Це відео не доступне.
Перепрошуємо.

JOHN HECHE : UKIJA TARIME UTAKUTANA NA MOTO/ NILIPATA KURA 0/ ALITAKA KUCHUKUA ARDHI YETU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 12 тра 2020
  • Kutoka katika Maktaba yetu, haya ni mahojiano maalum na Mbunge John Heche, wa Jimbo la Tarime Vijijini kuhusu masuala mbalimbali ya kisiasa, uongozi na utatuzi wa changamoto katika sekta mbalimbali.
    Karibu uweze kutazama mazungumzo haya na bila shaka utaweza kuongeza taarifa, maarifa na ujuzi zaidi.
    Host:
    Charles William
    Zembwela
    #MsumariWaMoto #GoodMorning #NiUshindiTu

КОМЕНТАРІ • 410

  • @leonard2121
    @leonard2121 4 роки тому +11

    Mungu akuzidishie Heche,na natamani siku kukutana tuongee,wewe una mawazo makuu...

  • @raphaelnamama7570
    @raphaelnamama7570 4 роки тому +12

    Kipindi kipo vizuri nmekipenda,nmependa heche anavojibu maswali na jinsi kijana Charles anajenga maswali yake namwona mbali sana Charles willium,kipindi kiruke kwenye TV ni kizuri sana.

  • @mohoniajoseph9067
    @mohoniajoseph9067 4 роки тому +27

    Safi sana Mhe. John Heche ukweli ni kuwa yote uliyosema ni ya kweli na yamefanyika Jimboni

  • @everlastthebad4441
    @everlastthebad4441 4 роки тому +30

    safi sna mh heche niko proud sana na harakat zako bila kutegemea

  • @Rugemalilatv1994
    @Rugemalilatv1994 4 роки тому +10

    Salute kmnda heche nakubali upo makini

  • @noelpiusi7271
    @noelpiusi7271 4 роки тому +10

    Ushauri wangu kwako Heche, Jiandae kuchukua Uwenyekit CHADEMA TAIFA

    • @josephmakutano7067
      @josephmakutano7067 3 роки тому

      Mbona mnamaneno kuigiza hivi mnachuki nambowe naheche mi nashindwa kukwelewa!!!

  • @abdulseif4093
    @abdulseif4093 4 роки тому +28

    vichwa makini vya taifa hivi....... big up john heche nakuelewaga sana na hadi watawala wanakuelewa sana ila wanajifanyisha tu

  • @nestor384
    @nestor384 4 роки тому +17

    Tumpe uenyekiti chadema very bright

  • @TakasiSulle
    @TakasiSulle Місяць тому

    Heche nakukubali kwa msimamo wa kuwatetea watanzania wanyoge bila woga hakuna wakushindana na heche mungu akusaidie

  • @allanreceeinstern7908
    @allanreceeinstern7908 4 роки тому +5

    Hongera sana Mh Heche ...kuna halmashauri nyingine kama Mufindi zinamisitu na source nyingi za mapato lakin bado kuna vijiji havijawahi pata maji ya bomba wala dispensary tangu uhuru.

  • @webbydanagu9667
    @webbydanagu9667 4 роки тому +24

    Heche akili kubwa sana 👏👏👏👏

  • @abuukiogwe6806
    @abuukiogwe6806 4 роки тому +35

    Kama unaikubali cdm nipe like

  • @msaikikijoma9156
    @msaikikijoma9156 4 роки тому +4

    Mungu akulinde Heche yapo makubwa yanakuja kwa ajili yako jiandae kuwa M/kiti wa chama

  • @danieldaniel-lb2on
    @danieldaniel-lb2on 4 роки тому +10

    "Ukweli ni bidhaa adimu" Akili kubwa sana aisee!

