YAJUE MAKABILA YANAYOFA KUOA NA YASIO FAA KUOA"HAPA NDIO TUMEANGUKA WANAUME WENGI"-SHK.ZAID MAKUBULI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 30 бер 2024
  • #ShZaidMakubuli #ZvpOnlineTv #Tabora

КОМЕНТАРІ • 370

  • @user-dq1lm2be2u
    @user-dq1lm2be2u 3 місяці тому +32

    Huo ni ubaguzi shekhe mke mwema ni aliye na hofu ya Mungu

    • @zvpOnlineTv
      @zvpOnlineTv  3 місяці тому +1

      Mh

    • @abdulkarimabdallah9536
      @abdulkarimabdallah9536 3 місяці тому +2

      Huyu nimpuuz kama wapuuz wengine hakuna analolijua ye anajiropokea2 subhana llah

    • @radhiamalla9428
      @radhiamalla9428 3 місяці тому +1

      Anaongea hisia zake kwakutangulizia dini, yaani Allah atuhifadhi kwakweli Hawa masheghena maana, na watu wanaitikia AllahAkbar😢😢 anatakiwa azungumzie tabia na si kabira

    • @user-vy7zv1xx7u
      @user-vy7zv1xx7u 2 місяці тому +1

      Mwanamke mzur niyule anae jua hof yaallllaaah

    • @abuhurayrahabibu4545
      @abuhurayrahabibu4545 2 місяці тому

      Kweli

  • @wiliampaulo5556
    @wiliampaulo5556 3 місяці тому +7

    Mungu hana ubaguzi .nabii ayubu hakuwa israeli na mungu alimpa utume .kaka kumbuka mbora wao mbele ya mungu ni sikabira furani la hasha ni yule anaemcha mwenyezi mungu .pole sana kwa kupotoshà uma.nimeishi Zanzibar miaka 28 na isramu sijaona mawaidha kama yako.pole shekhe unahitaji kurudi zuoni.mwenyezi mungu akusamekhe makosa yako hayo.Amina

  • @mudhihirIbrahim-hb7ry
    @mudhihirIbrahim-hb7ry 3 місяці тому +10

    Mche Allah sheikh unachupa mipaka huna ushahidi naunacho hongea

  • @fahamimiraji2338
    @fahamimiraji2338 3 місяці тому +1

    Shekhe wangu we kasome uwerewe dini vizuri aumekosa kazi fundisha dini ya allah siokufitini

  • @jabirkasunzu6841
    @jabirkasunzu6841 3 місяці тому +7

    Mbora ni mchamungu❤

  • @user-dr1su7pf7w
    @user-dr1su7pf7w 3 місяці тому +6

    mungu akusaheme pole na huo ukabila wako

    • @abuhurayrahabibu4545
      @abuhurayrahabibu4545 2 місяці тому +1

      Kweli kabisa

    • @ShafiiAbuu-jb8hp
      @ShafiiAbuu-jb8hp 12 днів тому

      Allah akuongoze Shekh huo no ubaguzi wa makabila na nikatika mambo ya jahiliya mbola mbele ya Allah na mchamungu sio kabila flank mche Allah shekh

  • @deusdeditsimba4452
    @deusdeditsimba4452 День тому

    Tabora Mji wangu Naupeda sana😂😂😂👏👏👏

  • @abuibra
    @abuibra 3 місяці тому +7

    Umichanganya sana katka Uislamu hakuna unayo sema katika Uislamu kuna sifa za mwanamke sio ukabila.

