Anaongea hisia zake kwakutangulizia dini, yaani Allah atuhifadhi kwakweli Hawa masheghena maana, na watu wanaitikia AllahAkbar😢😢 anatakiwa azungumzie tabia na si kabira
Mungu hana ubaguzi .nabii ayubu hakuwa israeli na mungu alimpa utume .kaka kumbuka mbora wao mbele ya mungu ni sikabira furani la hasha ni yule anaemcha mwenyezi mungu .pole sana kwa kupotoshà uma.nimeishi Zanzibar miaka 28 na isramu sijaona mawaidha kama yako.pole shekhe unahitaji kurudi zuoni.mwenyezi mungu akusamekhe makosa yako hayo.Amina
Aah kwa nilivyomfahm shekhe amezungumza kwa ajili ya kuelimisha jamii wawe na tahathari wakati wa kuchagua wake na waume kwa maisha ya badae yup sahihi shekhe anatoa ukumbusho t.Allah s.w amesema kuwa ktk qur-an tukuf kuwa Ukumbusho unawafaa walio amini kwahy yeye amekumbusha t hy shekh.kwahy mtu kazi kwake kufuata ama kuacha kumfuata👏
Ni kweli kabisa lakini leo hii unaoa kabira wanakula nyoka,panya,paka,mbwa,nyani au mamba na chatu vipi hii imekaaje kwako?kutafuta kabira la mke unayetakumuoa sidhani kama ni ubaguzi kwa watu wa makabira mengine!
Ktk Uislamu binti anaolewa kwa uzuri wake, nasaha yake, mali yake ila akiwa mcha Mungu inatosha. Sheikh amuogope Mwenyezi Mungu. Na hakuna mbora ktk Uislamu awe Mwarabu au mtumwa wa kihabeshi ila amchae Allah ( SW)
Binafsi sheikh huyu huwa simpendi kwa kuwa niliwahi kumsikia akishabikia ushirikina kwa uelewa wangu kwa kutetea kuogeshwa mikosi, na hiki anachosema huenda kakosea kufikisha tu. Ila mtume wetu kasema tuoane kwa nasaab ukiangalia hili ukiacha kutaja makabila kuna jinsi ya kutafakari hili, ni vyema kila mtu aoe kwao na kama sio basi oa muumini wa kweli nasi ucha Mungu na uislaamu wa majina na mazoea
Kwa ALLAH Hakuna Kabila Acha kutia ubinafsi Kwa kuingia kwenue Dini Sasa wasielewe Kwa kuwa hawastahiki Au vipi Kabila zimekwtwa na Binaadam ila Kwa Mungu Kuna Binaadam na SI mdharamo Wala mchanga WW oama bakhili kalaga baho na ubozi wako
nadhani huyu mtu si sheikh!!!! Hakuna yeyote katika Uislamu ambaye angefundisha watu kwamba kuna makabila ambayo yanaruhusiwa kuwa na ndoa, na makabila mengine hayafai kwa ndoa; huu ni ujinga . Makabila yote yanajulikana sana kwa kuwa na watu wema na watu wabaya: ni juu yako wewe ambaye unatafuta kuoa, kujifunza wagombea wa ndoa yako kwa uangalifu, ili ujue mke wako wa baadaye ana angalau sifa zote muhimu za Kiislamu. Lakini hakuna ukabila mbaya kwa ujumla wa kuchukuliwa kuwa huwezi kuolewa. Mcheni Mwenyezi Mungu kwa yale mnayoyasema kwa maamumiina kwa sababu ya elimu yao ndogo katika Uislamu
Mtume swalla LLAAHU alayhi wasallam anasema :"likichegezwa jambo kwa asiekuwa mwenyenalo, basi mtegee MAHARIBIKO". Na haya ndio maharibiko yenyewe sasa!!
Huyu kukosea sana tena sana “ me ni muislam ila huyu anafaaa kuchukuliwa hatuwa zaidi” anataka kupotesha Jamaa na kufanya wagombane na kuachana walio ndani ya ndoa” hana elimu hata kidogo mjinga haswa” kuongea utumbo kama huu”
Nyerere alifanya kazi kubwa kuunganisha Taifa hili. Makabila yaliyokuwa na nguvu na Machifu kama Wasukuma na Wachaga akawapiga marifuku. Uchifu akaua! Leo mnaanza kuongea mambo ya hovyo!! Hamna mambo ya msingi kuongea, kama kupeleka watoto shule?!
