MJUE LUHAGA MPINA ALIYEGEUKA MSUMARI wa MOTO kwa SERIKALI - MAGUFULI AKAMTEUA AKAACHWA SOLEMBA...

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 жов 2024
  • MJUE LUHAGA MPINA ALIYEGEUKA MSUMARI wa MOTO kwa SERIKALI - MAGUFULI AKAMTEUA AKAACHWA SOLEMBA...
    Katika Bunge lililomalizika hivi karibuni ambalo lilipata fursa ya kujadili kuhusu madudu ya ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG), Mbunge wa Jimbo la Kisesa kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Luhaga Joelson Mpina alikuwa mkali mno akitaka hatua kadha wa kadha zichukuliwa na wale wote wanahusika katika ubadhirifu, ufisadi na wizi wa fedha na mali za umma.
    Mpina alikwenda mbali zaidi akimtaka Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba, Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa wafunguliwe mashataka ya uhujumu uchumi akidai wamefanya ubadhirifu katika mradi wa ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR), roti ya tatu na nne.
    \
    CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
    ========================
    Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

КОМЕНТАРІ • 157

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  10 місяців тому +10

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @onesmomalifedha4709
    @onesmomalifedha4709 10 місяців тому +40

    Kwanini useme anahoji kwakuwa amekosa uwaziri.Hayo niyako sisi tunamtambua kama mzalendo na mpigania ukweli

    • @antonywilliama2868
      @antonywilliama2868 10 місяців тому +1

      yasni haw watu wanaiba halafu wanatuletea hoja dhaifu at ameachwa washenzi sana

    • @alphadreammedia
      @alphadreammedia 10 місяців тому

      Mchonganishi huyu

    • @godlistengodlisten7552
      @godlistengodlisten7552 10 місяців тому +2

      @@alphadreammedia Mchonganishi Wa Nini?Kwa Nini Watanzania Hamtaki Ukweli?Mtakuta Makao Yenu Kule Mbinguni.

    • @sskondopoleani9616
      @sskondopoleani9616 10 місяців тому

      Ndio ni kweli kwa kuwa kakosa uwaziri, unaona kabisa kuwa hata kama hoja zake zina tija lakini zimejaa hasira na chuki, mbona alipokuwa waziri lugha yake ilikuwatofauti na sasa? Wana siasa joho Lao ni kigeugeu, akipata uwaziri leo atabadilika kama kinyonga.

    • @fedealfred5385
      @fedealfred5385 8 місяців тому +1

      ​@@sskondopoleani9616 huyo hajawah kuzingua na kama Kuna sehem alizingua alipokuwa wazir bas ni sheria zetu ziliitaj ivoo😂😂

  • @selemsigala4771
    @selemsigala4771 10 місяців тому +25

    Mzalendo na datazake hazina mashaka Mungu aendelee kukulinda Shujaa wetu👏

  • @francismlembwa2733
    @francismlembwa2733 10 місяців тому +16

    Kiongozi mzr ni yule anayesema ukweli dhidi ya waovu

  • @alluminiumexperttz.12mview13
    @alluminiumexperttz.12mview13 5 місяців тому +11

    Huyu mwamba amechagua njia ngumu sana kisiasa anahitaji maombi. Viongozi kama hawa ni wachache sana

  • @juliusmhelo
    @juliusmhelo 3 місяці тому +9

    Kama tungekuwa na wa bunge 10 tu, kama wewe nchi yetu inge enda mbali sana, Mungu akulinde kila wakati

  • @chadogsichela3528
    @chadogsichela3528 4 місяці тому +10

    Mpina mungu akubariki sana kwakuse ukweli mtupu ujumbe umefika 👍

  • @mlyambisipaul8399
    @mlyambisipaul8399 10 місяців тому +17

    Ndiye tegemeo kwa sasa

  • @ignasmwamwenda3154
    @ignasmwamwenda3154 10 місяців тому +11

    Mzalendo na mpenda haki unatufaa sana, Mungu akulinde.

