KIFAHAMU KISIWA ADIMU ZAIDI TANZANIA (DOCUMENTARY)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 бер 2024
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

КОМЕНТАРІ • 60

  • @Jeff_Tz
    @Jeff_Tz 3 місяці тому +5

    Mimi ni M'bara ila wapemba wakarimu sana ila wakaidi piaa

  • @salimramadhani740
    @salimramadhani740 3 місяці тому +1

    Nice ❤from Burundi🇧🇮 Lives in cape Town viva africa

  • @KhalidKhan-ud9cz
    @KhalidKhan-ud9cz Місяць тому

    Tanzania Darsalam mzuri Sana kweli 💖

  • @gadonassir4261
    @gadonassir4261 3 місяці тому +2

    Hehehe sanaaaaa tuu kwetu iyo short video tumeona vingi ambavo ata wazaliwa hatujui kama vipo

  • @aminamgaza6655
    @aminamgaza6655 3 місяці тому

    MashaAllah ❤😢 I love Pemba I will visit my people in Pemba. Thank you Al FATAH TV online to show us around the world, especially Pemba is beautiful MashaAllah 🫡🫡🫡☕️❤️❤️❤️❤️🥰🥰🥰🥰♥️♥️🤲🤲🤲🤲

  • @aminamgaza6655
    @aminamgaza6655 3 місяці тому +1

    I love Zanzibar. I never been there, but Isha ALLAH I am coming to visit everywhere. I love my people. ❤❤❤❤❤

  • @shabanmaulana8594
    @shabanmaulana8594 3 місяці тому +1

    Siyu
    Fazah
    Lamu
    Watamu
    Vanga
    Msabweni
    Tanga
    Mafia
    Unguja
    Pemba
    Komoro,Mombasa, Zanziba.
    Na visiwa venginevo ambavyo sikuvitaja wote wanaoshi kwenye visiwa hivyo ni watoto wa mjomba na shangazi lugha chakula tabia zao Dini mavazi wame shibana .

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 3 місяці тому +1

    Wooow nice to se this place, one day I wl be there,

  • @khamisali9907
    @khamisali9907 3 місяці тому

    Apo umekosea sema Zanzibar ❤ sio ivo ulivo sema weye Tanzania

  • @JRN2612
    @JRN2612 3 місяці тому

    Home sweet home. Its been almost 10 years since I left. Can wait for my first visit😍😍😍

  • @aboudjuma3962
    @aboudjuma3962 3 місяці тому +1

    Pemba ❤️❤️❤️

  • @fatmasaid9765
    @fatmasaid9765 3 місяці тому

    Mashaallah shukran ❤

  • @aminamgaza6655
    @aminamgaza6655 3 місяці тому

    MashaAllah ❤

  • @Muslim-gs6rn
    @Muslim-gs6rn 3 місяці тому

    Mashallah ❤❤❤

  • @user-fh7wu8vx1y
    @user-fh7wu8vx1y 3 місяці тому

    Mashaallaj

  • @iam_deo
    @iam_deo 3 місяці тому

    Kwa mara ya kwanza naona pemba kuna nini.Vizuri sana tangazeni nje ya nchi pia .Jengeni ma hotel.

  • @abuubakar7594
    @abuubakar7594 3 місяці тому +2

    Dah kikweli pemba ina vivutio vingi zaidi ila haina bahati ya uwekezaji

  • @faroukfarouk477
    @faroukfarouk477 3 місяці тому

    Story nzuri

  • @MohamedAbdalla-tq8qo
    @MohamedAbdalla-tq8qo 3 місяці тому

    Zanzibar ❤

  • @user-cp3xl1hh1u
    @user-cp3xl1hh1u 3 місяці тому +3

    Je kuna hostel au nyumba za kulala wageni maana wengine hatuna jamaa wala rafiki pemba

    • @amournassorsaid7694
      @amournassorsaid7694 3 місяці тому

      Karibu zipo nyingi za kila bei

    • @user-sh3tr8cm1v
      @user-sh3tr8cm1v 3 місяці тому

      ​@@amournassorsaid7694nili uliza nikaambia zina bei kali sana

  • @mohamedlumanga5258
    @mohamedlumanga5258 3 місяці тому

    Safi sana kiongozi wangu

  • @Boblim-vx3ny
    @Boblim-vx3ny 3 місяці тому

    ZANZIBAR ❤

  • @Marym-iw2wr
    @Marym-iw2wr 3 місяці тому

    Inshallah 😢natmn kuiona pemba

  • @bausaboy2489
    @bausaboy2489 3 місяці тому

    Interested to be a pemba Island in zanzibar about tourist destinations and antique place by me bausa tour guide from pemba Island I accept it

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif6216 3 місяці тому

    Hakika dunia ni mapito

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 3 місяці тому

    Kitoweyo kwa nsheli sheli.

