MBOWE- "WANAOKOSOA SERIKALI WANASTAHILI KUFA! HATUTAJENGA NCHI KWA BUNDUKI"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 31 лип 2024
  • Subscribe / uwazi
    Kiongozi wa kambi ya upinzani, Mh Freeman Mbowe, alipokuwa Bungeni mjini Dodoma, katika Mkutano wa 9 wa Bunge la 11.
    "Katika mazingira ya kwaida ya namna utawala wa nchi yetu ulivyo chama cha Mapinduzi kina dhamana kubwa kwa sababu ndiyo chama kinachozalisha ilani.
    "Badala ya kuwa serikali ya Mapinduzi mkaona raha sana kujiita serikali ya Magufuli, na juzi katika ziara Mh Rais amerudia kauli hiyo, akisema CCM Kuna majizi vyama vya siasa kuna majizi, akasema ndiyo sababu yeye anasema serikali ni ya kwake.
    "Sasa tunajiuliza hivi tuna serikali ya chama cha mapinduzi, au tuna chama kinachosiamamia serikali yake, ama tuna serikali ya Mtu anayejisimamia mwenyewe?, napata wakati mgumu sana ninaposikia wabunge wa chama cha Mapinduzi wanajinasibu serikali yetu, ameshawaambia serikali ni yake.
    "Hatutaisadia nchi hii kwakuwa Wanafki, tutaisaidia nchi hii na serikali hii na wananchi wetu, kwakuwa wakweli, tupongeze pale ambapo tunafikiri kuna haki ya kupongeza, lakini wakati tunapokosea tusipoikemea serikali na kuiambia ukweli, na wale wanaoikosoa serikali wanaonekana wana stahili kufa na kuumizwa, hatutafika.
    Subscribe / uwazi1 FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli. .

КОМЕНТАРІ • 178

  • @geofreybernard7313
    @geofreybernard7313 6 років тому +40

    Mbowe upo vizuri sana,Msema kweli waambie wagonga meza kila kitu ndio mzee

  • @afredyohana356
    @afredyohana356 4 роки тому +8

    Uyu kaka aisee yuko vzr sana Na amelelewa kwenye kumcha Mungu yani hataongea yake ipo kihekima zaid

  • @dausonjohn9298
    @dausonjohn9298 4 роки тому +49

    Kama umemuelewa mbowe gonga like tujuwane

    • @mkamanabasabyona7675
      @mkamanabasabyona7675 4 роки тому

      So simple kutomwelewa jamaa huyu unless otherwise umeweka pamba masikioni, and ur coward

  • @paulinebogohe9182
    @paulinebogohe9182 6 років тому +19

    toka umeongea ni point mwanzo mwisho, hongeraaaaaa sana

  • @happinessmwaipopo7426
    @happinessmwaipopo7426 6 років тому +35

    Unahekima sana Mh Mbowe

  • @bensonfrank643
    @bensonfrank643 6 років тому +30

    Tunashukuru sana Mwenyez Kutupa Watu kama Mh.Mbowe ✊🙏

    • @mwengimgare5967
      @mwengimgare5967 4 роки тому

      Mbowe mm na wananchi wote tunakukubari sana kiongozi

  • @geofreyisaac7077
    @geofreyisaac7077 4 роки тому +14

    Naona watu wenye facts wakiongea minyoo inatulia kama inanyolewa

  • @jovinruhinda2966
    @jovinruhinda2966 4 роки тому +2

    Uwa nakuita Kamanda wa Anga. Big up Mh Mboe

  • @ibrahimwapili8851
    @ibrahimwapili8851 6 років тому +20

    Kweli mandeleo sio magorofa ya Dar Maendeleo nimaisha ya wananchi

  • @bahathigeofrey1617
    @bahathigeofrey1617 6 років тому +13

    Bashe, Selukamba, na Mbowe bila kujali itikad y chama hebu tutefeen huko huku mambo n magumu sana

  • @bahathigeofrey1617
    @bahathigeofrey1617 6 років тому +24

    Saf sana Mbowe ukweli ndo maendeleo y nchi, mututee huko huku mambo n magumu sana

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 2 роки тому +3

    Mbowe ni jeshi la mtu mmoja!

