Це відео не доступне.
Перепрошуємо.

UKRAINE hali ni tete! WANAJESHI warudi nyuma URUSI ikishambulia na NGUVU, ZELENSKY asitisha SAFARI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 14 тра 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

КОМЕНТАРІ • 277

  • @user-tm6gv9kp7v
    @user-tm6gv9kp7v 3 місяці тому +47

    Naomba like 20 Wana sns ..tunawashukuru xna kwa kutupatia taarifa kwa wakat ..
    Zerozensky mwisho wa cku mpk yy atakimbia na kuitelekeza nchi yake

    • @ezekiakiwovele7794
      @ezekiakiwovele7794 3 місяці тому +3

      Yani wew hamna sauti unataka like

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 3 місяці тому +1

      Nimemtafutia sijasiona uliziweka wapi😅😅😅😅😅😅

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847 3 місяці тому +40

    Dj smaa alishatabiri japo wanao shabikia magaidi NATO na mharifu Marekani hawataki kusikia ukweli .

  • @PatrickKagiraneza-ok8cw
    @PatrickKagiraneza-ok8cw 3 місяці тому +21

    Ongera kwa urusi.endeleya ku capa NATO n'Amerika...

  • @kassimbayuu
    @kassimbayuu 3 місяці тому +5

    Conversation ya Leo yapo poa sana, fantastic job

  • @hemedmwipopo780
    @hemedmwipopo780 3 місяці тому +25

    Ushindi kwa Urusi ni Ushindi Wadunia. Vipi hali ilivyo Gaza na hasa Rafah?

  • @bishweko
    @bishweko 3 місяці тому +1

    Combination hii ya wachambuzi inatupa uelewa mkubwa kimantick. ❤❤❤❤. Nashukuru sns kwa kulichukua wazo langu na kulifanyia kazi. ❤❤❤

  • @fatmabukuku5384
    @fatmabukuku5384 3 місяці тому +9

    Sns nawapata vizuri sana from Belgium

  • @mnaratailoring6346
    @mnaratailoring6346 3 місяці тому +8

    Nawapata vema .nipo Namibia hapa windhoek. Napenda sana kazi yenu.

    • @nyawawawanyawawa935
      @nyawawawanyawawa935 3 місяці тому

      Upo Windhoek sehemu gani? Khomazda Katutura Babylon ama Klein Windhoek. Hongera SNS kwa umbuzi uliochangamka

  • @madaiincubationcenter4947
    @madaiincubationcenter4947 3 місяці тому +3

    Asanteni sana kwa taarifa nzuri zimesomeka kitaalamu kabisa hongereni kwa uchambuzi mzuri wa kiwango cha Kimataifa

  • @annurmohamedi9824
    @annurmohamedi9824 3 місяці тому +10

    Hawa Wagner kwel ni watu hatar sana maana sio kwa wanachokifanya huko Kharkov 🙌

  • @AbuuAli-nf4fb
    @AbuuAli-nf4fb 3 місяці тому +12

    Huko pia wataondoka mwisho watakimbia kabisa na hao mashoga watazidi kupoteza pesa na silaha

  • @uwimana6533
    @uwimana6533 3 місяці тому +10

    DJ esma nimchambuzi mzuri mrusi siomtuwakutania watu wanavyofikiria ,anaogopwa na wazungu wenzie

    • @Gulfnas1
      @Gulfnas1 3 місяці тому +1

      Sio dj esma ni Dj sma

    • @uwimana6533
      @uwimana6533 3 місяці тому

      @@Gulfnas1 mkono umetereza kuandika kwaio umekua mkosoaji

    • @mwajumabinwa604
      @mwajumabinwa604 3 місяці тому

      @@uwimana6533😂😂😂😂

  • @StevenTaylorx
    @StevenTaylorx 3 місяці тому +5

    SnS is more than mainstream media..

