Sijawah ona mtu akaja kutoa ushuhuda kama jini kamsaidia 😂😂😂😂😂😂wotee wamechoka jamani majini ni roho chafu awawezi saidia binadamu maana awajaumba kitu na awana mali yyte ile ata waganga ndo ivyo ivyo.....Mungu pekee ndo mtoaji maana yy ndo mwenye uwezo huo wa kumbariki mwanadamu. Jini akija duniani jua amepewa kazi kuja kualibu ulimwengu
hahahh nmekaa nachek san jamaaa navyo ipambia story mtoto swala tano halaf yy cıo swala tano ıtakuajee!!!! ila pole sana! mm ninaushar hawa species za Mtwara wangejijua wangeingia kwenye sanaa za kuchekesha kwa kuwa wao n the great comedians kwa ongeaji wao tu unafurahi leo ndan ya mfaume- mariamu yule wa mashalaiti fresh! from +90552
Ila una moyo kumfukuzia demu wiki2 😉 kweli we bwana mbishi yani mi nimezidisha sana kwakumweshimu uyo dem siku tatu wewe wiki 2 unalifukuzia tobo 😂😂😂 😂😂😂😂
@@chiffjastini1196 Yani mabahalia ndivyo tunavyo fanya sio wiki 2 wee kwanza ilo tobo analo pekeake yani tena uyo mwanamke mfano amezingua alafu akipita tena kudadeki natema kohozi kila nnapo muona 😂😂
Mmmhhh dev 🌟 jiangalie maana siyo km alikuwa mchaw bas katembea na Jin hao ndiyo watu unao wahoji Sana ,,,nawas was sije wakakuzingua maana wanakusikia Majin utatekwa,,, hahaha
Wangap wanapendaga story za majin kama m
Nipo
Mm apaaa jini
Mimi...stori hizi...zinatupendesha Ma jini..sikuhizi na mimi nataka jini kwaju mashariki nayaweza ikinipatia Range Rover 2022😋😁🤣🤣🤭😂😂🤔😂
Mimi napenda story za watu waliotafuta uchawi kulipiza kisasi
Napenda huyo jamaa anavyosimulia... Gonga like kutoka bahrain🇧🇭
Jamaa anavyosimulia hadi davista anacheka. Raha kumsikiliza
@@benjaminkiteleke8458 iìoìi89o
Pl
Wee hamadi nakucheki Tu slmn ap
@@eishstoner6692 banaehh, huyo mjomba story yke, yani utacheka
Pamoja sana kaka upo Bahrain sehemu ipi?
Ukiona Davistar anacheka juwa story ameipenda
Mamboooo ni hiviii🔥🔥🔥 Mungu mwenyezi akulinde na Shari na mazimwiya Dunia mr DM💪💕
Hahahahahahaa Davistar naona unaenjoy na huyoo nsela anavosimulia
🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣
Naomba like jaman sijawahi kupata
Ntonto nzuri, Hafu ndogo ndogo 🤣🤣🤣🤣
🇺🇸🇺🇸🇺🇸😂😂😂😂😂😂wakufanya kazi benk😂😂😂
Watani zangu wanazingua sana 😜😜😜
Alafu mm nakubali tuu tabiaa gaani ata kunsindikiza hamnaa
Tuned 🇰🇪
hapo Mahuta ni wilaya ya Tandahimba sio Masasi👍..2gether
Love from #Ntwara(in konde voice) Mtwara..
Salam zangu zimfikie #Njomba Nchumali popote alipo ni mimi mpwa wake Ngeni Rachimi....😅
Hawa wanaoonesha Sura at least wanaweza wakawa wakweli
Kabisaaaa sio wale wa kijificha wana unga unga maneno tu
Ntonto nkali Ntonto nzuri
Sijawah ona mtu akaja kutoa ushuhuda kama jini kamsaidia 😂😂😂😂😂😂wotee wamechoka jamani majini ni roho chafu awawezi saidia binadamu maana awajaumba kitu na awana mali yyte ile ata waganga ndo ivyo ivyo.....Mungu pekee ndo mtoaji maana yy ndo mwenye uwezo huo wa kumbariki mwanadamu. Jini akija duniani jua amepewa kazi kuja kualibu ulimwengu
No Kuna tofauti baina Yao wako wazuri na wabaya
At a Freemason si majin na yana pesa kibao
At a Freemason si majin na yana pesa kibao
Unajidanganya mwenyewe
@@kareemalamoody6345 hao wazuri walikusaidia nn acha kupotoshana ujinga
Davista kijan wako hp mtu mwenye utu wang respect 👊
No 11
Wekaa Like hapaaa
Wale wa majini wa merudi amkeni
Dah kwer pamoja sana another episode my favourite chanel back again big up
"Nchumba"
Kuweni makini ndugu zetu sikuhizi nikubaya usimtamani kila umuonae kwani huwezi jua yy ni nani
Nimefika 🇰🇪 watching from 🇧🇭
Mambo
Waaoh
Mie pia, Bahrain sehemu ipi?