  • @charlesmurimi592
    @charlesmurimi592 5 років тому +11

    Kweli mkuu, mungu wetu ni mwema na anakuona daima

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 4 роки тому +7

    Hapo ndipo tulipo fikishwa, Ndugai anamihemko ya kimalaya malaya udhaifu wake anauonesha wazi kama yupo piriod hafai hata kukalia kiti cha uspika. Na anastahiki apigwe marufuku Dunia mzima asisafiri nchi yeyote.

  • @bahathigeofrey1617
    @bahathigeofrey1617 6 років тому +4

    Nyie wabunde watatu leo mmenifurahisha kwa kukututetea sisi wanyonge Mungu awabariki Selukamba, Bashe,na Mbowe hongeren sana kweli mnajitambua kuwa mmetumwa na wananch,Mungu awatetee maishan mwenu

  • @saidramadhan5396
    @saidramadhan5396 4 роки тому +21

    Hilijamaa likiongeaga wote kimya

  • @andersonnyahove2867
    @andersonnyahove2867 6 років тому +8

    Mbowe ndo maana nakupendaga bure. You deserves to be an opposition leader najua hotuba zako watu wanazirudia rudia kuziskiliza syo kwa sababu wanakupenda ila zinawachoma unatoa darasa kiukweli safi sana

    • @isackmwaluko113
      @isackmwaluko113 5 років тому

      Mchungaji akisema kanisa langu au mwalimu akisema shule yangu..au dereva akisema gari yangu japo siyo gari yake au mwenyekiti Wa kijiji akisema kijiji changu nakiongoza vizuri !!!kwani kuna ubaya ganiiiiii????mnakwazika na nini!!! Mmesalenda tu..

    • @khamiskangomba3636
      @khamiskangomba3636 5 років тому

      Anderson Nyahove 🙏🙏🙏

    • @deomlope1648
      @deomlope1648 4 роки тому

      Dah anaekosoa haya maneno n mjinga hana akili tenda mpumbavu
      Kweli inauma kweli inajenga

  • @amenyemwansile7943
    @amenyemwansile7943 4 роки тому

    Hongera sana Kaka mbowe huwa nakukubari sana mzee msema kweli ni mpenzi wa Mungu Mungu akusaidie na kukubariki

  • @muhidinihassani520
    @muhidinihassani520 5 років тому +5

    Hongera sana.umenena kweli

  • @bahathigeofrey1617
    @bahathigeofrey1617 6 років тому +8

    Nice one Mbowe

  • @philipoalphoncempeba5980
    @philipoalphoncempeba5980 6 років тому +7

    I understood Mr mbowe,.

  • @calvinkitaly9376
    @calvinkitaly9376 4 роки тому +5

    Baba yetu Wa heshima

  • @ephraimrichard6701
    @ephraimrichard6701 4 роки тому +5

    Geneous 👍💪

  • @dominicmawala5614
    @dominicmawala5614 4 роки тому +4

    Hua sikuelewi lkn hapo kwelii umeongea kisomi kwa busara na bila mihemko yenu yakisiasa. Tanzania kwa kipndi kirefu hatuna utekelezaji wa Sera ila ni mabingwa wakutunga sera

  • @eliasayahaya2560
    @eliasayahaya2560 6 років тому +5

    Safi sana mbowe

  • @esnartkalive4872
    @esnartkalive4872 4 роки тому +1

    Baba mbowe huwa najiuliza sanaa hivii ww na mbatia ni baba mmoja maana kama vichwa vinaelekeana

  • @ebenezerfreight3309
    @ebenezerfreight3309 6 років тому +1

    Mungu akubariki Mbowe

  • @jisephmaganiko3859
    @jisephmaganiko3859 6 років тому +5

    Mbowe nakuelewa sana kamanda

  • @stevenbandoma5661
    @stevenbandoma5661 6 років тому +1

    Hongorani xna wambunge wangu kwa kutimiza majukumu yenu

  • @khadijaabdalla1011
    @khadijaabdalla1011 6 років тому +8

    crafted in tz modified in Uganda and implemented in kenya

  • @chessmikausho5048
    @chessmikausho5048 5 років тому +1

    Mungu akulinde sana wew kamanda mpandaji wakwel

  • @boniphacejonas4109
    @boniphacejonas4109 4 роки тому

    Yaani mbowe ukiwa unaongea hakuna nyumbu wa kusema anataka kusema taarifa huwa wanakaa kimya kuchukua point hongera sana

  • @madarakachristian4963
    @madarakachristian4963 6 років тому +1

    Ongera saana mh mbowe

  • @martinakyoo148
    @martinakyoo148 4 роки тому +2

    Kwa kujenga hoja Mh Mbowe hakuna wa kubisha kwamba toka nafasi ya kiongozi wa upinzani iwepo nchini hakuna anayekufikia.
    Serikali ni ya Magufuli na sio ya CCM huu ndio ukweli na bora andelee tu kuchapa kazi kwa namna hiyo maana waliotumia neno serikali ya Ccm sioni walichokifanya.
    Hivyo tuangalie kazi nasio hoja na kasemaje.

