MSIGWA Amlipua KIGWANGALA Bungeni - "STEVE NYERERE Ndio NANI, Unaogopa KUROGWA"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 13 жов 2024
  • MSIGWA Amlipua KIGWANGALA Bungeni - "STEVE NYERERE Ndio NANI, Unaogopa KUROGWA"
    Mbunge wa Iringa mjini (CHADEMA), Peter Msigwa amewatupia lawama Mawaziri wa serikali ya awamu ya tano kwa kushughulikia kero na kutatua migogoro badala ya kushughuikia sera.
    UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982)
    ( +255 676 229628)
    HABARI MPYA DAILY:
    www.youtube.co....
    HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
    www.youtube.co....
    GLOBAL RADIO TV:
    www.youtube.co....
    EXCLUSIVE INTERVIEW:
    www.youtube.co....
    Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania
    Subscribe bit.ly/globaltv...

КОМЕНТАРІ • 294

  • @jiajoel2346
    @jiajoel2346 4 роки тому +4

    Msigwa keep it up...nakubali hoja zako

  • @mohamedmohamedimnyilila6631
    @mohamedmohamedimnyilila6631 4 роки тому +3

    Tunakupenda sana mbunge wetu wa iringa

  • @godfreynkama6098
    @godfreynkama6098 4 роки тому +7

    Hapo nimekuelewa sana mchungaji msigwa,uko vizuri kujenga hoja.

  • @qonquererqanquerer1781
    @qonquererqanquerer1781 4 роки тому +2

    Uko Sahihi Hon.Msigwa

  • @chinamichael3340
    @chinamichael3340 4 роки тому +18

    Mheshimiwa Msigwa Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu.

  • @wilsonmcs3369
    @wilsonmcs3369 4 роки тому +3

    WA MWANGATA IRINGA TZ.👏👏

  • @binurusm8886
    @binurusm8886 4 роки тому +1

    Mh. Msigwa umeongea Point nzuri tu katika kushauriana, Umechemka ulipomtaja moja kwa moja Msanii Steve Nyerere, hapo kwa Hadhi yako ya Kiuchungaji umejisahau kwani nayo ni Kazi kama kazi zingine, Pia na pia kuwathamini Wasanii wa ndani ni muhimu, Kwa hayo Mchungaji binafsi naona waombe radhi Wasanii wetu.

  • @fettamidu2503
    @fettamidu2503 4 роки тому +3

    Msingwa kichwa saaaana big up

  • @ameniameni617
    @ameniameni617 4 роки тому +4

    Asante mchungaji msigwa uyo mama mjinga anapoteza mda

    • @mussajacob8346
      @mussajacob8346 4 роки тому

      Tena nimpumbavu sijui kilichomwasha nini kwanini asingekaa kimya ili wataalamu waendelee kutoa elimu

    • @kijangapeter5135
      @kijangapeter5135 4 роки тому

      Hili maza jinga kabisaa

  • @freckkihundo4349
    @freckkihundo4349 4 роки тому +1

    Pamoja sana mh msigwa

  • @angelmaganga9482
    @angelmaganga9482 4 роки тому +1

    Mungu atskubariki hat wao wasipokusikia

  • @nassorseluma2920
    @nassorseluma2920 4 роки тому +1

    Safi sana mchungaji

  • @leonardgalila3032
    @leonardgalila3032 4 роки тому +8

    Leo speaker nimekuelewa

  • @gabrielpott3325
    @gabrielpott3325 4 роки тому

    Mzee msingwa mzee kichwa yako iko sawa sana mzee uko sawasawa ila kuna mijitu ipo hapo bungeni hata haitambui uwepo wao mzee chapa kaz.

  • @fredylucas2484
    @fredylucas2484 4 роки тому +3

    Hapo mnaonyesha ni wapinzani wa kweli. Siyo kila kukicha kuzira bungeni. Kudos Mchungaji

  • @abtwalibuhussein4877
    @abtwalibuhussein4877 4 роки тому +12

    Mchungaji Uko vizuri sana.