  • @ambokileasheengai1140
    @ambokileasheengai1140 3 місяці тому

    Hao popo wapo ata kwenye kisiwa cha Chole kule kisiwa cha Mafia,,,niliwahi peleka wageni kule

  • @NzundaLuwana
    @NzundaLuwana 3 місяці тому

    Hebu acheni ufala nyinyi,kuna Zanzibar na Tanganyika,na Zanzibar ni muunganyiko wa visiwa viwili pemba na unguja,na tanganyik nitofauti na Zanzibar,ikiwa kuna maraisi wawili kati ya tanganyik na Zanzibar basi Pemba na Unguja haipo tanganyika,sasa kwanini muitangaze TANGANYIKA nasio Zanzibar,😂Hebu wacheni unafiki mumeifany pemba mpk leo ipo nyuma kimaendeleo

    • @Abdulhamid-pw3qy
      @Abdulhamid-pw3qy 3 місяці тому

      Mshamba wewe.
      Zanzibar sio muungano wa Pemba na Unguja.
      Zanzibar ni "ZINJIBAR" amblyopia ni sehemu zote zilizokuwa chini ya utawala wa waarabu hasusan OMAN
      Kama ingekuwa maana ya ZANZIBAR ni muungano wa Pemba na unguja isingekuwa ZANZIBAR
      Tafuta history kamili usiwe mjinga dogo

  • @smarttv8941
    @smarttv8941 3 місяці тому

    😂😂pemba ni zanzibar au Tanzania?

  • @laisamaujud1157
    @laisamaujud1157 3 місяці тому

    Sio Tanzania ni Zanzibar

    • @safarsafari68
      @safarsafari68 3 місяці тому +2

      Sio Zanzibar ni Pemba

    • @Alkaburu
      @Alkaburu 3 місяці тому +1

      ​@@safarsafari68umemnyosha. 😅

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 3 місяці тому

      sasa zanzibar ni ipi mana ukiacha pemba kuna unguja haya twambiye zanzinar iko wapi

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 3 місяці тому

      ​@@Alkaburuamejidanganya

  • @hamicpina1151
    @hamicpina1151 3 місяці тому

    Iyo ni zanzibar na xio tanzania

    • @Alkaburu
      @Alkaburu 3 місяці тому +1

      Hiyo ni pemba sio zanzibar

    • @topn6852
      @topn6852 3 місяці тому

      ​@@Alkaburukwani pemba ipo wapi

    • @Alkaburu
      @Alkaburu 3 місяці тому

      @@topn6852 iko pemba

    • @Alkaburu
      @Alkaburu 3 місяці тому

      @@topn6852 pemba iko pemba.

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 3 місяці тому

      ​@@Alkaburuzanzibar iko wapi mana ukiacha pemba kuna unguja

  • @user-rh7lj1lo5x
    @user-rh7lj1lo5x 3 місяці тому +5

    Ni Zanzibar sio Tanzania itangazeni Zanzibar sio muitangaze Tanzania I love ❤ Zanzibar

    • @hmedoggftherljih199
      @hmedoggftherljih199 3 місяці тому +1

      Zanzibar ni Tanzania

    • @felicianfrancis9895
      @felicianfrancis9895 3 місяці тому +1

      Baadaye mtaanza kusema sio Zanzibar ni Pemba.

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 3 місяці тому +2

      Umekaa kimamruki sana jomba unaongea utumbo mpaka ulimi unakuwasha

    • @zulfajuma8394
      @zulfajuma8394 3 місяці тому +2

      Acha ubinafsi sisi tunajua nitanzania

    • @zikirination6769
      @zikirination6769 3 місяці тому +1

      Malimbukeni sasa sijui kwann huu muungano usivunjike maan umeme hamna chakula hakuna lkn Kila siku zenji zenji