MSIGWA Amlipua KIGWANGALA Bungeni - "STEVE NYERERE Ndio NANI, Unaogopa KUROGWA"
Вставка
- Опубліковано 13 жов 2024
- MSIGWA Amlipua KIGWANGALA Bungeni - "STEVE NYERERE Ndio NANI, Unaogopa KUROGWA"
Mbunge wa Iringa mjini (CHADEMA), Peter Msigwa amewatupia lawama Mawaziri wa serikali ya awamu ya tano kwa kushughulikia kero na kutatua migogoro badala ya kushughuikia sera.
UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982)
( +255 676 229628)
HABARI MPYA DAILY:
www.youtube.co....
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
www.youtube.co....
GLOBAL RADIO TV:
www.youtube.co....
EXCLUSIVE INTERVIEW:
www.youtube.co....
Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania
Subscribe bit.ly/globaltv...
Msigwa keep it up...nakubali hoja zako
Tunakupenda sana mbunge wetu wa iringa
Hapo nimekuelewa sana mchungaji msigwa,uko vizuri kujenga hoja.
Uko Sahihi Hon.Msigwa
Mheshimiwa Msigwa Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu.
Mwaka huu hana kitu Iringa mjini!!!
WA MWANGATA IRINGA TZ.👏👏
Mh. Msigwa umeongea Point nzuri tu katika kushauriana, Umechemka ulipomtaja moja kwa moja Msanii Steve Nyerere, hapo kwa Hadhi yako ya Kiuchungaji umejisahau kwani nayo ni Kazi kama kazi zingine, Pia na pia kuwathamini Wasanii wa ndani ni muhimu, Kwa hayo Mchungaji binafsi naona waombe radhi Wasanii wetu.
Msingwa kichwa saaaana big up
Asante mchungaji msigwa uyo mama mjinga anapoteza mda
Tena nimpumbavu sijui kilichomwasha nini kwanini asingekaa kimya ili wataalamu waendelee kutoa elimu
Hili maza jinga kabisaa
Pamoja sana mh msigwa
Mungu atskubariki hat wao wasipokusikia
Safi sana mchungaji
Leo speaker nimekuelewa
Mzee msingwa mzee kichwa yako iko sawa sana mzee uko sawasawa ila kuna mijitu ipo hapo bungeni hata haitambui uwepo wao mzee chapa kaz.
Hapo mnaonyesha ni wapinzani wa kweli. Siyo kila kukicha kuzira bungeni. Kudos Mchungaji
Mchungaji Uko vizuri sana.
The like of opposition leaders we need in Kenya....at Peter msigwa
Kiboko ya ccm saf sana mbunge ujawahi waangusha watu wako Mungu akulinde uzid kua bora.
This Man Is Real OG.💪💯👏👏👏
Kabisa we are not serious watumie watu wakuweza kutangaza utaliii,points taken kwakweli
Leo nimekuelewa mhe. Msigwa. Good speech. But please show even solution and sent to Mr. Kigwangala
Point Msigwa
Uko vizur mchungaji wangu unaakili sana
Kuhusu utalii kwa kweli mh Singwa ameongea point
Mimi naungana na Mhe. Msigwa.. safi sana
Mashine hio..
Naskitik sana huyu jamaaa kumkosa bungen... sjui hilo bunge lanaenda kuwaje???? 😭😭😭
Msigwaaaaaaaaaaaaa nomaaaaaa
safi sana MCHUNGAJI
Uko sawa
Safi
Lakini kweli Mheshimiwa Msigwa wakati mwingine mko sawa kabisa,kweli mnaona mbali na mnahaki ya kukosoa na kuishauli Serikali,safi safi sana.
Sema Mtumishi Wa bwana ulie barikiwa, unaeleweka vizuri.