  • @yusuphchankwa4759
    @yusuphchankwa4759 10 місяців тому +11

    Napenda sana huyu mpina

  • @fadhilikombe3338
    @fadhilikombe3338 10 місяців тому +3

    Lugha Mpina ni kiongozi mzalendo na wala haonyeshi kutofurahishwa na kukosa Teuzi Kwasababu yote anayosema kuhusu Mwigulu na wakina Mbarawa ni kweli na yapo wazi. Mwigulu ni jambazi mkubwa sana wa fedha za umma, tangu siku alipoteuliwa mimi sikuwahi kuwa na imani na fedha za Umma mpaka leo na mpaka aondoke kwenye hiyo Sekta.

  • @GodloveTyoe-fv8or
    @GodloveTyoe-fv8or 3 місяці тому +4

    Ukiona kiongozi katoka kanda ya ziwa jua mmepata chuma

  • @hassaniulende-sp6io
    @hassaniulende-sp6io 10 місяців тому +4

    MWANDISHI INAONESHA BADO RUDI DARASANI TENA ,UNASOMA TAARIFA KAMA CHIZI YANI MTU ASISEME UKWELI ETI ANATOKA CHAMA CHA CCM ,KWANI UKIWA CCM HUTAKIWI KUSEMA UKWELI ? WEWE NA MUHARIRI WAKO WOTE NI MADUNDUKA WATUPU HAMNA KITU KICHWA I ,

  • @deogratiuswambura7597
    @deogratiuswambura7597 10 місяців тому +6

    Mungu akulinde ruaga mpina usiwe kigeu geu kama msukuma ni mfanya biashara katika siasa

  • @reubendofu1760
    @reubendofu1760 10 місяців тому +4

    Naungana na Nasimama na Mheshimiwa Mpina Kwa namna anavoisimamia na kutekeleza Majukumu yake ya kibunge na hii ndo Inatakiwa kbsaa endelea kutusemea wanyonge na endelea Kwa Kasi zaidi tuko pamoja na ww na tunakuombea Saana

  • @tolatinofaustine
    @tolatinofaustine 10 місяців тому +5

    Yuko vizuri hana uchawa

  • @jitihadazacharia8890
    @jitihadazacharia8890 10 місяців тому +6

    Ameamua kuukataa ubunge Ili aseme ukweli

    • @Bikhafija
      @Bikhafija 10 місяців тому +1

      Lkn mpaka Sasa hivi wapo nje lkn wananchi wakawaida Ata sindano tu anafungwa

    • @Bikhafija
      @Bikhafija 10 місяців тому +1

      Sabaha mpaka Sasa yupo jela hawa wenginge mbona hawachukuliwi hatua

    • @anosiata8242
      @anosiata8242 10 місяців тому

      @@Bikhafijasabaya ameshinda kesi sasa hivi Yuko huru.

  • @AsungaSteven
    @AsungaSteven 24 дні тому

    Nchi hii wasukuma ndo wanastahili kuwa viongozi.,......wapo very smart.

  • @EmmanuelNyinyigwa
    @EmmanuelNyinyigwa 10 місяців тому +3

    Nyinyi wa bunge wala msituchanganye kabisa. Alikuwepo bashe aliikalia kooni selikali mwisho wa siku aliteuliwa mpka leo kmyaa? Sasa mpina akipewa uwazili maneno kwisha

    • @Jambo693
      @Jambo693 10 місяців тому

      Kweli kabisa.
      Hawa jamaa hucharuka sana wakiwa hawajateuliwa uwaziri au nafasi yoyote ile serikalini.lakini wakitupiwa fupa kimyaaa wanan'gon'gona hawana habari tena na hao wananchi wanaojidai wanawatetea. Mtaji wa mwanasiasa ni mwananchi asiyejitambua.

  • @karimmveyange2558
    @karimmveyange2558 Місяць тому

    Bunge halitaki kutenda haki na ndiyo maana linawachukia wabunge wanao sema ukweli. Bunge la UPIGAJI. KWA STYLE HII ETI TAIFA LITASONGA MBELE KIUCHUMI. HI NI SHIDA

  • @MihayoMageta
    @MihayoMageta 10 місяців тому +2

    Mpina shikilia hapo hapo, wangonge tunakutefemea msena kweli.