  • @jabirkasunzu6841
    @jabirkasunzu6841 3 місяці тому +5

    Allah s.w. ndio ajuaye❤❤❤

  • @user-zw6xz3lq1x
    @user-zw6xz3lq1x 2 місяці тому

    Aah kwa nilivyomfahm shekhe amezungumza kwa ajili ya kuelimisha jamii wawe na tahathari wakati wa kuchagua wake na waume kwa maisha ya badae yup sahihi shekhe anatoa ukumbusho t.Allah s.w amesema kuwa ktk qur-an tukuf kuwa Ukumbusho unawafaa walio amini kwahy yeye amekumbusha t hy shekh.kwahy mtu kazi kwake kufuata ama kuacha kumfuata👏

  • @SubiraMndeme-yw7mx
    @SubiraMndeme-yw7mx 3 місяці тому +3

    Sheikh mke mwema ni yule mwwnye kumtwii Allah swt n sio katka ukabila

  • @selemanmcharazo
    @selemanmcharazo 3 місяці тому +16

    Sheikh mtume alipinga ukabila na kusema ni harfu mbaya

    • @RamadhaniLukambuzi
      @RamadhaniLukambuzi 3 місяці тому +2

      Ni kweli kabisa lakini leo hii unaoa kabira wanakula nyoka,panya,paka,mbwa,nyani au mamba na chatu vipi hii imekaaje kwako?kutafuta kabira la mke unayetakumuoa sidhani kama ni ubaguzi kwa watu wa makabira mengine!

    • @zvpOnlineTv
      @zvpOnlineTv  3 місяці тому

      Mh

    • @athumanikhamisi3377
      @athumanikhamisi3377 3 місяці тому

      ان الله لا ينظر الا اصاواركم واجسامكم ولكن ينظر في قلوبكم......​@@zvpOnlineTv

    • @user-xo5lq7mw3n
      @user-xo5lq7mw3n 3 місяці тому +1

      Huyu nae katokea wapi???😮unaleta ukabila Dini gani hiyo ilisema kaowe Tabora,Tafuta mke Mwema Sio kabila halita kusaidia

    • @user-hi6mb4so8w
      @user-hi6mb4so8w 3 місяці тому +1

      ​@@RamadhaniLukambuzi❤❤

  • @jasminmohamed6145
    @jasminmohamed6145 3 місяці тому +1

    SUBHANALLAH
    LAILAHA ILLALLAH WAHDAHU LASHARIKALAHU LAHULMULKU WALA HULHAMDU WAHUWA ALA KULLISHAIIN KADER WAANNA MUHAMMADAN RASULULLAHI SWALLAAHU ALAIHI WASALLIM WA BARIK ALAIHI
    ALLAHUMA SWALLI ALA SAIDINA MOHAMMADIN WAALI SAIDINA MOHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM

  • @nassornyanyagi5126
    @nassornyanyagi5126 3 місяці тому +2

    Kumbe wanyamwezi ni washirikina poleni sana Tubieni laa sivyo ALLAH ataporomosha matendo yenu mema

  • @NelisonKashaija
    @NelisonKashaija 2 дні тому

    Shee uko vizuri

  • @pauloropian2367
    @pauloropian2367 3 місяці тому +1

    Kweli kabisa shehe Mungu akubariki.

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j 3 місяці тому +35

    Mimi ni mkristo lakini nadhani mtume alioa kabila tofauti ili kujenga ukaribu na kabila nyingi nakuondoa chuki za kikabila

    • @jabirkasunzu6841
      @jabirkasunzu6841 3 місяці тому +9

      Kweli kabisa! Na sheikh ameteleza maana mtume s.a.w. alisisitiza kuzingatia dini na tabia njema pekee.

    • @AminaAhmed999
      @AminaAhmed999 3 місяці тому +3

      kweli yako mtume amepinga mambo ya ukabila kabisa. sheikh kakosea

    • @JamaliAmour-jp9dd
      @JamaliAmour-jp9dd 3 місяці тому +6

      Hukun shekhe apo hao ndo wanatuharibia dini yetu tuonekn waislm tuna ubaguz kumb ni vimtu tu vidg vdg shekhe hkn apo

    • @jumashiyo1378
      @jumashiyo1378 3 місяці тому +1

      kiukweli ndugu upo sahihi

    • @abuhurayrahabibu4545
      @abuhurayrahabibu4545 2 місяці тому +1

      Ndio umesema kwel

  • @sunwizy608
    @sunwizy608 3 місяці тому +7

    we unazingua shee mm muislam ila kitabu kitukufu aakuna haya inayosema ishu izoo za ukabila acha kupotosha