Msigwa wape maneno yao sema ukweli hawo 👍 👍💯
Huwa napendaaa sana hotuba za huyu mwamba
Kaongea ukweli mtupu sababu hata wakipanda huko hawafiki mtu kama welu sengo sijui aunt hawawezi kupanda mlima msigwa umeongea point 🙌🙌🙌🙌🙌 wenye akili ndiyo watamuelea 🙌🙌🙌
Msigwa🙌🙌🙌🙌
Mbona hapa kuna taarifa nyingi
Mbunge msigwa noma umewakalisha kama wote na miongozo yao
Nakuelewa sana pastor
Msigwa umeenda shule unaongea hadi wabunge wanachanganyikiwa eti kanuni ya ishirini na nane isome haijui nakuombea kwa mungu msigwa urudi bungeni
Kaongea pumba tu
Watu Bora saaana kwa kizazi chetu,inafanya kazi hadi Leo 2021
Point 😄😄😄
Umeongea point Sana Mheshimiwa Msigwa wanashindwa tu kuelewa,nawangeweza kuchukua points zako
Kumbe Kuna wabunge hawajui kanuni za bunge FISIEM bana
Hilo ni bao mr msingwa ..... Hawajaacha Sera , wako kisiasa zaidi ili wakamate wananchi ..... Ninyi mlikuwa mnateka watu mnapiga kelele watu wanauawa ili muonekane watetezi wa wananchi , wao wanapiga kazi karibu nasisi ili tujue wako nasi ...... So kaa chini pambania kiti chako uchaguzi unakaribia .
OK kibwagala muelewa ameelewa, bongo zozo is good
very true
Nimekuja kuangalia baada ya ripoti ya CAG
Pasua kichwaa, mchungajiiiii
Kwa Stive kweli ni udwanzi sana.
🤣🤣🤣🤣 Ana julikana Dar tuu 😄😄😄 Ana panda Mlima hata hafiki Mlimani 😄😄😄
Wow Mchungaji u gave them there own medicine are u sure u are not from Kenya? iu are a fighter for ur country n a true leader🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇨🇭🇨🇭uku ndio kwa Roger Federer tena jirani yangu True
Mchungaji uko vizuri, ukweli mtupu huu.
Yaan msigwa unavyo wakatia wabunge wenzako noma Sana 😁😁
Kigwanagala nakuelewa Sana Ila jaribu kuyachukua mawazo ya mchungaji msigwa yatakusaidia Sana ......HAUWEZI KUMCHUKUA STEVE NYERERE UKAENDA NAE KUTANGAZA UTALII HATA KENYA HAWAMJUI......Kama umemuelewa mchungaji njoo ulike hapa
spika leo nimekupenda umempa muda msigwa safi sana
Kazi ya Mbunge ni kuishauri na kuishauri serikali
God point msingwa, tuache upinzani ulichokiongea hata ckupingi, kigwangwala chukua hayo madini, Hata team aliyopo samata kwa sasa uungie nayo mkataba kuutangaza utalii wa Nchi yetu
unajua uchikiongea...kuingia mkataba wa aina yeyote na club inayoshiriki ligi kuu England ni very expensive...approximately ni kuanzia M15 Dollars ambazo ni sawa Billioni 34 za Tanzania...sasa hapo huoni kama watanzania wataanza kulalamika pesa nyingi imepelekwa kwenye utalii na wanafunzi hawana mikopo
Good job mh Msigwa
uko vizuri msigwa
Msigwa ni saw na wabunge wote wa ccm umo ndan
Tunataka kwenda kimataifa we unawaleta kina steve nyerere...uko sahihi kabisa
Daaaa chadema nimafutena wana jua sjui tutawapateje tena
ukiona taarifa zinazidi ujue unaeleweka
Kweli hawapendagi points za msingi zisikike
Pumba tu!!!!
Kweli kabsa
Mzembe sana wewe, wakikaa ofisini pia mtalalamika,,,,,kweli duniani hakuna jema!!!!!
Ameongea sense sana msigwa. .but lets wat and see
Kuna kazi sana, kama mbunge amini kuwa ata wasanii wa ndani wanaweza tangaza maliasili zetu, nashaka na uzalendo wake
true,nawaziri kuna vijikazi wanafanya ambavyo watu wa chini ndo kazi zao.