  • @georgeamry7545
    @georgeamry7545 3 місяці тому +1

    Ukiwa na akili nying katikati ya wajinga unaonekana tofauti mungu wetu nyupo

  • @EmmanuelLupoja
    @EmmanuelLupoja 5 місяців тому +3

    Mungu akubariki mpi

  • @robertmodestmushema1297
    @robertmodestmushema1297 10 місяців тому

    Hapo mmefanya uandishi wa kijinga. Aliwaambia lini kwamba anahoji kwasababu amekosa uwaziri? Kwan kuhoji serikali ni dhambi au kosa? Kwann mseme anatoa wapi ujasiri?
    RUBISH STUFF MMEONGEA

  • @IsackLuwondo
    @IsackLuwondo 2 місяці тому

    Ni kweli MPINA una machungu Sana na nchi hii (TZ)kuwa makini. Wanaweza kukuua hao mafisadi. Kwa kua, mkuu wa. Nchi hii Tz anasapoti MAFISADI.

  • @BizzBoy-g4o
    @BizzBoy-g4o 2 місяці тому

    sio kwamba CCM hakuna viongozi wazuri
    nipaletu ukiingia ccm lazima ung'olewe meno

  • @chomasongidion6047
    @chomasongidion6047 5 місяців тому +1

    Mpina wape ukweli japo mchungu,wakosowe tu

  • @ejfilm2118
    @ejfilm2118 2 місяці тому

    Muda Ni mchache ongeza speed kwenye kutoa report hizi

  • @HaulSidney
    @HaulSidney 5 місяців тому +1

    Ukisema ukweli nchi hii unauwawa, kama wao hao mafisadi hawatakufa, RIP JPM

  • @emmanuelkahangamabula6527
    @emmanuelkahangamabula6527 26 днів тому

    Wasukuma hawajawahi kuferi katika uongozi ni wazarendo halisi

  • @NeemaJohn-q1r
    @NeemaJohn-q1r 9 місяців тому

    Hili ndiyojembe lamagafuli nawatanzania bwana nasabaya yukowapi? Hayomajembe yataite ngeneza nchi yamefundwa namagufuli yakafundikwa chezea magu wewe

  • @teller_julio
    @teller_julio 2 місяці тому

    Huyu jamaa hagombanii uwaziri ... Ni mzalendo tu

  • @KassimJunga
    @KassimJunga 10 місяців тому +1

    Mwandi unaongea pumba

  • @LabaniAkyoo
    @LabaniAkyoo Місяць тому

    Mpina ni Jembe, amefanya kazi ambayo wengine walishindwa

  • @danielkanso
    @danielkanso 3 місяці тому

    Kwenye bunge la sasa Tunaye wabunge wachache tu hasa mpina ndiye mbunge pekee na mzalendo

  • @charlesrwabutaza2551
    @charlesrwabutaza2551 10 місяців тому +2

    Mbona umetoa maelezo tofauti na kichwa cha habari,,,

  • @joelandekile3933
    @joelandekile3933 4 місяці тому +1

    HII CHANEL IMEANZA KUKWAMA SADA HUYO BINT JAU SANA

  • @teller_julio
    @teller_julio 2 місяці тому

    Una zingua , una unganisha video ina jirudia mara mbili mbili

  • @JoshuaSabu-r2p
    @JoshuaSabu-r2p 2 місяці тому

    Mwenyezi mungu yuko pamoja nawe

  • @Nasibuhelemani
    @Nasibuhelemani 2 місяці тому

    Saiz bunge limebaki la kupiga meza amulud tena nyie

  • @tumainikomba9008
    @tumainikomba9008 3 місяці тому

    We Mwigulu wew unapendwa wap baba??????

