ULAYA - JORAMU NKUMBI asimulia MAZITO alioyaona akiwa huko, aogopa haya ya KUTISHA, asifia MAZURI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 вер 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

КОМЕНТАРІ • 265

  • @anuarymyekakimolo4785
    @anuarymyekakimolo4785 9 днів тому +4

    Wew bora ulisafir kwa uchungu huo hongera sana kaka kuna "MANYUMBU" wamesoma nchi hizohizo na wamekua viongozi wa taifa letu lakin ni manyumbu tu , manyumbu, ni manyumbu tu

  • @borntolearnaway
    @borntolearnaway 25 днів тому +17

    Dah nilitamani siku huyu Mwamba tumskie dah SnS ni level nyengine big up

  • @JuliusMtunguja
    @JuliusMtunguja 25 днів тому +9

    JORAM,HONGERA SANA.HATA ECKERNFODE CAMBRIDGE, TANGA WANAFUNZI WALIKUPENDA SANA.KUMBE KUNA VISION KUBWA SANA NDANI YAKO.

    • @joramunkumbi
      @joramunkumbi 25 днів тому +4

      Oooh Nimefurahi kupata Ujumbe wako Mwalimu, Asante Mkuu wangu wa Kazi - Nawe ulikuwa ni Mwalimu wa Kujituma sana na Uliojaa nidhamu

  • @ramadhanwilbard8196
    @ramadhanwilbard8196 2 дні тому

    Huyo Jamaa ana chembechembe za Mwl Nyerere.

  • @SaidKondo-rw8wb
    @SaidKondo-rw8wb 25 днів тому +10

    Nimependa jinsi unavyojuvunia kiswahili,safi sana

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847 26 днів тому +35

    Africa kuendelea ni vigumu sababu viongozi wengi ni vibaraka watiifu wa magharibi.

    • @paschalsafari9747
      @paschalsafari9747 25 днів тому +2

      Kabisa

    • @samirhumud7408
      @samirhumud7408 25 днів тому +3

      Sio viongozi hata raiya wao ni watiifu

    • @omuze1290
      @omuze1290 25 днів тому +4

      Ndugu, lenye mwanzo lina mwisho!

    • @justusngailo9302
      @justusngailo9302 25 днів тому +6

      Viongozi wa namna hiyo ni zao la cc wananchi wa hovyo .tukubali ifike pahala waafrica tukubali Kuna sehemu punakwama tubadili namna yakufikiri.

    • @bcozhenry2698
      @bcozhenry2698 24 дні тому +4

      Licha ya utiifu kwa mabeberu ni wezi pia waliokubuhu kabisa

  • @user-rt7si4kc2i
    @user-rt7si4kc2i 25 днів тому +7

    Nakukubali sana kaka uko very smart waswahili bado tuko nyuma saana,

  • @1961nungwi
    @1961nungwi 23 дні тому +8

    Mimi nimefika Chuo Kikuu huko Sweden nikakuta mpaka Canteen ya wanafunzi ndio hiyo hiyo ya Maprofesa: sisu huku tumetenga; utazani mahitaji ya miili yso ni tofauti! !!

  • @thadeombani7869
    @thadeombani7869 22 дні тому +2

    Amina ubarikiwe sana ndugu yangu kwa makadara ya mwenyezi Mungu ,Mungu tusaidie tupate vijana kama hawa elfu 10,000 ili nchi hii ya Tanzania iamke bado tumelala

  • @elinurujohn975
    @elinurujohn975 2 дні тому

    ❤ kaz nzuri kaka utakumbukwa sana.

  • @lettysalala2504
    @lettysalala2504 25 днів тому +12

    Watanzania atuna umoja hata kidogo na hawawezi saidiana

  • @ndimizarohomtakatifurichar9802
    @ndimizarohomtakatifurichar9802 25 днів тому +6

    Lahaula lakwata😢😢😢😢

  • @omuze1290
    @omuze1290 25 днів тому +3

    Huyu jamaa anayesimulia is purely sanguine. Anajua kuongea!❤

    • @EmanuelChisna
      @EmanuelChisna 12 днів тому

      Ni melankoli as a dorminant character,sangwini ni resecive

  • @user-xr2hw3om9z
    @user-xr2hw3om9z 25 днів тому +25

    Hawa ndiyo vijana Serikali inatakiwa kuwatumia.

