SUGU: "Please Don't Shut Me! Tubishane kwa Hoja na Siyo Bunduki"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 13 жов 2024
  • Subscribe / uwazi
    Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi, amemshukuru spika wa Bunge, Job Ndugai, kwa kuwahakikishia wabunge wote kuwa kwa sasa wanapohudhuria vikao vya Bunge mjini Dodoma watakuwa salama, halitatokea tukio kama lililomtokea Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, ambaye alipigwa risasi na watu wasiojulikana alipokuwa nyumbani kwake Mjini Dodoma.
    Aidha Mh Sugu ameliomba Bunge hilo kuwahakikishia usalama hata wanapokuwa maeneo mengine mbalimbali ya nchi.
    "Kwa sababu ni uwazi dunia yote inajua wabunge wote wa upinzani na watu wengine wenye mawazo mbadala hawako salama, sasa hatuwezi kujadili mipango katika mazingira ambayo siyo salama, 'So Please Don't Shut Me', natoa ushauri, mawazo, maoni yangu kwa serikali, tubishane kwa hoja na siyo Bullet.
    Subscribe / uwazi1 FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli. .

КОМЕНТАРІ • 335

  • @bensonfrank643
    @bensonfrank643 7 років тому +80

    MH. SUGU KILA AKIONGEA ANAONGEA POINT 💪✊ MUNGU AKUWEKE SANA BRO.

  • @donboscolunguya2936
    @donboscolunguya2936 Рік тому +3

    Huyu jamaa aliongea point sana na sasa hii speech yake leo ndio inareflect ukweli Big up sugu

  • @antarysuleiman5338
    @antarysuleiman5338 7 років тому +25

    Kusoma san sio kwamba utakua muelewa sana 😂 kuna walio jielewa tangu tumboni yani wakishushwa duniani utapenda ......SUGU BABA UPO VIZURI SANA

  • @jumacostantine8003
    @jumacostantine8003 7 років тому +7

    nimekuelewa Sana sugu Asante kwa kutuwakilisha

  • @lastpage488
    @lastpage488 5 років тому +12

    "Kutofautiana mawazo na mitazamo ni utamaduni wa watu wanaofikiri na walioelimika" Prof. Joseph Mbele

  • @geraldstanslaus6471
    @geraldstanslaus6471 7 місяців тому +2

    2024 and still the best speech ever

  • @mwambirekwamboka9525
    @mwambirekwamboka9525 7 років тому +5

    Big up Sugu keep on moving with genuine reasons n fact #BeBlessedEver

  • @festomeshack8581
    @festomeshack8581 7 років тому +1

    Massage delivered mh. Sugu

  • @emmanuelsilungu446
    @emmanuelsilungu446 7 років тому +23

    mbeya city president
    much respect president

  • @samwellaizarsamwellaizar5839
    @samwellaizarsamwellaizar5839 4 роки тому

    Asantee baba.

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056 7 років тому +26

    Hahahaha daah aisee Sugu kanifurahisha sana, nothing serious lakini ujumbe umefika. Mwalimu mzuri ni yule anayeburudisha darasa akili haichoki uelewa unakua juu word by word ni rahisi kukumbuka huwezi sahau.Big up Sugu

  • @scarletscarlet5363
    @scarletscarlet5363 7 років тому +5

    Nimekukubali mbunge wangu I sarut you

    • @mfedeful
      @mfedeful 7 років тому +1

      Salehe Yassin ni salute sio sarut...

    • @kassimrajabu7805
      @kassimrajabu7805 4 роки тому

      @@mfedeful hahahahahaha

  • @ramambongo4069
    @ramambongo4069 7 років тому +4

    Kamanda sugu uko vizuri wapasue mimacho imewatoka haamini kama ni ww sugu wachane kaka wanamuogopa sana

  • @kitangacharles5818
    @kitangacharles5818 7 років тому +25

    waeleweshe maana wanajua c hatujui

  • @saidinalmsofethatsgoodwaya6454
    @saidinalmsofethatsgoodwaya6454 4 роки тому +1

    Dah Brother you are real Genius

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi 7 років тому +20

    Kweli kabisa yote yanayofunguliwa Leo yalianzishwa Na kikwete

  • @mbarakaathumani3035
    @mbarakaathumani3035 2 роки тому

    Speach nzuri

  • @fauziaharuna6397
    @fauziaharuna6397 4 роки тому

    Mbilinyi ni fire mungu azidikukulinde

  • @danieljoseph6309
    @danieljoseph6309 7 років тому +14

    This is the way to send message across 😂😂😂😂😂😂😂

  • @vicentigiboregibore1007
    @vicentigiboregibore1007 6 років тому +12

    chadema wooote nivichwaaa kwanza niwasomi napoint wanazjua kwahiyo tunajivunia hilo

  • @chapamtukironge2375
    @chapamtukironge2375 7 років тому +7

    yo sugu damn you killed it 😀😀😀😀!

