SUGU: "Please Don't Shut Me! Tubishane kwa Hoja na Siyo Bunduki"
Вставка
- Опубліковано 13 жов 2024
- Subscribe / uwazi
Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi, amemshukuru spika wa Bunge, Job Ndugai, kwa kuwahakikishia wabunge wote kuwa kwa sasa wanapohudhuria vikao vya Bunge mjini Dodoma watakuwa salama, halitatokea tukio kama lililomtokea Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, ambaye alipigwa risasi na watu wasiojulikana alipokuwa nyumbani kwake Mjini Dodoma.
Aidha Mh Sugu ameliomba Bunge hilo kuwahakikishia usalama hata wanapokuwa maeneo mengine mbalimbali ya nchi.
"Kwa sababu ni uwazi dunia yote inajua wabunge wote wa upinzani na watu wengine wenye mawazo mbadala hawako salama, sasa hatuwezi kujadili mipango katika mazingira ambayo siyo salama, 'So Please Don't Shut Me', natoa ushauri, mawazo, maoni yangu kwa serikali, tubishane kwa hoja na siyo Bullet.
Subscribe / uwazi1 FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli. .
MH. SUGU KILA AKIONGEA ANAONGEA POINT 💪✊ MUNGU AKUWEKE SANA BRO.
umeona eh. Yaani kihuni kihuni flani lakini full point mwanzo mwisho
benson frank √√√√
Huyu jamaa aliongea point sana na sasa hii speech yake leo ndio inareflect ukweli Big up sugu
Kusoma san sio kwamba utakua muelewa sana 😂 kuna walio jielewa tangu tumboni yani wakishushwa duniani utapenda ......SUGU BABA UPO VIZURI SANA
nimekuelewa Sana sugu Asante kwa kutuwakilisha
Juma Costantine
"Kutofautiana mawazo na mitazamo ni utamaduni wa watu wanaofikiri na walioelimika" Prof. Joseph Mbele
2024 and still the best speech ever
Big up Sugu keep on moving with genuine reasons n fact #BeBlessedEver
Massage delivered mh. Sugu
mbeya city president
much respect president
respect sugu
Asantee baba.
Hahahaha daah aisee Sugu kanifurahisha sana, nothing serious lakini ujumbe umefika. Mwalimu mzuri ni yule anayeburudisha darasa akili haichoki uelewa unakua juu word by word ni rahisi kukumbuka huwezi sahau.Big up Sugu
Dah!We haumo bwana!
Sugu hivohivo wakuelewa atakuelewa mbona musukuma walasaba na anaeleweka
joji georige kwa kweli huynoma
joji georige true
Twende kazi sugu
Nimekukubali mbunge wangu I sarut you
Salehe Yassin ni salute sio sarut...
@@mfedeful hahahahahaha
Kamanda sugu uko vizuri wapasue mimacho imewatoka haamini kama ni ww sugu wachane kaka wanamuogopa sana
waeleweshe maana wanajua c hatujui
Dah Brother you are real Genius
Kweli kabisa yote yanayofunguliwa Leo yalianzishwa Na kikwete
Big up broo
Speach nzuri
Mbilinyi ni fire mungu azidikukulinde
This is the way to send message across 😂😂😂😂😂😂😂
daneil joseph yeah
Barable of seed1🤣🤣
chadema wooote nivichwaaa kwanza niwasomi napoint wanazjua kwahiyo tunajivunia hilo
yo sugu damn you killed it 😀😀😀😀!
kweli sugu umeongea
sugu big up bro your the best member of parliament respect to you up coming president of tanzania
Ongera xana sugu unapoint nzuri xana
Daaah Sugu z still Sugu jamaa kanyooka kama chuma
umekomaa vizuri mkuu
dah ebwana nimeielewa sana hii speech
Mbeya city......up
Nimekuelewa bro,ujumbe umefika hivyo2 hakuna namna.
Respect bro
Mbunge wangu huyu nampenda sana,
2020 bado nacheki
"UNALETA JANGWA,,,.. KARATASI NYIIIINGI""
True say Mr Sugu.
safi sana sugu una akili sana
nimekubali sungu
nakuelewaga sana mheshimiwa sugu.......
Mr ll 2 proud
Binafs nawaomba selikali yangu jimbo la mbeya mjini ligawanywe maana sugu ni muhim sana kurd bungeni
ahaaaa ahaaa anamaliza miti yetu hao mpe makavu bwana sugu
Kweli NDALICHAKO maelezo yake hayakuwa n.a. mantiki. Sigu bwana umenivunja mbavu.n
Sugu ndio mbunge wetu anaekuja kupambana nae kwenye jimbo lake mby city atapunguza wingi wa kura zake tu but ushindi uko palepale.
Salute sugu
Mipango bila taratibu ni VURUGU ucseme co mipango! Nafurahiaga uongeaj wako tu Mh.
