JUMBA LA KIFAHARI ANALOISHI MBUNGE WA MPENDAE/LINA MSITU,WANYAMA PORI,NA CHUMBA CHA SINEMA NDANI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 бер 2024
  • Usisahau ku"SUBSCRIBE" UA-cam channel yetu kwa videos nyinginezo
    #zamaraditv #mambonimengi
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 369

  • @salimkassim6020
    @salimkassim6020 3 місяці тому +5

    Nimewakubali wote Mbunge,,, mtangazaji,,,na camera man wote Mashallah Allah awazidishie wametulia sana,,safi kabisa nimefurahia kipindi

  • @FatmaZena
    @FatmaZena 3 місяці тому +29

    Allah amlaze pema peponi mzee Turk.nililia sana alipofariki,hawa watu wana mioyo ya huruma sana,Allah awazidishie .nilifanya kazi ktk kiwanda chao mombasa unguja,yaani ni watu wenye mioyo ya imani mnoooooo

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 3 місяці тому +11

    Mashaallah kasri mungu akupe afya na akuzidishie na sisi atupe inshaallah. Kuna watu wana pesa lkn hawana mipangilio ila wewe mheshimiwa umezitendea haki neema alokupa m.mungu

  • @missp1814
    @missp1814 3 місяці тому +8

    Aisee hongera nampenda Huyu kiongozi,nilimsikiliza kwenye salama na,anaonekana nimtu mwenye utu sana....M. Mungu ambariki zaidi na zaidi

  • @komboomar8275
    @komboomar8275 3 місяці тому +5

    *Mungu akubarik ww na familia yenu mzima na abariki zaidi company yenu mumetufuta machozi cc wapemba kwa boat yenu ya speed tunasafiri kwa wepesi na urahisi zaiidii Allah aibariki Zan fast ferries*

  • @patimaissa8572
    @patimaissa8572 3 місяці тому +17

    Naishi jimbo la mpendae ni kweli kabisa kiongozi wetu ni mtu mzur

  • @ForodhaniZanzibar
    @ForodhaniZanzibar 3 місяці тому +43

    Hana cheni hana kipuli hajatoboa pua hana tatoo ila anabonge la jumbaaaaaaaaaaaa😂😂😂😂

  • @asiamerey9081
    @asiamerey9081 3 місяці тому +20

    Mashaallah sikutegemea kama kuna mpaka sehemu ya kuswalia kumbe nilazima ilikuwa uwe Tajiri pia kila siku unasoma juzuu moja unaimaliza Mungu akuongezee kila ulipopunguza

  • @tunkuh661
    @tunkuh661 3 місяці тому +5

    Mandhari ya hii nyumba ni tamu sana..... Mungu akupe maisha marefu Mh. Ufurahie mafanikio yako na familia kwa ujumla

  • @asiamerey9081
    @asiamerey9081 3 місяці тому +18

    😂😂😂 yani nimecheka sana nanimependa bei ya gari pekee nyumba ya mwijaku

  • @salmamkwizu3223
    @salmamkwizu3223 2 місяці тому +4

    Mashallah mashallah maisha ni nyumba inaleta utulivu wa akili ingekua mswahili apo unhekuta ana wake kumi vijana wa kiswahili wajifunze hili

    • @MsJabalkiss
      @MsJabalkiss 2 місяці тому

      Wivu wako usitutaje tuwache tajiri na mali zake masikini na watoto wake wacha tuoe tupate watoto😂😂😂

  • @RayyanRayyan-rt9cg
    @RayyanRayyan-rt9cg 3 місяці тому +12

    Iyo ni nyumba au mtaaa maashallaaah mungu kajua kuwabariki❤❤❤❤❤

  • @dorynfao
    @dorynfao 3 місяці тому +7

    "Kuhakikisha mfereji wa kuendelea kupata unakuwepo".👏👏

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 3 місяці тому +27

    Mwenyezi Mungu azid kumbarik huyu Mheshimiwa na mtangazaji wa hii makala, Mwenyezi Mungu atujaalie wote tulio Tazama tuwe serious na malengo yetu

