Це відео не доступне.
Перепрошуємо.

MOTO WA JWTZ KWA MAJAMBAZI PORINI KIGOMA WAKIJIWEKA FRESH NA MAZOEZI, RISASI ZAPIGWA JUU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 тра 2021
  • Hili ni zoezi la vizuizi barabarani lilokua linafanywa na Jeshi la Wananchi JWTZ Mkoa wa Kigoma Kutafatuta wahalifu.
    Wanajeshi hawa walikua kwenye mazoezi ya kijeshi yaitwayo Excise masika katika Pori la makere Wilayani kasulu mkoani kigoma ambapo pia walitumia muda huo kutoa funzo kwa madereva kutopakia watu ambao wanawakuta porini na sio kwenye vituo Maalumu.

КОМЕНТАРІ • 874

  • @zotempyaonline8485
    @zotempyaonline8485 3 роки тому +672

    Waliokuja kucheki video wakizani Ni majambazi kweli like apa twende sawa.. 🤣 1k zinatosha

  • @alextzmmary5121
    @alextzmmary5121 3 роки тому +81

    Wengi wenu mnaandika tuuu, ila kilichotokea ni kuwa hawa waliofanywa kama majambazi ni wanajeshi wenzao😍😍😍😍😍 wanafanya hivyo kuwapa funzo

  • @omarsirleem7105
    @omarsirleem7105 2 роки тому +16

    😂😂😂😂🇰🇪 Kenyans should copy these kind of exercises......yaani zoezi kama hili Kenya halijawai fanywa,big up sana JWTZ

  • @ronaldsariah8760
    @ronaldsariah8760 3 роки тому +4

    Hongera sana. Mazoezi kama haya ni safi. Kuna siku katikati ya zoezi mtakamata vitu vya kweli. Nawapongeza sana

  • @husseinsalimmaula4254
    @husseinsalimmaula4254 3 роки тому +3

    Kazi nzuri sana JWTZ ni kweli wahalifu wanaishi pamoja na sisi pengine ni watu wa karibu kabisa lakini ni wahalifu.

  • @mohdbornyoung5061
    @mohdbornyoung5061 3 роки тому +9

    Pongezi kwa kazi nzuri wanajeshi watanzani nikiwa kenya

  • @arqamibnarqam.7185
    @arqamibnarqam.7185 3 роки тому +2

    Elimu nzuri Sana,Hongera kwa jeshi letu.

  • @zynabomary4774
    @zynabomary4774 3 роки тому +10

    This is our lovely Tanzanians.... Najivunia jeshi langu.... Salute.

  • @drjbmsige4098
    @drjbmsige4098 3 роки тому +40

    kama umejamba kama mimi uliposikia aaaaa anakombati ya jeshi huyu.. mikono juu😅😅😅😅

    • @hasnajuma5567
      @hasnajuma5567 3 роки тому

      🤣🤣🤣😂😂😂🤌🤌

    • @shambaiddi4984
      @shambaiddi4984 3 роки тому

      Hivi ndiyo tunatakaa tanzania iwe kusiwee na watu wanaofikiria wanawezaa kuletaa tabiaa za kutakaa kutuchafuliaa nchi yetu ya amaani kwa kushirikiaanaa na watu wa nchi za jirani kuletaa ujambazi kutaka kutuharibiaa nchi yetu iliyojaaa upendo na amaani Lazima tulinde nchi yetu kwa mfano huu kuwa watanzaniaa tuko makinii

    • @shambaiddi4984
      @shambaiddi4984 3 роки тому +1

      Hiii ni kuonyeshaa kuwaa tunawezaakutafanyaa mambo yote Tukiwaaa na uzalendo wa kuipendaa nchi basi hili tu ni heshimaa kwa taifaa

    • @shambaiddi4984
      @shambaiddi4984 3 роки тому +2

      Serikali yetu na nchi yetu kazi iyendeleee heshimaa kwa jamuhuri ya muungano wa tanzaniaa

    • @severindamian9233
      @severindamian9233 3 роки тому

      Hahaha

  • @samuelleonse9398
    @samuelleonse9398 2 роки тому

    Mnafanya kazi nzuri kuelimisha jamii Yesu awaongoze salama.Ingekua vizuri kuakikisha Kila basi Lina lindwa na Wana jeshi Wawili mpaka 3 wawe wa navaanguo za kilaiya. Kwaajili ya kulinda Wana nchi.katika safari Yao,hili ikitokea vurugu yoyote
    ndani ya basi au katika sehemu yoyote update kudhibitiwa na kuwachukulua atua mala moja.! lakini Mungu awe namba Moja! Iyo itasaidia sana.

