Wammetibua Putin! Amewatandika, Huu ndio undani wa Grain Deal - Na Dj Sma

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 вер 2024
  • Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti

КОМЕНТАРІ • 329

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 Рік тому +26

    Alafu kuzuia ngano yote hio kuja Africa bado tumpinge Putin, support for Russia forever❤

  • @Supershopdubai-ck8td
    @Supershopdubai-ck8td Рік тому +11

    Good Dj sma nakupendasana bro vidonge bilamaji navipatabilakinyongo wewenimzalendo waafrica❤❤ from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 nawapenda wanaurusi gonga 👊👊👊 tujuane❤❤❤

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 Рік тому +11

    Utruki naionea huruma Kama alisadiwa alitaka kupindiliwa mrusi akamsadia Leo na kuendelae atalia hii makala zako ❤ djsma nimevijua vitu vingi Sana

    • @othumanlorenzo260
      @othumanlorenzo260 Рік тому

      Geographic position ya turkey inambeba kuwa na manufaa Kwa pande zote so sio rahisi hivyo ,

  • @hemedmwipopo780
    @hemedmwipopo780 Рік тому +9

    Uchambuzi Wako naupenda Sana. Mungu akubariki, pamoja Sana..

  • @abdallahmuttaq7306
    @abdallahmuttaq7306 Рік тому +9

    Nimefurahi sana yaani umewaambia kabisa huu mtaa is not western street waende huko wakadanganywe na western mainstream media

  • @methodjasson2159
    @methodjasson2159 Рік тому +6

    well done dj sma nasikiliza toka Burundi for real unafanya vizuri sana,pole kwa uchovu wa kiakili maana umesema umechoka sana❤❤❤

  • @simonmshani804
    @simonmshani804 Рік тому +5

    Hongera Dj Sma makala zako zote nazifuatilia, nipo DODOMA Tz

  • @mwasakaseti8139
    @mwasakaseti8139 Рік тому +3

    Thaanks jdsma,, from katavi
    Europe kimeshaumana,,, sasa kwetu waafrika tujiimarishe kifikra tuache utegemezi usio na tija kwa vizazi vijavyo.

  • @user-sp7ug6sf4t
    @user-sp7ug6sf4t Рік тому +6

    Asante sana kwa ujumbe.Hua inaniumiza sana waafrika kutoelewa hii mbinu ya NATO kuua nchi maskini.Mara nyingine hua nawaskiza waafrika wenzangu wakiongea but these children are ignorant,hawaelewi mchezo unaoendelea.Kinachonitia moyo ni kwamba Kuna watu kama ww ambao wanaelewa vilivyo.Asante kwa kazi yako.

    • @abduljuma7807
      @abduljuma7807 Рік тому

      Asante sana mrusi ana takanini tena ushauri asimame kuirekebisha Dunia hasa Afrika tuwakatee wazungu

  • @bakarirajabu3783
    @bakarirajabu3783 Рік тому +8

    Hongera Sana dj nimekupa vizuri Kama mdau wa SNS kgm

  • @sylvestermhoni5637
    @sylvestermhoni5637 Рік тому +5

    Hakika uko vizuri mwamba, keep it up.

  • @hamadiharuna9974
    @hamadiharuna9974 Рік тому +7

    Kazi yako nzuri nimeipenda nipo cape Town big up

  • @shau78
    @shau78 Рік тому +7

    Putin hakosei. kila kitu anapatia tu. wengine wote ni vilaza kasoro Putin. alafu huyo McGregor hujawahi kumsahau DjSma. yeye ndie chanzo chako kikuu cha kuaminika. super sana mzee wa facts.

  • @nsusabudda2951
    @nsusabudda2951 Рік тому +4

    Asante

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca Рік тому +3

    Shukran saaaaana SNS Na DJ

  • @josephkostans9128
    @josephkostans9128 Рік тому +3

    Asante sana

  • @matukiotvonline6366
    @matukiotvonline6366 Рік тому +2

    DJ smaa NAKUBALI sana FROM PEMBA nawakilisha na pole SANA na changamoto za kuandaa matirioe ❤

  • @Hamad-gy2og
    @Hamad-gy2og Рік тому +5

    Nakubali sna uchambuzi wako bg up👊

  • @innocentmtemba433
    @innocentmtemba433 Рік тому +4

    Dj sma hongera kwa kutuunganisha kwenye makala amaizing kweli wewe Ni fuse okey Kuna hii inansu ya dola kuadimika je ndiyo inaondoka au kuanguka or ndiyo Ina imarika Mrusi ameshinda kwenye mipango yake?

