Putin aiambia KOREA KUSINI ikithubutu kuisaidia silaha UKRAINE itakiona cha mtema kuni

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 вер 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

КОМЕНТАРІ • 190

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi5004 2 місяці тому +7

    Pamoja from Oman 🇴🇲

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l 2 місяці тому +4

    Urusi itashinda vita. Maana marekani wamemwacha Mungu. Mungu yupo mbali na taifa la marekani.
    Na lazima mjue vita vyote vinaendeshwa na Mungu. Mungu yeye ndio amiri jeshi. Mkitaka kushinda vita kwanza ni kumtii Mungu. Hata kama marekani wanatechnolojia ya juu. Dunia itashangaa marekani itakavyopigwa.

  • @happymrema7487
    @happymrema7487 2 місяці тому +5

    Yan Putin nampenda sana

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847 2 місяці тому +12

    Dj Smaa yuko vizuri sana hasa kwenye tasnia ya uchambuzi ,ni division zero tu hawawezi mwelewa.

    • @juliusejulius6704
      @juliusejulius6704 2 місяці тому +1

      mbaguzi yule hana lolote muongo tu

    • @blueboybajos6880
      @blueboybajos6880 2 місяці тому +3

      kabsa bro anajua sna pia namkubali mnoo🥊

    • @blueboybajos6880
      @blueboybajos6880 2 місяці тому

      ​@@juliusejulius6704aca ufala wew bro njaa itakuua

    • @faridhamad3678
      @faridhamad3678 2 місяці тому

      Wewe ndo mbaguzi ​@@juliusejulius6704

    • @B13-AK47
      @B13-AK47 2 місяці тому

      ​@@juliusejulius6704 chumbua wewe tukusikilize, sio kuja na kuanza kukosoa kazi za watu, get it.

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk 2 місяці тому +4

    Ahsante sana kwa habari

  • @luckkaserekadancer6832
    @luckkaserekadancer6832 2 місяці тому +12

    Mnipe like hapa kwaza mimi napenda sana Hawa ma raisi one day kupigania haki yetu Sisi ma Africa Pia kwa inji yangu Drc 😢😢🇨🇩🇨🇩🇨🇩

    • @godfreyfrugence4176
      @godfreyfrugence4176 2 місяці тому

      Kivip sasa rais wenu anatakiwa awalete wagner waingie congo kuwatoa hao maharamia

  • @maniamba.tz_
    @maniamba.tz_ 2 місяці тому +17

    Muda wa Marekani kutawala dunia unaenda mwisho

    • @Mtaki_Zakayo
      @Mtaki_Zakayo 2 місяці тому

      tumtegemee nani anaefuata boss

    • @bonifasiemanueli21
      @bonifasiemanueli21 2 місяці тому

      SWaLi nzuri

    • @BenJohnson-es4go
      @BenJohnson-es4go 2 місяці тому +1

      Hakuna siku Marekani itashuka inanguvu kubwa nyuma yake ukisoma maandiko katika biblia utaelewa vizuri

    • @MathewMaliva
      @MathewMaliva 2 місяці тому

      Never ever forever

  • @user-ii6gs2jg4g
    @user-ii6gs2jg4g 2 місяці тому +13

    Hili lijamaa libishi kinoma. Viva putin

  • @HarunaShabani-hy8mx
    @HarunaShabani-hy8mx 2 місяці тому +4

    dj sma upo vzr sanaaaaaaaaaaa

  • @user-dg7wf6fg2j
    @user-dg7wf6fg2j 2 місяці тому +10

    Nchi anazo tembelea wote wabishi na watata hawaludi nyuma kama simu za tachi

  • @kephasmaganga9766
    @kephasmaganga9766 2 місяці тому +1

    Upo vizuri

  • @ABDULKADIRImamu
    @ABDULKADIRImamu 2 місяці тому +8

    Ajaribu aone kilichomtoa kanga manyoa

  • @viootanzania9080
    @viootanzania9080 2 місяці тому +1

    Pamoja from Dodoma

  • @nawafbawazir8065
    @nawafbawazir8065 2 місяці тому +1

    Uwepo wa urusi ni Amani dunia nzima

  • @Mtaki_Zakayo
    @Mtaki_Zakayo 2 місяці тому +1

    Sky is a real journalist

  • @babuumaeda7671
    @babuumaeda7671 2 місяці тому +7

    Watu weng Dunian kumbe wanadanganywa na MOVE za Hollywood,hebu fuatilia nchi yenye teknolojia kali ni URUS na aliegundua AK 47 miaka hyooo ni URUSI