  • @angasoketch8063
    @angasoketch8063 4 роки тому +4

    Safi sana kwa kufafanua shughuli za mbunge yani kiukwel nakupenda bure mbunge wangu,mungu akulinde na akupe maisha marefu

  • @danielsighis9953
    @danielsighis9953 4 роки тому +6

    Good, mmefanya vizuri sana!! Kufanya mahojiano ma Heche tujue haliuyo nyuma ya pazia. Wasafitv afi kabisa. Asante Heche kwa ufafanuzi mzuri

  • @beatricetenywa4367
    @beatricetenywa4367 4 роки тому +11

    Naomba watu wa tarime vijijini Please please..endeleeni kumtumia Mh.Heche awemwakilishi wenu.your blessed Tarime rural 🙌🙌🙌

  • @David-lr9zr
    @David-lr9zr 4 роки тому +11

    my former secondary teacher,

  • @omarymtopa6971
    @omarymtopa6971 4 роки тому +3

    Interview nzuri nimependa kutosikia maswali ya kuchonganisha serikali na vyama mmejikita kwenye personal issue safi sana

  • @ismailkatala4792
    @ismailkatala4792 4 роки тому +3

    Kwa upande wangu Prof J na Heche ndiyo wabunge wangu Bora kwa kipindi hiki Cha 2015/20

  • @abelmirwatu544
    @abelmirwatu544 4 роки тому +26

    Wasafiii hongereni sanaa kipindi bomba mno mno sanaaa.

    • @mursalseleman2174
      @mursalseleman2174 4 роки тому

      Ni sahih kabisa heche kujisifia lakin eneo lao la mkoa wa mara kijiografia ni mahali ambapo mvua haikatiki mwaka mzima inanyesha januar mpka januari miaka yote ukifika tarime na mara yote ni ya kijani hawana kiangazi wao kila siku wana lima hawana msimu. Ukiwa mwananch wa mara ukalia njaa labda utakua huwez kufanya kazi. Mara kuna kila kitu mi mwenyew wa dom nataman ningekua wa mara shida yao ni ukorofi mtu kuua ni jambo la kawaida tu tena ikifika ile kipindi cha jando ndo balaa

    • @chiefmahucha6847
      @chiefmahucha6847 4 роки тому

      @Change Mindset weee...!
      Zembwela anajua kuhoji Kama BBC na anajua lugha ya usahili balaa...! Lakini pia anajua vema kuzungumza kiswahili Sanifu....

  • @doubledoubleg7212
    @doubledoubleg7212 4 роки тому +4

    Nakukubali mh Heche hadi nawaonea wivu watu wa tarime

  • @premierjoseph9871
    @premierjoseph9871 4 роки тому +15

    Mwamba John heche Noma Sana Mura Mungu akutunze katika Hekima na Maarifa yote Nimekuelewa Sana

  • @geographyteacher.2961
    @geographyteacher.2961 4 роки тому +4

    Zembela upo very technical kwenye maswali asee duh!

  • @benedictoshadrack2573
    @benedictoshadrack2573 4 роки тому +1

    Heche uko vzr mh Mungu akubariki sana na akupe maisha marefu binafisi huwa ninakuelewa sana

  • @josephshuma1975
    @josephshuma1975 4 роки тому +5

    Safi sana heche tunaku supports sanaaa bigup sanaa

  • @iammusic3404
    @iammusic3404 4 роки тому +8

    Such a classic interview!👌🔥🔥🔥😍

  • @japhetkavishe2347
    @japhetkavishe2347 4 роки тому +15

    Bavicha ya heche ilikua moto sana nakumbuka

  • @stevenjames3722
    @stevenjames3722 4 роки тому +1

    Uko vizuri, umetulia sana katika kujibu maswali siyo hivyo tu hata katika utendaji kazi wako uko vizuri.