  • @mpwaguzipwagu3199
    @mpwaguzipwagu3199 3 місяці тому +2

    Nawapata vzr from Germany

  • @thelaoban6236
    @thelaoban6236 3 місяці тому +4

    Aise Dj Sma na Ally Masubi kwa kazi hii bila shaka mtakua mnapata pesa kubwa sana kwa uchambuzi wenu huu big up 👍

    • @thelaoban6236
      @thelaoban6236 3 місяці тому

      Wazee wa Facts and Logic watu wakuunganisha…….

  • @kherisalum6304
    @kherisalum6304 3 місяці тому +2

    Shoutout to SnS,,Dj.Smaa & Ally Masoud for wonderful Analysis 🔥🔥🔥🔥

  • @hajimaruzuku6583
    @hajimaruzuku6583 3 місяці тому +6

    Sns tun wapata vizuri URAAAAAA

  • @djsma255
    @djsma255 3 місяці тому +9

    Sauti ipo ili mtandao ukizidiwa kuna badhi ya watazamaji wanakosa sauti,

    • @bomonda2622
      @bomonda2622 3 місяці тому +2

      Dj sma uko bright mashaalah

  • @maniamba.tz_
    @maniamba.tz_ 2 місяці тому

    Hongereni kwa Habari na uchambuzi mzuri

  • @ABUBAKARSUNUS
    @ABUBAKARSUNUS 8 годин тому

    Natural sana

  • @maneibaztv5943
    @maneibaztv5943 3 місяці тому +2

    Watching live from Russia

  • @peterchula1990
    @peterchula1990 40 хвилин тому

    Uraaaaa urusi🎉🎉🎉

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936 3 місяці тому +2

    Jamani mimi nipo bankoko nawapata vizuri sana ndugu zangu more love u guys

  • @thehomeoffootballskills4358
    @thehomeoffootballskills4358 3 місяці тому +7

    wana sns hii ndo.aljazera ya bingo mnakimbiza yani BBC dw nw.days wanazidi poteza followers

  • @abcelectricalsolutions7000
    @abcelectricalsolutions7000 3 місяці тому +2

    Sns mko vema sana, mnatujuza habari updates

  • @kelviinfocus
    @kelviinfocus 2 місяці тому

    Ali Masubi ana information sana ila communication skills zake ziko chini... anaweza aka improve !
    SNS Respect 💯👊🏾

  • @user-ql6hg7fy9p
    @user-ql6hg7fy9p 3 місяці тому +2

    Kwa kila hatua Mungu awe pamoja na majeshi ya Urusi ya kamanda wa ulimwengu Rais Vladimir Putin, kwa neema ya Mungu wajaliwe kufikia malengo yao kwa wakati.

  • @MAHAN-SMART
    @MAHAN-SMART 3 місяці тому

    I won't stop listening sns, I really like it

  • @uwimana6533
    @uwimana6533 3 місяці тому +12

    Hali nimbaya sana hata BBC imekiri hilo

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 3 місяці тому +2

      BBC siku hizi wamekuwa hadi wa pole

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx 3 місяці тому

      BBC ni propaganda za Marekani,hakuna hata ck 1utakuta anawakosoa wa maharibi

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx 3 місяці тому +1

      BBC na Ujerumani sy Redio zakusikiliza nizwamarelani zakupotosha ukli kumlinda marekani

    • @user-ii6gs2jg4g
      @user-ii6gs2jg4g 3 місяці тому

      ​@@emmanuelmlowe-ew7gxna wao sasa hivi wameanza kukubali muziki wa putini

    • @user-ii6gs2jg4g
      @user-ii6gs2jg4g 3 місяці тому

      ​@@sonnyr1899inabidi na wao wakubali tu sasa wataandika nini ilihali vyombo vyote duniani wanongea lugha moja ni urrusi tu

  • @omarisombi9284
    @omarisombi9284 3 місяці тому

    Ahsanteni sana wachambuzi wetu kwa kazi nzuri ya kutulisha habari za uhakika na muhimu kwa maisha yetu

