Narudi tena kuwashukuru wote mliotoa ushauri wenu kwangu juu ya utumishi wake Mungu aliowekeza kwangu naamini kwa msaada wa Roho Mtakitifu utaenda kuwa wazi.Pia nashukuru kwa sadaka zenu na pole zenu Mungu awabariki sana sana na awakumbuke kwa magumu mnayopotia,Amen amen.
1) Nimeumia kusingiziwa kesi 2) Nimelia kufiwa na mtoto na mkeo accidentaly 3) Nimelia sana kumpoteza dada aliyebaki 4) Nimeumia sana ulipopoteza hata kazi na mshahara wako nusu 5) Mungu akutie faraja naamini ana mpango mwema bado ni kijana. MUNGU AKUBARIKI KAKA
MUNGU nimwaminifu,atakama tunapatia Changa Moto nyingi,lkn Kuna wakati sahihi Mungu anaotuinua nafaraja yetu kurejea,,🙏nikumshukuru Mungu kwa Kila Jambo,,
Hakuna maneno ya kuweza elezea maumivu yako. Kama sio kumpokea Mungu kwakweli ni either ungechanganyikiwa kwa mawazo ama ungekuwa mtu mbaya sana kwa Visasi. Mungu amekupa neema kubwa ya kuweza kusamehe, Ni faida kwako na kwa wale ulio wasamehe na jamii kwa Ujumla. Binadamu tujifunze ubaya wa chuki na wivu na husda.
Kuna nyakati nyingine baraka inaweza kuja katika sura ya balaa. Huenda Mungu alikuweka mahali hapo ili kukuepushie mabalaa ambayo yangekukuta endapo ungekuwa huru. Huwa wenye imani tunasema shukuru kwa kila jambo !! Mimi binafsi nilishapitia kwa kipindi kifupi cha kukaa mahabusu kwa kweli ninamuelewa sana huyu ndugu hata mimi niliokoka baada ya kutoka mahabusu na chachu ya kuokoka ilianzia mahabusu tulikuwa tukimuomba Mungu na kusoma sana neno la Mungu. Ninamshukuru sana Mungu kwa sasa ninaishi katika wokovu na walionisababishi mimi kukaa mahabusu nimewasamehe na niko huru ninamtumikia Mungu wangu !!!
Haki unaweza fika mahali ukaona ni Giza tele mbele yako huoni mwanga tena hauna msaada wwte unaona Mungu amekuacha kumbe hapana Mungu ana mpango naww anakupa funzo dah hakika Mungu ni mkubwa nimejifunza kupitia hili 🙏🏼😓 kumbe ambwene ndo aliimba kuhusu ww? Mungu akutie nguvu kaka umepitia mazito sana 🙏🏻
Pole sana kaka kwa yote ulopitia,tuliishi wote Kurasini,ulikuwa mkarimu sana na mchezaji mzuri wa Mpira wa miguu,yalokufika yamepita Neema ya Mungu ikufike na akubariki ktk maisha yako mapya
Pole Nazareth yote hayo mtumainie mungu pekeee utafika pale una popataka roho wa bwana akushukie ufiki mbari sana umenigusa sana kaka na mi nitatunga wimbo kwa ajiri yako kaka
Kaka Nazareth umeniliza sana sana ila nakiri neema ya Mungu baba haijawahi kumuacha mwenye kumuamini maana kwa utashi na maarifa ya mwanadamu nina imani ungeshawehuka kabisa kulingana na mabaya yaliokukuta,worst enough you are innocent per se😭.Lihimidiwe jina la Mungu aketiye mahali pa juu🙏🏻 Kwa imani kubwa uliyonayo naamini ipo siku milango ya mafanikio makubwa itafunguka mbele yako na yote yaliyopita katika maisha yako yatabaki kuwa kama historia, More than painful life story 😭😭😭ila kwa kuwa uhai bado upo bas nafasi ya ushindi ipo pia,barikiwa sana kaka mkubwa 🙌🏻
Aiseee nimejikuta nalia😭😭😭 huyu baba ameniumiza sana🙌🙌 Yan hapo anaonyesha dhahiri anaongea huku moyon anaumia mnooo sema tu anajikaza kuongea,Pole sana kaka kwa kuondokewa na wapendwa wako na kwa yote uliyoyapitia hakika hayo yote yametokea ni kwa sababu tu Mungu alitaka kujidhihirisha kwako kuwa yupo anatenda na dunian hapa tujifunze kuwa kuna mengi mnoo jamanii muhimu kuishi kwa kumcha Mungu sana na tuishi kwa akili sana,upendo,amani na kwa kutokugombana yaan kupenda mabifu tuepuke mambo ya hila😓😓 Hongera kwa wokovu na hongera kwa kuoa tena, Raha ya milele uwape eeh Bwana na mwanga wa milele uwaangazie Mkeo na binti yako wapumzike kwa amani🙏
Pole sana kwa hayo uliyopitia Bro. Kikubwa hongera kwa neema ya wokovu hakika zaburi ya 23 nimeiona ikithibitika kwako Bro. Mungu akusimamie na akufanikishe ktk kipindi chote cha maisha yako ktk Jina la Yesu Kristo.AMEN
Hizi sheria zetu zinabidi zifanyiwe marekebisho umemuweka mtu mahabusu Kwa miaka 09 alaf huna ushahidi wa kutosheleza kumtia hatiani, then unakuja kumuachia Hana hatia, umempotezea vitu vingi,kazi,mke na mtoto inaumiza sana, na ni ngumu sana POLICE wetu kukubalika kwenye jamii
Mshukuru Mungu kwa kila jambo. Ni ngumu sana na inauma sana. Mwache Mungu aitwe Mungu atakutafutia kazi nyingine. Zidi kumtafuta Mungu atakupatia haja ya moyo wako.