  • @hasaabdi7199
    @hasaabdi7199 3 місяці тому +1

    Kweli sheikh wangu

  • @danielshimora5315
    @danielshimora5315 3 місяці тому +4

    Wachawi navunja na kuteketeza kwa jina la Yesu na la mtume Muhammad

    • @zvpOnlineTv
      @zvpOnlineTv  3 місяці тому +1

      Duh

    • @juliusmsegu3347
      @juliusmsegu3347 3 місяці тому

      Tumia jina Muhammad peke yake uone😅😅

    • @salmaalimusa6809
      @salmaalimusa6809 3 місяці тому

      ​@@juliusmsegu3347ushawahi kisikia tunaomba kwa jina la Mtume?ss huomba kwa jina la Mungu tu

  • @user-ps6wm2qm4f
    @user-ps6wm2qm4f 3 місяці тому +2

    Unamatusi sana.Hufai kwa kweli

  • @drkalokola5861
    @drkalokola5861 3 місяці тому +3

    Kumbe wanazuoni ni wamalhayata duniya.
    Huridhiki na kile Allah alichokujalia.

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 2 місяці тому

    Allahu akbsr

  • @user-xw1dv3gr8s
    @user-xw1dv3gr8s 3 місяці тому +4

    Sheikh mche mola

  • @habibkuya3327
    @habibkuya3327 3 місяці тому +4

    Hotuba ya hovyo sijawahi kuona, ubaguzi, ukabila, ubinafsi wa kiwango cha fly over
    Hamna Mungu hapo.

    • @miye2215
      @miye2215 3 місяці тому

      Tangu enzi na enzi yapo makabila ambayo Mungu aliwazuia watu wake kuoa au kuolewa nayo kwa sababu ya wana tabia za kuwatoa watu katika njia za Mungu

  • @user-ow2jv4vn8b
    @user-ow2jv4vn8b 3 місяці тому

    Sana shekhe Tabora ndio haswaaaa😅😅😅😅😅😅❤❤❤❤😅

  • @kimaroabduli
    @kimaroabduli 3 місяці тому +5

    Ktk Uislamu binti anaolewa kwa uzuri wake, nasaha yake, mali yake ila akiwa mcha Mungu inatosha. Sheikh amuogope Mwenyezi Mungu. Na hakuna mbora ktk Uislamu awe Mwarabu au mtumwa wa kihabeshi ila amchae Allah ( SW)

  • @EzraSaid
    @EzraSaid 3 місяці тому +1

    Yani wewe mungu akusamehe

  • @mwanakupona
    @mwanakupona 3 місяці тому +4

    Hajui hata kusoma matamshi ya quran

  • @miye2215
    @miye2215 3 місяці тому +1

    Yupo sahihi tangu zamani hata Mungu alizuia watu wake kuoa au kuolewa na baadhi ya makabila

  • @jumasibanilo2912
    @jumasibanilo2912 3 місяці тому +1

    Binafsi sheikh huyu huwa simpendi kwa kuwa niliwahi kumsikia akishabikia ushirikina kwa uelewa wangu kwa kutetea kuogeshwa mikosi, na hiki anachosema huenda kakosea kufikisha tu. Ila mtume wetu kasema tuoane kwa nasaab ukiangalia hili ukiacha kutaja makabila kuna jinsi ya kutafakari hili, ni vyema kila mtu aoe kwao na kama sio basi oa muumini wa kweli nasi ucha Mungu na uislaamu wa majina na mazoea

  • @comfort-rjtv3291
    @comfort-rjtv3291 2 місяці тому +1

    Mithali 11:14
    [14]Pasipo mashauri taifa huanguka;
    Bali kwa wingi wa washauri huja wokovu.