    • @OmanOman-bm1lr
      @OmanOman-bm1lr 3 місяці тому +2

      ❤❤kabisa wallah 💯 Allah atunyanyuwe ktk kila kheri tunazozifanya

    • @feynalabdul5999
      @feynalabdul5999 3 місяці тому +1

      Ameen

  • @yusrasalum
    @yusrasalum 3 місяці тому +4

    Mashallah hongera kwa mbunge anajielewa! Bora tunaona vitu tofauti 😊

  • @mussakhamis3149
    @mussakhamis3149 2 місяці тому +1

    Mashaallah kka hongera sn Allah akurudhuku zaid akuekee mamaetu ale neema zako za kijana wamzazi mwenzie km yy mzazi mwenzie alivo kua famasia baba akala nema zake nayy mama ale nayma zake kupitia ww kka hongera sa uwe naramadhan Qareem na laylat-lkadir iwe juu yk nami M/mungu anijalie niwe km ww tuige mfano wako mzuri kka inshaallah 🙏

  • @MrA24G
    @MrA24G 3 місяці тому +4

    Huyuu ndio mbunge ana provide direct kwa watu si wale wanaongea maneno mengi.Majimbo yana njaa chagueni wabunge wenye uwezo kama huyuu hii ndio style ya marekani

  • @RayyanRayyan-rt9cg
    @RayyanRayyan-rt9cg 3 місяці тому +16

    Muheshimiwa haringi umepoa mtu wamaana kabisa huna majivuno mwenyekukuelewa amekuelewa

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 3 місяці тому +8

    Mtangazaji kuchanganyikiwa na jumba la kifahari mpaka viatu umeogopa kuvaa😂😂😂

    • @salhaothman8278
      @salhaothman8278 3 місяці тому +2

      😂😂😂halaf hana uhuru wa maswali leo
      Halazimishi kuingia vyumbani km anavofanya kwa wasanii

  • @ahmadsayyeed7910
    @ahmadsayyeed7910 2 місяці тому +2

    Katika vijana ambao wanamiliki mambo makubwa lakini ukimuona katika shuhuli za maarous misiba au hata uraiyani hana mambo mengi wala kujivuna namkubali🎁🥰💞💯🌹

    • @Leylah-pz5sc
      @Leylah-pz5sc Місяць тому

      Ni kweli hawa Turk wote wana roho nzuri na anasaidia sana pale mpendae

  • @MahraMansoor5969
    @MahraMansoor5969 3 місяці тому +12

    Tawfiq mtu mzuri sana lakini huyu tokea zanani yupo hivi hana tabu mashaa allah nice one from 🇬🇧

    • @salma0000
      @salma0000 3 місяці тому +1

      Alipata malezi mazuri

  • @vincej9275
    @vincej9275 3 місяці тому +3

    Mtu mwenye mwoyo safi. Very humble man.

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs 3 місяці тому +8

    I seeee Kuna watu wanaishi alaf Kuna sisi wapiga debe insta

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 3 місяці тому +5

    Hongera sana Mh Mwenyezimungu akulinde❤

  • @chybuwagwantaz8054
    @chybuwagwantaz8054 День тому

    Allah akbar aendelee kuku Bariki inshallah

  • @mussakiziyzi408
    @mussakiziyzi408 3 місяці тому +11

    Saleh leo kawa km sie yeye full nidham,ule ukuda wa kutaka kujua kila akionacho na kufunqua funqua draw na mafridge kakaushia.
    All in all
    Mpaka miquu chini katembea kudadek
    😂

  • @markmwaghogho9226
    @markmwaghogho9226 3 місяці тому +4

    From Nairoi Kenya...mheshimiwa yupo sawa

  • @user-pv3km8cb7s
    @user-pv3km8cb7s 3 місяці тому +4

    Alhamdulillah nmesoma kitu kupitia kiongozi

  • @FreeGod368
    @FreeGod368 3 місяці тому +5

    Uyu jamaa yuko humble sana

  • @user-cz1pb6zn3h
    @user-cz1pb6zn3h 3 місяці тому

    Masha Allah ... allah akulinde na Khasad... sali SUNNA rakaa 2 ... kuomba ulinzi wake... NA CHA KUSHANGAZA UPO KAWAIDA KABISA.