Pole sana baba.nimelia sana maana baba yangu alishapewa kesi na ndugu yake robari .haina thamana ..,tulifiwa na mama hakumuona wala hakuruhusiwa kabisa kumzika mama,,Baada ya hapo akafiwa tn na mdogo wake tumbo moja pia hakumzika.Ila Mungu alitushindia alishinda ile kesi .
Mungu ana kusudi na maisha yako mtumishi wa Mungu na yote yaliyopita kwenye maisha yako ni kusudi lake kukutafuta hata mimi nimepitia mengi magumu yaliyonikutanisha na Mungu, ubarikiwe sana mtumikie Mungu baba
Wewe ishi kwa imani Mungu ameshakuokoa na kukuweka mbali najeshi anataka umtumikie yeye na siyo Jeshi tena.Haiwezekani ukatumiakia mabawana wawili Jeshi la Kaisari.Mungu anataka upate uzima wa milele kwani tayari umeshapata Roho wa Mungu.Sasa unahitaji kuacha Jeshi ilimupate uzimz wa milele.
Subhanallah baba kapitia magumu sijui lini maisha yatabadilika watu kubambikiwa kesi ht mungu hapendi ,, ila baba pole kwa yote na mshukuru mungu kwa yote sema alhamdullilah kwa mitihani uliyopitia namini kwa uwezo wake mungu atakulipia
Mungu amkumbuke ndugu huyo na amjalie neema. Watching & listening to his story has given a new fresh meaning to the word HOPE! I have a strong feeling that good things are in store for this humble, innocent & honest gentleman. Amen.
Daah pole sana bro, story yako imeniliza sana,😭😭 kwa yote uliopitia pole sana, ila mm nakuomba nikushauli achana na kesi wala wazo la kutaka kuendelea na jeshi ingawa umri unaruhusu, ktk janga hilo Umepoteza mke na mtoto ni maumivu ambayo uwezi fidia kwa kitu fulani, Umepoteza kazi na muda na mengine mengi yalio ndani ya ndoto zako, Nakushauri samehe kila kitu samehe kila mtu Muombe sana Mungu Anza maisha upya ukiwa ni mwalimu wa maisha bado unayo nafasi kushinda, ebu fikilia upo gerezani, nyumba imeungua Moto, na ndio chanzo cha kumpoteza mke na mtoto mara umeachishwa kazi kiufupi kila kitu cha zamani achana nacho pls pls Anza upya.
Pole sana Mike..hii Dunia inamitihani mingi sana,Hakika umepitia Magumu sana uliipoteza familia mke na mtoto. Wacha Mungu aandae hukum hakika haki zetu Wanadamu anazo Mungu tu
Pole sana kaka kwa matatizo uliyopitia najua kuwa machungu uliyonayo hakuna asiyejua mshukuru mungu kwa kila Jambo hakika mungu wetu ni mwema siku zote japo si rahisi kusahau pole sana wewe na familia kwa ujumla mungu atakusaidia na atakubariki
Dahhh yn hii habar Kila Siku nairudia kuangalia yn jamaa Wamemuonea sana yn duhh Binadamu Sisi Ila all in all pole Sana kaka Nazareth...... Mungu Yupo pamoja na wew
Pole sana mtumishi wa MUNGU, ameruhusu upitie hayo ili akupate umtumikie, nakushauri usihangaikie ya jeshi tena,bali kamtumikie Mungu utakula huko huko ktk madhabahu ya Mungu🙏
Pole sana ndugu... Binafsi siwezi vaa viatu vyako... Niseme tuu Mungu akubariki zaidi, samehe kabisa kwa ajili yako na walio kukosea. Yesu akutunze. Ayo Tv mbarikiwe sana kwa kutushirikisha hili.
Nimeskia pain sanaa ya Moyo, sio kila wanaoenda Jela wanamakosa, kesi zingine watu wanatengeneza, serikali msiwe wadwanzi Msaidieni uyu Father Arudi kwenye Ajira yake ya Jeshi, Asiporudi kazin uyu Father Aisee Mtapatwa na kitu kizito sanaa na izo Hila zenu God did
Miladi ayo uko vizuri yaani huyu mzee kweli amaepitia magumu sana kwamba ni mkasa ambaye yaani ataendelea kuwa nae kichwani mpaka wakati wote wa maisha yake na yoote inasababishwa na sisi tusio kuwa na huruma na kuwa na roho mbaya kiasi ya kuipelekea maisha ya mtu mwingine kuingizwa kwenye majanga makubwa sana kama huyu sasa mpe pole yake kwa yaliyo mpata
Daaah Haya maisha yana mambo mengi sana ...Huyu Mwamba ana historia inayochoma moyo sana kaachishwa kazi ..mke kafa mtoto kafa ....kapteza mali ...kasamehe watu na Bado Analipenda na Anatamani jeshi ...watu wa aina hii ni wachache sana 😭😭😭
Majaribu uliyopitia ni makubwa sana, Mungu akuongoze kwenye neema zake. Ulichopitia wewe ni funzo kubwa kwa walimwengu lakini Nakupongeza Kwa ushindi mkubwa dhidi ya malimwengu. Yeshiva atasimama na wewe daima, na atakupa kilichochema kwa uhai wako. Ubarikiwe sana
Maisha ndivyo yalivyo. Mungu ana sababu ya hayo yote yaliyotokea. Wala usilaumu, wewe shukuru kwa kila jambo. Angalia Ayubu alivyopoteza watoto, mifugo nk. Lakini Mungu alimpa zaidi ya aliyokuwa navyo. Utapata watoto wengi na wazuri kama Ayubu alivyopata. Utakuwa juu zaidi kuliko ulivyokuwa kama Ayubu alivyokuwa. Hivyo mshukuru Mungu kwa yote.