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 3 місяці тому

    Kwelli mnatetea maovu mpina ni mzalendo

  • @FreeGod368
    @FreeGod368 10 місяців тому +1

    Hili lisaut la uyu mdada sku zote linaboa af linaongea hewa

  • @mcjackpettydady9435
    @mcjackpettydady9435 10 місяців тому +1

    MWANDISHI UNATUKOSEA SANA UNASEMAJE KUA BAADA YA KUKOSA UWAZIRI WHY

  • @abdulmajidmageja6562
    @abdulmajidmageja6562 10 місяців тому +2

    Yani nchi hii watu wakikosa unamtafutia neo pumbavu

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Місяць тому

    Nchi inasumbuliwa na waramba asali sasa hii hatar

  • @AdamPaulo-x2k
    @AdamPaulo-x2k 3 місяці тому

    Nani anayekukubali mjinga wewe

  • @maulidipazi6770
    @maulidipazi6770 10 місяців тому +2

    Hamna mwiba hapo .wote wanapika kande Moja .tatizo hamna maamuzi yanayo chukuliwa mtabwata tu mpaka basi

    • @aminimushi6945
      @aminimushi6945 10 місяців тому

      Hakuna hatua zinazo chukuliwa,kama w😢ananchi tufanye nini?kama ni vipigo tunapigwa,Watanzania tunapigwa,watoto wetu wanapewa mkopo wa tsh 200,000/-wa elimu ya juu.hongera Mpina.

  • @amanmalima940
    @amanmalima940 2 місяці тому

    Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).

  • @nyerere1259
    @nyerere1259 5 місяців тому

    Sisiemu watamnyima ubunge

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 10 місяців тому +1

    Sasa watakamatwaje wakati serikali wote wezi watakamatwa na naniiii

  • @NESTORYMATHIAS-l8u
    @NESTORYMATHIAS-l8u 19 днів тому

    Ngono
    Kutomba 1:42 1:44

  • @luciasteven3314
    @luciasteven3314 3 місяці тому

    Ninachojua TANZANIA haina WAZARENDO😢😢 SIASA NIMCHEZO MCHAFU SANA

  • @princeemac2016
    @princeemac2016 3 місяці тому

    Wewe ni shujaa Mpina

  • @ReginaJoseph-cm3cx
    @ReginaJoseph-cm3cx 10 місяців тому +7

    Tengua kauli, sio baada ya kuachwa bali Mpina ni Mzalendo

    • @aud548
      @aud548 10 місяців тому

      😂😂😂😂😂

    • @Hasnspop
      @Hasnspop 10 місяців тому

      3:36 anatombwa huyo

  • @petrosukums2510
    @petrosukums2510 3 місяці тому

    Msomi mwenye akiliii

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu 10 місяців тому +1

    Mzalendo wa kweli LUHAGA MPINA MUNGU AKULINDE

  • @ClementLushino
    @ClementLushino 4 місяці тому

    Mkweli apendwe na walarushwa, Mawaziri mzingo Nape, Mchemba, Makamba wabinafsi

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha 10 місяців тому

    Mbona mnakosa ubunifu? Mnatuletea mambo ambayo ni kiporo halafu mnategemea mfanikiwe! Acheni uvivi wa kufikiri jamanini. Mshereheshaji hata Kiswahili chenyewe hajui. Tanzania tutaendelea kupotea kwenye maendeleo na medani zake.

  • @godlovemrosso5973
    @godlovemrosso5973 10 місяців тому +4

    Ila anahoji kwa kuwa hajapata teuzi hivi mwandishi unaelewa kazi yako kweli?
    Au unaona Watanzania millions 60 hatuna akili?
    Please please jitafakarini kwanza kabla hamjaleta ripoti zenu kqenye media sijapenda

    • @augustinejobmkongwa7599
      @augustinejobmkongwa7599 10 місяців тому

      Nakupa elimu kuanzia Leo kazi ya Mbunge ni kuhoji serikali lakini ukiteuliwa na kuwa Waziri wewe ni sehemu ya serikali, kazi yako sio kuhoji tena unatakiwa ujibu hoja za wabunge. Anachofanya Sasa hivi ni sahihi. Tatizo hapa wengi wanapenda Ukiteuliwa uendelee kuhoji, Sasa unamhoji nani badala ya kutekeleza kazi ulizopewa.

