MBOWE- "WANAOKOSOA SERIKALI WANASTAHILI KUFA! HATUTAJENGA NCHI KWA BUNDUKI"
Вставка
- Опубліковано 31 лип 2024
- Subscribe / uwazi
Kiongozi wa kambi ya upinzani, Mh Freeman Mbowe, alipokuwa Bungeni mjini Dodoma, katika Mkutano wa 9 wa Bunge la 11.
"Katika mazingira ya kwaida ya namna utawala wa nchi yetu ulivyo chama cha Mapinduzi kina dhamana kubwa kwa sababu ndiyo chama kinachozalisha ilani.
"Badala ya kuwa serikali ya Mapinduzi mkaona raha sana kujiita serikali ya Magufuli, na juzi katika ziara Mh Rais amerudia kauli hiyo, akisema CCM Kuna majizi vyama vya siasa kuna majizi, akasema ndiyo sababu yeye anasema serikali ni ya kwake.
"Sasa tunajiuliza hivi tuna serikali ya chama cha mapinduzi, au tuna chama kinachosiamamia serikali yake, ama tuna serikali ya Mtu anayejisimamia mwenyewe?, napata wakati mgumu sana ninaposikia wabunge wa chama cha Mapinduzi wanajinasibu serikali yetu, ameshawaambia serikali ni yake.
"Hatutaisadia nchi hii kwakuwa Wanafki, tutaisaidia nchi hii na serikali hii na wananchi wetu, kwakuwa wakweli, tupongeze pale ambapo tunafikiri kuna haki ya kupongeza, lakini wakati tunapokosea tusipoikemea serikali na kuiambia ukweli, na wale wanaoikosoa serikali wanaonekana wana stahili kufa na kuumizwa, hatutafika.
Subscribe / uwazi1 FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli. .
Mbowe upo vizuri sana,Msema kweli waambie wagonga meza kila kitu ndio mzee
Uyu kaka aisee yuko vzr sana Na amelelewa kwenye kumcha Mungu yani hataongea yake ipo kihekima zaid
Kama umemuelewa mbowe gonga like tujuwane
So simple kutomwelewa jamaa huyu unless otherwise umeweka pamba masikioni, and ur coward
toka umeongea ni point mwanzo mwisho, hongeraaaaaa sana
Yuko vizuri sana full busara
Unahekima sana Mh Mbowe
Tunashukuru sana Mwenyez Kutupa Watu kama Mh.Mbowe ✊🙏
Mbowe mm na wananchi wote tunakukubari sana kiongozi
Naona watu wenye facts wakiongea minyoo inatulia kama inanyolewa
Uwa nakuita Kamanda wa Anga. Big up Mh Mboe
Kweli mandeleo sio magorofa ya Dar Maendeleo nimaisha ya wananchi
Bashe, Selukamba, na Mbowe bila kujali itikad y chama hebu tutefeen huko huku mambo n magumu sana
Saf sana Mbowe ukweli ndo maendeleo y nchi, mututee huko huku mambo n magumu sana
Mbowe ni jeshi la mtu mmoja!
Kweli mkuu, mungu wetu ni mwema na anakuona daima
Tunaomba katiba mpya
Hapo ndipo tulipo fikishwa, Ndugai anamihemko ya kimalaya malaya udhaifu wake anauonesha wazi kama yupo piriod hafai hata kukalia kiti cha uspika. Na anastahiki apigwe marufuku Dunia mzima asisafiri nchi yeyote.
Nyie wabunde watatu leo mmenifurahisha kwa kukututetea sisi wanyonge Mungu awabariki Selukamba, Bashe,na Mbowe hongeren sana kweli mnajitambua kuwa mmetumwa na wananch,Mungu awatetee maishan mwenu
mm.kakama.chadema.ikovizuli.sana
Hilijamaa likiongeaga wote kimya
Anajua sana na ana speech ya kiuongozi.
Mbowe ndo maana nakupendaga bure. You deserves to be an opposition leader najua hotuba zako watu wanazirudia rudia kuziskiliza syo kwa sababu wanakupenda ila zinawachoma unatoa darasa kiukweli safi sana
Mchungaji akisema kanisa langu au mwalimu akisema shule yangu..au dereva akisema gari yangu japo siyo gari yake au mwenyekiti Wa kijiji akisema kijiji changu nakiongoza vizuri !!!kwani kuna ubaya ganiiiiii????mnakwazika na nini!!! Mmesalenda tu..