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 15 днів тому +2

      DIRA YA MAENDELEO YA TAIFA 2050 IZINGATIE UJENZI WA MIUNDOMBINU STAHIKI. TUMECHELEWA SANA. VIONGOZI ZINGATIENI MAWAZO HAYA

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 4 дні тому

      Je atapendwa? huyu amezidi ktk ukweli , hatotakiwa.

  • @barakamshiu7146
    @barakamshiu7146 25 днів тому +11

    This man should be the given presidential candidate chance in 2030... if he win, he will make this country better than the people of his age who are going to take that chance!
    That is the Fact

  • @bagumandongwe8566
    @bagumandongwe8566 24 дні тому +10

    Hii interview ilimstahili Bundala, huyu mwamba ni muhimu sana mngemheshimisha sio kumuhoji kiholela hivyo sisemi mtangazaji hajui ila kiwango chake bado kiko chini

    • @anordgerison8639
      @anordgerison8639 24 дні тому +4

      Acha uchawi wewe Roho mbaya Kama ya mbwa .....!!!! Mwaandishi anajua Sana sema amekutana na mtu ambaye n muongeaji Sana

    • @saidmasoud9004
      @saidmasoud9004 11 днів тому

      Mtangazaji yuko sana vizuri haku mwintaraki na story ili flow vizuri.

    • @bagumandongwe8566
      @bagumandongwe8566 10 днів тому

      @@anordgerison8639 nauhakika unajua kusoma ila sidhani kama unajua kuelewa unachokisoma, …… hamna sehemu niliposema kwamba mtangazaji hajui , unaweza kurudia kusoma comment hiyo tena, kuelewa na kufikiria badi ni halali haijapigwa marufuku bado…

    • @anuarymyekakimolo4785
      @anuarymyekakimolo4785 9 днів тому +1

      Amna wakati mwingine maongez ya kukata kata ya mwandishi kujikuta anajua Lakin ameacha jamaa atoe elimu kwa upana. Kuhoji hoji kihorela syo ujuz Huwa ni ufala wakati mwingine

  • @BinsiraVena
    @BinsiraVena 25 днів тому +6

    Nawe ungeandika kitabu kwa kiswahili Ili kuenzi

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary2383 25 днів тому +2

    Lkn msisau hong kong tunanyimwa entry wakati atuna visa wanaturudisha tukiwa tunakila ki2 nilitaka siku nimpe kipindi brother sky lkn cjapata namba yake au namba za maraisi wa darspora tujue km tunavisa tupate visa au km awatutaki bac selkali yao ituambie na serikali yetu itoe tamko.big up brother wazungu walishakwenda kitambo atuwawezi

  • @babumrisha
    @babumrisha 25 днів тому +2

    Broo uko vizuri sana uwezo unao mwanangu keep it up

  • @zuberiismail2972
    @zuberiismail2972 12 днів тому

    Wanyaturu wanaongea kiswahili fasaha sana, hongera mnyampaa great iq

  • @user-sy4ku4xm7q
    @user-sy4ku4xm7q 25 днів тому +9

    Afrika kinachotuangusha ni serekali zetu,ila kwa maendeleo ya mtu mmoja mmoja sisi tunawazidi mbali wazungu,siku serekali zitajitambua tu tutafika mbali sana ila hatujui siku hiyo itafika lini ya kujitambua basi

    • @mrcardano1203
      @mrcardano1203 25 днів тому

      Embu nieleweshe unavyosema kwa maendeleo ya mtu mmoja mmoja tunawazidi

    • @devothasimbi6495
      @devothasimbi6495 25 днів тому

      Huenda uko Sawa Holo la mmojammoja

  • @christiankambuga9338
    @christiankambuga9338 25 днів тому +1

    Safi sana mzee nakupata bwana J tokea Captown south Africa 🇿🇦 karibu sana

  • @mohayussuf2057
    @mohayussuf2057 25 днів тому +8

    Waswahili wakifika ulaya au amirika wanajitenga kila mtu kivyake😊

    • @binzotv2007
      @binzotv2007 25 днів тому +4

      Uchawi majungu that why

    • @evelynemugeni2369
      @evelynemugeni2369 19 днів тому +2

      Uchawi,umbea,wivu hakuna anae penda maendeleo ya mwenzake 😢ila Africa ni pazuri sana tatizo maendeleo tu ndo hatuna.

