"Unapotangaza mtu aje Polisi saa 5, wewe ni nani?" - MBOWE
Вставка
- Опубліковано 9 лют 2017
- Kwa mara ya kwanza toka Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe kutajwa kwenye sakata la dawa za kulevya kwenye orodha ya watu 65 ya Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda, leo ameongea akiwa Dodoma.
mpk naskia raha mbowe anavyoiishi sheria upo vizuri sana mkuu na your there for the people!!
Exactly as are really good leadership.
we need ten more people like you
Domina Cosmo watu hatujui sheria tunakurupuka, hta kama anhusika hajbisha ila sheria zifuatwe. Me nimemuelewa.
we need a guy like him..salute..
anajielewa.
asanteh sana bwana mkubwa mbowe wajinga watakupinga wenye akili watakuunga mkono
well said Mh Mbowe
daniel romario haswaaaa
daniel romario hilo nalo neno..
safi sana ndugu
santeh ndugu
sawasawa
kwa MTU muelewa atakua kamuelewa vizur mkuuuu
peter sanga kila mtu ana uelewa tofauti...
peter sanga kunavichwa maji hawaelewagi
peter sanga diamond
Anod Njenje baba nmekuelewa sana
safiiii mbowe mwambie huyoooo dogo hajielewiiii kabisa.
Yaani Muziki ndo unaanza. Acha maneno weka muziki
Mwaka huu!!!sijui
Tangu mwaka 2003 nilpokufahamu, nilkupendezwa na hoja na msimamo wako nikajikuta ninakufollow, mpaka mwaka 2007 nilpokufanya my role model officially, ndivo nitafanya katika maisha yangu yaliyobaki sababu hata ungebadilika vip bado mengi nilojifunza kutoka kwako yamenifanya kuwa hivi; mwananchi muwajibikaji, shujaa, mpenda haki na nchi yangu kwa ujumla. real appreciate u Mh. Mbowe!
Hakika wewe ni hazina kwa taifa hili hususan katika kipindi hichi cha transformation into Industrialized country, wanaokubeza acha wafanye hivo ila haitopunguza trust za wengi kwako.
Mungu akupe maisha marefu na ubunifu zaidi.
MBOWE YOUR GREAT MAN
Duh,ukijua sheria raha xaana,"nmeamin mwanaume htishiwi nyau" maana pamoja na misukosuko yoote bado Rais anatajwa kua...!!!?? Nmekuelewa Mbowe
CASTROL EZEKIEL k
CASTROL EZEKIEL unakumbuka Manji na Gwajima walivyojitamba ???? unadhan kuna mtu anajua sheria ka Tundu Lissu mbona anaenda na kurudi?? hayo ni maneno tu hata wanasheria wa Manji walibak central jana wameshangaa wakti wenzao wanapandishwa gari...
Thomas Malauri haijarishi mbowe sheria hanaijua na ndio ni raha kujua sheria za nchi so taratibu zikifuatwa za kumuita ndio hatakuja lakini sio kinyonge kama wengine walivyo jipeleka....hata kama wakija kumchukua kimabavu teyari kishaonyesha uwanaume....pia kafungua wengi kua serikali tawala haifuati sheria.....na hakuna asiye pinga madawa ya kulevya.