  • @user-il7hv7qr7c
    @user-il7hv7qr7c 3 місяці тому +3

    Waaaa

  • @kikongajoel2693
    @kikongajoel2693 3 місяці тому +1

    KAZI nzuri

  • @RamadhanpMwakilasa-di5hc
    @RamadhanpMwakilasa-di5hc 3 місяці тому +1

    Eeeeh hiii urusi tuko pamoja na Putin jamn like zangu 🔥🔥🔥

  • @Beauthom
    @Beauthom 3 місяці тому +2

    Kama unamkubali Dj sma na ally masubi weka like hapa

  • @MiramboMarieJeanne-xz6ys
    @MiramboMarieJeanne-xz6ys 3 місяці тому +3

    Ok'mimi nakota'drc manyema asate kwa urusi

  • @user-fs6iq2my9k
    @user-fs6iq2my9k 2 місяці тому

    Hongera urusi kwa kumshikisha ajabu mshirika mamuluki wa nchichi za magharibi

  • @johnthesimba4764
    @johnthesimba4764 3 місяці тому +3

    Huku dj smaa 255 kule aly masubi..kama ni wali basi huu ni mseto uliokamilika

  • @PUTINN365
    @PUTINN365 3 місяці тому +3

    Sauti

  • @deusisindwa616
    @deusisindwa616 3 місяці тому +1

    Asnt sana kwatarifa nzr,,
    Warus weusi tunatembea kifua mbele Mungu amjalie afya njema Putin

  • @dominic4727
    @dominic4727 3 місяці тому

    Kweli

  • @georgebataze6625
    @georgebataze6625 3 місяці тому +2

    Pia mimi niko Ukraine nawapata vizur sana Sns

  • @Gulfnas1
    @Gulfnas1 3 місяці тому +1

    Haya Ally anayo yaongea anageongea sma watu wa taarabu wangeanza ooooh anaegemea sijui nin na nn, ukwel hauwezi fichwa hata siku moja, sma huwa anaongea yale yanayo fichwa jmn sio kwamba anaegemea

  • @kolokokoloko9276
    @kolokokoloko9276 3 місяці тому

    Safi sana Sns

  • @sleifikhajjir262
    @sleifikhajjir262 3 місяці тому

    Mim nilisema tokea tunaanza SnS ni social media kumbwa sn kwa update kiukweli naipenda nimeachana na bbc na DW na cnn pia nikamua nibaki SNS.thaks u Sky

  • @soudyhassan1511
    @soudyhassan1511 3 місяці тому +2

    Duh

  • @godwinmandary5116
    @godwinmandary5116 3 місяці тому +1

    Good

  • @nomoboy152
    @nomoboy152 3 місяці тому +1

    SNS kitu mnafanya ni kizuri ila Kuna namna Ali anatakiwa kukaa kimya au kusubiri mwenzake amalize kuchangia ndio aongee, obvious anajua but the problem anaingilia time ya mwenzie... Sio Kwa ubaya but itaboresha hii midaharo

  • @bosssyedmund8785
    @bosssyedmund8785 3 місяці тому

    The change has come

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 3 місяці тому +2

    Team mrusi tujuane👇👇👇👇

  • @johnnkelebe7360
    @johnnkelebe7360 3 місяці тому +3

    Urussi ni jeshi kali zaidi Duniani. Zerenski asipo kaa meza moja na Urusi wamalize uhasama wao. Ukraine inapotea kabisa ktk ramani ya dunia.

    • @uwimana6533
      @uwimana6533 3 місяці тому

      Ningumu kukameza moja vita haipigani Europa

  • @ramadhandivele9019
    @ramadhandivele9019 3 місяці тому

    Asanteni Kwa habari tupo pamoja

  • @mutorojackson8847
    @mutorojackson8847 3 місяці тому

  • @user-cf6qo9rs4f
    @user-cf6qo9rs4f 3 місяці тому +1

    ❤❤ dj smaa❤❤

  • @peterchula1990
    @peterchula1990 22 хвилини тому

    Hii vita Ukraine aombe msamaha yaishe

  • @user-ue7re5rx5k
    @user-ue7re5rx5k 3 місяці тому +1

    Uuuu Raaaaaa rasia ni super power jamani tunawafuta sana snaa tukiwa burundi

  • @matukutajuma156
    @matukutajuma156 3 місяці тому

    Mpo vizuri

  • @erickhaule5591
    @erickhaule5591 2 місяці тому

    Back sound muhimj

  • @MAHAN-SMART
    @MAHAN-SMART 3 місяці тому +1

    Licha ya vita vyote hivi anavopigana mrusi hatusikii kuuwa raia wasiokua na hatia ana deal na wanajeshi tu ila Zaonist Israel kule anua watoto na wanawake bila kujali mungu awalaani Israel na ampe nguvu Russia ashinde vita hivi

