VIDEO: Naibu spika vs Mbowe bungeni kwenye swali kwa Waziri mkuu
Вставка
- Опубліковано 2 лис 2016
- Moja ya headline iliyochukua nafasi leo wakati mkutano wa 5 wa bunge la 11 ukiendelea bungeni Dodoma ni pamoja na hii ya Naibu spika Dk. Tulia Ackson kulazimika kumzuia Waziri mkuu Kassim Majaliwa asijibu swali la mbunge wa Hai Freeman Mbowe aliyedai kwamba wabunge wa CCM walipewa shilingi milion 10 kila mmoja ili kupitisha muswada wa habari unaotarajiwa kuwasilishwa hivi karibuni bungeni.
Bungeni hakuna kinachoendelea zaidi ya kuona wabunge wana .........!
Ohooo. Naona kuna ukweli hapo, kwa nini wanakwepa swali. Hayo nayo majipu Tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu........... Lakini yanayoonekana ni ya watumishi hewa tuuuuuuu. Aibu tupuuuuuu....
Respect Dkt.....confidence na kusoma vzuri sheria ndyo maamuz yako
Hii mijibunge mingine cjui inafikaga huku vipi yani swali la maana kbs yy hataki lijibiwe dah! hatari sana
jamaa wanagawana pesa zetu kimya kimya ila yana mwisho wake hayo na utafika
Ifike wakati tuelewe watanzania tujuwe maana ya bunge kuwa lina sheria zake pamoja na kanuni zake tuache ushabiki wa kisiasa maana watanzania wengi tunafata mkumbo tu
naibu speaker hatuna
naibu spika hana uzalendo kabisa, anaendesha bunge kwa maslahi ya chama tawala
Kaka mimi ni mtu wa mbeya lakini huyo dem sijuh Kama ni mzaa wa mbeya maana sio kwa usenge huo hatunaga upuuzi huo
ccm hamna akilitu
wanawake wanin kuwapa vyeokamaivo vyanin kuwapa
Corruption ni sera
Naomba mungu akubariki ili kua rais wa nchi kwa maswali yako
Cha mcngi hapo; angeachwa waziri ajibu tu yaishe kwani Tulia alivyokataa swali lisijibiwe; ndipo negative nyingi zitawajaa watu wakati siajabu habari zenyewe c za kweli!
tulia hufai
b
b .
Safi sana mzee baba mbowe unatuwakilisha vyema
Ufisadi
Raisi magufuli sikiliza hlo ukatumbue jipu hilo limeiva kwenye ufisadi
ufahamu ndio unatupa shida, bora nisinge elimika haya mambo yasingesumbua akiliyangu
Hahahah, swali zuri sana
samweli kilagane fact
mmh hatariii
asante mboweee!!!!!!!
Ni kweli kabisa kama tungekua hakuna mtu ana elewa haya mambo ya siasa na demokrasia tusinge umia..
oyooooooooo chadema oyee nawakubar kichz yan
Ndio maana hawataki bunge lionyeshwe
mbowe ahsante
Gandi Salim
Tulia ackson sijui ulikaaje hicho kitu
bunge oyeeee
Huyu naibu speaker ni ccm dam dam maana siyo kwa kumlinda iv
Pamoja Sana mboe
ndio mboye tuteteee wanyonge
asante mboweee
hivi rushwa ni acquired character or ni inherited character??
Majipuuuuu hayoooo mweshimiwa mboweeee..kwanin...anagoma kujibu maswali yakooo
kweli ccm noma wizi mtupu wazili tujibu usiiname xana
Haka Kama kana roho mbaya sana
kazi kwako
uwiii ccm ni nini mbaya ci mmuache wazir ajibu
hivi bado kunawatu mnaamini utaifa na ubora wa maisha uko bungeni!? si upinzani wala utawala, samaki ni walewale, tofauti majina tu.... anaebisha akamuulize dr s..... huko canada, au .....kule Zanzibar na buguruni.
Mnapiga tu hela kijanja nchi hii aise
Dunia akuna haki aki ipo kwmaungu ndiomana imewekwa siku yakiama viungoz wetu wakiafrica awataacha kuiba pesa mpaka mwisho wadunia
rushwaaaaaaa ahaaa
Aiseee milion 10 kila mbunge wakati kuna hosptal hazina dawa Mh raisi liangalie hili huu nao ni matumizi mabaya ya pesa yauma Tusaidieni kujibu maswali bungeni Haki huinua Taifa Mh tulia usiendeshe bunge ivo mama unakosea kumlimit mtyu asijibu swali sasa maswali ayo wakaulize nan na wap?
