Kilabinadamu na mapungufu yak hakuna mkamilifu kwa ngu kwavile nalielewa hilo la kilabinadamu anaudhaifu yake ila kwwngu sabra ni mpambanaji anajielewa anajiamini na anajua alikosea wap na amepatia wapi ili andelee
Wanawake wanapenda sana anguko la mwanamke mwenzao hili ndilo tatizo ushahidi ni mitandaoni tunayaona na katika jamii yameshika kasi,tubadilikeni Wanawake.
Tunzo kajipa mwenyewe huyo😂😂😂😂😂😂Yaani huyo akapewe Tunzo ya nini,mpija hela za wananchi huyo ,Ali baba hahah Hauna lolote mwamba unajipa kiki tu ili kujiondoa stress
Nikikumbuka huyu Mama wakati wakolona Duuh natamani kucheka tulijichagua watu wa mahotel kwenda kwenye ofisi yake ya Zsff ili tupate hata pesa zetu wenyewe alitujibu vibaya sana na tulifurahi alivyotumbuliwa 😊
Huyu anamatatizo mwanzo tulijua nimtu mwenye msimamo wa dini mtoaji nasaha na ushauri baada yakurudi kwenye nafasi yake akaanza kujirusha na haiwezekani mara kwa mara matatizo yake yananirudia nanilimsikia kiongozi mkubwa anamtaja kwa ubadhirifu kwa mali ya umma nanimtu wakuaminika aliyeyasema hayo huyu kwenye serikali hafai kabisa
Uyu dada alikuwa na dharau sana Wakat wa cheo alisema nile chips hizi yaan aombe kwa mungu tu Ila dharau alikuwa nayo zee zima lilifanya harusi kama mwari kipindi cha COVID alingoa mabembea akaweka kwake
Miradi yake hadi leo imetajwa kwenye repoti ya Mdhibiti Zanzibari yaani kapiga hela sana tu za Wazanzibari kipindi alichozawadiwa na Shein maana shein alikuwa anawazawadia tu madaraka
Ila chuki ww mwenyewe umezisababisha dear ulikuwa unazarau hao wanawake wezako sanaa kiasi wakuchukie kuna mda tusemen kweli km dharau zetu wenyewe ndizo zinasababisha watu watuchukie
🤔Mimi husema tu jema husifiwa na baya hulaaniwa. Kama kuna mazuri aliyofanya Sabra na ushahidi upo basi apewe sifa yake. Na kama kuna mabaya si vipo vyombo vya upelelezi na ikithibitika atawajibishwa. Tupendane chuki bila ya ushahidi wa jambo baya au kitu ni upotevu wa muda.
Mie huyu simuelewi elewi hasaa!! Kama kuna kitu kinamsumbuwaa kichwani ila ana act yupo na furaha! Ila hayupo sawa sawa huyu ndio maana maneno yake ni lawama za kuchukiwa Mara kuachwaaa miaka yotee huyu hayupo barabarr!! Au ndio hizo pesa za wizi??
Mashallah Allah atakulinda hapa duniani na atakufanyia kila Lilo na kheri nawe tupo nyuma yako milele
Mashaalah I love her. Wawooooo I learned a lot from her 🥰🥰🥰🥰🥰
Smart honest, confidence i like you
Kilabinadamu na mapungufu yak hakuna mkamilifu kwa ngu kwavile nalielewa hilo la kilabinadamu anaudhaifu yake ila kwwngu sabra ni mpambanaji anajielewa anajiamini na anajua alikosea wap na amepatia wapi ili andelee
Yupo very grateful ❤️gratitude open abundance ❤️❤️
Dada pole Dana je naNi msafi duniani Bora utulie TU M/Mungu yupo natayari umejifunza
I love this womn ❤
Wanawake wanapenda sana anguko la mwanamke mwenzao hili ndilo tatizo ushahidi ni mitandaoni tunayaona na katika jamii yameshika kasi,tubadilikeni Wanawake.
Mashallah keep it Up
The brilliant minded lady, love your thoughts
Nakupenda sana ni mwanamke mwenye upeo mkubwa
Keep it up Sabra, still I remember your humanity
Allah akufanyie wepesi hii ni mitihani kma mitihani mengine muhimu usisahau kuomba dua allah akufanyie wepesi
Bado anadi anapendeza mashallah
Nice. very intelligent
Tunzo kajipa mwenyewe huyo😂😂😂😂😂😂Yaani huyo akapewe Tunzo ya nini,mpija hela za wananchi huyo ,Ali baba hahah Hauna lolote mwamba unajipa kiki tu ili kujiondoa stress
Sabra uko vizur nakukubali, kuteleza ndio ubinaadam..