  • @adammaro7836
    @adammaro7836 2 місяці тому

    Shekhe mimi nimekuelewa sana

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 3 місяці тому +3

    Kwa ALLAH Hakuna Kabila Acha kutia ubinafsi Kwa kuingia kwenue Dini Sasa wasielewe Kwa kuwa hawastahiki Au vipi Kabila zimekwtwa na Binaadam ila Kwa Mungu Kuna Binaadam na SI mdharamo Wala mchanga WW oama bakhili kalaga baho na ubozi wako

  • @budodianthony8094
    @budodianthony8094 2 місяці тому

    Changulanga❤❤❤ kwa wasukuma uongo hatuoii hivyo

  • @OmaryKaniki-hs5mz
    @OmaryKaniki-hs5mz 2 місяці тому

    Uyu shekh namkubali sana

  • @muhammadjuma8457
    @muhammadjuma8457 3 місяці тому +2

    WACHA KUPOTOSHA HATUKUAMBIWA KABILA GANI TUSIOE TABIA ZA MTU NDOKILAKITU . NA SIO KABILA

  • @stanleysteven1998
    @stanleysteven1998 3 місяці тому +2

    Ah ngoja atufunze ili kila mtu kwa upande wake ajiangalie usimkosoe fikilia anachokisema usifanye ma'amuzi tu bila kuelewa

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai 2 місяці тому

    Kweli

  • @bradleykhanei4092
    @bradleykhanei4092 2 місяці тому +2

    nadhani huyu mtu si sheikh!!!! Hakuna yeyote katika Uislamu ambaye angefundisha watu kwamba kuna makabila ambayo yanaruhusiwa kuwa na ndoa, na makabila mengine hayafai kwa ndoa; huu ni ujinga .
    Makabila yote yanajulikana sana kwa kuwa na watu wema na watu wabaya: ni juu yako wewe ambaye unatafuta kuoa, kujifunza wagombea wa ndoa yako kwa uangalifu, ili ujue mke wako wa baadaye ana angalau sifa zote muhimu za Kiislamu.
    Lakini hakuna ukabila mbaya kwa ujumla wa kuchukuliwa kuwa huwezi kuolewa.
    Mcheni Mwenyezi Mungu kwa yale mnayoyasema kwa maamumiina kwa sababu ya elimu yao ndogo katika Uislamu

  • @HamisaIssa-df7yy
    @HamisaIssa-df7yy 3 місяці тому

    Allahyakhalam

  • @mussasenga6732
    @mussasenga6732 3 місяці тому

    Inasikitisha Sana Waislamu kupotezewa muda kama hivi, na kutofundishwa Dini Yao kiusahihi 😢
    Tabora Tabora Tabora!, ondoeni hii AIBU!

  • @user-sw1ol9jb6z
    @user-sw1ol9jb6z 3 місяці тому +1

    We si shekh ila we mpenda kula

  • @rizikiallie3266
    @rizikiallie3266 3 місяці тому +2

    Huu ni ukabila sio vzr wote ni wanadamu

  • @mussasenga6732
    @mussasenga6732 3 місяці тому

    Mtume swalla LLAAHU alayhi wasallam anasema :"likichegezwa jambo kwa asiekuwa mwenyenalo, basi mtegee MAHARIBIKO".
    Na haya ndio maharibiko yenyewe sasa!!

  • @user-ed1cf9nq5w
    @user-ed1cf9nq5w 3 місяці тому +2

    Huyu ana ujahiliyah

  • @user-dy8yc5ml1p
    @user-dy8yc5ml1p 3 місяці тому +1

    Shehe sio wahaya wote wana tabia mbaya mm nimeolewa sasa nimwaka wa 12. tunaishi vizuri namume wangu.

  • @hassanmzandy1421
    @hassanmzandy1421 3 місяці тому +2

    Dah Qur'an yenyew Hujui unatamka kama mlevi Mshenzi

  • @chachamturi259
    @chachamturi259 2 місяці тому

    Duu weshee bhana noma

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai 2 місяці тому

    Kweli shee

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 3 місяці тому +1

    haadhaa mumtinu!!kubaguwa kwa ujabila ni ni uvundo!!
    maneno machafu hayo!!