  • @manuelamahwera6090
    @manuelamahwera6090 3 роки тому +5

    Kazi nzuri saaana maana watu wamekuwa waaharifu saaana siku hizi. Kwa zoezi hili lingefanyika mara kwa mara mikowani piya ili kuwapunguza. It was a good thriller and well acted👏👏. One love From London

  • @leiratykisura6718
    @leiratykisura6718 3 роки тому +6

    👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏🥰🥰aisee nimependa wanajeshi warivokuwa wabunifu hongera zao mung awabariki na hawarinde na kila shar muirinde tz yetu🇹🇿🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥

  • @feristherrenatus608
    @feristherrenatus608 2 роки тому

    Aah hongereni kwa kazi nzuriii na inayotufurahisha na sisi tunaowatazama🤝🤝🤝

  • @jaminussanga3031
    @jaminussanga3031 3 роки тому +1

    Jeshi letu liko vizuri ni hatari ukitaka lidipu kwa kwa ugaidi ama kwa uhalifu ndipo utajione waulize wa kibiti walilidipu walikiona cha moto, MUNGU IBARIKI NCHI YETU MUNGU YABARIKI MAJESHI YETU AMEN.

  • @kibwanambelwa3268
    @kibwanambelwa3268 2 роки тому

    hongereni sana wazee wa kazi nawakubali sana Mungu awatangulie katika kilinda na kutetea Taifa letu na sisi wanachi atusaidie kuwataja waarifu

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 6 місяців тому +3

    Congratulations jwtz❤️🇹🇿💪💪

  • @RebekaNkoma-qd8fp
    @RebekaNkoma-qd8fp Рік тому +1

    Tunashukuru Sana kwa umakini wa askar wetu mungu awatie nguvu Amina.

  • @mr.tabasamumedia9740
    @mr.tabasamumedia9740 Рік тому +3

    Naamini sana jeshi langu la Tanzania 🇹🇿🔥🔥❤️

  • @frankub8107
    @frankub8107 2 роки тому

    Safi sana from Burundi 🇧🇮, hapo bahati mbaya uko abiriya umekuwa umesafirisha bunduki, yani ndo utaamini kwamba umekwisha🤗🤗🤗

  • @rwandaafrika6173
    @rwandaafrika6173 3 роки тому +2

    Kazi njema jameni nawatakiya Wanajeshi wetu kazi nzuri kuilida Inchi yetu ni njambo njema

  • @mwinukafundibombanjombe
    @mwinukafundibombanjombe 3 роки тому +3

    So cool and best way to remind our mindset

  • @kambiyusuf1329
    @kambiyusuf1329 3 роки тому +7

    Big up xn kwa makamanda we2 wa jwtz. Zoezi nilikua "mswano" (zuri)

  • @jamilasalum5236
    @jamilasalum5236 3 роки тому +22

    Iko poa sana ila kwa Mimi mfano ningekuwepo kwenye hilo gar saa hii Nina drip ya saba ,,maana si kwa kushuka presha

  • @ktvofficial.2693
    @ktvofficial.2693 2 роки тому +1

    Every educative great job

  • @herimwanyenza4103
    @herimwanyenza4103 3 роки тому +7

    Hilo zoezi la Mafunzo kwa Vitendo Nimelikubali,Nimeli pigia SALUTE

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 3 роки тому +18

    This is a very good example in our security system especially on the public transportation,job well done JKT🇹🇿👏👏👏

    • @lilianjustin9743
      @lilianjustin9743 3 роки тому +1

      Misaivi ningekuwa mbinguni kwa Baba

    • @f.a6043
      @f.a6043 2 роки тому +2

      Yeah! 👍🏿 You've spoken well but I would like to remain you that
      this is JWTZ not JKT

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda7769 3 роки тому

    Kazi nzuri sana...big up

  • @geeva99
    @geeva99 3 роки тому +18

    Kumbe hii ni demo tu, kweli show kali ikiwa halisi 🔥🔥🔥

  • @thomasgogomoka6404
    @thomasgogomoka6404 Рік тому +1

    Well Done JwTZ adui atambue Jeshi la wananchi liko makini.

