Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
PUTIN aionya MAREKANI na wenzie! Adai atatoa silaha kwa nchi zingine ziwashambulie, kutumia NYUKLIA
- Додати в
- Мій плейлист
- Переглянути пізніше
- Поділитися
Поділитися
Вставка
Розмір відео:
- Опубліковано 5 чер 2024
- Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
КОМЕНТАРІ • 393
Наступне
Автоматичне відтворення
HII NDEGE NI HATARI DUNIANI, 2021: UWEZO WA AJABU/HAIJAWAHI TOKEA, S01EP20.Dar24 Media
Переглядів 95 тис.
GPS: Uvamizi wa Ukraine ndani ya URUSI waipeleka VITA pabaya! PUTIN aahidi Majibu Mazito, Ni HatariSimulizi Na Sauti
Переглядів 41 тис.
MIAMBA hawa wanajiita MUSKETEERS: Timu ya walinzi hatari wanaomlinda VLADIMIR PUTIN dhidi ya WauajiSimulizi Na Sauti
Переглядів 227 тис.
Буданов про плани на Курську область, та Воронеж #shorts #курск #воронежАпостроф TV
Переглядів 2,3 млн
How I Did The SELF BENDING Spoon 😱🥄 #shortsWian
Переглядів 35 млн
«Приїхали Бандеру шукали. Який Бандера? Він помер взагалі-то. Ні, от сказали, у вас тут Бандера є»Суспільне Дніпро
Переглядів 165 тис.
ПОДІЇ НА КУРЩИНІ: ЕКСКЛЮЗИВНИЙ РЕПОРТАЖ НАТАЛІ НАГОРНОЇ З СУДЖІТСН Тиждень
Переглядів 224 тис.
Wammetibua Putin! Amewatandika, Huu ndio undani wa Grain Deal - Na Dj SmaSimulizi Na Sauti
Переглядів 72 тис.
GPS: RAIS RUTO azua GUMZO baada ya kuichana URUSI kwa kuivamia UKRAINE, ni mwelekeo mzuri?Simulizi Na Sauti
Переглядів 39 тис.
UKRAINE hali ni tete! WANAJESHI warudi nyuma URUSI ikishambulia na NGUVU, ZELENSKY asitisha SAFARISimulizi Na Sauti
Переглядів 50 тис.
DENIS MPAGAZE -Historia Ya Kim Jong UN, Mbabe wa Wababe || Korea Kaskazini.Denis Mpagaze TV
Переглядів 103 тис.
Putin aiambia KOREA KUSINI ikithubutu kuisaidia silaha UKRAINE itakiona cha mtema kuniSimulizi Na Sauti
Переглядів 39 тис.
ULAYA - JORAMU NKUMBI asimulia MAZITO alioyaona akiwa huko, aogopa haya ya KUTISHA, asifia MAZURISimulizi Na Sauti
Переглядів 15 тис.
Wafahamu watoto wa Rais wa Urusi PUTIN Waliofichwa kwa miaka 37/Walibadili MajinaRick Media
Переглядів 26 тис.
Hiki ndicho chanzo cha VITA ya URUSI na UKRAINE/ Nani Mchokozi/ Marekani anataka nini?Rick Media
Переглядів 191 тис.
IMYANZURO 18 YAFATIWE RUSSIA MU NAMA YA OTAN|PUTIN YAHISE ARAHIRIRA KURIMBURA UKRAINE|USA NTIBYUMVAGENTIL GEDEON OFFICIAL
Переглядів 43 тис.
ПОМОГЛА НАЗЫВАЕТСЯ😂Chapitosiki
Переглядів 26 млн
СТАСЯ МАКЄЄВА: СЕРДЮЧКА на гендер паті. Тато ЗРАДЖУВАВ, коли мама хворіла на РАК. Коли українською?Okay Eva
Переглядів 475 тис.