  • @benitamart8056
    @benitamart8056 6 років тому +18

    Maneno mazito na sauti yenye mvuto wa uongozi mbowe uko jicho la taifa.

  • @willygamba5608
    @willygamba5608 5 років тому

    Safi sana kamanda mbowe uwa haukoseagi

  • @sifuelinyaki3341
    @sifuelinyaki3341 4 роки тому

    Serikali yangu... Hongera kamanda kwa maneno ya hekika mno.

  • @jakobodeus9522
    @jakobodeus9522 3 роки тому

    Lisu mbowe nawapenda

  • @allanmwambungu452
    @allanmwambungu452 2 роки тому +1

    Mpaka ufe ndiowatakumbuka unachosema maana ndodesturi yetu.

  • @paulnsemwa8692
    @paulnsemwa8692 6 років тому +2

    Mungu ibariki Tanzania

  • @papawaroma
    @papawaroma 4 роки тому

    Hapo ni kweli Ndugu Mbowe.

  • @erickkipenya5801
    @erickkipenya5801 4 роки тому +1

    Kweli mbowe upo sahihi

  • @alhajimbaga4062
    @alhajimbaga4062 5 років тому +4

    Kilimanjarooo hoyeeeeee

  • @prosperjohn6
    @prosperjohn6 6 років тому +5

    maneno ya hekima

  • @robathzingu1650
    @robathzingu1650 5 років тому +4

    Ni mchango wa miaka mi2 iliyopita, lakini naona kama ndiyo kweli yanatokea after two years past!

    • @mkamanabasabyona7675
      @mkamanabasabyona7675 4 роки тому

      Ka ya Jana iv...dah Mungu wabariki wasema kweli

    • @samaiteshuwaka2560
      @samaiteshuwaka2560 4 роки тому

      Jamaa akihhutubia kdgo watu wote makiniiii inaonekana ni jinz gani mbowe anavyoongea point baba mungu akupe afya njema ili kuweza kutetea nchi hiii

  • @gastordominic410
    @gastordominic410 5 років тому +1

    Daaah kumbe two years agoooo

  • @kainlangson7482
    @kainlangson7482 5 років тому +4

    mbowe nakusifu sana kwa kuwa na uwezo mkubwa wa kujenga hoja tatizo lako ni uwizi wako katika mali za chama chako

  • @ramadhanmanko4614
    @ramadhanmanko4614 5 років тому +1

    Safi mzee

  • @afyanauchumionlinetv109
    @afyanauchumionlinetv109 6 років тому +1

    I salute you Mr MBOWE

  • @sifuelinyaki3341
    @sifuelinyaki3341 4 роки тому

    Naona wzr mpango na naibu wake kijaji wametulia wapate walau moja lakutoka nalo hapo darasani.

  • @ludewayetutv
    @ludewayetutv 4 роки тому

    Duuuuuhh safiii sanaaaa

  • @mussamdetele5728
    @mussamdetele5728 4 роки тому +1

    Sema ukweli mzee mbowe .

  • @josephnchunga6554
    @josephnchunga6554 5 років тому +4

    dah nakuona Mungu mtu uko unaongea lekebisha chama chako kwanza ndio ushauri vizuri chama kingine ,jaribu useme chama chako kina watu waovu uone kama hawakukimbii wote,sasa hiki ni chama kubwa kinachoji tadhimini na si hicho chama chenu wasaka tonge

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila8562 4 роки тому

    Daaa.nakubali sana ngano hizi

  • @lucasbartazari7797
    @lucasbartazari7797 4 роки тому +3

    Stop playing with semantics. UKweli ni huo! Woote muna tabia ya kijizi tu! Wewe mwenyewwe CHADEMA umeisaidia nini mbali na kutumia pesa zote na inner circles! Nani amekosoa akauwawa? wewe mwenyewe ulipo hapo unakosoa, nani kakuuwa? Tutofautishe matusi na kukosoa. Mukizungumza munajionesha kuwa na busara wakati mitaani tunawajua ni wapigaji na tabia za kifilauni!!

