Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
GPS: RAIS RUTO azua GUMZO baada ya kuichana URUSI kwa kuivamia UKRAINE, ni mwelekeo mzuri?
- Додати в
- Мій плейлист
- Переглянути пізніше
- Поділитися
Поділитися
Вставка
Розмір відео:
- Опубліковано 16 чер 2024
- Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
КОМЕНТАРІ • 634
Наступне
Автоматичне відтворення
Putin Arrives in North Korea, Vows Stronger Ties With Kim Jong UnFirstpost
Переглядів 1 млн
The war in Ukraine and the decline of the West | #1623 with Douglas MacgregorDe Nieuwe Wereld
Переглядів 1,1 млн
ULAYA - JORAMU NKUMBI asimulia MAZITO alioyaona akiwa huko, aogopa haya ya KUTISHA, asifia MAZURISimulizi Na Sauti
Переглядів 15 тис.
Обман ради папы #юмор #топКостя Павлов
Переглядів 3,8 млн
Втрачене дитинство | GOVOR TikTok #govor #shotsGOVOR
Переглядів 416 тис.
SCHOOLBOY RUNAWAY В РЕАЛЬНОЙ ЖИЗНИ 📚🔔 #schoolboy #runaway #schoolboyrunaway #shorts YOUNGYOUNG
Переглядів 2,3 млн
"СВО” довела РОССИЮ! УРА-патриоты ПРИУНЫЛИ! Гражданская оборона 2024 - 30 полный выпускТелеканал ICTV
Переглядів 1,9 млн
GPS: Kwanini ISRAEL haitaki PALESTINA iwe TAIFA linalojitegemea! FAHAMU historia ya Mzozo HuuSimulizi Na Sauti
Переглядів 33 тис.
GPS: URAFIKI wa PUTIN na JINPING unavyozipa nguvu URUSI na CHINA na kuwatisha US na Wenzake (Part 2)Simulizi Na Sauti
Переглядів 14 тис.
UKRAINE hali ni tete! WANAJESHI warudi nyuma URUSI ikishambulia na NGUVU, ZELENSKY asitisha SAFARISimulizi Na Sauti
Переглядів 50 тис.
Maisha ya Marekani: Maswali na Majibu nilipokuwa TikTok LiveEBM SWAHILI
Переглядів 2 тис.
GPS: Uvamizi wa Ukraine ndani ya URUSI waipeleka VITA pabaya! PUTIN aahidi Majibu Mazito, Ni HatariSimulizi Na Sauti
Переглядів 41 тис.
KUHUSU MAKAMBA KIJANA MZALENDO ACHARUKA "BITEKO AMCHUNGUZE MAKAMBA ALIYOYAFANYA KWENYE NISHATI"MwanaHALISI TV
Переглядів 105 тис.
Unaweza kuzimia! Tazama Mkurugenzi wa Secret Service alivyobananishwa Maswali na Wabunge, inatisha!Simulizi Na Sauti
Переглядів 41 тис.
JE, WAISRAEL WANA HAKI YA KUUVUNJA MSIKITI WA AL AQSA ILI KUJENGA HEKALU LA 3?-MDAHALOBAYYINAT DM TV
Переглядів 21 тис.
MGOGORO GHOROFA LA KARIAKOO/MTOTO AMKANA MAMA/MAMA AOMBA RAIS NA WAZIRI KUINGILIA KATI''ANADHULUMU''JAMBO TV
Переглядів 93 тис.
«Приїхали Бандеру шукали. Який Бандера? Він помер взагалі-то. Ні, от сказали, у вас тут Бандера є»Суспільне Дніпро
Переглядів 165 тис.
Алексей Щербаков разнес ВДВшниковBody Mania
Переглядів 10 млн
Ядерное озеро #ссср #россия #пермьПослезавтра
Переглядів 4,6 млн
MELLSTROY - первое интервью: как живет самый обсуждаемый стример годаВПИСКА
Переглядів 11 млн
KLAVDIA PETRIVNA, МАША КОНДРАТЕНКО - ЇДЕ ДАХ (OFFICIAL VIDEO)Klavdia Petrivna
Переглядів 854 тис.
لااا! هذه البرتقالة مزعجة جدًا #قصيرOne More Arabic
Переглядів 51 млн
РЕЙНДЖЕРС - ДИНАМО. Детальний огляд матчу. ЛІГА ЧЕМПІОНІВFootball Hub
Переглядів 315 тис.
