Це відео не доступне.
Перепрошуємо.

PUTIN aionya MAREKANI na wenzie! Adai atatoa silaha kwa nchi zingine ziwashambulie, kutumia NYUKLIA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 чер 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

КОМЕНТАРІ • 393

  • @bogoheidaso2628
    @bogoheidaso2628 2 місяці тому +20

    Najua nchi ya urus haikupenda kuchukua watumwa inapenda sana haki kwahiyo natto wanachezea shilingi kwenye tundu la choo

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 2 місяці тому +2

      Mbona kwa sasa watu wanakufa wakienda ulaya.Hadi sasa tuko utumwani tena tungekuwa tuko chini ya hao wazungu tungekuwa mbali sana kuliko kutawaliwa na hawa wakoloni weusi.

  • @CastoryKapinga-nb7ht
    @CastoryKapinga-nb7ht 2 місяці тому +89

    UYU MWAMBAA PUTIN HUWA NAMKUBALI SANA HAPA DUNIANI KUSHINDA RAIS YEYOTE YAANI

    • @MajutoElliasi
      @MajutoElliasi 2 місяці тому +6

      Msimpe kichwa vita haina macho uwa inageuka ni kuomba amani tu maisha ya hendere

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 2 місяці тому +3

      @@MajutoElliasi USIMFUMBUE MACHO MJINGA 🤣🤣🤣ANAMKUBALI? AU MSHABIKI MAANDAZI TU

    • @MajutoElliasi
      @MajutoElliasi 2 місяці тому

      @@atutweve4160 hii dunia wote ni wapitaji tu kushangiria vita sio vizuri ni amanitu na upendo watu wanashingiria kwasababu ayako kwetu yagekuwa ni kwetu asige shagiria mutu

    • @minicooper9642
      @minicooper9642 2 місяці тому +7

      Wewe ndio mjinga
      Kama bado kaka sasahivi hujajua unwell wa Marekani kua ndio anaesababisha vita Finish basi wewe utakua mjinga.

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 2 місяці тому +1

      @@minicooper9642 udini unasababisha vita sio mmarekani 🙄

  • @CharafimalisalimoAli-qw3hk
    @CharafimalisalimoAli-qw3hk 2 місяці тому +14

    NA UGANDA NAO WAPEWE HIZO SILAHA😂😂😂 MANA MZEE MUSEVEN NAE HATAKI UPUMBAVU😂😂😂.

    • @heridunia
      @heridunia 2 місяці тому

      mapema sana tunaomba mana kenya wanajifanya wao wanawapenda wamagharibi

    • @louangesid
      @louangesid Місяць тому

      😅😅😂😂

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 2 місяці тому +10

    Hii ni mbaya Sana ...mungu ajalie Kila la heri..hii hali sio nzuri kabisa ...mwenyezimungu tusaidie Kwa hili

    • @johnmwangi9231
      @johnmwangi9231 2 місяці тому +1

      Mungu awasaidie kwa gani? ni SAWA atoe hizo silaha,juu Putin Ako na shida na makafiri Hao wazungu dio wanafanya binadamu kumkufuru Muuba,nani analazimisha ushoga
      Gender equality
      Wizi wa mali ya wengine
      Mauaji ya watu bira hatia!

    • @mariaalenge2106
      @mariaalenge2106 2 місяці тому

      Swali kwako ndugu Putin ni mwehusi ahu macho yenu aya honi?mimi najuwa ni wao kwa wao akuna mzuri kati yao wote maana wote wana huwa watu wasiyo na atia ingekuwa wana malizana Marausi kwa Maraisi inge kuwa vizuri lakini wanao kufa ni rahiya Putin na wenzake wote vichwa maji tu

  • @FranckDaniel-cc5rg
    @FranckDaniel-cc5rg 2 місяці тому +29

    Piga hao mashoga marekani ni washenz,dunia bila marekan ni amani mungu awaondoe marekani wanaitesa dunia

    • @BongoFlavaa
      @BongoFlavaa 2 місяці тому +3

      😂😂😂😂 kweli Akili una 😅

    • @hafidhyakoub8369
      @hafidhyakoub8369 2 місяці тому +3

      Ww dvoice na ww shoga au

    • @Jgjgjggjaieifhfv
      @Jgjgjggjaieifhfv 2 місяці тому +2

      D pambana n'a muziki achana n'a siasa marekani ni ovyio Sisi wa Congo 🇨🇩 tuna juwa match Zao n'a Rwanda

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 2 місяці тому +1

      ​@@Jgjgjggjaieifhfvpoleni ila muda utasema mungu yupo

    • @lakasid3860
      @lakasid3860 2 місяці тому +4

      Hii UA-cam ni ya hao Marekani saa wakiondoka sijui utatumia mtandao gani kutukana 😂😂

  • @pilotmadata5791
    @pilotmadata5791 2 місяці тому +12

    Alie sikia mbwa akibweka na mtoto akilia, gonga like hapa, ...