Nimeenda jana Gerezani kuona wafungwa eeeeeh MUNGU nakuomba uwaone wafungwa wote waliofungwa kwa hatia na ambao hawana hatia maisha ya kule jamani 😢 Kuna watoto pia Bwana YESU naomba uwapiganie Mimi ni nani mpaka umenipa uhai na uhuru huu nilionao nakushukuru BWANA YESU 🙏🏻🙏🏻
Kaka, hakuna kazi kubwa na nzuri kama kumtumikia Mungu, acha kufuata walichokunyang'anya, Mungu atakulipa stahiki zako zote, Mtumikie huyu Mungu asiyegeuka wala kuzulumu haki, hutawai kosa, Mungu amekuokoa, kwa sasa mtumikie kwa moyo wako wote
Hujayapia ayo kwasababu ya kazi uliyokuwa unaifanya but ni Mungu Alikuwa anakuandaaa kuwa mtumishi wa utukufu wake waweza jiuliza kwanini Mungu aruhusu upoteze kazi na watu wako wa maana katika maisha but elewa kuwa Ayubu aliyapitia but mwisho wake ulikuwa ni mzuri sana (Yeremia 18:1--> na Ayubu 42:12--->).
Tujifunze kutokuyabeba maneno ya kuwambiwa na kuyasambaza bila utafiti wowote Mungu nisaidie nisiwe miongoni mwa kuyabeba mambo na kuyasambaza bila utafiti🙏🤲
Aisee pole sana sana sana yani umepata zaidi ya pigo ila maisha ndio haya haya na MUNGU wetu ni mmoja siku zote na habagui hata na ana sbb ya kutoa changamoto hizi kwako na kwetu kama binadamu pia...Amen
Daaah inauma sana kwakweli, hii dunia ina maswahibu mengi. Mungu akutie nguvu ,ni matumaini na maombi yangu kuwa Mama samia, atalifanyia kazi jambo lako na kukulipa stahiki zako za jeshi
Mungu azidi kukupa faraja , mwamini Mungu yawezekana anakuepusha Jambo , usilazimishe kurudi kazini , muombe Mungu akupe njia na akuonyeshe kazi ya kufanya . Endelea kumwamini Mungu
Jamaa Mstaarabu sana alafu ni mtumishi wa mungu kweli.. Anavyoongea tu ananekana haigizi.. Anaongea Facts.. Mi nnaamini siku moja utafika mbali zaidi ya ulivyotarajia. 👏
Hakika hak ya mtu aiwez kupotea Nazareth namfaham mm na familia yang sote tulipokea kwa masikitiko kuhus ilo tukio na pia atukuamin kama angefanya ayooo hakika mung achen aitwe mung!
Haki zetu zipo mbingun, Duniani mapito tu.Imani yako ni kubwaa sana br hata hili utashinda kwa imani hata kama itachelewa. Umepoteza vingi kila anayekusikiliza anaumia. Mtegemee Mungu asirudi nyuma.
Eee Mungu...this is so touching...Natumai haki yake haizulumiwi. Mungu yupo kazini juu yako kaka. Viongozi wa nchi hii sikieni vilio na machungu wa wananchi wenu...daaa jamani..ni uchungu mkuu..hivi hawezikusikilizwa na hii kesi akashinda? Natumai wapo Lawyers hapa mnaweza kumpa msaada
Pole sana kaka kwa yote yaliyotokea kwako. Hata jinsi unavyosimulia inaonekana uso una majonzi makubwa ni kwa sababu wewe ni mwanaume unajikaza. Mungu yupo pamoja nawe katika kipindi hicho cha majonzi
Kwahy mke wake amekufa na kinyongo cha kujua mume wake amekuwa ndani kwa kusingiziwa aisee aliyemtendea huyu jamaa ubaya huu aende tu kumuomba msamaha huyu jamaa maana atapata shida katika maisha yake na atakufa kwa shida sanaa
Pole sana kaka inaumiza sana yaliyokufika kusingiziwa kesi kufiliwa nä mkeo mtt nä dada yako kwa kweli siwezi kuvaa viatu vyako mungu ni mwema uko huru
Inaniuma sana Hakuna haki hapa kwenye nchi hii ina mambo ya hajabu ya ajabu sana mtu akishauwa anacheo tu anajiona kama mungu mtu Mungu atakulipia Naza
Isaya 43:2 Upitapo katika maji mengi nitakuwa pamoja nawe; na katika mito, haitakugharikisha; uendapo katika moto, hutateketea; wala mwali wa moto hautakuunguza.
0742811182 NAZARETH AMULIKE MWAINYEKULE
So touched aisee!! 😥😥 , asante kwa mawasiliano yake , nitachangia chochote
Ahsante kwa mawasiliano haya
Ahsante kwa namba
Mbona namba Mara kwa Mara hazipatikan
pole
Narudi tena kuwashukuru wote mliotoa ushauri wenu kwangu juu ya utumishi wake Mungu aliowekeza kwangu naamini kwa msaada wa Roho Mtakitifu utaenda kuwa wazi.Pia nashukuru kwa sadaka zenu na pole zenu Mungu awabariki sana sana na awakumbuke kwa magumu mnayopotia,Amen amen.
0
L
Pole sana mtu wa mungu
@@thomasnyalianga242 asante sana nimeishapoa
Hv usharudishwa lazin
1) Nimeumia kusingiziwa kesi
2) Nimelia kufiwa na mtoto na mkeo accidentaly
3) Nimelia sana kumpoteza dada aliyebaki
4) Nimeumia sana ulipopoteza hata kazi na mshahara wako nusu
5) Mungu akutie faraja naamini ana mpango mwema bado ni kijana.