Киселев. Генералы и Лукашенко предали Путина, за Россию воевать некому, Путину конецДмитрий Гордон
Переглядів 1,3 млн
Hayo ndo matunda ya ruto baada ya kwenda Marekani, poleni sana wakenya
Since nimenza kufuatilia sns..nimejifunza meng sana...na uchambuz wa Hali ya juu...big up to Ally,dj sma na Fredrick...👊👊
SNS is more than university.
Sure
Nawakubali sana sana SNS kwa uchambuzi wenu mpo makini sana. Shukran sana
IT'S NOT A MUST TO BE WITH EUROPE .AFRICA IS A BIG LAND WE CAN STAND ALONE WITH OUT EUROPE
The problem is we are 2 late for that
don't think about that! africa without europe is impossible to develop in any sector
lazima Africa iwe na connection na Europe. Ngano yenyeww ya kulisha continent yatoka Ukrain, so lazima uwe umblically connected.
Dj sma na bro wa kat MashaAllah TabarakaAllah
Huyu mwengine ni mbishi na hatak kuamini kuwa Afrika we can
nakubali mazee love from BURUNDİ
Kutoka DRC 🇨🇩🇨🇩 Kinshasa asante sana SNS
👍
Welldone economists. I like your conversation. Your opening our mind
Kaka asante sana hivi vipindi kama hivi safi sana munatufanya kuwa na uwelewa mzuri kituo chako ni number moja
Yap DJ Sma mashallah bro
EAC inatakiwa iwe na Foreign policy inayo fanana other wise itakufa.
Tanzania ijikite Zaidi SADEC ndo Tunaenda nao vizuri.
Tufanye kazi na sadec lakin tusiondoke Eac moja kwa moja (neutral) ili tuweze kufanya trade na hao jirani wanafiki😅
💯🇧🇮🇧🇮🇧🇮salamu Kwa wana Sns wote na watangazaji wote Kwa ujmla na sijasahawu Dj sma 🎉🎉 scriiiii paaaaaa
Iyo discussions ilikuwa poa, Asante sana vijana wa africa mna mtazamo mzuri wa mambo ya ulimwengu
And wat next
Huyo Anataka kupitia kwenye kwenye deni kubwa sana hafai kua kiongozi wa kenya
Ungekua ww ungefanyaje put ur self in Ruto's shoes
Kenya ina historia ya usaliti,kwanza mwanzilishi wa taifa la kenya alikua kibaraka wa mkoloni kenya tunaita home guards alikua yupo kwa mau mau usiku anaenda kwa mzungu.Walisaliti sana wapiganiaji uhuru wa Africa mfano wanaharakati wa south Africa walipokua wanakimbilia Kenya makaburu walipohitaji warudishwe Kenya iliwarudisha wakashitakiwe.Kenya ni nchi ya aibu.
Naapa kwa Mungu, mimi kwa umri huu sikupata kujua kwamba Kenya iliwahi kuwarudisha Africa kusini waliokuwa wapigania uhuru WEUSI wa Africa kusini ili wakashitakiwe na serikali ya kidhalimu ya makaburu huko SA -- pathetic, !!!!😮😮😮. If that is the case, for reparation, it have to apologize to South Afticans today.
Mmi ukweli ciwapendi hawa viumbe kwasababu wanaturudisha nyuma mbwa hawa kumamazao
@@mohamedkazema6381Nikweli kabisa serekali kenya ilikua ni majasusi
Ali masubi umeongea vizur sana huko mwisho coz mifano ya taifa lako kwenye uwekezaji ni kigezo bila woga na ukweli umesimama hapo
Tutumie vizuri kwa ukamilifu taaluma zetu tunaweza.
Acheni uchawa
Kazi nzuri wangwana
My brother Ally acha pride and I see like umekuja studio kushindana hivi. Just give your options not competing
wewe mshenzi umekuja kupata elimu..au kukosoa.?
Mimi mshenzi nimekuja kukosoa, vipi umeridhika au kuna tusi ingine you want give it down Sir.
brother kama ulivowaza mimi
Ally analeta ujuaji kuliko kuelezea muda
It’s very clear for sure
Nimependa sana uchambuzi wenu muko vzuri sana mungu awabaliki
Uwezo wa Ally hapana kwa mambo mengine
Dj Smaa, unatolea mfano wa mbali mno Ungemtolea mfano Mzalendo namba 2 hayati Doct J. P. Magufuli. Samahani lakini Dj Smaa. Uko vizuri dogo.