  • @simionmagson6885
    @simionmagson6885 4 роки тому +33

    Kama unamkubali Mh john suguta heche gonga like nyingi twende kazi,

  • @nunguseni2971
    @nunguseni2971 4 роки тому +8

    Heche is so creative human

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 4 роки тому +3

    MH. John Heche Tunakukubali sana, Yaani tuna kukubali wananchi wako kwa 100%. Tarime hakuna mwingine

    • @jeitangogo5626
      @jeitangogo5626 4 роки тому

      mh heche kwenye kapen uje ututembelee kwetu makambako

  • @ndarogamba191
    @ndarogamba191 4 роки тому +6

    Hongera sana Mh.Heche...Nakuombea urudi iwe mvua au Jua...!
    Mashangaa Maccm hayajafika hapa na matusi/dharau zao💪💪💪👏

  • @masuaugustine7503
    @masuaugustine7503 4 роки тому +6

    Yupo vzuri sana uyo mwamba mungu ampe uzima wa mlele ccm wanamtambua vema

  • @hechechacha4032
    @hechechacha4032 4 роки тому +8

    Hakuna historia iliyo kawaida kila jambo ni kujituma

  • @RichardStephen-xc7yc
    @RichardStephen-xc7yc Рік тому

    Huyu ni hazina kubwa Sana Kwa Chadema ana msimamo si wakuyumba yumba,Mungu amsaidie afike mbali

  • @philimonndinadyo2120
    @philimonndinadyo2120 4 роки тому +20

    Unasema Magufuri ndio kaleta mbunge lakini heche anasema halmashauri ndiyo imefanya Nani mkweli bila Shaka mbunge Ndiye mkweli

    • @macmassau1994
      @macmassau1994 4 роки тому +1

      Serikali haijapeleka maendeleo jimboni Tarime vijijini ni usimamizi mzuri wa viongozi walioko madarakani kwa kile kipato cha ndani

    • @jamesthomas390jj
      @jamesthomas390jj 4 роки тому

      @@macmassau1994 sasa mbona kipindi anamlaumu yule Mbunge anajiita Bwege mlilalamika. Tunataka watendaji kama Heche

  • @gavanashy3197
    @gavanashy3197 4 роки тому +3

    Big up kamanda heche...uko timamu

  • @annelyimo6065
    @annelyimo6065 4 роки тому +1

    Heche nikiongozi shupavu tunampenda sana✌✌✌

  • @ramadhanilianje4048
    @ramadhanilianje4048 4 роки тому +5

    Unaweza ukawa kijana ukawa hopeless na unaweza ukawa mzee ukawa hopeless

  • @mjukuuwakaswaga1808
    @mjukuuwakaswaga1808 4 роки тому +14

    God bless John Henche

  • @marwalzzy5983
    @marwalzzy5983 4 роки тому +41

    Kama we we ni Wa tarime vijijini gonga like

  • @thomashudson1083
    @thomashudson1083 4 роки тому +4

    Namuelewaga sana huyu mbunge wangu.

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo7001 4 роки тому +12

    Huyu mbunge apiganiwe arudi bungeni
    Mimi c wa chama Chao Ila huyu jamaa anafaa
    Mtu makini sanaaa
    Nimemsikia vzuri
    Hongera sanaaa

  • @witneskilinda5034
    @witneskilinda5034 4 роки тому +34

    CHADEMA naikubali, Heche nakukubali

  • @edwrdpaulo4483
    @edwrdpaulo4483 4 роки тому +3

    Sana kamand uko vzr

  • @benjatz1705
    @benjatz1705 4 роки тому +3

    Tunamkubal Sana heche ndo kila kitu kwetu ukija tarime kumbuka kuvaa barakoa

    • @hamismwangi4642
      @hamismwangi4642 4 роки тому

      Haya mahojiano yalifanyika kabla ya corona

  • @kinglabanziku9100
    @kinglabanziku9100 4 роки тому +2

    Chadema juu

  • @francisg2033
    @francisg2033 4 роки тому +20

    Rusheni hiki kipindi kwenye Tv.

