🙏👍Hongereni sana Makamanda wetu kwa kujitoa kwa kulinda usalama wetu kiaminifu. Mungu awalinde na maadui na awabariki sn🙏🙏 tunawaombea usalama wa maisha yenu
Hongera sanaaaan makamanda kazi nzuri watu tupo kwenye kwenye maombi ya kuomba toba kwa Mwenyezi Mungu wengine ndiyo kwanza wanazidi kumchafua Mungu tutaponaje jamani charaza bakora za kutosha huyo mganga maana hawa ndiyo wale waganga wakuuwa maalibino pumbavu kabisa 👏👏
Pongezi kubwa kwa askari wetu kwa ujasiri,uzalendo,ukakamavu wote mlio uonyesha kwa pamoja.tupo tayari kufa kwa ajili ya taifa letu....🤝🏿💪🏿🙏🏿⭐⭐⭐hakika nyie ni wazalendo wa kweli..pongezi kwenu na mungu awalinde pia awajaalie ufaham mkubwa wenye maarifa na hisia kali za kumtambua adui.....never give up
Hongereni sana, big up👊🏾 polisi Arusha,Ila Mh mkuu wa mkoa,sio arusha tu ndio iwe salama zaidi kuliko mikoa yote,kila mkoa tuna haki ya kua na usalama wa hali ya juu kwa usawa,big up once again Polisi Arusha.
Waarabu ndio watu pekee wanalaza gar nje na hakunaga kitu mwiz wala jambaz, walala mageti waz wala mshipa hauwadundi Ila Tz bora mtu uwe maskn tyu mpk siku yako ifike ufe kifo ulichoandikiwa 😩
Tanzania hoooyeee nawapenda Sana kutoka serikali hadi ulinzi wataifa angalao Kenya ingeiga wangekua mbali Sana lakini wao wanajaza mmatumbo tu kutoka serikali hadi ulinzi ovyo kabisa Kenya I'm from South Africa more love tz
Daah hiyo chainiz mwisho wa ck itakuwa spinachi 😂hongeren sn jeshi la police mungu ibarik tz mungu ibariki Africa hiyo barakoa mkuu wa mkoa ni kibakuli au plastiki 😂
Hongereni jeshi la polisi kwa kazi mnazofanya. Mungu azidi kuwalinda kwa kazi mnazofanya.🙏🙏🙏🙏
Hahaaaa afande umenifurahisha eti " shikamo mzee na chuma kinaitika" umetisha ,,hongereni sana jeshi la polisi
Hawa jamaa noma had nimempenda rpc bigup police
🙏👍Hongereni sana Makamanda wetu kwa kujitoa kwa kulinda usalama wetu kiaminifu. Mungu awalinde na maadui na awabariki sn🙏🙏 tunawaombea usalama wa maisha yenu
Piga kelele kwa Arusha ake weeeweee!!!!Hongera sana kwa Askari wa A.town.
Hongera sanaaaan makamanda kazi nzuri watu tupo kwenye kwenye maombi ya kuomba toba kwa Mwenyezi Mungu wengine ndiyo kwanza wanazidi kumchafua Mungu tutaponaje jamani charaza bakora za kutosha huyo mganga maana hawa ndiyo wale waganga wakuuwa maalibino pumbavu kabisa 👏👏
Kazi nzur sana police wetu👏🏽mganga kawaingiza town
Happy sindani... Naomba kuzungumza nawe👋
@@mrtoshtosh4714 😂😂
Diamondback
Hawafai kwenye Nchi yetu ya Tz,hongereni jeshi letu
Hongera kwa kazi mliafanya kuwa kukamata wezi hawa bila shida "MUNGU awabariki kwa umri na afya wapolisi wetu". Asanteni sana.
Hiyo ni sanitizer yao 😁😁
Big up sana maaskari👏👏👏👏
Pongezi kubwa kwa askari wetu kwa ujasiri,uzalendo,ukakamavu wote mlio uonyesha kwa pamoja.tupo tayari kufa kwa ajili ya taifa letu....🤝🏿💪🏿🙏🏿⭐⭐⭐hakika nyie ni wazalendo wa kweli..pongezi kwenu na mungu awalinde pia awajaalie ufaham mkubwa wenye maarifa na hisia kali za kumtambua adui.....never give up
Hongera sana jeshi la Polisi kwa kazi nzuri. Mungu awalinde.