    • @user-tq4lx9si1n
      @user-tq4lx9si1n 2 місяці тому

      Wekweli kicha ak47 yakuulia mbwa tuiyo auinafanya kazgan tena

    • @babuumaeda7671
      @babuumaeda7671 2 місяці тому +1

      Mbumbumbu kwel hujaelewa comment mwanzikishina mboreshaj wa silaha marekani anaiga tu. HOLLYWOOD mpo wengi kimbe

    • @nizarrama225
      @nizarrama225 2 місяці тому

      Hujui kitu kaa kimya 😂​@@user-tq4lx9si1n

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l 2 місяці тому +1

    Urusi ni hatari sana

  • @maulidrehani
    @maulidrehani 2 місяці тому +3

    Dj smaaa ni noma

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 2 місяці тому +2

    Chama kubwa SNS ❤

  • @msukumamnywamaziwa2785
    @msukumamnywamaziwa2785 2 місяці тому +2

    😂😂❤❤❤❤Safi sanaaaa,RUSSIA/PUTIN na koreakaskanzin

  • @SAYMOEKARIM
    @SAYMOEKARIM 2 місяці тому +5

    Viva Dj smaa 🎮

  • @RajabuHussein-to7jz
    @RajabuHussein-to7jz 2 місяці тому +6

    Acha uruss Awatandike hao masoga

    • @user-tq4lx9si1n
      @user-tq4lx9si1n 2 місяці тому

      Mamahako hanatombwa wima halafu hahoshi

    • @Muzammil99p
      @Muzammil99p 2 місяці тому

      ​@@user-tq4lx9si1n unatetea shoga wenzio😂😂

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 2 місяці тому

      ​@@user-tq4lx9si1nurusi kiboko ya mashoga kama ww

  • @OmarSalim-zi9dr
    @OmarSalim-zi9dr Місяць тому +1

    Putin Hadi leo haja ipiga ukrain laiti km ni marekani kashamaliza kz na marekani ndio taifa kumba duniani

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 2 місяці тому +3

    🔥🔥🔥👏👏👏🇷🇺🇷🇺🇷🇺

  • @FrankDavid-en6on
    @FrankDavid-en6on 2 місяці тому +3

    Nina swali kwa brother sky inachokifanya urusi ni uvamizi au ni operation ya kijeshi?

  • @ezekiambise2595
    @ezekiambise2595 2 місяці тому +5

    God bless russia

  • @StevenTaylorx
    @StevenTaylorx 2 місяці тому +3

    Kumekucha!!!

  • @hbdina
    @hbdina 2 місяці тому +5

    🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 Putin atawakung'uta hawa manyang'au mpaka wataogopa kuvaivamia nchi nyingine hasa Africa

    • @joshuaswai8203
      @joshuaswai8203 2 місяці тому

      Acha upumbavu Kama mppuuzi putin

    • @hbdina
      @hbdina 2 місяці тому +1

      @@joshuaswai8203 Ndani ya Africa tunawahujumu kama wewe ni mojawapo ya sababu tuko nyuma tunaitaji kuwatokomeza watu kama wewe

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 2 місяці тому

      ​@@hbdinaputin hana uwezo huo

    • @user-ii6gs2jg4g
      @user-ii6gs2jg4g 2 місяці тому

      ​​@@joshuaswai8203we unao

    • @hbdina
      @hbdina 2 місяці тому

      @@MathewNathan-yb2bz kama hauwezi kuona mpaka sasa hivi sioni ajabu kwanini Waafrica wengi hawana akili ya kuona mambo ya mbeleni sababu mojawapo ya umasikini wetu