😭ЛЮДИ ВОВКАМИ СТАЮТЬ....5 канал
Переглядів 2,9 млн
Арестович: Операция ВСУ в Курской области. @A.ShelestAlexey Arestovych
Переглядів 2,9 млн
«Синку, ти не переживай. Сюди вона не впаде, вони всі повз летять»: військовий про перші дні війниСуспільне Запоріжжя
Переглядів 571 тис.
ВІКТОРИНА #37. EL КРАВЧУК ТА ВАСИЛЬ БАЙДАК х КУРАН ТА ВЕНЯ | НОВИЙ НАЙБОЖЕВІЛЬНІШИЙ ВИПУСК ВІКТОРИНИВетерани космічних військ
Переглядів 525 тис.
РЕЙНДЖЕРС - ДИНАМО. Ліга чемпіонів. ПРЯМА ТРАНСЛЯЦІЯFootball Hub
Переглядів 457 тис.
бедный дед на ламборгини- меняет вейп на секретные шкатулки - выиграл айфон, но отказался от призаABRACADABRA TV
Переглядів 8 млн
Najua nchi ya urus haikupenda kuchukua watumwa inapenda sana haki kwahiyo natto wanachezea shilingi kwenye tundu la choo
Mbona kwa sasa watu wanakufa wakienda ulaya.Hadi sasa tuko utumwani tena tungekuwa tuko chini ya hao wazungu tungekuwa mbali sana kuliko kutawaliwa na hawa wakoloni weusi.
UYU MWAMBAA PUTIN HUWA NAMKUBALI SANA HAPA DUNIANI KUSHINDA RAIS YEYOTE YAANI
Msimpe kichwa vita haina macho uwa inageuka ni kuomba amani tu maisha ya hendere
@@MajutoElliasi USIMFUMBUE MACHO MJINGA 🤣🤣🤣ANAMKUBALI? AU MSHABIKI MAANDAZI TU
@@atutweve4160 hii dunia wote ni wapitaji tu kushangiria vita sio vizuri ni amanitu na upendo watu wanashingiria kwasababu ayako kwetu yagekuwa ni kwetu asige shagiria mutu
Wewe ndio mjinga
Kama bado kaka sasahivi hujajua unwell wa Marekani kua ndio anaesababisha vita Finish basi wewe utakua mjinga.
@@minicooper9642 udini unasababisha vita sio mmarekani 🙄
NA UGANDA NAO WAPEWE HIZO SILAHA😂😂😂 MANA MZEE MUSEVEN NAE HATAKI UPUMBAVU😂😂😂.
mapema sana tunaomba mana kenya wanajifanya wao wanawapenda wamagharibi
😅😅😂😂
Hii ni mbaya Sana ...mungu ajalie Kila la heri..hii hali sio nzuri kabisa ...mwenyezimungu tusaidie Kwa hili
Mungu awasaidie kwa gani? ni SAWA atoe hizo silaha,juu Putin Ako na shida na makafiri Hao wazungu dio wanafanya binadamu kumkufuru Muuba,nani analazimisha ushoga
Gender equality
Wizi wa mali ya wengine
Mauaji ya watu bira hatia!
Swali kwako ndugu Putin ni mwehusi ahu macho yenu aya honi?mimi najuwa ni wao kwa wao akuna mzuri kati yao wote maana wote wana huwa watu wasiyo na atia ingekuwa wana malizana Marausi kwa Maraisi inge kuwa vizuri lakini wanao kufa ni rahiya Putin na wenzake wote vichwa maji tu
Piga hao mashoga marekani ni washenz,dunia bila marekan ni amani mungu awaondoe marekani wanaitesa dunia
😂😂😂😂 kweli Akili una 😅
Ww dvoice na ww shoga au
D pambana n'a muziki achana n'a siasa marekani ni ovyio Sisi wa Congo 🇨🇩 tuna juwa match Zao n'a Rwanda
@@Jgjgjggjaieifhfvpoleni ila muda utasema mungu yupo
Hii UA-cam ni ya hao Marekani saa wakiondoka sijui utatumia mtandao gani kutukana 😂😂
Alie sikia mbwa akibweka na mtoto akilia, gonga like hapa, ...
