MJUE LUHAGA MPINA ALIYEGEUKA MSUMARI wa MOTO kwa SERIKALI - MAGUFULI AKAMTEUA AKAACHWA SOLEMBA...
Вставка
- Опубліковано 1 жов 2024
- MJUE LUHAGA MPINA ALIYEGEUKA MSUMARI wa MOTO kwa SERIKALI - MAGUFULI AKAMTEUA AKAACHWA SOLEMBA...
Katika Bunge lililomalizika hivi karibuni ambalo lilipata fursa ya kujadili kuhusu madudu ya ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG), Mbunge wa Jimbo la Kisesa kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Luhaga Joelson Mpina alikuwa mkali mno akitaka hatua kadha wa kadha zichukuliwa na wale wote wanahusika katika ubadhirifu, ufisadi na wizi wa fedha na mali za umma.
Mpina alikwenda mbali zaidi akimtaka Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba, Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa wafunguliwe mashataka ya uhujumu uchumi akidai wamefanya ubadhirifu katika mradi wa ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR), roti ya tatu na nne.
\
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
Kwanini useme anahoji kwakuwa amekosa uwaziri.Hayo niyako sisi tunamtambua kama mzalendo na mpigania ukweli
yasni haw watu wanaiba halafu wanatuletea hoja dhaifu at ameachwa washenzi sana
Mchonganishi huyu
@@alphadreammedia Mchonganishi Wa Nini?Kwa Nini Watanzania Hamtaki Ukweli?Mtakuta Makao Yenu Kule Mbinguni.
Ndio ni kweli kwa kuwa kakosa uwaziri, unaona kabisa kuwa hata kama hoja zake zina tija lakini zimejaa hasira na chuki, mbona alipokuwa waziri lugha yake ilikuwatofauti na sasa? Wana siasa joho Lao ni kigeugeu, akipata uwaziri leo atabadilika kama kinyonga.
@@sskondopoleani9616 huyo hajawah kuzingua na kama Kuna sehem alizingua alipokuwa wazir bas ni sheria zetu ziliitaj ivoo😂😂
Mzalendo na datazake hazina mashaka Mungu aendelee kukulinda Shujaa wetu👏
Kiongozi mzr ni yule anayesema ukweli dhidi ya waovu
Huyu mwamba amechagua njia ngumu sana kisiasa anahitaji maombi. Viongozi kama hawa ni wachache sana
Kweli
mlungu ata mlinda
uyu ni rais kabisa apewe mapema urais kabla umri ujaenda
Kama tungekuwa na wa bunge 10 tu, kama wewe nchi yetu inge enda mbali sana, Mungu akulinde kila wakati
Mpina mungu akubariki sana kwakuse ukweli mtupu ujumbe umefika 👍
Ndiye tegemeo kwa sasa
Mzalendo na mpenda haki unatufaa sana, Mungu akulinde.
Napenda sana huyu mpina
Lugha Mpina ni kiongozi mzalendo na wala haonyeshi kutofurahishwa na kukosa Teuzi Kwasababu yote anayosema kuhusu Mwigulu na wakina Mbarawa ni kweli na yapo wazi. Mwigulu ni jambazi mkubwa sana wa fedha za umma, tangu siku alipoteuliwa mimi sikuwahi kuwa na imani na fedha za Umma mpaka leo na mpaka aondoke kwenye hiyo Sekta.