  • @mr_pork2523
    @mr_pork2523 25 днів тому +1

    Hongera sana Joram ww ni mlumbi kwel kwel

  • @OnesmoEphrata
    @OnesmoEphrata 17 днів тому

    Upo vizuri mzazi Kwa unavyo chambua na kufuatilia historia ya watu C I A hawaku kufuatilia kweel

  • @raymondjohn3798
    @raymondjohn3798 25 днів тому +2

    Great,nafurahi sana kusikia mengi kutoka kwake, Mimi nipo kusini mwa Afrika nahitaji kitabu hicho,nikipateje?

  • @mwalitv4555
    @mwalitv4555 24 дні тому +2

    Jamaaa ana IQ kubwaaa...

  • @universalenergy8060
    @universalenergy8060 25 днів тому +1

    Unaongea kiswahili kizuri sana ❤❤❤

  • @shenamtukufu1224
    @shenamtukufu1224 25 днів тому +1

    Asante sana Joram

  • @pauldotto7868
    @pauldotto7868 26 днів тому +2

    Asante nishakuelewa❤❤❤

  • @Aisha-qd2rg
    @Aisha-qd2rg 25 днів тому +5

    Wabongo wakikaa pamoja wanawaza kuchukuliana mabwana

  • @jacksonmsendo3478
    @jacksonmsendo3478 25 днів тому +3

    Mtaalamu uyu

  • @peterdeus6093
    @peterdeus6093 14 днів тому +2

    Mim huwa najiuliza iv viongozi wètu hawaishi kwenda ulaya iv wao huwa hawapati wivu wamaendeleo, wao ni kuuza rasilimali tu

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 25 днів тому +3

    Tatizo sisi hatuna uzalendo, hasa viongozi , walio wengi wanajali famalia zao , tungekuwa na viongozi . Kama mama samia . Magufuli. Makonda . Tungendelea sana.

    • @Hamidkaran
      @Hamidkaran 14 днів тому

      Atuna pesa iyo tukabari😂😂😂

  • @FilbertMsongela-xt9tq
    @FilbertMsongela-xt9tq 13 днів тому

    Aiseee vizuri sana jaman

  • @DaudiMazengoMasterDTEM
    @DaudiMazengoMasterDTEM 8 днів тому

    Safi sana interview ipo super.
    Namba iandikwe hapa

  • @barakamshiu7146
    @barakamshiu7146 25 днів тому +1

    THE VERTELLER

  • @abuubekaabeid9870
    @abuubekaabeid9870 25 днів тому +5

    Huyu jamaa ni Mwalimu au alikua mwalimu wa Math maana lazima uelewe anavyo hadithia😅

  • @abdillahchikota4303
    @abdillahchikota4303 26 днів тому +3

    Wapili ku like

  • @hamismabula9934
    @hamismabula9934 4 дні тому

    Tanzania kwa rasilimali tulizonazo, tungeona aibu kwenda kuombaomba misaada na kukopakopa nje huko! AIBU KABISA!!!

  • @salimali-rf9er
    @salimali-rf9er 25 днів тому

    Umezungumza vizuri sana kaka, na hivi ndio anavyotaka SETANI(SATAN AU LUSIFA) tuishi huru kabisa, kwa hufuata kitabu chake, tuwache vitabu vye vya mwenyezi mungu tumfuate yeye

  • @Jeff_Tz
    @Jeff_Tz 25 днів тому

    I am a Mormon saint a Tanzanian living in 🇹🇿

  • @shomilecomedytv
    @shomilecomedytv 23 дні тому

    Napenda sns❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-md2xk9js3d
    @user-md2xk9js3d 11 днів тому

    Safi sana tumepata mengi toka kwako kaka

  • @Mumewangu
    @Mumewangu 25 днів тому +4

    Huyu angalikuwa ni mjukuu wa nyerere ingalipendeza baadhi ya vibagwizo vinafanana

  • @SamsonEzekiel-or9xc
    @SamsonEzekiel-or9xc 25 днів тому

    Uko vizuri muno kiswahili

  • @gabrielkyando2632
    @gabrielkyando2632 12 днів тому

    Sisi bado sana, tunafikajeeee huko wakati tuna viongozi wanawaza ubinafsishajiii

  • @tumainieverest9928
    @tumainieverest9928 25 днів тому +2

    Ungekiandika kiswahili

  • @ChukuMrido
    @ChukuMrido 25 днів тому

    Uko vizuri Kaka duu

  • @raydanfrenk
    @raydanfrenk 25 днів тому +4

    Nakupata mkubwa nipo Canada mwaka wa tatu ila uku Tz atuna ummoja 😢😢

    • @devothasimbi6495
      @devothasimbi6495 25 днів тому

      Umoja upi unaoutaka?fuata kilichokuwezasha kuwa ulipo,ukiwa Tz ukikaa n'a Mhaya akiongezeka Mhaya mwingine ikiwa wewe sio Mhaya anakuacha sembuse huko ulipo kwa sasa.