😅😅 nilikuwa natafuta hii comment 😅😅
@@RamadanPaul kaka unazingua😂😂
😅😅😅😅😅
Hii sio wala ya kushabikia nani ampige mwenzake, kwa sasa sisi tunaongea tu kua wazichape lakin tuombe mung sana haya yasije yakatokea maana kama kweli wakipgana basi hata sisi tutaifeel ile ladha halisi ya vita ya wakubwa, cha msingi ni kuomba mungu huu mgogoro uishe salama ili maisha mengine yaendelee...
Nakupenda sna dj smaa
Urussi 🇷🇺 🇷🇺 wanazidi kuitilia vikwazo wakati marecani ndicho kichochezi cha vita. Mashabiki wa marecani ni wakoloni oya sisi kama wa Africa tuwe nyuma ya Urissi sawa mungu akubariki
Time wii tell
Apeleke silaha palestine na yemen
Huyu jamaa anahisabu rahisi sanaa
Ni pumbav sema hamjui tu mpaka Leo wazungu washamuona Kama urusi ni dhaifu na Kama wangemsaidia Ukraine moja kwa moja bac Leo hii tungekuwa tunazungumza mengne
Sip kweli,,,,,siaha zaNATO zimechakazwa Sana uwanja was vita😂
@@user-xl9so6jg1embona hawamsadii sasa huyo jamaa anawashirika wengi China, Korea kaskazini, Iran, Vietnam ni washirika wa Urusi huyo jamaa anatumia akili sana huyo hakurupuki kurupuki
@@hafidhyakoub8369 silaha za NATO zimechakazwa mpaka zikapelekwa urusi wananchi wakapiga nazo selfie,,,wewe ulikuwa umelala Nini na usingizi,,,ahhh kumbe mwafrika Bado western civilization inakusumbua ikiwepo ushoga,,,,urusi kapigana vita nyingi ,,,,halafu,,,watu waliojaribu kugombana na Russia hawajawahi kuwa salama mfano Napoleon Bonaparte,,, Adolf Hitler,,,,sasa USA Ataweza wapi,,,kuhusu teknolojia ya vifaa vya kivita marekani mchumba TU ,,we ndo unamtukuza,,,,china ,,urusi,,,north Korea,,,wanaona america taifa la kawaida TU ,,SI kama wewe mwaafrikaaa😄😄
M/mungu mlinde putin
HAWEZI HATA MUOMBE DUNIA ZIMA 🤣
Kweli Mungu amlinde putin maan amekaribia kufa.
Safii wazee
Safi sana😂😂putin nakukubar mkuu
Absolutely 💯 💯 💯
Kuna jambo? Nahisi sio kuzuri hata kidogo. Maana najua nuclear sio kitu cha mchezo. Hii silaha mbaya kwelikweli inatisha vibaya!! Usiombe!!
Sauti ya dhahabu shukrani mtangazaji
Safiiiiiiiii
Hii ni mbaya Sana ...mungu ajalie Kila la heri..hii hali sio nzuri kabisa ...mwenyezimungu tusaidie Kwa hili vita isitokee kwamana sio powa ujuwe
Kule gaza mnongea au ni Ukraine tuu
Nilisubira sana uchambuz wenu juu ya taarifa hii
Sana tu
Safiii wape
Hii ni shida kweli, we unasherehekea vita unathani hutaathirika? Fikiria tena
Mbona hamfikirii kuhusu Gaza
gaza acha wafe mbona auwazi kongo
Si awashe 🔥 tu! Kwann anasem iv na kutokutekeleza
Awape tu
Kuna wapumbavu wakati vita vinaanza walaizani urusi atashindwa hawajui kua marekani hana silaha za kuizidi Urusi bali ana maneno na porojo nakutishia vitaifa vidogo
Weeeee tusubir tuone 🤣
Sasa kwani urusi kashinda?unaota nini ww
Urusi bado hajashinda na wenzake washamweka kwenye tageti na akijichanganya tu wanammaliza.