MUNGU AKUBARIKI KAKA
Amen amen asante sana
Huyu mwamba kapitia changamoto kubwa sana, Bila Mungu asingeweza acha amtumikie Mungu. Binadamu wabaya.
ua-cam.com/video/2b4NbwBg3NY/v-deo.html
MUNGU nimwaminifu,atakama tunapatia Changa Moto nyingi,lkn Kuna wakati sahihi Mungu anaotuinua nafaraja yetu kurejea,,🙏nikumshukuru Mungu kwa Kila Jambo,,
Ukiona mwanajeshi wa JWTZ anasema kunasehem ngumu nje ya jeshi,,,,daaah Fikilia kwa makini,,MUNGU AITWE MUNGU,,,,DUNIA TUNAPITA,,,TUKUMBUKE UMAUTI🙏🙏🙏
Daa dogo umeniliza mno stori yako, mtangulize mungu akusaidie katika maisha yako
pole sana brother Mungu yu mwema ila malipo hp hp dunia
Nimeumia moyo. Allah akupe mema dunia na kesho inshAllah. Ulidhulumiwa nafsi ww, mtoto na mkeo. Utalipwa kwa Mungu.
ua-cam.com/video/2b4NbwBg3NY/v-deo.html
Kibeeeeeeeeeeeeeeeee.... Weeee huchapwii??
Ni hakika utalipwa yote na kuzidi. Kumbuka kisa cha Ayubu ... alipita ... lkn alirudishiwa mara 2 zaidi
Hakuna maneno ya kuweza elezea maumivu yako. Kama sio kumpokea Mungu kwakweli ni either ungechanganyikiwa kwa mawazo ama ungekuwa mtu mbaya sana kwa Visasi. Mungu amekupa neema kubwa ya kuweza kusamehe, Ni faida kwako na kwa wale ulio wasamehe na jamii kwa Ujumla. Binadamu tujifunze ubaya wa chuki na wivu na husda.
Hizi ndio Changamoto za Mwanaume,Mungu akujalie Ndugu yangu
😭😭😭😭😭
Namfaham kaka yangu niliwahi kukutana nae segerea kaka hacha kapitia magumu sana tena kk Nazareth huyu kiukweli alitupa ibada na alisaidia wengi sana
Daa nakufahamu sana kaka tulikuwa wote Sangasanga, ngerengere.
Pole sana kaka Nazareth,mchezaji hodari wa mpira
upo sahihi kabisa
ua-cam.com/video/2b4NbwBg3NY/v-deo.html
Asante bro asante sana
Pole kaka yangu story yako imenitia uchungu sana
@@nazarethamulike8807 naomba namba yako plz
Kuna nyakati nyingine baraka inaweza kuja katika sura ya balaa. Huenda Mungu alikuweka mahali hapo ili kukuepushie mabalaa ambayo yangekukuta endapo ungekuwa huru. Huwa wenye imani tunasema shukuru kwa kila jambo !! Mimi binafsi nilishapitia kwa kipindi kifupi cha kukaa mahabusu kwa kweli ninamuelewa sana huyu ndugu hata mimi niliokoka baada ya kutoka mahabusu na chachu ya kuokoka ilianzia mahabusu tulikuwa tukimuomba Mungu na kusoma sana neno la Mungu. Ninamshukuru sana Mungu kwa sasa ninaishi katika wokovu na walionisababishi mimi kukaa mahabusu nimewasamehe na niko huru ninamtumikia Mungu wangu !!!
Pengine labda nayeye angeungua kwenye moto nakufarik
Kila siku kila saa MUNGU ni mwaminifu
Nimelia sana. Mungu wangu! Mungu yuko pamoja na wewe na kweli wewe ni mtumishi wa Mungu
Hii stpry inaumiza sana aisee
Haki unaweza fika mahali ukaona ni Giza tele mbele yako huoni mwanga tena hauna msaada wwte unaona Mungu amekuacha kumbe hapana Mungu ana mpango naww anakupa funzo dah hakika Mungu ni mkubwa nimejifunza kupitia hili 🙏🏼😓 kumbe ambwene ndo aliimba kuhusu ww? Mungu akutie nguvu kaka umepitia mazito sana 🙏🏻
Pole sana kaka kwa yote ulopitia,tuliishi wote Kurasini,ulikuwa mkarimu sana na mchezaji mzuri wa Mpira wa miguu,yalokufika yamepita Neema ya Mungu ikufike na akubariki ktk maisha yako mapya
Nawashukuru wote mlioguswa na mapito yangu Mungu awabariki sana
Pole Nazareth yote hayo mtumainie mungu pekeee utafika pale una popataka roho wa bwana akushukie ufiki mbari sana umenigusa sana kaka na mi nitatunga wimbo kwa ajiri yako kaka
@@nyotastar102nyota2 asante ndugu yangu nimeishapoa,karibu
@@otienojohn372 Amen amen
Pole sana
Very sorry brother 🙏 ,,,,
Pole sana Kaka ikiwa umeangushiwa jumba bovu na hukuwa na kosa Mungu atalipa kila tone la chozi lako
Kaka Nazareth umeniliza sana sana ila nakiri neema ya Mungu baba haijawahi kumuacha mwenye kumuamini maana kwa utashi na maarifa ya mwanadamu nina imani ungeshawehuka kabisa kulingana na mabaya yaliokukuta,worst enough you are innocent per se😭.Lihimidiwe jina la Mungu aketiye mahali pa juu🙏🏻
Kwa imani kubwa uliyonayo naamini ipo siku milango ya mafanikio makubwa itafunguka mbele yako na yote yaliyopita katika maisha yako yatabaki kuwa kama historia,
