MJASIRIAMALI MUUZA KARANGA AFUNGUKA, AMILIKI NYUMBA YA MIL.30, ASOMESHA MTOTO UDOM, MTAJI WA ELFU 10

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 лип 2024

КОМЕНТАРІ • 91

  • @pendokissatu937
    @pendokissatu937 23 дні тому +25

    INAWEZEKANA kabisa Ukiwa Na Mungu na ukiwa Na Focus ❤

  • @LovelyFishingRod-ij7mk
    @LovelyFishingRod-ij7mk 23 дні тому +5

    Utukufu kwa Mungu, mambo hayo yanawezekana aswa ikiwa mwaminifu kwa mungu na kila Mtu Mungu anangangia namna ya kufanikiwa, hongere sana dada

  • @chikujuma18
    @chikujuma18 23 дні тому +16

    Mashallah hongera mama mola hamtupi mja wake 💝💝💝💝💝

  • @HusnaMtitiko-yt4ru
    @HusnaMtitiko-yt4ru 22 дні тому +5

    Huyo mume alijipalia makaa na huyo mwanamke ndo alikuwa mafanikio yake lait angekaa naye hadi leo basi wangekuwa matajiri wa maana lakin mwanaume aliona kulisha mkia wake ni fahari kulko maisha angalia sasa huyu mwanamke hata akiwa kwenye ndoa ni muaminifu hawezi kusaliti ❤️

  • @husnasalim9614
    @husnasalim9614 9 днів тому

    Nimekupenda sana umezidi kunipa ujasiri kua naweza🤝🤲🏼🤲🏼🤲🏼♥️

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 23 дні тому +5

    Hongera sana dada, Mwenyezi Mungu akuzidishie zaidi

  • @knowledgetv5594
    @knowledgetv5594 21 день тому +6

    Millard Ayo,
    Hizi ndio habari za kutweet na sio zile zingine za kukamata wadada poa. Nashauri ungekuwa na kipindi rasmi kwa ajiri ya vitu hivi kwani vinajenga mno.

  • @seneu.2128
    @seneu.2128 22 дні тому +8

    Hongera dada wewe sasa ndio super woman.

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA 23 дні тому +5

    Safi sana hongera mamaa hivi ndio vitu navipenda...so inspiring

  • @fidesbernard4835
    @fidesbernard4835 23 дні тому +3

    Hongera mdogo wangu, mpambanaji mwenzangu mwenyezi Mungu aendelee kukupigania🎉🎉

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 23 дні тому +14

    Historia ya mafanikio yake naiamini kabisa ni uangaikaji wake binafsi hongera sana mama Mungu akuzidishie !

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 23 дні тому +13

    Karanga zina lipa sana

  • @gracekunambi7438
    @gracekunambi7438 23 дні тому +17

    Mungu humwinua mtu kutoka mavumbini.

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 18 днів тому +1

    Hongera sana Kuna midada ipo MTAAN eti ohoo mie nibebe beseni kichwan mie hongera sana my dear

  • @fatmamansour2764
    @fatmamansour2764 14 днів тому

    Mashaallah M mungu akuzidishie kila la kheri akuondolee vikwazo kwenye biashara yako

  • @candyismail1256
    @candyismail1256 23 дні тому +3

    Hongera kipnz,Mungu akasikie kilio chako

  • @WilliamIbrahim-dt5nb
    @WilliamIbrahim-dt5nb 23 дні тому +5

    Hongera sana

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 23 дні тому +7

    Hongera sana, wewe ni wa mfano. Mungu aendelee kukubariki utakuja kuwa bilionea siku za usoni

  • @yusramichael585
    @yusramichael585 21 день тому

    Mashaallah 🥰 Allah bless you mpambanaj💪.....nataman nikuone nipo nyankumbu pia jmn

  • @AsiaSalim-e4d
    @AsiaSalim-e4d 23 дні тому +1

    Masha ALLAH hongera sana ❤

  • @user-sj5le4sf7i
    @user-sj5le4sf7i 21 день тому +1

    Asante malikia wa nguvu ❤ wanawake tunaweza

  • @user-nc9il2fj1i
    @user-nc9il2fj1i 18 днів тому +1

    Monica hongera hata Mimi napambana mungu atufanikishe

  • @FghgRyy
    @FghgRyy 14 днів тому

    Maa shaa Allah hongera sana hata mm naweza In shaa Allah biidhn Allah

  • @emmanueltillya2017
    @emmanueltillya2017 23 дні тому +2

    Huyu ndio super woman.mpambanaji wa nguvu.

