Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
MOTO WA JWTZ KWA MAJAMBAZI PORINI KIGOMA WAKIJIWEKA FRESH NA MAZOEZI, RISASI ZAPIGWA JUU
Вставка
- Опубліковано 5 тра 2021
- Hili ni zoezi la vizuizi barabarani lilokua linafanywa na Jeshi la Wananchi JWTZ Mkoa wa Kigoma Kutafatuta wahalifu.
Wanajeshi hawa walikua kwenye mazoezi ya kijeshi yaitwayo Excise masika katika Pori la makere Wilayani kasulu mkoani kigoma ambapo pia walitumia muda huo kutoa funzo kwa madereva kutopakia watu ambao wanawakuta porini na sio kwenye vituo Maalumu.
Waliokuja kucheki video wakizani Ni majambazi kweli like apa twende sawa.. 🤣 1k zinatosha
Yani hapo tulio juwa kama nijalibio ni wa chache sana wengi wana juwa nitukio lenye uhalisia kumbe ni wao kwa wao
Yani nimepatikana🙆🙆
Ningekuwa kwenyeiyo bas uharoungetoka full
Maboya sana hawa
Duuuu! Me mwenyewe nimerowa nimeangalia Mara mbilimbili 🙆
Wengi wenu mnaandika tuuu, ila kilichotokea ni kuwa hawa waliofanywa kama majambazi ni wanajeshi wenzao😍😍😍😍😍 wanafanya hivyo kuwapa funzo
afadhali umelielewa hilo
Yes
Rm.
Mko sawa Sasa kazi iendelee
Kwani nani hajaelewa mzee?
😂😂😂😂🇰🇪 Kenyans should copy these kind of exercises......yaani zoezi kama hili Kenya halijawai fanywa,big up sana JWTZ
Masallaah
Hongera sana. Mazoezi kama haya ni safi. Kuna siku katikati ya zoezi mtakamata vitu vya kweli. Nawapongeza sana
Kazi nzuri sana JWTZ ni kweli wahalifu wanaishi pamoja na sisi pengine ni watu wa karibu kabisa lakini ni wahalifu.
Pongezi kwa kazi nzuri wanajeshi watanzani nikiwa kenya
Elimu nzuri Sana,Hongera kwa jeshi letu.
This is our lovely Tanzanians.... Najivunia jeshi langu.... Salute.
I love you mom
Upuzi huyu
Jeshi ya konyo
Abayosa tahay
kama umejamba kama mimi uliposikia aaaaa anakombati ya jeshi huyu.. mikono juu😅😅😅😅
🤣🤣🤣😂😂😂🤌🤌
Hivi ndiyo tunatakaa tanzania iwe kusiwee na watu wanaofikiria wanawezaa kuletaa tabiaa za kutakaa kutuchafuliaa nchi yetu ya amaani kwa kushirikiaanaa na watu wa nchi za jirani kuletaa ujambazi kutaka kutuharibiaa nchi yetu iliyojaaa upendo na amaani Lazima tulinde nchi yetu kwa mfano huu kuwa watanzaniaa tuko makinii
Hiii ni kuonyeshaa kuwaa tunawezaakutafanyaa mambo yote Tukiwaaa na uzalendo wa kuipendaa nchi basi hili tu ni heshimaa kwa taifaa
Serikali yetu na nchi yetu kazi iyendeleee heshimaa kwa jamuhuri ya muungano wa tanzaniaa
Hahaha
Mnafanya kazi nzuri kuelimisha jamii Yesu awaongoze salama.Ingekua vizuri kuakikisha Kila basi Lina lindwa na Wana jeshi Wawili mpaka 3 wawe wa navaanguo za kilaiya. Kwaajili ya kulinda Wana nchi.katika safari Yao,hili ikitokea vurugu yoyote
ndani ya basi au katika sehemu yoyote update kudhibitiwa na kuwachukulua atua mala moja.! lakini Mungu awe namba Moja! Iyo itasaidia sana.