Hongereni sana kwa kazi mliyofanya,majambazi hayo yabaki jivu
Hongera kwa majambazi..wanajitafutia..kazi ni kazi bhana.Majambazi ya kalamu hamuyaoni..wapo ofisin wanaibia raia kwa vyeo zao
Pongezi kubwa kwa askari shupavu. Majambazi noma hao wana mkasi unaitwa shikamoo mzee,
😂😂
Hahaaaaa
Big up"saluti kwa kazi nzuri sana mliyo ifanya jeshi la polis namiombea kila la kheli
Hongereni sana, big up👊🏾 polisi Arusha,Ila Mh mkuu wa mkoa,sio arusha tu ndio iwe salama zaidi kuliko mikoa yote,kila mkoa tuna haki ya kua na usalama wa hali ya juu kwa usawa,big up once again Polisi Arusha.
Gari liliwapita kama mshale,,,, ongeren polisi wetu
Issangya hahaaaa
🤣🤣 kwa msisitizo
hongereni jeshi lpolisi poleni nakazi nnzito mungu atwasaidia
Mnafanya kazi nzuri sana,ongereni sana jamani
Hongereni sana hiyo ndio maana ya Ulinzi wa raia na Mali zao, Asanteni sana
Shikamoo Mzee na marahaba ni balaaaa😂😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂
Hongera sana jeshi la polisi Mkoa Arusha,na ni bidii za rais wetu mpendwa ,ktk kuimarisha uzalendo na uwajibikaji ktk kazi
Mungu awalinde polis wetu na ujasiri huo natamani niwe nanyi ila nafasi sina
Barakoa ya mheshimiwa nimeipenda.
Stephano Jackson hunishindi Mimi nilivyoipenda
Sana yani nzuri sana
Ya RC au
@@bjzee1981 ya kamanda
Tanzania Kwanzaa Mengine Baadae JPM Nambari 1
😀😀
Mshana hongera kwa kazi yako unayoifanya Arusha tunakukumbuka mwanza
Shukran kwa kazi nzuri jeshi la Polisi
Safi Sana'a vijana kazi nzuri
Kazi nzuri makamanda
Polisi kweli mnafanya kazi hongera kazi si rahisi mungu hawalinde
Jamn tunaomba wafungwe maisha yao yot, hongeren kwa kaz nzur
Asanteni sana kwa kazi nzuri
Hongereni vyombo vya usalama,wanarudisha maendeleo ya watu nyuma majambazi hao..adhabu kubwa inawapasa,..
Hongereni polisi kwa kazi nzuri
Mbona uyu babu kajiprotect sana kuliko hata wahudumu Wa afya.😂🤣
😂😂😂
😂😂😂😂
Kama kikato cha helmeti
Woga wa maisha huo
🤣🤣🤣ana jijali angalia Afande Masoud Mohamed alivyo tutoka ghafla
Ooh hongereni sana kwa hili 🙌 Nimeipenda Pigeni kazi
Munira mamb vp
Kazi nzuri
Hongereni sana jeshi la police kwa kazi kubwa mliyoifanya
Kumbe na waganga wanasanitizer za kienyeji ili kukinga risasi😁😂😂
Kazi nzuri sahihi
hongereni kwa kazi nzuriiii
Amepata sababu hizo barakoa kuziba uso 🤭😷😄
Kazi nzur mungu aendelee kuwapa nguvu
Nawapenda sn polic wetu kwa kazi nzuri
Waarabu ndio watu pekee wanalaza gar nje na hakunaga kitu mwiz wala jambaz, walala mageti waz wala mshipa hauwadundi
Ila Tz bora mtu uwe maskn tyu mpk siku yako ifike ufe kifo ulichoandikiwa 😩
Sanaaa ndo mana hatufanikiw awaafica
Gongalike kama umesikia sniper wazuri
Dm sniper ni mdunguaji. Hajakosea. Ulidhani kamaanisha sanitazer
@@roseberryhamoud6542 Mwenyewe nimeshangaa like zaombwa kwa kusikia neno sahihi kabisa sniper
R.P.G aliyo itaja hiyo ndo mwisho wa stori hta ndege inageuka jivu sekunde
Safi sana. Ninge waona hao askari ninge wanunulia chai . Ila wange wa rarua rarua badala ya ku wa acha wanapumua
Hongera asikari wetu
Congratulations makamanda!
