SHEIKH OTHMAN MAALIM NA MFANYA BIASHARA MAARUFU WAACHA HISTORIA PEMBA.
Вставка
- Опубліковано 27 лип 2020
- Kutoka AL FATAH CHARTABLE ASSOCIATION.
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Maa Shaa Allah ndugu yetu Bopar na Othman Maalim hongereni sana na wengine fuateni nyayo hizi huu ndio Uislam na huu ndio utu Allah atubariki sana
Sheikh othman maalim nampenda sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana sana uhibbuka fil llah
Mashallah Said nassir bopar, tupate matajiri 100 wenye moto kama hawa basi znz hakutakuwa na mtu atakaye lala njaa
Kweli tupate watu MAKARIM kama hapa... Mungu akuzidishiye Amin.
Mashaallah Allah amzidishie amfanyie wepei na ampe MWISHO MWEMA
Aamiyn
Amiin
Al-fatah hongeren San huwa nikiona hivyo nafulah San had machoz yakinitok natamn siku Allah akinipa Nam nitowe kwa wingi Kam huo inshallah namuomba mungu anipe ili Nam nije kufny hivyo inshallah
Inshaallah
Siyo mbaka uwe nacho kikubwa saaana ndo utoe....waweza toa ata maji ya kunywa au ata ka mkate kalikopo apo jikoni kwako......waweza kuwa na kingi afu usiweze toa ata cent
Wallah machoz yamenitoka Allah awazidishie zaid ya mlivyotoa😭😭😭😭😭😭
Aamiyn
Sh othman umenigusa moyo sana nizaidi yakutowa khutba juu ya membari bila shaka Allah amekukubali kwa hilo umefaulu Allah awafanyie wepesi mumeonyesha mfano hauotosahaulika tarehe njema ya uislamu jazakumullwahu khairan
Maasha Allah ndugu zetu Sheikhe Uthman Maalim
Jazakum Allahu Khairaan Kathiraan.
Alhamdulillah wallahi Allah awazidishie maradufu na awape afya njema na moyo na awazhibitishie imani msichoke hakika Allah amewapa kwajili yakusaidia wasiokua nauweze.
Mungu akubarikini kwenye maisha yenu nyote mlohudhuria. Huu ndio UWISLAM . Nzuri inapendeza WALLAHI..الحمدلله
Allah akubarik, afya, yako, Mali yako, kazi yako, biashara zako uwe ni wakala mzuri wa Allah kwa kile alicho kubariki a, makusanyo ya Mali yasiowafaa waliokuzunguka ni sawa na adhabu ya kuchunga Mali mwisho wa siku ni kuacha kila kitu baada ya kufa pasi na faida kwa mmiliki, Allah akupe imani ya kweli amin
Mashaallah allah akupe kila la Mr bopar akuokee na ria
MaashaAllaah waislaam wamefurahi mnoo, baaraqa Rrahmaan
Mashaalah ni kitu cha kheri na cha imani kufanya hivyo.Inshallah Allah awalipe kheri hapa hapa duniani na zaidi huko akhera
Allah akulipe mr bopar na mungu aizidishie Alfalah kutuonesha nasi tupate moyo wa kutoa
Mola awadhidishie khayran 🙏🙏🙏
Mashaallah Allah Akbar Allah awazidishie kikubwa zaid ya icho hongereni sana Shekh Athuman Maalim Allah awajaalie umri mrefu zaidi.
Ameen
Aamiyn
Mashallah x3 mungu akupe afia ameen thuma ameen mashallah mungu amupe zahidi na zahidi ameen thuma ameen
Mashaalah Allah akuzidishie kheri illa mfike na kisiwa cha fundo
Manshallah manshallah
Bopar mashallah mungu akubarik ishallah
😭😭😭 Nalia kwafuraha mfanya biashara na Sheikh othmani maalim na woote mlioshirikiwooote ktk Kheri Allah awazidishie kila la kheri Allahumma Aamiin 🙏
Mashallah Allah akuzidishie iman
Maashallah hii ndio imani hasa ya muumin au waumini kwakweli wanaopokea sadaka hizi na nyengine hakuna budi kuwaombea dua zakheri ck zote ili Allah azidishe baraka na rehma zake waweze kuendeleza kheri hizi shukran Al fatah TV online
Allah awalipe kwakilaa hatuwa ishaa Allah
😭😭😭 mashaallah Allah amjaalie bopar kila la kheri katika maisha yake pamoja na mwisho mwema.
Amiin
Dah mungu akulipe kila la kheri father
😢MA sha Allah Alhamdulillah Mola awajaliye kheri awadhidishie vitendo maqbul 🙏
Masha Allah, Allah abarikie zaidi na nyinyi Al fatah, Allah awalipe kwa juhudi zenu.
Mashaallah Allah azidi kukubarik Bopari na mama yako bi sultana na familia yako mzima Ameen. Kwa kweli ulitoka mbali mpaka ukafika ulipo. Sisahau kabisa tokea uweleni mpaka ukafika Unguja.