  • @hassangaddafi2347
    @hassangaddafi2347 Рік тому +6

    Safi sana mr DJ ❤❤❤
    🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪💪💪💪💯

  • @RaymondPaul-bs7su
    @RaymondPaul-bs7su Рік тому +4

    Dj sms👏👏👏 upo vizurii....nakusikiliza kutokea hapa Geitaa

  • @BabaBalingasi-hp6gd
    @BabaBalingasi-hp6gd Рік тому +3

    Hahaha mzee wa mikwara Teeeck Dj 55. Sawa mchambuzi. Noma sana

  • @mosesmacha1080
    @mosesmacha1080 Рік тому +4

    Uko vizuri DJ

  • @mahadmatebe9775
    @mahadmatebe9775 Рік тому +5

    Kutoka dsm tuandalie makala faida ya uturuki kujiunga Europe mpaka edo garn atake kujiunga

  • @davidjohn4239
    @davidjohn4239 Рік тому +5

    Umetisha kinoma bro🙌🙌

  • @abdulfatahmohamed8008
    @abdulfatahmohamed8008 Рік тому +2

    From dar good work unafanya
    Ila mrusiii babalao

  • @JosephatMasunga-bl4vb
    @JosephatMasunga-bl4vb Рік тому +4

    Makini

  • @aminaamina3972
    @aminaamina3972 Рік тому +5

    Waleykum Salam

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Рік тому +5

    Kuna wakati mtu mmoja aliwahi sema Edorgan ni kigeu geu sasa nimeamini baada ya kupewa hela kasahau kila kitu

  • @tarickmpemba6007
    @tarickmpemba6007 Рік тому +5

    mashallah nimependa ulivoanza na Asalam aleikumu❤

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 Рік тому +5

    W/salam Smaa tuende kazi

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 Рік тому +5

    ❤djsma tulete ya fetha na mbadala wake na mazara yake

  • @abdulgwelo7150
    @abdulgwelo7150 Рік тому +4

    Nakuelewa sn dj smaa

  • @water_music40
    @water_music40 Рік тому +4

    mimi ni mtanzania. 😂😂😂😂 kenya ndugu zetu wamepata ngano, hadi putn ameitaja inchi ya kenya. Watu wanasema kenya inchi ndogo wajue sasa kenya sio nchi ya mchezo mchezo....

    • @user-rk6jf6zq6d
      @user-rk6jf6zq6d Рік тому

      Acha kuleta za muamba ngozi Kenya so lolote kwa mrusi hapa Africa mashariki Tanzania ndo Nchi kinara tunao julikana na mrusi toka Enzi na Enzi Bali Kenya Ni wasaliti mlio fuata Siasa za America ndo maana Mrusi Aliwataja kwa Njaaa na Siku zote Njaa Ni Sifa mbovu kabisa hivyo Kenya hamna lolote Viva Tanzania Alluta continue Tanzania Nguvu moja Kama Simba wenye Nchi.💪💪💪💪Kenya Ni Njaaa kwa kwenda mbele Pumbaav.😮😮

  • @jumajames1767
    @jumajames1767 Рік тому +5

    Nakukubali sana mwamba

  • @josephmahona
    @josephmahona Рік тому +5

    Nakubari Sana big brother ✊

  • @onesmojeremia9713
    @onesmojeremia9713 Рік тому +7

    Wakiendelea hivi jamaa atapiga nyuklia kabisaa.

  • @enockzuber1860
    @enockzuber1860 Рік тому +5

    Smaa uko🔥🔥🔥🇹🇿

  • @shakzystone1112
    @shakzystone1112 Рік тому +4

    nakubal brother

  • @shafiibakar704
    @shafiibakar704 Рік тому +4

    Ali b nasikiliza from zanzbar

  • @jumaothman5019
    @jumaothman5019 Рік тому +4

    Duh makala nzuri

  • @ramadhanitwahili6837
    @ramadhanitwahili6837 Рік тому +9

    Mzee baba kipala chenye akilinyingi anza kokote pale tutakuelewa tunaokufatilia tangu mwanzo🎉🎉🎉🎉❤.

