ALIYEKUWA ASKARI WA JWTZ ASIMULIA ALIVYOFUNGWA JELA MIAKA 9 KWA KUSINGIZIWA TUKIO LA UJAMBAZI UBUNGO
Вставка
- Опубліковано 3 кві 2022
- Moja ya matukio makubwa yaliyotikisa nchi katika serikali ya awamu ya Nne ni tukio la ujambazi wa uvamizi magari ya kusafirishia fedha zilizotoka Bank ya NMB posta Dar es salaam kwenda NMB Dakawa morogoro.
Tukio hilo lilitokea maeneo ya mataa ya ubungo ambayo kwasasa pana fahamika kama Daraja la Kijazi ambapo ni tukio lililoacha simanzi na majozi na vifo kwa baadhi ya askari wa jeshi la polisi na wafanyakazi wa NMB Dakawa morogoro.
Sasa leo tunaye aliyekua askari wa jeshi la wananchi wa Tanzania JWTZ Nazareth Amulike ambaye naye alikumbwa na masahibu makubwa yaliyosababisha kukukaa mahabusu kwa zaidi ya miaka 9 ambayo aliingia 2006 na kutoka 2014.
Nazareth ana mengi ya kutuambia nini kilifanya yeye pia akamatwe kwa kusingiziwa katika kesi hiyo na kukaa jela miaka yote hiyo.
0742811182 NAZARETH AMULIKE MWAINYEKULE
So touched aisee!! 😥😥 , asante kwa mawasiliano yake , nitachangia chochote
Ahsante kwa mawasiliano haya
Ahsante kwa namba
Mbona namba Mara kwa Mara hazipatikan
pole
Narudi tena kuwashukuru wote mliotoa ushauri wenu kwangu juu ya utumishi wake Mungu aliowekeza kwangu naamini kwa msaada wa Roho Mtakitifu utaenda kuwa wazi.Pia nashukuru kwa sadaka zenu na pole zenu Mungu awabariki sana sana na awakumbuke kwa magumu mnayopotia,Amen amen.
0
L
Pole sana mtu wa mungu
@@thomasnyalianga242 asante sana nimeishapoa
Hv usharudishwa lazin
Daa nakufahamu sana kaka tulikuwa wote Sangasanga, ngerengere.
Pole sana kaka Nazareth,mchezaji hodari wa mpira
upo sahihi kabisa
ua-cam.com/video/2b4NbwBg3NY/v-deo.html
Asante bro asante sana
Pole kaka yangu story yako imenitia uchungu sana
@@nazarethamulike8807 naomba namba yako plz
Pole sana kwa hayo uliyopitia Bro. Kikubwa hongera kwa neema ya wokovu hakika zaburi ya 23 nimeiona ikithibitika kwako Bro. Mungu akusimamie na akufanikishe ktk kipindi chote cha maisha yako ktk Jina la Yesu Kristo.AMEN
Hakuna maneno ya kuweza elezea maumivu yako. Kama sio kumpokea Mungu kwakweli ni either ungechanganyikiwa kwa mawazo ama ungekuwa mtu mbaya sana kwa Visasi. Mungu amekupa neema kubwa ya kuweza kusamehe, Ni faida kwako na kwa wale ulio wasamehe na jamii kwa Ujumla. Binadamu tujifunze ubaya wa chuki na wivu na husda.
Huyu mwamba kapitia changamoto kubwa sana, Bila Mungu asingeweza acha amtumikie Mungu. Binadamu wabaya.
ua-cam.com/video/2b4NbwBg3NY/v-deo.html
MUNGU nimwaminifu,atakama tunapatia Changa Moto nyingi,lkn Kuna wakati sahihi Mungu anaotuinua nafaraja yetu kurejea,,🙏nikumshukuru Mungu kwa Kila Jambo,,
Nimeumia moyo. Allah akupe mema dunia na kesho inshAllah. Ulidhulumiwa nafsi ww, mtoto na mkeo. Utalipwa kwa Mungu.
ua-cam.com/video/2b4NbwBg3NY/v-deo.html
Kibeeeeeeeeeeeeeeeee.... Weeee huchapwii??