  • @simonkanyungu7760
    @simonkanyungu7760 4 роки тому +1

    The like of opposition leaders we need in Kenya....at Peter msigwa

  • @philipomofuga3511
    @philipomofuga3511 4 роки тому

    Kiboko ya ccm saf sana mbunge ujawahi waangusha watu wako Mungu akulinde uzid kua bora.

  • @zicomgravity4897
    @zicomgravity4897 4 роки тому +6

    This Man Is Real OG.💪💯👏👏👏

  • @kellyroselwinga7999
    @kellyroselwinga7999 4 роки тому +4

    Kabisa we are not serious watumie watu wakuweza kutangaza utaliii,points taken kwakweli

  • @dlmedial9417
    @dlmedial9417 4 роки тому +15

    Leo nimekuelewa mhe. Msigwa. Good speech. But please show even solution and sent to Mr. Kigwangala

  • @veilamariki3000
    @veilamariki3000 4 роки тому +2

    Point Msigwa

  • @jamessanga7120
    @jamessanga7120 3 роки тому

    Uko vizur mchungaji wangu unaakili sana

  • @pastor_mashimo
    @pastor_mashimo 4 роки тому +23

    Kuhusu utalii kwa kweli mh Singwa ameongea point

  • @sehemunzuri
    @sehemunzuri 4 роки тому +9

    Mimi naungana na Mhe. Msigwa.. safi sana

  • @stevehiraly9127
    @stevehiraly9127 4 роки тому +4

    Mashine hio..
    Naskitik sana huyu jamaaa kumkosa bungen... sjui hilo bunge lanaenda kuwaje???? 😭😭😭

  • @happyfiverickaldo4662
    @happyfiverickaldo4662 4 роки тому +11

    Msigwaaaaaaaaaaaaa nomaaaaaa

  • @leonardawamu2275
    @leonardawamu2275 4 роки тому +1

    safi sana MCHUNGAJI

  • @salasaidi1888
    @salasaidi1888 4 роки тому +4

    Uko sawa

  • @janelukololo9919
    @janelukololo9919 3 роки тому +1

    Safi

  • @madukurumwanileles7909
    @madukurumwanileles7909 4 роки тому +3

    Lakini kweli Mheshimiwa Msigwa wakati mwingine mko sawa kabisa,kweli mnaona mbali na mnahaki ya kukosoa na kuishauli Serikali,safi safi sana.

  • @calvinkitaly9376
    @calvinkitaly9376 4 роки тому +10

    Sema Mtumishi Wa bwana ulie barikiwa, unaeleweka vizuri.

  • @feisalissa3009
    @feisalissa3009 4 роки тому +3

    Msigwa wape maneno yao sema ukweli hawo 👍 👍💯

  • @mkonojr2779
    @mkonojr2779 4 роки тому +1

    Huwa napendaaa sana hotuba za huyu mwamba

  • @aggyparty2990
    @aggyparty2990 4 роки тому +1

    Kaongea ukweli mtupu sababu hata wakipanda huko hawafiki mtu kama welu sengo sijui aunt hawawezi kupanda mlima msigwa umeongea point 🙌🙌🙌🙌🙌 wenye akili ndiyo watamuelea 🙌🙌🙌

  • @mohamedisarafi5308
    @mohamedisarafi5308 4 роки тому +1

    Msigwa🙌🙌🙌🙌

  • @silasnnko4384
    @silasnnko4384 4 роки тому +13

    Mbunge msigwa noma umewakalisha kama wote na miongozo yao

  • @petroerinest2744
    @petroerinest2744 4 роки тому

    Nakuelewa sana pastor

  • @alikhalfan9551
    @alikhalfan9551 4 роки тому +24

    Msigwa umeenda shule unaongea hadi wabunge wanachanganyikiwa eti kanuni ya ishirini na nane isome haijui nakuombea kwa mungu msigwa urudi bungeni