Absolutely
yani inauma sana kubebeshwa mzigo usiyo kuhusu makonda kabeba zigo la misumali kichwani
mbowe maashaallah nimeipenda spich wako wewe kiboko sulut mkuu
Safi sana Tanzania watu wanapelekwa pelekwa tu atleast u can stand for the rest
mbowe oyeeeeee oyeeeeee
mh mbowe Mara nyingi huwa simuelew lakin kwa hili nimemwelewa sana. simama imara baba mbowe ✌✌✌✌✌✌✌👏👏👏👏
Mbowe uwaga umuelewi kapimwe akili
P1
. Safiiiiii kamanda.... Huyo kajipalia makaa ya moto na atajuta Sanaa
Kiongoz wangu nakuelewa sana, onyesha njia, tupo nyuma yako
Kweli imechukuwa Muda mrefu kulichukulia hatua hili na waadhirika ni wengi
Happy Braysoni kweli
Happy Braysoni kama dhana ni kuwa kiongozi basi wote wanaongoza watu wakiambiwa wanawachafua wanaowaongoza au
Millard please ongea na TCRA mtu wetu wa nguvu wasikufungie huku ndo tunapata mambo mazuri
ONE DAY WE WILL UNDERSTAND THE TRUTH LETS BE PATIENT
ukijua sheria bwana raha sana yani Big up Mbowe
thank u mbowe,, that's why I love law,, cz it makes me aware of my rights
wazo la makonda ni zuri lakini approaching yake sio nzuri. unapoongelea madawa ya kulevya inaleta picha mmbaya kwenye fikra za mwanadamu ndani ya jamii, Kuna watu walikuwa na mapenzi na nchi yao lakini kuharibu jina la mtu anaeaminika na watu mia nyuma makonda lazima aelewe anakosea. mtu anayauza mkamate na kete zake mpeleke mahakamani sio kusikia maneno watu wanamtajia tuu majina anaandika hata spelling zenyewe anakosea. well said Mr mbowe I myself support you completely
Mbowe your the man mfunguliye mashtaka huyo makonda no one has to be above the law
mh mbowe umeongea hizulisaana
Mbowe Umetisha Mkuu😂😂😂😂😂😂
Umenikumbusha mbali sana Mh. Mbowe. You are really a leader...
wallah laadhm nakuwa very interested ninapopata updates za nchi yangu niko mbal lkn millad unanifany kam niko tz hongera sana kak mwenyezmung azid kukulinda uzid kutuhabarisha kuhus nchi yetu shukran
Jaman mbn maneno meng
uxjl na mim itakuwa nakupa habar
+Hassani Hussein Ha ha ha acha ni cheke mie
افلح السريرس umeonaee
gombea urais 2020 utusaidie mh mbowe ...big up sana ni kiongozi ambaye una vision na siyoni mwingine wa kukukaribia,,,,hongera sana mbowe
Safi sana! At last sheria zinaanza kutumika huko ziliko andikwa! Ndugu waheshimiwa naomba kujua sheria inayolinda "REPUTATION" ya watoto wetu na vijana wetu ambao wamekuwa mateja! au mashoja au wana VVU kwa kutumia madawa ya kulevya aka mihadarati! na sisi wazazi wao ambao majina yetu yameharibiwa na heshima zetu kushuka katika jamii kwa kigezo cha kushindwa kulea watoto wetu hadi wamekuwa mateja! au mashoga au wana virusi vya ukimwi kwa kuchangia mabomba ya kujidunga madawa! Wakati sasa umefika nataka kufungua mashtaka ya "DEFORMATION" kwa wauza unga lakini sijui "PROCEDURE" nisije kosea katika kuitafuta haki!
safi sana ...nchi hii imekosa adabu... muulize mjumbe wako wa shina ataweza kukusaidia kidogo kuhusu procedure...
Herieth B. Chanafi great point about kufungua mashitaka! I would advise uende kumuona mwanasheria binafsi au hata ustawi wa jamii kama una evidence kua kijana wako ni mwathirika. Kwanini nimesema ustawi wa jamii? It's because wanatakiwa kushughulikia social welfare (hili neno sijui ni nini kwa Kiswahili) ya wananchi!