Siandiki chochote acha nipite
Hasira bubu hiz
Hakika ww nijembe unatupigania mno
hebu wacha kugadi chama bungeni spika mbona swali rahisi unamzuiya nini kujibu acheni kubebana kumbe wanagawana pesa zetu wasome warumi 13 yote mistari yote 14wanaweza kubadilika mungu awasaidie sana
wamesahau kututetea cc wameanza oo jana mmepewa pesa kama wamepewa nachama watajua wenyewe cc tunataka muongeree maendeleo saivi unawasema ccm rakini ukienda jimbon kwako hakuna hata maji mbona haulalamiki tumewachoka au kwavile haukai jimbon
Aka kamama kana roho mbaya ndo maana ata kunenepa akanenepi
dawa ya swali ni kujibu
Akiri ndogo kuongoza kubwa shida
Nilitegemea swari haliwezi kupata majibu
Wewe unalinda ujinga wezi nyie kodi zeyu naye amekula
kweli hichi ni kifaa
shikamoo mboe
nilichoona ccm inajiendesha kwa kujuana ndio mana bunge la sku hiz bora utafte kaz ya kufanya kuliko kuangalia cz hakuna kinachoendelea wapinzani Wapewe haki yao na kwa hali hii wanahaki ya kulalamika big up mbowe thax Milad Ayo
joyce michael love love tunalindana jamani
#Abdallah Ramadhani 😀😀😀😀
Tulia Unaharibu Bungeeeeeeeee
Wananchi tunakufa nacolona nyie mnaopiga hela ata kutupunguzia makuli tamaisha ktk kipindi ichi kigumu umeme mmetubani maji mmetubania sugu kaongea vitu vya muhimu mkajifanya amumsikilizi mnapanga tu njama zakupiga hela magufuli tunakuomba kwa hili haki itendeke kama unavyowatumbua wengine
hee! mikopo tukose sisi ela mchukue nyie, majanga!
Hapo hakuna kitu, Hiyo ni kiki tuu ya kutaka kujisafisha na Kashfa ya ukwepaji kodi NHC, na Mahela ya kimataifa.
Bhangi mbaya sana
bangi kweli siyo nzuri
mnagawana pesa afu watumishi hewa watumishi hewa
mmmh ungemucha a jibu mama
yaan mccm yapungue Bungen2020 mjp wabk kama 4
Tangu tulia amepata nafas iyo imekuwa shida bungen
Naibu anawalinda watu wa chama chake
selikali lko safi Sana msituchanganye
Peter Mnobe akili nusu
Hata mim nimeona haloooooo
nahic kutapikaaaaa!!!!
dahhhh aiseee
bunge limekiwa kama bar huyu mama anasingua ndio tatizo LA kuchagua viongozi vilaza
+Thuweni Hussein umeona ehh pia anavyokataza swali kama lile anafnya ionekane n kwl yanayosemwa
Huyu mtu anawazimu? Kuna ofisi ya Rais Utumishi wa Umma na Utawala Bora. Sasa kama suala la rushwa na ubadhilifu wa pesa za umma sio suala la sera, ofisi hiyo inafanya kazi bila sera? Spika katoa point ya kijinga, hasa ukizingatia kwamba rushwa na uwizi ni katika sera kubwa ya Raisi mwenyewe.
jembe tunakuelewaga kinchofanyika ni kulindina tu
mbowe
yasemwayo yapo hahaaaaaa
huyu naibu mbabe cna bhana
hahahahha .hamna.hoja.kazi.kurumbana.ndiyo.maana wengine wanaongelea.habari.za.chupi.bungeni.
naibu spika hufai unazuia nn kujibu swali nandio mnaoaharibu ccm hadi inasemwa vbaya
kitendo cha waziri mkuu kunawa mkono na hewa mmmh hili swali lina utata sama linahitaji majibu hahahahahahahah duh tunamiss uhondo kweli
Barakael Lyimo
Mmh
huyu mama arudi kijijini akafuge kuku anaharibu bunge
Disgusting
h
We. Mbowe. We. Mbona..Hera za. Luzuku hazionekani. Upoo. Tuuuuuuuuuuuuuuuuuu
Mbowe itkisa ccm
chezea tulia ww
Said Mathias kweliii duuuuu
ufahamu ndio unatupa shida, bora nisinge elimika haya mambo yasingesumbua akiliyangu