Acha uongo msenge na watu wamekaa kabisa wanakusikiliza unavoongopa kwa maelezo yako unataka kuwaaminisha watu kwamba kwenye hayo makabila hakuna watu wenye kuijua dini ni wazi huyu shehe anavuta bangi
Jazba weken mbali yeye hajaleta ukabila jambo lakuowa nilazma upete mke alie na swifa kwshiyo ikiwemo kabila kama na mengineyo kwahiyo kama kabila lako limetajwa vumiliya tuu ukweli nikusemwa
*Enyi watu! Hakika Sisi tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke. Na tumekujaalieni kuwa ni mataifa na makabila ili mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa Mwenyezi Mungu ni huyo aliye mchamngu zaidi katika nyinyi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua, Mwenye khabari.* hii ni aya ya kumi na tatu kutoka sura hujurati ya imezuia kutaja hivyo ubaya zaidi katika makabila zaidi ya kufahamiana . Tumefundishwa katika dini kitazama zaidi kooo na si ukabila
Mawaiza gani hio ya ubaguzi mke mwema ni mwenye hofu ya mungu na sio mwenye ujuzi wa kimapebzi ww shekhe una upwiru ulijuwaje makabila ya kujuwa mapenzi umezini sana ww
Huo ni ubaguzi shekhe mke mwema ni aliye na hofu ya Mungu
Mh
Huyu nimpuuz kama wapuuz wengine hakuna analolijua ye anajiropokea2 subhana llah
Anaongea hisia zake kwakutangulizia dini, yaani Allah atuhifadhi kwakweli Hawa masheghena maana, na watu wanaitikia AllahAkbar😢😢 anatakiwa azungumzie tabia na si kabira
Mwanamke mzur niyule anae jua hof yaallllaaah
Kweli
Mungu hana ubaguzi .nabii ayubu hakuwa israeli na mungu alimpa utume .kaka kumbuka mbora wao mbele ya mungu ni sikabira furani la hasha ni yule anaemcha mwenyezi mungu .pole sana kwa kupotoshà uma.nimeishi Zanzibar miaka 28 na isramu sijaona mawaidha kama yako.pole shekhe unahitaji kurudi zuoni.mwenyezi mungu akusamekhe makosa yako hayo.Amina
Kweli kabisa
Mche Allah sheikh unachupa mipaka huna ushahidi naunacho hongea
Nataka munyamwezi ao msuguma jameni
Kwa maneno haya, hakuna Sheikh hapo
Very foolish indeed
Kweli kabisa
Shekhe wangu we kasome uwerewe dini vizuri aumekosa kazi fundisha dini ya allah siokufitini
Mbora ni mchamungu❤
mungu akusaheme pole na huo ukabila wako
Kweli kabisa
Allah akuongoze Shekh huo no ubaguzi wa makabila na nikatika mambo ya jahiliya mbola mbele ya Allah na mchamungu sio kabila flank mche Allah shekh
Tabora Mji wangu Naupeda sana😂😂😂👏👏👏
Umichanganya sana katka Uislamu hakuna unayo sema katika Uislamu kuna sifa za mwanamke sio ukabila.
Kweli kabisa
Allah s.w. ndio ajuaye❤❤❤
Naam
Aah kwa nilivyomfahm shekhe amezungumza kwa ajili ya kuelimisha jamii wawe na tahathari wakati wa kuchagua wake na waume kwa maisha ya badae yup sahihi shekhe anatoa ukumbusho t.Allah s.w amesema kuwa ktk qur-an tukuf kuwa Ukumbusho unawafaa walio amini kwahy yeye amekumbusha t hy shekh.kwahy mtu kazi kwake kufuata ama kuacha kumfuata👏
Sheikh mke mwema ni yule mwwnye kumtwii Allah swt n sio katka ukabila
Sheikh mtume alipinga ukabila na kusema ni harfu mbaya
Ni kweli kabisa lakini leo hii unaoa kabira wanakula nyoka,panya,paka,mbwa,nyani au mamba na chatu vipi hii imekaaje kwako?kutafuta kabira la mke unayetakumuoa sidhani kama ni ubaguzi kwa watu wa makabira mengine!