  • @donaldmgunda4970
    @donaldmgunda4970 10 днів тому

    Leooo nimefurahi hongerenii,wana blog hiii,haya ndoo mamboo ya kutuletea tuyatazame na kusikilizaa,punguzenii,kushabikia mamboo ya ukrainaaaaa na Hamas hayatusaidiii😊

  • @nicospack3893
    @nicospack3893 26 днів тому +1

    Wa kwanza kuangalia hii

  • @luisojr3480
    @luisojr3480 22 дні тому

    Jamaa yuko smart Sana

  • @adammjomba5814
    @adammjomba5814 4 дні тому

    Huyu jamaa ana madini kichwani lakini mwandishi wa habari Sio hawezi kuuliza maswali yoyote yupo kama Robots ,

  • @AishaTabi-e2z
    @AishaTabi-e2z 25 днів тому

    Asante sana bro ❤

  • @abdillahchikota4303
    @abdillahchikota4303 25 днів тому +8

    Mwambie broh sky amjuishe kwenye watu wa jps please 🙏

    • @allykwaya
      @allykwaya 25 днів тому +2

      PGS anaweza kusaidia kiasi fulani kwenye kujenga fikra na kuhamisha uzalendo.

    • @ce-08
      @ce-08 25 днів тому +2

      ​@@allykwaya hapana kwa GPS labda kama kunakipindi kingine au kama hiyo siku GPS wanaongelea mambo ya uzalendo na maendeleo lakini kuchambua vita sishauri afanye yeye anadunia yake nyingine lakini sio kuchambua vita sababu huyu ni mtu ambae kunavipindi vya dini huwa namuona na akiongea km kiongoz

    • @ce-08
      @ce-08 25 днів тому +1

      Labda kwenye kipindi Cha CHIMBO SCHOOL OF THOUGH unakipata hapa hapa SNS huenda hicho kikamfaa zaidi 🎉

    • @allykwaya
      @allykwaya 25 днів тому

      @@ce-08 Nimekupata vizuri. GPS Ikiongozwa na Mtalamu wa fact and logic Dj Smaa, Mwinuka na masubi inakuwaga Babkubwa sana. Sky akiibua hoja na matukio huwa haichoshi kabisa. Salute SNS

    • @allykwaya
      @allykwaya 25 днів тому

      @@ce-08 Naaam

  • @stejasatv7349
    @stejasatv7349 10 днів тому

    unaogea sana nkumbi

  • @ahaziamtemela-ys5et
    @ahaziamtemela-ys5et 24 дні тому

    Smart guy✌️

  • @cleartzboy
    @cleartzboy 21 день тому +1

    Angalia msomi akiongea kiswahil Hana muda na kingerezaaaa chenu na ni msomii

  • @galileemsangwa9311
    @galileemsangwa9311 22 дні тому +4

    HIYO INTERVIEW UNGEFANYA NA BROTHER SKY INGETISHA SANA KWELI..ILA HAPO MTANGAZAJI HATA AELEWI AHULIZE NINI😂

    • @user-ii6gs2jg4g
      @user-ii6gs2jg4g 13 днів тому

      😂😂😂😂daa we mpuuzi Sana 😂😂😂

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 20 днів тому

    MashaAllah ❤

  • @sule17942
    @sule17942 25 днів тому

    Umechelewa kutoka man

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 25 днів тому +2

    Unamaisha mwenzangu na mimi ningefika kutafuta nini wakati Tanzania yetu wenyewe hatuja itembea

  • @hidayahidaya-vd3ze
    @hidayahidaya-vd3ze 25 днів тому

    Africa kazi yao dhulma kuuwana kunyimana Uhuru wakupiga Kura rohombaya tumach

    • @devothasimbi6495
      @devothasimbi6495 25 днів тому

      Rushwa ndio adui yetu,hupati kazi bila kujuana ni jambon la kushangaza sana

  • @MauBonde
    @MauBonde 25 днів тому +4

    Mwambie kasahau treni za juu zipo hapa Germany kuna mji unaitwa wurpetal.

  • @hajjikhamis1820
    @hajjikhamis1820 11 днів тому

    Hakuna Ubalozi mdogo wa Tanzania Marekani New York.

