![AL FATAH TV ONLINE](/img/default-banner.jpg)
- 1 576
- 9 836 788
AL FATAH TV ONLINE
Tanzania
Приєднався 27 жов 2017
Aslamaleykum Toa Maoni yako kuhusu Vipindi Vyetu
Je? Tunafikisha Ujumbe kwa asilimia ngapi?
Je? Tunafikisha Ujumbe kwa asilimia ngapi?
MAKAMU WA PILI AUNGANISHA MAWAZIRI KUINUA UCHUMI AFRICA
Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Переглядів: 87
Відео
THEIR HAPPINESS IS ON OUR HANDS
Переглядів 36818 годин тому
Kutoka AL FATAH TV . Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: 255 777 858 490 #AlfatahTvOnline #AlfatahCharitableAssociation #ZANZIBAR
HII KWETU LEO NI ZAIDI YA EID
Переглядів 1,3 тис.21 годину тому
Kutoka AL FATAH TV . Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: 255 777 858 490 #AlfatahTvOnline #AlfatahCharitableAssociation #ZANZIBAR
SMILES OF ISLAMIC BROTHERHOOD AT EID AL ADH'HA 2024 IN ZANZIBAR
Переглядів 60721 годину тому
Kutoka AL FATAH TV . Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: 255 777 858 490 #AlfatahTvOnline #AlfatahCharitableAssociation #ZANZIBAR
EID AL ADH’HA 2024 YAFANA ZANZIBAR
Переглядів 1,5 тис.21 годину тому
Kutoka AL FATAH TV . Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: 255 777 858 490 #AlfatahTvOnline #AlfatahCharitableAssociation #ZANZIBAR
BAADHI YA WAISLAMU ZANZIBAR WASWALI EID AL ADHA (2024)
Переглядів 5 тис.23 години тому
Kutoka AL FATAH TV . Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: 255 777 858 490 #AlfatahTvOnline #AlfatahCharitableAssociation #ZANZIBAR
ZANZIBAR MUSLIMS JOIN HAJJI FOR EID EL - HAJJ CELEBRATIONS (2024.)
Переглядів 1,6 тис.23 години тому
Kutoka AL FATAH TV . Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: 255 777 858 490 #AlfatahTvOnline #AlfatahCharitableAssociation #ZANZIBAR
AMIR FARID AMWELEZA RAIS MWINYI IPI ARAFA SAHIHI
Переглядів 68 тис.День тому
Kutoka AL FATAH TV . Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: 255 777 858 490 #AlfatahTvOnline #AlfatahCharitableAssociation #ZANZIBAR
ZANZIBAR YAJIDHATITI KUPAMBANA NA MAGONJWA YA MILIPUKO
Переглядів 731День тому
Kutoka AL FATAH TV . Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: 255 777 858 490 #AlfatahTvOnline #AlfatahCharitableAssociation #ZANZIBAR
HIVI NDIO VYANZO VYA UDHALILISHAJI MTANDAONI
Переглядів 37814 днів тому
Kutoka AL FATAH TV . Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: 255 777 858 490 #AlfatahTvOnline #AlfatahCharitableAssociation #ZANZIBAR
KUNA MAZITO KASKAZINI UNGUJA
Переглядів 1,5 тис.14 днів тому
Kutoka AL FATAH TV . Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: 255 777 858 490 #AlfatahTvOnline #AlfatahCharitableAssociation #ZANZIBAR
UKOSEFU WA AJIRA ZANZIBAR WAPELEKEA WASOMI KUFANYA HAYA
Переглядів 4,8 тис.14 днів тому
Kutoka AL FATAH TV . Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: 255 777 858 490 #AlfatahTvOnline #AlfatahCharitableAssociation #ZANZIBAR
MTOTO KUMTELEKEZA MZAZI WAKE KWELI NI SAWA?