  • @TeddyDickson-w5p
    @TeddyDickson-w5p 2 місяці тому +1

    1 vs 30 country,sasa kuungana na korea vilio

  • @AbsalomVlady
    @AbsalomVlady 2 місяці тому +2

    Uzur hayo ni maoni yenu bahat mbaya watu wanaamin ndo ukwel, mnaongelea vitu ambavyo ni top secrets as if mnaongelea maisha ya mwijaku 😂😂....vitu ambavyo ni siri kubwa za nchi na majeshi nyie mnachukulia kma mnaongelea migahawa ya shishi food dah...

    • @Mtaki_Zakayo
      @Mtaki_Zakayo 2 місяці тому

      wanachukulia vitu very simple et kuna makala nimeiandaa inakila kitu duuuh😀😀

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 2 місяці тому

      Mashoga hawawezi kuelewa hii channel

    • @emiliankomba5217
      @emiliankomba5217 2 місяці тому

      Upo sahihi sana

  • @Gulfnas1
    @Gulfnas1 2 місяці тому +2

    Mambo yananoga

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk 2 місяці тому +4

    🇷🇺🇷🇺🇰🇵🇰🇵🇰🇵👏

  • @WazirBoy-fe5ew
    @WazirBoy-fe5ew 2 місяці тому +7

    Putin kichwa ameshawa calculate wa west akili zao

  • @AmaniMbalai-qn4yg
    @AmaniMbalai-qn4yg 2 місяці тому +1

    Mbn marekani kawapa Ukraine siraha

  • @asrymohd6690
    @asrymohd6690 2 місяці тому +2

    Sma Dj pekee duniani anaechambua mambo ya kisiasa na kivita kwa Tanzania wewe ni lukuyet iliyojificha ukifariki ndio utasikia kukusifia

  • @aishaarusha894
    @aishaarusha894 2 місяці тому +3

    Putin zimimine silah ndio ndio

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 2 місяці тому

    Ss sky unamuuliza chawa swali km hili unategemea uchambuzi au uchawa

  • @ivoalfred5278
    @ivoalfred5278 2 місяці тому +3

    Dj Smaa anampenda sana Putin

    • @geomangi6123
      @geomangi6123 2 місяці тому

      kabisa umeiona hiyo kumbe lakini kiukweli vita putin imemlemea ameanza kutapa tapa majinkafika shingoni

    • @PAULNYANDILE
      @PAULNYANDILE 2 місяці тому +1

      jamani jinga lingine hili hapa​😂😂😂@@geomangi6123

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 2 місяці тому

      ​@@geomangi6123mashoga mmekutana mnajadiliana uchoko 🖕

  • @NdovuDentalClinic_
    @NdovuDentalClinic_ 2 місяці тому +1

    Kenya vipi maana Ruto yupo speed sana 😂😂😂

  • @lukasielibariki3181
    @lukasielibariki3181 2 місяці тому

    Mbona anatishia watoto apige marekani

  • @mtulivu-ir1nq
    @mtulivu-ir1nq 2 місяці тому +1

    Putin ni mtu Mmoja ambae ana akili nyingi sana na maarifa na ushawishi mkubwa sana na anazifahamu vita vizuri mno ziwe na kiuchumi au vita vya silaha jamaa ana akili na mbinu za kupumbana na vikwazo vyote kuipiga urusi ya Putin ni ngumu sana Wala kushuka kiuchumi ni ngumu sana labda Putin afe🙌🙌🧍

  • @Elizabeth-gq9kl
    @Elizabeth-gq9kl 2 місяці тому

    Urusi Wakaye mbali, Atasiwataki, Niwanyangany ya Aridhi

  • @davidsika5292
    @davidsika5292 2 місяці тому

    Kuna kitu watu hawaelewi kuhusu USA na Roma kwa akina papa ...ukisoma ufunuo 13 na 18 utaelewa kuwa akina putin na kiduku
    Wanatwanga maji kwenye kinu haya mambo wanaelewa watu wachache duniani