  • @rashadmohamed8341
    @rashadmohamed8341 3 місяці тому

    Kazi nzuri brother

  • @NuhuHamisi
    @NuhuHamisi 3 місяці тому

    Oya wazee nakubali sana kazi zenu

  • @user-oz3zu1qm9z
    @user-oz3zu1qm9z 3 місяці тому

    asandeni sana

  • @emanuelmasua7830
    @emanuelmasua7830 3 місяці тому

    😊

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847 3 місяці тому +3

    Sauti gani mnayo isema mbona inasikika vizuri tu.

  • @succeslifeeducation9868
    @succeslifeeducation9868 3 місяці тому

    Kwangu mimi siku haiishi bila kupitia sns kumsikiliza dj smaa na all masudi ..wachambuzi waongezee hela kidogo waendelew kuwa na molarity yakuendelea kufuatilia maarifa na taarifa nyingi ..pia wape kbisa ajila official wawe sns kama watangazaaji wa media zingine kubwa kama redio and TV

  • @lukulomansour3087
    @lukulomansour3087 3 місяці тому

    Naam wachambuzi wetu ahsanteni sio tu uchambuzi Bali Ni somo maalum tumefaidika mno!

  • @user-pd5hl9di2q
    @user-pd5hl9di2q 3 місяці тому +1

    Walijichanganya kuushambulia Boligolod eneo la urusi yanayotokea Karkive

  • @vumiliamgingu1579
    @vumiliamgingu1579 3 місяці тому +4

    Piga hao

  • @CharafimalisalimoAli-qw3hk
    @CharafimalisalimoAli-qw3hk 3 місяці тому +4

    HAHAHAHAAAAA😂 .NA HAO WALIOUWAWA 1,400 MDA WA MASAA 24 TU MBONA BBC HAWASEMI😂. DAH YAANI RAHASANA HAWA JAMAA WALIOTUULIA GADAFIWETU NA SADAMU BILAKOSA DADEK HAYO NDIO MALIPO SASA. kama asemavyo ALLAH. hazidishiwi dhwaalimu isipokua ni hasaratu😂

  • @abdallahkhalfan3966
    @abdallahkhalfan3966 3 місяці тому +3

    Sauti imepotelea wapi

  • @user-dg7wf6fg2j
    @user-dg7wf6fg2j 3 місяці тому

    Muunganiko wa ❤ djsma na ❤ Ally napata ratha kipekee hata wizara yetu ulinzi iwangize kwenye kuwa washauli sky hongera kwa kutuletea vitu adimu channel haina umbea na watu unao ongeza ubunifu zaidi❤❤❤❤❤

  • @salumadam2862
    @salumadam2862 3 місяці тому

    Sns hamna mpinzani ✌️

  • @rashadally6871
    @rashadally6871 3 місяці тому +1

    Lazima waseme mwaka huu watakaa mezani...

  • @martinndunguru7103
    @martinndunguru7103 3 місяці тому

    Fire

  • @HusseinMohamad-pl2cf
    @HusseinMohamad-pl2cf 3 місяці тому +2

    Mi niko NANDIMBA nawapata vizuri 😂😂😂😂

  • @peterchula1990
    @peterchula1990 40 хвилин тому

    Vyombo vya habari vya magaribi saivi wametulia kama hawapo

  • @MedardMushobozi
    @MedardMushobozi 3 місяці тому +1

    Jameni pelekeni watoto shule,Hawa wachambuzi wanatupa Raha sanaaa Urusi idumuuu.Putin For Victori

  • @ezekiakiwovele7794
    @ezekiakiwovele7794 3 місяці тому +2

    Sauti hamna

  • @FastpayMauzo
    @FastpayMauzo 3 місяці тому +1

    Nyie wachambuzi si mpewe kazi ya kufundisha jeshin?

