Watuhumiwa wa ukahaba walivyoingia kwenye 18 za Kamanda Muroto
Вставка
- Опубліковано 8 жов 2018
- Jeshi la Polisi mkoani Dodoma likiongozwa na Kamanda wake Gilles Muroto limeendelea na Operation maalum ya kukamata wahalifu mbalimbali ambapo limewakamata watuhumiwa 29 wa biashara ya ukahaba wakiwemo wanaume wanaodaiwa kuwanunua pamoja na wamiliki wa maeneo yanayofanyikia biashara hizo.
Kama unamkubali Muroto gonga like 😂😂
uko so mmwwaa
nipe hista tukufollow mama...maana siku mingi sijakuona!..hahahaaa
Musa Richard thank you
+Shodris TV ..so check me on hista..tanzanian 9069.I will follow u back
Kma na wewe ,, mzee wa chabo kwenye comment za watu, Weka like hapa
Waacheni ndo ajila yao
A
Safi sanaaaaa mroto Njoo na iringaaa hapa maana hao ndio wanao tuharibia hata ndoa zetuuu wotee fyeka ndani wakajifunze huko
Pendo Nziku ha ha ha
Asante sana kamanda Muroto kwa kazi unayoifanya pamoja na vijana wako,Mungu awarinde
,,,,,,Ahaaaa 😂😂😂 Daaaah Cheza na Operesheni #Hekaheka Kitaani ukione Cha mtema kuni #Tz 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 mpya....
Kama umeskia angalia kule gonga like tuende sawa
Hhahah ghafla bin vuu umemuona demu wako kwenye hyo list ya hao makahaba
Hahahahaha umenichekesha aisee hapo lazma utatamani uizoom video
Saimation Mabula# unaweza uka review mara mia ukazooom ukamatch na picha za kwenye simu yako picha zake ukampigia simu ukitaka kudhibitisha alllohhhh unaweza ukachanganyikiwa
Hahaaa kummke wallahy
Saimation Mabula# 😅😅😅😅😅😅😅
Saimation Mabula# 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Muroto anavo kuhoji kama vile atakwambia haya Nenda nyumbani kapunzike, kumbe ndo safari ya jela imeiva.
mhaa&hahahahahaaahahaaaaaa
Haaaaaaaa haaaaaaaa
Huyu atakuja kupewa u IGP.
Mudi madebe😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Hhhhhhhhh aiseee yani kweli kabisa unahic km mwisho wa mahojiano atakwambia nimekusamehe usirudie tena eeeeeeenh
😂😂😂😂 punguza mdomo we Dada unakwenda mahakamani sasa hivi😂😂😂😂😂 ulitaka tukukamate saa ngapi😂😂😂😂 Afande Mroto .....hiyo ni #hekaheka yani unakimbia huku na kule😂😂😂😂😂🤗🤗
Nimecheka sana hayo maelezo yake
Hahahaha.nimehurumia wanawake.
George Mafayo hahaha
George Mafayo yani apo punguz mdomo😂😂
@@amiratomankazid4580 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Malaya fyeka
Wapenda vya Bure fyeka
Mashoga fyekelea mbali😂😂
😂😂😂punguza mdomo utakwenda mahakamani sasa hivi 😂😂😂😂😂
hellow
Daah😂😂😂😂😂
Kama umemwonaa dem mzur coment like twende sawaa
HUJATULIA
Kavaa gauni ya kubana😀😀😀
😂😂😂
😀😀😀😀
Jaman nimecheka 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂punguza mdomo dada utaenda mahakaman 😆😆😆😆😆😆😆😆😆
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
hahahahahaha
😀😀😀😀nimecheka sana jamani. "Punguza mdomo dada tutakupeleka mahakamani
😂😂😂😂
Mwili mkubwa mzuri 😂😆😆😜😜 wewe mbona hutumii, Kamanda Mroto harembi, mtanyooka safari hii.
Nawashukuru jeshi la polisi kwa kazi nzuri tuko pamoja
Well done kamanda ukweli mnachapa kazi mnastahili pongezi.
Nampenda MUROTO.ananifuraishaga sana.huyu kamanda.Noma sana ukiingia kwenye18zake lazima uisome number
Kamanda huyo maraya anaekujibu unge mkata kofi hsna adabu
Safi San'a kamanda chapa kazi ivo ndivo inavo takiwa kazi njema
Big up sana Kamanda wa dodoma
hamuwataki mjini waede kijijini au
KAMANDA.. NIMEPENDA SANA ULIVOWAHOJI MHESHIMIWA KAMANDA.😀Jamaa wamejibu kwa kukiri 100%. Yani umemrahisishia Hakimu. Safi sana Kamanda wetu tunakupenda!!!