  • @galussskale8701
    @galussskale8701 3 роки тому

    Watu Bora saaana kwa kizazi chetu,inafanya kazi hadi Leo 2021

  • @daniellyimo636
    @daniellyimo636 4 роки тому +1

    Point 😄😄😄

  • @kellyroselwinga7999
    @kellyroselwinga7999 4 роки тому

    Umeongea point Sana Mheshimiwa Msigwa wanashindwa tu kuelewa,nawangeweza kuchukua points zako

  • @willyngailo4549
    @willyngailo4549 4 роки тому +6

    Kumbe Kuna wabunge hawajui kanuni za bunge FISIEM bana

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 4 роки тому +1

    Hilo ni bao mr msingwa ..... Hawajaacha Sera , wako kisiasa zaidi ili wakamate wananchi ..... Ninyi mlikuwa mnateka watu mnapiga kelele watu wanauawa ili muonekane watetezi wa wananchi , wao wanapiga kazi karibu nasisi ili tujue wako nasi ...... So kaa chini pambania kiti chako uchaguzi unakaribia .

  • @evethaasey1791
    @evethaasey1791 4 роки тому +2

    OK kibwagala muelewa ameelewa, bongo zozo is good

  • @fadhilalemba7857
    @fadhilalemba7857 4 роки тому +1

    very true

  • @suleykilindi5117
    @suleykilindi5117 3 роки тому +3

    Nimekuja kuangalia baada ya ripoti ya CAG

  • @israelpwele5535
    @israelpwele5535 4 роки тому +1

    Pasua kichwaa, mchungajiiiii

  • @seljasele
    @seljasele 4 роки тому +8

    Kwa Stive kweli ni udwanzi sana.

    • @daniellyimo636
      @daniellyimo636 4 роки тому

      🤣🤣🤣🤣 Ana julikana Dar tuu 😄😄😄 Ana panda Mlima hata hafiki Mlimani 😄😄😄

  • @pichunakichuna2111
    @pichunakichuna2111 4 роки тому +1

    Wow Mchungaji u gave them there own medicine are u sure u are not from Kenya? iu are a fighter for ur country n a true leader🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇨🇭🇨🇭uku ndio kwa Roger Federer tena jirani yangu True

  • @robertthomas7769
    @robertthomas7769 4 роки тому +5

    Mchungaji uko vizuri, ukweli mtupu huu.

  • @bilalimziray448
    @bilalimziray448 4 роки тому +3

    Yaan msigwa unavyo wakatia wabunge wenzako noma Sana 😁😁

  • @alexmbembela4571
    @alexmbembela4571 4 роки тому +2

    Kigwanagala nakuelewa Sana Ila jaribu kuyachukua mawazo ya mchungaji msigwa yatakusaidia Sana ......HAUWEZI KUMCHUKUA STEVE NYERERE UKAENDA NAE KUTANGAZA UTALII HATA KENYA HAWAMJUI......Kama umemuelewa mchungaji njoo ulike hapa

  • @mwabayachacha3557
    @mwabayachacha3557 4 роки тому +3

    spika leo nimekupenda umempa muda msigwa safi sana

  • @valentinemtei2927
    @valentinemtei2927 4 роки тому

    Kazi ya Mbunge ni kuishauri na kuishauri serikali

  • @adamally8791
    @adamally8791 4 роки тому +1

    God point msingwa, tuache upinzani ulichokiongea hata ckupingi, kigwangwala chukua hayo madini, Hata team aliyopo samata kwa sasa uungie nayo mkataba kuutangaza utalii wa Nchi yetu

    • @robben8736
      @robben8736 4 роки тому

      unajua uchikiongea...kuingia mkataba wa aina yeyote na club inayoshiriki ligi kuu England ni very expensive...approximately ni kuanzia M15 Dollars ambazo ni sawa Billioni 34 za Tanzania...sasa hapo huoni kama watanzania wataanza kulalamika pesa nyingi imepelekwa kwenye utalii na wanafunzi hawana mikopo