Ni hakika utalipwa yote na kuzidi. Kumbuka kisa cha Ayubu ... alipita ... lkn alirudishiwa mara 2 zaidi
Daa dogo umeniliza mno stori yako, mtangulize mungu akusaidie katika maisha yako
Mwakasege! man of God Hallelujah 👏👏
Hizi ndio Changamoto za Mwanaume,Mungu akujalie Ndugu yangu
😭😭😭😭😭
Subhannallah, ata haya ninayopitia ipo siku Allah atanipa faraja ya hali ya juu, Pole sana ndugu yetu 😥
Mungu mwema Jipe moyo atakufanyie wepesi
@@petronzengelele7137 Ameen Yarabb 🙏😭
Pole Mungu atakufanyia wepesi
mungu atakufanyia wepesi inshaallah , dunia Ina mengi
Pore sana afande mtafute mama hatakurudisha kazini kazi ihenderee
Haki unaweza fika mahali ukaona ni Giza tele mbele yako huoni mwanga tena hauna msaada wwte unaona Mungu amekuacha kumbe hapana Mungu ana mpango naww anakupa funzo dah hakika Mungu ni mkubwa nimejifunza kupitia hili 🙏🏼😓 kumbe ambwene ndo aliimba kuhusu ww? Mungu akutie nguvu kaka umepitia mazito sana 🙏🏻
Daah pole sana bro, story yako imeniliza sana,😭😭 kwa yote uliopitia pole sana, ila mm nakuomba nikushauli achana na kesi wala wazo la kutaka kuendelea na jeshi ingawa umri unaruhusu, ktk janga hilo Umepoteza mke na mtoto ni maumivu ambayo uwezi fidia kwa kitu fulani, Umepoteza kazi na muda na mengine mengi yalio ndani ya ndoto zako, Nakushauri samehe kila kitu samehe kila mtu Muombe sana Mungu Anza maisha upya ukiwa ni mwalimu wa maisha bado unayo nafasi kushinda, ebu fikilia upo gerezani, nyumba imeungua Moto, na ndio chanzo cha kumpoteza mke na mtoto mara umeachishwa kazi kiufupi kila kitu cha zamani achana nacho pls pls Anza upya.
Asante sana kwa ushauri wako
@@nazarethamulike8807 Mungu ana makusudi makubwa sana na wewe. Endelea kumtumikia Mungu kwa uaminifu sana na Mungu atakuinua sana.
Pole sana Mike..hii Dunia inamitihani mingi sana,Hakika umepitia Magumu sana uliipoteza familia mke na mtoto. Wacha Mungu aandae hukum hakika haki zetu Wanadamu anazo Mungu tu
@@nazarethamulike8807 kaka naomba namba yako nikucheki watsap plz
@@nazarethamulike8807 bro si umestaafu lakini kwa heshima?
😭😭 Historia yako na Sauti yko havitaacha kunikumbusha kuwa WAKATI WA MUNGU NI WAKATI SAHIHI.
Nitakuwa naangalia Ile nyimbo ya Ambwene 😭😭😭😭
ua-cam.com/video/2b4NbwBg3NY/v-deo.html
AMEN👍🙏🙏🙏
Amina
Ameeen
Ameni
Pole sana kaka kwa yote ulopitia,tuliishi wote Kurasini,ulikuwa mkarimu sana na mchezaji mzuri wa Mpira wa miguu,yalokufika yamepita Neema ya Mungu ikufike na akubariki ktk maisha yako mapya
1) Nimeumia kusingiziwa kesi
2) Nimelia kufiwa na mtoto na mkeo accidentaly
3) Nimelia sana kumpoteza dada aliyebaki
4) Nimeumia sana ulipopoteza hata kazi na mshahara wako nusu
5) Mungu akutie faraja naamini ana mpango mwema bado ni kijana.