    • @godlovemrosso5973
      @godlovemrosso5973 10 місяців тому

      @@augustinejobmkongwa7599 upo sahihi na huo ndio mtizamo wangu pia

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 10 місяців тому +1

    Kiongozi mjasili

  • @francisboydmwakyusa230
    @francisboydmwakyusa230 10 місяців тому +1

    Mh. Mpina ni Mmoja Kizazi cha Mabadiriko, na ambao akili uongoza mdomo, si mdomo kuongoza akili. Labda hatuja zoea aina ya hoja zake, lkn kwann wasomi wa PHD, kumuona tatizo. Elimu itupeleke kwenye ku elimika, Tanzania isipo badirisha namna ya kutenda, hakuna maendeleo tutafikia kwani WAHUNI, WEZI NA WAHUJUMU UCHUMI Watakula ndoto za Watanzania. Mpima you have my support 100%+

  • @ChristmasMaheri
    @ChristmasMaheri 10 місяців тому +3

    Nadhani anatendea haki nafasi yake.

  • @vumilialeonardi109
    @vumilialeonardi109 10 місяців тому

    Mh, mbunge wetu mpina endereeni hivyo hivyo MUNGU yupo na wewe na kwa sababu watanzania tunakuombea

  • @AmosAmos-i3b
    @AmosAmos-i3b 2 місяці тому

    Luhanga pina

  • @GeofreySenka
    @GeofreySenka 3 місяці тому

    Huyu mwamba

  • @mashannapapaaa9582
    @mashannapapaaa9582 10 місяців тому +1

    Mpina yukosafi

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 10 місяців тому +1

    Uwe unaacha wao waongee

  • @chezariboy
    @chezariboy 10 місяців тому

    Mpina uko sahihi, but jiunge na akina mbowe, lisu, heche, msigwa, ndo utafariji watu wenye uelewa. Huwezi kumlaumu mchawi wakati unakaa home kwake.

  • @elipidhugotesha1909
    @elipidhugotesha1909 10 місяців тому

    Sio msumari ila ni mtendaji mzur kwa serikali
    Kuiushaur serikali ipasavyo unakuwa tena msumari? Mnataka kumchonganisha na serikali
    Nilienda korea kusin maendeleo yote yalitokana na kuchukua stern measure ikiwemo kuwanyonga na kuwafilis
    Leo korea is very advanced nation
    Lets take Action😢
    Naona kuwa kiongoz.mkuu na kuchukya legacy ya magufuli kwa baadae chama.changu mupen ushirikiano ana kitu

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 3 місяці тому

    Mpina sio mnafiki hata kdg. Huyu akipata urais watamtambua wazembe. Magu akasome kwa Mpina

  • @obadiahnkwale124
    @obadiahnkwale124 10 місяців тому +1

    Mwamba kwel kwel,namfatilia sana

  • @stephenbasso6512
    @stephenbasso6512 10 місяців тому

    Luhaga Mpina , kamanda wa ukweli wa CCM. MTANZANIA NA MZALENDO WA UKWELI . MPINA TUNAIMANI NA WEWE. KAZA MWENDO KAKA YETU

  • @deogratiuswambura7597
    @deogratiuswambura7597 10 місяців тому +1

    Tunajua amesha msaliti magufuli

  • @NeemaJohn-q1r
    @NeemaJohn-q1r 9 місяців тому

    Hao akinamsukuma ndiyo aliyowasema makonda kuwa kwamagu walijifanya kuwa upandewake alipoondoka wakageukia kwahuyu aliyepo wshivi niwafanyabiashara kama ulivyosema anatuaibisha wasukuma hatuko hivyo hatuna tamaa,pili tunamachungu nanchi nahuruma pia

  • @MgetamafuruMgeta
    @MgetamafuruMgeta 10 місяців тому +1

    Watanzania wengi niwakusahau shida sana tusipige kura wate tatizo Tanzania wengi niwajinga sana

