Unaamini kuwa yesu ni bwana na mwokozi wetuu , nenda kanisanii uongozwe Sara ya toba na uombe na uhudhurie ibada kanisan za maombii mm naamini utafunguliwa waganga utapoteza tuu muda na pesa
Brother Mfaume!Nakushauri, tafuta kanisa lenye watumishi walio waaminifu,utaombewa Kwa jina YESU na utapona,Huyo Mamu ni Shetani tu hana mpango wote! Blessed!
🤔 mtu mwenye hajakutwa na mambo kama hii ikimwemo namimi tumshukuru sana MUNGU Wetu kwa kutulinda Jamani 🙇 Davistar pia we MUNGU Akulinde kwa Neema yake
Kweli huyu kk kafanya makosa yy mwenyewe, na pia huyo jini alikuwa anakubali makosa yote na anamsamehe Faume ila pia ukiambiwa kitu usifanye juwa unaambiwa hivo kwa ajili gani manake huyo alikuwa hapendi uchafu pole sana kk Mfaume
Wewe pia gubu kweli sasa siku tatu tuuuu eti ulienda nikajua umeniacha huruu😪😪😪 hapo sasa hakuna chakuzaaa kwann hukumsikizaaa jini wakoo hilo tatizo naloooo Azabuu ngumu waaaaa watu kufa mashine haifanyi tena asikuone namwanamkeee🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️yoteee hayo uliyataka Ila pole
Naomba kuliza Jamani Je haya mambo anayosimulia ni kweli au niongo Jamani sababu story kama hizi mara nyingi zinakua kwenye movie sasa hiyo miujiza inafanyikaje???
brother davistar umekuxhinda uzalende mpaka unacheka wngp walie mona brother davistar anache wgonge like hp chin
Aisee konde boy umenikosha naona brother Davistar unacheka kizungu
Daa hii kweli nimecheka sana! Hali ya Dunia bro! But Mungu atazaidia!. Jamaa anajua kusimulia kweli.
Unaamini kuwa yesu ni bwana na mwokozi wetuu , nenda kanisanii uongozwe Sara ya toba na uombe na uhudhurie ibada kanisan za maombii mm naamini utafunguliwa waganga utapoteza tuu muda na pesa
Kwakweli Yesu ndie njia
Kabisaa njia ya kweli na uzima
He needs Jesus Christ
Siwawezi yaan nlikuwa nategea lakin dk 1 tu mmenipita kama mshale kulen like bs
Brother Mfaume!Nakushauri, tafuta kanisa lenye watumishi walio waaminifu,utaombewa Kwa jina YESU na utapona,Huyo Mamu ni Shetani tu hana mpango wote! Blessed!
Kbs hakuna jambo linalo mshinda Bwana YESU.
Dah kwer pamoja sana another episode my favourite chanel back again big up
Ntiespecti kama mtu kaskia hilo neno😂🤣🤣🤣
Wakwanza nmewahi, 🇧🇭 gonga like kwa mfaume
Maa shaallah
🇧🇭 Pamoja
@@vellarose2596 sana
jamani napendaivo anavo sema
@@rahmamusa9627 🤣🤣🤣🤣
@davister part 6 iwapi
Mr Fact nakuloveee sana bro kwa kazi
Big up ..
Pole sana kaka
Thanx Davista
Watakula nin? watakula ming'oko🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂
Bhaaaaaa....😂😂😂Nisameeeeee
Baba ntotoooooooooo AAaaaaah....
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Au ugali wa makopa
🤔 mtu mwenye hajakutwa na mambo kama hii ikimwemo namimi tumshukuru sana MUNGU Wetu kwa kutulinda Jamani 🙇 Davistar pia we MUNGU Akulinde kwa Neema yake
pole sana kaka
Wakwanza,,,njoon kaja🤝
Tamu
Pamoja mzee Fact
Leo Tena Mr. Facts
Davistar twende kazi kk hiyo story nzuri 👌alafu ana nifurahisha 😃anavyo zungumza hicho kibangu nangu😂😂😂
Mamb
Baba watoto hilooo!!! Davistar chunga hapo asije tokea ukaitwa shem mambo
Duhhh hiii kazi sana
Leo nmewahiiii oyoooooo Dv lov u
Davistar kijan wako hp mtu mwenyew utu wang respect 👊
sawa
Nimecheka sana Leo davi
We kaka Davi mbona kama huyo #Mfaume ni saa_mbovu😂😂😂 sio bure huyu anafrah kuwa na jini jamn🤣🤣
Wa kwanza leo
Ntotoo🔥
Kama Hadithiii vile ilapooole Mwaya pole kaka MtottMamuuu huyuFisadiii. Kaka kondeBooooy. 👊👊 Davista akichekaaa mimiNachekaaa Piaaa sijuh kwaniniii😃😃
Subhna Allah
Jamani
Weee kaka tii Shelia usiwe mkaidi baba mungu atakusaidia
nakushauri ,weka nyumba Safi fukiza udi asubuhi na jioni, nashikamana na ibada kilakitu kitakua sawa,
Mr Davista nakukubali kwa kipindi hiki ,
Okoka
✌️👊
Kafariki,,ntumeeee!!!