MUNGU AKUBARIKI KAKA
Amen amen asante sana
Namfaham kaka yangu niliwahi kukutana nae segerea kaka hacha kapitia magumu sana tena kk Nazareth huyu kiukweli alitupa ibada na alisaidia wengi sana
Nimelia sana. Mungu wangu! Mungu yuko pamoja na wewe na kweli wewe ni mtumishi wa Mungu
Hii stpry inaumiza sana aisee
Ningekuwa tajiri ningekuita nikupe pesa nyingi sn uanze maisha mapya mazuri usahau hayo.
ua-cam.com/video/2b4NbwBg3NY/v-deo.html
Mungu atakupa pesa kwa.moyo wak mzur Usijal
Such people, are the giants of the World. Man of God....Pole, na hongera kwa ushindi mkubwa. Wewe ni mtu mkuu.
Pole sana baba.nimelia sana maana baba yangu alishapewa kesi na ndugu yake robari .haina thamana ..,tulifiwa na mama hakumuona wala hakuruhusiwa kabisa kumzika mama,,Baada ya hapo akafiwa tn na mdogo wake tumbo moja pia hakumzika.Ila Mungu alitushindia alishinda ile kesi .
@@nurukitomary8087 poleni sana.
@@nurukitomary8087 😭😭😭😭😭poleni sana wapendwa mungu azidi kuwatia nguvu
Asnt sana.kikubwa tumuombee huyu baba sote ili Mungu azidi kumtia nguvu. Hata sisi Bila maombi tusinge mshinda shetani.
Ukiona mwanajeshi wa JWTZ anasema kunasehem ngumu nje ya jeshi,,,,daaah Fikilia kwa makini,,MUNGU AITWE MUNGU,,,,DUNIA TUNAPITA,,,TUKUMBUKE UMAUTI🙏🙏🙏
Hizi sheria zetu zinabidi zifanyiwe marekebisho umemuweka mtu mahabusu Kwa miaka 09 alaf huna ushahidi wa kutosheleza kumtia hatiani, then unakuja kumuachia Hana hatia, umempotezea vitu vingi,kazi,mke na mtoto inaumiza sana, na ni ngumu sana POLICE wetu kukubalika kwenye jamii
kweli...
Ndo nchi yetu hio hata zaidi ya miaka 20 unawekwa tu ndani hawana huruma
Tukipiga kelele kuhusu Rule of law mnasema tunachukia Ccm😂
Nchi ya hovyo sana hii
maskini kaonewa inshallah mungu atawaadhibu waliomsingizia huyu ndugu anatia huruma sana machozi yananitoka
Mungu ana kusudi na maisha yako mtumishi wa Mungu na yote yaliyopita kwenye maisha yako ni kusudi lake kukutafuta hata mimi nimepitia mengi magumu yaliyonikutanisha na Mungu, ubarikiwe sana mtumikie Mungu baba
Mungu akusimamie
Aiseee nimejikuta nalia😭😭😭 huyu baba ameniumiza sana🙌🙌 Yan hapo anaonyesha dhahiri anaongea huku moyon anaumia mnooo sema tu anajikaza kuongea,Pole sana kaka kwa kuondokewa na wapendwa wako na kwa yote uliyoyapitia hakika hayo yote yametokea ni kwa sababu tu Mungu alitaka kujidhihirisha kwako kuwa yupo anatenda na dunian hapa tujifunze kuwa kuna mengi mnoo jamanii muhimu kuishi kwa kumcha Mungu sana na tuishi kwa akili sana,upendo,amani na kwa kutokugombana yaan kupenda mabifu tuepuke mambo ya hila😓😓 Hongera kwa wokovu na hongera kwa kuoa tena, Raha ya milele uwape eeh Bwana na mwanga wa milele uwaangazie Mkeo na binti yako wapumzike kwa amani🙏
Asante sana sana
Kaka Nazareth umeniliza sana sana ila nakiri neema ya Mungu baba haijawahi kumuacha mwenye kumuamini maana kwa utashi na maarifa ya mwanadamu nina imani ungeshawehuka kabisa kulingana na mabaya yaliokukuta,worst enough you are innocent per se😭.Lihimidiwe jina la Mungu aketiye mahali pa juu🙏🏻
