KIFAHAMU KISIWA ADIMU ZAIDI TANZANIA (DOCUMENTARY)
Вставка
- Опубліковано 27 бер 2024
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Mimi ni M'bara ila wapemba wakarimu sana ila wakaidi piaa
Nice ❤from Burundi🇧🇮 Lives in cape Town viva africa
Tanzania Darsalam mzuri Sana kweli 💖
Hehehe sanaaaaa tuu kwetu iyo short video tumeona vingi ambavo ata wazaliwa hatujui kama vipo
MashaAllah ❤😢 I love Pemba I will visit my people in Pemba. Thank you Al FATAH TV online to show us around the world, especially Pemba is beautiful MashaAllah 🫡🫡🫡☕️❤️❤️❤️❤️🥰🥰🥰🥰♥️♥️🤲🤲🤲🤲
I love Zanzibar. I never been there, but Isha ALLAH I am coming to visit everywhere. I love my people. ❤❤❤❤❤
Welcome
Siyu
Fazah
Lamu
Watamu
Vanga
Msabweni
Tanga
Mafia
Unguja
Pemba
Komoro,Mombasa, Zanziba.
Na visiwa venginevo ambavyo sikuvitaja wote wanaoshi kwenye visiwa hivyo ni watoto wa mjomba na shangazi lugha chakula tabia zao Dini mavazi wame shibana .
Wooow nice to se this place, one day I wl be there,
Apo umekosea sema Zanzibar ❤ sio ivo ulivo sema weye Tanzania
Home sweet home. Its been almost 10 years since I left. Can wait for my first visit😍😍😍
Pemba ❤️❤️❤️
Mashaallah shukran ❤
MashaAllah ❤
Mashallah ❤❤❤
Mashaallaj
Kwa mara ya kwanza naona pemba kuna nini.Vizuri sana tangazeni nje ya nchi pia .Jengeni ma hotel.
Dah kikweli pemba ina vivutio vingi zaidi ila haina bahati ya uwekezaji
Story nzuri
Zanzibar ❤
Je kuna hostel au nyumba za kulala wageni maana wengine hatuna jamaa wala rafiki pemba
Karibu zipo nyingi za kila bei
@@amournassorsaid7694nili uliza nikaambia zina bei kali sana
Safi sana kiongozi wangu
ZANZIBAR ❤
Inshallah 😢natmn kuiona pemba
Karibu
Interested to be a pemba Island in zanzibar about tourist destinations and antique place by me bausa tour guide from pemba Island I accept it
Hakika dunia ni mapito
Kitoweyo kwa nsheli sheli.
Hao popo wapo ata kwenye kisiwa cha Chole kule kisiwa cha Mafia,,,niliwahi peleka wageni kule
Hebu acheni ufala nyinyi,kuna Zanzibar na Tanganyika,na Zanzibar ni muunganyiko wa visiwa viwili pemba na unguja,na tanganyik nitofauti na Zanzibar,ikiwa kuna maraisi wawili kati ya tanganyik na Zanzibar basi Pemba na Unguja haipo tanganyika,sasa kwanini muitangaze TANGANYIKA nasio Zanzibar,😂Hebu wacheni unafiki mumeifany pemba mpk leo ipo nyuma kimaendeleo
Mshamba wewe.
Zanzibar sio muungano wa Pemba na Unguja.
Zanzibar ni "ZINJIBAR" amblyopia ni sehemu zote zilizokuwa chini ya utawala wa waarabu hasusan OMAN
Kama ingekuwa maana ya ZANZIBAR ni muungano wa Pemba na unguja isingekuwa ZANZIBAR
Tafuta history kamili usiwe mjinga dogo
😂😂pemba ni zanzibar au Tanzania?
Sio Tanzania ni Zanzibar
Sio Zanzibar ni Pemba
@@safarsafari68umemnyosha. 😅
sasa zanzibar ni ipi mana ukiacha pemba kuna unguja haya twambiye zanzinar iko wapi
@@Alkaburuamejidanganya
Iyo ni zanzibar na xio tanzania
Hiyo ni pemba sio zanzibar
@@Alkaburukwani pemba ipo wapi
@@topn6852 iko pemba
@@topn6852 pemba iko pemba.
@@Alkaburuzanzibar iko wapi mana ukiacha pemba kuna unguja
Ni Zanzibar sio Tanzania itangazeni Zanzibar sio muitangaze Tanzania I love ❤ Zanzibar
Zanzibar ni Tanzania
Baadaye mtaanza kusema sio Zanzibar ni Pemba.
Umekaa kimamruki sana jomba unaongea utumbo mpaka ulimi unakuwasha
Acha ubinafsi sisi tunajua nitanzania
Malimbukeni sasa sijui kwann huu muungano usivunjike maan umeme hamna chakula hakuna lkn Kila siku zenji zenji