Anderson Nyahove 🙏🙏🙏
Dah anaekosoa haya maneno n mjinga hana akili tenda mpumbavu
Kweli inauma kweli inajenga
Hongera sana Kaka mbowe huwa nakukubari sana mzee msema kweli ni mpenzi wa Mungu Mungu akusaidie na kukubariki
Hongera sana.umenena kweli
Nice one Mbowe
I understood Mr mbowe,.
Baba yetu Wa heshima
Geneous 👍💪
Hua sikuelewi lkn hapo kwelii umeongea kisomi kwa busara na bila mihemko yenu yakisiasa. Tanzania kwa kipndi kirefu hatuna utekelezaji wa Sera ila ni mabingwa wakutunga sera
Safi sana mbowe
Baba mbowe huwa najiuliza sanaa hivii ww na mbatia ni baba mmoja maana kama vichwa vinaelekeana
Mungu akubariki Mbowe
Mbowe nakuelewa sana kamanda
Hongorani xna wambunge wangu kwa kutimiza majukumu yenu
crafted in tz modified in Uganda and implemented in kenya
Mungu akulinde sana wew kamanda mpandaji wakwel
Yaani mbowe ukiwa unaongea hakuna nyumbu wa kusema anataka kusema taarifa huwa wanakaa kimya kuchukua point hongera sana
Ongera saana mh mbowe
Kwa kujenga hoja Mh Mbowe hakuna wa kubisha kwamba toka nafasi ya kiongozi wa upinzani iwepo nchini hakuna anayekufikia.
Serikali ni ya Magufuli na sio ya CCM huu ndio ukweli na bora andelee tu kuchapa kazi kwa namna hiyo maana waliotumia neno serikali ya Ccm sioni walichokifanya.
Hivyo tuangalie kazi nasio hoja na kasemaje.
Maneno mazito na sauti yenye mvuto wa uongozi mbowe uko jicho la taifa.
Tunaomba katiba mpya
Safi sana kamanda mbowe uwa haukoseagi
Serikali yangu... Hongera kamanda kwa maneno ya hekika mno.
Lisu mbowe nawapenda
Mpaka ufe ndiowatakumbuka unachosema maana ndodesturi yetu.
Mungu ibariki Tanzania
Hapo ni kweli Ndugu Mbowe.
Kweli mbowe upo sahihi
Kilimanjarooo hoyeeeeee
maneno ya hekima
Ni mchango wa miaka mi2 iliyopita, lakini naona kama ndiyo kweli yanatokea after two years past!
Ka ya Jana iv...dah Mungu wabariki wasema kweli
Jamaa akihhutubia kdgo watu wote makiniiii inaonekana ni jinz gani mbowe anavyoongea point baba mungu akupe afya njema ili kuweza kutetea nchi hiii
Daaah kumbe two years agoooo
mbowe nakusifu sana kwa kuwa na uwezo mkubwa wa kujenga hoja tatizo lako ni uwizi wako katika mali za chama chako
Safi mzee
I salute you Mr MBOWE
Naona wzr mpango na naibu wake kijaji wametulia wapate walau moja lakutoka nalo hapo darasani.
Duuuuuhh safiii sanaaaa
Sema ukweli mzee mbowe .
dah nakuona Mungu mtu uko unaongea lekebisha chama chako kwanza ndio ushauri vizuri chama kingine ,jaribu useme chama chako kina watu waovu uone kama hawakukimbii wote,sasa hiki ni chama kubwa kinachoji tadhimini na si hicho chama chenu wasaka tonge
Ww una shida ya akili
Daaa.nakubali sana ngano hizi
Stop playing with semantics. UKweli ni huo! Woote muna tabia ya kijizi tu! Wewe mwenyewwe CHADEMA umeisaidia nini mbali na kutumia pesa zote na inner circles! Nani amekosoa akauwawa? wewe mwenyewe ulipo hapo unakosoa, nani kakuuwa? Tutofautishe matusi na kukosoa. Mukizungumza munajionesha kuwa na busara wakati mitaani tunawajua ni wapigaji na tabia za kifilauni!!
Mungu akujalie nguvu mbowe maana nchi hii mafisadi wamejaaa
Mbowe unafaa kuongoza nchi hiiii
Ushauri Siku zote sio lazima utekelezwe /Pia usiletee hoja ambazo majibu umejipangia mwenyewe!.