Переглядів 2,2 тис.14 днів тому
Kutoka AL FATAH TV . Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: 255 777 858 490 #AlfatahTvOnline #AlfatahCharitableAssociation #ZANZIBAR
FANYA HAYA ILI MKE WAKO AKUWAZE MUDA WOTE (HUBBUL HALAL)
Переглядів 1,3 тис.14 днів тому
Kutoka AL FATAH TV . Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: 255 777 858 490 #AlfatahTvOnline #AlfatahCharitableAssociation #ZANZIBAR
MARUFUKU KUFANYA JAMBO HILI ZANZIBAR (POLISI WETU)
Переглядів 1,1 тис.21 день тому
MARUFUKU KUFANYA JAMBO HILI ZANZIBAR (POLISI WETU)
HUU NDIO WIVU UNAOWEZA KUJENGA MAPENZI KWENYE NDOA (HUBBUL HALAL)
Переглядів 4,3 тис.21 день тому
HUU NDIO WIVU UNAOWEZA KUJENGA MAPENZI KWENYE NDOA (HUBBUL HALAL)
HII NDIO HATARI YA KUWASHIRIKISHA WATU WA NJE KWENYE NDOA (HUBBUL HALAL)
Переглядів 3,2 тис.21 день тому
HII NDIO HATARI YA KUWASHIRIKISHA WATU WA NJE KWENYE NDOA (HUBBUL HALAL)
ONYO KALI KWA WATAKAO FANYA VURUGU AMANI COMPLEX JUMAPILI
Переглядів 72721 день тому
ONYO KALI KWA WATAKAO FANYA VURUGU AMANI COMPLEX JUMAPILI
KUMNYIMA HAKI YA NDOA NI UKATILI PIA (HUBBUL HALAL)
Переглядів 3,3 тис.28 днів тому
KUMNYIMA HAKI YA NDOA NI UKATILI PIA (HUBBUL HALAL)
JESHI LA POLISI ZANZIBAR LATOA ONYO KWA WATAKAOGUSA WATU WAO #police #tanzania
Переглядів 1,1 тис.28 днів тому
JESHI LA POLISI ZANZIBAR LATOA ONYO KWA WATAKAOGUSA WATU WAO #police #tanzania
MTOTO WA MIAKA KUMI NA MOJA AFANYA TUKIO LA AJABU ZANZIBAR
Переглядів 30 тис.28 днів тому
MTOTO WA MIAKA KUMI NA MOJA AFANYA TUKIO LA AJABU ZANZIBAR
BOPAR AWAPIGA MSASA WALIMU WA MADRASA
Переглядів 2,2 тис.Місяць тому
BOPAR AWAPIGA MSASA WALIMU WA MADRASA
UKIONA DALILI HIZI, ANAKUSALITI (HUBBUL HALAL)
Переглядів 6 тис.Місяць тому
UKIONA DALILI HIZI, ANAKUSALITI (HUBBUL HALAL)
WAKAAZI WA WAMBAA PEMBA WAKARIBIA KUONDOKANA NA DHIKI YA MDA MREFU
Переглядів 1,9 тис.Місяць тому
WAKAAZI WA WAMBAA PEMBA WAKARIBIA KUONDOKANA NA DHIKI YA MDA MREFU
NO BODY IS ALONE EVEN IN DARKEST MOMENT
Переглядів 1,7 тис.Місяць тому
NO BODY IS ALONE EVEN IN DARKEST MOMENT
MBINGU ZAPOKEA KILIO CHA MTOTO YA YATIMA PEMBA
Переглядів 16 тис.Місяць тому
MBINGU ZAPOKEA KILIO CHA MTOTO YA YATIMA PEMBA
IFAHAMU HALI YA MTOTO YATIMA LAIYEKUA ANALALA NA NYOKA PEMBA
Переглядів 10 тис.Місяць тому
IFAHAMU HALI YA MTOTO YATIMA LAIYEKUA ANALALA NA NYOKA PEMBA
WAFANYABIASHARA DARAJANI SOUK WALIA NA RAISI MWINYI
Переглядів 12 тис.Місяць тому
WAFANYABIASHARA DARAJANI SOUK WALIA NA RAISI MWINYI
HIVI NDIVYO SIMU ZINAVYOVUNJA NDOA (HUBBUL HALAL)
Переглядів 10 тис.Місяць тому
HIVI NDIVYO SIMU ZINAVYOVUNJA NDOA (HUBBUL HALAL)
John okelo ni muuaji tu .kaletwa zanzibar na makanisa kuuwa waislamu na kuuwa uislamu. Kasomeni kitabu chake. Ndio mpaka leo zanzibar inatawaliwa na kanisa. Na wakala wa kanisa hilo ni Tanganyika
mashaalah good wakumbush kwa akili ya Allah
Allah ndio Mlipaji, akulipeni badala na Ziada yake
Jamani watu wasome na wawe na heshima wanaposoma sio kusema ovyo kusipokuwa na msingi wotwote mtu mwenye elimu anabishana Kwa hoja si tofauti
Asante kwa kutugàwia historia muhimu. Kichwa chako kina skull zaidi ya vitabu. Ukiandika kiatabu utasaidia sana.
