Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
UKRAINE hali ni tete! WANAJESHI warudi nyuma URUSI ikishambulia na NGUVU, ZELENSKY asitisha SAFARI
- Додати в
- Мій плейлист
- Переглянути пізніше
- Поділитися
Поділитися
Вставка
Розмір відео:
- Опубліковано 14 тра 2024
- Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
КОМЕНТАРІ • 277
Наступне
Автоматичне відтворення
GPS: Uvamizi wa Ukraine ndani ya URUSI waipeleka VITA pabaya! PUTIN aahidi Majibu Mazito, Ni HatariSimulizi Na Sauti
Переглядів 41 тис.
LIVE | UN Security Council's Emergency Meeting On Hamas Chief Haniyeh's Murder In Iran | IsraelHindustan Times
Переглядів 67 тис.
URUSI, Marekani, UK, nani ana VIFARU bora? Vimeteketea vingapi VITA vya UKRAINE? Ukweli ni huu!Simulizi Na Sauti
Переглядів 22 тис.
Зачем ВСУ перешли границу? Обмен заключенными - шаг к миру? Риск войны на Ближнем Востоке / ШевченкоRTVI Новости
Переглядів 2,7 млн
Атака ВСУ на Курскую область: что происходит?BBC News - Русская служба
Переглядів 3,4 млн
How I Did The SELF BENDING Spoon 😱🥄 #shortsWian
Переглядів 35 млн
СТАСЯ МАКЄЄВА: СЕРДЮЧКА на гендер паті. Тато ЗРАДЖУВАВ, коли мама хворіла на РАК. Коли українською?Okay Eva
Переглядів 473 тис.
The Story Book: Binaadamu wa Kwanza Kwenda Mwezini, Marekani walitudanganya ??Wasafi Media
Переглядів 504 тис.
ULAYA - JORAMU NKUMBI asimulia MAZITO alioyaona akiwa huko, aogopa haya ya KUTISHA, asifia MAZURISimulizi Na Sauti
Переглядів 14 тис.
When A Gang Leader Confronted Muhammad AliBoxing After Dark
Переглядів 7 млн
BREAKING NEWS, MAJESHI YA URUSI YAVAMIA KAMBI YA KIJESHI YA MAREKANI ILIYOKO NIGERHABARI 24
Переглядів 21 тис.
Unbowed Nuru Okanga Destroys Gen Z's Kasmuel Badly! Kuingia kwenu Bungeni imefanya Raila akapata CSsKenya Digital News
Переглядів 3,6 тис.
Korea Kaskazini imewezaje kujenga mijengo bora hivi! Wanapewa bure! Jionee Mapinduzi ya Kim Jong UNSimulizi Na Sauti
Переглядів 44 тис.
Hizi ndizo SILAHA ambazo BIDEN ameiambia UKRAINE inaweza kuzitumia kuishambulia URUSI! Zinatisha!Simulizi Na Sauti
Переглядів 31 тис.
BREAKING NEWS, MAREKANI NI HATARI YAPELEKA MANOWARI KUBWA ZAIDI YA NYUKLIA KOREA KUSINIHABARI 24
Переглядів 20 тис.
MWAMBA HAJANUNUA V8 ZA KUTEMBELEA ANAWAWEZESHA MASKINI WAKULIMAUKUU WA MWAFRIKA (IBM)
Переглядів 112 тис.
ПЕТРО ЧЕРНИК ПОВЕРНУВСЯ! Про Курськ, реакцію Путіна та стратегічний переламСпецпроєкти Сергія Мамаєва
Переглядів 172 тис.
Втрачене дитинство | GOVOR TikTok #govor #shotsGOVOR
Переглядів 414 тис.
Кадиров пішов НА ПЕРЕГОВОРИ із ЗСУ? АХМАТівці ТІКАЮТЬ! Київ захоплює НОВІ МІСТА РФ | НОВИНИ СЬОГОДНІУКРАЇНА СЬОГОДНІ
Переглядів 518 тис.