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 2 місяці тому +2

      😅😅 nilikuwa natafuta hii comment 😅😅

    • @DjMswati
      @DjMswati 2 місяці тому

      @@RamadanPaul kaka unazingua😂😂

    • @afandechanel1507
      @afandechanel1507 2 місяці тому

      😅😅😅😅😅

  • @philemonyesaya4353
    @philemonyesaya4353 2 місяці тому +12

    Hii sio wala ya kushabikia nani ampige mwenzake, kwa sasa sisi tunaongea tu kua wazichape lakin tuombe mung sana haya yasije yakatokea maana kama kweli wakipgana basi hata sisi tutaifeel ile ladha halisi ya vita ya wakubwa, cha msingi ni kuomba mungu huu mgogoro uishe salama ili maisha mengine yaendelee...

  • @user-cf6qo9rs4f
    @user-cf6qo9rs4f 2 місяці тому +5

    Nakupenda sna dj smaa

  • @MosesiJemsi
    @MosesiJemsi 17 днів тому +1

    Urussi 🇷🇺 🇷🇺 wanazidi kuitilia vikwazo wakati marecani ndicho kichochezi cha vita. Mashabiki wa marecani ni wakoloni oya sisi kama wa Africa tuwe nyuma ya Urissi sawa mungu akubariki

  • @AliNassor-qt6fm
    @AliNassor-qt6fm 2 місяці тому +7

    Time wii tell

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 2 місяці тому +13

    Apeleke silaha palestine na yemen

  • @hafidhyakoub8369
    @hafidhyakoub8369 2 місяці тому +16

    Huyu jamaa anahisabu rahisi sanaa

    • @user-xl9so6jg1e
      @user-xl9so6jg1e 2 місяці тому

      Ni pumbav sema hamjui tu mpaka Leo wazungu washamuona Kama urusi ni dhaifu na Kama wangemsaidia Ukraine moja kwa moja bac Leo hii tungekuwa tunazungumza mengne

    • @issalyanali4119
      @issalyanali4119 2 місяці тому +1

      Sip kweli,,,,,siaha zaNATO zimechakazwa Sana uwanja was vita😂

    • @adrianomaulaga1599
      @adrianomaulaga1599 Місяць тому

      ​@@user-xl9so6jg1embona hawamsadii sasa huyo jamaa anawashirika wengi China, Korea kaskazini, Iran, Vietnam ni washirika wa Urusi huyo jamaa anatumia akili sana huyo hakurupuki kurupuki

    • @issalyanali4119
      @issalyanali4119 Місяць тому

      @@hafidhyakoub8369 silaha za NATO zimechakazwa mpaka zikapelekwa urusi wananchi wakapiga nazo selfie,,,wewe ulikuwa umelala Nini na usingizi,,,ahhh kumbe mwafrika Bado western civilization inakusumbua ikiwepo ushoga,,,,urusi kapigana vita nyingi ,,,,halafu,,,watu waliojaribu kugombana na Russia hawajawahi kuwa salama mfano Napoleon Bonaparte,,, Adolf Hitler,,,,sasa USA Ataweza wapi,,,kuhusu teknolojia ya vifaa vya kivita marekani mchumba TU ,,we ndo unamtukuza,,,,china ,,urusi,,,north Korea,,,wanaona america taifa la kawaida TU ,,SI kama wewe mwaafrikaaa😄😄

  • @Hassanbaoma
    @Hassanbaoma 2 місяці тому +32

    M/mungu mlinde putin

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 2 місяці тому +1

      HAWEZI HATA MUOMBE DUNIA ZIMA 🤣

    • @melkizedck
      @melkizedck 2 місяці тому

      Kweli Mungu amlinde putin maan amekaribia kufa.