Urusi hana uwezo wa kupambana na NATO hata kidogo
@@MathewNathan-yb2bz hata hivo 😉
Hii sasa ndo inaitwa COLD WAR
BABA WAPELEKEW HAMAS, HEZBOLLAH MIFUMO YA ULINZ NA SIRAHA KALI NA MAELEMENT NA BULLET PROOF, NA VIFARU ALAFU TUONE KUMANYOKA HAO MASHOGA WANAOJIITA TAIFA LA MUNG YAAN BABA UKIWAPA SIRAH KM WAO WANAVYOWAPA UKRAINE NAKWAMBIA VIBARAK WA MAREKAN WENG MAJI WATAITA MMA KUMANYOKO ZAO
Yaan ata urusi mwenyewe hathubutu kuanzisha vita ya moja kwa moja na israel maana wale wana uwezo na akili ambayo sio ya kawaida
Mtakatifu Putin wamemwaga mboga,we mwaga ugali.Kama mbwa Wacha iwe mbwa kiumane mpaka kieleweke tata.Bhita ni bhita ntakutemego.Ulabhugabhwi.Marekani ni mrisha TU.
,swedy swedy kama mbwayi na iwe mbwayi 😅😅😅😅😅😅
Mtakatifu tena????
Nafurah sana mwislam unavyomsifia mkristo
@@Maxpaul-oi8pw Hamna ajabu kumsifu mkristo kwani ajabu ikiwa utafanya wema basi utasifiwa ili mradi humkashifu mungu au ushawahi kumsikia putini akasema ushoga,freemanson, au shetani ndio mungu wake tulia kijana soma usitafute chokochoko
@@melanialeonard4031mtakatifu kwasababu hajawahi sapoti ushoga kama wale wengine
Mwamba Putin namkubali sana
Urus wamechoka, vitisho tu.
@@melkizedckhivi wewe upo kwenye dunia hii au ndio umeanza kurumia smartphone leo inamaana huoni anavyo itembezea kichapo dunia mpaka wanalia kilio cha kuku😅
@@stevenlugojeremia2323 watamkoma mwamba
Vita hivi hakuna mshindi.pengine mungu aingilie kati adhari zinatupata zote.wanadamu wengi wanakufa.
Huyu ndie kiboko wa marekani
🙄🙄🙄
Sns mnatisha kwa habar
MWAMBA XNA PUTIN Namkubali xna VIVA RUSIA
Poga hao wafe manyangau
Putin anatumia sana akili,,, tuombe mungu tu putin amekataa vita kuanzia mda sana wanamtaka ,,ila mungu is with you
Putin yupo Sahihi kabisa
The situation is getting worse than ever...
Mwnangu putin usisahau nami kunipa hata bomu moja la nyuklia
Athumani kakaangu unalipeka wapi au g......
@@MiriamAbdallah😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
Tena kalipue israhell mamae
Awape silaha yemeni na houth uone watakavyo choma dunia
wapewe au wahipige wingereza napia waige marekani napenda iyo
so raia wa urusi ni bora kuliko raia wa Ukraine
Uliza Zelensky kwanini anatumiwa ili kuiandama urusi ,hata kama nini niweke siraha mlangoni kwako utafanyaje.
Yeah uko sahihi urusi ni bora zaid ukihitaji shule mm n mwalim
@@yusuphmashallah3732 sihitaji shule yeyote kwako unae ona mrusi hana haki ya kujilinda dhidi ya wanao taka kuweka missile mlangoni kwake,pili huwezi kua mwalimu wangu labda uniambie baada ya mapinduzi 2014 ukraine kwa nini iliua maelfu ya warusi walioko Donbas na mariupol .