SCHOOLBOY. Последняя часть🤓⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Переглядів 11 млн
Шеф, все пропало. У пропагандистів РФ істерика через F-16Факти тижня
Переглядів 580 тис.
Курск и Суджа России НЕ НУЖНЫ? ПОЗОР Ахмата | Антизомби 2024 - 30 полный выпускТелеканал ICTV
Переглядів 540 тис.
Sad To Announce I Did Not Qualify For Mens 2024 Olympic Gymnastics TeamThe Rock
Переглядів 27 млн
Державний Прапор України підняли на КУРЩИНІ в рф😍🇺🇦💪🏻 #курськ #прапорукраїни #рф #війна #наступТелеканал Конкурент TV - новини Луцька та Волині
Переглядів 431 тис.
Naomba like 20 Wana sns ..tunawashukuru xna kwa kutupatia taarifa kwa wakat ..
Zerozensky mwisho wa cku mpk yy atakimbia na kuitelekeza nchi yake
Yani wew hamna sauti unataka like
Nimemtafutia sijasiona uliziweka wapi😅😅😅😅😅😅
Dj smaa alishatabiri japo wanao shabikia magaidi NATO na mharifu Marekani hawataki kusikia ukweli .
Uhakikaaa
Ongera kwa urusi.endeleya ku capa NATO n'Amerika...
Bila michubuko unaweza kupata ukimwi?
Conversation ya Leo yapo poa sana, fantastic job
Ushindi kwa Urusi ni Ushindi Wadunia. Vipi hali ilivyo Gaza na hasa Rafah?
Combination hii ya wachambuzi inatupa uelewa mkubwa kimantick. ❤❤❤❤. Nashukuru sns kwa kulichukua wazo langu na kulifanyia kazi. ❤❤❤
Sns nawapata vizuri sana from Belgium
Nawapata vema .nipo Namibia hapa windhoek. Napenda sana kazi yenu.
Upo Windhoek sehemu gani? Khomazda Katutura Babylon ama Klein Windhoek. Hongera SNS kwa umbuzi uliochangamka
Asanteni sana kwa taarifa nzuri zimesomeka kitaalamu kabisa hongereni kwa uchambuzi mzuri wa kiwango cha Kimataifa
Hawa Wagner kwel ni watu hatar sana maana sio kwa wanachokifanya huko Kharkov 🙌
Huko pia wataondoka mwisho watakimbia kabisa na hao mashoga watazidi kupoteza pesa na silaha
DJ esma nimchambuzi mzuri mrusi siomtuwakutania watu wanavyofikiria ,anaogopwa na wazungu wenzie
Sio dj esma ni Dj sma
@@Gulfnas1 mkono umetereza kuandika kwaio umekua mkosoaji
@@uwimana6533😂😂😂😂
SnS is more than mainstream media..
Nawapata vzr from Germany
Aise Dj Sma na Ally Masubi kwa kazi hii bila shaka mtakua mnapata pesa kubwa sana kwa uchambuzi wenu huu big up 👍
Wazee wa Facts and Logic watu wakuunganisha…….
Shoutout to SnS,,Dj.Smaa & Ally Masoud for wonderful Analysis 🔥🔥🔥🔥
Sns tun wapata vizuri URAAAAAA
Sauti ipo ili mtandao ukizidiwa kuna badhi ya watazamaji wanakosa sauti,
Dj sma uko bright mashaalah
Hongereni kwa Habari na uchambuzi mzuri
Natural sana
Watching live from Russia
Uraaaaa urusi🎉🎉🎉
Jamani mimi nipo bankoko nawapata vizuri sana ndugu zangu more love u guys
Ndio wap uko ndgu
Ndo wap huko kaka??
wana sns hii ndo.aljazera ya bingo mnakimbiza yani BBC dw nw.days wanazidi poteza followers
Sns mko vema sana, mnatujuza habari updates
Ali Masubi ana information sana ila communication skills zake ziko chini... anaweza aka improve !