Mh
ان الله لا ينظر الا اصاواركم واجسامكم ولكن ينظر في قلوبكم......@@zvpOnlineTv
Huyu nae katokea wapi???😮unaleta ukabila Dini gani hiyo ilisema kaowe Tabora,Tafuta mke Mwema Sio kabila halita kusaidia
@@RamadhaniLukambuzi❤❤
SUBHANALLAH
LAILAHA ILLALLAH WAHDAHU LASHARIKALAHU LAHULMULKU WALA HULHAMDU WAHUWA ALA KULLISHAIIN KADER WAANNA MUHAMMADAN RASULULLAHI SWALLAAHU ALAIHI WASALLIM WA BARIK ALAIHI
ALLAHUMA SWALLI ALA SAIDINA MOHAMMADIN WAALI SAIDINA MOHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM
Kumbe wanyamwezi ni washirikina poleni sana Tubieni laa sivyo ALLAH ataporomosha matendo yenu mema
Shee uko vizuri
Kweli kabisa shehe Mungu akubariki.
Mimi ni mkristo lakini nadhani mtume alioa kabila tofauti ili kujenga ukaribu na kabila nyingi nakuondoa chuki za kikabila
Kweli kabisa! Na sheikh ameteleza maana mtume s.a.w. alisisitiza kuzingatia dini na tabia njema pekee.
kweli yako mtume amepinga mambo ya ukabila kabisa. sheikh kakosea
Hukun shekhe apo hao ndo wanatuharibia dini yetu tuonekn waislm tuna ubaguz kumb ni vimtu tu vidg vdg shekhe hkn apo
kiukweli ndugu upo sahihi
Ndio umesema kwel
we unazingua shee mm muislam ila kitabu kitukufu aakuna haya inayosema ishu izoo za ukabila acha kupotosha
Kweli sheikh wangu
Wachawi navunja na kuteketeza kwa jina la Yesu na la mtume Muhammad
Duh
Tumia jina Muhammad peke yake uone😅😅
@@juliusmsegu3347ushawahi kisikia tunaomba kwa jina la Mtume?ss huomba kwa jina la Mungu tu
Unamatusi sana.Hufai kwa kweli
Kumbe wanazuoni ni wamalhayata duniya.
Huridhiki na kile Allah alichokujalia.
Mh
Allahu akbsr
Sheikh mche mola
Hotuba ya hovyo sijawahi kuona, ubaguzi, ukabila, ubinafsi wa kiwango cha fly over
Hamna Mungu hapo.
Tangu enzi na enzi yapo makabila ambayo Mungu aliwazuia watu wake kuoa au kuolewa nayo kwa sababu ya wana tabia za kuwatoa watu katika njia za Mungu
Sana shekhe Tabora ndio haswaaaa😅😅😅😅😅😅❤❤❤❤😅
Ktk Uislamu binti anaolewa kwa uzuri wake, nasaha yake, mali yake ila akiwa mcha Mungu inatosha. Sheikh amuogope Mwenyezi Mungu. Na hakuna mbora ktk Uislamu awe Mwarabu au mtumwa wa kihabeshi ila amchae Allah ( SW)
Yani wewe mungu akusamehe
Hajui hata kusoma matamshi ya quran
Yupo sahihi tangu zamani hata Mungu alizuia watu wake kuoa au kuolewa na baadhi ya makabila
Binafsi sheikh huyu huwa simpendi kwa kuwa niliwahi kumsikia akishabikia ushirikina kwa uelewa wangu kwa kutetea kuogeshwa mikosi, na hiki anachosema huenda kakosea kufikisha tu. Ila mtume wetu kasema tuoane kwa nasaab ukiangalia hili ukiacha kutaja makabila kuna jinsi ya kutafakari hili, ni vyema kila mtu aoe kwao na kama sio basi oa muumini wa kweli nasi ucha Mungu na uislaamu wa majina na mazoea
Mithali 11:14
[14]Pasipo mashauri taifa huanguka;
Bali kwa wingi wa washauri huja wokovu.
Shekhe mimi nimekuelewa sana
Kwa ALLAH Hakuna Kabila Acha kutia ubinafsi Kwa kuingia kwenue Dini Sasa wasielewe Kwa kuwa hawastahiki Au vipi Kabila zimekwtwa na Binaadam ila Kwa Mungu Kuna Binaadam na SI mdharamo Wala mchanga WW oama bakhili kalaga baho na ubozi wako
Changulanga❤❤❤ kwa wasukuma uongo hatuoii hivyo
Uyu shekh namkubali sana
Weye kasome kwanza kwasababu bado hajajua nani shekh
WACHA KUPOTOSHA HATUKUAMBIWA KABILA GANI TUSIOE TABIA ZA MTU NDOKILAKITU . NA SIO KABILA
Ah ngoja atufunze ili kila mtu kwa upande wake ajiangalie usimkosoe fikilia anachokisema usifanye ma'amuzi tu bila kuelewa
Kweli
nadhani huyu mtu si sheikh!!!! Hakuna yeyote katika Uislamu ambaye angefundisha watu kwamba kuna makabila ambayo yanaruhusiwa kuwa na ndoa, na makabila mengine hayafai kwa ndoa; huu ni ujinga .