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 3 місяці тому +1

    Aisee hakika Allah akutunze sana Mh Taufiq kwa faida ya wengi

  • @omanmct135
    @omanmct135 3 місяці тому +5

    Rahasana nimependa sana chumba chKusaliya

  • @suhailaidarousahmed2879
    @suhailaidarousahmed2879 3 місяці тому +1

    MashaAllah muheshimiwa Allah akuhifadhi nimefurahi hicho chumba cha Swalaa wallahi good usali na familis

  • @judithkirenga9977
    @judithkirenga9977 3 місяці тому +2

    Viongozi wetu wote wanatakiwa kuwa inspiration kwa Watanzania wetu kama hivi❤❤

  • @user-pv3km8cb7s
    @user-pv3km8cb7s 3 місяці тому

    Shukran bro swaleh classic kwa kutusaidia kwa namna nyengine

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 3 місяці тому +2

    Zenji wana vitu vizuri sana'ongera mhe❤❤❤

  • @RioIpo
    @RioIpo 3 місяці тому +5

    Hongera sana Mbunge wangu Taufiq

  • @user-kh8tr8xh4v
    @user-kh8tr8xh4v 3 місяці тому

    Mashallah nimependa sana.maendeleo yako Allah azidi kukuweka.

  • @khamisshee803
    @khamisshee803 3 місяці тому +1

    MashaAllah ❤❤❤
    AKA BACHUCHU MOMBASA 001
    🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @gracelisso7163
    @gracelisso7163 3 місяці тому +5

    Kijana mdogo lakini amekuwa na njozi kubwa yaani mpaka naona wivu wa maendeleo Aristotle anasema spaceeeee

  • @salimalrumhy7575
    @salimalrumhy7575 2 місяці тому +1

    Kwa hio sisi tuliojiripua huku turundi Mpendae tuje tupate ruzuku ya Ramadhan na posho la mwisho wa mwezi 😂

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 3 місяці тому +2

    🤔Kuonyesha raslimali, mafanikio na kusimulia historia yako sio jambo geni, ni jambo zuri na la mfano kwasababu sisi tunaoshuhudia haya huweza kutufunua macho na kujua jambo mojaau mawili. Asanteni kwa kushea tumefarijika na kujua kidogo vipi mwenzetu amefanikiwa.

  • @nasirabdalla8646
    @nasirabdalla8646 3 місяці тому +5

    Mwiiteni aristote aseme speeeec

  • @rahimahamad1016
    @rahimahamad1016 3 місяці тому

    Frankley speaking, I like the way the garden is! It is woow and I don't expecting the weird of apart from that house.

  • @mahmoudliwali1919
    @mahmoudliwali1919 3 місяці тому

    Mashaallah Allah akuzidishie ni mtu mzuri na apenda mazuri Allah ampe mazuri

  • @muddychambale5854
    @muddychambale5854 3 місяці тому +1

    Mungu akuzidishie zaidi na zaidi

  • @user-yy6vy4xu2s
    @user-yy6vy4xu2s 3 місяці тому +12

    Hii si nyumba chuo kikuuuu.

  • @ZuhuraKhamis-rw1it
    @ZuhuraKhamis-rw1it 3 місяці тому +1

    Mashallah Allah akubariki na pia uwe na moyo wa kusaidia wasojiweza Kwani wapo wasomiliki ata chumba 1 Allah atakuhifadh duniani na akhera

  • @KhalidNa-bn4gp
    @KhalidNa-bn4gp Місяць тому

    Aaaaaa unashindwaje.bwana kuongeza wake aaah lakn maaasha allah

  • @bas2823
    @bas2823 3 місяці тому

    GOD BLESS U MORE N BLESS ALL THE CREATIONS OF GOD! IN HIS SWEET WORLD👌AMEEN🤲

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy 2 місяці тому +1

    Mimi nimfatiliaji mzuri wakipindi chenu,lakini leo kwamara yakwanza amehojiwa Muheshimiwa plus Tajiri nawala haringi