SNS Respect 💯👊🏾
Kwa kila hatua Mungu awe pamoja na majeshi ya Urusi ya kamanda wa ulimwengu Rais Vladimir Putin, kwa neema ya Mungu wajaliwe kufikia malengo yao kwa wakati.
I won't stop listening sns, I really like it
Hali nimbaya sana hata BBC imekiri hilo
BBC siku hizi wamekuwa hadi wa pole
BBC ni propaganda za Marekani,hakuna hata ck 1utakuta anawakosoa wa maharibi
BBC na Ujerumani sy Redio zakusikiliza nizwamarelani zakupotosha ukli kumlinda marekani
@@emmanuelmlowe-ew7gxna wao sasa hivi wameanza kukubali muziki wa putini
@@sonnyr1899inabidi na wao wakubali tu sasa wataandika nini ilihali vyombo vyote duniani wanongea lugha moja ni urrusi tu
Ahsanteni sana wachambuzi wetu kwa kazi nzuri ya kutulisha habari za uhakika na muhimu kwa maisha yetu
Waaaa
KAZI nzuri
Eeeeh hiii urusi tuko pamoja na Putin jamn like zangu 🔥🔥🔥
Kama unamkubali Dj sma na ally masubi weka like hapa
Ok'mimi nakota'drc manyema asate kwa urusi
Hongera urusi kwa kumshikisha ajabu mshirika mamuluki wa nchichi za magharibi
Huku dj smaa 255 kule aly masubi..kama ni wali basi huu ni mseto uliokamilika
Sauti
Asnt sana kwatarifa nzr,,
Warus weusi tunatembea kifua mbele Mungu amjalie afya njema Putin
Kweli
Pia mimi niko Ukraine nawapata vizur sana Sns
Uko Ukirein!!!!!!!!!k kama ndivyo una roho ya Nyau😂
😂😂😂
Haya Ally anayo yaongea anageongea sma watu wa taarabu wangeanza ooooh anaegemea sijui nin na nn, ukwel hauwezi fichwa hata siku moja, sma huwa anaongea yale yanayo fichwa jmn sio kwamba anaegemea
Safi sana Sns
Mim nilisema tokea tunaanza SnS ni social media kumbwa sn kwa update kiukweli naipenda nimeachana na bbc na DW na cnn pia nikamua nibaki SNS.thaks u Sky
Duh
Good
SNS kitu mnafanya ni kizuri ila Kuna namna Ali anatakiwa kukaa kimya au kusubiri mwenzake amalize kuchangia ndio aongee, obvious anajua but the problem anaingilia time ya mwenzie... Sio Kwa ubaya but itaboresha hii midaharo
The change has come
Team mrusi tujuane👇👇👇👇
Urussi ni jeshi kali zaidi Duniani. Zerenski asipo kaa meza moja na Urusi wamalize uhasama wao. Ukraine inapotea kabisa ktk ramani ya dunia.
Ningumu kukameza moja vita haipigani Europa
Asanteni Kwa habari tupo pamoja
❤
❤❤ dj smaa❤❤
Hii vita Ukraine aombe msamaha yaishe
Uuuu Raaaaaa rasia ni super power jamani tunawafuta sana snaa tukiwa burundi
Mpo vizuri
Back sound muhimj
Licha ya vita vyote hivi anavopigana mrusi hatusikii kuuwa raia wasiokua na hatia ana deal na wanajeshi tu ila Zaonist Israel kule anua watoto na wanawake bila kujali mungu awalaani Israel na ampe nguvu Russia ashinde vita hivi
Kazi nzuri brother
Oya wazee nakubali sana kazi zenu
asandeni sana
😊
Sauti gani mnayo isema mbona inasikika vizuri tu.