Ukiona kiongozi katoka kanda ya ziwa jua mmepata chuma
Msukuma mmepigwa
MWANDISHI INAONESHA BADO RUDI DARASANI TENA ,UNASOMA TAARIFA KAMA CHIZI YANI MTU ASISEME UKWELI ETI ANATOKA CHAMA CHA CCM ,KWANI UKIWA CCM HUTAKIWI KUSEMA UKWELI ? WEWE NA MUHARIRI WAKO WOTE NI MADUNDUKA WATUPU HAMNA KITU KICHWA I ,
Mungu akulinde ruaga mpina usiwe kigeu geu kama msukuma ni mfanya biashara katika siasa
Naungana na Nasimama na Mheshimiwa Mpina Kwa namna anavoisimamia na kutekeleza Majukumu yake ya kibunge na hii ndo Inatakiwa kbsaa endelea kutusemea wanyonge na endelea Kwa Kasi zaidi tuko pamoja na ww na tunakuombea Saana
Yuko vizuri hana uchawa
Ameamua kuukataa ubunge Ili aseme ukweli
Lkn mpaka Sasa hivi wapo nje lkn wananchi wakawaida Ata sindano tu anafungwa
Sabaha mpaka Sasa yupo jela hawa wenginge mbona hawachukuliwi hatua
@@Bikhafijasabaya ameshinda kesi sasa hivi Yuko huru.
Nchi hii wasukuma ndo wanastahili kuwa viongozi.,......wapo very smart.
Nyinyi wa bunge wala msituchanganye kabisa. Alikuwepo bashe aliikalia kooni selikali mwisho wa siku aliteuliwa mpka leo kmyaa? Sasa mpina akipewa uwazili maneno kwisha
Kweli kabisa.
Hawa jamaa hucharuka sana wakiwa hawajateuliwa uwaziri au nafasi yoyote ile serikalini.lakini wakitupiwa fupa kimyaaa wanan'gon'gona hawana habari tena na hao wananchi wanaojidai wanawatetea. Mtaji wa mwanasiasa ni mwananchi asiyejitambua.
Bunge halitaki kutenda haki na ndiyo maana linawachukia wabunge wanao sema ukweli. Bunge la UPIGAJI. KWA STYLE HII ETI TAIFA LITASONGA MBELE KIUCHUMI. HI NI SHIDA
Mpina shikilia hapo hapo, wangonge tunakutefemea msena kweli.
Ukiwa na akili nying katikati ya wajinga unaonekana tofauti mungu wetu nyupo
Mungu akubariki mpi
Hapo mmefanya uandishi wa kijinga. Aliwaambia lini kwamba anahoji kwasababu amekosa uwaziri? Kwan kuhoji serikali ni dhambi au kosa? Kwann mseme anatoa wapi ujasiri?
RUBISH STUFF MMEONGEA
Ni kweli MPINA una machungu Sana na nchi hii (TZ)kuwa makini. Wanaweza kukuua hao mafisadi. Kwa kua, mkuu wa. Nchi hii Tz anasapoti MAFISADI.
sio kwamba CCM hakuna viongozi wazuri
nipaletu ukiingia ccm lazima ung'olewe meno
Mpina wape ukweli japo mchungu,wakosowe tu
Muda Ni mchache ongeza speed kwenye kutoa report hizi
Ukisema ukweli nchi hii unauwawa, kama wao hao mafisadi hawatakufa, RIP JPM
Wasukuma hawajawahi kuferi katika uongozi ni wazarendo halisi
Hili ndiyojembe lamagafuli nawatanzania bwana nasabaya yukowapi? Hayomajembe yataite ngeneza nchi yamefundwa namagufuli yakafundikwa chezea magu wewe
Huyu jamaa hagombanii uwaziri ... Ni mzalendo tu
Mwandi unaongea pumba
Mpina ni Jembe, amefanya kazi ambayo wengine walishindwa
Kwenye bunge la sasa Tunaye wabunge wachache tu hasa mpina ndiye mbunge pekee na mzalendo
Mbona umetoa maelezo tofauti na kichwa cha habari,,,
HII CHANEL IMEANZA KUKWAMA SADA HUYO BINT JAU SANA
Una zingua , una unganisha video ina jirudia mara mbili mbili
Mwenyezi mungu yuko pamoja nawe
Saiz bunge limebaki la kupiga meza amulud tena nyie
We Mwigulu wew unapendwa wap baba??????