  • @samsonkusupa6809
    @samsonkusupa6809 7 років тому +9

    kweli sugu umeongea

  • @nurunswebe4203
    @nurunswebe4203 4 роки тому

    sugu big up bro your the best member of parliament respect to you up coming president of tanzania

  • @johnnillan3990
    @johnnillan3990 4 роки тому

    Ongera xana sugu unapoint nzuri xana

  • @danielmatya373
    @danielmatya373 Рік тому

    Daaah Sugu z still Sugu jamaa kanyooka kama chuma

  • @petermwanyondo6459
    @petermwanyondo6459 7 років тому +3

    umekomaa vizuri mkuu

  • @amonsanga6209
    @amonsanga6209 7 років тому +7

    dah ebwana nimeielewa sana hii speech

  • @georgembilinyi2824
    @georgembilinyi2824 4 роки тому

    Mbeya city......up

  • @aboubakarkaseko8670
    @aboubakarkaseko8670 7 років тому +5

    Nimekuelewa bro,ujumbe umefika hivyo2 hakuna namna.

  • @bungapaul5221
    @bungapaul5221 4 роки тому +1

    Respect bro

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 4 роки тому

    Mbunge wangu huyu nampenda sana,

  • @victormaimu3748
    @victormaimu3748 4 роки тому +2

    2020 bado nacheki

  • @SHPI156
    @SHPI156 7 років тому +7

    "UNALETA JANGWA,,,.. KARATASI NYIIIINGI""

  • @nasserkomba6231
    @nasserkomba6231 7 років тому +1

    True say Mr Sugu.

  • @mselematiku2318
    @mselematiku2318 7 років тому +9

    safi sana sugu una akili sana

  • @babytee4901
    @babytee4901 6 років тому

    nakuelewaga sana mheshimiwa sugu.......

  • @adsonjoseph8933
    @adsonjoseph8933 3 роки тому

    Mr ll 2 proud

  • @JohnsonBagambi
    @JohnsonBagambi 6 місяців тому

    Binafs nawaomba selikali yangu jimbo la mbeya mjini ligawanywe maana sugu ni muhim sana kurd bungeni

  • @mselematiku2318
    @mselematiku2318 7 років тому

    ahaaaa ahaaa anamaliza miti yetu hao mpe makavu bwana sugu

  • @renaldakamugishazeramulake940
    @renaldakamugishazeramulake940 7 років тому +8

    Kweli NDALICHAKO maelezo yake hayakuwa n.a. mantiki. Sigu bwana umenivunja mbavu.n

  • @lucasabunuas4662
    @lucasabunuas4662 7 років тому +5

    Sugu ndio mbunge wetu anaekuja kupambana nae kwenye jimbo lake mby city atapunguza wingi wa kura zake tu but ushindi uko palepale.

  • @siwemaalphoncy2452
    @siwemaalphoncy2452 4 роки тому

    Salute sugu

  • @samwelimwinyi9327
    @samwelimwinyi9327 7 років тому +1

    Mipango bila taratibu ni VURUGU ucseme co mipango! Nafurahiaga uongeaj wako tu Mh.

  • @e-mzambuli6647
    @e-mzambuli6647 2 роки тому

    Big up

  • @shabbymakapane3212
    @shabbymakapane3212 7 років тому +3

    Huyu jamaa Dah

  • @samsonkusupa6809
    @samsonkusupa6809 7 років тому +9

    kweli sugu umeongea maana kula MTU siku hz ni kambale kila SKU tunasikia mapya

  • @MrHouse-d8b
    @MrHouse-d8b 10 місяців тому

    Sugu fundi sana jamaa

  • @furahajonas839
    @furahajonas839 7 років тому

    kweli sugu sasa umebadilika unachangia fresh

  • @HelakridiWella
    @HelakridiWella 5 місяців тому

    2024🎉🎉🎉🎉🎉

  • @rosemarysempombe8559
    @rosemarysempombe8559 7 років тому +7

    Akili za huyu mheshimiwa anazijua mwenyewe

  • @mbumbulicomedians3286
    @mbumbulicomedians3286 7 років тому +1

    point

  • @AlexHekela
    @AlexHekela 11 місяців тому

    Sungu.arudi
    Mbungen

  • @evanslugoya1232
    @evanslugoya1232 7 років тому +46

    mjinga mjinga hawez kumuelewa sugu timamu pekee ndoatamuelewa

  • @abhambomihambo6754
    @abhambomihambo6754 5 років тому

    Safi sana MP Sugu!