  • @salunyanda5448
    @salunyanda5448 3 роки тому +2

    Ni habari njema nimeifurahia ni kweli kunawakati tunajisahau, hongera AYO kwa kufikisha ujumbe,
    By Salum

  • @ummuhafswa8980
    @ummuhafswa8980 Рік тому +1

    Nimeipenda duh..!!

  • @mwitachacha6954
    @mwitachacha6954 Рік тому +1

    Mungu awabariki kazi zur

  • @tumainimnzava320
    @tumainimnzava320 3 роки тому +4

    Abiria wetu wanawaza kufika tu! Bila kujua walioko ndani dah! Hii poa sana kwa jeshi la Tz

  • @AlAl-sd9pl
    @AlAl-sd9pl 3 роки тому +1

    Manshalah mungu azid kuwapa uweled

  • @frederickfredepsywakilongo6941
    @frederickfredepsywakilongo6941 3 роки тому

    kazi njema kwa jeshi letu la taïga💖💖💖jwtz

  • @idrisaramadhani2022
    @idrisaramadhani2022 Рік тому

    Vizuri Sana Asante kesho ra kigoma

  • @josephemmanuel3175
    @josephemmanuel3175 3 роки тому +3

    Happy afadhali iwe hvo hvo demo ikiwa halisi wahesabu r.i.p

  • @pyuritjuvenal7657
    @pyuritjuvenal7657 3 роки тому +1

    Wako vizury good job💃

  • @bellam.vyampi5528
    @bellam.vyampi5528 3 роки тому +4

    Nimeipenda hii

  • @andrewpetro6159
    @andrewpetro6159 2 роки тому

    Thanks 💰

  • @isaiahisaac7240
    @isaiahisaac7240 Рік тому +1

    Big Up sanaa

  • @exaudmbuya9306
    @exaudmbuya9306 2 роки тому

    Nawapa
    Big up kwa Sana ndio makamanda wetu

  • @agnesslucas4744
    @agnesslucas4744 2 роки тому

    Kazi mzuriii Sana wanajeshi ogereni

  • @rifathoola8654
    @rifathoola8654 3 роки тому

    Hilo ni zoezi zuri nawapongeza lakin wasikomee apo wafanye sehemu zote ili vitendo vya kialifu visiwepo pia mtakapo fanya zoezi ili maeneo mengine msitangaze hadharani kwani app adui anapata njia nyingine ya kufanya!, Ahsanteni.

  • @cathbertshetui8055
    @cathbertshetui8055 3 роки тому

    I like it....

  • @nyekingobwire6327
    @nyekingobwire6327 3 роки тому +2

    Safi sana kwa mafunzo mazuri hongereni Kaka zetu nazani dereva kondakta wamejifunza

  • @vicentmakala4428
    @vicentmakala4428 3 роки тому

    So great😎😃

  • @hamisigazza2838
    @hamisigazza2838 3 роки тому

    Safi sana sema umakini unatakiwa kwa kila mmoja kuanzia kwa wenye magari na abiria wenyewe pia...

  • @NdosiLazaro-fs2ve
    @NdosiLazaro-fs2ve Рік тому +1

    Apo sawa

  • @filaretoskimaro3959
    @filaretoskimaro3959 3 роки тому +1

    Ili ni funzo nzuri sana,lazima madeva wawe makini saa zote na abiria wanaowapakia,wasiangalie tu pesa,na pindi watamhisi mtu yeyote watoe taarifa kwa wanausalama walio karibu.