  • @nailaomar4810
    @nailaomar4810 3 місяці тому

    Mashaallah tabarakaallah Allah akuhifadhi

  • @ashaabdallah9672
    @ashaabdallah9672 3 місяці тому

    Maashallah mungu akuzidishie

  • @user-ff2ez9hj4e
    @user-ff2ez9hj4e 2 місяці тому

    ❤mashallah namuomba allah anijalie na mimi

  • @tutumarzouk9803
    @tutumarzouk9803 3 місяці тому +1

    hii sio nyumba inafaa iitwe Kasri, ina hadhi ya Presidetial house ⭐⭐⭐⭐⭐

  • @faridapandu7579
    @faridapandu7579 3 місяці тому +4

    Mungu akupe zaidi nazaidi muheshimiwa na salehe munguakuongoze inshaallah

  • @JJ_00755
    @JJ_00755 3 місяці тому +2

    Masha'allah ✨

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 3 місяці тому +1

    Masha ALLAH ❤ ❤ ❤ 🎉🎉

  • @user-dn7gn6ib4k
    @user-dn7gn6ib4k 3 місяці тому +1

    Mashallha beautiful place❤

  • @aishakambenga6191
    @aishakambenga6191 3 місяці тому +5

    MashaAllah kama Ikulu vilee pokea MAUA yako 💐

  • @user-fe3ws4ud3m
    @user-fe3ws4ud3m 3 місяці тому +2

    Mungu nipe ulichowabatik wao mungu akueke na akuongezeee unapotoa

  • @MaranduMarandu
    @MaranduMarandu 3 місяці тому +1

    Mungu akubariki kiongozi unaonekana nimtu wa watu

  • @FayeezAlbahassaney
    @FayeezAlbahassaney 3 місяці тому

    MashaAllah juzu 1 kwa sik

  • @aminattai2676
    @aminattai2676 3 місяці тому +1

    Kuna msenge mmoja majuzi aliwakusanya wa mama alikua anawapa shilingi elfu ishirini ishirini na kurusha mitandaoni,angalieni wenye pesa wapo kimya na wanasaidia watu sana lakini hatuwajui sio kujionesha onesha mitandaoni

  • @ahlamsaleh670
    @ahlamsaleh670 Місяць тому

    Muhishimiwa Kwanza kabisa Sema alhamdulilah sio kwa nyumba alhamduliah kwa mama kuwa hai trust me once mamako ataondoka duniani life is meaningless trust me 😢

  • @user-dn7gn6ib4k
    @user-dn7gn6ib4k 3 місяці тому +2

    He has a good heart mashallha

  • @officialoscaroscarjrfan
    @officialoscaroscarjrfan 3 місяці тому +4

    Ila haya maisha sio poa yaani daah😢

  • @emmanueljohn9286
    @emmanueljohn9286 3 місяці тому +1

    Umasikini kitu kibaya sana.yaani mtangazaji anatembea peku wakati tajiri kavaa sandal..😂😂😂

  • @OmarSongoro-bp9pn
    @OmarSongoro-bp9pn 3 місяці тому +7

    Kuna kuishiii na kuishiaaa

  • @user-yy6vy4xu2s
    @user-yy6vy4xu2s 3 місяці тому +2

    Mungu amuongezeee na sisi atupe vino heri na sisi.

  • @jeedymasoud4269
    @jeedymasoud4269 3 місяці тому +10

    Unaweza tafutwa mwezi mzima na usipatikane

  • @si-qm1ki
    @si-qm1ki 2 місяці тому

    Ila nyumba ndogo na simple ni nzuri bana hlf una enjoy haikupi stress....

  • @damsonwilson5202
    @damsonwilson5202 3 місяці тому +1

    Jamaaa nimemkubali Sanaa mbunge safi

  • @mwantumkombo3014
    @mwantumkombo3014 3 місяці тому +2

    Manshallah ❤

  • @officialoscaroscarjrfan
    @officialoscaroscarjrfan 3 місяці тому +7

    Huyu kweli ni tajir😂😂😂

    • @ziadasalimu1730
      @ziadasalimu1730 3 місяці тому

      Yaani mungu huyu ha! Sisi wengine twatabika ha! Asante mungu🙏

    • @user-ex6sh1rl4d
      @user-ex6sh1rl4d 3 місяці тому

      ​@@ziadasalimu1730omba msamaha kwa mola wako

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 3 місяці тому +6

    dah huyu mweshimiwa wa Zbar ni mtu poa sana..anajua kuji-express na ni mtu mwema mno

  • @bas2823
    @bas2823 3 місяці тому

    I LIKE THE PLACE ITS VERY PEACEFUL N STUNNING PLACE TO LIVE N HAVE BRAKE N RELAX👌 IT IS A MARVALOUS STUNNING PLACE😆👍 I LOVE IT❤" "PEACE N QUITE" I LIKE TO LIVE AT THE FARM! THEN TOWN" FAR FROM THE NOISY N ZAHMA 👌COOL N CALM👍