More than painful life story 😭😭😭ila kwa kuwa uhai bado upo bas nafasi ya ushindi ipo pia,barikiwa sana kaka mkubwa 🙌🏻
Amina asante sana ndugu yangu
binadamu wabaya sana ukinunua sofa jambazi ukikosa wanakucheka yaani mungu atakusaidia tena utapata maisha bora uzima
Aiseee nimejikuta nalia😭😭😭 huyu baba ameniumiza sana🙌🙌 Yan hapo anaonyesha dhahiri anaongea huku moyon anaumia mnooo sema tu anajikaza kuongea,Pole sana kaka kwa kuondokewa na wapendwa wako na kwa yote uliyoyapitia hakika hayo yote yametokea ni kwa sababu tu Mungu alitaka kujidhihirisha kwako kuwa yupo anatenda na dunian hapa tujifunze kuwa kuna mengi mnoo jamanii muhimu kuishi kwa kumcha Mungu sana na tuishi kwa akili sana,upendo,amani na kwa kutokugombana yaan kupenda mabifu tuepuke mambo ya hila😓😓 Hongera kwa wokovu na hongera kwa kuoa tena, Raha ya milele uwape eeh Bwana na mwanga wa milele uwaangazie Mkeo na binti yako wapumzike kwa amani🙏
Asante sana sana
Pole sana kwa hayo uliyopitia Bro. Kikubwa hongera kwa neema ya wokovu hakika zaburi ya 23 nimeiona ikithibitika kwako Bro. Mungu akusimamie na akufanikishe ktk kipindi chote cha maisha yako ktk Jina la Yesu Kristo.AMEN
Mwakasege! man of God Hallelujah 👏👏
Ningekuwa tajiri ningekuita nikupe pesa nyingi sn uanze maisha mapya mazuri usahau hayo.
ua-cam.com/video/2b4NbwBg3NY/v-deo.html
Mungu atakupa pesa kwa.moyo wak mzur Usijal
Mama Samia Suluhu Hassan tafadhali msaidie huyu kijana arudi kazini..Mungu akubariki Mama Samia wewe ni Mkuu wa majeshi na Raisi wa Nchi ...Shukran
Amsaidie jaman arudi tuu hata mm nataman angerudi
Kweli jamani,hata miaka 5 tu
Hizi sheria zetu zinabidi zifanyiwe marekebisho umemuweka mtu mahabusu Kwa miaka 09 alaf huna ushahidi wa kutosheleza kumtia hatiani, then unakuja kumuachia Hana hatia, umempotezea vitu vingi,kazi,mke na mtoto inaumiza sana, na ni ngumu sana POLICE wetu kukubalika kwenye jamii
kweli...
Ndo nchi yetu hio hata zaidi ya miaka 20 unawekwa tu ndani hawana huruma
Tukipiga kelele kuhusu Rule of law mnasema tunachukia Ccm😂
Nchi ya hovyo sana hii
maskini kaonewa inshallah mungu atawaadhibu waliomsingizia huyu ndugu anatia huruma sana machozi yananitoka
Hivi me najionaga nimepitia maisha magumu kumbe napitia maisha rahisi sana tena sana. Mungu anisamehe mimi sipitii magumu
😭😭 Historia yako na Sauti yko havitaacha kunikumbusha kuwa WAKATI WA MUNGU NI WAKATI SAHIHI.
Nitakuwa naangalia Ile nyimbo ya Ambwene 😭😭😭😭
ua-cam.com/video/2b4NbwBg3NY/v-deo.html
AMEN👍🙏🙏🙏
Amina
Ameeen
Ameni
Mshukuru Mungu kwa kila jambo. Ni ngumu sana na inauma sana. Mwache Mungu aitwe Mungu atakutafutia kazi nyingine. Zidi kumtafuta Mungu atakupatia haja ya moyo wako.
Subhannallah, ata haya ninayopitia ipo siku Allah atanipa faraja ya hali ya juu, Pole sana ndugu yetu 😥
Mungu mwema Jipe moyo atakufanyie wepesi
@@petronzengelele7137 Ameen Yarabb 🙏😭
Pole Mungu atakufanyia wepesi
mungu atakufanyia wepesi inshaallah , dunia Ina mengi
Pore sana afande mtafute mama hatakurudisha kazini kazi ihenderee
Maumivu yanaonekana kwenye uso wako lakini mungu wetu ni muaminifu sana wewe ni kiongozi hongera sana kaka mkubwa
Such people, are the giants of the World. Man of God....Pole, na hongera kwa ushindi mkubwa. Wewe ni mtu mkuu.
Pole sana baba.nimelia sana maana baba yangu alishapewa kesi na ndugu yake robari .haina thamana ..,tulifiwa na mama hakumuona wala hakuruhusiwa kabisa kumzika mama,,Baada ya hapo akafiwa tn na mdogo wake tumbo moja pia hakumzika.Ila Mungu alitushindia alishinda ile kesi .
@@nurukitomary8087 poleni sana.
@@nurukitomary8087 😭😭😭😭😭poleni sana wapendwa mungu azidi kuwatia nguvu
Asnt sana.kikubwa tumuombee huyu baba sote ili Mungu azidi kumtia nguvu. Hata sisi Bila maombi tusinge mshinda shetani.
Pole sana mpambanaji..hakika kabla dunia haijafika kikomo..wale waliohusika hata kukunyima haki zako..lazima watalipia ..Amini nakwambia..