  • @RajabuLesali
    @RajabuLesali 23 дні тому

    Ongera san. Mungu abariki. Rizki ya halal

  • @omanmct135
    @omanmct135 23 дні тому +3

    Vizuri sana dada❤❤❤

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 23 дні тому

    Hongera Sana mpendwa wangu

  • @magrethelikanah5110
    @magrethelikanah5110 18 днів тому

    Ameeeen ameeeeen safi sana. Mungu atukuzwe.

  • @EvarineMdaki
    @EvarineMdaki 23 дні тому +1

    Be blessed Bertha

  • @tidomilinga3750
    @tidomilinga3750 21 день тому +3

    Hiyo nyumba haipungui m 50 Kwa macho ninavyoona

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim2794 20 днів тому +1

    Mwanamke wa shoka ,wengi watasema kunakitu chaziada unategemea,lkn hawajui kwamba unasev ,nahaswa ukijua unataka nn nakuamua Mungu akuangulie karanga inahela nyie achen tu

  • @Mlokoz_twangalatwz
    @Mlokoz_twangalatwz 23 дні тому

    Hongera sana dada mzuri

  • @SurprisedBanyanTree-wu1cg
    @SurprisedBanyanTree-wu1cg 22 дні тому +1

    Hongera sana dada

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 23 дні тому

    Mainshaallah

  • @devothaemanuel
    @devothaemanuel 22 дні тому

    Hongera Mama

  • @GabrielMwakasagule
    @GabrielMwakasagule 23 дні тому

    Hongera sana mama

  • @beatykrisam81
    @beatykrisam81 22 дні тому +1

    Mungu nisaidie na mm

  • @stonetown578
    @stonetown578 23 дні тому +1

    Allah atazidi kukuongoza.

  • @ayshunamir
    @ayshunamir 21 день тому

    MashaAllah

  • @NellyFrancis-nn3qb
    @NellyFrancis-nn3qb 14 днів тому

    Hongera

  • @communicativegirls4433
    @communicativegirls4433 13 днів тому +1

    Hii ni historia inayoleta nguvu.

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 23 дні тому +2

    Hongera sana mom😢

  • @annastaziaemmanuel8664
    @annastaziaemmanuel8664 9 днів тому

    Anaposimulia unaweza ukafikiri ni jambo la week moja tuu,ila ukiwa ushakutana nayo ndo unaelewa

  • @richardrichope3528
    @richardrichope3528 23 дні тому +2

    🎉🎉🎉🎉

  • @pceodhc
    @pceodhc 23 дні тому

    Hallelujah! Mungu azidi kukubariki na kukuongeza Katika jina la Yesu! 🙏🏾

  • @NIKIZAGloria-l2k
    @NIKIZAGloria-l2k 9 днів тому

    Mfano wa kuiga

  • @user-kb7zn8lm8m
    @user-kb7zn8lm8m 20 днів тому

    Inapendeza mama mjasiriamali

  • @FelisterNampoka
    @FelisterNampoka 22 дні тому

    Ongera dada

  • @godfreyally-ps3fo
    @godfreyally-ps3fo 20 днів тому

    🎉🎉❤

  • @user-hw7kz8rv2c
    @user-hw7kz8rv2c 17 днів тому

    Amen

  • @EshaMichael-zw7zi
    @EshaMichael-zw7zi 22 дні тому

    🙏

  • @khamismtoma4902
    @khamismtoma4902 23 дні тому

    💯

  • @GRACENyanda-cn3pg
    @GRACENyanda-cn3pg 18 днів тому

    Kwakweli Mungu ni mwema

  • @ZawadMussa-sd1od
    @ZawadMussa-sd1od 23 дні тому

    Uyu ni Mimi kbsa mungu mkubwa sana

  • @vicentmapunda3146
    @vicentmapunda3146 23 дні тому

    😅😅😅au siooo.... !!,hapagwi mtu apa

  • @khadijamohamed3043
    @khadijamohamed3043 23 дні тому

    AMIIN

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 23 дні тому

    Basi. Sawa

  • @maseleenaesleen8149
    @maseleenaesleen8149 19 днів тому

    Waaaah hata mumeo akiona hii atatamani kukurudia

  • @happykiwelu1451
    @happykiwelu1451 22 дні тому

    Hiyo ndo Mwanamke wa shoka

  • @tidomilinga3750
    @tidomilinga3750 21 день тому +1

    Ulichosema hukua ridhaa kuolewa ulilazimishwa ndicho kilichokukost yawezekana kuna makosa ulifanya bila kujali ndio mana kakuacha

    • @MyMercy84
      @MyMercy84 11 днів тому

      Kosa baada ya watoto 2? Amesema kuna mama alikuwa anakuja hapo kufanya kazi za ndani ndio akapindua meza, ni huyo baba ndio amejichanganya, kosa ndio likufanye uende kwa mwanamke mwengine?