😭😭😭😭Hakika nawa penda kwa Ajili YA ALLAH Mtukufu 💞
Hongera sana Alfatah kwa kutujuxa menge tusoyajua mungu awalipe kheri nyingi
maashaallah maashaallah
Mashallah Allah awalipe
Safi sana
Mashallah mzee Bopari
Mashallah
Mashaallah mungu awazidishie
Mashaallah hii vdeo imeniathiri sana mpka Bopar mwnywe amechukua mzgo na kuupeleka na shekh Othman maalim Allah akuekeni na Akulipeni wema wenu
Bopari mbona msuka makangale hueelekeii
ALLAH awazidishie kila la kheri
MaashaAllah maashaAllah Allah akulipen kheyr kubwa hapa dunian n kesho Akhera
Allah atawalipa kheri inshallah musichoke
Bopar Mashallah Mungu akuzidishie zaidi
Yaa mungu atakulipa pepo kwa uwezo wake ya rabiii
Maashaaallah Allah awaongezee zaidi ya mlichotoa
Mola awazidishie na atupe nasi hima ya kutoa kwa ajili ya Allah
Mashallah Allah awalipe kheri
mashallah jazaka llahu kheir
Huyu Bopar Allah amzidishie huyu sio kama Mo dewj kufadhili upuuzi tu
Jamani....mimi ni mkristo....balaa bukoba...mmm jammmmany wewe bwana ktk hili Mungu wa Ibrahim....akitazama...na akifanyiwa ayo ayo ndugu yangu!!!
Mashaallah Allah atawalipa kesho Ahera Allah humma Amiin
Mashallah mashalla Mola ambarik sana na atubarik sote waja wake atujaalie tuwe waja wema
Mashaallah
Allah atakulipa kheri
NI KHYR KUBWA SANA
Allah akuzidishie Boppar usiwe kama kinna Mo Dewj na GSM ukapoteza muda buree
eee huyu anaetowa sadaka na yeye anabeba kuwagaiya watu duuu mungu mkubwa allhamdulillah
Mashaallah Allah akuzidishieni umri wenye afya njema nyote muliojitolea kutoa kwa ajili ya Allah
Mashalla mwenzimungu akulipe kheri duniani na akhera.
Jazakallah kheir
Allah awajaalie kher kubwa Allah amjaalie bopar moyo wa kutoa amjaalie maisha mema duanian na akhera
Mashaallah alhamdulillah Allah akupe moyo huwo huwo wakutowa inshaallah
Masha'Allah!!
Nooron alaanoor!!
Yaa Allah awajaalie muwe miongoni mwa waja wa peponi ma pia muwayixame na watu wa mjini nao jamn shida wanazo iangalieni tibirinzi au kariakooo
Mashaallah tabarakallah Allah awabarik
MashaAllah 🥰🥰🥰
Mashall mungu awalipe ujira mwema inshallah
MashaAllah
Maa shaAllah tabarakallah
Allah akulip kila la kheri katik maisha yako inshaallah
Kina langu ni muhsin kwakweli huu nimfano mkubwasana ambao unafaa kuigwa kwamatajiri wengine boss kushiriki nakubeba mzigo begani sijawahikabisa kuona hii ndio marayanguyakwanza mungu ambariki amzidishie na awabariki waislamu wote amiin
MashaAllah Tabarak Llah.
Napogeza sanaaa Al Fatah TV. na Sheikh Othman na kakangu Said bopal nawaombeya Allah awabarik na awape maisha mazuri hapa na kesho Akhera Ameen Ameen
ABDALLAH MWINYI AJIFUNZE KUPITIA HIIII MBUNGE ALOREJESHEWA VYAKULA VYAKE
MashaAllah MashaAllah Allah amzidishie Bopar
M mungu ampe kheri ishallah
Mashallah kila la kheir
Maa shaa allah
mashallahw mashallahw Allahw Aqbr Alhw Aqbar
Ma shaallh♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Wallahi naona wivu wanachokifanya hawa alfatah na Bopar. Natamani niungane
Sina lakusema natamani kulia kwa furaha ila machozi yangu wacha yadondokee moyoni allwah awape toufiq
mashallah mungu azidi kumzidishia amfungulie azidi kusaidia watu ampe mwisho mwema yeye na familiya yake na amuingize peponi firdausi bila ya hesabu ya rabbi
Masha Allah
Allah awalipe zaidi ya mnachokitoa 🤲
Machozi yananitoka wallahi ee molla wangu mpe pepo bopar
Allah awalipe kheri innshaallah
Allah awazidishie bopar
Allah awalipe kheri
Ameen.
Mash'Allah
huyoo bopa mungu amjaze kheri sijaona mfanowake kubeba mwenyewe Mtume SW ndivyo alivyo fanya
Allah amzdshye moy wa iman
Mungu atakulipa bopar na Shekh othmn maalin
Wapemba wamekaza mashaallah
Mashallah alhamdulillah
Ameen Ameen ya ALLAH
Bopar ni mtu na nusu M/mungu amlipe kheri inshallah
Maasha,Allah
Tabaraka rrahman
Tz mpeni Uraia Shehe Othman Maalim
Allah akulipe janna kakaangu
Jazakhalau kheir
mashallah
Bopar yupo na mwanazuoni pembezoni mwake hawezi kuharibikiwa insha Allah na ndivo alivofanya halifa omar abdul azizi kuwa nao karibu na wanachuoni
@@doctasuly5249 Jazzallahu Khair
Mashaallah mr bopar
Allah akuzidishie kheri akuepushie shari
Uwe hivo hivo ngangari
Mlipaji ni kahari
Kwa watu waso na kiburi
Wewe umechukua nambari
Machozi yananitoka kwa furaha ishallha mola atakupa pepo yako bompa
Mashaallah 🥰🌹