Big up
Huyu jamaa Dah
kweli sugu umeongea maana kula MTU siku hz ni kambale kila SKU tunasikia mapya
BP sana mh.sugu tuchape kazi
Sugu fundi sana jamaa
kweli sugu sasa umebadilika unachangia fresh
2024🎉🎉🎉🎉🎉
Akili za huyu mheshimiwa anazijua mwenyewe
point
Sungu.arudi
Mbungen
mjinga mjinga hawez kumuelewa sugu timamu pekee ndoatamuelewa
Evans Lugoya kabisaaaa
Evans Lugoya ..umeonaeeee..
Safi sana MP Sugu!
Hamjibu kwa hoja mnasubiri tukoke nje mtufanyie pyuu pyuu Pyuuuu😂😂😂😂😂😂😂😂
sugu we need you 2020 to be our president
APPRICIATE NYINGI KWAKO SUGU
👍✌️👊.
Mashindwa kwenda Butihama kwa baba wa Taifa, Mtawezaje kwenda Chato
Hahahahaha! mbaazi huk zinaitwa haujaulamba maana hazina bei kabisa yaani ukiomba unapewa bure tu,
ELISHA MWAYA mmmmhhhh
Viva sugu
We miss this 😂😂
Duh kweli wapinzani wa tanzania ni chenga leo unamsifu kikwete ikiwa ndiyo mlikuwa mnamtukana hovyo hovyo azarani
Smart politician
hawa ndo wabunge tunaowahitaji katika bunge letu
huyu mbuge bana kweli msanii anachomekeza ukweli
Suguuuu
good
Huyo ndio sugu moto chini!!
Mh Sugu huwa unazungumza mazuri daima jitihada ya kuzuia radi naziona we jipange kwa yote
Ni dont shoot me sio shut jamani global vp??
Eti anamaliza miti tu, Dah! Ama kweli kazi ipo.
ET unamaliza miti, unaleta jangwa # sugu we noma 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huyu ni Lecture
big up sugu
Fact fact fact sugu
nikweli kabisa
Waambie hao Mr ll
kwa nini watanzania ni wepesi wa kuunga mkono wanasiasa wa mlengo wa kushoto hata kama ataongea visivyo..!!!!? wanunuzi wa kunde na mbaazi walikuwa brazil vs canada na kwasasa wanalima wenyewe tena kuzidi tz..hawanunui tena..sasa..anayepandisha bei ni nani!!!!abilia wote wakinunua magari ya kutembelea mabasi yanakosa wateja..mtaailaum serikali.??wabongo bwana!!!mtamuelewa tu jpm.
Kweli tundu lisu wapo wengi ila tundu lisu yuko bungeni haleluya upinzani roho wa bwana yu juu yenu atawalinda kweli
Salut :#Sugu
hahhahaahhhahaaahaaajjjjjaaajj eti mnaleta jangwaaa,, hahahahaha sugu Nouma
dont shoot not dont shut....be smart
Kundya Rajab Kundya True!.... DON'T SHOOT ME!!!..
Kundya Rajab Kundya 😂😂😂🤣🤣😂🤣
H
Wewe ndo hujuwi, “don’t shut me” usinyamazishe/usinzime. Usikariri kuwa alitaka kusema usiniuwe. English is so diverse shida ni wewe unaekariri badala ya kuelewa.
GC president, , kura yangu haikupotea aisee 🙌🙌
Ujumbe umefika
misifaaaaa
🙌motto chini
nakuonaa
oooh my god
"mnakosa muda wa kutembelea Butiama,mtaenda Chato"?
Quoted.
Big up brother
Wanakuita Suguuuuuuuuuuu..... hatari mzèe
Duuuuuh jakaya kawa wa muhimu kwa wapizani hakika mtu huwezi jua umuhimu wake mpaka atoke
EVOD MAGIDANGA . Rudi shule wewe elimu bure hatakuandika shida
EVOD MAGIDANGA Japo ndie alipeleka majeshi kupindua matokeo ya uchaguzi Zanzibar lakini alifanya mazuri yake
Kweli kabisa Mheshimiwa Sugu uko mkwe kabisa
alikubali kukosolewa ndio maana kasema mwanadiplomasia mzuri
Maelezo mengii.....anamaliza miti tu huyu analeta jangwa
Waambie babaaa
Ahaha karatas nying unaleta jangwa😀😀
Hiv ndivyo namna ya kuongea, no matusi ila SMS sent
Umeona
😂😂😂😂,WAZIRI WA ELIMU KARATASI NYIINGI,SUGUUU
Wananita sugu, mbeya niyako mzee baba
Sugu si kwamba ana praise empty bowls...
Sugu ana praise right because as the matter of fact Mh. Jakaya alipitia misukosuko saana lakini alikuwa humble....
sijui kama you get me right.
sijui!
Mi naomba mpunguze bei ya wali maharage, iwe sahani mbili buku!!
nice ones