  • @nadhirunjinjo5790
    @nadhirunjinjo5790 Місяць тому

    Hamna sheykh hapa hyu hajui lolote na km anajua anitafute tuweke munakasha me na yy na me napatikana dar temeke tandika ma'ana anataka kupoteza umma

  • @saidabdalla8996
    @saidabdalla8996 2 місяці тому +1

    Huyu shehe anafirwa mambo aya yametokea❤wapi kumamake pumbavu zako na matako yako pumbavu usianze watu wakutukane

    • @salummakaveli4366
      @salummakaveli4366 2 місяці тому

      We ndo kitobo mtume alilingania kwa matusi uliyekosa radhi ya mama ako hanithi mmoja wewe

    • @user-ez1ky4ls7c
      @user-ez1ky4ls7c 2 місяці тому

      Hakuna shekhe hapo

    • @vicentkibirit9637
      @vicentkibirit9637 2 місяці тому

      Msamehe bule,,, Njaa mbaya

  • @kassuqutbi2199
    @kassuqutbi2199 3 місяці тому +3

    Huyu kukosea sana tena sana “ me ni muislam ila huyu anafaaa kuchukuliwa hatuwa zaidi” anataka kupotesha Jamaa na kufanya wagombane na kuachana walio ndani ya ndoa” hana elimu hata kidogo mjinga haswa” kuongea utumbo kama huu”

    • @cgbb2848
      @cgbb2848 3 місяці тому

      Ukweli kabisa wewe ndomujinga sana wallah

    • @cgbb2848
      @cgbb2848 3 місяці тому

      Hamusimiu kweriii ndoahida sana sema wewe ukweli kabisa ✊✊✊

    • @paschalsafari9747
      @paschalsafari9747 3 місяці тому +1

      Kakosea sana

    • @SalmaSeif-yg5wl
      @SalmaSeif-yg5wl 3 місяці тому

      Aisee tunapoelekea sijui Allah ndo mjuzi zaidi

  • @abubakarothman3532
    @abubakarothman3532 3 місяці тому +1

    Soma Aya za qur'an vizuri,wavunja vunja Aya

  • @omarihassani-qu5ie
    @omarihassani-qu5ie 2 місяці тому

    Sharru khiswari rijaali khairu khiswari nissaai

  • @georgesolos344
    @georgesolos344 2 місяці тому

    Mnyaturu, mumakonde, mnyamwezi na munyanyema

  • @mikidadiyusufu2319
    @mikidadiyusufu2319 3 місяці тому

    Umechemka sanaa

  • @fundibombazanzbar5717
    @fundibombazanzbar5717 2 місяці тому +1

    Nakupa majib sheikh wangu kupitia quran….
    Quran inasema inna khalaqnakum mindhakarin waumth wajaalnakum shuuba wakabaaila litaarafun inna akramakum inndallahy atkaakum..
    YAAN MUNGU ANASEMA ENYI WATU NIMEKUUMBENI WANAUME NAWANAWAKE NANIKAJAALIA MATAIFA MBALIMBALI ILI MJUANE LAKINI MMBORA KWENU NIMSHAMUNGU…
    Mtume Alipigavita ukabila nakujifakhrisha kwa kabila

  • @1961nungwi
    @1961nungwi 3 місяці тому +1

    Nyerere alifanya kazi kubwa kuunganisha Taifa hili. Makabila yaliyokuwa na nguvu na Machifu kama Wasukuma na Wachaga akawapiga marifuku. Uchifu akaua! Leo mnaanza kuongea mambo ya hovyo!! Hamna mambo ya msingi kuongea, kama kupeleka watoto shule?!

  • @oparetionmaalum9030
    @oparetionmaalum9030 3 місяці тому +1

    Tanzania hatutaki mambo ya ukabila tuacheni jamani hii tabia ya ukabila haifai haifai haifai

  • @JamaliAmour-jp9dd
    @JamaliAmour-jp9dd 3 місяці тому +2

    Huyu shekhe nae kapagawa tu hana cha maan kwaiyo hao waolewe na nan?