  • @christiankambuga9338
    @christiankambuga9338 24 дні тому +1

    Safii wazee

  • @josephfrank4446
    @josephfrank4446 Місяць тому +3

    Safi sana😂😂putin nakukubar mkuu

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936 2 місяці тому +5

    Absolutely 💯 💯 💯

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m 2 місяці тому +7

    Kuna jambo? Nahisi sio kuzuri hata kidogo. Maana najua nuclear sio kitu cha mchezo. Hii silaha mbaya kwelikweli inatisha vibaya!! Usiombe!!

  • @YohanaMasebo
    @YohanaMasebo 2 місяці тому +16

    Sauti ya dhahabu shukrani mtangazaji

  • @Shehasweet-hy6xn
    @Shehasweet-hy6xn 2 місяці тому +5

    Safiiiiiiiii

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 2 місяці тому +2

    Hii ni mbaya Sana ...mungu ajalie Kila la heri..hii hali sio nzuri kabisa ...mwenyezimungu tusaidie Kwa hili vita isitokee kwamana sio powa ujuwe

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 2 місяці тому

      Kule gaza mnongea au ni Ukraine tuu

  • @AbdiBendera
    @AbdiBendera 2 місяці тому +11

    Nilisubira sana uchambuz wenu juu ya taarifa hii

  • @user-km4kb3xj3y
    @user-km4kb3xj3y 2 місяці тому +10

    Safiii wape

    • @noel3290
      @noel3290 2 місяці тому +3

      Hii ni shida kweli, we unasherehekea vita unathani hutaathirika? Fikiria tena

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 2 місяці тому +1

      Mbona hamfikirii kuhusu Gaza

    • @festokasongi4537
      @festokasongi4537 2 місяці тому

      gaza acha wafe mbona auwazi kongo

  • @yuvencepatrice792
    @yuvencepatrice792 Місяць тому +1

    Si awashe 🔥 tu! Kwann anasem iv na kutokutekeleza

  • @Khalid-oi9qb
    @Khalid-oi9qb 2 місяці тому +6

    Awape tu

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 2 місяці тому +7

    Kuna wapumbavu wakati vita vinaanza walaizani urusi atashindwa hawajui kua marekani hana silaha za kuizidi Urusi bali ana maneno na porojo nakutishia vitaifa vidogo

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 2 місяці тому +1

      Weeeee tusubir tuone 🤣

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 2 місяці тому +3

      Sasa kwani urusi kashinda?unaota nini ww

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 2 місяці тому +2

      Urusi bado hajashinda na wenzake washamweka kwenye tageti na akijichanganya tu wanammaliza.

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 2 місяці тому +3

      Urusi hana uwezo wa kupambana na NATO hata kidogo

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 2 місяці тому

      @@MathewNathan-yb2bz hata hivo 😉

  • @josephelias7364
    @josephelias7364 2 місяці тому +7

    Hii sasa ndo inaitwa COLD WAR

  • @sharifuahmed8340
    @sharifuahmed8340 2 місяці тому +9

    BABA WAPELEKEW HAMAS, HEZBOLLAH MIFUMO YA ULINZ NA SIRAHA KALI NA MAELEMENT NA BULLET PROOF, NA VIFARU ALAFU TUONE KUMANYOKA HAO MASHOGA WANAOJIITA TAIFA LA MUNG YAAN BABA UKIWAPA SIRAH KM WAO WANAVYOWAPA UKRAINE NAKWAMBIA VIBARAK WA MAREKAN WENG MAJI WATAITA MMA KUMANYOKO ZAO

    • @Maxpaul-oi8pw
      @Maxpaul-oi8pw 2 місяці тому

      Yaan ata urusi mwenyewe hathubutu kuanzisha vita ya moja kwa moja na israel maana wale wana uwezo na akili ambayo sio ya kawaida

  • @SwedyMohamed-vt5zm
    @SwedyMohamed-vt5zm 2 місяці тому +8

    Mtakatifu Putin wamemwaga mboga,we mwaga ugali.Kama mbwa Wacha iwe mbwa kiumane mpaka kieleweke tata.Bhita ni bhita ntakutemego.Ulabhugabhwi.Marekani ni mrisha TU.

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 2 місяці тому +1

      ,swedy swedy kama mbwayi na iwe mbwayi 😅😅😅😅😅😅

    • @melanialeonard4031
      @melanialeonard4031 2 місяці тому

      Mtakatifu tena????

