MAJAMBAZI WANNE WAKAMATWA ARUSHA, WAKUTWA NA DAWA WALIZOPEWA NA MGANGA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 тра 2020

КОМЕНТАРІ • 374

  • @dianafyondi9048
    @dianafyondi9048 4 роки тому +39

    Hongereni jeshi la polisi kwa kazi mnazofanya. Mungu azidi kuwalinda kwa kazi mnazofanya.🙏🙏🙏🙏

  • @frankenock3651
    @frankenock3651 4 роки тому +16

    Hahaaaa afande umenifurahisha eti " shikamo mzee na chuma kinaitika" umetisha ,,hongereni sana jeshi la polisi

  • @josephmadobho302
    @josephmadobho302 4 роки тому +21

    Hawa jamaa noma had nimempenda rpc bigup police

  • @clememallya4257
    @clememallya4257 4 роки тому +1

    🙏👍Hongereni sana Makamanda wetu kwa kujitoa kwa kulinda usalama wetu kiaminifu. Mungu awalinde na maadui na awabariki sn🙏🙏 tunawaombea usalama wa maisha yenu

  • @belindasteve4749
    @belindasteve4749 4 роки тому +15

    Piga kelele kwa Arusha ake weeeweee!!!!Hongera sana kwa Askari wa A.town.

    • @linamacha7686
      @linamacha7686 4 роки тому +1

      Hongera sanaaaan makamanda kazi nzuri watu tupo kwenye kwenye maombi ya kuomba toba kwa Mwenyezi Mungu wengine ndiyo kwanza wanazidi kumchafua Mungu tutaponaje jamani charaza bakora za kutosha huyo mganga maana hawa ndiyo wale waganga wakuuwa maalibino pumbavu kabisa 👏👏

  • @happysindani6708
    @happysindani6708 4 роки тому +29

    Kazi nzur sana police wetu👏🏽mganga kawaingiza town

  • @majaliwamsigwa3974
    @majaliwamsigwa3974 4 роки тому +13

    Hawafai kwenye Nchi yetu ya Tz,hongereni jeshi letu

  • @abdikadirmohamed968
    @abdikadirmohamed968 4 роки тому

    Hongera kwa kazi mliafanya kuwa kukamata wezi hawa bila shida "MUNGU awabariki kwa umri na afya wapolisi wetu". Asanteni sana.

  • @josephinekwaselema5566
    @josephinekwaselema5566 4 роки тому +11

    Hiyo ni sanitizer yao 😁😁
    Big up sana maaskari👏👏👏👏

  • @shaabaniali9816
    @shaabaniali9816 4 роки тому

    Pongezi kubwa kwa askari wetu kwa ujasiri,uzalendo,ukakamavu wote mlio uonyesha kwa pamoja.tupo tayari kufa kwa ajili ya taifa letu....🤝🏿💪🏿🙏🏿⭐⭐⭐hakika nyie ni wazalendo wa kweli..pongezi kwenu na mungu awalinde pia awajaalie ufaham mkubwa wenye maarifa na hisia kali za kumtambua adui.....never give up

  • @vickykwimbere9904
    @vickykwimbere9904 4 роки тому

    Hongera sana jeshi la Polisi kwa kazi nzuri. Mungu awalinde.

  • @emmanuelangoi6973
    @emmanuelangoi6973 4 роки тому

    Hongereni sana kwa kazi mliyofanya,majambazi hayo yabaki jivu

  • @dissartv4806
    @dissartv4806 4 роки тому

    Hongera kwa majambazi..wanajitafutia..kazi ni kazi bhana.Majambazi ya kalamu hamuyaoni..wapo ofisin wanaibia raia kwa vyeo zao

  • @hopekingoftz8208
    @hopekingoftz8208 4 роки тому +19

    Pongezi kubwa kwa askari shupavu. Majambazi noma hao wana mkasi unaitwa shikamoo mzee,

  • @abubakaryomary3985
    @abubakaryomary3985 4 роки тому +1

    Big up"saluti kwa kazi nzuri sana mliyo ifanya jeshi la polis namiombea kila la kheli

  • @immawachambuso6772
    @immawachambuso6772 4 роки тому

    Hongereni sana, big up👊🏾 polisi Arusha,Ila Mh mkuu wa mkoa,sio arusha tu ndio iwe salama zaidi kuliko mikoa yote,kila mkoa tuna haki ya kua na usalama wa hali ya juu kwa usawa,big up once again Polisi Arusha.