Kwa imani kubwa uliyonayo naamini ipo siku milango ya mafanikio makubwa itafunguka mbele yako na yote yaliyopita katika maisha yako yatabaki kuwa kama historia,
More than painful life story 😭😭😭ila kwa kuwa uhai bado upo bas nafasi ya ushindi ipo pia,barikiwa sana kaka mkubwa 🙌🏻
Amina asante sana ndugu yangu
Pole sana Mungu hatakuacha, shida ilianza mkeo kuna mkubwa wako alikua anamtaka hapo ndio shida ilipoanza
Ni sawa kabisa
Kuna nyakati nyingine baraka inaweza kuja katika sura ya balaa. Huenda Mungu alikuweka mahali hapo ili kukuepushie mabalaa ambayo yangekukuta endapo ungekuwa huru. Huwa wenye imani tunasema shukuru kwa kila jambo !! Mimi binafsi nilishapitia kwa kipindi kifupi cha kukaa mahabusu kwa kweli ninamuelewa sana huyu ndugu hata mimi niliokoka baada ya kutoka mahabusu na chachu ya kuokoka ilianzia mahabusu tulikuwa tukimuomba Mungu na kusoma sana neno la Mungu. Ninamshukuru sana Mungu kwa sasa ninaishi katika wokovu na walionisababishi mimi kukaa mahabusu nimewasamehe na niko huru ninamtumikia Mungu wangu !!!
Pengine labda nayeye angeungua kwenye moto nakufarik
Kila siku kila saa MUNGU ni mwaminifu
Tujifunze kutokuyabeba maneno ya kuwambiwa na kuyasambaza bila utafiti wowote Mungu nisaidie nisiwe miongoni mwa kuyabeba mambo na kuyasambaza bila utafiti🙏🤲
ua-cam.com/video/2b4NbwBg3NY/v-deo.html
Amini
Hivi me najionaga nimepitia maisha magumu kumbe napitia maisha rahisi sana tena sana. Mungu anisamehe mimi sipitii magumu
Braza namjua huyo alikuwa anacheza mpira kibaha kwa mbonde timu inaitwa fs Napoli pole sana
Da kweli
Asante sana kaka
Mimi namjua pia nimelala nae sero namba 2 jela segerea namfahamu sana
Mama Samia Suluhu Hassan tafadhali msaidie huyu kijana arudi kazini..Mungu akubariki Mama Samia wewe ni Mkuu wa majeshi na Raisi wa Nchi ...Shukran
Amsaidie jaman arudi tuu hata mm nataman angerudi
Sina lakuongea🙌🙌😭😭😭😭😭😭ila Mungu azid kukulinda,na akupe Afya njema wanao kwenda jela sio wote wenye hatia😭
Maumivu yanaonekana kwenye uso wako lakini mungu wetu ni muaminifu sana wewe ni kiongozi hongera sana kaka mkubwa
Pole sana Kaka ikiwa umeangushiwa jumba bovu na hukuwa na kosa Mungu atalipa kila tone la chozi lako
Wenzetu ulaya huyu baba angelipwa fidia. Pia hawamuweki mtu ndani mpaka wawe na ushahidi kuwa ametenda kosa!!! Pole sana ndugu yangu.
Hiyo ndio maana halisi ya misuli ya imani! Mungu hawez kukuacha atakujaza na atakulipa mara 100 ya uliyopitia
Pole" sana nime. kuona kwenye wimbo? wa' ambwn 'UNIKUMBUKE!! Na, kweli!! ume kumbuka na MUNGU 😢🤦♀️
ua-cam.com/video/2b4NbwBg3NY/v-deo.html
Mshukuru Mungu kwa kila jambo. Ni ngumu sana na inauma sana. Mwache Mungu aitwe Mungu atakutafutia kazi nyingine. Zidi kumtafuta Mungu atakupatia haja ya moyo wako.