  • @kibwanaMAlly
    @kibwanaMAlly 4 роки тому

    Good job mh Msigwa

  • @kavassay8899
    @kavassay8899 4 роки тому +6

    Msigwa ni saw na wabunge wote wa ccm umo ndan

  • @smarty1064
    @smarty1064 4 роки тому +5

    Tunataka kwenda kimataifa we unawaleta kina steve nyerere...uko sahihi kabisa

  • @festoasanga5572
    @festoasanga5572 3 роки тому

    Daaaa chadema nimafutena wana jua sjui tutawapateje tena

  • @nicolauswandao8988
    @nicolauswandao8988 4 роки тому +32

    ukiona taarifa zinazidi ujue unaeleweka

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 4 роки тому +10

    Mzembe sana wewe, wakikaa ofisini pia mtalalamika,,,,,kweli duniani hakuna jema!!!!!

  • @jessydaktari5209
    @jessydaktari5209 4 роки тому +7

    Ameongea sense sana msigwa. .but lets wat and see

  • @yassinudd4422
    @yassinudd4422 4 роки тому +1

    Kuna kazi sana, kama mbunge amini kuwa ata wasanii wa ndani wanaweza tangaza maliasili zetu, nashaka na uzalendo wake

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 4 роки тому +1

    true,nawaziri kuna vijikazi wanafanya ambavyo watu wa chini ndo kazi zao.

  • @filbertnashon7160
    @filbertnashon7160 4 роки тому +4

    Kanuni 28:isome😁😁😁😁😁
    TAARIFA imekua Nyingi,
    I'la Wazo la MSIGWA Ni sahihi!!!!

  • @adiliharold1172
    @adiliharold1172 4 роки тому

    Msingwa huwezi ukawa mbunge wa kutuongoza kama waziri kama unashindwa kujua matatizo ya wananchi na badara yake kujikuta unawaza sana uchumi wakati huo hufikilii kama sisi tunaitaji amani ya wenyewe kwa wenyewee ndipo watalii waweze kuja pia migogoro ya watanzania wandani hawana watu maamulu kwa ajili ya kutatua MSIGWA UMEONGEA UPUUZI SANA UPUUZI SANA UPUUZI SANA HUFAI HUFAI HUFAI.

  • @salomemchewa5187
    @salomemchewa5187 3 роки тому

    Hamjui kutangaza utalii mnapenda kupoke pesa Tu ,mnategemea tour operators ,halafu mnawafunguza wawekezaji na kuwaongezea kodi

  • @sekuludevid5239
    @sekuludevid5239 4 роки тому +5

    Hahahaha mnagombea demu na Steve nyerere kachukua goma lako mchungaji hahahahahaha tunajua msigwa 😂😂😂😂

  • @leoniaedward9435
    @leoniaedward9435 4 роки тому +2

    Msigwa hayo ndo mambo poa

  • @adventureguidertanzania2331
    @adventureguidertanzania2331 4 роки тому +4

    Msigwa Ni Moto jamani

  • @petromashauri2804
    @petromashauri2804 4 роки тому +4

    msigwa baba lao

  • @amedeusmodestikimey9888
    @amedeusmodestikimey9888 4 роки тому +3

    Imepenya iyooo

  • @lonyorilaizer8507
    @lonyorilaizer8507 4 роки тому +5

    Wape somoooooo

  • @mussajacob8346
    @mussajacob8346 4 роки тому +6

    Jamani izi taarifa zanini kwanini musikae kimya mumwache mtu atoe yamoyoni ayo mataarifa yanamshusha moli mchangiaji

  • @Directorhernrypro
    @Directorhernrypro 4 роки тому +1

    Point 👍🏼

  • @arqamibnarqam.7185
    @arqamibnarqam.7185 4 роки тому +19

    Muheshimiwa kigwangwala pokea haya maneno ya Msigwa points.....