Si kamtokea mfano Nyerere bado tu haitoshi lazima amtaje Magu
@@jut1161Nyerere sisi hatujamuona tunamsoma tu kwenye vitabu
Masubi subir smaa amalize nawe uongee,tuwasukilize hoja by hoja mnapandiana sana.Juli listen from Japan
Mimi nataka kuchangiya kitu
Mimi mdgo Sana katika kufatiliya siasa na maendeleyo ya nchi za afrika na maendeleyo ya nchi za maghari, mmi naona hakuna njia yoyote kwa maendeleyo yetu zaidi ya kua na maendeleyo ya viwanda. Viwanda ndiyo vitatupa kuzalisha na kuongeza thamani ya vitu tunavyo zalisha na kuuza kuweza GDP yetu na kupata maendeleyo
Ivii kweli viongizi wetu hawajuwi haya!!
Hakuna nchi yoyote duniani katika historia zimeendeleza bila ya maendeleyo ya viwanda ili tu kuzalisha na kuongeza thamani ya vitu vyao na ndiyo vitu vinavyo ongeza maendeleyo ya nchi zao tuangaliye kwa mchina
Masubi leo umefel sanaa 😂
Kwenye hii debate mlimuacha mbali sana huyu Mh. Mwenye miwani. Haku grasp nini mlikua mnajadiri.
Ali masubiiii 😂😂😂 Ali masubii 😂😂😂 Ali masubiii 😂😂 nimekuita mara tatuu
Huyu masubi naye anamentalit ya kimagharibi yan tayar ashaamin hawez bila wao
Rais mjinga kuliko wote Africa
Mjinga wewe luto jiniac anajua anafanya nini
Sasa Ukraine itamsaidia Ukraine yenyewe inahitaji support akuna ujinias wowote kaka@@julianamwamgogwa
@@julianamwamgogwa hata wewe pia ni mjinga,kwa hiyo wataka kuniambia Marais wengine hawajui wanafanya nini?
The first may be Evariste
@@julianamwamgogwaYes ananyonya inyee ya wazungu
Mimi kama mkenya ruto ni useless president ever to rule kenya
Ruto ni umbwa kabisa
😂😂😂nimecheka aseh
Mkunduwako ndio kenya,,, hata hao urusi na china, wakishika hatam watatutenda wanavotaka,, wa africa ni kama kahaba.
@@martinisadru9899 hujaelewa mzee urusi wana madini na raw material za kutosha kama sisi same to china wao wanagombania masoko sasa kuna ulaya natural resources zao ziko limited ndo mana ni world police waibe mafuta uranium madini ivo
So better russia anaefight for multipolar world kuliko ao paka wa G7 wanaoleta misaada na makatazo ya kutokupinga ushoga
RAISI mpuuzi sana East Africa
Hahahahahaaaaa
Big Up
Huu ni mjadala bora zaidi wa GPS mpaka sasa... Mmeelezea vizuri sana kuhusu afrika kutawaliwa na magharibi. Kudos!!
Hongereni sana...Uchambuzi wenu ni mzuri sana
Ndomaana wakenya wanamuita ZAKAYO
😂
😂😂😂
Dj smar nakuona uko poa sasa mungu ni mwema i hope una endelea vizuri
Uwekezaji katika elimu latest education ni uongo brother mwenye miwani . Tujifunze kujifungia kambini na ku sacrifice baadhi ya mambo kubadili mentality yetu. Lazima tubadili mitizamo yetu Africa
Masoud ww unatulisha matango poli
Asanteni Sana kwa kutuelimisha vizur mnauwezo mkubwa sana wa kuchambua by Yasinta walyuba
Stori nzuri sana kutufurahisha vijiweni. Wajibu wa kiongozi kwa siasa za kimataifa siyo rahisi kiasi hicho.
Nawakubali sana kutoka msubiji
Mko vizuri!
Anaupenda ushoga hiyo ruto!!
Sns ni watu makini sana, hakika hicho chombo chenu kitazidi kusonga mbele zaidi
Huyu wampindue tu hafai kwa afrika yetu mbumbumbuu kabisa
Anachukiwa Hadi na mtoto alioko tumboni hajazaliwa
Nyinyi mmebaki, masalia,wamba kwelikweli,heshima sana,na mimi natamani kuwa hapo ila uwezo😢😢😢Dah.
Ameeleza vizuri lile la Guantanamo bay kati ya Marekani na Cuba
My brother's from another mother, I Appreciate for your speech I hope Tanzania people, aswa 😢 viongozi wetu wasio na ufahamu
Nyinyi mnatisha yaani hata kama wewe ni kichwa ngumu utaelewa tu. Jamani SNS ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤.
