KUNAKITU NASHINDWA KUELEWA MWEZ ULIOPITA KAMANDA SIRO ALIKATAZA KUWAONYESHA WATUUMIWA KWENYEVOMBO VAA HABAR KAMA IVI INAMAANA AJAELEWAKA AU NINI NDUNGU ZANGU EBU TUAMBIZANE APO
Wazee Wangu. Mi naomba Mumsamehe sana,Kama mmeshagunduwa Alikunywa pombe Naye kakiri Basi Akuna sababu yakuangaika Nae Limeshakuwa Fundisho kwa Wengine walevi na Wasiokuwa Walevi.
@@selemanimadeha4658 je wanaotumbuliwa lukwa kwa ajili ya maonezi ,dhuluma Na kumbambikizia watu kesi za uwongo mpaka Mzee akawalalamikia.Tunawajua mapolisi ndo chombo cha maonezi Na ndo vibaka nambari moja.
Hayo Mambo yapo afande ata mm nilwahi kupigwa na police nilikua na cm mbili na wallet nilipofika kituoni niliwekwa ndani na baada ya kudhaminiwa cm yangu moja haikuonekana asikali walijifanya kila mtu Hana na wallet yanguilikua na pesa baada ya kutoka haikua na pesa yyte nilipo uliza zaidi nilitishiwa tu ckuwa na jinc zaidi ya kuondok na walio tenda hayo yote nawajua kwa majina yao na sura tendeni haki jaman.
Ilikuaje DC kuita vyombo vya habari ofisini kwake ilihali yeye ni mwenyekiti wa ulinzi na usalama wa wilaya kwani si angeweza kumwita ocd ofisini kwake na kujadiliana nae juu ya suala hilo sasa ona fedheha kama hizo mimi nadhani uongozi ni busara na si kumfedhehesha mwenzako ili wewe uonekane wa maana
Police wako sio watu wazur huwa wanyang'anyi sana tatizo njaa zina wasumbuwa police ni wezi acha kuwa beba matukio ya police kila kukicha daa mnatia aibu sana
Mmetengeneza movie nzurii Dodoma mnaonea sana wananchii nyiee mnajisafisha tu sabb ameenda kwa mkuu wa wilaya sahv ndo kimbilio LA RAIA wa Dodoma lakn mroto ww unafuga maovuu hamtendii hakii hata kidogoo
Amina Noor we acha tu half ukisema unaletewa media ukanushe mroto anapenda sana media mbn wenzake wanafnya sana kaz lkn hawana sifa za media wallah ukiona hvyoo ujue ufnyajii kaz hafifu only sifa tu watu wamuone anafanya kazii
Kwani ungewapa izo taarifa ofisini wakaenda isingetosha meku IGP atakupiga makofi siku moja maana usikii mbona ni wewe tuu hausikii??alilewa pombe zimeisha kaenda hadi kwa mkuu wa wilaya bado mnasema alilewa .apo sio yeye tena kashaapangwa yani Tz bhana
Jaman mbona kama unamuelekeza jinsi ya kusema?? Mbona taarifa ya mkuu wa wilya inaonyesha malalamiko mengi hapo kwa askri wako mkuu?? Mapungufu nimapungufu tu,,hata kma nikidogo,,kuna kitu nyuma ya pazia hapo
Watu wanataka ukweli kama tukio lilivyokuwa limerushwa mtandaoni hivyo basi hata siro aliongea tu bila kufikir. Kufanya hivi ni sawa tu. Sasa wangewafikishia vip taarifa wananchi ambao walipata habar toka kweny hivyo hivyo vyombo vya habar.
polisi nyinyi tuwajua mambo yenu acheni kujikosha kuna polisi baadhi ni zaidi ya vibaka au majambazi mi nilishaingia kwenye 18 zao wala huniambii kitu muone sura yake kama anaoga oil !
Makubwa!!? Haki IPO kwa mungu tu but duniani huwezi ipata!!!but ukweli ni kwamba maaskari ni waonevu sana na adhabu mtaikuta kwa mungu!!! Ujanja ujanja ni mwingi sana kuliko ukweli!!!
Wangp Wana Amin Kama hapo jamaa kapigwa mkwala wa Hali ya juu
Kama kasema uongo au ukweli Mahakama ndiyo itaamua wewe Mrotto acha kujitetea!!