  • @jumashiyo1378
    @jumashiyo1378 3 місяці тому

    sina la kusema ila Mwenyezi MUNGU ndiye mjuzi zaidi. ila kama kweli katika hayo makabila hakuna ata mmoja mwenye hofu ya MUNGU sawa

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 3 місяці тому

    Hii

  • @user-sw1ol9jb6z
    @user-sw1ol9jb6z 3 місяці тому

    We mbaguzi tabora si watu bora wote

  • @fahamimiraji2338
    @fahamimiraji2338 3 місяці тому +1

    Allah ameumba mataifa namakabira ili mpate kujuana

  • @user-vd4og8md3v
    @user-vd4og8md3v 3 місяці тому +1

    Hamna shekhe apo

  • @AbrahamanSaidi-uf1dw
    @AbrahamanSaidi-uf1dw 2 місяці тому

    Hili jamaa tahira sana et ukiuliza ban Haashimu wako wapi unafukuzwa

  • @hilalmasoud6514
    @hilalmasoud6514 3 місяці тому +1

    SHEIKH wacha upumbavu ukabila ni uvundo mcha mola ndio mbora wenu

  • @HajiHarumbo
    @HajiHarumbo 3 місяці тому

    Sheikhe hapo umechupa mipaka kwa hii nchi makabila tote yameshakengeuka kinachotakiwa make awa mcha mungu

  • @mwanakupona
    @mwanakupona 3 місяці тому +3

    Mbwa huyu mhuni si sheikh

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546 3 місяці тому +1

    Miyeyusho Tu,🤯

  • @captenndunga6745
    @captenndunga6745 3 місяці тому +1

    Acha uongo msenge na watu wamekaa kabisa wanakusikiliza unavoongopa kwa maelezo yako unataka kuwaaminisha watu kwamba kwenye hayo makabila hakuna watu wenye kuijua dini ni wazi huyu shehe anavuta bangi

  • @HajiAlly-uz7vp
    @HajiAlly-uz7vp 2 місяці тому

    Mm nmuunga na wamwaz shekhe tafuta nyengine

  • @user-dj7bs7si1v
    @user-dj7bs7si1v 3 місяці тому +1

    إنه امرؤ فيه الجاهلية

  • @user-dm8vq6yo1e
    @user-dm8vq6yo1e 2 місяці тому

    Mmmh, mungu hana ubaguz wa rangi wala kabila, ww ni mtumishi wa shetan unajiita shekhe

  • @marymamarau24
    @marymamarau24 3 місяці тому +1

    Wanyamwezi oyeeee tupo vizur atujuwi kuachika sisi😂😂

  • @TeresiaNestori-xh9ch
    @TeresiaNestori-xh9ch 2 місяці тому

    Ana hekima ata

  • @user-zg6hx6xi3x
    @user-zg6hx6xi3x 2 місяці тому

    Ukweli Huwa unauma siku zote

  • @chachamturi259
    @chachamturi259 2 місяці тому

    Duuh waislam kwakulopoka bhana

  • @seifyangawakosawakombo6605
    @seifyangawakosawakombo6605 3 місяці тому +3

    Hufai kuitwa sheikh ndio uongoza nini

    • @MullarCmk
      @MullarCmk 3 місяці тому

      Hana akili chizi

  • @muhammadjuma8457
    @muhammadjuma8457 3 місяці тому +2

    TABIA NDIO ZINO MFANYA MTU USIFUNGE NDOA NAE NA SIO KABILA

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j 3 місяці тому

    Hao wanaosema namwachia Mungu hukunyuma wanaenda kuf

  • @IssaKabelwa-zs2ct
    @IssaKabelwa-zs2ct 3 місяці тому +1

    Jazba weken mbali
    yeye hajaleta ukabila
    jambo lakuowa nilazma upete mke
    alie na swifa kwshiyo ikiwemo kabila kama na mengineyo
    kwahiyo kama kabila lako limetajwa
    vumiliya tuu
    ukweli nikusemwa