Wewe mtoto wa wakubwa
Maneno yako sio murua na ushike adabu yako kusema Allah ni mshikaji wako rekebishe lugha hio utapata laana
Nikikumbuka huyu Mama wakati wakolona Duuh natamani kucheka tulijichagua watu wa mahotel kwenda kwenye ofisi yake ya Zsff ili tupate hata pesa zetu wenyewe alitujibu vibaya sana na tulifurahi alivyotumbuliwa 😊
Kwani si mpaka mfike miaka 60
Poleeeeeeee, upige lkn bado kimawazo uko MDOGO
Bora yeye❤❤
Mti wenye matunda hauwachi kurushiwa mawe.
Kweli ukhti bswabra unapata funzo
Dada Nakupenda uko powa Sana ila MAROHO MBAYA hayakosekani
Wee kweli muhuni. Yaani Mungu ni mshikajì wakò. Huko nyuma.ya pazìa ndo weye
Vip unamwita mwenzako muhuni?
Huyu anamatatizo mwanzo tulijua nimtu mwenye msimamo wa dini mtoaji nasaha na ushauri baada yakurudi kwenye nafasi yake akaanza kujirusha na haiwezekani mara kwa mara matatizo yake yananirudia nanilimsikia kiongozi mkubwa anamtaja kwa ubadhirifu kwa mali ya umma nanimtu wakuaminika aliyeyasema hayo huyu kwenye serikali hafai kabisa
Sabra big up
Uyu dada alikuwa na dharau sana Wakat wa cheo alisema nile chips hizi yaan aombe kwa mungu tu Ila dharau alikuwa nayo zee zima lilifanya harusi kama mwari kipindi cha COVID alingoa mabembea akaweka kwake
Wewe mwenyewe ni DHARAU.
Kila mtu ana makosa, hata wewe una makosa yako
Nasifia nnachokiona huyu dada kafanya kazi nzuri. Kwamba hataki kula chips za pahali fulani hata mimi sili kila pahali.
Huyu Mama ni tapeli la kimataifa. Anajua kuiba kwa kaĺlamu alikua anakula na wakubwa huyo. Looh hata aìbu hana. Maneno kibaooo mwizi mmoja.
Hata wewe inawezekana ni mwizi na kama si wewe basi wazee wako
Anaumia huyu kuwekwa benchi,,,Hana tena nafasi!!
HIYO NAFASI UMEPEWA WEWE AU UNACHONGA TU.
@@mombasa0076punguza makasiriko msenge wewe!
Unazungumza kama upo MASKANI ya porojo...USIFANYEEE Acha hvyo ni AIBU ZAIDI
Alizid utovu wa adabu hvo acha yamkute
Wewe ni mwizi tu sawa sawa na hao waliokuwa kwenye madarakani jamaa Yako Seif Alie Iddi katumie pesa za wizi dhuluma ufisadi uuwaji
Miradi yake hadi leo imetajwa kwenye repoti ya Mdhibiti Zanzibari yaani kapiga hela sana tu za Wazanzibari kipindi alichozawadiwa na Shein maana shein alikuwa anawazawadia tu madaraka
ACHA FIKRA POTOFU.
KUPIGA NI JUMLA YA MATUMIZI
MBONA WEWE HUKUZAWADIWA HAYO MADARAKA ?
ACHA POROJO .
Inasemekana wamepiga wakubwa ila kama kawaida kosa la ng'ombe wa mbele kichapo anakipata ng'ombe wa nyuma.
Nimependa ujacri wake
Ila chuki ww mwenyewe umezisababisha dear ulikuwa unazarau hao wanawake wezako sanaa kiasi wakuchukie kuna mda tusemen kweli km dharau zetu wenyewe ndizo zinasababisha watu watuchukie
Sio kweli husda na uchoyo vili sababisha
Mama usijisifu sana ww watu wanakujua saba
Wanasema ww mambo yko ni kujionesha onesha lkni mm nimekujua kwenye mitandandao lkni ww ni mwangu tu nakkpenda sana
Mqs1*@1*+7+7
Usimuhukumu mtu Kwa kusikia sabra hajioni na mtu poa sana ila kama humjui utahisi anaringa.ila ni mtu peace sana.