Social welfare kwa kiswahili ni Ustawi wa jamii
Herieth B. Chanafi nguvu tutapata wapi na sisi ni vijana ambao status zetu ni poor unafikr tutafka mahali kudai haki au tutazimwa kama mshumaa
Herieth B. Chanafi 👏👏👏nice sister
Mkuu wa mkoa atamuulizaje maswali mbunge!?!Nakatiba yenyewe haimuruhusu.Ngoja jumatatu kibao kimgeukiye yeye atakapo funguliwa mastaka yakumchafuliya sifa Mbowe
Mullermba Chusa who is mbunge asiulizwe yeye nani basi nikweli wancho k8fanya na ndiyo shuhuri zao mbowe si yupo dar bado yupo chini ya makonda tu ubunge wake bungeni kila mtu anasehem yake ya kazi rc ndiye anae paswa kujuwa hali ya u salama ndani ya mkoa wake na mienendo ya watu wake ndani ya mkoa aende zake uko huyo mbowe aende police
Mullermba Chusa patam haap0
not
Mlash Chusa makonda Kanyea chupi ya Mtoto wazazi Waja just. ....kimeiva kwako makonda utajibeba kama sio kukimbia nchi
Mlash Chusa juzi manji alifoka jana akaja kulala Aya endeleeni kumsema Makonda ila huyo mbowe hizo sifa zake hazina faida 💃💃
Mh! shukran san #Ayo tv kwa tarifa. ......👏👏👏
Asante Mbowe, lazima umpeleke Makonda mahakamani. Kasahao uheshima.
limekua jambo la busara mh Mbowe kutoa maelezo hayo maana nilisikitishwa na kauli ya bwana yule akituzalilisha wananchi wa jimbo la HAI kuwa kiongoz wetu ni muuza unga;Uongoz ni hekima siyo masifa na unafik
LOVE IS MAN SO TRUE
That's great facts, Mr Mbowe!
unajisumbua tu cha msingi fika kituoni katoe maelezo, acha maneno mengi kiongozi itikia wito, ufanyiwe uchunguzi basi.
Dvjtwentyfive December afike tu kujieleza ni kwa sirro sio hapa
Hassanova junior ww umefanyiwa uchuzi
#Dvjtwentyfive December 😂😂😂😂😂
Dvjtwentyfive December hunaakili
Dvjtwentyfive December kuma nyoko,aende police bili samasi????
Asante Baba....Who a you to point people wanauza madawa ya Kulevya ..... Waonea hao hawajui sheria
tunapoangalia muvii kuona vitu flan huhu Leo yanatokea Tz yaan maisha yamekua kama muvi yaan, things are getting interesting wallah , hya let wait & see
DAH IMENIUMA SANAA....!!!!!!!!!! POLE SANA MH MBOWE NAKUELEWA SANAAA
safi mbowe ndio maana huwa nakukubali sana unajielewa sana we mzee
kumbe ushirikiano utatoa......safi sana. punguza hasira baba
duuuuuu......picha limenoga
Asante kwa kufunguka vizuri sana mm nimekuekewa big up
Can't wait for next episode... need to get some popcorn too
Hatutoi Kiki Kiboya boya tyu....Congrats Uncle #mbowe #freeman na jina lako lenyewe ni Freeman....alafu no Buddy is above the law...umeongea jambo
Mh mbowe hongera sana mungu akulinde
Yani uyu Mbowe pekeake ndio amefanya maamuzi Bora kuliko wote
Yeah.
Najivunia Kuwa Mwana Chadema, Tuna Viongozi Wana Akili Sana
Asante Kamanda Mbowe thx Kaka tena
kwakuongea point unatisha mzeee big up tusikubali kukaliwa kizembe 😁😁😁
wacha sheria iongee R.I.P makonda you messed up big time 😎 madawa ya kulevya na sifa wap na wap?
Nellxo xoxo hahahaaa
Mheshimiwa upo sahihi kabisa jamaa anaharibu ushahidi.