I'm from kenya 🇰🇪 but this is so painful 🥺... keep moving 🥺bro..you served 9 yrs for nothing 😭😭😭😭😩😩😩
Nawashukuru wote mlioguswa na mapito yangu Mungu awabariki sana
Pole Nazareth yote hayo mtumainie mungu pekeee utafika pale una popataka roho wa bwana akushukie ufiki mbari sana umenigusa sana kaka na mi nitatunga wimbo kwa ajiri yako kaka
@@nyotastar102nyota2 asante ndugu yangu nimeishapoa,karibu
@@otienojohn372 Amen amen
Pole sana
Very sorry brother 🙏 ,,,,
Kuna cha kujifunza Hapa, Mungu akutie Nguvu Kaka na In Shaa Allah atakufanyia wepesi.
Malimaa wa kishuaa
Difficult times strength the mind. Mungu hakika anamakusudi na ushuhuda wako na kukupeleka kule Mungu alikua na makusudi na maisha yako.
ua-cam.com/video/2b4NbwBg3NY/v-deo.html
Kaka, hakuna kazi kubwa na nzuri kama kumtumikia Mungu, acha kufuata walichokunyang'anya, Mungu atakulipa stahiki zako zote, Mtumikie huyu Mungu asiyegeuka wala kuzulumu haki, hutawai kosa, Mungu amekuokoa, kwa sasa mtumikie kwa moyo wako wote
ua-cam.com/video/2b4NbwBg3NY/v-deo.html
Comment hii ina mashiko sana,kila likuepukalo lina kheri kwako,Muachie Mungu yeye anaejua sababu atakutendea mambo makuu usioyoyajua
Pole sana mpambanaji..hakika kabla dunia haijafika kikomo..wale waliohusika hata kukunyima haki zako..lazima watalipia ..Amini nakwambia..
Mmmh kweli majaribu yanatukuta muda wowote bila kujua du mungu akupe maisha marefu na akutie nguvu.
Wewe ishi kwa imani Mungu ameshakuokoa na kukuweka mbali najeshi anataka umtumikie yeye na siyo Jeshi tena.Haiwezekani ukatumiakia mabawana wawili Jeshi la Kaisari.Mungu anataka upate uzima wa milele kwani tayari umeshapata Roho wa Mungu.Sasa unahitaji kuacha Jeshi ilimupate uzimz wa milele.
ua-cam.com/video/2b4NbwBg3NY/v-deo.html
Uzima wa milele unakupa msosi?
@@maujanjatv24h41 Uzima wa milele unakupa vyote.Na neno hili wanaweza kulipokea walio kusudiwa na Mungu sio watu wote.
dah pole sana bro inaumiza sana ila damu ya yesu ikulinde maisha yako yote.wapumzike kwa aman familia yako yote iliyotangulia mbele ya haki😥😥
Pole sana kaka kwa matatizo uliyopitia najua kuwa machungu uliyonayo hakuna asiyejua mshukuru mungu kwa kila Jambo hakika mungu wetu ni mwema siku zote japo si rahisi kusahau pole sana wewe na familia kwa ujumla mungu atakusaidia na atakubariki
Maisha ndivyo yalivyo. Mungu ana sababu ya hayo yote yaliyotokea. Wala usilaumu, wewe shukuru kwa kila jambo. Angalia Ayubu alivyopoteza watoto, mifugo nk. Lakini Mungu alimpa zaidi ya aliyokuwa navyo. Utapata watoto wengi na wazuri kama Ayubu alivyopata. Utakuwa juu zaidi kuliko ulivyokuwa kama Ayubu alivyokuwa. Hivyo mshukuru Mungu kwa yote.
Hakika hak ya mtu aiwez kupotea Nazareth namfaham mm na familia yang sote tulipokea kwa masikitiko kuhus ilo tukio na pia atukuamin kama angefanya ayooo hakika mung achen aitwe mung!
ua-cam.com/video/2b4NbwBg3NY/v-deo.html
Pole sana broo hakika Mungu ni mkuu vyote ulivyopoteza na kuharibika vitarudi Kwa Imani.
Funzo tumuombe sana Mungu Kwani maisha yetu yanaweza kubadirika muda wowote bila kutarajia
Mama ni msikivu sana utarudi kazini mwamba pole sana
Hakuna wa kuweza kukulipia fidia au mafao yako tofauti na Mungu..umepoteza mke na mtoto na bado umesamehe😭😭😭hongera kwa moyo huu
Kaka MUNGU akupe neema na maisha mazuri
Amina
So sad indeed 🥺🥺
Mola akupe nguvu 🙏🙏🙏
Watching from Nairobi, Kenya.