Baadhi ya polisi ni vibaka na majambazi
KUNAKITU NASHINDWA KUELEWA MWEZ ULIOPITA KAMANDA SIRO ALIKATAZA KUWAONYESHA WATUUMIWA KWENYEVOMBO VAA HABAR KAMA IVI INAMAANA AJAELEWAKA AU NINI NDUNGU ZANGU EBU TUAMBIZANE APO
Yangoso waachie ngoso
HAPANA. Haipo hiyo kabisaaaa.
Okay
Hata kama n mimi lazma nitubu hapo😂😂😂
Uchinguz uwe unafanyika kabla habari hazijaletwa kwenye media
Munira
Wazee Wangu. Mi naomba Mumsamehe sana,Kama mmeshagunduwa Alikunywa pombe Naye kakiri Basi Akuna sababu yakuangaika Nae Limeshakuwa Fundisho kwa Wengine walevi na Wasiokuwa Walevi.
Dingi ushachanwa namjomba sirro. Mbona huelewi? Mmemtisha
Si jambo zuri kamanda kujitangaza kwenye media kuna maisha baada ya kustaafu
Kamanda siro your so smart Fanya kumtumbua huyu bwana mtuumiwa hapaswi kudhalilishwa..
Inaonekana kalazimishwa kuongea uwongo mpeni pesazake nasimu acheni wizi nyie
Mwongo mkubwa namjua mtu Alipigwa Dodoma bila sababu polis Dodoma waonevu sana.
Dah!
Kamanda keshathibitisha hizo taarifa za kupigwa na polisi na kuporwa simu na pesa sio za kweli wewe unabisha nini ?
@@selemanimadeha4658 je wanaotumbuliwa lukwa kwa ajili ya maonezi ,dhuluma Na kumbambikizia watu kesi za uwongo mpaka Mzee akawalalamikia.Tunawajua mapolisi ndo chombo cha maonezi Na ndo vibaka nambari moja.
Kesi. Ya. Nyani. Atasema. Yariwe.
Karazimishwa. Kusema. Askari. Wezi. Mbona. Sim.imeretwa. pesa. Ziwapi. Kama. Muongo. Mbona. Sim. Imerudi
Kamanda Muroto, Mbona Unaongea haraka haraka sana tofauti na siku zote...
Tangulini police afanye upelelezi Kwa police mpelekeni mahakamani tuone Kama nyie ni wakweli.
Subuhanallah
😂😂 tukutane kwa mama Eliza ..
Kwa uoga tulio nao watanzania, atakataa,jeshi la polisi na Serikali mmetujengea hofu, hakuna uhuru wa kujieleza.
Hahaaaa jamani vyombo vya habari mna kazi
Mmmmmh,, bado tu! Tusilaumiane😎
Muroto unafaa zaid kwny siasa maana anapenda vyombo vya habari kupita kias
🙆
Tutaaminije pengine wamemtisha ili akubari
Hapo sasa
Duuh sijui binadamu tufanyiwe nini kukubali mbona ni clear kila kitu ila kama mtu unazowea uongo huwezi kuridhika na hii
Una maana mashahidi nao wametishwa....?
Ww kama hutaki kuamini hulazimishwi kuamini.
Tatizo una negative attitude about police ukiondoa hio utaelewa
Mtu hawezi kuwasingizia tuu mmemtisha kweli
Acheni kuwatisha RAIA wasiseme ukwelii
Au kingine labda jamaa alivokuwa amelewa asubuhi akajikuta kituoni akajua askali ndio eamempiga pombe hio
Bado hujamuelewa IGP?
Poce mnaonea sana raia ndiyo ukweli
Mtieni ndani kwanza anaadabu
Nendeni huko mmempigaaa kweli na mmemtishaa
Kazi Na umri bwana 😎
Hayo Mambo yapo afande ata mm nilwahi kupigwa na police nilikua na cm mbili na wallet nilipofika kituoni niliwekwa ndani na baada ya kudhaminiwa cm yangu moja haikuonekana asikali walijifanya kila mtu Hana na wallet yanguilikua na pesa baada ya kutoka haikua na pesa yyte nilipo uliza zaidi nilitishiwa tu ckuwa na jinc zaidi ya kuondok na walio tenda hayo yote nawajua kwa majina yao na sura tendeni haki jaman.