Muongo umesimamishwa kwa wizi. Una hela gani mwizi wee. Sabra chips chafu mwanamke gani mwizi. Huna wasiwasi kwa kua unaibà na wakubwa. Msagaji mkubwa
Kila mtu ana makosa hata wewe una makosa yako. Na kama wizi katika hizi nchi zetu upo na utaendelea kuwepo na kuna watu wanapiga kuliko yeye
Aliepewa kapewa umepewa watahangaika sana na wewe lakini hawatokufikia asilani
Anajivunia wizi wa fedha zetu. Za ZSSF kaiba sana kupitia hayo majumba
NANI UNAYEMJUWA AMBAYE UNASEMA HAKUIBA.
Hakuna alikuwa yupi kwenye madarada haibi hata uyo rais wako anaiba kupitia hio hio miradi .hakuna anokaa sehemu akawa kipofu .angalia maisha yako
@@mombasa0076😂😂😂
Wee dada yani mungu mshkaji wako duuh noma
Halafu anasema watu ni wajinga sanaa!! Daah
Malaya anaropokwa tu kama mlevi😅
Kwani maana ya mshikaji ni nini?
@@djzillah2857huna dada, mama?
Muhammed unapata thawabu kuktetea binaadamu mwenzio
Huko ZSSF ndio uliiba kwa matonge na wakubwa kwani unadhani hatujui¿
Pale ZSSF kuna manyago kibaaaaao
Kumba ila Huyu Mmoja Naskia Kaaguka Mpapai
🤔Mimi husema tu jema husifiwa na baya hulaaniwa. Kama kuna mazuri aliyofanya Sabra na ushahidi upo basi apewe sifa yake. Na kama kuna mabaya si vipo vyombo vya upelelezi na ikithibitika atawajibishwa. Tupendane chuki bila ya ushahidi wa jambo baya au kitu ni upotevu wa muda.
Watu Wana chuki haswaa pambana eti anastress zitoke wapi
Unapohojiwa usishauri VIBAYA na USIJISIFU SANAAAAA
Swali analoulizwa silo analojibu!! Amekuwa Kama kamtengeneza huyu mwandishi!!
Baada ya kukosa la kufanya ndio ukaamuwa kujiundia foundation ili kukeep bize la msingi ni kutubia kwa wizi ulio ufanya pale zssf
Mhhhh makubwaa wasio kujua watakuonaa wanaka lakini wano kujua mhhh
Wasokua na haya kweli wana mji wao.
Kweli rombaya na kufatilia Masha ya watu tutaendeleya wapi
Huyu mtu inavosemekana mzoefu wa kuiba na anakikos chake wapo wengi
Elfu hamsini...ndo maana ukawa mwizi eti?
Huoni hata maneno yake ya kitapèlì tapelì.
Mie huyu simuelewi elewi hasaa!! Kama kuna kitu kinamsumbuwaa kichwani ila ana act yupo na furaha! Ila hayupo sawa sawa huyu ndio maana maneno yake ni lawama za kuchukiwa Mara kuachwaaa miaka yotee huyu hayupo barabarr!! Au ndio hizo pesa za wizi??
PIGA KAZI , ACHA WASEME
Congrats.
Ukikua utaachà wizi lakini umekua jambazi
Dharma haidumu
Huyu ni mama ni walewale maccm kazi zao ni chuki na UBAGUZI, kama sio ccm hapatti kitu.
Ssa upo likizo miaka yote au umesimamishwa kazi kwani ukisema umesimamishwa kun ubaa gani miaka yote katika uchunguzi tu mtihani
Alipiga nyingi
Amepiga Hela nyingi huyu dada halaf ni jeuri
Hivi kwani Kesi yake bado tu hajahukumiwa ?? Sasa likizo miaka 4 ?? Au ?
Hata useme vp sisi tunakujua mwizi wa fedha za wavuja jasho.
Malaya sana hata maneno yako ya kihuni
😢😢 mh
Dada pole Dana je naNi msafi duniani Bora utulie TU M/Mungu yupo natayari umejifunza
Unazungumza kama upo MASKANI ya porojo...USIFANYEEE Acha hvyo ni AIBU ZAIDI
Hongera sana dada you have big education uko vizuri sana wanao kuchukia ni wakuna nazi ilove you