Mbowe leo umeongea kibaba.....Yan Makonda akiona haka kavideo lazima moyo umdunde kwanza maana hata aliyoongea Manji sio makali hivi...Shikamoo baba mbowe
Julius URONU hahaha haha mm ngoja nicheke
Ww ni baba sisi wanao tuonyeshe njia salama ili hali tuwe na uhuru katika nchi yetu
vimba baba nimekuelewa kiundan sana.... MAKONDA kafanya kosa kubwa BINAF... hatakama tunataka liishe hili JANGA ila kiukweli kafanya makosa twendeni nyuma twende.mbele... kama utakuwa umemuelewa MBOWE kwenye mada za mwisho mwisho kabisa.... utakuwa wee sio waanchi hii yakibongo utakuwa umetembea tembea nje.
kwani kasema unadeal na madawa ya kulevya??? hebu nenda central, hapo sio central 💃💃💃
Tika Nyalusi unaakili wewe
Tika Nyalusi sikiliza anachokiongea acha kushabikia ujinga
Nimesikia,nimeelewa ndo maana nime comment alafu reflect alichosema Makonda upo....
#Tika Nyalusi 😀😀😀😀
Tika ndo wale wale wasiolewaga mwalimu wako alipata shida kukufundisha
ukijua sheria hautaendeshwa big up mbowe
Mh Mbowe your really genuine
Mh! shukran san #Ayo tv kwa tarifa. ......
Your updates are really good young man. Do something about repeating the same advert.
jah bless Ayo, nakukubali kinomaaaa anii now najua movie inavyoenda
Makonda alipokua mkuu wa wilaya nilikua namkubali sana hata baada ya kupewa ukuu wa mkoa siku zile za mwanzo mwanzo. Ila kwa hii ishu ya madawa ya kulevya hapo amechemsha sana, kama mkuu wa mkoa hana madaraka ya kuwaita watu kwa style hiyo kwa kuhisi tu au kusikia kwamba fulani anawezekana anatumia au anauza. hilo pekee ni kosa. Mbowe anaifahamu sana sheria na hata kwa wale vichwa maji watakua ameelewa ni jinsi gani Makonda amechemsha!
Thanx for good logic
jmn nilikuwa nina ham ya kukuckia mbowe kuhus hii inshu nimehuzunika kuckia umetajwa ktk orodha hiyo coz ww ni kiongoz wangu ninaependa kukufuatilia sana hasa ukiwa bungen
umesikitika kutajwa Mbowe...basi hata baba yako kama anahusika atatajwa tu... movie ndio kwanza mbichi....tetetetete!
unapenda vijana waangamie eh 💃💃💃
msenge leonila
+Leonila didas ha ha ha umemsahau mke wake atajwe tu
افلح السريرس mmm
saafi sana mbowe huyo jamaa anyoshwee kinidhamu maana bado mchanga sana na anajikuta yupo juu ya sheria ili aonekane mwema
no body is above the law.... tanzania is democratic country... mbowe nimekuelewa kabisa hata bila elimu ya darasani
Ndo maana tukakupa jimbo la hai mh mbowe,busara zako ndo zimekufikisha hapa!!wewe ni jasiri sana na unasimamia unachokiamn daima!!sheria zifatwe!!siyo ukurupukaji tu #nodrugs
For The First Time, Nimekuelewa Sana Mheshimiwa, Umeongea FACTS ✌🏽
athanas elisha !! usijukuwe hilijambo lamadawa yakulevi ni jambo lamcheo, hata makonde anahatarisha maisha yake, utaratibu uko wakufanyiko kwa siri .from kenya
saaaana saaana
kaongeaaa facts saaana...
mbowe big up mkuu umeongea vizur sana
WELL SAID ..I'VE EVER HEAR ✔✔
mnampamba mbowe ataweza?au anataka Kes zake ziongezeke maana wakimpa mamlaka mbowe wamekaribisha matusi nchini dhidi ya viongozi wetu
Wewe ungeapa tu kwa mola wako kwamba hukuwahi kuhusika wala kujihusisha na madawa ndio kidogo tungekuwa na wasiwasi kwamba huenda uhusiki, lkn kusema tu hivyo wala sio sababu ya kusema huna connection hiyo.
Big up sana mp mwenye akili zakuona mbali
good speech
safi sana, sheria ifuate mkondo wake.