Kazi nzuri saaana maana watu wamekuwa waaharifu saaana siku hizi. Kwa zoezi hili lingefanyika mara kwa mara mikowani piya ili kuwapunguza. It was a good thriller and well acted👏👏. One love From London
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏🥰🥰aisee nimependa wanajeshi warivokuwa wabunifu hongera zao mung awabariki na hawarinde na kila shar muirinde tz yetu🇹🇿🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥
Kunawatu walijikojolea
Hii nimeipenda kazi mzuri sana
Aah hongereni kwa kazi nzuriii na inayotufurahisha na sisi tunaowatazama🤝🤝🤝
Jeshi letu liko vizuri ni hatari ukitaka lidipu kwa kwa ugaidi ama kwa uhalifu ndipo utajione waulize wa kibiti walilidipu walikiona cha moto, MUNGU IBARIKI NCHI YETU MUNGU YABARIKI MAJESHI YETU AMEN.
hongereni sana wazee wa kazi nawakubali sana Mungu awatangulie katika kilinda na kutetea Taifa letu na sisi wanachi atusaidie kuwataja waarifu
Congratulations jwtz❤️🇹🇿💪💪
Tunashukuru Sana kwa umakini wa askar wetu mungu awatie nguvu Amina.
Naamini sana jeshi langu la Tanzania 🇹🇿🔥🔥❤️
Safi sana from Burundi 🇧🇮, hapo bahati mbaya uko abiriya umekuwa umesafirisha bunduki, yani ndo utaamini kwamba umekwisha🤗🤗🤗
Kazi njema jameni nawatakiya Wanajeshi wetu kazi nzuri kuilida Inchi yetu ni njambo njema
So cool and best way to remind our mindset
Huro zoez saf sana
Big up xn kwa makamanda we2 wa jwtz. Zoezi nilikua "mswano" (zuri)
Iko poa sana ila kwa Mimi mfano ningekuwepo kwenye hilo gar saa hii Nina drip ya saba ,,maana si kwa kushuka presha
🤣🤣🤣
🤣🤣
Kunawatu walikojoa kabsa 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣
Every educative great job
Hilo zoezi la Mafunzo kwa Vitendo Nimelikubali,Nimeli pigia SALUTE
This is a very good example in our security system especially on the public transportation,job well done JKT🇹🇿👏👏👏
Misaivi ningekuwa mbinguni kwa Baba
Yeah! 👍🏿 You've spoken well but I would like to remain you that
this is JWTZ not JKT
Kazi nzuri sana...big up
Kumbe hii ni demo tu, kweli show kali ikiwa halisi 🔥🔥🔥
We atali n,nyaitakutoka😀
Hamna show yyte wanaajifunza kulinda amani ila sio vita halisi
waache kupoteza muda waje uku mtwar mpakani kuongeza nguvu
Well Done JwTZ adui atambue Jeshi la wananchi liko makini.
Ni habari njema nimeifurahia ni kweli kunawakati tunajisahau, hongera AYO kwa kufikisha ujumbe,
By Salum
Nimeipenda duh..!!
Mungu awabariki kazi zur
Abiria wetu wanawaza kufika tu! Bila kujua walioko ndani dah! Hii poa sana kwa jeshi la Tz
Manshalah mungu azid kuwapa uweled
kazi njema kwa jeshi letu la taïga💖💖💖jwtz
Vizuri Sana Asante kesho ra kigoma
Happy afadhali iwe hvo hvo demo ikiwa halisi wahesabu r.i.p
Wako vizury good job💃
Nimeipenda hii
Thanks 💰
Big Up sanaa
Nawapa
Big up kwa Sana ndio makamanda wetu
Kazi mzuriii Sana wanajeshi ogereni
Hilo ni zoezi zuri nawapongeza lakin wasikomee apo wafanye sehemu zote ili vitendo vya kialifu visiwepo pia mtakapo fanya zoezi ili maeneo mengine msitangaze hadharani kwani app adui anapata njia nyingine ya kufanya!, Ahsanteni.
I like it....
Safi sana kwa mafunzo mazuri hongereni Kaka zetu nazani dereva kondakta wamejifunza
Mambo vipi
So great😎😃
Safi sana sema umakini unatakiwa kwa kila mmoja kuanzia kwa wenye magari na abiria wenyewe pia...
Apo sawa
Ili ni funzo nzuri sana,lazima madeva wawe makini saa zote na abiria wanaowapakia,wasiangalie tu pesa,na pindi watamhisi mtu yeyote watoe taarifa kwa wanausalama walio karibu.
