Kwa hiyo wazungu tabia zao kama majini mahaba mana ukipendwa na mzungu haruhusu uowe na mke mwengine awe yeye to na hata ukizaa na mzungu bas watoto wataish ulaya mwanamke hatokubali watoto wake waish Afrika. Wazungu tabia zao kama majini mahaba
Kaka davis ukopoasana nakukubari sana story ikosafiii ila yule brother wa julieth hana story nyingine make alikuwa ananichekeshasana alikuwa anavitukodah 👍👏👏👏👏💯✅
MY BROTHER DAVISTAR MATA MY DUA ALWAYS WITH YOU UR BROTHER SIDIK FROM LONDON 🇬🇧 .TELL UR FRIEND I LOVE HIS STORIES 👋 ONE DAY I WILL COME TO VISIT YOU INSHALLAH IN TZ MY BROTHER DAVISTAR MATA REMEMBER ME IN UR DUA UR BROTHER SIDIK FROM LONDON 🇬🇧 🙏 💙 ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kwakweli huyu jamaa tokea part 1 anavyo isimulia hii simulizi unaweza kuhisi au kusema alijipanga na maisha hayo kwamba akijakupata kiumbe wa aina hii nini afanye . Story tamu sanaa
😂😂😂😂😂yani unabebwa tuu uhame sawa yani hujui lakufanyaa mpka unapangiwaa wapi utaoa Haha mara watoto hao walizaliwa lini??siku sote hunahabari nijini makubwa
Davistar muendelezo tafadhali... Hii story imebamba, likes zenu kutoka bahrain🇧🇭
Asante sana davistar kupitia channel hii nimejifunza mengi umenifumbuwa macho,,, na kunifanya niendelee kuwa Karibu sana na Mungu wangu,,
Kwa hiyo wazungu tabia zao kama majini mahaba mana ukipendwa na mzungu haruhusu uowe na mke mwengine awe yeye to na hata ukizaa na mzungu bas watoto wataish ulaya mwanamke hatokubali watoto wake waish Afrika. Wazungu tabia zao kama majini mahaba
🤣🤣
hahahaha nimecheka kwa nguvu aisee
😂😂😂
Dah kwer pamoja sana another episode my favourite chanel back again big up
Msimuliaji yuko vizuri muda wote anatabasam yaani mtu unasikiliza mpaka utaman isiishe
Kabisa
Nilikuwa nasubiri hii story ndo nilale kutoka 🌏🇱🇷🇱🇷🇱🇷.
Hi
Kaka davis ukopoasana nakukubari sana story ikosafiii ila yule brother wa julieth hana story nyingine make alikuwa ananichekeshasana alikuwa anavitukodah 👍👏👏👏👏💯✅
Maana sisi huku duniani tunaishi NA majini tusitili yaarabi 🤲🤲🤲
Amiin ya Rabi
MY BROTHER DAVISTAR MATA MY DUA ALWAYS WITH YOU UR BROTHER SIDIK FROM LONDON 🇬🇧 .TELL UR FRIEND I LOVE HIS STORIES 👋 ONE DAY I WILL COME TO VISIT YOU INSHALLAH IN TZ MY BROTHER DAVISTAR MATA REMEMBER ME IN UR DUA UR BROTHER SIDIK FROM LONDON 🇬🇧 🙏 💙 ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Yan anafurahia kabisaa haya maisha yake na demu wake jinni
Ww unamuonaje, sura za kitonga hizo
@@wantangosaimon5295 kitonga ndiyo wapi
Hahaha haha nimecheka
Mtoto yuko vizuri
@@aishasaid5702 😀😀😀
Safi sana anajua kusimulia
Kwakweli huyu jamaa tokea part 1 anavyo isimulia hii simulizi unaweza kuhisi au kusema alijipanga na maisha hayo kwamba akijakupata kiumbe wa aina hii nini afanye . Story tamu sanaa
good job 🇨🇩🇨🇩
Pole sana kaka yngu
Waiting for part three👌
Msimuliaji ana batasamu huyo 😂😂
🙄😋😅😅
😂
😂😂😂😂😂
Watching live from 254 city
Yeeeah🤗
Ahsantee Davistar kwa part2
au we ndo mwenyewe
Mtu makini katika ubora wako Asante Kaka dm kwa kutuelimisha
Hatari sana
Tuned 🇰🇪
Kaka Dv lov Sana story zako uishi maisha marefu
Jamaa mpole sana
Jamani watu wabuguruni tuwe makini Sana tunaishi naokumbe😄😄😄😄😄😄mungu uyu jamani
Aah leo li broo davista limecheka 😀😀😀😀😀
Story nzuri sana 🇪🇸🇪🇸
Mr fact ww mchokozi sana bro
Mungu atunusulu na mitihani kama hii Inshallah
Davistr kjn wako hp mtu wenye utu wang respect 👊
story tamu
Ndio nimeongoja Sana Mtu Makini
Haiishi hamu kuisikiliza👍
No 7
Thank you Davista, was waiting for it....