  • @JacksonLukumayi
    @JacksonLukumayi 2 місяці тому +5

    Putin kiboko Yao sasa

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 2 місяці тому

      Kiboko yao na wakati vita nchini ukraine vinamchachia

    • @aishaarusha894
      @aishaarusha894 2 місяці тому

      ​@@MathewNathan-yb2bzvina mchachia wapi ngoja uone atakupiga bomb la matako ili akili ziwakae sawa

    • @JacksonLukumayi
      @JacksonLukumayi 2 місяці тому

      @@MathewNathan-yb2bz wew mpumbafu tu, vita ni akili wew, kwani wafikiri Putin alishindwa ukrain, tumia akili wewe

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 2 місяці тому

      @@aishaarusha894 kwa sababu kazoea kukupiga kwako hilo bomba na ndio maana kila ukikaa unawaza bomba tu.

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 2 місяці тому

      @@JacksonLukumayi sasa kama vita ni akili mbona hadi sasa huyo putin wako kashindwa kushinda vita huko ukraine hadi sasa unaingia mwaka wa tatu huu.

  • @abuukamanda.s.mkenga6687
    @abuukamanda.s.mkenga6687 2 місяці тому

    Na hao wa Korea kusin utakt silaha wataytegemea kumpa ukreyn n hizo za kupewa na markan

  • @Plus255studios
    @Plus255studios 2 місяці тому

    ICC wapo kimyaaa kama vile Putin hatembei.😅

  • @user-jy4pm3hh9s
    @user-jy4pm3hh9s 2 місяці тому +1

    Smaa uchambuz wako ni wakuegemea upande mmoja ndo tatzo lako mzee

    • @Mtaki_Zakayo
      @Mtaki_Zakayo 2 місяці тому

      uwezo wa kuchambua anao mzuri ila kashachagua upande

    • @djsma255
      @djsma255 2 місяці тому +1

      ukitaka upande wa pili nenda cnn n bbc

  • @KilimbikeHaji-iy2fm
    @KilimbikeHaji-iy2fm 2 місяці тому

    Mpige huyo kibaraka ya kishetani wa marekani

  • @hassangaddafi2347
    @hassangaddafi2347 2 місяці тому

    Putin baba lao ❤❤🇷🇺🇷🇺🇷🇺
    Free Palestinian ❤❤🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇰🇪

  • @eugenejr.8844
    @eugenejr.8844 2 місяці тому

    KAKA SKY ume slow sanaaa kwenye Makala 360 huku tuko wengi sanaa usitusahau. Kama na wewe Upo huku (Makala 360) gonga like or react hapa.

  • @munezeroolivier411
    @munezeroolivier411 2 місяці тому +1

    Slava Dj sma

  • @JoelFortunatus-du8ww
    @JoelFortunatus-du8ww 2 місяці тому

    Kwa mungano huo walio saiana nikiashilia tosha kuwa tuko kalibuni kuviona vita vya amagedoni au vita vya maangamizi vya umati vya atomic 💣au nuclear ☢️☢️☢️☢️

  • @TeddyDickson-w5p
    @TeddyDickson-w5p 2 місяці тому

    Hivi marekani anaweza pigana yeye mwenyewe bila msaada wa NATO na urusi ?

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 2 місяці тому

      Yeye peke ake hawezi na hata nato haiwez kupigana na urusi

  • @AbubakarAlly-th6op
    @AbubakarAlly-th6op 2 місяці тому +1

    Smaa wendio rais wa wachambuzi

  • @user-jy4pm3hh9s
    @user-jy4pm3hh9s 2 місяці тому

    South kijesh yuko vizur sana we smaa chambua uharisia siyo kishabiki

    • @abdalahngozi5455
      @abdalahngozi5455 2 місяці тому

      Uhalisia ni kwamba south Korea kijeshi hawako vzur kama north Korea ndo mana anatumiwa na US. Mbinu ya western ni zile zile kuungana na walio dhaifu kumpiga alie imara ili kuwatawala wote. Hapo smaa hana haja kukujib