Makabila yote yanajulikana sana kwa kuwa na watu wema na watu wabaya: ni juu yako wewe ambaye unatafuta kuoa, kujifunza wagombea wa ndoa yako kwa uangalifu, ili ujue mke wako wa baadaye ana angalau sifa zote muhimu za Kiislamu.
Lakini hakuna ukabila mbaya kwa ujumla wa kuchukuliwa kuwa huwezi kuolewa.
Mcheni Mwenyezi Mungu kwa yale mnayoyasema kwa maamumiina kwa sababu ya elimu yao ndogo katika Uislamu
Allahyakhalam
Inasikitisha Sana Waislamu kupotezewa muda kama hivi, na kutofundishwa Dini Yao kiusahihi 😢
Tabora Tabora Tabora!, ondoeni hii AIBU!
We si shekh ila we mpenda kula
Huu ni ukabila sio vzr wote ni wanadamu
Mtume swalla LLAAHU alayhi wasallam anasema :"likichegezwa jambo kwa asiekuwa mwenyenalo, basi mtegee MAHARIBIKO".
Na haya ndio maharibiko yenyewe sasa!!
Huyu ana ujahiliyah
Shehe sio wahaya wote wana tabia mbaya mm nimeolewa sasa nimwaka wa 12. tunaishi vizuri namume wangu.
Dah Qur'an yenyew Hujui unatamka kama mlevi Mshenzi
Duu weshee bhana noma
Kweli shee
haadhaa mumtinu!!kubaguwa kwa ujabila ni ni uvundo!!
maneno machafu hayo!!
Hamna sheykh hapa hyu hajui lolote na km anajua anitafute tuweke munakasha me na yy na me napatikana dar temeke tandika ma'ana anataka kupoteza umma
Huyu shehe anafirwa mambo aya yametokea❤wapi kumamake pumbavu zako na matako yako pumbavu usianze watu wakutukane
We ndo kitobo mtume alilingania kwa matusi uliyekosa radhi ya mama ako hanithi mmoja wewe
Hakuna shekhe hapo
Msamehe bule,,, Njaa mbaya
Huyu kukosea sana tena sana “ me ni muislam ila huyu anafaaa kuchukuliwa hatuwa zaidi” anataka kupotesha Jamaa na kufanya wagombane na kuachana walio ndani ya ndoa” hana elimu hata kidogo mjinga haswa” kuongea utumbo kama huu”
Ukweli kabisa wewe ndomujinga sana wallah
Hamusimiu kweriii ndoahida sana sema wewe ukweli kabisa ✊✊✊
Kakosea sana
Aisee tunapoelekea sijui Allah ndo mjuzi zaidi
Soma Aya za qur'an vizuri,wavunja vunja Aya
Sharru khiswari rijaali khairu khiswari nissaai
Mnyaturu, mumakonde, mnyamwezi na munyanyema
Mungu amsamehe huyu mjinga
Umechemka sanaa
Nakupa majib sheikh wangu kupitia quran….
Quran inasema inna khalaqnakum mindhakarin waumth wajaalnakum shuuba wakabaaila litaarafun inna akramakum inndallahy atkaakum..
YAAN MUNGU ANASEMA ENYI WATU NIMEKUUMBENI WANAUME NAWANAWAKE NANIKAJAALIA MATAIFA MBALIMBALI ILI MJUANE LAKINI MMBORA KWENU NIMSHAMUNGU…
Mtume Alipigavita ukabila nakujifakhrisha kwa kabila
Nyerere alifanya kazi kubwa kuunganisha Taifa hili. Makabila yaliyokuwa na nguvu na Machifu kama Wasukuma na Wachaga akawapiga marifuku. Uchifu akaua! Leo mnaanza kuongea mambo ya hovyo!! Hamna mambo ya msingi kuongea, kama kupeleka watoto shule?!