  • @issangyabertha5741
    @issangyabertha5741 4 роки тому +33

    Gari liliwapita kama mshale,,,, ongeren polisi wetu

  • @jtheophil5499
    @jtheophil5499 4 роки тому +3

    Mnafanya kazi nzuri sana,ongereni sana jamani

  • @dismassmariki6985
    @dismassmariki6985 4 роки тому +1

    Hongereni sana hiyo ndio maana ya Ulinzi wa raia na Mali zao, Asanteni sana

  • @marymlelwa8471
    @marymlelwa8471 4 роки тому +15

    Shikamoo Mzee na marahaba ni balaaaa😂😂😂😂

  • @diltondilunga9915
    @diltondilunga9915 4 роки тому +1

    Hongera sana jeshi la polisi Mkoa Arusha,na ni bidii za rais wetu mpendwa ,ktk kuimarisha uzalendo na uwajibikaji ktk kazi

  • @jeremiadaudi5780
    @jeremiadaudi5780 4 роки тому +5

    Mungu awalinde polis wetu na ujasiri huo natamani niwe nanyi ila nafasi sina

  • @stephanojackson8280
    @stephanojackson8280 4 роки тому +29

    Barakoa ya mheshimiwa nimeipenda.

  • @ababuumwanazanzibar4908
    @ababuumwanazanzibar4908 4 роки тому +33

    Tanzania Kwanzaa Mengine Baadae JPM Nambari 1

  • @martinemazoya5700
    @martinemazoya5700 4 роки тому

    Mshana hongera kwa kazi yako unayoifanya Arusha tunakukumbuka mwanza

  • @bizuwena623
    @bizuwena623 4 роки тому

    Shukran kwa kazi nzuri jeshi la Polisi

  • @khatwabmpinga8602
    @khatwabmpinga8602 4 роки тому +1

    Safi Sana'a vijana kazi nzuri

  • @mtaalamshekidele1661
    @mtaalamshekidele1661 4 роки тому +3

    Kazi nzuri makamanda

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 4 роки тому

    Polisi kweli mnafanya kazi hongera kazi si rahisi mungu hawalinde

  • @WitnessMwanga
    @WitnessMwanga 2 місяці тому

    Jamn tunaomba wafungwe maisha yao yot, hongeren kwa kaz nzur

  • @elmasroj9712
    @elmasroj9712 4 роки тому

    Asanteni sana kwa kazi nzuri

  • @ellysilwani9287
    @ellysilwani9287 4 роки тому +1

    Hongereni vyombo vya usalama,wanarudisha maendeleo ya watu nyuma majambazi hao..adhabu kubwa inawapasa,..

  • @upendovitarlees8140
    @upendovitarlees8140 4 роки тому

    Hongereni polisi kwa kazi nzuri

  • @hongeramgaya714
    @hongeramgaya714 4 роки тому +17

    Mbona uyu babu kajiprotect sana kuliko hata wahudumu Wa afya.😂🤣

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 4 роки тому +1

    Ooh hongereni sana kwa hili 🙌 Nimeipenda Pigeni kazi

  • @SamJux1
    @SamJux1 4 роки тому +7

    Kazi nzuri

  • @marrynyagawa6997
    @marrynyagawa6997 4 роки тому

    Hongereni sana jeshi la police kwa kazi kubwa mliyoifanya

  • @jacksonmalolage9476
    @jacksonmalolage9476 4 роки тому +2

    Kumbe na waganga wanasanitizer za kienyeji ili kukinga risasi😁😂😂

  • @policejamiimkumbwa9405
    @policejamiimkumbwa9405 4 роки тому +2

    Kazi nzuri sahihi

  • @attusanga8210
    @attusanga8210 4 роки тому

    hongereni kwa kazi nzuriiii

  • @maryamm7765
    @maryamm7765 4 роки тому +10

    Amepata sababu hizo barakoa kuziba uso 🤭😷😄

  • @isdorimadoshi28
    @isdorimadoshi28 4 роки тому

    Kazi nzur mungu aendelee kuwapa nguvu

  • @ashulamusin9811
    @ashulamusin9811 4 роки тому

    Nawapenda sn polic wetu kwa kazi nzuri

  • @shailashaila6913
    @shailashaila6913 4 роки тому +6

    Waarabu ndio watu pekee wanalaza gar nje na hakunaga kitu mwiz wala jambaz, walala mageti waz wala mshipa hauwadundi
    Ila Tz bora mtu uwe maskn tyu mpk siku yako ifike ufe kifo ulichoandikiwa 😩

    • @Zainab-sq1tc
      @Zainab-sq1tc 4 роки тому

      Sanaaa ndo mana hatufanikiw awaafica

  • @Dm-yd1tl
    @Dm-yd1tl 4 роки тому +11

    Gongalike kama umesikia sniper wazuri

    • @roseberryhamoud6542
      @roseberryhamoud6542 4 роки тому +2

      Dm sniper ni mdunguaji. Hajakosea. Ulidhani kamaanisha sanitazer

    • @eliaskayegezi3585
      @eliaskayegezi3585 4 роки тому

      @@roseberryhamoud6542 Mwenyewe nimeshangaa like zaombwa kwa kusikia neno sahihi kabisa sniper