  • @othinielkamyola3697
    @othinielkamyola3697 10 місяців тому

    DADA WW NI MWANDISHI MJINGA WHY UNAMRISHA MANENO KUWA ANAHOJI KWAKUWA KAKOSA UTEUZI,HV NYIE WANDISHI WA BONGO MBONA MNAKUWA MACHAWA BADALA YA KUMSIFU KWA UJASIRI WA KUHOJI JUUU YA KODI ZETU WANYONGE,UNAONGEA UJINGA KUHUSU TEUZI HEBU KUWEMI DIRECT

  • @nathanielmkuki3048
    @nathanielmkuki3048 10 місяців тому

    Ni vibaya kuhoji serikali? Kama mnaona mkimpa uwaziri atanyamaza, mpeni muone kama atanyamaza.

  • @chetosports9681
    @chetosports9681 3 місяці тому

    Hana lolote

  • @furahinimbise7969
    @furahinimbise7969 10 місяців тому +1

    Huyo ndiye mpina kijana wa kamanda jpm

  • @solomonjackson3827
    @solomonjackson3827 10 місяців тому

    Mmezuwia upinzani kufika mjengoni hatimae unaibuka mwenu humohumo yajayo ni masikitiko

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 10 місяців тому

    Wakomeshe usiwaogope Mawaziri mwizi Mkubwa Nchemba

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 2 місяці тому

    Oooh allah tupe mwanga na tupe ulinzi yarabi

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 5 місяців тому

    Jaamaani msiuane

  • @thobiasmasabile-cw9xo
    @thobiasmasabile-cw9xo 10 місяців тому

    Huyubndio kiongozi Sasa sio wanao sema Kila siku nikusifia tu ukweli ubaki kua ukweri mpina nikiongozi bola

  • @abedymtore2707
    @abedymtore2707 10 місяців тому

    Kwa cheo Chake Cha ubunge na katiba ilivyoo mpina pekee awez kuwafanya chochote Hao mbwaa

  • @williambukuku3493
    @williambukuku3493 10 місяців тому

    Huyo ndo mbunge halisi,anayesimamia maslahi ya uma,sio maslahi ya viongizi.

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si 5 місяців тому

    Hawa viongozi ni wachache sana kama Sokoine Mrema hadi Magu

  • @janiafaomaa5120
    @janiafaomaa5120 4 місяці тому

    BAZIYA WANACHAMA WA CCM WALIOKOSA UWAZIRI AU NAIBU WAZIRI WANAKARIKA SIMWIBA

  • @severinimkini4116
    @severinimkini4116 10 місяців тому

    Tuwe na watu Kama Mpina inchi ya TANZANIA itsnyooka.

  • @festokivuyo7121
    @festokivuyo7121 10 місяців тому

    Siku aliteuliwa mwigulu nilisema mama amefeli kbs sasa msitefyte mchawi mwingine mwigulu na January nape mbarawa

  • @daudimabumba2887
    @daudimabumba2887 10 місяців тому +1

    Mungu akutangulie

  • @emmanuelmunuo7529
    @emmanuelmunuo7529 4 місяці тому

    Huyu ni chama gani

  • @ankoanko-zz7it
    @ankoanko-zz7it 10 місяців тому

    Mwenyewe nashangaa kuona viongozi wabathiru Bado wapo mtaani wanakula Bata.

  • @timboxlee919
    @timboxlee919 10 місяців тому

    Pongezi kwako mbunge mzarendo mpina

  • @paulombay6884
    @paulombay6884 3 місяці тому

    Huyu ndo anafaa sasa nipo chadema lakin huyu mwamba san

  • @festokivuyo7121
    @festokivuyo7121 10 місяців тому +1

    Mungu akulinde mpina

  • @DaviesKwiyeya
    @DaviesKwiyeya 10 місяців тому

    Unafaa kua raisi wa miaka inayokuja mungu ni mwema atulinde ili tushuhudie unavyoshinda uraisi wa nchihii

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 3 місяці тому

    Mhesima mpina ni mzalendo wa nchi hii

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg 10 місяців тому

    Mpina ndo mbunge pekee yake Kwa bunge hili la serikali ya mtu anayeitwa mama wengine wote ni Chawa tu wa huyo mama