Kwelli mnatetea maovu mpina ni mzalendo
Hili lisaut la uyu mdada sku zote linaboa af linaongea hewa
MWANDISHI UNATUKOSEA SANA UNASEMAJE KUA BAADA YA KUKOSA UWAZIRI WHY
Yani nchi hii watu wakikosa unamtafutia neo pumbavu
Nchi inasumbuliwa na waramba asali sasa hii hatar
Nani anayekukubali mjinga wewe
Hamna mwiba hapo .wote wanapika kande Moja .tatizo hamna maamuzi yanayo chukuliwa mtabwata tu mpaka basi
Hakuna hatua zinazo chukuliwa,kama w😢ananchi tufanye nini?kama ni vipigo tunapigwa,Watanzania tunapigwa,watoto wetu wanapewa mkopo wa tsh 200,000/-wa elimu ya juu.hongera Mpina.
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Sisiemu watamnyima ubunge
Sasa watakamatwaje wakati serikali wote wezi watakamatwa na naniiii
Ngono
Kutomba 1:42 1:44
Ninachojua TANZANIA haina WAZARENDO😢😢 SIASA NIMCHEZO MCHAFU SANA
Wewe ni shujaa Mpina
Tengua kauli, sio baada ya kuachwa bali Mpina ni Mzalendo
😂😂😂😂😂
3:36 anatombwa huyo
Msomi mwenye akiliii
Mzalendo wa kweli LUHAGA MPINA MUNGU AKULINDE
Mkweli apendwe na walarushwa, Mawaziri mzingo Nape, Mchemba, Makamba wabinafsi
Mbona mnakosa ubunifu? Mnatuletea mambo ambayo ni kiporo halafu mnategemea mfanikiwe! Acheni uvivi wa kufikiri jamanini. Mshereheshaji hata Kiswahili chenyewe hajui. Tanzania tutaendelea kupotea kwenye maendeleo na medani zake.
Ila anahoji kwa kuwa hajapata teuzi hivi mwandishi unaelewa kazi yako kweli?
Au unaona Watanzania millions 60 hatuna akili?
Please please jitafakarini kwanza kabla hamjaleta ripoti zenu kqenye media sijapenda
Nakupa elimu kuanzia Leo kazi ya Mbunge ni kuhoji serikali lakini ukiteuliwa na kuwa Waziri wewe ni sehemu ya serikali, kazi yako sio kuhoji tena unatakiwa ujibu hoja za wabunge. Anachofanya Sasa hivi ni sahihi. Tatizo hapa wengi wanapenda Ukiteuliwa uendelee kuhoji, Sasa unamhoji nani badala ya kutekeleza kazi ulizopewa.
@@augustinejobmkongwa7599 upo sahihi na huo ndio mtizamo wangu pia
Kiongozi mjasili
Mh. Mpina ni Mmoja Kizazi cha Mabadiriko, na ambao akili uongoza mdomo, si mdomo kuongoza akili. Labda hatuja zoea aina ya hoja zake, lkn kwann wasomi wa PHD, kumuona tatizo. Elimu itupeleke kwenye ku elimika, Tanzania isipo badirisha namna ya kutenda, hakuna maendeleo tutafikia kwani WAHUNI, WEZI NA WAHUJUMU UCHUMI Watakula ndoto za Watanzania. Mpima you have my support 100%+
Nadhani anatendea haki nafasi yake.
Mh, mbunge wetu mpina endereeni hivyo hivyo MUNGU yupo na wewe na kwa sababu watanzania tunakuombea
Luhanga pina
Huyu mwamba
Mpina yukosafi
Uwe unaacha wao waongee
Mpina uko sahihi, but jiunge na akina mbowe, lisu, heche, msigwa, ndo utafariji watu wenye uelewa. Huwezi kumlaumu mchawi wakati unakaa home kwake.