Tanzania hatutaki mambo ya ukabila tuacheni jamani hii tabia ya ukabila haifai haifai haifai
Huyu shekhe nae kapagawa tu hana cha maan kwaiyo hao waolewe na nan?
sina la kusema ila Mwenyezi MUNGU ndiye mjuzi zaidi. ila kama kweli katika hayo makabila hakuna ata mmoja mwenye hofu ya MUNGU sawa
Hii
We mbaguzi tabora si watu bora wote
Allah ameumba mataifa namakabira ili mpate kujuana
Hamna shekhe apo
Hili jamaa tahira sana et ukiuliza ban Haashimu wako wapi unafukuzwa
SHEIKH wacha upumbavu ukabila ni uvundo mcha mola ndio mbora wenu
Sheikhe hapo umechupa mipaka kwa hii nchi makabila tote yameshakengeuka kinachotakiwa make awa mcha mungu
Mbwa huyu mhuni si sheikh
😅😅😅😅😅😅
Miyeyusho Tu,🤯
Acha uongo msenge na watu wamekaa kabisa wanakusikiliza unavoongopa kwa maelezo yako unataka kuwaaminisha watu kwamba kwenye hayo makabila hakuna watu wenye kuijua dini ni wazi huyu shehe anavuta bangi
Mm nmuunga na wamwaz shekhe tafuta nyengine
إنه امرؤ فيه الجاهلية
Mmmh, mungu hana ubaguz wa rangi wala kabila, ww ni mtumishi wa shetan unajiita shekhe
Wanyamwezi oyeeee tupo vizur atujuwi kuachika sisi😂😂
ila ndio kasema hamfai kuolewa
Ana hekima ata
Ukweli Huwa unauma siku zote
Duuh waislam kwakulopoka bhana
Hufai kuitwa sheikh ndio uongoza nini
Hana akili chizi
TABIA NDIO ZINO MFANYA MTU USIFUNGE NDOA NAE NA SIO KABILA
Hana maarifa huyu,tabia ni ya mtu sio kabila
Hao wanaosema namwachia Mungu hukunyuma wanaenda kuf
Jazba weken mbali
yeye hajaleta ukabila
jambo lakuowa nilazma upete mke
alie na swifa kwshiyo ikiwemo kabila kama na mengineyo
kwahiyo kama kabila lako limetajwa
vumiliya tuu
ukweli nikusemwa
😂😂😂😂😂😂😂😂 huyu jamaa ni mwehu sanaaa 😅😅😅😅 nafkiri atoka kuvuta bangi huyu 😂😂😂😂😂
Ukweli unauma jamani
Mimi ninachoamini kwenye kila kabila kuna watu wazuri na watu wabaya
Huyu jamaa wala sio shekhe ni muhuni tu....anapotosha uislam hauna mambo hayo
Hamna sheikh hapo
Uislamu unaanza tena ku promote ukabila?
Sisi sote ni watanzania hatuna kabila sisi kabila letu ni watanzania tuu Hakuna jengine
Mwenyeezimungu subhanawataala amesema chagueni ukoowakuolewa. Au. Kuolewa ukooyaani familia sio kabila shkh mtumzima unaropokatu ovyo mkofiauwo
Mchaga, mha, mpare, mhaya
*Enyi watu! Hakika Sisi tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke. Na tumekujaalieni kuwa ni mataifa na makabila ili mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa Mwenyezi Mungu ni huyo aliye mchamngu zaidi katika nyinyi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua, Mwenye khabari.* hii ni aya ya kumi na tatu kutoka sura hujurati ya imezuia kutaja hivyo ubaya zaidi katika makabila zaidi ya kufahamiana . Tumefundishwa katika dini kitazama zaidi kooo na si ukabila
Ilasemann umenifurahisha ilivyotaja Chem chem, maana ndiipo nilipo semea shuleyamsiingii
Sheikh mimi nakuona mshamba tu na mpotoshaji chunga sana
Kisha sheikh zipe dawa za kufanya meno yako yakawa kma ya watu wengine
Unasikitisha Sana
Huo ni ubaguzi na hauko katika qurani wala hadithi mashehena ,ndio maana unaambia someni kuliko kusikiliza watu
Mawaiza gani hio ya ubaguzi mke mwema ni mwenye hofu ya mungu na sio mwenye ujuzi wa kimapebzi ww shekhe una upwiru ulijuwaje makabila ya kujuwa mapenzi umezini sana ww
Huyu sio shekhe huyo ni muhuni kama wahuni wengine
😂😂😂😂😂nicheke mie
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