Mbowee unapointi zakuongea nakupa big up
🤝🙏🙏
Naamini katika upinzani mbowe big up saana
Mbowe unaongea utumbo kusema serikali yangu hamaanishi ni ya kwake nisawa unapo mtuma mwanao chumbani kaniletee kiwi chumbani kwangu kwani icho chumba ni chakwako mwenyewe? katumia tafsida
Acha ujinga ww, haiwez kua serikali yke
Kumbe Mbowe nawe una hekima siku zingine?
Hahha akiamua yuko vizuri
GOOD MSG
Xhikamoo mboweee
Wanyama
Upinzani bira mh mbowe tusingesimama mpaka leo
ok
Nimelimis bunge hili lililokuwa na watu wa kutetea haki za wote kitaifa
Mbowe anastahili kupita bila kupingwa kama kweli tunaipenda nchi yetu.
Kwalipi?
Mimi nahisi kuwa upinzani mumenda bungeni for nothing coz sometimes mwaweza toa ideas but kuna kuto sikilizwa
Swali kwa mbowe
VIONGOZI watatu wa juu CHADEMA NI AKINANANI ? NA KABILA ZAO NI ZIPI ? Ikiwa atajing'ata basi Hana mpya ktk kushauri kitu kwasasa
Kulwa Mapunda hacha ukabila
Acha tu twende kijmaaa si ulifnya kusudi sisi tunakanyagaa kweli mpaka kielekeee
Kuhusu private sector hapo nimekuelewa mh. Mbowe sheria zinazotungwa kuhusu private sector ni kandamizi na kwa hali hiyo tuttakimbia biashara zetu
hongera mbowe
kwelikamanda
Kamanda wa anga nakukubali mzee baba.
Point Kama zote
Mh umeongea vzr xana
Mbowe badilika ww ni mshauli tu ushauli unamambo mawili kukubalii au kukataliwa utapata tabu sana serekari imebadilika kubali kwenda na wakati
Eti tunachoma vifaranga tunauza ng'ombe za watu nimecheka kwa nguvu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kabisaa uchumi sio ndege uchumi ni kuboreka maisha ya wananchi
Kama wewe utaboleshaje bila kuwekeza kwenye biashala.
JUMA OMARI acha izo hata baba akiwa bahir watt watataka kujua matokeo ya ubahir wake MH magu hata half time bado mnapiga kelele je kuna raia wanakaa foleni ya kununua unga km vile miaka ya 80
Safi
Underline KUCHOMA VIFARANGA tukisonga mbele.
Those with ideas have no power and vice versa
Ongera kamanda
Full IQ Father...
Nakuelewa sana Mwenyekiti Mboye Ubarikiwe mwaka huu tunaking'oa chama cha ccm
Walio zoea vya blue lazima walie, sio walisababisha tuumie wanaichi wa kupato cha chini
Sio wewe bali ni uwezo wako wakufikikili
Preach it Mh. Mbowe
Wabunge wa ccm wangekuwa kama bashe hakuna haja ya upinzani
Sahihi Mhe Mbowe
Mhe; mbowe ukweli wenye hekima ndio watakaokuelewa;
HIVI TUTAKUJA KUPATA KATIBA ILI TUPATE WABUNGE KAMA HAWA?. EE MUNGU TUSAIDIE NA UTUOKOWE NA UTULETEE MWENYEWE KATIBA MPYA ILI TUWE HURU NA TUPATE WABUNGE TULIOWACHAGUA WENYEWE. AAAAMEN.
Tuteteen wabunge sis huku wanyo;nge tunaumia tunataka maendeleo y wananch sio y vyama
Mbowe nakukubali Lkn Zito pumba tupu
Camanda km kawaida yake Hy yupo ivo Kila siku wengine wanamshangaa
Hakika wewe ndie kiongozi wa kambi ya upinzani Tz
Bigap xana mkuu wangu nakukubari xana
Kwann hamuoni yale anayotenda raisi kila siku mna mmisstreat tuuuh jamn angalieni anayofanya magufuli sio kuangalia makosa tuh
Sawa Rais Wa miyo ya watu
Sasa mmeanza kutumia mbinu za CCM kuwaadaa Wananchi
Mbowe 1=15 professors of ccm!
Heshima yako kamanda wa Anga, upo na Hekima na Busara sana
Umesema kweli,..
Tusubiri....
Kwani Mbowe una taaluma gani? Unayoweza kuitetea. Kubali kwamba thirdworld, TZ ikiwemo biashara imejaa wizi. Asiyejiingiza kwenye wizi ajitokeze. Corruption imewajaa hadi bungeni.