Subhanallah baba kapitia magumu sijui lini maisha yatabadilika watu kubambikiwa kesi ht mungu hapendi ,, ila baba pole kwa yote na mshukuru mungu kwa yote sema alhamdullilah kwa mitihani uliyopitia namini kwa uwezo wake mungu atakulipia
Inaniuma sana Hakuna haki hapa kwenye nchi hii ina mambo ya hajabu ya ajabu sana mtu akishauwa anacheo tu anajiona kama mungu mtu Mungu atakulipia Naza
Wow! Glory to God! God is not done with you continue to serve him…
Ayseee Mungu akufanyie wepesi, urudishwe kazini na uendelee kumtumikia Mungu wetu.
Pole sana mtumishi wa MUNGU, ameruhusu upitie hayo ili akupate umtumikie, nakushauri usihangaikie ya jeshi tena,bali kamtumikie Mungu utakula huko huko ktk madhabahu ya Mungu🙏
Kwahy mke wake amekufa na kinyongo cha kujua mume wake amekuwa ndani kwa kusingiziwa aisee aliyemtendea huyu jamaa ubaya huu aende tu kumuomba msamaha huyu jamaa maana atapata shida katika maisha yake na atakufa kwa shida sanaa
Na atapata na kizazi chake chote,akaomba kutoka moyoni na Mungu Atamsamehe
Mungu amkumbuke ndugu huyo na amjalie neema.
Watching & listening to his story has given a new fresh meaning to the word HOPE!
I have a strong feeling that good things are in store for this humble, innocent & honest gentleman.
Amen.
Amen kaka asante sana
Pole sana ndugu yangu mungu akutrie moyo nimeumia sana kuckia matatizo yako...mama fanya huruma umsadie kaka huyu
Pole sana ndugu... Binafsi siwezi vaa viatu vyako... Niseme tuu Mungu akubariki zaidi, samehe kabisa kwa ajili yako na walio kukosea. Yesu akutunze. Ayo Tv mbarikiwe sana kwa kutushirikisha hili.
Bongo jela ni kwa ajili ya masikini, angalau zama za Magu matajiri waliingia jela
Eee Mungu...this is so touching...Natumai haki yake haizulumiwi. Mungu yupo kazini juu yako kaka. Viongozi wa nchi hii sikieni vilio na machungu wa wananchi wenu...daaa jamani..ni uchungu mkuu..hivi hawezikusikilizwa na hii kesi akashinda? Natumai wapo Lawyers hapa mnaweza kumpa msaada
Wangemlipa ili kumpunguzia maumivu,,miaka tisa mahabusu mtoto kafa mke kafa inatia uchungu sana, sometimes unaweza ukajiua kama hujapata canceling,kinachompa matumaini braza ni wokovu alioupata,faraja anayoitegemea kwasasa ni mungu tu maana binadamu wameshindwa kumpa matumaini maana kama wangempa matumaini wangekuwa washamlipa na hata pengine kazini karudishwa na anaonekana kabla hata ya mapito haya anaonekana kabisa aliipenda kazi kutoka moyoni ,,Cha mwisho anajikaza kwasababu ya kazi aliyopitia ya ujeda inamfanya ajikaze inampa ukakamavu wa kujikaza lkn kama ndo kazi zetu izi huwezi kuwa na moyo wa kujikaza,,,kuna msemo unasema ni heri uwe na urafiki na Simba au chui lkn sio binadamu maana binadamu ni zaidi ya sumu ya panya ...mungu amfanyie wepesi
Inauma sana😢
Pole sana mkasa mkubwa ni miujiza mpaka leo unaongea na uko kamili, Mungu azidi kukutia nguvu,
Hivi hao watu waliokusababishia wanajisikiaje huko waliko?