Good officer nice talk tank you
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣jamani huyu polisi ananiua mbavu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣eti mwili mkubwa
Nimecheka sana ila ni wkt wa kubalika maana maradhi ni mengi lkn pia Allah hakuhalalisha hii kitu kifanyike
Hongera afande,kazi nzuri saana,wapeni shamba na majembe walime zabibu miaka (3)
Good Job officer thank you
Poleni kina dadapoa
😁😁😁😁😁😁😁😁
Nimechka sana nimemuona #JIRANi yangu Aisee...Operation Saka #DadaPoa
😀😀😀😀
😂😂😂😂😂
Mambo ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 polen madada tafuteni kazi mungu yupo pamoja nayii
Afadhaliiii maaana iliylkuwa shida tupu ukipita saa moja2 jioni unayakuta kibao yamejipanga kujidhalilisha2 afadhali jamani Dodoma yetu iwe safiii jmn hongera kwa jeshi la polisi la Dodoma kwa kazi nzuri
Lakini faida Yao ni kwamba wamepunguza ubakaji kwa kiasi Kikubwa na madomo zenge hamtowatendea haki kabisa
Fyekeleeni mbali kamanda, watatuharibia watoto wetu, Safi sana, Njooni msugue hamamu Oman, wengine soon tutamiliki vibanda vyetu kwa kazi halal kabisa na Allah ataibariki kwa sababu tunatafuta kialali kabisa.
kabisa saumu hassan hao ni wavivu wa fikra
wasugue hamam wacha wee hiyo ni busara
😀😀
Fyekelea mbali hao mkuu!Watapata tabu sanaa
Kusugua hamamu ndo kufanya nini naomba unielekeze dada
Nawapongeza polisi kwa kazi nzuri muloifanya
Yaani we Kamanda nakupenda bure huyu ndio mwenye kujua asaidie vipi wananchi wake juu ya uhalifu
Hio ndo kazi askari polisi na sio kupika raia waso na hatia
Dah!!! Jamaa anarudi kupika jera tena!!!
Safi Sana afande MUROTO tunakukubali Sana baba £ndelea kuisafisha Dodoma....
Hongera kamanda watu mnatakiwa kufanya kazi mda was unjanja umepitwa na wakati hili ni jeshi la mzee JPM halitaki mchezo mtakoma...!
Daaah malaya wa dodoma wapo vizuri wanaonekana hawajatumika sana
Huyu afande huwa ananikosha na style zake
ukixikiya polis anae penda kiki ndio uyu Tanzania
halafu katiba ya jamuuli ya muugano wa Tanzania haitakiwi ivyo ww muluto punguza xifa ww
kazi nzuri sana kamanda...
Nakuunga mkona miguu na kichwa kila kitu,viva mroto viva
Wengine sio machangudoa wamewachanganya tu
Kutaka sifa
Omani Oman kamwambie mamako anataka sifa
@@emanuelmlowe6854 ASTAGHAFILULAHI
ASTAGHAFILULAHI
ASTAGHAFILULAHI
KWA MAMA YANGU KUMETOKEA WAPI
SI UNIJIBU MM NILIOCOMENT
SAWA ASANTE 🙏🙏🙏
Kama yupi aliechanganywa? Acha serikal ifanye kazi yake
Kwani unawajua wote hapo?
@@lugendondayanse4910 hahahaaaaaahaaa umenifurahisha aiseee
hahaahahahahaha uyo mtu wa mwisho kiboko kaona bora hamchome mjomba wake kuliko akanyee debe peke yake
Mjomba atakua kashahama kijiji uyu
Haloo huyu jamaa kanichekesha kinyama
Safi sana. Allah awafanyie polisi wetu kwenye operesheni hii
L q
piga kazi kamanda muroto nakukubari sana kwa kazi yako mkuu MUNGU akulinde
Jamani hizo sukari mnazipeleka wapi jamani ukikubaliana nae anafanya na kukuuliza unataka styre gani KHAAAA,Ndio maans MH JPM katuambia tuongeze wake maana hapo kuna visu vingine vimesimama hasa
Hassan Mirambo
itakua vizuri kufanya ivyoo maana wanachofanya hao dada zetu sio poa
MUROTO Mungu anakuona, , atakukaribisha kwake, , mana hufanyi kwa kiki kama baadhi ya wengine. RECEİVE JESUS CHRİST
Vizuri.sana.wakafanye.kazi
Kwanini unaumiza afya za wenzio afu wewe hauvuti😂😂😂
Hao akina dada ndio wanapunguza frustration huko Dodoma. Bila wao watu wangerushana mingumi kila siku bungeni hahaha
Napenda movies zko camanda ata sikumbuki hii sehem yangapi😍😃
Very nice strong leader
Muuza bangi imebd ajichekeshe tu.......hd kamchoma anko wake
😂😂😂😂😂😂
Mwili mkubwa mzuri lkn muhalifu wa madawa ya kulevya kuharibu afya za wenzako
Huyu kamanda kiboko huwa anichekesha sana.anyway good job tho
Elisante Shedrack Nimecheka Mqaka Basi.Mjomba Ake Ndo Anamletea😁😁😁
Hizo KAMATA KAMATA Utakuja Kukutamo Na Wake Zenu Halafu Hapo Ushahid Unakuwa Nn Wale Wanaojiuza
Tupaa jelaaaa
Mroto njoo Geita,wizi wa pikipiki umezidi sana huku
Wish this could also happen in Kenya
Afande msingewaleta kwenye public kabla hawajathibitika kweli ni makahaba, tusiwadhalilishe dada zetu hivyo, wanaume wako wapi? Kwani hao wadada hawakuwa na wanaume?