  • @thewalltours
    @thewalltours 18 днів тому

    facts

  • @user-kh1tn6yr8b
    @user-kh1tn6yr8b 14 днів тому

    Sijakuelewa bro kabisa

  • @AishaTabi-e2z
    @AishaTabi-e2z 25 днів тому

    Waaaa uko ni kiti ja shetani

  • @GodfreyMichael-p6n
    @GodfreyMichael-p6n 25 днів тому

    Unatisha bro

  • @user-cr4th9lr6b
    @user-cr4th9lr6b 5 днів тому

    Mnaweza kumtag mama Samia a hone huyu kijana

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 25 днів тому +1

    Mie nilishanga nilifika Norway nikaona highway 🛣️ zipo chini ya milima ya mawe tena uko chini kwa kuna mabonde ya kupanda na shuka.

  • @user-xc5mk4ro2z
    @user-xc5mk4ro2z 25 днів тому +1

    Nakuelewa joram hutudanganyi kaka ww ni mjuzi wa kila siku

  • @hamismabula9934
    @hamismabula9934 4 дні тому

    Mali zinachotwa Afrika, rasilimali zetu zinachotwa kwenda kujenga Ulaya.
    Tumejaza maviongoz mafisad tu yanauza rasilimali zetu ovyo ovyo tu!

  • @badilikakijana4032
    @badilikakijana4032 24 дні тому

    Umesema kweli

  • @pembemussa2804
    @pembemussa2804 22 дні тому

    Waswahili kutoka East Africa hatuna umoja wa kusapotiana km Hawa wenzetu wa ngozi nyeupe Unaweza ukafungua mpk mgahawa lkn ndugu zako wa kashindwa Kuja kula tofauti na wenzetu
    Wahindi
    Muhindi mwenzao akifungua hata Laundry wapo radhi atoke hata umbali wa km 5 lkn aende kufua nguo kwa Muhindi mwenzie ampe sapot hiyo ndio tofauti yetu na wao
    Na ndo maana tumeshindwa kua na umoja wa maeneo yetu binafsi ktk Nnchi nyingi tu tumekua na umoja zaid ktk mambo ya kiuhalifu lkn mambo ya kimaendeleo
    Zero

  • @goodbeatus644
    @goodbeatus644 2 дні тому

    Mwamba kaongea kwa nusu saa bila hata kukatishwa na mwandishi.

  • @mussamdoe4619
    @mussamdoe4619 24 дні тому

    Atari sana

  • @chogsbongo3021
    @chogsbongo3021 25 днів тому

    Naogopa sana siku vijana wetu wanapo pata nafasi ya kujifunza ughaibuni hawana msaada isipokua wanakuja kuwa wazungu weusi!

  • @user-nh1pr4uu7f
    @user-nh1pr4uu7f 25 днів тому +1

    Tanzania wakiacha ubaguzi nakutengeza kukaribisha maifa mengine ujuzu na ufanisi utajenga inchi imradi kuheshim katiba ya inchi

  • @user-qz3zl4xt1r
    @user-qz3zl4xt1r 25 днів тому +1

    ndio unayo sema nikweli baba na mama ndio wanamakosa ongerasana

  • @AyshuuAlly
    @AyshuuAlly 25 днів тому +1

    😂😂😂😂eti kama mijusii😅😅😅

  • @georgekabaka377
    @georgekabaka377 25 днів тому

    Mwamba anajua

  • @user-dh1sl1yb6x
    @user-dh1sl1yb6x 25 днів тому +2

    Sisi tutaendelea kutamani mambo yahuko , kwa sababu africa viongozi hawana akili yaani hayo yanayopatikana huko yalifaa yawe katika nchi yetu ama balaa letu la afrika , hii namaanisha wamagharibi wanaiba mali ya afrika then wankwenda kujenga nchi zao , na wanaosaidia saidia nchi zamagharibi ziendelee ni viongozi wetu wa kiafrika , hivo Mimi nitabaki nawalaani viongozi wakiafrika .