    • @mursalseleman2174
      @mursalseleman2174 4 роки тому

      R.P.G aliyo itaja hiyo ndo mwisho wa stori hta ndege inageuka jivu sekunde

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 4 роки тому

    Safi sana. Ninge waona hao askari ninge wanunulia chai . Ila wange wa rarua rarua badala ya ku wa acha wanapumua

  • @ednajeremiah8671
    @ednajeremiah8671 4 роки тому

    Hongera asikari wetu

  • @orestpaul4273
    @orestpaul4273 4 роки тому +4

    Congratulations makamanda!

  • @RichardRichardAlfredynombo
    @RichardRichardAlfredynombo 7 днів тому +1

    Kunawatu natakakunihu Julie na angel na alfredy nombo na matrin ni watu baya wanasheliki kunitoa huwahiwangu Richard Alfred ynombo

  • @cheddykipingu8087
    @cheddykipingu8087 4 роки тому +11

    Huyo mganga mdudu Corona tu amemshinda so wanategemea ndy smg itamkosa.. 🤣🤣🤣

    • @jackboma7129
      @jackboma7129 4 роки тому

      Big up papa

    • @fatmakigula8634
      @fatmakigula8634 4 роки тому

      Huu utawala mwingine mzee magu anamungu uchawi haufai saiv huyu baba mtu wa mungu majambazi bora wakalime

  • @huseinmkindi9779
    @huseinmkindi9779 4 роки тому

    Hongera Kamanda

  • @kenybenjiz7850
    @kenybenjiz7850 4 роки тому +14

    Kamanda Shana umetisha na mask hyo hahaha

  • @kenybenjiz7850
    @kenybenjiz7850 4 роки тому +1

    Hahaha Shana comedy sana hahah

  • @TheRock-wo6mx
    @TheRock-wo6mx 4 роки тому +2

    Tanzania hoooyeee nawapenda Sana kutoka serikali hadi ulinzi wataifa angalao Kenya ingeiga wangekua mbali Sana lakini wao wanajaza mmatumbo tu kutoka serikali hadi ulinzi ovyo kabisa Kenya I'm from South Africa more love tz

  • @rozinageorge1812
    @rozinageorge1812 4 роки тому +1

    Nakukubali kamanda

  • @rshidmwasa8493
    @rshidmwasa8493 4 роки тому

    Safi saaaana wazee,,tumewasoma maana hao washenzi wanaturudisha nyuma sana

  • @user-un3df1sl2h
    @user-un3df1sl2h 3 роки тому

    Asanteni polisi kwa kazi zuri

  • @sadadololi4545
    @sadadololi4545 4 роки тому +6

    Mungu mkubwa 👏👏🙏🙏🙏

  • @shabansamwi9891
    @shabansamwi9891 4 роки тому

    mnajitahidi sana ck hiz arusha arusha ilikuwa mbay sana hap nyuma walisha fanya ni kichaka chao cha kujificha

  • @grandmaempiresecret
    @grandmaempiresecret 4 роки тому

    Hongereni Sana ,jeshi la police📢📢📢

  • @user-ui1qs9yl1n
    @user-ui1qs9yl1n 3 місяці тому

    shikamoo mzee hiyo ni noma

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 4 роки тому

    SAFI SANA MAKAMANDA KAZI NZURI BIG UP

  • @joycesagga8131
    @joycesagga8131 4 роки тому +3

    Nmeipenda barakoa ya kamanda

  • @mwaswa1899
    @mwaswa1899 4 роки тому

    Hongereni askali wetu ,tunaomba serikali iwapatie siraha za kisasa

  • @rukiamohammed5031
    @rukiamohammed5031 4 роки тому +1

    Daah hiyo chainiz mwisho wa ck itakuwa spinachi 😂hongeren sn jeshi la police mungu ibarik tz mungu ibariki Africa hiyo barakoa mkuu wa mkoa ni kibakuli au plastiki 😂

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 3 роки тому

    Mkasi wanaita shikamoo mzeee 1🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @meshacktimoth1370
    @meshacktimoth1370 4 роки тому