makoiga mg kweli kabisa wasisahau kua hao ndomama zetu kuwaleta hapo pia niudhalilishaji tosha sio poa
Huu ni udhalilishaji mkubwa sana. Sasa mtu akikutwa hana hatia mbele ya mahakama watamlipa fidia kwa sababu wamemuaibisha
Msijifanye ninyi ndo mnajua sana haki za kibinaadam.
Kuna mtu asiyejua madhara ya Makahaba hapa? au na ninyi ni kazi zenu? Pumbavu wakamatwe na hata kama kuna adhabu ya kuwaua wauliwe tu.
makoiga mg uyu jamaa anatafuta u IGP kwa nguvu sana. Uyu anatakiwa mtu akifika mahakamn ashinde alaf amrudie kwa kes ya udhalilishaj
Nawewe mteja nn
Nilimiss kinoma
hongeren sana jesh lapolice kwakaz nzur hao ndiyo wanatuletea maradh mtaan
kama umecheka maelezo ya muuza bangi like hapo,
Hao madada poa wenyewe😂😂wanaonekana wana hali mbaya. Hivi nani anawanunua🤣🤣🤣
Njooo kwangu
Jaman mtihani kweli Bora kuosha vyombo kwa mtu so kazi hiyo
Ghafula bin gafula unamuona Mke wako au mumeo hahaha huyo mkurya hafaiiiiii
Sawa baba ubarikiwe sana tena sana Mzee wangu
safi sana
Hahahaha 😂kwanini unauza bhangi na wewe hutumii!??
Sukuma ndaniiii
Wachen wasomeshe watoto wao mmeshidwa kurida majabaz vibaka mnashika madada pow askar unachutwabia rais warusu madada pow wafanye kazi yao
Kamanda kazi nzuri
Hivi niulize mwili nao ni wa serikali, hauruhusiwi kujiuza
Ali Ale kama MTU ni waserikali basi ni pamoja na mwili
🤣🤣🤣mwili wa serikali
Kwa hilo nawapongeza sana jeshi is polis
Edson Mwambokela kwani tanzania kuna Shelia ya kukamata wanao jiuza je na wanunuaji wakuapi
Hapa kazi tu,ni wajasiriamali Kama wengine,hakuna changudoa hapa
Vizuri sana asie fanya kazi asile napia mkawapime atakae patikana na ugonja azidishiwe kichapo
Kaz zuri sana mkuu, ila waheshimiwa watapata tabu sana vyakula vyao vinaenda jela,
Mtu papa lake mwenywe, wangewacha tu wanasaidia sana ata ubakaj umepungua sababu ya hao viumbe
aminia
😂😂😂
😂😂😂😂
Chakula cha wa bunge hichoooooo
jackrin aman ha ha
@@goodluckmwangomango1548 kweli
jackline hii serikali nyingine bora ukae kimya wakisema dhibitisha ushahidi unao
@@ayobumwakila6259 watu wana jitafutia lidhk
ixxa mxaki
Mzee hongera sana wanyooosheee
ahsante kamanda Mroto Mungu akutangulie
First to comment gonga like kam unakubli ayo TV
wasiojulikana hamuwaoni jamani
Fanya kazi mkubwa
Hawana kazi ya kufanya hao wanatumia vitega uchumi vyao
kamata wote hii kasia
Very nice
😀😀😀😀punguza mdomo dada utakwenda mahakaman sasa hv...safi sana kamanda kazi kazi mwanzo mwisho ila wachunguzwe wakosaji wafungwe kbs 😀😀😀😀
Me ananikosha hapo anapouliza na kushika mtu bega
😂😂😂😂😂
Jamani wadada wazuri tena mnanguvu kbs , kwanini muuze miili yenu? Ndoo kazi rais iyo yakujidharirisha polen na mkomeshwe tu.