    • @djsma255
      @djsma255 2 місяці тому +1

      @@abdalahngozi5455 north hana kambi yakijeshi ya nchi yoyote nyengine kutoka nje, south ana kambi yakijeshi ya marekani, analindwa na us 6th fleet na kiasi kikubwa anategemea silaha kutoka marekani... north anatengeneza silaha zake mwenyewe na lizo bakiza kutoka kwa soviet sasa kama south yuko vizuri kama unavyo ema basi aondoe majeshi yakigeni yote abaki mwenyewe tuone

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 2 місяці тому

      ​@@djsma255ww mtu makin ila hao mashoga hawawezi kukuelewa

    • @vintz338
      @vintz338 2 місяці тому

      North Korea ni hatar Sana kama isingekua USA wangeshapigwa kitambo Sana na north Korea

  • @IrPop-lm8wq
    @IrPop-lm8wq 2 місяці тому

    Russian hawaogopi kupewa silaha Ukraine, bali wanasikitika kuwapiga Ndugu zao wa Ukraine, Mashoga hawana mbele Wala nyuma kote wamejawa na wadudu, wadudu hao hawana huruma Wala ubinadamu, ndio maana Wana peleka Silaha Ukraine, Ndugu wawili wamewagawa,sasa wanawapiganisha.Lakini wamesahau kama Kuna Mungu (Allah) ANAWAONA..

  • @babazungu3180
    @babazungu3180 2 місяці тому

    Kwanin hawapigani tu kila siku maneno tu

  • @emmanuelmchomvu2676
    @emmanuelmchomvu2676 2 місяці тому

    Ndugu wageni waalikwa naona kumeanza kumechangamka

  • @SimfukweKaemba
    @SimfukweKaemba 2 місяці тому

    Kila siku unasema kuna makala kwa urefu

  • @MaulidiMrisho-uj1tb
    @MaulidiMrisho-uj1tb 2 місяці тому

    Maelezo yake sijaelewa kati ya North Korea and South Korea

  • @GabrielSky64
    @GabrielSky64 2 місяці тому

    Mkwara wa chura kwenye Maji. Mbona alisema hivyo kwa Inchi za Ulaya na Marekani kiko wapi

  • @ErickMwashambo
    @ErickMwashambo 2 місяці тому

    Tz +255 Russia forever

  • @joshuac.mashida1378
    @joshuac.mashida1378 2 місяці тому

    Unafanya biashara tu hao watu Wana fanya biashara co vita hakuna vita vita ipi uwezo upi ulaya Kila kitu ninyi wandishi vigeu geu wakipigwa kidogo tu mnageuza maneno ,biashara tu

    • @uwimana6533
      @uwimana6533 2 місяці тому +1

      Tatizo hutumii akili kwenye kufata maelezo wanacho adisia , umetoka nchii jiran uwelewa nimdogo sana 😂😂

  • @suratibrahim6417
    @suratibrahim6417 2 місяці тому

    Tulioona meza ka jeneza tujuane hapa😂😂😂🙌🙌🙌🎖️✨🪖✍️

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 2 місяці тому

    Uyo mweu anapgwa kilasik

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 2 місяці тому

    Putin afe

  • @yosefamlumbe7044
    @yosefamlumbe7044 2 місяці тому

    Unaamini ujinga huo yani putini amuonye us Sungura kukaba tembo

    • @user-ul7jc8ll4n
      @user-ul7jc8ll4n 2 місяці тому

      Subiri MUDA UTAONGEA,LAITI ZINGEKUWA NCHI ZA AFRICA AU ASIA WAZO LAKO NO SAWA LKN UNAE MCHUKIA ANAITWA MJOMBA PUTIN UJUE!!,