    Kazi njema nchi yetu tunailinda wenyewe . Hongera sana Askari wetu

  • @furahamwatwinza9560
    @furahamwatwinza9560 4 роки тому

    Safi sana,

  • @saitotisaitoti6734
    @saitotisaitoti6734 4 роки тому +7

    Mganga alijifanya kinjekitile ngwale,🤣🤣

  • @filbertmushi548
    @filbertmushi548 4 роки тому

    Hongereni makamanda

  • @ayunramadhan3104
    @ayunramadhan3104 4 роки тому

    🙌🙌🙌shikamoo mzee hahaaaaa

  • @oswardosward2019
    @oswardosward2019 4 роки тому

    Safi sana Askari

  • @esterjackson4387
    @esterjackson4387 4 роки тому

    Hongeren sana jesh LA polis

  • @lucyathumani3247
    @lucyathumani3247 4 роки тому

    Hongereni sana jeshi la police mungu awalinde sana

  • @levinamwaila7847
    @levinamwaila7847 4 роки тому

    Good job 🇹🇿 snipers

  • @pascalmstaarabu4372
    @pascalmstaarabu4372 4 роки тому +1

    Safi kamandaaaa

  • @JoyceRichard-qo4gn
    @JoyceRichard-qo4gn 8 днів тому

    Ongereni sana mapolisi kwakazi zuli ila wanatakiwa kuwawa kwasababu iwefuzo kwa wezi wengine

  • @abasanjayusufu7266
    @abasanjayusufu7266 4 роки тому +2

    Et inaitwa shikamoh mzee hahahahhah

  • @UzalendoNaUtu
    @UzalendoNaUtu 4 роки тому

    Mzee baba kasema hata RPG itatumika 😂😂😂 na hata zaidi ya hiyo duuuh, hahah nmecheka sana. Kweli wangekutana na ambushi moja hatari ni vita muraaa

  • @happyidama5836
    @happyidama5836 4 роки тому +11

    1

  • @frolamazimba465
    @frolamazimba465 4 роки тому +4

    Police fanyeni Kazi vizuri sana

  • @salumumambosasa7446
    @salumumambosasa7446 4 роки тому +15

    Hao majambazi wana roho ya chuma nini? Watu tunaangaika na corona wao wanatuletea majanga mengine

    • @d.a.t3383
      @d.a.t3383 4 роки тому

      Hawaogopi wako hospital ss akiwekwa na mgonjwa wa corona si kajitakia

    • @samiraali5505
      @samiraali5505 4 роки тому

      Hapo sasa

    • @didakassim8666
      @didakassim8666 4 роки тому

      Nandio mana wakaitwa majambazi mana hapo imani ata hawanayo wanajali kaziyao

  • @albertchamafwa9368
    @albertchamafwa9368 4 роки тому

    Hongera jeshi letu

  • @youngyayoo2805
    @youngyayoo2805 4 роки тому +2

    😂😂 eti inaitwa shikamoo mxee

  • @neemasanga3283
    @neemasanga3283 4 роки тому

    Hawatakiwi kutoka hao, wapotelee huko, hongereni sana jeshi la police kwa Kazi nzuri

  • @maryamabdallah3140
    @maryamabdallah3140 4 роки тому +1

    Mh. Mkuu wa mkoa...barakoa yako...mmmh

  • @romanafrancis4870
    @romanafrancis4870 4 роки тому

    Hongereni Ila pia mpitie na huku mitaani vibaka wamezidi kwa wizi

  • @stephanojackson8280
    @stephanojackson8280 4 роки тому +12

    Serikali makini

  • @tausilazaro2989
    @tausilazaro2989 4 роки тому

    Mungu awakumbuke maaskali wetu kwakukamata waaarifu

  • @lemakhalfan8564
    @lemakhalfan8564 4 роки тому

    Safi sana kamanda wetu

  • @joycedarabe6312
    @joycedarabe6312 4 роки тому

    Mungu awape ujasiri na ulinzi jeshi la Tanzania

  • @sitefanomwizarubi1408
    @sitefanomwizarubi1408 4 роки тому +1

    nakukubali sana

  • @leonards7746
    @leonards7746 4 роки тому

    Hongereni jeshi letu

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 4 роки тому +18

    MBONA dawa zenyewe Kama sanitizer .

  • @nestgrammyz9012
    @nestgrammyz9012 4 роки тому +2

    Hahahaha et shikamoo mzee

  • @LOA_school
    @LOA_school 4 роки тому

    mganga alikua anapunga madawa kwa mkono jamaa wakalamba vidole hahahaha

  • @benjamadongo
    @benjamadongo 4 роки тому

    Safi sana JESHI LA POLIS

  • @mamakite8506
    @mamakite8506 4 роки тому +1

    Mganga we msenge

  • @devothafredrick3911
    @devothafredrick3911 4 роки тому

    Hongeren sana kamanda wetu kazi nzuri sana 💪👏👏

  • @arafakiloli749
    @arafakiloli749 4 роки тому +2

    Ngosha kawaingiza jelaaa🤣🤣🤣