    • @Maxpaul-oi8pw
      @Maxpaul-oi8pw 2 місяці тому

      Nafurah sana mwislam unavyomsifia mkristo

    • @fahadabdalla8194
      @fahadabdalla8194 Місяць тому

      ​@@Maxpaul-oi8pw Hamna ajabu kumsifu mkristo kwani ajabu ikiwa utafanya wema basi utasifiwa ili mradi humkashifu mungu au ushawahi kumsikia putini akasema ushoga,freemanson, au shetani ndio mungu wake tulia kijana soma usitafute chokochoko

    • @adrianomaulaga1599
      @adrianomaulaga1599 Місяць тому

      ​@@melanialeonard4031mtakatifu kwasababu hajawahi sapoti ushoga kama wale wengine

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 2 місяці тому +23

    Mwamba Putin namkubali sana

    • @melkizedck
      @melkizedck 2 місяці тому +1

      Urus wamechoka, vitisho tu.

    • @stevenlugojeremia2323
      @stevenlugojeremia2323 2 місяці тому +1

      ​@@melkizedckhivi wewe upo kwenye dunia hii au ndio umeanza kurumia smartphone leo inamaana huoni anavyo itembezea kichapo dunia mpaka wanalia kilio cha kuku😅

    • @Brunotarimo10
      @Brunotarimo10 2 місяці тому

      @@stevenlugojeremia2323 watamkoma mwamba

  • @KenethNdingo-tm2gc
    @KenethNdingo-tm2gc Місяць тому

    Vita hivi hakuna mshindi.pengine mungu aingilie kati adhari zinatupata zote.wanadamu wengi wanakufa.

  • @ramadhanhassan5285
    @ramadhanhassan5285 2 місяці тому +6

    Huyu ndie kiboko wa marekani

  • @YusuphLiyanga
    @YusuphLiyanga 2 місяці тому +3

    Sns mnatisha kwa habar

  • @hamishatibu699
    @hamishatibu699 2 місяці тому +2

    MWAMBA XNA PUTIN Namkubali xna VIVA RUSIA

  • @user-xo9we4yx1c
    @user-xo9we4yx1c 2 місяці тому +4

    Poga hao wafe manyangau

  • @YustaMfugale
    @YustaMfugale 2 місяці тому +3

    Putin anatumia sana akili,,, tuombe mungu tu putin amekataa vita kuanzia mda sana wanamtaka ,,ila mungu is with you

  • @abdullahhilalabdullahalmug3168
    @abdullahhilalabdullahalmug3168 2 місяці тому +6

    Putin yupo Sahihi kabisa

  • @Gulfnas1
    @Gulfnas1 2 місяці тому +1

    The situation is getting worse than ever...

  • @athumaniamani9905
    @athumaniamani9905 2 місяці тому +7

    Mwnangu putin usisahau nami kunipa hata bomu moja la nyuklia

  • @yusafbayu7016
    @yusafbayu7016 2 місяці тому +2

    Awape silaha yemeni na houth uone watakavyo choma dunia

  • @ebengapierre8826
    @ebengapierre8826 2 місяці тому +4

    wapewe au wahipige wingereza napia waige marekani napenda iyo

  • @peterilimwa5754
    @peterilimwa5754 2 місяці тому +7

    so raia wa urusi ni bora kuliko raia wa Ukraine

    • @africanmandetraveler2847
      @africanmandetraveler2847 2 місяці тому +1

      Uliza Zelensky kwanini anatumiwa ili kuiandama urusi ,hata kama nini niweke siraha mlangoni kwako utafanyaje.

    • @yusuphmashallah3732
      @yusuphmashallah3732 2 місяці тому

      Yeah uko sahihi urusi ni bora zaid ukihitaji shule mm n mwalim

    • @africanmandetraveler2847
      @africanmandetraveler2847 2 місяці тому

      @@yusuphmashallah3732 sihitaji shule yeyote kwako unae ona mrusi hana haki ya kujilinda dhidi ya wanao taka kuweka missile mlangoni kwake,pili huwezi kua mwalimu wangu labda uniambie baada ya mapinduzi 2014 ukraine kwa nini iliua maelfu ya warusi walioko Donbas na mariupol .