  • @henrygwalema8508
    @henrygwalema8508 7 років тому +1

    Hamjibu kwa hoja mnasubiri tukoke nje mtufanyie pyuu pyuu Pyuuuu😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @athumaniomary1245
    @athumaniomary1245 5 років тому +2

    sugu we need you 2020 to be our president

  • @fredrickmsomba4123
    @fredrickmsomba4123 7 років тому

    APPRICIATE NYINGI KWAKO SUGU

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 7 місяців тому

    👍✌️👊.

  • @mosamossile9113
    @mosamossile9113 4 роки тому +4

    Mashindwa kwenda Butihama kwa baba wa Taifa, Mtawezaje kwenda Chato

  • @elishamwaya4074
    @elishamwaya4074 7 років тому +6

    Hahahahaha! mbaazi huk zinaitwa haujaulamba maana hazina bei kabisa yaani ukiomba unapewa bure tu,

    • @musocar408
      @musocar408 7 років тому

      ELISHA MWAYA mmmmhhhh

  • @husseinseif9856
    @husseinseif9856 7 років тому +1

    Viva sugu

  • @seifmohamedseif9467
    @seifmohamedseif9467 3 роки тому +3

    We miss this 😂😂

  • @fadhilimgohamwelu1891
    @fadhilimgohamwelu1891 7 років тому

    Duh kweli wapinzani wa tanzania ni chenga leo unamsifu kikwete ikiwa ndiyo mlikuwa mnamtukana hovyo hovyo azarani

  • @godblesskyangala3785
    @godblesskyangala3785 7 років тому +1

    Smart politician

  • @paulmalula8714
    @paulmalula8714 7 років тому +2

    hawa ndo wabunge tunaowahitaji katika bunge letu

  • @mbogomagembe6318
    @mbogomagembe6318 7 років тому +5

    huyu mbuge bana kweli msanii anachomekeza ukweli

  • @oscaromary7437
    @oscaromary7437 7 років тому

    good

  • @brownmshan2629
    @brownmshan2629 7 років тому +1

    Huyo ndio sugu moto chini!!

  • @notabenemwakamala7590
    @notabenemwakamala7590 6 років тому

    Mh Sugu huwa unazungumza mazuri daima jitihada ya kuzuia radi naziona we jipange kwa yote

  • @rutashubanyuma4546
    @rutashubanyuma4546 7 років тому +6

    Ni dont shoot me sio shut jamani global vp??

  • @lawrencebundala5769
    @lawrencebundala5769 7 років тому +1

    Eti anamaliza miti tu, Dah! Ama kweli kazi ipo.

  • @hassanmakweto4012
    @hassanmakweto4012 4 роки тому +1

    ET unamaliza miti, unaleta jangwa # sugu we noma 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @daudhenry913
    @daudhenry913 7 років тому +1

    Huyu ni Lecture

  • @christophersypriano7824
    @christophersypriano7824 7 років тому

    big up sugu

  • @vincentmokenye4465
    @vincentmokenye4465 4 роки тому

    Fact fact fact sugu

  • @omalisaidi3245
    @omalisaidi3245 5 років тому

    nikweli kabisa

  • @hamisbennjaphet400
    @hamisbennjaphet400 7 років тому

    Waambie hao Mr ll

    • @isackmwaluko7564
      @isackmwaluko7564 7 років тому

      kwa nini watanzania ni wepesi wa kuunga mkono wanasiasa wa mlengo wa kushoto hata kama ataongea visivyo..!!!!? wanunuzi wa kunde na mbaazi walikuwa brazil vs canada na kwasasa wanalima wenyewe tena kuzidi tz..hawanunui tena..sasa..anayepandisha bei ni nani!!!!abilia wote wakinunua magari ya kutembelea mabasi yanakosa wateja..mtaailaum serikali.??wabongo bwana!!!mtamuelewa tu jpm.