  • @seifmohamed4893
    @seifmohamed4893 Рік тому

    Mungu watie nguvu JWTZ uwape maisha marefu yenye amani na neema tele ameen

  • @mtaitamtaita3834
    @mtaitamtaita3834 2 роки тому

    Kazi mzur san....n elimu kubwa san imetolewa hpo pongz ndug zang

  • @user-hf7og1pk9z
    @user-hf7og1pk9z 9 місяців тому

    Nzur xan iy

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 роки тому

    Ahsanteni jeshi mnafanya kazini vizuri

  • @GeorigeTibeijuka-dp9jq
    @GeorigeTibeijuka-dp9jq 9 місяців тому

    Interesting

  • @villanybenson3005
    @villanybenson3005 Рік тому +1

    Kazi nzur sana JWT

  • @alyasaluum1850
    @alyasaluum1850 2 роки тому

    Yeah nimependa sana kwa hili somo

  • @abdalakombo1595
    @abdalakombo1595 2 роки тому

    Ni nzuri sana zoezi hili

  • @fredynyandoro4266
    @fredynyandoro4266 3 роки тому +2

    Safi sana wapiganaji wetu

  • @jamesmutisyamuthiani6478
    @jamesmutisyamuthiani6478 2 роки тому

    Wow!let us have learned a lesson

  • @happysanga6595
    @happysanga6595 3 роки тому +1

    Nimependezewa na kusachi Kwan ndani ya mchezo unaweza kueabaini na najambazi mungu ibariki tz

  • @charleskamili4074
    @charleskamili4074 3 роки тому +5

    Wamewapotezea muda tu uwezi fanya mazoezi ya kijeshi kwa abilia kuna baadhi ya abilia wana presura kwa hizi pigo wanaweza wapoteza kizembe

    • @abdulyabubakar6247
      @abdulyabubakar6247 3 роки тому

      Na ingetokea vita je bado ungesema watu wana presha

    • @charleskamili4074
      @charleskamili4074 3 роки тому

      Jaribu kutofautisha wakati wa tatizo na wakati usio wa tatizo

    • @hassanmassaga2476
      @hassanmassaga2476 3 роки тому

      😆😆🙌kwani presura yenyewe inasemaje😆😆

    • @kabelwasalim6305
      @kabelwasalim6305 3 місяці тому

      Acha ujinga kwenye vitu vya msingi

  • @mweyoms5548
    @mweyoms5548 Рік тому

    Saluuuuuuuuuuuute to you JWTZ.Wale wahuni wa M23 wanaujua moto huu.Big up sana.

  • @abdulsefu4009
    @abdulsefu4009 Рік тому

    Hongera JWTZ kwa Nazi nzuri

  • @ummimohammed9359
    @ummimohammed9359 3 роки тому

    nzuri sana na iwe inafanyika kweli marakwamara

  • @mcsongea3765
    @mcsongea3765 2 роки тому

    Nice one

  • @stevenmhina7222
    @stevenmhina7222 3 роки тому +24

    Kwa kiasi flani sawa, tusipakie watu kwenye mapori. But Hii alert technic ya mafunzo ya tahadhali siyo nzuri sana, watu wanaweza kudhurika bila hatia. Kumbuka kuna watoto na wamama, pengine na wagonjwa mle kwenye basi, wamezingatia vipi afya zao katika kutekeleza hilo zoezi. Pia wanataka kutuambia, makondakta wawe wanakagua mabag ya abiria. Nashauri wangetoa mafunzo kwa wahusika maeneo maalum ya kazi na vituoni. Hizo operation zifanyike ktk uhalisia wake wakiwa na target info.. Siyo kwa lengo kama hilo la kuelimisha.

    • @fundikiraomary7111
      @fundikiraomary7111 2 роки тому

      Unaakili sana.
      Mi nimekuelewa🤜

    • @victorjames3730
      @victorjames3730 2 роки тому +1

      Hiyo hufanyika duniani kote mzee sio Tanzania tuu

    • @edirana5420
      @edirana5420 2 роки тому +1

      Nikwel kitendo hiki hakikuwa kizur kwa watu wote wanawez kuuwa kwa mshtuko afu jukumu anabeba nani

    • @elynego1654
      @elynego1654 2 роки тому

      Kula 5 umetisha sna

    • @hamidamer8849
      @hamidamer8849 2 роки тому

      @@edirana5420 utabeba ww apo

  • @user-gf9ej9nd8m
    @user-gf9ej9nd8m 7 місяців тому

    Ongeren sana ktk ayo mazoezi

  • @jimmymasika8836
    @jimmymasika8836 3 роки тому +14

    Mungu atulindie nchi yetu iwe na amani siku zote hii mirindimo ya risasi isijekutokea nchi yetu pendwa ya Tz