Sio msumari ila ni mtendaji mzur kwa serikali
Kuiushaur serikali ipasavyo unakuwa tena msumari? Mnataka kumchonganisha na serikali
Nilienda korea kusin maendeleo yote yalitokana na kuchukua stern measure ikiwemo kuwanyonga na kuwafilis
Leo korea is very advanced nation
Lets take Action😢
Naona kuwa kiongoz.mkuu na kuchukya legacy ya magufuli kwa baadae chama.changu mupen ushirikiano ana kitu
Mpina sio mnafiki hata kdg. Huyu akipata urais watamtambua wazembe. Magu akasome kwa Mpina
Mwamba kwel kwel,namfatilia sana
Luhaga Mpina , kamanda wa ukweli wa CCM. MTANZANIA NA MZALENDO WA UKWELI . MPINA TUNAIMANI NA WEWE. KAZA MWENDO KAKA YETU
Tunajua amesha msaliti magufuli
Hao akinamsukuma ndiyo aliyowasema makonda kuwa kwamagu walijifanya kuwa upandewake alipoondoka wakageukia kwahuyu aliyepo wshivi niwafanyabiashara kama ulivyosema anatuaibisha wasukuma hatuko hivyo hatuna tamaa,pili tunamachungu nanchi nahuruma pia
Watanzania wengi niwakusahau shida sana tusipige kura wate tatizo Tanzania wengi niwajinga sana
Umeona eee
DADA WW NI MWANDISHI MJINGA WHY UNAMRISHA MANENO KUWA ANAHOJI KWAKUWA KAKOSA UTEUZI,HV NYIE WANDISHI WA BONGO MBONA MNAKUWA MACHAWA BADALA YA KUMSIFU KWA UJASIRI WA KUHOJI JUUU YA KODI ZETU WANYONGE,UNAONGEA UJINGA KUHUSU TEUZI HEBU KUWEMI DIRECT
Ni vibaya kuhoji serikali? Kama mnaona mkimpa uwaziri atanyamaza, mpeni muone kama atanyamaza.
Hana lolote
Huyo ndiye mpina kijana wa kamanda jpm
Kabsa
Mmezuwia upinzani kufika mjengoni hatimae unaibuka mwenu humohumo yajayo ni masikitiko
Wakomeshe usiwaogope Mawaziri mwizi Mkubwa Nchemba
Oooh allah tupe mwanga na tupe ulinzi yarabi
Jaamaani msiuane
Huyubndio kiongozi Sasa sio wanao sema Kila siku nikusifia tu ukweli ubaki kua ukweri mpina nikiongozi bola
Kwa cheo Chake Cha ubunge na katiba ilivyoo mpina pekee awez kuwafanya chochote Hao mbwaa
Huyo ndo mbunge halisi,anayesimamia maslahi ya uma,sio maslahi ya viongizi.
Hawa viongozi ni wachache sana kama Sokoine Mrema hadi Magu
BAZIYA WANACHAMA WA CCM WALIOKOSA UWAZIRI AU NAIBU WAZIRI WANAKARIKA SIMWIBA
Tuwe na watu Kama Mpina inchi ya TANZANIA itsnyooka.
Siku aliteuliwa mwigulu nilisema mama amefeli kbs sasa msitefyte mchawi mwingine mwigulu na January nape mbarawa
Mungu akutangulie
Huyu ni chama gani
Sukuma gang
Mwenyewe nashangaa kuona viongozi wabathiru Bado wapo mtaani wanakula Bata.
Pongezi kwako mbunge mzarendo mpina
Huyu ndo anafaa sasa nipo chadema lakin huyu mwamba san
Mungu akulinde mpina
Unafaa kua raisi wa miaka inayokuja mungu ni mwema atulinde ili tushuhudie unavyoshinda uraisi wa nchihii
Mhesima mpina ni mzalendo wa nchi hii
Mpina ndo mbunge pekee yake Kwa bunge hili la serikali ya mtu anayeitwa mama wengine wote ni Chawa tu wa huyo mama