  • @pauloalufayo6145
    @pauloalufayo6145 7 років тому +1

    Kweli tundu lisu wapo wengi ila tundu lisu yuko bungeni haleluya upinzani roho wa bwana yu juu yenu atawalinda kweli

  • @sidemtata2212
    @sidemtata2212 7 років тому +1

    Salut :#Sugu

  • @elishaworkout6116
    @elishaworkout6116 6 років тому

    hahhahaahhhahaaahaaajjjjjaaajj eti mnaleta jangwaaa,, hahahahaha sugu Nouma

  • @kundyarajabkundya9235
    @kundyarajabkundya9235 7 років тому +19

    dont shoot not dont shut....be smart

    • @ericstephenm.844
      @ericstephenm.844 7 років тому

      Kundya Rajab Kundya True!.... DON'T SHOOT ME!!!..

    • @princekasheku8741
      @princekasheku8741 6 років тому

      Kundya Rajab Kundya 😂😂😂🤣🤣😂🤣

    • @wingavangaga1778
      @wingavangaga1778 5 років тому

      H

    • @albertjames6845
      @albertjames6845 Рік тому

      Wewe ndo hujuwi, “don’t shut me” usinyamazishe/usinzime. Usikariri kuwa alitaka kusema usiniuwe. English is so diverse shida ni wewe unaekariri badala ya kuelewa.

  • @kijangapeter5135
    @kijangapeter5135 4 роки тому

    GC president, , kura yangu haikupotea aisee 🙌🙌

  • @joycejohn7754
    @joycejohn7754 7 років тому +6

    Ujumbe umefika

  • @onesmolwambano9349
    @onesmolwambano9349 7 років тому

    misifaaaaa

  • @ericgeorge7405
    @ericgeorge7405 7 років тому

    🙌motto chini

  • @wilbertcharles9129
    @wilbertcharles9129 7 років тому

    nakuonaa

  • @isackpaulo7946
    @isackpaulo7946 7 років тому +1

    oooh my god

  • @ابنعثمن
    @ابنعثمن 2 роки тому

    "mnakosa muda wa kutembelea Butiama,mtaenda Chato"?
    Quoted.

  • @marcusdonald1472
    @marcusdonald1472 7 років тому

    Big up brother

  • @willsonfelician3885
    @willsonfelician3885 7 років тому

    Wanakuita Suguuuuuuuuuuu..... hatari mzèe

  • @evodmagidanga7730
    @evodmagidanga7730 7 років тому +5

    Duuuuuh jakaya kawa wa muhimu kwa wapizani hakika mtu huwezi jua umuhimu wake mpaka atoke

    • @twevebrown2206
      @twevebrown2206 7 років тому +1

      EVOD MAGIDANGA . Rudi shule wewe elimu bure hatakuandika shida

    • @hudhud2022
      @hudhud2022 7 років тому

      EVOD MAGIDANGA Japo ndie alipeleka majeshi kupindua matokeo ya uchaguzi Zanzibar lakini alifanya mazuri yake

    • @hudhud2022
      @hudhud2022 7 років тому

      Kweli kabisa Mheshimiwa Sugu uko mkwe kabisa

    • @seadkolasnic6894
      @seadkolasnic6894 7 років тому

      alikubali kukosolewa ndio maana kasema mwanadiplomasia mzuri

  • @mwakinhosantos6307
    @mwakinhosantos6307 4 роки тому +1

    Maelezo mengii.....anamaliza miti tu huyu analeta jangwa

  • @flaviankiria435
    @flaviankiria435 7 років тому

    Waambie babaaa

  • @marychallo843
    @marychallo843 5 років тому +1

    Ahaha karatas nying unaleta jangwa😀😀

  • @elizabethpondela6482
    @elizabethpondela6482 7 років тому +3

    Hiv ndivyo namna ya kuongea, no matusi ila SMS sent

  • @malcomg1004
    @malcomg1004 2 роки тому

    😂😂😂😂,WAZIRI WA ELIMU KARATASI NYIINGI,SUGUUU

  • @mcjogopah8513
    @mcjogopah8513 4 роки тому

    Wananita sugu, mbeya niyako mzee baba

  • @iviejustified8109
    @iviejustified8109 7 років тому

    Sugu si kwamba ana praise empty bowls...
    Sugu ana praise right because as the matter of fact Mh. Jakaya alipitia misukosuko saana lakini alikuwa humble....
    sijui kama you get me right.
    sijui!

  • @roggersmwangumbe5382
    @roggersmwangumbe5382 7 років тому +1

    Mi naomba mpunguze bei ya wali maharage, iwe sahani mbili buku!!

  • @amirmotors9735
    @amirmotors9735 7 років тому

    nice ones