Mungu ana kusudi na maisha yako mtumishi wa Mungu na yote yaliyopita kwenye maisha yako ni kusudi lake kukutafuta hata mimi nimepitia mengi magumu yaliyonikutanisha na Mungu, ubarikiwe sana mtumikie Mungu baba
Mungu akusimamie
Wewe ishi kwa imani Mungu ameshakuokoa na kukuweka mbali najeshi anataka umtumikie yeye na siyo Jeshi tena.Haiwezekani ukatumiakia mabawana wawili Jeshi la Kaisari.Mungu anataka upate uzima wa milele kwani tayari umeshapata Roho wa Mungu.Sasa unahitaji kuacha Jeshi ilimupate uzimz wa milele.
ua-cam.com/video/2b4NbwBg3NY/v-deo.html
Uzima wa milele unakupa msosi?
@@maujanjatv24h41 Uzima wa milele unakupa vyote.Na neno hili wanaweza kulipokea walio kusudiwa na Mungu sio watu wote.
Kuna cha kujifunza Hapa, Mungu akutie Nguvu Kaka na In Shaa Allah atakufanyia wepesi.
Malimaa wa kishuaa
Sina lakuongea🙌🙌😭😭😭😭😭😭ila Mungu azid kukulinda,na akupe Afya njema wanao kwenda jela sio wote wenye hatia😭
Kabisa
Hapo mwakasege Mungu ampe maisha marefu sanaa
ua-cam.com/video/2b4NbwBg3NY/v-deo.html
Subhanallah baba kapitia magumu sijui lini maisha yatabadilika watu kubambikiwa kesi ht mungu hapendi ,, ila baba pole kwa yote na mshukuru mungu kwa yote sema alhamdullilah kwa mitihani uliyopitia namini kwa uwezo wake mungu atakulipia
Wenzetu ulaya huyu baba angelipwa fidia. Pia hawamuweki mtu ndani mpaka wawe na ushahidi kuwa ametenda kosa!!! Pole sana ndugu yangu.
Dah! Pole sana kakaangu Nazareth Amrike Mwakasanga Mwenyezi Mungu akutie nguvu na akuponye na kila jeraha lililokupata, Sahau na samehe.
Mungu amkumbuke ndugu huyo na amjalie neema.
Watching & listening to his story has given a new fresh meaning to the word HOPE!
I have a strong feeling that good things are in store for this humble, innocent & honest gentleman.
Amen.
Amen kaka asante sana
Daah pole sana bro, story yako imeniliza sana,😭😭 kwa yote uliopitia pole sana, ila mm nakuomba nikushauli achana na kesi wala wazo la kutaka kuendelea na jeshi ingawa umri unaruhusu, ktk janga hilo Umepoteza mke na mtoto ni maumivu ambayo uwezi fidia kwa kitu fulani, Umepoteza kazi na muda na mengine mengi yalio ndani ya ndoto zako, Nakushauri samehe kila kitu samehe kila mtu Muombe sana Mungu Anza maisha upya ukiwa ni mwalimu wa maisha bado unayo nafasi kushinda, ebu fikilia upo gerezani, nyumba imeungua Moto, na ndio chanzo cha kumpoteza mke na mtoto mara umeachishwa kazi kiufupi kila kitu cha zamani achana nacho pls pls Anza upya.
Asante sana kwa ushauri wako
@@nazarethamulike8807 Mungu ana makusudi makubwa sana na wewe. Endelea kumtumikia Mungu kwa uaminifu sana na Mungu atakuinua sana.
Pole sana Mike..hii Dunia inamitihani mingi sana,Hakika umepitia Magumu sana uliipoteza familia mke na mtoto. Wacha Mungu aandae hukum hakika haki zetu Wanadamu anazo Mungu tu
@@nazarethamulike8807 kaka naomba namba yako nikucheki watsap plz
@@nazarethamulike8807 bro si umestaafu lakini kwa heshima?
Pole sana kaka kwa matatizo uliyopitia najua kuwa machungu uliyonayo hakuna asiyejua mshukuru mungu kwa kila Jambo hakika mungu wetu ni mwema siku zote japo si rahisi kusahau pole sana wewe na familia kwa ujumla mungu atakusaidia na atakubariki
Dahhh yn hii habar Kila Siku nairudia kuangalia yn jamaa Wamemuonea sana yn duhh Binadamu Sisi Ila all in all pole Sana kaka Nazareth...... Mungu Yupo pamoja na wew
Pole sana Mungu hatakuacha, shida ilianza mkeo kuna mkubwa wako alikua anamtaka hapo ndio shida ilipoanza
Ni sawa kabisa
Hivi,inawezekana kitu kama hicho?
Pole sana mtumishi wa MUNGU, ameruhusu upitie hayo ili akupate umtumikie, nakushauri usihangaikie ya jeshi tena,bali kamtumikie Mungu utakula huko huko ktk madhabahu ya Mungu🙏
Mmmh kweli majaribu yanatukuta muda wowote bila kujua du mungu akupe maisha marefu na akutie nguvu.
Pole sana ndugu... Binafsi siwezi vaa viatu vyako... Niseme tuu Mungu akubariki zaidi, samehe kabisa kwa ajili yako na walio kukosea. Yesu akutunze. Ayo Tv mbarikiwe sana kwa kutushirikisha hili.
Braza namjua huyo alikuwa anacheza mpira kibaha kwa mbonde timu inaitwa fs Napoli pole sana
Da kweli
Asante sana kaka
Mimi namjua pia nimelala nae sero namba 2 jela segerea namfahamu sana
Nimeskia pain sanaa ya Moyo, sio kila wanaoenda Jela wanamakosa, kesi zingine watu wanatengeneza, serikali msiwe wadwanzi Msaidieni uyu Father Arudi kwenye Ajira yake ya Jeshi, Asiporudi kazin uyu Father Aisee Mtapatwa na kitu kizito sanaa na izo Hila zenu God did
Dah pole sana kaka ndo maana siwapendi police wanatabia za kusingizia kesi ovyo
Police sio Watu sema
Miladi ayo uko vizuri yaani huyu mzee kweli amaepitia magumu sana kwamba ni mkasa ambaye yaani ataendelea kuwa nae kichwani mpaka wakati wote wa maisha yake na yoote inasababishwa na sisi tusio kuwa na huruma na kuwa na roho mbaya kiasi ya kuipelekea maisha ya mtu mwingine kuingizwa kwenye majanga makubwa sana kama huyu sasa mpe pole yake kwa yaliyo mpata
Hiyo ndio maana halisi ya misuli ya imani! Mungu hawez kukuacha atakujaza na atakulipa mara 100 ya uliyopitia
Pole sana ndg, inauma sana! Unaacha mtoto wako mdogo! Na mke! Halafu unaletewa taarifa mke kafa! Mtoto kafa! Daaaa!!! Inauma sana!