  • @rastapeace9616
    @rastapeace9616 3 місяці тому +2

    Mungu akupe umri muheshimiwa

  • @user-in4en3pu2b
    @user-in4en3pu2b 3 місяці тому

    Allah akujalie kheer

  • @philisanga866
    @philisanga866 3 місяці тому +1

    Me nkajua utasema namshukur mama yangu mzaz kwa kunizaa we unakumbuka malafiki zako tu. We mpuuz sana mama ndyo kila kitu kwako hiyo siku yako ya kuzaliwa ujue hukujitambua alie kuwa anakutambua wewe ni mama yako pekee huna hud kumshukuru mama yako kwanza ndyo wafate hap marafik zako jua kuwa siku ya kuzaliwa kwako ni siku aliyo pitia mambo mengi mama yako alitukanwa na manes na pia alipelekwa hosptal kwa shida wewe unashangilia kitu ambacho hukijui jua kuwa huo ni ujinga sana. Me nina mke mke wangu alizalia nyumban tena usiku kitu nilicho kiona hakika siwez kufurahia siku ya kuzaliwa kwangu yaan hiyo siku ntampa zawad mama yangu tena ntajitahid nimpe zawad kubwa zaid ya anavo fikilia. Kuzaa sio mchezo mdogo wangu acha kabisa kufurahia siku iyo mama ndye anae jua.

    • @bagalucha
      @bagalucha 3 місяці тому +1

      Yote ya nini hayo,mbona hayakuhusu?,wewe unajua Vipi yeye na mzee wake wanavyoishi,hebu kuwa mstaarabu.

  • @khadijamansoor7415
    @khadijamansoor7415 3 місяці тому +1

    Mashaallah jumba la kifahati hatare

  • @mjombambuzi4295
    @mjombambuzi4295 3 місяці тому

    Kher, baraka,upendu,uzma,akili na mengi mazur mungu akuzidishie wewe na sisi amin amin

    • @mjombambuzi4295
      @mjombambuzi4295 3 місяці тому

      Kwli baba Kwan psa kuizalisha kunahtaji kufnya matumiz mm nnalak tano na amini nita izalisha kuwa tilion

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 3 місяці тому +1

    Nakukubali sana tangu nilivyokusikiliza kwaSalama

  • @Chakol682
    @Chakol682 3 місяці тому +5

    Leo hamna ubwabwa 😂😂 mfungo 😂😂😂

  • @mbwanafeisal2904
    @mbwanafeisal2904 3 місяці тому +3

    Huyu MH katisha Nadhan hata Mr white mwenyewe hajawai ishi namna hii

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 3 місяці тому +2

    Soaaaaceee imezingatiwa wenye pesa hawana kelele

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh 3 місяці тому +14

    Hivi mwijaku ameona hii nyumba sio anatusifia kichochoro chake

  • @frankngoloka2589
    @frankngoloka2589 3 місяці тому +3

    Daaah kweli tutafute hela

  • @fatumahashimmcheni9610
    @fatumahashimmcheni9610 3 місяці тому +3

    Kuna watu wsishi alafu sisi tunaishiaa
    Msanii mkubwa wa tz mmoja aonyeshe kama hili

  • @HoneyBeel5
    @HoneyBeel5 3 місяці тому +1

    Kwahy ndio ukagoma kuvaa viati😂😂😂

  • @ReshimaAbdalla
    @ReshimaAbdalla 3 місяці тому +2

    Mwijaku anatuambia ana kasri😅sijui hii itakuwa Nini kama ile ni kasri😅😅😅

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 2 місяці тому

      Ila Kuna watu wanaishi ili wale, wengine tunakula ili tuishi.

  • @user-sf5lk3qo4s
    @user-sf5lk3qo4s 3 місяці тому +1

    Masha Allah

  • @user-nf9ck9wk5y
    @user-nf9ck9wk5y 3 місяці тому

    Mashallah allah akubariki

  • @omanmct135
    @omanmct135 3 місяці тому

    Mashalllah❤

  • @thuweinthabit6313
    @thuweinthabit6313 3 місяці тому

    Maa shaa Allah

  • @hamidhajimakame3700
    @hamidhajimakame3700 3 місяці тому +2

    Nyumba ina heka Kumi mashaallah

  • @Tuu2019
    @Tuu2019 3 місяці тому +2

    Mashaalah

  • @nellymtambo8432
    @nellymtambo8432 3 місяці тому +1

    Kuna watu wanaishi❤

  • @meowzna
    @meowzna 3 місяці тому

    Masha'Allah🙏

  • @deega1234
    @deega1234 3 місяці тому

    Allah yebarik