  • @daytonmsuku8419
    @daytonmsuku8419 6 місяців тому

    Fact

  • @alexbenedict5378
    @alexbenedict5378 4 роки тому

    Yes

  • @yoshuabosco4725
    @yoshuabosco4725 4 роки тому +4

    Msingwaaaa aaaa a a a a a wewe Ni noma sana

  • @feyzalyusuph14
    @feyzalyusuph14 4 роки тому +6

    Sema baba

  • @masanjangololo6204
    @masanjangololo6204 4 роки тому

    KWELI UNAPENDA SANA MITANDAO

  • @nicolauswandao8988
    @nicolauswandao8988 4 роки тому +18

    kazi ya taarifa ni kupunguza speed ya mzungumzaji au kupoteza muda sio kujenga hoja

  • @roseberryhamoud6542
    @roseberryhamoud6542 4 роки тому +1

    Steve Nyerere anakusubiri

  • @warrenwilliams8888
    @warrenwilliams8888 4 роки тому

    Ni kweli waziri abaki waziri mbunge abaki mbunge

  • @chrismndolwa718
    @chrismndolwa718 4 роки тому

    Eti hawajulikani hata Malawi dah very funny Msigwa ha ha

  • @evelynmon9423
    @evelynmon9423 4 роки тому +3

    Yaan hapo kunaweza kukawa na maroroso yanaendelea kama ya kina logola lakini wao wakashangilia tu sijui wanamatatizo gani ktk akili zao

  • @mtatiromgeka7270
    @mtatiromgeka7270 4 роки тому

    Kuna vitu serikari inaweza kuvipuza lkn ni vitu mhimu sana kwa masirahi ya nchi yetu..

  • @mariamally5011
    @mariamally5011 4 роки тому

    Mh msigwa mungu yupamoja. nawe mchungaji oyeeeeeeeeee imepenya iyooooo

  • @sayibahati7316
    @sayibahati7316 2 роки тому

    intelligent

  • @jacobmgumiro156
    @jacobmgumiro156 4 роки тому +25

    Naombeni muniambie msigwa naweza kumnunua ahamie lushoto ?manas wakwetu sijawah kumsikia hataaaasiku moja

  • @esromkanubho4738
    @esromkanubho4738 4 роки тому +3

    Vizuri msigwa lakini msaidie kigwangara

  • @ulomistephen7679
    @ulomistephen7679 4 роки тому +4

    Akili.kubwa

  • @ameniameni617
    @ameniameni617 4 роки тому +8

    Wabunge wa ccm wote viazi mnakalia miongozo baada ya kusikiliza ushauli mnaopewa na wapinzani wenye Akili kubwa kama ya msigwa

  • @steventulyagyenda1565
    @steventulyagyenda1565 4 роки тому

    Mkatae msikubali'wabunge wa chadema ninoma

  • @mrsramadhani2400
    @mrsramadhani2400 4 роки тому +14

    Nimekuelewa.boc.kubwa
    Lakn.maccm
    Cjui2.wakoje
    Chukuen.mawazohayo
    Myafanyiekaz

    • @sasumaadsaihmayombya8145
      @sasumaadsaihmayombya8145 4 роки тому

      Mrs Ramadhani Kumbe ww uko kichama zaidi na sio kile alichokiongea tukifuata maelezo yako?

  • @salehehassan3665
    @salehehassan3665 4 роки тому +1

    Wazee wa taarifa, hawa hutawasikia kuchangia vitu vya msingi

  • @kasolekasole4981
    @kasolekasole4981 4 роки тому

    Factor

  • @sethkivuyo3342
    @sethkivuyo3342 4 роки тому

    Kweli ndugai unajizalilisha sana kama mkuu wa muhimili wa bunge.. kwani miongozo yakipuuzi kama hii usingeruhu kama ni mbunge wa nyinyim anazungumza.. tena Mambo yenye tija kwa Taifa kama ya Mh MSIGWA

  • @valentinemtei2927
    @valentinemtei2927 4 роки тому +3

    Utangazaji ni fani, kama huitumii ukatumia mawazo yako utakua huna unalofanya