Umwteleza mkuu achauoga ww kuna kuta 4
Hongera kwa kuujulisha umma wa kiisilaam kwa kuwajuza waisilaam popote pale walipo duniani ili waweze kuchangia ili ndg zetu hawa waweze kupata msikiti mzr kwaajili ya kufanya ibada zao ktk hali ya Utulivu Inshallah.
Assalamu alaykum. Alfat Allah akulipeni khery. Tunaomba Sana tuwekeeni History ya Sheikh Said Bin Nyange NI Mimi Akhy wenu Abuu Twalha
naukisema simu hazifai basi usitumie cm.mutume s.a.w.aliposema.سومو لرؤيته وافطرو لرؤيته)alikua anawaambia waislam wote duniani.
naukisema simu hazifai basi usitumie cm.mutume s.a.w.aliposema.سومو لرؤيته وافطرو لرؤيته)alikua anawaambia waislam wot e duniani.
naukisema simu hazifai basi usitumie cm.mutume s.a.w.aliposema.سومو لرؤيته وافطرو لرؤيته)alikua anawaambia waislam wot e duniani.
naukisema simu hazifai basi usitumie cm.mutume s.a.w.aliposema.سومو لرؤيته وافطرو لرؤيته)alikua anawaambia waislam wore duniani.
nyinyi na Maka mmetafutiana Nini?
nyinyi na Maka mmetafutiana Nini?
Mashekh kuweni waadiliifu.angalieni mtume s.a.w.alifanyaje ktk ibada.inaonekana nyinyi umjaelewa.hakuna tarehe mbili duniani
Mmekalia kubishana mambo yasiyokua na faida ujinga mliopandikizwa na mabwana zenu nje ya nchi ndiyo yanayorudisha nyuma maendeleo ya nyanja zote katika uislam mmekua mamwinyi mashekh mnatukanana mnadhalilishana saa ngapi mtawakumbuka waislam wa vijijini mashekh wa Tanzania mnatia kinyaa kuritad Kwa waislam Hawa ni matokeo ya sera mbaya za viongozi wa kiislam Tanzania
Hadithi zpo waz hongeraa kwa kuzdi kutuelimisha
❤❤❤❤❤❤❤
Mabrook sheikh huo ndio ukweli
Mung atafany wepes ktk hili Allah ishaallah
Serikali maaana yake nn na inafanya kazi gani?
Ni unguja hii au Pemba?
Nmemuona bi khadija mashallah tulikua nae leo
Mashallah mashallah mungu awajaalie zaid kwa kujtoa kwenu mi aisha kutoka kahama
Good Night 💤🌙 😊 Sweet Dream 🌠🌠🌠🌠🌠🌠🌠 Good Night 💤🌙 😊 Sweet Dream 🌠🌠🌠🌠🌠🌠🌠 Good Night 💤🌙 😊 Sweet Dream 🌠🌠🌠🌠🌠🌠🌠 🍸🌹🌹🍸🌹🌹🍸 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹 🍸🌹🌹🌹🌹🌹🍸 🍸🍸🌹🌹🌹🍸🍸 🍸🍸🍸🌹🍸🍸🍸 🍸🍸🍸🌹🍸🍸🍸 🍸🎁😊❤☺🎁🍸 11
Mashallah Allah akulipe ujira wako sisi wengine dio darasa yetu tunasoma
Sijaona hoja ya kutokufunga pamoja na mahujaji siku ya Arafa. Arafa ni moja tu ile ya makka. Hadithi ya mtume ishajitosheleza kuwa kufunga siku ya Arafa ni moja tu. Ispokuwa ufahamu wa hadithi wengine wanashindwa kuielewa.
Mashallah kabisa.umesema neno lizuri(kuniwiya sadaka)
Laiti ingekuwa hii dini haendi na wakati basi maisha yangekuwa magumu sana. Lkn Allah katurahisishia kutuachia wazi suala hilo. Lkn watu huchagua wanayitaka wao tu. Laiti tungekuwa wamoja waisilamu basi dunia nzima waisilamu tungefuata mwezi mmoja tu.
