KAULI YA MWISHO YA HAYATI RAIS MAGUFULI KWENYE DARAJA LILILOPEWA JINA LAKE 'JPM BRIDGE'
Вставка
- Опубліковано 18 бер 2021
- Dec 28, 2020 hii ndio ilikuwa siku ya mwisho kwa Hayati Rais Magufuli kupita mkoa wa Mwanza na kukagua Daraja lililopewa jina la JPM linalojengwa kati ya Kigongo - Busisi ambalo litakuwa Daraja refu Afrika Mashariki na Kati lenye kilometa 3.2
I'm speechless when I look at u
Daaahh kweli uliandaliwa na Mungu kuja kuokoa watu wa nchi yako...R.I.P rais mpendwa wa nchi yetu Tz
Tutakukumbuka Sana Baba,lala salama,mwendo umeumaliza,pumzika kwa Amani.
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. I agree about Magulification of Africa! So, absolute estimate for Magufuli who for me will remin alive for ever for his honesty
The legend
Innalillah wainna illayh Rajiun.
Nitakukumbuka maisha yangu yote hapa duniani mpendwa wngu rafiki yangu kiukweli inauma Sana hatuamini wengi wa mamilioni ya waafrika kuwa haupo tulikuwa tunakuombea Sana ukiwa hai niimani yangu Mungu amekuweka sehem sahihi Amina
Mtanikumbuk kwa Mazuri, tuijenge bridge yake kwa kumbukumbu LA heshima
HE WAS EVER SMILING
Baba wa baraka milele African twakupenda...pumzikwa amani Baba.
Nkuheshimu milele mkombozi wa Tanzania kwetu I love the solace of africa
Huyu mama ni mnafiki sana ila mungu yupo jpm lala salama bb
R.I.P OUR FATHER
Nitamkumbuk shujaa wangu kwa mengi sana,pumzika kwa amani shujaa.
Baba tuta kukumbuka daima
Lala salama baba
Kifo chako ni hasara kubwa sana japo kazi ya mungu aina makosa lala salama baba leo hii hata viongozi wa mpira wameanza kufanya yao duu amakweli tutakukumbuka kwa mema sio mabaya
InshaAllah litakamilika baba, pumzika, Mola ako nasi!
We gonna micc you magufuli hakika naumia sana amka uone pengo ulilo liacha halizibiki nakupenda magufuli
Dahhh kifo aichagui yn kila mtu anapita nae