WANAUME LALENI NA KANGA WANAWAKE TUSIANDAMANE
Вставка
- Опубліковано 26 лют 2024
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Shukran kwa kutuletea somo mwenye madini yake MashaAllah...Allah awahifandi
Asante Madam kwa Darsa Nzuri Tunapata kujua yaliyojificha Naangalia kutoka Oman
Somo pambe na nusu Mashallah Allah awabariki
Mashallah Mashallah somo bado uko mdogo lkn una madini unaokoa ndoa za wengi mafunzo yamejaa staha nakusikiliza kutoka Uk
Msikilize vizur sababu sababu waume zenu wakija Tanzania mara nyingi wanaowa unachezea mambo ya kanga haha
Ndo weye nn umeiba mume wa watu hahahhaha
Kwakweli ilmu ni faradh ❤
Masha Allah ❤❤❤
Mashaallah tabarakallah
Asante sana dada
Najoto hili ni bora uvae kanga
A: Unajua ukiwa somo unakutana na vitu vingi
B: Bila shaka!
Shukuran daa Hatia,kwa mafunzo ya kanga
Asante sana. Kipindi safi sana. Natamani kanga. Ila sijui ntazipataje
Mtafute somo kwa no iliyopo japo kweny kioo utapat kanga pambe tu
Nimepata somo kubwa sana , maana halisi ya khanga
Yaan raha sana😂😂😂😂😂😂😂
Visiwa
Sio kisiwa ni visits vya Zanzibar (Unguja na Pemba)
Madam, kanga ya shingo hata kwa mwanamke alieolewa, has Kwa mwanamke mwenye kibuno
makosa jamani kusema maneno hayo kila mzanzibar anajua
aibu jamani umwambia mwanamm e maneno huyo makosa jamani hiyo ni siri yako na mumeo tu
Somo inamalezi ndani yake.
Khanga imaongeza nguvu😂 we mwana utazifanya ziadimike😅
Haziwezi kuadimika 😂
Nitavaa kanga iloandikwa *ukisusa wenzio wala*😂😂😂😂
🤣🤣🤣
😂😂😂😂Jmni mbn kumtishia mwenzio😂😂
😂😂😂😂😂
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Hahahaha jamaani hadimpunguze uwazii wengine wanao tazama ni watoto
Mtoto kafika youtube? 😂
Dada attiya naomba no yako please
Mashallah @@AttiyaHassan_somomtoto
@@AttiyaHassan_somomtoto hahahahkqhq watoto wengine wa kimaumbile yaani bachela na bachelati wakiskia hivo mnawatia mawazo hawana wa kuwavalia hahah 😆 😂
@@user-gz5qu5qy1y basi wana hashuo kutaka mambo si saizi yao muhim walengwa ujumbe uwafikie
Mmekosa adabu .
Washenzi mlokosa haya.
Mbwa kasoro mikia nyie .
Mambo hayo yana wenyewe wala wasingejianika hapo kuongea .
Mambo ya wakubwa yana ngariba.
Mmekaa hamna tafauti na mashoga ama malaya wa kizungu kuongea uouuzi hawana sehemu wala mafundisho kutoka kwa waalimu.
Nyie mkifanyiwa kazi na kama nyie basi hatuna haja ya ushenzi na ubaradhuli wenu.
subhanallah, ni vizuri ungewaambia kwa lugha nzur kuliko kuwamalizia matusi kama ivo,kumbuka hawa ni binaadamu si wakamilifu. kama kila anaekosea anatukanwa uislamu usingepata mtu.
Kwa kosa gani haswa kwenye hiyo mada ilojadiliwa? Allah amsameh yy na sisi@@Allybinamour