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Tufateni mwendo Mtume saw na maswahaba zake ,hata nchi zipitane kwa masaa mangapi lkn hakuna nchi umezidi nchi nyengine kwa masaa24.Arafa ni siku Moja kwa Dunia mzima na inaambatana na Tendo Hilo la Arafa. Kwanini kwenye Valentine day , women's day ...watu hawasherekei siku mbili mambo yao ya upotevu ,siku unakua Moja Dunia mzima. Acheni kufata akili kwa mambo ya Dini
Sio kweli kuna sehemu zimepishana masaa zaidi ya 24. Kama unabisha ingia google.
@@mujilbtoq1827 Taja hizo sehemu.May be you know more about Geography
Maa Shaa Allah, Allah akuhifadhi sana shekhe
waislaam ndugu zangu kama kuna mtu miongoni mwetu bado atahoji hili swala bas atakua mjinga itoshe kuskia na kuzingatia ndio sawa
waislaam ndugu zangu kama kuna mtu miongoni mwetu bado atahoji hili swala bas atakua mjinga itoshe kuskia na kuzingatia ndio sawa
Hapa mbona salafi hawatii mdomo kule aliko tolewa makosa shekhe mselem alikua wao ndio wasemaji hapa mbona kimya?
Gharafa haina tatizo.Tatizo ni sisi tunapoikwepa hadith ya Mtume na kutetea madhheb zetu.Nampongeza Sheikh Mziwanda aliposubutu kutafsiri hadithi nnje ya madhheb zetu.
Kwaio allaa kajalia arafa kila nchi au sehemu hushuka uko au Kwa kusudio hilo mbona mwatuchanganya kwaio hushuka kila siku nchi ilokua mwenz tisa
Kwaio allaa kajalia arafa kila nchi au sehemu hushuka uko au Kwa kusudio hilo mbona mwatuchanganya kwaio hushuka kila siku nchi ilokua mwenz tisa
Sasa si wangelalamika wao walokua saa tatu usiku uko sasa wewe upon Sawa na Madina wap na wap kwamaana hio wewe humo wache wanao pngana swala
Mashaallah shekh wetu tumekufaham
Huyu anawapoteza watu dahh
sisi tanzania na saudia tunatofautiana masaa mangapi ?????
saa tuko sawa illa kuchomoza JUWA na Mwezi tuko tafauti na MAZINGATIO YA SHERIA YAPO KATIKA MICHOMOZO NA SIO SAA
Hela babaa😂😂😂
Huuu ni uzuka , huu ni uzuka , huu ni uzuka Wallahi wabillahi watallahi huu ni uzuka. Sheikh umeisahau hadithi ya mtume alipofunga yeye na maswahaba zake siku ya eid mchana wake akaletewa habari na mtu kua aliuona mwezi mtume akafungua na akawaambia maswahaba wafungue na akaamrisha mtume swala iswaliwe siku ya pili.. Swali kwanin mtume akafungua na wao pahala walipo hawajauona mwezi ? Mwezi waliletewa habari tu kama umeonekana huko nje ya mji. Kwann mtume asiikamilishe ile funga akafungua ??
Ni masheikh wanao waita watu katika milango ya motoni😢, mbona siku ya wanawake duniani ni siku moja tu, siku ya wazee ni siku moja tu, siku ya watoto ni siku moja ?? Kwanini dini ya Allah muitie khtilaaf mulete mambo mingi ktk dini ya Allah? Izo aya na hadithi za shubha unapotosha watu hali ya kua wew unazidahamu lakin wasiofahamu munawatia ktk giza
mashaAllah
Mashallah ila mm naona hebu sisi waislamu tuwacheni haya mambo ya kupingana sisi kwa sisi
Pole sana mama mungu ampe wepesi
Huyu jamaa faridi anajidanganya sana huyu ivi anazani rais wetu mpendwa ambae rais husein aliyah hasan mwinyi ni mtu wa kuburuzwa ktk membari za dini Hapana bali rais wetu anayafahamu zaid hayo unayo yazungumza kwanza ktk tofauti zake na ukweli wake na makes makosa yake kilicho baki kwake yeye ni kusikiliza wazungumzaji watakao zungumza ktk ugeni atakao udhuria ikisha bas anaangalia nchi ni vipi anaisimamia na rajya wake Tunamuomba Allah aliye juu amuhifadhi na kumuongoza rais wet juu ya haqi na amkinge na wafitinishaji wowote wanaotaka kumfitinisha haswa ktk kupitia jina la dini
No