    • @RaymondPaul-bs7su
      @RaymondPaul-bs7su 25 днів тому

      Shida iliopo ni viongozi tulionao daaa ni tatizo kubwa

  • @aasatt78
    @aasatt78 25 днів тому +2

    Escow hapati ata nafasi ya kuuliza swali 😂 jamaa anatiririka tu 😅

    • @RonnieBertin
      @RonnieBertin 25 днів тому

      Hapo hakuna maswali Kuna story teller na the watcher

  • @georgekabaka377
    @georgekabaka377 25 днів тому +2

    Mwandishi anatajiwa vitu hajawahi sikia anabaki kuitikia tuuu eeh eeh eeh eeh

  • @thewaukweli2183
    @thewaukweli2183 24 дні тому +2

    Hivi Swali ameulizwa ni lipi ?😁😁😁

  • @khalidmzamiru2444
    @khalidmzamiru2444 25 днів тому +2

    Wamekua wakiiba utajiri wa nchi za Africa kwa miaka nchi kama Congo 🇨🇩 wanagombanishwa ili wachote Mali, wanaiba mafuta kwa mataifa ya Kiarabu. Leo Mzee Mseven anaanzisha bomba la mafuta eti anaharibu mazingira.Acha kuwatukuza Majizi na Warafi wakubwa hao

    • @mwlpierre
      @mwlpierre 25 днів тому +1

      Wewe unaona wezi lakini viongozi Wenu Waafrika wanaodai wanalinda rasilimali zenu kumbe wao ndio wanaiba lakini kwaajili ya matumbo yao ila kama wageni hao wanaiba kwaajili ya maslahi mapana ya nchi zai

  • @saidymbagalla6622
    @saidymbagalla6622 25 днів тому +1

    Mzee wa Ulumbi nielekeze hapo kwenye bwawa la kuogelea wa mnyama nikatalii😂😂

  • @user-nh9sp7di4u
    @user-nh9sp7di4u 21 день тому

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @deocresmodest6148
    @deocresmodest6148 24 дні тому +1

    Utafusiri icho kitabu kwakiswaili ili watanzania wengi wafaidike mambo mazuli mnayaficha kwenye ruga ya kigeni umepanga kuinua watanzani wape ruga yao

  • @musamagulu2023
    @musamagulu2023 25 днів тому +1

    Kwa maneno yako tu sisi waafrika inatubidi tuyakatae kabisa hayo mambo ya wazungu yanaenda kutuharibia tamaduni zetu za kiafrika.
    Wanataka wote twende motoni washenzi tu hao

  • @jbkfilmsglobal
    @jbkfilmsglobal 25 днів тому +1

    😂😂yeah hapa Vancouver kuna beach watu wote wanakuwa naked kabisa 🙌🙌

  • @mc-omoro2366
    @mc-omoro2366 10 днів тому

    Persian ni Iran sio Syria , Mzee wa Fikra tunduizi hapo ulikosea.

  • @AlexMnyagatwa
    @AlexMnyagatwa 24 дні тому +1

    Sisi ambao hatukuona tuleteeni hayo usitutamanishe Bali yateteni

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 25 днів тому +1

    so deep

  • @Shalom2018
    @Shalom2018 13 днів тому

    Ni kweli kuhusu lugha ya kwetu kiswahili wazazi wengi hawajali hilo wanakimbilia lugha nyengine,lkn nchi nyengine kama waarabu,wahindi na baadhi ya nchi watoto wanaongea lugha za kwao pia,mimi watoto wangu nawazungumzisha kiswahili mpaka kuna mwaka mmoja nilimpeleka mtoto klinik na nesi aliniuliza mtoto wako unaongea nae lugha gani?nikamuambia kiswahili,akaniambia ni vizuri sana kuhusu lugha ya huku ataijua tu akienda skuli au akicheza na wenziwe,jamani lugha ya nyumbani ni vizuri kuijua pia,utakuta wengine eti wanawapeleka watoto kufundishwa kiswahili wakati baba na mama wanaongea ni aibu,tabia hiyo ipo kwa watanzania,warundi na baadhi ya nchi ingawa sio wote,hata kama mzazi mmoja sio Mtanzania pigania wewe Mtanzania mwanao akijue kiswahili

  • @harounzuberi8179
    @harounzuberi8179 25 днів тому +1

    Mlumbi kumbuka hayo yote wameyafanya kwa sababu walituletea utumwa na wakapora Mali zetu ndio maana wamenufaika hivyo

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 24 дні тому +1

    Maisha yao ni ya upotevu hawajafanikiwa.

    • @leonardmartine662
      @leonardmartine662 16 днів тому

      Amekueleza faida zao na asala zao so kazi kwako lipi la kulichukua

  • @cleartzboy
    @cleartzboy 21 день тому

    Kwani uyu ni mtoto wa Nyerere au