  • @DaudiWimbura
    @DaudiWimbura 3 місяці тому

    Yaani mpaka waseeeemeee

  • @lameckraphael3743
    @lameckraphael3743 3 місяці тому

    Ali unaongea sana muachie pia Dj asma nae aongee

  • @user-pl7rr6oe4z
    @user-pl7rr6oe4z 3 місяці тому

    Safi.sana

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 3 місяці тому +1

    👍👊✌️.

  • @user-sy6oh2ft6r
    @user-sy6oh2ft6r 2 місяці тому

    Putin anafanya kazi zuri ila awe makini kwa usalama wake Marekani na ukata wapo kazini usk na mchana

  • @devisjoseph5787
    @devisjoseph5787 3 місяці тому

    Naomba kujua, vipi kama Urusi ikashinda vita na kuichukua Ukraine yote, je Urusi waichukua nchi nzima na kupanua mipaka ya nchi hiyo kwa eneo la Ukeaine?

  • @KAMTUPE
    @KAMTUPE 3 місяці тому

    Nipo hapa na sky, dj sm, ally masubi.

  • @ShabanKarim-tv3vn
    @ShabanKarim-tv3vn 3 місяці тому

    Leo mmeongea pwenti nakucambuwa vizuri naweredi mwingi❤

  • @ezekiambise2595
    @ezekiambise2595 3 місяці тому

    Nimependa hapo kwenye kudisable GPS system za silaa za adui.

  • @khalidbelhasa2137
    @khalidbelhasa2137 3 місяці тому +1

    Sasa ww unafikiria kama Ukraine ataishambulia Moscow sio ndio itamalizwa Ukraine

  • @ahmedhemed
    @ahmedhemed Місяць тому

    Mrusi kashajiandaa kutumia s500 kwa ajili ya f _16 naf22na 35

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 3 місяці тому +1

    Wapige tu hao mashoga mpaka wakimbie nchi yote iwe urusi tu

  • @RajabuHussein-to7jz
    @RajabuHussein-to7jz 3 місяці тому +1

    Acha uruss iwatandike hao wapuuzi na waisoma uraaaaaaa

  • @salehkhalfan7345
    @salehkhalfan7345 3 місяці тому

    Mm nko Tel-Aviv ingawa nawapata kwa shida lkn tuko pa1

  • @godfreyfrugence4176
    @godfreyfrugence4176 3 місяці тому

    Nawapata vizr nipo russia hapa

  • @bogoheidaso2628
    @bogoheidaso2628 3 місяці тому

    Uraaaaaa

  • @DaudiWimbura
    @DaudiWimbura 3 місяці тому

    Ukreni ipoteeee2

  • @kdloon2030
    @kdloon2030 3 місяці тому

    Vita hii ni kwamba Ukraine kaisha shindwa,ila anashindwa kusalim amri coz itakua ni kama NATO wameshindwa vita!Hilo lipo wazi

  • @malickabbas8271
    @malickabbas8271 3 місяці тому

    Ukraine walishashindwa zaman saana sasa ivi urusi anapigana na nato na marekani

  • @hajinachembe4310
    @hajinachembe4310 3 місяці тому +1

    Swali langu kwa dj smaa na kwa ally kwa yoyote ambae anaweza kunijibu,, hizi ndege za F-16 na F-35 mrusi ana uwezo wa kuzitungua kwenye uwanja wa vita?

  • @user-po9wi5lh1o
    @user-po9wi5lh1o 3 місяці тому +1

    Nato kazi yao kutengeneza ugaidi ili kuihadaa dunia wazidi kuendeleza ushetani wao ngoja wakione chamoto

  • @dominic4727
    @dominic4727 3 місяці тому

    Mimi toka kologwe tanga mwana chama numba1 wa #sns