Part 3 plzzzzzzzzz
Part three plz
Riziki mambo yamekwiza habiby wangu
Huyo jini anaomekana mstaarabu sanaaaa...
No 14
Just waiting ☹
Mmhh hajafa kweli huyo dada...uwiiiiiiiiii
Hoi hoi utamu mpupu
Dah binadamu bana Hatari katika story zote Mr Davi Hii Hutaki imalize
Duh imeishia patamu.tunasubili part 3 kwa hamu
🤷♂️🤷♂️🤷♂️🤦🏽♂️🤦🏽♂️🤦🏽♂️tamaaaaaaa hahaha mwanaume utosheki wakutana namwanamke bila ruhusa yajini haha
Normb 11
Davistar Wapenda viswali vizuri 😅
Nasubir number 3
Duh nasikiaga sikuaga nikajua hadithiii kumbekweli ila kaka moot wakowa chumaMi siwezi kuishi na jinijamaniii nitakufa dk0
Mungu wangu EEEE kijana ulijikamilisha kweli NA ulipata ujasili
Kali
Midume inapenda kulelewa nyie mtakufa na vitu vya bure. Nakutamani wadada msiowajuwa.
Davistar tutafutie, yona, ayubu na Daniel naye atusimulie jinsi alivyoo kaa na, Simba bila kuliwa
Aisee hizi xtory znatufundixha Vitu vingi kumbe mtaani humu wamo saa nyingine tumepanga nao humu duh
Jamani watu tunapenda story za majini kwanini lakini au kwavile tunasikia kuwa wanajigeuza geuza ndiomaana tunawapenda😝
utahira
Mungu aninusuru kuonana nahao viumbe
Dooh
Uyu Jamaa Alikua Muoga Sana Tena Sana
Mimi naona hadhisi tu
Wakumi leo
Nimewai kidogo leo
Kwani akuna part 3 ya hii🤔🤔
Part3 ikowap??
Aaah sasa c angekunulia nyumba mzee au wew ni kula mzigo tu?!
Hakika maajabu ni mengi ulimwenguni.
Davista unacelewa🗣️
Kwa hiyo wadau maamino hii story?
Yani wamkubalia jini rahisi rahisi tu mpaka wazaa nae
mjumbe nipo ndani
Kaka leta nyingne
Nini inafanyika ndio mtu apatane na iyo shita, Ata mtu Ana swali, majabu ya ulimwengu
Doh yani kaka uliishi maisha yako mazuri na jini 😅😅😅
Kiranga komo,,mke wa 3 baharin mweh
Majini duniani wapo na tunaishi Nao wengi sana
Sasa apa anatutambia maisha yayeye nauyo demu wake au yani mana simwelewi uyu jamaa yani uyu mzinguaji kinyama.
Yaa wanne leo kutoka wa 29
🤔 hivi Jini akikuchagulia mke jua tu wote ni kitu kimoja
Uyo mke uliye muowa alikuwa wakawaida au ndio kama mke wa kwanza?
Davistar naomba jibu
Duh leo nipo namb 65 simwisho huku🙄
Yaan msimuliaji anatabasamu tu
Uogopii weee
Uyu kaka nae anatamaa jini anae binadamu anae bado unataman tena duh
Watu waeza dhania ni story lakini it is real the marine kingdom inatoa bidii wawe wengi kutushinda hapa duniani, so uyo anafaa deliverance kamili
Everything is explained kwa bibilia in the book of Genesis and how they came to be on earth..damu ya yesu inatutosha
Naniii haifanyi kaziii hahahhaa
aise aliemuona shemejietu jini kapita nyuma ya mtangazaji anyooshe mkono just😂
Et wife wangu
Masikini mtoto wa watu alikufa tu sababu ya siku moja! Mwanaume lazima ahanye?
Majini ni wengi kuliko wanaadamu
Hivi ni kwann watu wenye mahusiano na majin hawamalizagi mahusiano salama
Yaani ndo wakwanza kusikia anafulahia mapenzi ya jini duh!?
Jamaa anapenda kitonga huyu😂
Kitonga ni nn nimeshaskia mpaka kwa nyimbo za kibongo i hope sio matusi
Mteremko kwa maana ya kwamba alirdhika nae hasa vitu vya bure alvokua anapewa
@@vaghoghontweki9827 AH... Kumbe.. Sawa sawa asante my frnd
Duniani kuna mengi
Alimpenda mini yakampta haya
Shemejiii 😂
😂😂😂😂😂yani unabebwa tuu uhame sawa yani hujui lakufanyaa mpka unapangiwaa wapi utaoa Haha mara watoto hao walizaliwa lini??siku sote hunahabari nijini makubwa
Hizi story ukiwa unahadithiwa unaweza dhani vitu ambavyo havipo ila,,,,,,,
Wa 11 leo,,,, hahaha
Ulikubali kuzaa vijini ambavyo havitakiwi kuonekana
Duniani kuna mambo ya ajabu sana.