Mmakondee mwenzanguu uyoo, anaitwa Mariam... Baaaa naomba unipe namba zako za simuu, siwezi kutoa no kwa ntuu nsiyonijuaaa....
😂😂😂😂😂
Duuh pole Sana mfaume
Insha Allaah mollaah hatakusaidia hutapona Insha Allaah
Pigaaa kelele kwa wamakondee 😀😀😀😀
Mzee mzima unajitoa Sana kuwafuata walengwa wa kipindi chako...
#Usikate tamaa Amini kesho yako ipo.
Ntoto nzuri sana siyo wa kufanya kz za ndani anatakiwa afanye kz bank
Hata anaongea kama hizo majini wanaita babu,pole kaka
WaAah kweli aya mambo yako kabisa kitambo ilikua kama movie waiting for nxt part anasimulia taraatibu ulimtamani yakakukuta kwa uwanja.
Asante tupo pamoja
Nimewahi Leo WA kwanza kimakini
Pole sana mfaume
Nakubali sana kazi zako brother davista matta Mr fact
Ntoto nzurii
Hakuna mahusiano baina ya jini na bina adam,maisha ata akupe nini mwishowake nimateso,na hakuna jini zuri duniani
Dah watu mnawahi mno Ila majini nayapenda Sana Ila wazuri tu
Nzuri Sana story pliz Pt2 isi chelewe
Safi sana simulizi, kk Davi anacheka tu kwa simulizi
Hao tushafika safi mr facts
Daahh hiyo issue Ni mtwara nyumban aiseee ...sehem gani hiyo kusud nimfollow huyo mwamba anipe details zaidi ....Mmi nko mtwara mjin hapa
Ety mtoto mzuri tena dogo dogo tuu,sio wale wa makamu🤦😅😅😅😅😅😅
Mahuta haipo masasi mzee
Basi sawaaa ntoto akaondoka
hahahh
nmekaa nachek san jamaaa navyo ipambia story mtoto swala tano halaf yy cıo swala tano ıtakuajee!!!!
ila pole sana!
mm ninaushar hawa species za Mtwara wangejijua wangeingia kwenye sanaa za kuchekesha kwa kuwa wao n the great comedians kwa ongeaji wao tu unafurahi
leo ndan ya mfaume- mariamu
yule wa mashalaiti fresh!
from +90552
Mashalaiti hhhh tumemkumbuka
Umenikumbusha Yul wa masharaiti😀😀😀😀
😂😂😂 i like the accent tuned from Doha
1st viewer
Ila una moyo kumfukuzia demu wiki2 😉 kweli we bwana mbishi yani mi nimezidisha sana kwakumweshimu uyo dem siku tatu wewe wiki 2 unalifukuzia tobo 😂😂😂 😂😂😂😂
Mi mbili tu Kama jau na sepaa nanjia
😂😂😂😂😂eti tobo
@@emmaraphael5982
Yani aya matobo yana tuchanganya sana sisi wanaume yani 😂😂😂😂😂
@@chiffjastini1196
Yani mabahalia ndivyo tunavyo fanya sio wiki 2 wee kwanza ilo tobo analo pekeake yani tena uyo mwanamke mfano amezingua alafu akipita tena kudadeki natema kohozi kila nnapo muona 😂😂
Masasi moja hiyo
hyo ntonto nzuriiii
Mtu wako makini ....tupo pamoja kaka from kigamboni,dar-es-salaam.