Baadhi ya polisi sio wahadilifu Kamanda Muroto acha kutetea uhalifu, polisi tunawajua baadhi yao ni waporaji
MJOMBA SI MMESHAKATAZWA NA AFANDE SIRRO KUONYESHA WATUHUMIWA ACHA UJINGA WW
Dah!
Anaham ya. Kutumbuliwaaa
Jeuri sana huyu!!!
Mjinga mama yako tako wewe
@@mickeyboy9920 mkundu wa bibi yko mzaa baba ,mnyonya mboo ww
🖕🖕🖕🖕
...ngija ngija...
Maisha magumu jamani
Mhhh!!! Sijui kama mm nilimuelewa Tofauti IGP!!!!!
Huyu anatakiwa atumbuliwe anakosea sana, IGP Fanya mambo
Jamaa alilewa hakujua cm kaacha wapi kumbe alikuwa nayo huyo rafiki take. Duuu jamani wabongo Ni shida
🤣🤣🤣🤣🤣Dah
Ilikuaje DC kuita vyombo vya habari ofisini kwake ilihali yeye ni mwenyekiti wa ulinzi na usalama wa wilaya kwani si angeweza kumwita ocd ofisini kwake na kujadiliana nae juu ya suala hilo sasa ona fedheha kama hizo mimi nadhani uongozi ni busara na si kumfedhehesha mwenzako ili wewe uonekane wa maana
Yani huyu mroto nifala sana duuuuuuuh
Ik la kwa maelezo hayo ni kweli labda polisi walichokuwa hela ila maulevi yake
Wewe police siulizuiliwa na Siro gauche kuonyesha watuhumiwa kwenye camera jamani Siro atakutumbua
Huyu jamaa kichwa ngumu sana...
Police wako sio watu wazur huwa wanyang'anyi sana tatizo njaa zina wasumbuwa police ni wezi acha kuwa beba matukio ya police kila kukicha daa mnatia aibu sana
Hapo ni Mungu ajuae. Watuwanapingana halafu wanasema tupingepicha makubwa
munamlazimisha sirro kuwatumbua mlishakatazwa kucheza na media muda wote 'alafu taarifa ni zakweli mbona jamaa kajifikilia xana
Haaaaaah
duuuh nchii hii sasa mmhmh
Mzee silisha katazwa Na boss wako hii tabia au?
kweli afande umesahau kuwa afande wako alisema nn?
Mmetengeneza movie nzurii Dodoma mnaonea sana wananchii nyiee mnajisafisha tu sabb ameenda kwa mkuu wa wilaya sahv ndo kimbilio LA RAIA wa Dodoma lakn mroto ww unafuga maovuu hamtendii hakii hata kidogoo
kwer kabisa tena wengi wanapenda rushwa me nipo ombolo lkn ktk magari ya ombolo tunapakiwa km ndizi na wanapita kwa matrafiki
Amina Noor we acha tu half ukisema unaletewa media ukanushe mroto anapenda sana media mbn wenzake wanafnya sana kaz lkn hawana sifa za media wallah ukiona hvyoo ujue ufnyajii kaz hafifu only sifa tu watu wamuone anafanya kazii
Acha sifa wewe mmempiga ndio muache kuonea hasa wewe muroto unapenda sifa wewe na umeshakatazwa na mkuu igp ila bado huelewi
Sasa hapo mahakamani anasomewa mashitaka au sielewi ukweli si unajulikana mahakamani au
Sasa mshamtisha atasema mini?ama kweli tz soldier ni matatizo
Kwani ungewapa izo taarifa ofisini wakaenda isingetosha meku IGP atakupiga makofi siku moja maana usikii mbona ni wewe tuu hausikii??alilewa pombe zimeisha kaenda hadi kwa mkuu wa wilaya bado mnasema alilewa .apo sio yeye tena kashaapangwa yani Tz bhana
Kamanda SIRO hi ni sawa?
Mnakanusha nini?
