jamani mbona watu wanapenda kudanganya watu mie nimezaliwa ziwa tanganyika kasanga..nimevua ziwa tanganyika ziwa rukwa ziwa Victoria..bahari ya hindi mchana na usiku...tena nikiwa mdogo miaka..11..mpaka miaka..20 hii miaka 9..yoote nilivuwa..hata kama nafanya kazi gani nzuri lazima nikavuwe..ni kweli baridi ya baharini kama hujaizowea..kesho lazima uumwe..hii kwamba wa vuvi wanatumia uchawi nakataa kabisa
@@captainndoxy5769 mie sasa ivi nipo south Africa na nikiwa sielewi naenda Durban kuvua..nimevua kunduchi mbweni unununio.. bagamoyo feli sijaona hiyo kitu sema ukelewe niliona kweli wanaroga kwenye mitumbwi
Shukuru Mungu Nyota yako haikutakiwa, hii ni sawa na kuishi mtaani kwako toka uzaliwe mpaka unakua Mtu mzima usiweze kujua kama Mtaani kwako kama Kuna Mchawi na kama hawana shida na wewe watakuacha mpaka Muda wao ukifika lazima wakufanye Msukule kama huna Yesu. Nje ya hapo Nyota yako haina kazi na hao Watu unakua kama Galasa tuu kwao. Haya mambo kama huyajui usibishe mshukuru Mungu akuweke mpaka utakapo pata Neema ya Uponyaji nje ya Hapo wewe ni Msukule Mtarajiwa
Yani hawa waganga wakujitangaza hata hawaaminiki bora kama yule anae sema alikua mganga hadi kuzim kidg utMuamnini lakini huyo mti moavu hadi nimuone kwa macho yangu
Pamoja saana Mr every
Pamoja sana the golden boy
Waching from Germany
Story tamu sanaa...japo inasikitisha
Watu wanateseka sana
Unatuletea matapeli
mbona story humalizii ya yule wa shinyanga na yule dada wa UK
Tuko pamoja
Km tapeli tujue okay,, km atnatumia kazi hii kutapeli, sasa wewe unaleta watu matapeli jamani
Ndugu awana uruma wanachukuwa mali za yatima ndo lahana izi
Km awezi kazi arudishe pesa
Tanga kunani sheby alawi tuko pamoja mkuu
Story ya makofia uxiiweketena ana jiona supa star uki iweka xifatilii tena na wewe una jipendekeza kwa makofia achana nae
😂😂😂 Tulia buana
Hhhhhhhhhhh punguza presha jomba
Uongo mtupu mtu mmoja unastory kibao
Story ya anania vipi mbona hautupi mwendelezo
story zako ambazo azina mwendelezo
SIRI ZOTE KUHUSU
Mmmmh 😳 htarrrrr, sheb nipo kwa minchi nina story
0652992690 nicheki WhatsApp
Duuuuh ndugu wabaya kufa na kuzika mjomba kauza nyumba daah maisha aya pole sn
jamani mbona watu wanapenda kudanganya watu mie nimezaliwa ziwa tanganyika kasanga..nimevua ziwa tanganyika ziwa rukwa ziwa Victoria..bahari ya hindi mchana na usiku...tena nikiwa mdogo miaka..11..mpaka miaka..20 hii miaka 9..yoote nilivuwa..hata kama nafanya kazi gani nzuri lazima nikavuwe..ni kweli baridi ya baharini kama hujaizowea..kesho lazima uumwe..hii kwamba wa vuvi wanatumia uchawi nakataa kabisa
Wewe ulikua hutumii wapo wanaotumia daily sema we hujabahatika kukutana nao kama upo Mza njoo kijiweni nikupeleke Ukaone kwa macho yako
@@captainndoxy5769 mie sasa ivi nipo south Africa na nikiwa sielewi naenda Durban kuvua..nimevua kunduchi mbweni unununio.. bagamoyo feli sijaona hiyo kitu sema ukelewe niliona kweli wanaroga kwenye mitumbwi
Imani yake ndogo
Shukuru Mungu Nyota yako haikutakiwa, hii ni sawa na kuishi mtaani kwako toka uzaliwe mpaka unakua Mtu mzima usiweze kujua kama Mtaani kwako kama Kuna Mchawi na kama hawana shida na wewe watakuacha mpaka Muda wao ukifika lazima wakufanye Msukule kama huna Yesu. Nje ya hapo Nyota yako haina kazi na hao Watu unakua kama Galasa tuu kwao. Haya mambo kama huyajui usibishe mshukuru Mungu akuweke mpaka utakapo pata Neema ya Uponyaji nje ya Hapo wewe ni Msukule Mtarajiwa
@@charlesmapunda5905 msukule mtarajiwa mie??
Davistar mti mkavu kachukua pesa kazi ataki kunifanyia wala ajibu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 ulimtumia kiasi gani?
Mmmh
Yani hawa waganga wakujitangaza hata hawaaminiki bora kama yule anae sema alikua mganga hadi kuzim kidg utMuamnini lakini huyo mti moavu hadi nimuone kwa macho yangu
Mwendelezo weka hata mbili mbil Kila siku