Kanuni 28:isome😁😁😁😁😁
TAARIFA imekua Nyingi,
I'la Wazo la MSIGWA Ni sahihi!!!!
Msingwa huwezi ukawa mbunge wa kutuongoza kama waziri kama unashindwa kujua matatizo ya wananchi na badara yake kujikuta unawaza sana uchumi wakati huo hufikilii kama sisi tunaitaji amani ya wenyewe kwa wenyewee ndipo watalii waweze kuja pia migogoro ya watanzania wandani hawana watu maamulu kwa ajili ya kutatua MSIGWA UMEONGEA UPUUZI SANA UPUUZI SANA UPUUZI SANA HUFAI HUFAI HUFAI.
Hamjui kutangaza utalii mnapenda kupoke pesa Tu ,mnategemea tour operators ,halafu mnawafunguza wawekezaji na kuwaongezea kodi
Hahahaha mnagombea demu na Steve nyerere kachukua goma lako mchungaji hahahahahaha tunajua msigwa 😂😂😂😂
Msigwa hayo ndo mambo poa
Msigwa Ni Moto jamani
msigwa baba lao
Imepenya iyooo
Wape somoooooo
Jamani izi taarifa zanini kwanini musikae kimya mumwache mtu atoe yamoyoni ayo mataarifa yanamshusha moli mchangiaji
Point 👍🏼
Muheshimiwa kigwangwala pokea haya maneno ya Msigwa points.....
🙏🙏
Fact
Yes
Msingwaaaa aaaa a a a a a wewe Ni noma sana
Sema baba
KWELI UNAPENDA SANA MITANDAO
kazi ya taarifa ni kupunguza speed ya mzungumzaji au kupoteza muda sio kujenga hoja
Nawewe umeligundua hilo yaani ni kero
Majinga sana magoga meza haya maccm
Kabisa wanapunguza muda
Steve Nyerere anakusubiri
Ni kweli waziri abaki waziri mbunge abaki mbunge
Eti hawajulikani hata Malawi dah very funny Msigwa ha ha
Yaan hapo kunaweza kukawa na maroroso yanaendelea kama ya kina logola lakini wao wakashangilia tu sijui wanamatatizo gani ktk akili zao
Kuna vitu serikari inaweza kuvipuza lkn ni vitu mhimu sana kwa masirahi ya nchi yetu..
Mh msigwa mungu yupamoja. nawe mchungaji oyeeeeeeeeee imepenya iyooooo
intelligent
Naombeni muniambie msigwa naweza kumnunua ahamie lushoto ?manas wakwetu sijawah kumsikia hataaaasiku moja
Yuko LIKIZOO
Upinzani ni vichwa
Umenichekesha wewe...loh
😀😀😀😀😀😂
Vizuri msigwa lakini msaidie kigwangara
Akili.kubwa
Wabunge wa ccm wote viazi mnakalia miongozo baada ya kusikiliza ushauli mnaopewa na wapinzani wenye Akili kubwa kama ya msigwa
Mkatae msikubali'wabunge wa chadema ninoma
Nimekuelewa.boc.kubwa
Lakn.maccm
Cjui2.wakoje
Chukuen.mawazohayo
Myafanyiekaz
Mrs Ramadhani Kumbe ww uko kichama zaidi na sio kile alichokiongea tukifuata maelezo yako?
Wazee wa taarifa, hawa hutawasikia kuchangia vitu vya msingi
Factor
Kweli ndugai unajizalilisha sana kama mkuu wa muhimili wa bunge.. kwani miongozo yakipuuzi kama hii usingeruhu kama ni mbunge wa nyinyim anazungumza.. tena Mambo yenye tija kwa Taifa kama ya Mh MSIGWA
Utangazaji ni fani, kama huitumii ukatumia mawazo yako utakua huna unalofanya