Binadamu tujichunge ndimi zetu, neno lako moja unaweza kumuumiza binadamu mwenzako kwa kiasi kikubwa sana
Nimeenda jana Gerezani kuona wafungwa eeeeeh MUNGU nakuomba uwaone wafungwa wote waliofungwa kwa hatia na ambao hawana hatia maisha ya kule jamani 😢 Kuna watoto pia Bwana YESU naomba uwapiganie
Mimi ni nani mpaka umenipa uhai na uhuru huu nilionao nakushukuru BWANA YESU 🙏🏻🙏🏻
Nazareth, pole na Mungu akutunze, stori yako imetufunza mengi. Asante.
Aisee pole sana sana sana yani umepata zaidi ya pigo ila maisha ndio haya haya na MUNGU wetu ni mmoja siku zote na habagui hata na ana sbb ya kutoa changamoto hizi kwako na kwetu kama binadamu pia...Amen
ua-cam.com/video/2b4NbwBg3NY/v-deo.html
Pole sana ndugu yangu Mungu ana makusudi yake wapendwa wako walikuacha lakini atakurudishia kila kitu maradufu!!!!
Pole sana ndg, inauma sana! Unaacha mtoto wako mdogo! Na mke! Halafu unaletewa taarifa mke kafa! Mtoto kafa! Daaaa!!! Inauma sana!
Very sad story. Polisi wanabidi wawe makini zaidi maana maisha ya watu ni dhamana kwao
Pole sana ndugu mitihan ni sehemu ya maisha yetu, na majaribu ni mtaji Mungu akuongezee Imani.
Dah! Pole sana kakaangu Nazareth Amrike Mwakasanga Mwenyezi Mungu akutie nguvu na akuponye na kila jeraha lililokupata, Sahau na samehe.
Yesaa kamanda salute zote kwako soja uwishii maisha malefu pia pole kwa mikasa uliyo pitia soja.👨✈️👨✈️👨✈️
Mungu wetu ni muaminifu sana, atakufanyia njia iliyo bora kwako
Hukutaja namba tukusaidie hata vocha kwa ajili ya huduma yako kaka. MUNGU AKUBARIKI KAKA
Angalia chini namba
Kaka nimefurahi sana kukuona ukiwa huru, mwenyezi Mungu akukumbuke tena kamaalivyomkubuka ayubu
Daaaa Allah akupe nguvu brother viatu vyako ni vikubwa mnooo😢😢😢 mwanzo na mwisho wa binadamu Mungu ndie ajuaye siri
Tazama ya kale yamepita na Sasa yamekuwa mapya, Mungu akukumbuke Kaka!
ua-cam.com/video/2b4NbwBg3NY/v-deo.html
😭😭😭😭😭 pole sana kaka angu mpendwa
Mungu azidi kukupa faraja , mwamini Mungu yawezekana anakuepusha Jambo , usilazimishe kurudi kazini , muombe Mungu akupe njia na akuonyeshe kazi ya kufanya . Endelea kumwamini Mungu
Nyamaza umelia umeipigania haki yako, lakini umeminywa .Basi nyamaza Mungu atakutunza atakuhifadhi atakulisha atakunywesha atakuvisha hata kukukinga na maradhi na dhoruba za maisha pia.
Nimeamini hata uwe Nani sekunde moja inaweza kubadili maisha yako...pole jamaa mwenyewe mpole MUNGU atakujaalia yaliyo mema.
Asante dada angu
@@nazarethamulike8807 kaka pole sana acha Mungu aitwe Mungu
@@angelinatumaini5503 asante sana ndugu yangu
MUNGU anatupenda na anatuwazia yaliyo mema nimejifunza kitu kwako naamini yeye hututimizia kwa wakati sitalalamika Tena kwa Jina la YESU.