  • @user-bp6fb6wo5u
    @user-bp6fb6wo5u 3 місяці тому

    😂😂😂😂😂😂😂😂 huyu jamaa ni mwehu sanaaa 😅😅😅😅 nafkiri atoka kuvuta bangi huyu 😂😂😂😂😂

  • @user-wj4dv1pv3r
    @user-wj4dv1pv3r 3 місяці тому

    Ukweli unauma jamani

  • @andrewmagwila1602
    @andrewmagwila1602 3 місяці тому +1

    Mimi ninachoamini kwenye kila kabila kuna watu wazuri na watu wabaya

  • @cath-ef7wd
    @cath-ef7wd 3 місяці тому +1

    Huyu jamaa wala sio shekhe ni muhuni tu....anapotosha uislam hauna mambo hayo

  • @GeofreyWilliam-ev7qd
    @GeofreyWilliam-ev7qd 2 місяці тому

    Hamna sheikh hapo

  • @emmanuelahmedbyona2353
    @emmanuelahmedbyona2353 2 місяці тому +1

    Uislamu unaanza tena ku promote ukabila?

  • @oparetionmaalum9030
    @oparetionmaalum9030 3 місяці тому +1

    Sisi sote ni watanzania hatuna kabila sisi kabila letu ni watanzania tuu Hakuna jengine

  • @user-fq3ro9jp5v
    @user-fq3ro9jp5v 3 місяці тому

    Mwenyeezimungu subhanawataala amesema chagueni ukoowakuolewa. Au. Kuolewa ukooyaani familia sio kabila shkh mtumzima unaropokatu ovyo mkofiauwo

  • @georgesolos344
    @georgesolos344 2 місяці тому

    Mchaga, mha, mpare, mhaya

  • @yusuphmussa554
    @yusuphmussa554 2 місяці тому

    *Enyi watu! Hakika Sisi tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke. Na tumekujaalieni kuwa ni mataifa na makabila ili mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa Mwenyezi Mungu ni huyo aliye mchamngu zaidi katika nyinyi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua, Mwenye khabari.* hii ni aya ya kumi na tatu kutoka sura hujurati ya imezuia kutaja hivyo ubaya zaidi katika makabila zaidi ya kufahamiana . Tumefundishwa katika dini kitazama zaidi kooo na si ukabila

  • @chachamturi259
    @chachamturi259 2 місяці тому

    Ilasemann umenifurahisha ilivyotaja Chem chem, maana ndiipo nilipo semea shuleyamsiingii

  • @husseinmohamed8493
    @husseinmohamed8493 2 місяці тому

    Sheikh mimi nakuona mshamba tu na mpotoshaji chunga sana
    Kisha sheikh zipe dawa za kufanya meno yako yakawa kma ya watu wengine

  • @saidshukeri4986
    @saidshukeri4986 3 місяці тому

    Unasikitisha Sana

  • @habibasalim3092
    @habibasalim3092 3 місяці тому

    Huo ni ubaguzi na hauko katika qurani wala hadithi mashehena ,ndio maana unaambia someni kuliko kusikiliza watu

  • @user-sd5zf6fz4v
    @user-sd5zf6fz4v 2 місяці тому +1

    Mawaiza gani hio ya ubaguzi mke mwema ni mwenye hofu ya mungu na sio mwenye ujuzi wa kimapebzi ww shekhe una upwiru ulijuwaje makabila ya kujuwa mapenzi umezini sana ww

    • @user-ez1ky4ls7c
      @user-ez1ky4ls7c 2 місяці тому

      Huyu sio shekhe huyo ni muhuni kama wahuni wengine

  • @kutailass6671
    @kutailass6671 3 місяці тому +1

    😂😂😂😂😂nicheke mie

    • @cgbb2848
      @cgbb2848 3 місяці тому

      😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