  • @abdulhalimomar5329
    @abdulhalimomar5329 2 місяці тому +1

    Oya huyu jamaa kwanni tusimpe uraisi wa mataifa yote huyu jamaa anajuwa hesabu

  • @user-ju4md1yq6o
    @user-ju4md1yq6o 2 місяці тому +2

    Safi sana wachambuzi... Putin ana experience ya vita hakuna wa kumtisha apeleke silaha jule parestina tuongee mengine

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 2 місяці тому +2

    Kiduku km namuona anavosubiri kifurushi chake cha gawio

  • @salimwanga
    @salimwanga 2 місяці тому

    Good hope for Africa.❤🎉🎉

  • @newtonmwewa6220
    @newtonmwewa6220 2 місяці тому

    The greatest of all time

  • @democritenzoisaba9117
    @democritenzoisaba9117 2 місяці тому +3

    Apewe hizo siraha kwanza Iran Cuba na Syria

  • @user-gh4mg2wn8y
    @user-gh4mg2wn8y 2 місяці тому +9

    Faza watandike hao mashoga wa magharibi

  • @elikundangoye7633
    @elikundangoye7633 2 місяці тому +1

    Mwamba huyuuu.lazima NATO wakaee

  • @MnyongeMuganza
    @MnyongeMuganza Місяць тому

    💯

  • @koudrashabani1912
    @koudrashabani1912 2 місяці тому

    Ndio
    Na inshallah Atafanye vizuri
    Huu
    Akishindwa Ulimwengu inaharibika
    Sana Sana Sisi wa Afrique Na Asie
    Tutakuwa watumwa wa kwanza

  • @user-ji1mq4sk1n
    @user-ji1mq4sk1n 10 днів тому +1

    Mzee wakumbuke na Alishababu

  • @MankoWeitala-pe7mi
    @MankoWeitala-pe7mi 2 місяці тому +2

    Putini❤❤❤

  • @sleifikhajjir262
    @sleifikhajjir262 2 місяці тому +7

    Putin 🎉🎉🎉

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x 22 дні тому

    Mm yangu macho tu sipo upande wowote

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 2 місяці тому +1

    Piga nuklia mzee time Time befor

  • @aziza9093
    @aziza9093 2 місяці тому +5

    Pige mashoga hao

  • @SalickSuleiman
    @SalickSuleiman 2 місяці тому +5

    Im warning USA

  • @fredymushy9674
    @fredymushy9674 2 місяці тому +1

    Marekani kubwa sana akuna wakuwasumbua

  • @GraceMashinga-be9wb
    @GraceMashinga-be9wb 2 місяці тому +2

    Bro sky tupe gps ya hii topic 🙏

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk 2 місяці тому +3

    🇹🇿❣️🇷🇺

  • @AshaDany
    @AshaDany 2 місяці тому +4

    Vita ya dunia inakuja

  • @user-eg1ts2fu9z
    @user-eg1ts2fu9z 2 місяці тому +7

    Putin ni mtu asiyekiwa na masihara

    • @magigesabai8674
      @magigesabai8674 2 місяці тому

      Amefanya nini toka vita ianze mbona ni maneno tu

  • @uwimana6533
    @uwimana6533 2 місяці тому +5

    Vita uwanjani imeshindana inakua tena zenlekys kushambulia urusi 😂😂😂😂

    • @peterilimwa5754
      @peterilimwa5754 2 місяці тому +1

      wakati unaanza kuipiga Ukraine ulizan Dunia itakaa kimya

    • @yuvencepatrice792
      @yuvencepatrice792 Місяць тому

      Ila sidhan Kam Ukraine anauwez w kishambulia

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine7108 2 місяці тому +8

    Wape na cuba wawanyoshe marekani pale ndo karibu

    • @soudmoshmnyika5813
      @soudmoshmnyika5813 2 місяці тому +4

      Ndio maana hakusema Tampa nani ila nchi nyingi zitakuwa za kiarabu

    • @Gulfnas1
      @Gulfnas1 2 місяці тому

      ​@@soudmoshmnyika5813 Cuba pia ina asilimia kubwa tu

    • @user-lt1bi5nr1x
      @user-lt1bi5nr1x 2 місяці тому

      Tayali

  • @adamfungamwango4640
    @adamfungamwango4640 Місяць тому

    Hivi hii vita haijaisha tu!! Kila siku jamaa anaonya tu!!!