ua-cam.com/video/2b4NbwBg3NY/v-deo.html
Ila police aliyesema niliona umbile kama hili😭 duuh Mungu anamwona!! Nachukia basi tu. Mungu anisaidie
Na hana aman uko aliko Amin kwanz dhambi inamtesaa
@@emmanuelmsafi9581 Kabisa yaani
Mungu atamlipa saws sawa naalicho mfanyia mwenzake
Kiukwel mpaka nime😭😭 Ashukuriwe yy Alie juu..Mungu ni mwema atafanya njia pasipo na njia
Mungu anamakusudi na wewe bro, pole na hongera kwa uliyopitia. Usimwache mungu anakupenda sana. Mwenyezi mungu ana makusudi na wewe
Pole sana mkuu maisha ndio yalivyo yani chanzo cha tatizo lako ni WIVU yani, sisi binadamu ni shida sana yani tunaishi pamoja siku zote ila ktk watu kumi basi tisa ni maadui zetu
Yani ni kweli kabisa
Wivu ni mbaya sana!! Sema Mungu hawezi muacha mja wake ateseke siku zote!!!
ua-cam.com/video/2b4NbwBg3NY/v-deo.html
Pole sana mungu akutie nguvu! Hakika walio kucngizia wakapate malipo na yy tumtumainiye
daaa mzee Naza pole sana ndugu yangu takribani miaka mingi kaka Mungu atakulipia waache naro zao mbaya walijua utapata ndio maana wakakupa kes zaajabu hizo hii ndio tanzania kaka
Kuna haja kubwa sana ya kupitia mfumo wetu wa eundeshaji wa kesi za jinai au sheria za ushahidi,huyu jamaa ni mmoja kati ya watu wengi waliorundikana magerezani kwa kesi zisizo na dhamana.Kama imethibitika hakutenda kosa serikali ina wajibu wa kumlipa fidia hata kama haitotaka kumrudisha kazini,haimake sense kumpotezea mtu miaka 9 kwa ishu ambayo hakuifanya kabisa na wala hakuwepo eneo la tukio,yaani kosa kununua makochi mapya!
Pole sana kaka yangu yote hayo ni majaribu Kwa sasa wewe ni dhahabu iliyotoka kwenye moto ile miaka iliyoliwa na nzege na tunutu na madumadu imerudishwa Mtegemee sana Mungu yeye ndiye aliye kuokowa anakusudi na wewe, nimehuzunika sana mshukuru Mungu kwa kila jambo, hata kwa hilo limepita pole pia kwa kuondokewa na mkeo na mtoto Mungu atakupa mke mwingine 😢😢
Dah pole sana kaka ndo maana siwapendi police wanatabia za kusingizia kesi ovyo
Police sio Watu sema
Daaah inauma sana kwakweli, hii dunia ina maswahibu mengi. Mungu akutie nguvu ,ni matumaini na maombi yangu kuwa Mama samia, atalifanyia kazi jambo lako na kukulipa stahiki zako za jeshi
Dah pole sana kaka mungu akupe afya njema umri mrefu na wenye mengi mafanikio ww na familia yko inaumiza sana
Kwa Tanzania yetu hakuna anaye heshimu Katiba kaka ,pole sana
ua-cam.com/video/2b4NbwBg3NY/v-deo.html
Kabisaa aiseee
Inanikumbusha miak 11 iliyopita Jambo kama hili la kudingziwa lilinitokea na kupoteza mwaka mzima mahakaman na kushinda kesi kwa kitu ambacho hta sikuwah kufikiria kufanya ila nilisamehe
Pole sana Mungu atakulipa
Pole sana kaka kwa yote yaliyotokea kwako. Hata jinsi unavyosimulia inaonekana uso una majonzi makubwa ni kwa sababu wewe ni mwanaume unajikaza. Mungu yupo pamoja nawe katika kipindi hicho cha majonzi
Daaah Haya maisha yana mambo mengi sana ...Huyu Mwamba ana historia inayochoma moyo sana kaachishwa kazi ..mke kafa mtoto kafa ....kapteza mali ...kasamehe watu na Bado Analipenda na Anatamani jeshi ...watu wa aina hii ni wachache sana 😭😭😭
Aisee mimi nilijiona kama niko na matatizo ila baada ya kupitia hii simulizi nimejiona sina matatizo kabisa
Mungu siku zote husimamia haki hayo mapito uliyopitia pia ni sehemu ya Maisha chini ya jua Mungu azidi kukuongoza katika njia sahihi.