Oya huyu jamaa kwanni tusimpe uraisi wa mataifa yote huyu jamaa anajuwa hesabu
Safi sana wachambuzi... Putin ana experience ya vita hakuna wa kumtisha apeleke silaha jule parestina tuongee mengine
Mwenye uzoefu anaogopa silaha za masafa
Kiduku km namuona anavosubiri kifurushi chake cha gawio
Good hope for Africa.❤🎉🎉
The greatest of all time
Apewe hizo siraha kwanza Iran Cuba na Syria
Faza watandike hao mashoga wa magharibi
Na hawa mashoga wa kwetu vipi kule mafia
Mwamba huyuuu.lazima NATO wakaee
💯
Ndio
Na inshallah Atafanye vizuri
Huu
Akishindwa Ulimwengu inaharibika
Sana Sana Sisi wa Afrique Na Asie
Tutakuwa watumwa wa kwanza
Mzee wakumbuke na Alishababu
Putini❤❤❤
Putin 🎉🎉🎉
Mm yangu macho tu sipo upande wowote
Piga nuklia mzee time Time befor
Pige mashoga hao
Im warning USA
Marekani kubwa sana akuna wakuwasumbua
Kwahiyo urus ni ndogo
Kabisa
Bro sky tupe gps ya hii topic 🙏
🇹🇿❣️🇷🇺
Vita ya dunia inakuja
Putin ni mtu asiyekiwa na masihara
Amefanya nini toka vita ianze mbona ni maneno tu
Vita uwanjani imeshindana inakua tena zenlekys kushambulia urusi 😂😂😂😂
wakati unaanza kuipiga Ukraine ulizan Dunia itakaa kimya
Ila sidhan Kam Ukraine anauwez w kishambulia
Wape na cuba wawanyoshe marekani pale ndo karibu
Ndio maana hakusema Tampa nani ila nchi nyingi zitakuwa za kiarabu
@@soudmoshmnyika5813 Cuba pia ina asilimia kubwa tu
Tayali
Hivi hii vita haijaisha tu!! Kila siku jamaa anaonya tu!!!
Tunaomba na makala kuhusiana na silaha maaana tunaziskia tu
Lakini tunawakubali sana
Maneno mengi vitendo ziro hakuna wakumshinda us
US alishamchunguza Putin na hakuna nchi inapigana kwa akili na tafiti kama USA
Kabisa aisee
Kiufupi mmarekani safari hii ameyakanyaga
kivipi na uku raia wake wako salama
Mungu mlinde puttin
Hisabati
Kuna jimbo kule marekani linaitwa alasaka ni mali ya urusi ile na itauchukuliwa wameanza wenyewe putin atamaliza
Ilishauzwa hiyo
Sauti ya sns inanikosha unajua kusimulia hadi kero, msukuma watu piga kaz
Putin baba lao ❤❤🇷🇺🇷🇺🇷🇺
Free Palestinian ❤❤🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇰🇪
Boya uyo
Congo 🇨🇩 ❤️atupe sisi hata sasa ivi tuh sisi na Rwanda tu malizane mara moja
Piga USA na EU wanauza minerals zenu na ma campun ya Apple,Tesla na Microsoft
Resources zenu zinauzwa Eu na USA
Ndiyo
Maneno tu amna kitu hapo huyu urusi hii vita awezi kushinda
Asichelewe sasa maña ulaya tyr washampa ukrein na yy asichelewe
😂😂😂
Hii vita si urusi na NATO bali INA athiri usalama wa ulimwengu mzima kwa hiyo tuombe visi sambae
ili kumfahamisha tu mchambuzi kuwa, silaha zote zikiwemo vifaru vya Abrahams wamepewa ukraine lakini wanajeshi wa Ukraine wanakiri kuwa vifaru hivyo vilitengenezwa kwa ajili ya kupigana na watu wenye silaha ndogo ndogo vifaru hivi kwa kweli havina maana nyingi sasa hivi vinawasilishwa moscow kwa ajili ya watu.