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Рік тому +7

    Binafsi Putin namuona ni bonge la kichwa duniani

  • @hasanimkamba8377
    @hasanimkamba8377 Рік тому +4

    Hassani nakupata nikiwa manyara mirerani

  • @fistonmakasi3803
    @fistonmakasi3803 Рік тому +7

    Kka nakubali makala yako from Kenya Mombasa respect

  • @abdallahmanirakiza175
    @abdallahmanirakiza175 Рік тому +9

    Bick up Dj Sma❤ iam from🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @robinsonswai5929
    @robinsonswai5929 Рік тому

    Dj Smaa ...ubarikiwe sana..kiUmri wewe kwangu ni Dogoo..bu ki Institution your my Boss...wewe ni mpekenyaji wa Infi..wala hulaumiwi labdsmpumbavu...una Hekima kubwa sana..Mungu akupe nguvu kwani unatimia nguvu nyingi sana KuReseach na kutuhabarishs..kama ni elimu wewe ni an Institution my bless will be conveyed on in you life bro get cool

  • @KijaSayenda-jo4iy
    @KijaSayenda-jo4iy Рік тому +2

    Sawa

  • @ebengapierre8826
    @ebengapierre8826 Рік тому +8

    wewe ndo mwenye abari za ukweli ndani yake mungu azidi kukupa akili zaidi yani unafanya nijisikiye raha sn 🇨🇩 nipo kongo d r c uvira

  • @SalfAly
    @SalfAly 5 місяців тому +1

    Saf sana,mr,putin for what u do on western in battle field

  • @jumaruhizoh9669
    @jumaruhizoh9669 Рік тому +1

    Uko vizuri sana unalikiwe

  • @ezekiambise2595
    @ezekiambise2595 Рік тому +6

    Nilikuwa nasubiria huu uchambuzi

  • @erickrakitic9113
    @erickrakitic9113 Рік тому +3

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Рік тому +4

    DJ Sma nakubali sana vingine wasivosema siraha zao zinaangamizwa huko Ukraine wao wamebaki kupiga propaganda kwenye media zao za kimagharibi

  • @SaidiAlly-jy6be
    @SaidiAlly-jy6be Рік тому +2

    Kijana nimekukubali upo vizuri

  • @KasalambaJuma-tc8yt
    @KasalambaJuma-tc8yt 23 дні тому

    Kaka nimekuelewa sana kuhusu uchambuzi huu hongera kwa ufanisi wa KAZI Yako mungu akubaliki🫡🫡

  • @pauldotto7868
    @pauldotto7868 Рік тому +3

    HAPO SAWA KWA LEO

  • @mariammasunga8410
    @mariammasunga8410 Рік тому +1

    Unachambua vizuri sana tunakuelewa sana hongera sana tunakushukuru sana tunaomba utuandalie makala ya ulinganifu wa silaha za mrusi na silaha za wa magharibi jinsi zinavyo lingana na kutofautiana kiubora shukrani Kwa uchambuzi mzuri

  • @shuaibsalim9816
    @shuaibsalim9816 Рік тому +2

    I follow up UA-cam channel Redacted and most what you talk about Dj sma checks nakuaminia sana bro..continue enlighting us

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Рік тому +3

    Hawakujua au maksudi tu maana kuvunja huo mkataba nchi za magharibi wameyataka

  • @abdulfatahjuma5355
    @abdulfatahjuma5355 Рік тому +3

    Safi sana Dj sma

  • @josaphatjames1367
    @josaphatjames1367 Рік тому +3

    Watching from 🇸🇪

  • @rajabumurondegwa6097
    @rajabumurondegwa6097 10 місяців тому +1

    Mimi ni rajabu kutoka London nafutahiya malezo yako unachsmbuwa habari vizuri sana

  • @lameckraphael3743
    @lameckraphael3743 Рік тому +4

    Kaka hongera sana maana nauona uzalendo wako

  • @ballackenock
    @ballackenock Рік тому +3

    Kaka Djsmaa255 chukua 🌹🌹🌹🌹

  • @reginasamba-j2y
    @reginasamba-j2y Рік тому +2

    Safi Sana Nasikilizia Toka Mwanza Mjini

  • @francismichael1258
    @francismichael1258 Рік тому +3

    Nakukubali sana mtu wng, kapige mishe hilarious usitusahau

  • @danstanirubazibwa2494
    @danstanirubazibwa2494 Рік тому +1

    Ok big up

  • @MohamedHasan-kt4lw
    @MohamedHasan-kt4lw Рік тому +2

    Nakubali asilimia 💯% ya uchambuzi wko, ila mbona Putin haichukuhi hyo Odessa kma alivyo chukua majimbo manne???

  • @mbuyaelyaoni6266
    @mbuyaelyaoni6266 Рік тому +2

    Safi sana

  • @allyhuyu1892
    @allyhuyu1892 Рік тому +5

    Walisema purtin haiwezi vita na hamaliziwezi hapa ni wapi nauliza hivii hapa ni wapi?