Pole kaka hila nachukia hawa watu naomba like kimekuwa chakula hahaha mie siwapi ng'oo kwangu noooo
Kama vile walipata soko la likes
Good job bro.
napenda hiyo lafuz yakimakonde ❤❤🎤
Kumbe hii lafuz ya kimakonde nikifikiriya ya kipemba😂
Nimewahi
Pamoja rizik
Daaaa kumbe mi wapili
@@maryamoman1370 poa
@@benjaminkiteleke8458 nimewahi leo
Mimi wa mwisho leo
"Ntoto nzurii...kilasiku anabadilisha Pafyuum"
Haaaa ntoto nzuriiii🤣🤣🤣
@@gadafimasoud310 baah ntoto mariam nzurii bwanaa
Ntoto sio wa kufanya kazi za ndani uyo ntoto nkaliii
Nchumba
Better late than never.......like my komenti
Mmmhhh dev 🌟 jiangalie maana siyo km alikuwa mchaw bas katembea na Jin hao ndiyo watu unao wahoji Sana ,,,nawas was sije wakakuzingua maana wanakusikia Majin utatekwa,,, hahaha
Harufu ya pafyum imemnogea,Ntwala woyoooooo!
Maisha angu ya aenda vizuriii ela napata aa swaaaaa
Ukikimbia nchale'na ukisimama nchale
Mbona ntoto nkali nzur ndogondogo wamakamo hahaha taha sana. Mm ningechek mpknkaanguka
Pamoja sn sibanduki mzee
sawa
Inaelekea watu wa Mtwala sio Wabantu maana hiyo rafudhi yao si ya kawaida.😳😲😳
🤔
Davistar anachek San sem anajifich t
Ntoto Ntoto jamani raha ilioje kucheka kwa sana🤣🤣🤣😂😂
davister uko vzr
Amefanana na dulamakabila... na anaongea ukwel kabisa 🤙🤙
Hlaha kweli itakua ndugu yake
Ntoto nzuri Tena dogodogo😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂🖐🖐🖐🖐🖐🖐🖐🖐🖐🖐wanaumeeee bn eti mtoto mxuri ndomana mwaangukia majini
@davistar kwenye tendo la ndoa hua lazima uulize ilikuaje 😀😀
Mambo ayo jamani mmakonde utamu leo
Na kwambia Kiswahili nayo Geto boy😂🤣🤣🤣
Hili geto anakaa msela sio paka 😁😁😀😁😂
Huyo jn nadhan ni juliet's tuu ..swali atauliwa ajeaache kusubua vjana
Chinga sio tendo la ndoa bali tendo la uzinzi😂
😂😂😂😂 Napenda unavyo simulia maana inaonyesha kama ulipenda kweli
Devs unacheka mmakonde anakuchekesha kiswahili
Second
Davistar tumekutek wana kusin duuh part 2 tafadhar
Tunakubali mikasa DM
Kwa hiyo huko bongo watu wengi wao ni mazimwi . Au misukule .da vista hebu nenda na zanzibar au pemba .huko ndio gining haswa
😂😂😂😂
Pemba ukiwachokoza giningi utawaona
Popobawa
siwdakta. Aendee pemba huko au zenj tupate story za huko
Kwetu Hakuna mambo ayo Zanzibar njema atakae Aje 🤣
Gheto la nseraaaaa😂😂 hawa watu burudan sn wallh
😃😃😃😃
🤣🤣🤣🤣🤣
Duller Mzungu hapa
Ndugu yke dula makabila huyu
Azana inatoka waaaaahh🤣🤣😂
Daah nimecheka hadi mbavu zimeuma adhana alivoitoa 🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂
Kwani Majini Wote Wanapenda Perfume Najifunza Kupitia Hii Kipindi
kuna faida gani kuwa wa kwanza kila siku- tuambiane ???
Hata mm nawashangaa, wengine wataka na like,,
Wananikera Sana hao watu yaan utafikir wanalipwa
" Ntu na ntu" pole napenda unavyo oongeah
Kma gabo🤣🤣
@@naifatabdulqadir4300 hahaha 🤣
Msimlizi mzuri
Wacha ni angalia kwanza ndio Nije kucomment
🔥🔥
sasa huyo ndiye mmakonde lakini si yule aliyepita mtu wa sound
Davistar kwanini kwangu kwanza notification inakuja part2 then part1?🤔
Ntoto nzuri halafu ndogondogo😆😆😆
Wa 3 leo nimewai
Daaa jamaa kanichekesha sanaaaa
Kama umesikia figisi gonga like hapo 🚒 🚒 🚒
Hodiiiiiiiiiii🔥🔥🔥
Mahuta ni masasi au tandahimba
Siwezi kutoa no zasimu kwantu nsiojuaa😀😀nacheka Kama mazuri
Duuh kutongoz tongoz uku
Aniii mwishowe unaktan na vtu vya ajabu
@@zubedanyamsha1971 we cha tu
Nikamdondoshea mezani pale bwaaa.... Baba kubambanya nakuelewa sana mzèe
😅😅
Akaniambia basii sawaaaaa