Kwangu mimi siku haiishi bila kupitia sns kumsikiliza dj smaa na all masudi ..wachambuzi waongezee hela kidogo waendelew kuwa na molarity yakuendelea kufuatilia maarifa na taarifa nyingi ..pia wape kbisa ajila official wawe sns kama watangazaaji wa media zingine kubwa kama redio and TV
Naam wachambuzi wetu ahsanteni sio tu uchambuzi Bali Ni somo maalum tumefaidika mno!
Walijichanganya kuushambulia Boligolod eneo la urusi yanayotokea Karkive
Piga hao
HAHAHAHAAAAA😂 .NA HAO WALIOUWAWA 1,400 MDA WA MASAA 24 TU MBONA BBC HAWASEMI😂. DAH YAANI RAHASANA HAWA JAMAA WALIOTUULIA GADAFIWETU NA SADAMU BILAKOSA DADEK HAYO NDIO MALIPO SASA. kama asemavyo ALLAH. hazidishiwi dhwaalimu isipokua ni hasaratu😂
😂
Sauti imepotelea wapi
Muunganiko wa ❤ djsma na ❤ Ally napata ratha kipekee hata wizara yetu ulinzi iwangize kwenye kuwa washauli sky hongera kwa kutuletea vitu adimu channel haina umbea na watu unao ongeza ubunifu zaidi❤❤❤❤❤
Wizara ipi ndugu
Sns hamna mpinzani ✌️
Lazima waseme mwaka huu watakaa mezani...
Fire
Mi niko NANDIMBA nawapata vizuri 😂😂😂😂
Vyombo vya habari vya magaribi saivi wametulia kama hawapo
Jameni pelekeni watoto shule,Hawa wachambuzi wanatupa Raha sanaaa Urusi idumuuu.Putin For Victori
Sauti hamna
Nyie wachambuzi si mpewe kazi ya kufundisha jeshin?
Yaani mpaka waseeeemeee
Ali unaongea sana muachie pia Dj asma nae aongee
Safi.sana
👍👊✌️.
Putin anafanya kazi zuri ila awe makini kwa usalama wake Marekani na ukata wapo kazini usk na mchana
Naomba kujua, vipi kama Urusi ikashinda vita na kuichukua Ukraine yote, je Urusi waichukua nchi nzima na kupanua mipaka ya nchi hiyo kwa eneo la Ukeaine?
Nipo hapa na sky, dj sm, ally masubi.
Leo mmeongea pwenti nakucambuwa vizuri naweredi mwingi❤
Nimependa hapo kwenye kudisable GPS system za silaa za adui.
Sasa ww unafikiria kama Ukraine ataishambulia Moscow sio ndio itamalizwa Ukraine
Mrusi kashajiandaa kutumia s500 kwa ajili ya f _16 naf22na 35
Wapige tu hao mashoga mpaka wakimbie nchi yote iwe urusi tu
Acha uruss iwatandike hao wapuuzi na waisoma uraaaaaaa
Mm nko Tel-Aviv ingawa nawapata kwa shida lkn tuko pa1
Nawapata vizr nipo russia hapa
Uraaaaaa
Ukreni ipoteeee2
Vita hii ni kwamba Ukraine kaisha shindwa,ila anashindwa kusalim amri coz itakua ni kama NATO wameshindwa vita!Hilo lipo wazi
Ukraine walishashindwa zaman saana sasa ivi urusi anapigana na nato na marekani
Swali langu kwa dj smaa na kwa ally kwa yoyote ambae anaweza kunijibu,, hizi ndege za F-16 na F-35 mrusi ana uwezo wa kuzitungua kwenye uwanja wa vita?
Yes
Nato kazi yao kutengeneza ugaidi ili kuihadaa dunia wazidi kuendeleza ushetani wao ngoja wakione chamoto
Mimi toka kologwe tanga mwana chama numba1 wa #sns