  • @Dr.O-md1hy
    @Dr.O-md1hy 2 місяці тому +1

    Tunaomba na makala kuhusiana na silaha maaana tunaziskia tu
    Lakini tunawakubali sana

  • @user-rq8zq1mf7u
    @user-rq8zq1mf7u 2 місяці тому +3

    Maneno mengi vitendo ziro hakuna wakumshinda us

    • @academicsite8524
      @academicsite8524 2 місяці тому +1

      US alishamchunguza Putin na hakuna nchi inapigana kwa akili na tafiti kama USA

    • @meckmussa1840
      @meckmussa1840 2 місяці тому

      Kabisa aisee

  • @jackhans7708
    @jackhans7708 2 місяці тому +3

    Kiufupi mmarekani safari hii ameyakanyaga

  • @user-xo9we4yx1c
    @user-xo9we4yx1c 2 місяці тому +10

    Mungu mlinde puttin

  • @hijazhija316
    @hijazhija316 2 місяці тому +1

    Hisabati

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 2 місяці тому +7

    Kuna jimbo kule marekani linaitwa alasaka ni mali ya urusi ile na itauchukuliwa wameanza wenyewe putin atamaliza

  • @elvira9325
    @elvira9325 2 місяці тому +1

    Sauti ya sns inanikosha unajua kusimulia hadi kero, msukuma watu piga kaz

  • @hassangaddafi2347
    @hassangaddafi2347 2 місяці тому

    Putin baba lao ❤❤🇷🇺🇷🇺🇷🇺
    Free Palestinian ❤❤🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇰🇪

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 2 місяці тому +3

    Boya uyo

  • @Jgjgjggjaieifhfv
    @Jgjgjggjaieifhfv 2 місяці тому +2

    Congo 🇨🇩 ❤️atupe sisi hata sasa ivi tuh sisi na Rwanda tu malizane mara moja

  • @magigesabai8674
    @magigesabai8674 2 місяці тому

    Maneno tu amna kitu hapo huyu urusi hii vita awezi kushinda

  • @user-sd5hj2im4q
    @user-sd5hj2im4q 2 місяці тому +2

    Asichelewe sasa maña ulaya tyr washampa ukrein na yy asichelewe

  • @hamudshabani7801
    @hamudshabani7801 2 місяці тому

    Hii vita si urusi na NATO bali INA athiri usalama wa ulimwengu mzima kwa hiyo tuombe visi sambae

  • @abdullahnassor9433
    @abdullahnassor9433 2 місяці тому

    ili kumfahamisha tu mchambuzi kuwa, silaha zote zikiwemo vifaru vya Abrahams wamepewa ukraine lakini wanajeshi wa Ukraine wanakiri kuwa vifaru hivyo vilitengenezwa kwa ajili ya kupigana na watu wenye silaha ndogo ndogo vifaru hivi kwa kweli havina maana nyingi sasa hivi vinawasilishwa moscow kwa ajili ya watu.

  • @user-km1dm8et9x
    @user-km1dm8et9x 2 місяці тому +1

    Smaa mwongo yani leo unsema hamas ni wa iran si ulitudanganya ni wa izlael

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 2 місяці тому +3

    Acha waliuee

  • @davidsika5292
    @davidsika5292 2 місяці тому +1

    Hizo ni mbwembwe hana lolote huyu...huyu na harmonize hawana tofauti kabisaaa

    • @meckmussa1840
      @meckmussa1840 2 місяці тому

      Kana mikwara tu aka

    • @Saidkhel
      @Saidkhel 2 місяці тому

      Mwambie huyo mume wako mmarekan aguse apo unazani maneno hayo angeongea rais wa inch nyengine marekan angekuwa asha shambulia lkn marekan mwenyewe katulia kimya anaogopa anagawa siraha kila siku lkn wapi Putin siyo mchezo huyo bro

    • @davidsika5292
      @davidsika5292 2 місяці тому

      @@Saidkhel huyo putin mme wenu ni muoga saana saanaa ni mtu wa kiki nyingi
      Swala la siraha za nyuklia nchi nyingi wanazo ila wapo kimyaaa hawapendi tu maisha ya kiki kama ya korea kaskazini ni urusi
      Nchi zenye nyuklia ila hazina kiki hizo ni Mbabe mwenyew USA, GERMANY,CHINA, UK, CANADA,FRANCE,SPAIN,SOUTH KOREA,ITALY hadi South Africa wanategeneza, je wajua nchi yenye vinu vingi vya nyulia ni ipi??