    • @festondilla3542
      @festondilla3542 4 роки тому

      Nakulewa Sana achana nao wanapo Hama chama ndio waona kasolo watufanya watanzania Kama hatujuwi

  • @husseinbinde9421
    @husseinbinde9421 4 роки тому +4

    Wasafi aiseeeeeee.........

  • @immamlowe7151
    @immamlowe7151 4 роки тому +1

    Mimi ni mtanzania sipendi mashindano nchi majirani. Rais wa kenya na tanzania wamalize

  • @josephshuma1975
    @josephshuma1975 4 роки тому +1

    Heche ni kingozi makini sana big up sanaa

  • @ndeletwaswai3530
    @ndeletwaswai3530 3 роки тому

    Heche nakupenda mpk naumwa jamani nawaonea wivu Tarime daa mna mwanaume wa maana mpk namtamani woyoooo,vivaa Chadema

  • @kennethmahenge7719
    @kennethmahenge7719 4 роки тому +8

    i always appreciate this man......✌✌

  • @lellomwacha9531
    @lellomwacha9531 4 роки тому +2

    Mungu akubariki mku

  • @jackmabirangacharles9398
    @jackmabirangacharles9398 4 роки тому +2

    Nimependa sana kipindi chenu

  • @angasoketch8063
    @angasoketch8063 4 роки тому +4

    Daah huyu jamaa hakuna kama yeye tarime na hatuwezi kumuacha heche ndiye mbunge wetu daima

  • @aceotz2579
    @aceotz2579 4 роки тому +13

    Mlisha-sanitize kabla ya kuanza interview jmn😗😗😗😩😩😩

  • @MamaSean07
    @MamaSean07 4 роки тому +2

    Awww ! Ukore bhuya mura weito ❤❤

  • @onyangodominick2898
    @onyangodominick2898 4 роки тому +2

    Big up

  • @jumajaffary9698
    @jumajaffary9698 4 роки тому +24

    Ni kweli utalii ni kitega uchumi kizuri sana duniani... Tatizo la Tanzania kuhusu utalii bei za package kama All inclusive, yaani flight, transfer kutoka Airport hadi Hotel na chakula na vinywaji.. Ni ghali mno kuliko nchi nyingi duniani.. Kiufupi mtalii kutoka ulaya ni Rahisi kwenda Marekani mara 2 kuliko kwenda mara moja Tanzania.. Ukiangalia huduma na quality ya Marekani iko juu sana.. Au ni rahisi kwenda Morocco, Tunisia hata Egypt ni rahisi kuliko Tanzania... Tunatakiwa wahusika wajipange vizuri.. Bora faida kidogo lakini unauza sana.. Kuliko faida kubwa lakini unauza package chache.

    • @issackchalahani1235
      @issackchalahani1235 4 роки тому

      Tatizo wahusika wamekosa ubunifu ndiomaana tunajikuta tunapata watalii wachache wakati sisi ndio wapili kwa vivutio Duniani.

    • @jumajaffary9698
      @jumajaffary9698 4 роки тому

      @@issackchalahani1235 Bei zetu ni za kukomoa, hatujui mtu kabla haja book holiday anafanya window shopping, wapi rahisi, watalii wengi kutoka hapa wanaenda Portugal, Spain, Morocco, Tunisia, Egypt, Mexico, Miami na kadhalika.. Mimi mwenyewe Natamani kuja Bongo lakini ukiangalia Bei unakata tamaa.

    • @mkalimala3564
      @mkalimala3564 4 роки тому

      Hakuna watu wana hela.....wewe ndo huna mbn wanakuja na kurudia rudia....

    • @freddymdassa
      @freddymdassa 4 роки тому +2

      Shida ya wabongo ni dhana yakwamba ulaya mahela yapo njenje.
      Kwakweli fedha ulaya ni ngumu kuliko bongo.
      Ukimuona mtalii kaja ujue kadunduliza kwa zaidi ya miaka mitatu kupata hiyo fedha yakuja Africa.
      Tuwe wafanya biashara tuache uchuuzi!
      Hayo mabei ya tamaa yanadidimiza uchumi wa nchi yetu.