Smaa mwongo yani leo unsema hamas ni wa iran si ulitudanganya ni wa izlael
Acha waliuee
Nani ss mbona usomeki
Hizo ni mbwembwe hana lolote huyu...huyu na harmonize hawana tofauti kabisaaa
Kana mikwara tu aka
Mwambie huyo mume wako mmarekan aguse apo unazani maneno hayo angeongea rais wa inch nyengine marekan angekuwa asha shambulia lkn marekan mwenyewe katulia kimya anaogopa anagawa siraha kila siku lkn wapi Putin siyo mchezo huyo bro
@@Saidkhel huyo putin mme wenu ni muoga saana saanaa ni mtu wa kiki nyingi
Swala la siraha za nyuklia nchi nyingi wanazo ila wapo kimyaaa hawapendi tu maisha ya kiki kama ya korea kaskazini ni urusi
Nchi zenye nyuklia ila hazina kiki hizo ni Mbabe mwenyew USA, GERMANY,CHINA, UK, CANADA,FRANCE,SPAIN,SOUTH KOREA,ITALY hadi South Africa wanategeneza, je wajua nchi yenye vinu vingi vya nyulia ni ipi??
@@Saidkhelvita ni akil siyo kupigana Kama vibaka huyo Putin siku ukija sikia kafa hamtakaa muamn kabsa marekani ni taifa kubwa sana na lenye teknolojia kubwa sana na Kama wangeamua kumsaidia Ukraine waziwazi bac mpaka Leo hii tungezungmzia Mambo mengne mpaka sasa urusi kashaonekana dhaif kwa kushindwa kumalza vita na nchi dogo ile
Nakubal putin
Naanzaje kumpinga kuhusu Hilo nawakati anawashuulikia mashoga yaan kwa Vladimir Putin watakunywa maji kwenye karai, namtegemea sana uyu mwamba kwa usalama wa vizazi vyetu
PUTIN safi sana ww unakemea ushoga lakin hao marekani na mashoga wenzie wa magharibi wanashabikia ushoga na wamefikia kuwaambia viongozi wetu wakubali ushoga ili wapewe misaada
Putin yaipe silaha nzito Burundi kama izo iwape somo mabeberu
Aimalize kwanza Ukraine ndio ashindane na Marekani. Kuvimba tu.
Sa anashindwa we unavyoona kweli???😂
Tatzo hujui Ukrein yuko vipi na urusi iko kama Zanzibar na tanganyika kwaiyo huwez piga nchi nzima maana Zanzibar kua wabongo na wazanzibar na urusi na Ukrein ndivyo ilivyo
Fredrick bundala🔥🔥🔥
Toa baba we are already Tired with America marekan niwashenz navibaraka wake
Inatakiwa awape Alqaeda au Al shababu hizo zilaha, tuuone huo mtanange...
Fanya hivyo urusi dawa ya moto ni moto
.. "pumba tupu!..." Hahaaa
Mashoga huwa wanaunga mkono mashoga wenzao pasina haya
Ikitokea siku nikapata walau mwaka mmoja tu nika iongoza tz dunia inatalia mara 10 yakilio walicho lia kipindi cha magufuli 🤦🏻♀️
Jombaa agiza juice 🥤 akuja kulipa penda sana point yako 🎉🎉🎉🎉🎉
Hili swali la mwamba Lina zaidi ya utata.
Acha uruss iwatandike hao maboyo
Bora walikoroge tu kwani vp watu waowane potelea kwete
Hivi ni Vita so Ukraine naye anahaki ya kushambulia, Why Putin anatumia Silaa kutoka China, North Korea, Iran sasa na yeye akae mkao wa kula.
Israel wameokoa mateka wao wanne wakiwa hai