    • @pamphilherman2913
      @pamphilherman2913 4 роки тому

      Mungu akujalie nguvu mbowe maana nchi hii mafisadi wamejaaa

  • @daudpius3075
    @daudpius3075 5 років тому +7

    Mbowe unafaa kuongoza nchi hiiii

  • @barnabaskipengele6876
    @barnabaskipengele6876 4 роки тому

    Ushauri Siku zote sio lazima utekelezwe /Pia usiletee hoja ambazo majibu umejipangia mwenyewe!.

  • @lisauroble31
    @lisauroble31 4 роки тому

    Mbowee unapointi zakuongea nakupa big up

  • @fabiolapanga8680
    @fabiolapanga8680 3 роки тому +1

    🤝🙏🙏

  • @philemonnestory3216
    @philemonnestory3216 6 років тому +1

    Naamini katika upinzani mbowe big up saana

  • @yunussilayo1771
    @yunussilayo1771 4 роки тому +1

    Mbowe unaongea utumbo kusema serikali yangu hamaanishi ni ya kwake nisawa unapo mtuma mwanao chumbani kaniletee kiwi chumbani kwangu kwani icho chumba ni chakwako mwenyewe? katumia tafsida

    • @balluabdul8396
      @balluabdul8396 4 роки тому

      Acha ujinga ww, haiwez kua serikali yke

  • @zuhurajokoro1233
    @zuhurajokoro1233 4 роки тому +2

    Kumbe Mbowe nawe una hekima siku zingine?

  • @peterakiyoo4405
    @peterakiyoo4405 4 роки тому

    GOOD MSG

  • @kayongooba8984
    @kayongooba8984 3 роки тому

    Xhikamoo mboweee

  • @isayasamweli7827
    @isayasamweli7827 5 років тому

    Wanyama

  • @atukuzwemungudaimaariseand6156
    @atukuzwemungudaimaariseand6156 6 років тому +5

    Upinzani bira mh mbowe tusingesimama mpaka leo

  • @paulinasamweli5101
    @paulinasamweli5101 4 роки тому

    ok

  • @andersonmwenda6390
    @andersonmwenda6390 2 роки тому

    Nimelimis bunge hili lililokuwa na watu wa kutetea haki za wote kitaifa

  • @bahatigwivaha9696
    @bahatigwivaha9696 4 роки тому +1

    Mbowe anastahili kupita bila kupingwa kama kweli tunaipenda nchi yetu.

  • @emmanuelmwitathomas834
    @emmanuelmwitathomas834 4 роки тому

    Mimi nahisi kuwa upinzani mumenda bungeni for nothing coz sometimes mwaweza toa ideas but kuna kuto sikilizwa

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 4 роки тому +1

    Swali kwa mbowe
    VIONGOZI watatu wa juu CHADEMA NI AKINANANI ? NA KABILA ZAO NI ZIPI ? Ikiwa atajing'ata basi Hana mpya ktk kushauri kitu kwasasa

  • @kheiromar2068
    @kheiromar2068 4 роки тому

    Acha tu twende kijmaaa si ulifnya kusudi sisi tunakanyagaa kweli mpaka kielekeee

  • @fitinankalango850
    @fitinankalango850 4 роки тому

    Kuhusu private sector hapo nimekuelewa mh. Mbowe sheria zinazotungwa kuhusu private sector ni kandamizi na kwa hali hiyo tuttakimbia biashara zetu

  • @amirimsuya9531
    @amirimsuya9531 5 років тому +1

    hongera mbowe

  • @erickpallangyo1325
    @erickpallangyo1325 5 років тому +2

    kwelikamanda

  • @boniphacejonas4109
    @boniphacejonas4109 4 роки тому

    Point Kama zote

  • @gastordominic410
    @gastordominic410 5 років тому +1

    Mh umeongea vzr xana

  • @selemaninankaha9352
    @selemaninankaha9352 4 роки тому

    Mbowe badilika ww ni mshauli tu ushauli unamambo mawili kukubalii au kukataliwa utapata tabu sana serekari imebadilika kubali kwenda na wakati

  • @ephraimrichard6701
    @ephraimrichard6701 4 роки тому

    Eti tunachoma vifaranga tunauza ng'ombe za watu nimecheka kwa nguvu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @jumaomar1454
    @jumaomar1454 6 років тому +4

    Kabisaa uchumi sio ndege uchumi ni kuboreka maisha ya wananchi

    • @sememakolo9360
      @sememakolo9360 5 років тому +1

      Kama wewe utaboleshaje bila kuwekeza kwenye biashala.