Kunawatu natakakunihu Julie na angel na alfredy nombo na matrin ni watu baya wanasheliki kunitoa huwahiwangu Richard Alfred ynombo
Huyo mganga mdudu Corona tu amemshinda so wanategemea ndy smg itamkosa.. 🤣🤣🤣
Big up papa
Huu utawala mwingine mzee magu anamungu uchawi haufai saiv huyu baba mtu wa mungu majambazi bora wakalime
Hongera Kamanda
Kamanda Shana umetisha na mask hyo hahaha
Hahaha Shana comedy sana hahah
Tanzania hoooyeee nawapenda Sana kutoka serikali hadi ulinzi wataifa angalao Kenya ingeiga wangekua mbali Sana lakini wao wanajaza mmatumbo tu kutoka serikali hadi ulinzi ovyo kabisa Kenya I'm from South Africa more love tz
Nakukubali kamanda
Safi saaaana wazee,,tumewasoma maana hao washenzi wanaturudisha nyuma sana
Asanteni polisi kwa kazi zuri
Mungu mkubwa 👏👏🙏🙏🙏
mnajitahidi sana ck hiz arusha arusha ilikuwa mbay sana hap nyuma walisha fanya ni kichaka chao cha kujificha
Hongereni Sana ,jeshi la police📢📢📢
shikamoo mzee hiyo ni noma
SAFI SANA MAKAMANDA KAZI NZURI BIG UP
Nmeipenda barakoa ya kamanda
Hongereni askali wetu ,tunaomba serikali iwapatie siraha za kisasa
Daah hiyo chainiz mwisho wa ck itakuwa spinachi 😂hongeren sn jeshi la police mungu ibarik tz mungu ibariki Africa hiyo barakoa mkuu wa mkoa ni kibakuli au plastiki 😂
Mkasi wanaita shikamoo mzeee 1🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kazi njema nchi yetu tunailinda wenyewe . Hongera sana Askari wetu
Safi sana,
Mganga alijifanya kinjekitile ngwale,🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hongereni makamanda
🙌🙌🙌shikamoo mzee hahaaaaa
Safi sana Askari
Hongeren sana jesh LA polis
Hongereni sana jeshi la police mungu awalinde sana
Good job 🇹🇿 snipers
Safi kamandaaaa
Ongereni sana mapolisi kwakazi zuli ila wanatakiwa kuwawa kwasababu iwefuzo kwa wezi wengine
Et inaitwa shikamoh mzee hahahahhah
Mzee baba kasema hata RPG itatumika 😂😂😂 na hata zaidi ya hiyo duuuh, hahah nmecheka sana. Kweli wangekutana na ambushi moja hatari ni vita muraaa
1
Police fanyeni Kazi vizuri sana
Hao majambazi wana roho ya chuma nini? Watu tunaangaika na corona wao wanatuletea majanga mengine
Hawaogopi wako hospital ss akiwekwa na mgonjwa wa corona si kajitakia
Hapo sasa
Nandio mana wakaitwa majambazi mana hapo imani ata hawanayo wanajali kaziyao
Hongera jeshi letu
😂😂 eti inaitwa shikamoo mxee
Hawatakiwi kutoka hao, wapotelee huko, hongereni sana jeshi la police kwa Kazi nzuri
Mh. Mkuu wa mkoa...barakoa yako...mmmh
Hongereni Ila pia mpitie na huku mitaani vibaka wamezidi kwa wizi
Serikali makini
Mungu awakumbuke maaskali wetu kwakukamata waaarifu
Safi sana kamanda wetu
Mungu awape ujasiri na ulinzi jeshi la Tanzania
nakukubali sana
Hongereni jeshi letu
MBONA dawa zenyewe Kama sanitizer .
Umeona eee. Walikuwa wanajikinga na korona pia
Itakuwa wameweka kwa bbo ya sanitize
😂😂😂😂😂mwaka wa Mambo huu kumuomba tu mungu atujalie uzima tuzidi kuyaona
😃😃😃😃jmn
Hahaaaa Vibe
Hahahaha et shikamoo mzee
mganga alikua anapunga madawa kwa mkono jamaa wakalamba vidole hahahaha
Safi sana JESHI LA POLIS
Mganga we msenge
Hongeren sana kamanda wetu kazi nzuri sana 💪👏👏
Ngosha kawaingiza jelaaa🤣🤣🤣