Very sad story. Polisi wanabidi wawe makini zaidi maana maisha ya watu ni dhamana kwao
I'm from kenya 🇰🇪 but this is so painful 🥺... keep moving 🥺bro..you served 9 yrs for nothing 😭😭😭😭😩😩😩
Yesaa kamanda salute zote kwako soja uwishii maisha malefu pia pole kwa mikasa uliyo pitia soja.👨✈️👨✈️👨✈️
Nazareth, pole na Mungu akutunze, stori yako imetufunza mengi. Asante.
Daaah Haya maisha yana mambo mengi sana ...Huyu Mwamba ana historia inayochoma moyo sana kaachishwa kazi ..mke kafa mtoto kafa ....kapteza mali ...kasamehe watu na Bado Analipenda na Anatamani jeshi ...watu wa aina hii ni wachache sana 😭😭😭
Aisee mimi nilijiona kama niko na matatizo ila baada ya kupitia hii simulizi nimejiona sina matatizo kabisa
Wow! Glory to God! God is not done with you continue to serve him…
Majaribu uliyopitia ni makubwa sana, Mungu akuongoze kwenye neema zake. Ulichopitia wewe ni funzo kubwa kwa walimwengu lakini Nakupongeza Kwa ushindi mkubwa dhidi ya malimwengu. Yeshiva atasimama na wewe daima, na atakupa kilichochema kwa uhai wako. Ubarikiwe sana
Kaka nimefurahi sana kukuona ukiwa huru, mwenyezi Mungu akukumbuke tena kamaalivyomkubuka ayubu
Maisha ndivyo yalivyo. Mungu ana sababu ya hayo yote yaliyotokea. Wala usilaumu, wewe shukuru kwa kila jambo. Angalia Ayubu alivyopoteza watoto, mifugo nk. Lakini Mungu alimpa zaidi ya aliyokuwa navyo. Utapata watoto wengi na wazuri kama Ayubu alivyopata. Utakuwa juu zaidi kuliko ulivyokuwa kama Ayubu alivyokuwa. Hivyo mshukuru Mungu kwa yote.
Pole" sana nime. kuona kwenye wimbo? wa' ambwn 'UNIKUMBUKE!! Na, kweli!! ume kumbuka na MUNGU 😢🤦♀️
ua-cam.com/video/2b4NbwBg3NY/v-deo.html
Nimeenda jana Gerezani kuona wafungwa eeeeeh MUNGU nakuomba uwaone wafungwa wote waliofungwa kwa hatia na ambao hawana hatia maisha ya kule jamani 😢 Kuna watoto pia Bwana YESU naomba uwapiganie
Mimi ni nani mpaka umenipa uhai na uhuru huu nilionao nakushukuru BWANA YESU 🙏🏻🙏🏻
Kaka, hakuna kazi kubwa na nzuri kama kumtumikia Mungu, acha kufuata walichokunyang'anya, Mungu atakulipa stahiki zako zote, Mtumikie huyu Mungu asiyegeuka wala kuzulumu haki, hutawai kosa, Mungu amekuokoa, kwa sasa mtumikie kwa moyo wako wote
ua-cam.com/video/2b4NbwBg3NY/v-deo.html
Comment hii ina mashiko sana,kila likuepukalo lina kheri kwako,Muachie Mungu yeye anaejua sababu atakutendea mambo makuu usioyoyajua
Hujayapia ayo kwasababu ya kazi uliyokuwa unaifanya but ni Mungu Alikuwa anakuandaaa kuwa mtumishi wa utukufu wake waweza jiuliza kwanini Mungu aruhusu upoteze kazi na watu wako wa maana katika maisha but elewa kuwa Ayubu aliyapitia but mwisho wake ulikuwa ni mzuri sana (Yeremia 18:1--> na Ayubu 42:12--->).
Tujifunze kutokuyabeba maneno ya kuwambiwa na kuyasambaza bila utafiti wowote Mungu nisaidie nisiwe miongoni mwa kuyabeba mambo na kuyasambaza bila utafiti🙏🤲
ua-cam.com/video/2b4NbwBg3NY/v-deo.html
Amini
Pole sana ndugu yangu mungu akutrie moyo nimeumia sana kuckia matatizo yako...mama fanya huruma umsadie kaka huyu
Aisee pole sana sana sana yani umepata zaidi ya pigo ila maisha ndio haya haya na MUNGU wetu ni mmoja siku zote na habagui hata na ana sbb ya kutoa changamoto hizi kwako na kwetu kama binadamu pia...Amen
ua-cam.com/video/2b4NbwBg3NY/v-deo.html
dah pole sana bro inaumiza sana ila damu ya yesu ikulinde maisha yako yote.wapumzike kwa aman familia yako yote iliyotangulia mbele ya haki😥😥
Daaaa Allah akupe nguvu brother viatu vyako ni vikubwa mnooo😢😢😢 mwanzo na mwisho wa binadamu Mungu ndie ajuaye siri
Daaah inauma sana kwakweli, hii dunia ina maswahibu mengi. Mungu akutie nguvu ,ni matumaini na maombi yangu kuwa Mama samia, atalifanyia kazi jambo lako na kukulipa stahiki zako za jeshi
Mama ni msikivu sana utarudi kazini mwamba pole sana
Yaan wamkumbuke tu jamani daah 💔..hata miaka 5 tu
Pole sana ndugu mitihan ni sehemu ya maisha yetu, na majaribu ni mtaji Mungu akuongezee Imani.