Kuna kamchezo kamefanyika hapo
Huyu LPC hufai,nimekwambia staff hiyo kazi,kuna kuogopa alfu asiongee ukweli,sasa hayo yanatuhusu nini,ungeyamalza kwenye office yako
Mtu mzima hovyo
Weshampiga mkwala ila kwa kweli Kuna baadh ya police sio waaminifu
Wewe jomba kumbe ufai hata kuwa mjeshi maneno yote hayo kumbe kukaza uwezi umezingua kweli
Hapa naona kuna maigizo tu
HUYU MPUMBAFU VIP? NILIPO PATA HIYO STORY NILIWACHUKIA SAAAANAA POLICE, KUMBE LILILEWA!!
hapo kuna uwalakini huyo keshatishwa hata uongeaji wake unaonekana wa kufundishwa
Wanapenda kudhalilisha wengine
@diomarco furniture njoo Instagram tufanye biashara whtspp no 0656753962
Niko dodoma njoo tufny biashara 0744665380
Sirro njoo umuone amerudia tena hajakoma huyu jama tumbua inaonekana anadharau
HIZI MEDIA MNALIPWA NA HUYU JAMAA MAANA HAKIKAMATA HATA MWIZI WA KUKU LAZIMA HAMUANIKE
Nginjanginja kakuacha.mwenyewe
Bado hamjakoma tu kujionesha kwenye mitandao mbona hamumuheshimu mkubwa wenu siro
Hapo kunamchezo aliekuwa nasimu kwann asikuereze make yeyealikuwa analekod tukio
Wamemupiga na kumutisha huyu.
Hapo hapaeleweki
Kikubwa HAYANA MASHIKO 😂😂😂 Bw Elisha bhana 😂😂😂😂
ELISHA ANAONEKANA NI MWELEWA SANA!!!!
@@kidodosimichael349 😂😂😂😂
Jaman mbona kama unamuelekeza jinsi ya kusema?? Mbona taarifa ya mkuu wa wilya inaonyesha malalamiko mengi hapo kwa askri wako mkuu?? Mapungufu nimapungufu tu,,hata kma nikidogo,,kuna kitu nyuma ya pazia hapo
#MzeeeaTutakuaminiVpWakatiPoliceWanatumiaNguvuKubwa
Na nyinyi muna mkandia mwenzengu hamna akili
We mmemsimamia kooni hivo atacha kuogopa
KAMANDA HUYU NAMKUBALI SAAANAA, GILES MUROTO PIGA KAZI BABA.
Pombe sio maji dogo kuwa makini
Watu wanataka ukweli kama tukio lilivyokuwa limerushwa mtandaoni hivyo basi hata siro aliongea tu bila kufikir. Kufanya hivi ni sawa tu. Sasa wangewafikishia vip taarifa wananchi ambao walipata habar toka kweny hivyo hivyo vyombo vya habar.
Duh, mbona kama bwana Elisha amelazimishwa kuongea jambo flan ili upande mmoja uwe msafi
Apo panamchezo uperezi ifanyike mh igp
hapo kuna walakini
polisi nyinyi tuwajua mambo yenu acheni kujikosha
kuna polisi baadhi ni zaidi ya vibaka au majambazi mi nilishaingia kwenye 18 zao wala huniambii kitu
muone sura yake kama anaoga oil !
Kamanda kasemaje?ataki ago mambo.
Huyu ni mchonganishi
Chezea askali kaporwa maskini anaogopa
Mbona kama wametishiwa wakubar ya muroto
Huyu jamaa haachi kujiproud kwenye media licha ya kupigwa mkwara na kamanda wake
😂😂😂
Mkaidi hafaidi mpaka cku ya iddi,,likimkuta ndo atajua siro kasema
Si amtaje polisi huyo
Huenda ni shuruti
Wewe siyo askali kabisa,Kama unakatazwa na boss wako kutangaza watuhumia wewe bado hausikii,mzee umezeeka achia vijana hicho cheo
Jaman mm nimempenda alokaa nyuma ya muroto tu
Khaitham Rubea nina no zake
Agu Boay unipe tu naona nimempenda
Huyu ni mtuhumu polic ndio waliotuhumiwa kamanda yupo xahihi .jamaa aliongopa
Uyu katishwa
Kama mnamlazimisha ivi ila kuna siri ipo imejificha
Kamanda wa nchi hii ni SIRO tu...Hemu chomoa betri Mheshimiwa lile tatizo limejirudia tena
hayupo huru uyo
kuhusu uporaji police wanao
Majizi
Makubwa!!? Haki IPO kwa mungu tu but duniani huwezi ipata!!!but ukweli ni kwamba maaskari ni waonevu sana na adhabu mtaikuta kwa mungu!!! Ujanja ujanja ni mwingi sana kuliko ukweli!!!