AMIIN
Basi. Sawa
Waaaah hata mumeo akiona hii atatamani kukurudia
Hiyo ndo Mwanamke wa shoka
Ulichosema hukua ridhaa kuolewa ulilazimishwa ndicho kilichokukost yawezekana kuna makosa ulifanya bila kujali ndio mana kakuacha
Kosa baada ya watoto 2? Amesema kuna mama alikuwa anakuja hapo kufanya kazi za ndani ndio akapindua meza, ni huyo baba ndio amejichanganya, kosa ndio likufanye uende kwa mwanamke mwengine?
Hii nikweli kabisa hata mm nimejenga nyumba kubwa tu nilikua nauza karanga
Tumepigwa
Kwavile unategemea ajira utapata tabu
Nauyo mume wako atapitia masha maugumu atoamini macho yake
Wanaishiaga kujuta sana
Kwa hiyo inaonyesha huyu mtoto wako wa mwisho sio mtoto wa mume wake aliye muacha
Aseme ukweli tu nyumba kajenga ama imeshushwa kutoka mbinguni😅
Hebu ushushiwe na wewe tuone mie n muuza karanga pia Niko Arusha biashara ndogo ndogo zinzlipa sana wekeza kwenye vikoba au michezo uone kama hujatoboa
Naunga mkono
Karanga hizihizi ??
Eeeh karanga hizo hizo unazokula jioni😂😂
Biashara siyo tu karanga bali ni ile akili uliyonayo inakupa vipi mwanga ma kujituma. Sina mengi dada endelea kupambana wengi tumetokea huko.
😂😂😂😂😂😂😂😂 hapa tumepigwa kweli ndug mwandish mtaji wa milioni 2, na mtaji una mkata amejenga nyumba ya milion 30, duuh!
Inawezekana sana kikubwa kupambana tu bila ya kukata tamaa sisi kwetu tuna Jenga Kwa mtaji wa samaki laki tatu tu
Nyumba haijengwi kwa siku moja kwa sisi wapambanaji msingi mara coz mbili mara umemaliza
@@AshuraMbwana sizan kama kweli inawezekana
Mtaji mdogo na faida mtu anayopata havihusiani kabisa.ndani ya mtaji huohuo anaweza akawa anapata laki 5 kila wiki.
@@user-yd9ds1zs1iinawezekana tena saana utakuta kajenga hiyo nyumba kwa miaka hata miwili au tatu akipata faida ananunuwa gunia 3au inne ya simenti mdogo mdogo anajenga yote ni ma hesabu na nidhamu ya bageti
Taf women Huwa hawaoleki hata siku moja
Suala la kumpelea mtu mzigo kwake mmmh nina wasiwasi hapo utakua na uchi unatoa
Hongera sana dada