Bongo jela ni kwa ajili ya masikini, angalau zama za Magu matajiri waliingia jela
So sad indeed 🥺🥺
Mola akupe nguvu 🙏🙏🙏
Watching from Nairobi, Kenya.
Ayseee Mungu akufanyie wepesi, urudishwe kazini na uendelee kumtumikia Mungu wetu.
Mungu azidi kukupa faraja , mwamini Mungu yawezekana anakuepusha Jambo , usilazimishe kurudi kazini , muombe Mungu akupe njia na akuonyeshe kazi ya kufanya . Endelea kumwamini Mungu
Hakuna wa kuweza kukulipia fidia au mafao yako tofauti na Mungu..umepoteza mke na mtoto na bado umesamehe😭😭😭hongera kwa moyo huu
Kaka MUNGU akupe neema na maisha mazuri
Amina
Jamaa Mstaarabu sana alafu ni mtumishi wa mungu kweli.. Anavyoongea tu ananekana haigizi.. Anaongea Facts.. Mi nnaamini siku moja utafika mbali zaidi ya ulivyotarajia. 👏
Amen amen asante sana
Mungu wetu ni muaminifu sana, atakufanyia njia iliyo bora kwako
Pole sana kaka Yangu kwa mangumu Huliyapitia ALLAAH Yupo pamoja nawe Insha Allaah Haki yako Utaipata tu kwa uwezo wake MOLLAAH Insha Allaah
Hakika hak ya mtu aiwez kupotea Nazareth namfaham mm na familia yang sote tulipokea kwa masikitiko kuhus ilo tukio na pia atukuamin kama angefanya ayooo hakika mung achen aitwe mung!
ua-cam.com/video/2b4NbwBg3NY/v-deo.html
Haki zetu zipo mbingun, Duniani mapito tu.Imani yako ni kubwaa sana br hata hili utashinda kwa imani hata kama itachelewa. Umepoteza vingi kila anayekusikiliza anaumia. Mtegemee Mungu asirudi nyuma.
Eee Mungu...this is so touching...Natumai haki yake haizulumiwi. Mungu yupo kazini juu yako kaka. Viongozi wa nchi hii sikieni vilio na machungu wa wananchi wenu...daaa jamani..ni uchungu mkuu..hivi hawezikusikilizwa na hii kesi akashinda? Natumai wapo Lawyers hapa mnaweza kumpa msaada
Pole sana kaka kwa yote yaliyotokea kwako. Hata jinsi unavyosimulia inaonekana uso una majonzi makubwa ni kwa sababu wewe ni mwanaume unajikaza. Mungu yupo pamoja nawe katika kipindi hicho cha majonzi
Kwahy mke wake amekufa na kinyongo cha kujua mume wake amekuwa ndani kwa kusingiziwa aisee aliyemtendea huyu jamaa ubaya huu aende tu kumuomba msamaha huyu jamaa maana atapata shida katika maisha yake na atakufa kwa shida sanaa
Na atapata na kizazi chake chote,akaomba kutoka moyoni na Mungu Atamsamehe
Pole sana kaka inaumiza sana yaliyokufika kusingiziwa kesi kufiliwa nä mkeo mtt nä dada yako kwa kweli siwezi kuvaa viatu vyako mungu ni mwema uko huru
Inaniuma sana Hakuna haki hapa kwenye nchi hii ina mambo ya hajabu ya ajabu sana mtu akishauwa anacheo tu anajiona kama mungu mtu Mungu atakulipia Naza
Daah aisee!
Pole sana brother wangu! Aisee,umepitia magumu kweli yan kaka yangu, mungu akutie nguvu, yan unasingiziwa kesi daah!
Nimeamini hata uwe Nani sekunde moja inaweza kubadili maisha yako...pole jamaa mwenyewe mpole MUNGU atakujaalia yaliyo mema.
Asante dada angu
@@nazarethamulike8807 kaka pole sana acha Mungu aitwe Mungu
@@angelinatumaini5503 asante sana ndugu yangu
MUNGU anatupenda na anatuwazia yaliyo mema nimejifunza kitu kwako naamini yeye hututimizia kwa wakati sitalalamika Tena kwa Jina la YESU.
ua-cam.com/video/2b4NbwBg3NY/v-deo.html
Pole sana ndugu penyeheri pana shari ndani yake na penye shari panaheri ndaniyake hongera kwa kujaliwa ufahamu
Mheshimiwa Raisi Samia hasani suruhu Mmpeni haki zake jamani. 😭😭
Kwangu ww ndio mwanajesh kamili jeshi limekutenga upo nalo brooo kila la her salut god blees u
Isaya 43:2
Upitapo katika maji mengi nitakuwa pamoja nawe; na katika mito, haitakugharikisha; uendapo katika moto, hutateketea; wala mwali wa moto hautakuunguza.
Dah nimeumia sana kaka pole sana m mungu akujalie afya njema katika Maisha wivu ni mbaya sana katika Maisha
Pole sana ndugu yangu Mungu ana makusudi yake wapendwa wako walikuacha lakini atakurudishia kila kitu maradufu!!!!
Pole sana mungu ni mwema kaka angu akufanyie wepesi brother
Pole sana mungu akutie nguvu! Hakika walio kucngizia wakapate malipo na yy tumtumainiye