  • @mohammedhaji7382
    @mohammedhaji7382 2 роки тому

    Hongereni,kwa zoezi

  • @maxwellezekiel4796
    @maxwellezekiel4796 3 роки тому

    Big up sana maafande

  • @kitaaofficial4119
    @kitaaofficial4119 3 роки тому +20

    Wengekuwa Wahalifu kweli JWTZ Wangeanza na Mabuti apo apo🔥

  • @Kretusmyamba
    @Kretusmyamba 7 місяців тому

    Hiyo nimeipenda sana

  • @aminashaban2363
    @aminashaban2363 2 роки тому

    Nimeipenda bulee I love youu

  • @ZainabSuleiman-ti2wt
    @ZainabSuleiman-ti2wt 6 місяців тому

    Hongereni kwa mazoezi

  • @agnesodipo1265
    @agnesodipo1265 2 роки тому

    Nimependezwa na mafunzo hayo it shows us how we are supposed to be kin with whom you pick on the road

  • @daudichristopher9460
    @daudichristopher9460 2 роки тому

    Jambo jema Sana mungu azidi kuwalinda walinzi wa taifa letu

  • @onlyjesus7831
    @onlyjesus7831 3 роки тому +27

    Dah!!!hawa jamaa ni hatarii huu ndo uzalendo tunao hitaji ndani ya nchi yeti
    MUNGU IBARIKI TANZANIA

  • @theresiatemu2756
    @theresiatemu2756 3 роки тому +1

    fantastic

  • @user-tu4sx5jj3g
    @user-tu4sx5jj3g 7 місяців тому

    Kwakweli Mimi nawashukuru sana tenasana kwajeshi lataifa kuchukua maamuzi yaulinzi barbrani kasababu watu hawataki kufanya kazi wao nikuwawinda binaadam wenzao kwanzi haowanao kamatwa nasiraha porini niwauwaji hao nikuwamalizatu nandio kukomesha ujambazi aina haja kuwapeleka polisi maoniyangu nihayo

  • @patrinussanga6316
    @patrinussanga6316 2 роки тому

    Kazi nzuri

  • @user-ex3gd6vu7h
    @user-ex3gd6vu7h Рік тому +1

    Hongera kwa jwtz

  • @fridaymorand6650
    @fridaymorand6650 2 роки тому

    Big up

  • @elmanichombe7198
    @elmanichombe7198 Рік тому +1

    Safi ssna

  • @kidulaiyombe4735
    @kidulaiyombe4735 3 роки тому

    Safi san dah kweli jw mpo juu

  • @user-wj8ld4hq9c
    @user-wj8ld4hq9c 9 місяців тому +1

    Mmekosea Kama wahasi wangejiripua na warinda amani wetu msioneshe mricho jifundisha
    Saruti kwenu wakuu

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 роки тому +1

    Subhannallah, mtihani

  • @eunicebukokhe6805
    @eunicebukokhe6805 2 роки тому

    Kazi nzuri hiyo

  • @kingomasta1220
    @kingomasta1220 2 роки тому

    Kazi zurr lakini kwa nn mazoezi hayo wawe wana fanya kimya kimya kuliko kulusha mtandaon hv wakajuwa mbinu mahaduh

  • @ManaseMwalukisa-fb3tq
    @ManaseMwalukisa-fb3tq 8 місяців тому

    👍 nice

  • @jacksonjacksonjohn3134
    @jacksonjacksonjohn3134 2 роки тому

    Nimeipenda san hii

  • @mirajijuma9922
    @mirajijuma9922 3 роки тому

    Dahhhh,ninawakubali sana wanajeshi wetu aise

  • @raphaelmwamakimbula9642
    @raphaelmwamakimbula9642 2 роки тому

    Nzuri sana na ni hakika!

  • @fabianndimanya2055
    @fabianndimanya2055 3 роки тому +35

    Bora nikavamie mzinga wa nyuki mchana sio hawa jamaa🤣🤣🤣🤣🤣

  • @endrupeter2989
    @endrupeter2989 Рік тому

    kazi nzuli sana

  • @amosjuma4536
    @amosjuma4536 2 роки тому

    Nimekubali

  • @malopemaliyamungu5243
    @malopemaliyamungu5243 3 роки тому +2

    Haja ndogo ikipita halafu uambiwe ni zoezi sio kweli utajiona fala sana

  • @amosgerald7763
    @amosgerald7763 3 роки тому

    Hongereni sana

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 3 роки тому +33

    Iwe halisia na endelevu kwa kushtukiza. Mingu tubariki watoto wa Tz

  • @simbamukandatsama2260
    @simbamukandatsama2260 3 роки тому

    Yes do it guys