Muroto namkubali sana
Kamata tu haina namna
Waacheni wajiuze selekari wasiwahukumu wadada ao kwani Hakuna namna maana ukifungua biashara hatayakusuka tu unaambiwa ulipie mapato lakitatu unusu kwamwaka sasa tufanyaje wadada nibora kazi iyo yakudanga watuache tutafute kwajasho maana kama nipato walipe wafanyabiashara wakubwa sasa tunabanwa hatasisi vidagaa
@@hanifajumla1492 mmmh maisha sasa magum kwa mtindo huu watu wataishije?? Serikali ilahisishe wafanya biashara wadogo2
Asante Sana kamanda mtoro
Safi sana hii opereshen ianza kufanyika mikoa yote wanao lewa wakati wa kazi nao wakamatwe wakashulikiwe vya kutosha
Jeshi la polisi kumbukeni kutenda haki kamata wote hao wamezoe wanatuua mjini hapa
na mkoa wetu njooni mkamate
Umeona Malaya wa Dom wanavojisitiri Mzaz
@@nassermtitu7426 watapata tabu sana
ha ha ha hatariii
Kaz kwelkwel wauze nyanya
Ww noela nn hicho
Noela Mmari 😃😃😅😆
Safi Sana wafanyie kazi
Safii sana mzee safi sana sasa mfindishe kazi na huyu wa dar huku kwa sokota wako kama nyuki
Yaaani apaaaaa husipite na boyfriend wako ni wanakutukana matusi atari aixeee uwa nawaona aixeee
kama demu wako umemuona 😀😀😀 aibu
contact yako plz
haaa😀😀😀
+Eleonce John 🚴
hellow
Meresiana Were duuh
Mimi binafsi naona bora muache maana wana tuseidia sisi ambao atujui kutongoza yaana (domo zege)plz naomba
Peleka ndan hao wasiopenda kufanya kazi wamezoea dezo kwanza wanatuzaririsha wanawake peleka ndan hao wakarime mbogamboga na matunda gerezan
Still can't find any definition...
malaya wakubwa nyie ndo mwatuibia waume zetu... looooooooooh msiye na haya wala mcyeona vibaya..... looooooooooooo.... mroto fyekeleaaaaaaaa mbali hao
Mara paa unamuona bi mkubwa wako duuuh cyo poa
666™
Lewis Wanyama hahahahaha Ni tabu
Hahahahahaha
Huyu kamanda angefanya kazi na Makonda ingekuwa safi sana,
walipe kodi hao.hhhhh utani jmniml.huu ni.mtihani sana ndugu zangu polisi hongera kwa hilo
kamanda wafikirie hao madada poa wanasaidia kiasi flani ubakaji umepungua ukiwa na kiu wanapatikana fasta
Pambano Mwadia mfyuuuu upuuzi t
Haaaaa haaa aah
Haahahahah
mamaako nae ni dada poa nini?ikiwa unafurahia mama wa wenzako wawe hivyo
Hahahahaa aaaa
Very good
Safi tukemee dhinaa Allah atatunusuru na maradhi. YARABI MJALIE KAMANDA WETU.
Mhhh hivi hiyo nikweli au anatafuta kiki tu huyo kamanda
Respicius Revelian Chief kama kawaida yenu wazee wa kupings
Ina maana huelewi au hujui kama watu wanajiuza au ndo upinzani hii sio siasa
mbona haonenkani wanunuaji msipende kuhukum bila ushahidi maaan hata maandiko yana sema ukimkuta mtu anazini apigwe hadi kufa lakini kuna kipengere kinacho sema uwakute wakifanya dendo tena kwa ushahidi swali je muliwakuta je mtu akisema akikua na mpenzi wake utasemaje
@@raymondmhimbano4459 usitumie maandiko vibaya.
@@raymondmhimbano4459 we unaweza kwenda kusimama na mpenz wako sehemu wanapojiuza dada poa. Haya mambo yapo we jaribu kupita hayo maeneo yao utachoka yaani kuna wamama huwez amin kama wanajiuza mm nafanya kazi masaki njoo mitaa ya maisha club ya zamani hapa dar uone yanayofanyika au leaders. Hata neno linasema ole wake ataebadilisha neno la Mungu au kulitumia kwa faida yake
Ongera sana
Big up sana