Sns big up xanaa mnafungua xana waafrika kwa madini mnayotupa naii ni njia moja kuja badilsha maisha ya vizaz vijavyo baadae.
Ahsante sana sky kwa kutuletea Henry Mwinuka kujumuika pmj na kina Aliy masubi pmj na djsma mungu awabarik
Hawa kina kaka ningewajua miaka 8 iliyopita, nisingepata supp kizembe ..wanajua kuchambua sana, mifano na logics za kutosha. Huwa sikosi hizi session za uchambuzi.. keep it up SnS
Asanteni kwa Elimu
Nawakubali
Kuna basic needs na luxury needs (africa tuna angalia sanaa luxury needs)
luxury goods and necessary goods
Aise sky mko vizuri sana hawa vijana wakiongozwa na dj SMA ni wa moto sana
DJ sma ni brave duuuu huyu jamaa anatishaaa sanaaa apewe urais
Am proud of you brother's, tunaongeza maarifa sana na am so attentive with this GPS hold by sns.
Hii mada imekuwa bora na elimu tosha hata kwa viongozi wetu wa nchi endeleeni na vipindi bora mungu yuko nasi
Njaa mbaya sana alafu ukipenda pesa sana tatizo
Good jop
Tamaaa mbaya sana wanamtumia vibaya sana
big up sana wana sns, nawakubar sana
Ahuru WA fikra Kweli Ndio unaitaji. Kupenda na kupromot vya kwetu. Utaona njinsi mtabadilisha Mambo, kidogo kidogo Kuanzia vijijini. Kuwekeza kwenye wakulima na kuwapata motisha. Kujiwrkea bei zenu.
Ahsanteni saaana
Sasa nyinyi vijana msiishie kujadili tu, leteni pia campaign/vugu vugu la nini kifanyike, changes begin with you
Kesho wanakutw akhera 😢
Kazi nzuri sns god bless you all
Kwanza kabla ya hapo Urusi mipaka yetu kati ya sisi na kenya. Tafadhali
Niwapongeze sana ma broo MKO kwenye MAWAZO yangu
Cha kwanza kabisa,,kuacha kila kitu na kuwekeza kwenye elimu bora ya SKILLS kwa 20yrs,, tutatoboa.
Naelim inatakiwaboa siohii hii haitufundishi kujitegemea
Safi sana elimu kwanza elimu ya ujuzi na utambuzi
Mkipewa elimu ya kutosha mtaisumbua serikali baadae na vyama vyao wao kutawala milele, hivo elimu Itakuwa hii hii bumbuwazi ili wao waendelee kutawala milele na Daima.
Very good information
SNS naikubali sana sana na sitakuja kuacha kusilikiza ila mna shida Moja nyie ni wanafiki sana leo mtaongelea Russia Ukraine American Mara Kenya lakini ukweli ni kwamba Kuna pesa zinatoka nje kila siku na hamsemi ila nchi za watu mnaongea kichizi, mnaonekana mnauchungu ila mnauoga kuliko maelezo natumaini Kuna watu watanielewa Kuna matukio mengi sana Bongo ila hamtaongelea ata kidogo😢😢😢
Ukila na kipofu usimshike mkono. Matatizo ya Afrika Mengi yanafanana wakiongelea ya Niger wewe reflect na kwetu.
Sisemi wanafiki but waongelee Nchi yetu
Bongo sio😂😂😂
Ww unaujua uhuru wa vyombo vya habari bongo? Au unafikiri wenzako hawapendi maisha? Au unafikiri wapo kukufurahisha ww unaishi kwa shemeji yako na kusubiri ugali? Mkuu wanafahamu fika bongo sio kama Kenya, south Africa, Ghana, Botswana, Namibia kwenye uhuru wa vyombo vya habari kupitiliza.
Hivi ni vipindi vya ukombozi wa fikra na fikra za muAfrika zitakapo komboka huko mbeleni tutapata viongozi wazalendo na tutaungana afu AFRIKA itakua huru💪🏿✊🏿
Sky ichi kipindi tunaomba kiwe kirefu kidogo tunakipenda sana
Brighter people
wanafuse nakubali sana mada za.umundani japo ninamda mdogo sana ila nimependa tutakutana kwenye group mwezi unaokuja inshallah.ila viongoz wetu ndo umasikin wetu tina umasikin wa viongozi kama kiongoz anaweza kuuza mgodi kwaajil ya mtoto wake na sio anaowaongoza apo nisawa na kufuga kuku alafu ukimla anakudhuru
Tokea ruto atoke US amefika ana baddilika ivo nakuanza kuivamia urusi jmn njaaa mbaya
Naomba viongozi wetu wajifunze kupitia s n s
Huenda ana mambo mengi kichwani ila anashindwa ku deliver. Mwafrika anapigwa na wazungu ktk kila angle its really really hard kwa mwafrika kujitoa ktk hizi chains. Wamekua wakiua chochote kinachochipuka kwenye aridhi ya Afrika wana make sure nothing good comes from mtu mwenye ngozi nyeusi
Wazungu sio watu ni madudu when it comes kwenye prosperity ya watu wengine they wont make it easy for us.