Iko powa
Ntoto nkali ntume mbona hela sina siyo ming'oko huu mpunga na nyama,
Wa 7💃💃💃
Ming'oko daah umenikumbusha mbaliiii....😂😂😂😂😂masasi moja iyooo...nachinduri 😂😂😂😂😂nimekumbuka kwetu jamani
Bwana wewe kwereee au bahaaaa
@@abedmussa7854 nimemis home oohhh
Hahha nimecheka balaa eti achumani but pole sana
Mamb
Nikimkumbuka mtoto amina,, acha mawazo yakipumbabuuu Hahahahahaha mbavu zangu
Ntoto nmfor love
Mfaume mtoto wa kiume shababi 😆🤣 napenda vile waongea 😅😂🤣👍
Kweli huyu kk kafanya makosa yy mwenyewe, na pia huyo jini alikuwa anakubali makosa yote na anamsamehe Faume ila pia ukiambiwa kitu usifanye juwa unaambiwa hivo kwa ajili gani manake huyo alikuwa hapendi uchafu pole sana kk Mfaume
Yes muendelezo
Cha kufanya we Anza kiswali Sara 5 Tena kua msfi ghetto atakuja akija we mwombe Sana majini hua waelewa atakusamehe na huyo anaonekama no jini mzuri
Wakwetu kabisa uyu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👍
😂😂 Npungaaa
Achumanii jamanii me nimecheka mpaka basii ila story mzurii san
Othman anazenguaa
Wakwanzaaa...Njooniii
Stor nzur Ila msimuliaj ndio anavyongea ivyo🙆
Kuongea sasa
Achumani kaja uku mkowapi
Na mini wa kwanza leo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mfaume vituko wewe doooo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wewe pia gubu kweli sasa siku tatu tuuuu eti ulienda nikajua umeniacha huruu😪😪😪 hapo sasa hakuna chakuzaaa kwann hukumsikizaaa jini wakoo hilo tatizo naloooo
Azabuu ngumu waaaaa watu kufa mashine haifanyi tena asikuone namwanamkeee🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️yoteee hayo uliyataka Ila pole
Duuh pole kijana
Wakwanza
Do bro pole yamekufika kweli 💔💔
Et au watakula ming'oko au makopa hayo daah
Basi sawa mfaumeee😂😂
Pole sana,
Ila kama una Akili Okoka, jini hajawahi msaidia mtu. Atakutesa tu mwisho atakuua!
YESU tu kiboko ya maji yote!
anasema. vizur hayomeno
🤣Nachka uko kuongea
Nani ana no.ya uyo dogo apo
Hahahaha et au watakula ming`oko?
Davista ukimaliza story uwe una andika mwisho
Hii part 5 nimeirudia sana hapo mwanzoni
Achumani mkaidi hachikii
Chana
Story inastikitisha but inafurahisha!!!
Napenda anavyoongea jamani
Duuh aisee pole duniani kunamengij...sasa wewe nawewe ulikubalije?😭Mwombe na Mungu akuvushe
Bitte!
Usalama ni kwenye maombi kweli.
@@Fm-MornStar2014 kabisaa aende atapona kwa imani
Achumman
Duuuh!! Bila Yesu hapo ndugu utateseka mpaka ukome.
Ming'oko na chumvi tamu sanaaa
😃😃😃😃😃
Kaka wee cheka maana mm nimecheka mpk nimelia wallah
Jaman kafuraaaa
Njoo kanisani ufufuo na uzima utafunguliwa pole sana mufalme
Weeeee unachekesha nn huyo jini sio mapepo wachafu huyo km binadamu hatoki ngooo cheza nn
@@barbranabakooza9589 we unatak mwenzio aumizwe nyie hamtoi mapepo Bali mnazidish mapepo
Mtoto mam atakuonyesha vituko mufalme
Davista nauna unapepesa macho m mtoto mamu kapita ujamuona 😂😂
Anashuku usikute jini yuko hapo
🤣🤣🤣
Ntoto achuman kaingia ngileee😂😂😂
Duh
Kumekucha amkeni mfaume amerudi njoooni
Hayahaya wale wa mingoko na chinduli mpoooooooo
Achuman jamani kala dozi ya kichomi 😀😀
😀😀😀
Ujitambue
Davista nchumba umemwona hapo😆😆😅😅
daaa, ndio utaishi hivyohivyo......mhm
Poa sana
Naomba kuliza Jamani Je haya mambo anayosimulia ni kweli au niongo Jamani sababu story kama hizi mara nyingi zinakua kwenye movie sasa hiyo miujiza inafanyikaje???
😂😂😂Baba watoto
Npenda vile akisema sinamehe😀😀
Kuwahi sio mchezo wacha niskize kakangu hapa yanayo msibu
Mm pia ndo saahii🤗🤣🤣
Ana raha huyu jamaa 🤗🤗🤗
Raha yake nn
@@dotosalim5090 kuelezea kwake
@@somoeawadh7774 nikweli anachekesha
sisi ndo tunaona kama anachekesha ila yeye anaona kawaida tu.
😢😢😭😭😭😭
Ntoto nan for love kishenzi 🤣🤣🤣
ahahaha!! kafariki ntumee
Hiiimoja nimeshindwa kuelewa jameni 🇧🇮
Hujaelewa nini?
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Mfaumeeeee
Nice