    • @sultaniramadhani890
      @sultaniramadhani890 5 років тому +1

      JUMA OMARI acha izo hata baba akiwa bahir watt watataka kujua matokeo ya ubahir wake MH magu hata half time bado mnapiga kelele je kuna raia wanakaa foleni ya kununua unga km vile miaka ya 80

    • @atubeka9317
      @atubeka9317 5 років тому

      Safi

  • @fredkenyanya1575
    @fredkenyanya1575 3 роки тому

    Underline KUCHOMA VIFARANGA tukisonga mbele.

  • @principiusndyakohai5998
    @principiusndyakohai5998 4 роки тому

    Those with ideas have no power and vice versa

  • @mudylibrary6194
    @mudylibrary6194 4 роки тому

    Ongera kamanda

  • @benitamart8056
    @benitamart8056 6 років тому +3

    Full IQ Father...

    • @zabronijoseph728
      @zabronijoseph728 4 роки тому

      Nakuelewa sana Mwenyekiti Mboye Ubarikiwe mwaka huu tunaking'oa chama cha ccm

  • @sememakolo9360
    @sememakolo9360 5 років тому +1

    Walio zoea vya blue lazima walie, sio walisababisha tuumie wanaichi wa kupato cha chini

  • @tracyjustice1600
    @tracyjustice1600 6 років тому +2

    Preach it Mh. Mbowe

  • @yusufukazamba2391
    @yusufukazamba2391 4 роки тому

    Mhe; mbowe ukweli wenye hekima ndio watakaokuelewa;

  • @thomasjohn3499
    @thomasjohn3499 2 роки тому

    HIVI TUTAKUJA KUPATA KATIBA ILI TUPATE WABUNGE KAMA HAWA?. EE MUNGU TUSAIDIE NA UTUOKOWE NA UTULETEE MWENYEWE KATIBA MPYA ILI TUWE HURU NA TUPATE WABUNGE TULIOWACHAGUA WENYEWE. AAAAMEN.

  • @bahathigeofrey1617
    @bahathigeofrey1617 6 років тому +3

    Tuteteen wabunge sis huku wanyo;nge tunaumia tunataka maendeleo y wananch sio y vyama

  • @khneesajumaa2052
    @khneesajumaa2052 4 роки тому

    Mbowe nakukubali Lkn Zito pumba tupu

  • @johnnisilenisile1990
    @johnnisilenisile1990 4 роки тому

    Camanda km kawaida yake Hy yupo ivo Kila siku wengine wanamshangaa

  • @emmanuelkasoga4997
    @emmanuelkasoga4997 5 років тому +7

    Hakika wewe ndie kiongozi wa kambi ya upinzani Tz

  • @yusuphmwampashiamen1528
    @yusuphmwampashiamen1528 6 років тому +1

    Bigap xana mkuu wangu nakukubari xana

  • @brownbryson9293
    @brownbryson9293 4 роки тому

    Kwann hamuoni yale anayotenda raisi kila siku mna mmisstreat tuuuh jamn angalieni anayofanya magufuli sio kuangalia makosa tuh

  • @ibrahimwapili8851
    @ibrahimwapili8851 6 років тому +1

    Sawa Rais Wa miyo ya watu

  • @reubenbegashe2372
    @reubenbegashe2372 4 роки тому

    Sasa mmeanza kutumia mbinu za CCM kuwaadaa Wananchi

  • @geja125
    @geja125 6 років тому +4

    Mbowe 1=15 professors of ccm!

  • @franciskessy9792
    @franciskessy9792 6 років тому +1

    Heshima yako kamanda wa Anga, upo na Hekima na Busara sana

  • @tumsifumawini3127
    @tumsifumawini3127 5 років тому +3

    Umesema kweli,..
    Tusubiri....

  • @lucasbartazari7797
    @lucasbartazari7797 4 роки тому

    Kwani Mbowe una taaluma gani? Unayoweza kuitetea. Kubali kwamba thirdworld, TZ ikiwemo biashara imejaa wizi. Asiyejiingiza kwenye wizi ajitokeze. Corruption imewajaa hadi bungeni.