Nyerere na wengine wali define vyema sana Maendeleo maana yake nini, "Utu".
Mko sawa
Ni kiongozi juha tena sana
sns hiyo discussion ni nzuri ni eye opening kwa watz na africans in general! il kwa kifupi wanao imaliza Africa ni viongozi wetu kuwa corrupt..wazungu wana wadanganya then wanaiba vitu vya thamani kwenye nchi zetu! na ata nchi zilizo endelea unakuta zinatoa scholarship kwa nchi za Africa lakini wanavyo fundisha wafrica na raia wao ni tofauti!
Binafsi sikuwa na intrest na Simulizi za kisiasa ila kwa sasa I'm deeply, napata upeo juu ya dunia inavyoenda, hongera CEO ❤
Mi pia mkuu
Kwa hiyo ni sawa Urusi kuivamia Ukraine? Big up Ruto.
Nyie bro mwatutowa taka za maskio jmn salute sanaa
Hongera sana Ruto
Dj Smaa na Enrik mnaongea point sana ila uyo mwingine sijui uwa anaongea nn aisee
Wakiongea kile unachotaka kukisikia ndio kwako inakuwa point?
Ruto good prezzo africa bigerthan uhuru
The flying president....bure kabisa,sijui atakufa lini😂😂🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Congratulations,kwa uchambuzi wenu makini na uweledi mkubwa katika kuchambua mambo kiundani zaidi.Mungu awabariki
Pengine baadaye uchumi wa ulaya ya magharibi utakuwa daifu na Uchumi wa BRICS utakuwa yenye mguvu sana pengine hapo kenya wataomba kujiunga na BRICS kuna uwezakano ya kukataliwa.
Mko sawa vijana
Burundi marahisi wetu wote niwa selfies yan kila mwenye anaingia pale anaingia kwaajili yatumbo lake nafamilia yake so sad Burundi tunateseka sna 😥😥😥
Usijaribu kuweka mkataba na mzungu. Utajuta yamenikuta ,kesinimeshindwa ,Afrika kueni makini sana 😔😔
Ni kweri huku tuna teseka stress ni nyingi pesa ukiipata madeni ni mengi kwa hiyo wala huioni hiyo pesa ni kweri kabisa kila mmoja yupo kwenye kauseling
Dj SMA unaongea kwa hisia sana when it comes to defend African resources against Capitalist
Huyo kibaraka wa Putin hana lolote. Anaongea kwa hisia kwa sababu bwana ake Putin ameambiwa ukweli
@@MzeeKigogo_hoja zote hzo huelew😂 tunasafar ndefu
@@MzeeKigogo_wewe ni kibaraka wa kishoga
@@sosbrayantbenjamin9701 hoja gani wameongea zaidi ya kubwabwaja kwa hisia tu. Wanatolea mfano Traore wakati anajulikana kabisa ni Kibaraka wa Russia.
@@MzeeKigogo_
Inaonekana wewe ni mgeni kwenye hii SNS maana nakushangaa unavyoumia juu ya putin hali ya kuwa hapa ndio uwanja wa nyumbani na yanasemwa yale ambayo hayaandikwi kwenye media zenu za upinde BBC,VOA,DW Na mfano wa hivyo na ukitaka yatakayokufurahisha wewe ijapokuwa mengi ni ya propaganda nenda kwenye hizo mean stream media usitake wote tuwe vibaraka wa mmarekani
Daaah Bonge la session, Big up wazee
SNs Samahani Katika Uchambu wenu juu ya kile alicho kisema Rais wa Kenya Mh Rutto Kumlaani Rais wa Urusi V. Putin kuivamia kijeshi Ukraine nini athari kwa Kenya hapo baadaye?.
Naomba mnapo changia mada msikate acha azungumze mmoja mpa amalize, mwenyekiti simamia ili
Kama unaikubali hii combination gonga like hapa twende sawa😂😂