Mungu watie nguvu JWTZ uwape maisha marefu yenye amani na neema tele ameen
, easy and quick 87t and
Kazi mzur san....n elimu kubwa san imetolewa hpo pongz ndug zang
Nzur xan iy
Ahsanteni jeshi mnafanya kazini vizuri
Interesting
Kazi nzur sana JWT
Yeah nimependa sana kwa hili somo
Ni nzuri sana zoezi hili
Safi sana wapiganaji wetu
Wow!let us have learned a lesson
Nimependezewa na kusachi Kwan ndani ya mchezo unaweza kueabaini na najambazi mungu ibariki tz
Wamewapotezea muda tu uwezi fanya mazoezi ya kijeshi kwa abilia kuna baadhi ya abilia wana presura kwa hizi pigo wanaweza wapoteza kizembe
Na ingetokea vita je bado ungesema watu wana presha
Jaribu kutofautisha wakati wa tatizo na wakati usio wa tatizo
😆😆🙌kwani presura yenyewe inasemaje😆😆
Acha ujinga kwenye vitu vya msingi
Saluuuuuuuuuuuute to you JWTZ.Wale wahuni wa M23 wanaujua moto huu.Big up sana.
Hongera JWTZ kwa Nazi nzuri
nzuri sana na iwe inafanyika kweli marakwamara
Nice one
Kwa kiasi flani sawa, tusipakie watu kwenye mapori. But Hii alert technic ya mafunzo ya tahadhali siyo nzuri sana, watu wanaweza kudhurika bila hatia. Kumbuka kuna watoto na wamama, pengine na wagonjwa mle kwenye basi, wamezingatia vipi afya zao katika kutekeleza hilo zoezi. Pia wanataka kutuambia, makondakta wawe wanakagua mabag ya abiria. Nashauri wangetoa mafunzo kwa wahusika maeneo maalum ya kazi na vituoni. Hizo operation zifanyike ktk uhalisia wake wakiwa na target info.. Siyo kwa lengo kama hilo la kuelimisha.
Unaakili sana.
Mi nimekuelewa🤜
Hiyo hufanyika duniani kote mzee sio Tanzania tuu
Nikwel kitendo hiki hakikuwa kizur kwa watu wote wanawez kuuwa kwa mshtuko afu jukumu anabeba nani
Kula 5 umetisha sna
@@edirana5420 utabeba ww apo
Ongeren sana ktk ayo mazoezi
Mungu atulindie nchi yetu iwe na amani siku zote hii mirindimo ya risasi isijekutokea nchi yetu pendwa ya Tz
My friend we have the RECCE SQUAD hatari kulko hìi
Amin mungu atusadie kwahilo
Acha kuogopa ww mm napenda ickike km ukren
Hongereni,kwa zoezi
Big up sana maafande
Wengekuwa Wahalifu kweli JWTZ Wangeanza na Mabuti apo apo🔥
🤣🤣🤣
Hiyo nimeipenda sana
Nimeipenda bulee I love youu
Hongereni kwa mazoezi
Nimependezwa na mafunzo hayo it shows us how we are supposed to be kin with whom you pick on the road
Jambo jema Sana mungu azidi kuwalinda walinzi wa taifa letu
Dah!!!hawa jamaa ni hatarii huu ndo uzalendo tunao hitaji ndani ya nchi yeti
MUNGU IBARIKI TANZANIA
fantastic
Kwakweli Mimi nawashukuru sana tenasana kwajeshi lataifa kuchukua maamuzi yaulinzi barbrani kasababu watu hawataki kufanya kazi wao nikuwawinda binaadam wenzao kwanzi haowanao kamatwa nasiraha porini niwauwaji hao nikuwamalizatu nandio kukomesha ujambazi aina haja kuwapeleka polisi maoniyangu nihayo
Kazi nzuri
Hongera kwa jwtz
Big up
Safi ssna
Safi san dah kweli jw mpo juu
Mmekosea Kama wahasi wangejiripua na warinda amani wetu msioneshe mricho jifundisha
Saruti kwenu wakuu
Subhannallah, mtihani
Kazi nzuri hiyo
Kazi zurr lakini kwa nn mazoezi hayo wawe wana fanya kimya kimya kuliko kulusha mtandaon hv wakajuwa mbinu mahaduh
👍 nice
Nimeipenda san hii
Dahhhh,ninawakubali sana wanajeshi wetu aise
Nzuri sana na ni hakika!
Bora nikavamie mzinga wa nyuki mchana sio hawa jamaa🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂
😂😂😂😂
😅😅😅Af ww
🤣🤣🤣🤣kosea njia ila co iyo
😂😂😂😂
kazi nzuli sana
Nimekubali
Haja ndogo ikipita halafu uambiwe ni zoezi sio kweli utajiona fala sana
Hongereni sana
Iwe halisia na endelevu kwa kushtukiza. Mingu tubariki watoto wa Tz
Mngewahoji abilia ili tujue wamejifinza nini.
Yes do it guys