    • @jumajaffary9698
      @jumajaffary9698 4 роки тому

      @@mkalimala3564 Nafikiri tunaongea lugha tofauti... Kuuza package 100 sio sawa na kuuza package 1,000..Biashara ni somo

  • @emmanuelobwago7695
    @emmanuelobwago7695 3 роки тому

    Mungu akubariki sana kaka yang heche unatujenga kifikra pia unatetea sana wanainchi hongera sana🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @kamalissabig2429
    @kamalissabig2429 4 роки тому +7

    M4C Chadema for Life

  • @Babangida_Hd
    @Babangida_Hd 4 роки тому +3

    Wasafi mnafanya kaz nzur sana.

  • @katusmanumbu2311
    @katusmanumbu2311 4 роки тому +1

    Mh Heche nakuelewa sana! Ww ni jembe letu Tarime!

  • @emmanuelngongomi7869
    @emmanuelngongomi7869 4 роки тому +3

    Huyu jamaa namuelewaga sana aisee well done heche nakumbuka uliwah kuwaruhusu watu wa tarime kuchimba dhahabu kwa muwekezaji aliezingua😆😆😆😆

  • @rajabomar6236
    @rajabomar6236 4 роки тому +1

    Heche mmoja ni sawa na waupande ule 10

  • @nelsonkyaruzi1482
    @nelsonkyaruzi1482 4 роки тому +2

    Well presented

  • @khamisjuma5046
    @khamisjuma5046 4 роки тому +2

    Good my.brothe nice job

  • @vickyshoo1812
    @vickyshoo1812 4 роки тому

    Mungu akutunze na kukutetea pamoja na fitina na magumu mnayopitia urudi mjengoni

  • @joeljackson9983
    @joeljackson9983 4 роки тому +4

    Hongereni Sana wasafi nimesubscribe Leo channel yenu kwa uhuru wenu wa habari wakutoegemea upande. Si burudani siasa au Mambo mengine big up

  • @bonifasbonara9323
    @bonifasbonara9323 4 роки тому +7

    Heche jembe letu sioo lijuaalikali ccm

  • @lusekelorichard2787
    @lusekelorichard2787 4 роки тому

    Hongera sana kwa kipindi kizuri, kiukweli mnakuja vizuri sana.
    Ningependa kushauri, tuko kwenye janga kubwa sana la Virus COVID-19. Ningeomba taadhali iwe hata katika hayo maojiano yenu, isitoshe tu kusainitaze peke yake bali hata mask zingevaliwa hapo ingependeza zaidi.

  • @richardsaidi2448
    @richardsaidi2448 2 роки тому

    Hii interview iko good

  • @sethwilson4346
    @sethwilson4346 Рік тому

    Heche ni Bright sana jamani

  • @marryabdallah3336
    @marryabdallah3336 4 роки тому

    Zembwela kazi nzuri xn mnayoifanya

  • @dnaofgodtv4873
    @dnaofgodtv4873 4 роки тому +6

    Chadema chama kizuri, wawakilishi pia wazuri!

  • @Byondorujulika17
    @Byondorujulika17 4 роки тому +1

    Mheshimiwa Heshe, mimi ni Mukongo ila huwa na kufagilia sana, wewe ni chuma cha reli.

  • @fadhilrajabu4035
    @fadhilrajabu4035 4 роки тому +9

    Kila mbuge was chadema nikichwa aisee

    • @jamesthomas390jj
      @jamesthomas390jj 4 роки тому

      Mbowe amefanya nini kule Hai? Heche ni kichwa mzee, sio kila mbunge wa chadema ni kichwa wewe

  • @emmanuelnimbasa1754
    @emmanuelnimbasa1754 4 роки тому

    Sawa kamanda Heche! Mungu akubariki.