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 22 дні тому

    Hii nikweli kabisa hata mm nimejenga nyumba kubwa tu nilikua nauza karanga

  • @immadangote6001
    @immadangote6001 23 дні тому

    Tumepigwa

    • @ziggertv3185
      @ziggertv3185 23 дні тому +1

      Kwavile unategemea ajira utapata tabu

  • @user-ur8cq1ye3b
    @user-ur8cq1ye3b 22 дні тому +1

    Nauyo mume wako atapitia masha maugumu atoamini macho yake

    • @MyMercy84
      @MyMercy84 11 днів тому

      Wanaishiaga kujuta sana

  • @maseleenaesleen8149
    @maseleenaesleen8149 19 днів тому

    Kwa hiyo inaonyesha huyu mtoto wako wa mwisho sio mtoto wa mume wake aliye muacha

  • @edishaa3108
    @edishaa3108 23 дні тому

    Aseme ukweli tu nyumba kajenga ama imeshushwa kutoka mbinguni😅

    • @user-sc9fe7nk6y
      @user-sc9fe7nk6y 19 днів тому +2

      Hebu ushushiwe na wewe tuone mie n muuza karanga pia Niko Arusha biashara ndogo ndogo zinzlipa sana wekeza kwenye vikoba au michezo uone kama hujatoboa

    • @user-dy9fr2mi5n
      @user-dy9fr2mi5n 9 днів тому

      Naunga mkono

  • @mwamvuamagongo8163
    @mwamvuamagongo8163 23 дні тому +2

    Karanga hizihizi ??

    • @SaadaAlsheibani
      @SaadaAlsheibani 23 дні тому +1

      Eeeh karanga hizo hizo unazokula jioni😂😂

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 23 дні тому +5

      Biashara siyo tu karanga bali ni ile akili uliyonayo inakupa vipi mwanga ma kujituma. Sina mengi dada endelea kupambana wengi tumetokea huko.

  • @user-yd9ds1zs1i
    @user-yd9ds1zs1i 23 дні тому +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂 hapa tumepigwa kweli ndug mwandish mtaji wa milioni 2, na mtaji una mkata amejenga nyumba ya milion 30, duuh!

    • @AshuraMbwana
      @AshuraMbwana 23 дні тому +4

      Inawezekana sana kikubwa kupambana tu bila ya kukata tamaa sisi kwetu tuna Jenga Kwa mtaji wa samaki laki tatu tu

    • @mariamdullazy8166
      @mariamdullazy8166 23 дні тому +3

      Nyumba haijengwi kwa siku moja kwa sisi wapambanaji msingi mara coz mbili mara umemaliza

    • @user-yd9ds1zs1i
      @user-yd9ds1zs1i 23 дні тому +1

      @@AshuraMbwana sizan kama kweli inawezekana

    • @privasara3971
      @privasara3971 23 дні тому +2

      Mtaji mdogo na faida mtu anayopata havihusiani kabisa.ndani ya mtaji huohuo anaweza akawa anapata laki 5 kila wiki.

    • @svt3
      @svt3 23 дні тому

      ​@@user-yd9ds1zs1iinawezekana tena saana utakuta kajenga hiyo nyumba kwa miaka hata miwili au tatu akipata faida ananunuwa gunia 3au inne ya simenti mdogo mdogo anajenga yote ni ma hesabu na nidhamu ya bageti

  • @tidomilinga3750
    @tidomilinga3750 21 день тому

    Taf women Huwa hawaoleki hata siku moja

  • @meddixempire292
    @meddixempire292 21 день тому

    Suala la kumpelea mtu mzigo kwake mmmh nina wasiwasi hapo utakua na uchi unatoa

  • @estherdavid4133
    @estherdavid4133 22 дні тому +1

    Hongera sana dada