    • @user-xl9so6jg1e
      @user-xl9so6jg1e 2 місяці тому

      ​@@Saidkhelvita ni akil siyo kupigana Kama vibaka huyo Putin siku ukija sikia kafa hamtakaa muamn kabsa marekani ni taifa kubwa sana na lenye teknolojia kubwa sana na Kama wangeamua kumsaidia Ukraine waziwazi bac mpaka Leo hii tungezungmzia Mambo mengne mpaka sasa urusi kashaonekana dhaif kwa kushindwa kumalza vita na nchi dogo ile

  • @dullahtechtz3422
    @dullahtechtz3422 2 місяці тому

    Nakubal putin

  • @GregoryModaha
    @GregoryModaha Місяць тому

    Naanzaje kumpinga kuhusu Hilo nawakati anawashuulikia mashoga yaan kwa Vladimir Putin watakunywa maji kwenye karai, namtegemea sana uyu mwamba kwa usalama wa vizazi vyetu

  • @MOHAMEDMGONDWA
    @MOHAMEDMGONDWA 2 місяці тому

    PUTIN safi sana ww unakemea ushoga lakin hao marekani na mashoga wenzie wa magharibi wanashabikia ushoga na wamefikia kuwaambia viongozi wetu wakubali ushoga ili wapewe misaada

  • @ALIMANIZIGIYIMANA-yd7jc
    @ALIMANIZIGIYIMANA-yd7jc 2 місяці тому

    Putin yaipe silaha nzito Burundi kama izo iwape somo mabeberu

  • @kiatu
    @kiatu 2 місяці тому +1

    Aimalize kwanza Ukraine ndio ashindane na Marekani. Kuvimba tu.

    • @subrynerysegerow1323
      @subrynerysegerow1323 2 місяці тому

      Sa anashindwa we unavyoona kweli???😂

    • @Saidkhel
      @Saidkhel 2 місяці тому

      Tatzo hujui Ukrein yuko vipi na urusi iko kama Zanzibar na tanganyika kwaiyo huwez piga nchi nzima maana Zanzibar kua wabongo na wazanzibar na urusi na Ukrein ndivyo ilivyo

  • @almasbakari5359
    @almasbakari5359 2 місяці тому +1

    Fredrick bundala🔥🔥🔥

  • @HansChuma
    @HansChuma 2 місяці тому

    Toa baba we are already Tired with America marekan niwashenz navibaraka wake

  • @babumrisha
    @babumrisha 2 місяці тому

    Inatakiwa awape Alqaeda au Al shababu hizo zilaha, tuuone huo mtanange...

  • @user-pd5hl9di2q
    @user-pd5hl9di2q 2 місяці тому +1

    Fanya hivyo urusi dawa ya moto ni moto

  • @hassanlikwenangu8471
    @hassanlikwenangu8471 2 місяці тому

    .. "pumba tupu!..." Hahaaa

  • @user-zn4jl5wy3d
    @user-zn4jl5wy3d 2 місяці тому

    Mashoga huwa wanaunga mkono mashoga wenzao pasina haya

  • @deogratiusyudatadei5658
    @deogratiusyudatadei5658 2 місяці тому +4

    Ikitokea siku nikapata walau mwaka mmoja tu nika iongoza tz dunia inatalia mara 10 yakilio walicho lia kipindi cha magufuli 🤦🏻‍♀️

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 2 місяці тому +1

      Jombaa agiza juice 🥤 akuja kulipa penda sana point yako 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Shafikimanga7
    @Shafikimanga7 2 місяці тому +1

    Hili swali la mwamba Lina zaidi ya utata.

  • @RajabuHussein-to7jz
    @RajabuHussein-to7jz 2 місяці тому +1

    Acha uruss iwatandike hao maboyo

  • @user-nk4oq4ek9y
    @user-nk4oq4ek9y 2 місяці тому +1

    Bora walikoroge tu kwani vp watu waowane potelea kwete

  • @colmanlesulie250
    @colmanlesulie250 2 місяці тому

    Hivi ni Vita so Ukraine naye anahaki ya kushambulia, Why Putin anatumia Silaa kutoka China, North Korea, Iran sasa na yeye akae mkao wa kula.

  • @raymrash
    @raymrash 2 місяці тому

    Israel wameokoa mateka wao wanne wakiwa hai