  • @emmanuelgabagendi3169
    @emmanuelgabagendi3169 4 роки тому +1

    Saf sana brother heche

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada 4 роки тому +1

    like nyingi kwa heche

  • @sylvestermagesa5697
    @sylvestermagesa5697 4 роки тому +2

    Huyu jamaa ni mwamba namkubali sana

  • @issackchalahani1235
    @issackchalahani1235 4 роки тому +8

    Mhe, John Heche wewe ni China cha Pua aisee! Jehovah awe na nyote katika Chama.

    • @mursalseleman2174
      @mursalseleman2174 4 роки тому

      Naibu waziri wa tamisemi waitara ametangaza nia ya kwenda kugombea kweny jimbo la heche kupitia ccm wote watoto wa mara 😂 bila shaka patachimbika

  • @costansiakimaro8980
    @costansiakimaro8980 4 роки тому

    Jamani rushen hikikipindi kwenye TV ilituone watanzania word mungu awabariki sana

  • @chichasam9032
    @chichasam9032 4 роки тому +3

    Jembeee hiliiii

  • @charlesmassawe4119
    @charlesmassawe4119 4 роки тому +4

    Personally John Heche, ni kati ya wabungo wanaoni inspire sana, jamaa yuko smart bana hata kama upande wa pili hawataki kukubali, ukweli utabaki kuwa kweli. Wasafi TV big up for a nice interview, God bless you.

    • @daudcharles8732
      @daudcharles8732 4 роки тому

      Weewe toka hapoe ulipoe hicho sio chama no saccosr

    • @vickyshoo1812
      @vickyshoo1812 4 роки тому

      @@daudcharles8732 fible minded

  • @jacksonlema7244
    @jacksonlema7244 4 роки тому

    Nimependa nimeona vitu tofauti katika mahojiano nimependa muda alio pewa asante .

  • @somchamwita8502
    @somchamwita8502 4 роки тому +1

    Uko vizuri kaka heche

  • @aliebrahim9423
    @aliebrahim9423 4 роки тому

    Safi kiongozi,usiache kuendeleza majukumu.

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 4 роки тому +2

    So talented ase😁😁

  • @mikapaul9457
    @mikapaul9457 4 роки тому

    Waga nakukubali sana mungu akusaidie tena

  • @smootkizy_jr
    @smootkizy_jr 4 роки тому +3

    Yupo vizuri huyo mkurya bana wakuryaaaaaaaa hoyeeeereeeeeeeeee.kama we mkurya gonga like hapo 👍👍👍

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 роки тому

    Pole kwa kupata kura 0 2025 utapata ukijiunga na ccm

  • @fazeelshomary2704
    @fazeelshomary2704 4 роки тому +1

    Good Idea Wasafi

  • @superbosskijanamrmkinga517
    @superbosskijanamrmkinga517 4 роки тому +1

    Super man💪💪💪💪💪💪🔥🔥🔥🔥🔥💥

  • @rashidlengesela2880
    @rashidlengesela2880 4 роки тому +3

    Aisee, huyu jamaa angekuwa chama sahihi nahisi Jimbo lake lingekuepo mbali Sana, yupo tofaut Sana na wakina mdee na akina sugu apo yamekuwa matusi na kejeri za ovyo ovyo

    • @macmassau1994
      @macmassau1994 4 роки тому

      Chama sahihi ni hapo alipo kwani maendeleo hayaletwi na chama ila watu makini,hicho chama sahihi kina makumi ya miaka lakini kuna sehem nyingi bado wana shida ya maji hospitali shule barabara ba mengineyo

  • @shabankawambwa4397
    @shabankawambwa4397 4 роки тому

    Yuko vizuri

  • @kelvinmbafu9413
    @kelvinmbafu9413 4 роки тому +6

    Wasafi mna akili sana, hiki kipindi nimekipenda sanaaaaaaaa

  • @tgeofrey
    @tgeofrey 4 роки тому +1

    Nyerere Anaijua Benders ya chuo Kira zimalindwa na vvibibi na Mapanga..