Tuombe kheir na lengo lilokusudiwa likiwa ni zuri lifanikiwe na watu wasigombane warekebishane tukae chini pamoja tujenge maadili yetu mana hayo madawa yameshaimaliza jamii..
Bravo Chairman
True said sir... MP Mbowe..The Rc needs leadership training...and to be impeached now n sue him for defamation standard...Magufuli needs another mkuu WA mkoa na Makonda awe ana deal na madawa ya kulevya with the police tu....Period.. And while at it ...he can go get a law degree ...CAPISH
kiukweli mbowe umeongea sahihi kabisa huyu konda amewakosea sana
amewakosea sanaaaa manda uwe hatabu utasama tanzania imekuwa yake
aisee brother man unalo.. watu wame mind
Mbowe kitaeleweka ukishahojiwa huko ndani!!!!we are watching the movie.
huyu jamaa anajua kujieleza balaa ukifanya yako hujajipanga anakuumbua. and he is smart na mwerevu
mboye noma mungu atutoe kwenye uungu huo wa ccm
we need more leaders like you mbowe
Ahsante kwa busara zao Freeman mbowe
mbowe iyo sio kificho kwani watanzania wanaelewa kuhusu wewe
jacqueline mabula
kuhusu ww wanaelewa nn
jacqueline mabula unaelewa nini kuhusu yeye? itabidi uisaidie jamuhuri kama unaelewa.
jacqueline mabula unaeza ukaitwa kuulizwa nn unakijua kuhusu yeye na huna ushaidi wowote pimbi ww
Haka ka jacqueline mkasamehe bure maana mimi naona kana ropoko kama kamekula pombe ya machicha nyie kaacheni Central sio mbali
Naomba uende kituoni haraka katoe ushahidi....tena ukichelewa utakumbushwa.
Millard ayo huwezi kufungiwa 2taongea nao 😨😨Zoea Mimi Wewe
Salimatu yahhaya kivip mbon sielew
hahahah😂😂😂 kayakanyaga kw watoto wa mjin xaxa jasho lazma limtoke👊👊👊🙆🙆🙆
I love him... yan uyu baba mungu akueke
Safi sana kwa pamoja mpaka ikulu wenye kuuza madawa ya kulevya anajulikana ni yule aliyemsema kwamba yeye sio makonda ni (Bashite) yeye ndio anayefanya biashara ya madawa ya kulevya cocain hata taarifa hiyo aliwahi kupewa na kuisema Rais mstafu (kikwete).
uko vizuri napenda kaz zako
Asante Mzee
mbowe baba wahambie hukweriii hao ccm natunawasubiri mwaka 2020 tuone uyo magufulii hatakuja na Sera ganiii yanii mwenyezi mungu hatuweke mpaka sikuiyooo yanii mbona wataipendaaa
Kwa kweli mbowe mimi mwenyewe siamini km kweli unajihusisha na madawa ya kulevya lkn kwa sababu umetajwa jina basi subiri taratibu za kisheria ukaripoti kituo cha polisi
kwa kuwa ni mtuhumiwa haimaanishi waweza kumdharilisha, take imagine mtuhumiwa akakosa hatia how will you apology to him? aisee namuunga mkono Makonda kwa vita hii ila c kwa style hii, inajulikana waTZ tunapenda kuckia zaidi kuliko vitendo we are failing
yaani ni uhasama tu WA kuchafua watu kwa hisia zisizo na tija
Hakuna mwenye mkataba na mungu kuwa kesho atakuwepo kujitahidi kuchafua watu kwa kuegemea MATUKIO kumbe mna wana dhamira zao za ndani ni kumkasirisha hata Mungu wetu
mh mbowe usitetereke songa mbele
Hii series si ya mchezo mchezo!!! Makonda he can stand he is strong
Pumbavu.
Ni gud sana mh. sana
Mmh..unayoyasema ni kweli.
love you mbowe.
Well Said Mkuu......