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 Рік тому

      Jifunze kiswahili

    • @allyhuyu1892
      @allyhuyu1892 Рік тому

      @@miltonjohn9779 Nakijua vizuri tu, tena kuliko wewe nikujuze tu kama hujui hapo hautumiki mdomo, kinachotumika ni vidole gumba vyote viwili, nawe ushajua kwamba hujui chukua hiyo ukajifunze nawewe

  • @jumaciza461
    @jumaciza461 Рік тому +4

    Top news ❤🇧🇮

  • @Hija.F.A
    @Hija.F.A Рік тому +1

    nice you...

  • @FaizaJeizan
    @FaizaJeizan 6 місяців тому

    Hongera kwa kutujulusha mungu akubariki

  • @KaswarraKabagambe-gu1zm
    @KaswarraKabagambe-gu1zm Рік тому +1

    Your are number one my friend

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 Рік тому +2

    @dj sma nlikuwa naomba utueleze Ni kwanini mturuki ndio anaetoa au ndio anaepeana ruksa ya inchi kujiunga na NaTo na sio America au UK E.t.c

  • @ngendakumanajeanmarrie7490
    @ngendakumanajeanmarrie7490 Рік тому +1

    Asante kaka mimi nakufuatilia nikia burundi

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Рік тому +3

    👊✌👍.

  • @niyonzimabakari
    @niyonzimabakari Рік тому +2

    Mpaka kieleweke 🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Рік тому

    Shukran bro, kazi kubwa unafanya, dah!

  • @msafirimiracle6613
    @msafirimiracle6613 Рік тому +4

    Kutoka Mwanza,nakubali mzee,kazi nzuri sana,Sema tupia namba ya muamala ili ukichoka tu tunakupoza na muamala.big up sana

  • @cizaamissiamissi6182
    @cizaamissiamissi6182 Рік тому +5

    Dj Sma ❤❤❤❤

  • @saidbakari4318
    @saidbakari4318 Рік тому +2

    🤝

  • @andrewmwabenga-qn8ew
    @andrewmwabenga-qn8ew Рік тому +2

    👊 hizo mtu wangu big up sana, for real nikikusikiliz na kisha kuskiliza stream media nazidi kufunguka, hofu yang kwa turkey 🇹🇷 maana naamini ana uswahiba na putin pindi akiruhusiwa kuingia umoja wa ulaya hatakua mvujishaji wa siri kweli!!! Amani toka Bongo 🇹🇿

  • @user-qw1th7yp4t
    @user-qw1th7yp4t Рік тому +2

    Asalam aleikum warakhmatullah wabarakatu kwema ukweri kabisa nakusikiliza nikiwa south Africa ndani ya cape Town

  • @user-ix4fv2nj2v
    @user-ix4fv2nj2v Рік тому +4

    Putin mtu wa miakili mingi mungu mpe maisha marefu❤

  • @nsubiraphael8514
    @nsubiraphael8514 Рік тому +1

    Kaka uko vzr ubarikiwe

  • @Daidizz01chinga
    @Daidizz01chinga Місяць тому +1

    Dj smaa Africa ni yako

  • @antonydorian1402
    @antonydorian1402 Рік тому +2

    Safi dj sma🤝🤝💪

  • @user-tm5jl5ym8q
    @user-tm5jl5ym8q Місяць тому

    Dj mimi nina kukubari vizuli sana mola hakujaalie afya njema

  • @josephmaina8338
    @josephmaina8338 Рік тому +2

    Good job .... From Kenya

  • @AbuunumanBakar-pf8lw
    @AbuunumanBakar-pf8lw Рік тому +1

    Kaka una habar nzur hadi unyama hongera

  • @athumanmapunda
    @athumanmapunda Рік тому +1

    Uchambuzi mzuri sana well done

  • @hassanpashua
    @hassanpashua Рік тому +3

    Tuko pamoja kama kiuno na tako dj sma👊

  • @zuberisalum2004
    @zuberisalum2004 Рік тому +2

    Kanyaga twenda DJ sma Russia vs nato

  • @user-hu2vo1jm8o
    @user-hu2vo1jm8o Рік тому +1

    nakuelewa dj akil ming mno hakuna kama ww

  • @israelfumbo2093
    @israelfumbo2093 Рік тому +1

    Nice

  • @laurnyandwi-sb1gu
    @laurnyandwi-sb1gu Рік тому +1

    One love Russia,daima tupo pamoja nawewe.laur from Tanzania

  • @DeusiKasusu-yj9eg
    @DeusiKasusu-yj9eg Рік тому +1

    Dj smaaa umeisha broooo

  • @amirshaa5627
    @amirshaa5627 Рік тому +1

    Upo sawa kiongozi