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 2 місяці тому

      ​@@user-ul7jc8ll4nus mashoga tu hawana kitu

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 2 місяці тому

      Marekani dhaifu mnyonge

  • @aboubakarkam6419
    @aboubakarkam6419 2 місяці тому +3

    Aaaah sma kwa hii umezingua umarekan itabak kua juu katık mambo meng

    • @IddyAmir-gq1jr
      @IddyAmir-gq1jr 2 місяці тому

      Kwakuwa mwanaume wako yupo marekani sio

    • @user-dg7wf6fg2j
      @user-dg7wf6fg2j 2 місяці тому

      Tujiulize toka dunia imezaliwa usa alikuwa anatawala yeye walio kuwepo na kuanguka na yeye kwisha

    • @salehkhalfan7345
      @salehkhalfan7345 2 місяці тому +1

      Ottoman Empire, Mongolian Empire, USSR, Roman Empire ni baadh ya Madola yaliokua makuubw lkn yamepotea
      Amerika mda eke utafika km c sas bs sio mbali

    • @hansiselemani8025
      @hansiselemani8025 2 місяці тому +2

      Utawala wa kumwaga damu huwa haukai Muda mrefu ,,umekaa sana miaka 75 ...ko marekan ndo mwisho wake.

    • @KS-iw7qv
      @KS-iw7qv 2 місяці тому

      Haitakuwa milele... na kwa matokeo yanayoenda nadhani wapo kwenye muongo wa mwisho kuiongoza Dunia....

  • @AyubuIssa-np3vc
    @AyubuIssa-np3vc 2 місяці тому

    Tatizo vyombo Vingi vyahabali avichambui Habari kihaki vipo kutafuta komenti na lek kilahabari nilazima ziegemee upende waputini nakusifia tu upuuzi

  • @Elizabeth-gq9kl
    @Elizabeth-gq9kl 2 місяці тому

    Hakunasiku west tutarudinyuma, musahauhilo, Na hakunasiku Urusi watashinda .

  • @ShawnBeatz
    @ShawnBeatz 2 місяці тому

    Sma na putin utadhan marekani ni njombr😂😂😂 sawa ss tunaangalia

  • @maroahkissiry4863
    @maroahkissiry4863 2 місяці тому

    The so called DJ Smaa always talk rubbish 😂

    • @djsma255
      @djsma255 2 місяці тому

      yet u always come to listen.....🤣🤣🤣

  • @johannesssamsonambogo4125
    @johannesssamsonambogo4125 2 місяці тому +2

    KAMA URUSI WAPO VIZURI KIJESHI WANAOGOPA NINI UKRAINE KUPEWA SILAA 😂😂

    • @ce-08
      @ce-08 2 місяці тому +2

      Na kama marekani yupo vizuri anaogopa Nini Pakistan kuuza ujuzi wa nyuklia kwa vikund vya kigaidi😂

    • @PAULNYANDILE
      @PAULNYANDILE 2 місяці тому +3

      jinga lingine hili hapa😂😂😂 mijitu ambayo ubongo umeganda kabisa

    • @johannesssamsonambogo4125
      @johannesssamsonambogo4125 2 місяці тому

      @@PAULNYANDILE Mimi siwezi kuzidiwa ufahamu na wewe, Rais wa Ukraine anazunguka uku na uku, akiomba silaa aendelee kupiga na Urusi, Aya putin wenu yeye anazunguaka kuzuia silaa, Sasa nani kashidwa apo kama kweli wewe akili yako imeyeyuka?

    • @MWAJUMAKIZA-gb8us
      @MWAJUMAKIZA-gb8us 2 місяці тому

      Hilo ndo swala la msingi!

    • @MWAJUMAKIZA-gb8us
      @MWAJUMAKIZA-gb8us 2 місяці тому

      wana SNS tangazeni habari za kila pande , mqpungufu na mazuri ya kila MMOJA. Ila matangazo yenu yanaegemea tu UPANDE MMOJA! Huu ni upungufu wa stadi za utangazaji au watu wanao analyse siasa za vita au vita! Poleni ila naamini waswahili na waafrika hivyo ndivyo walipo!

  • @amawanda3082
    @amawanda3082 7 годин тому

    Kwa Sasa Russia haiwez hata korea