PART1:KIJANA ASIMULIA MAHUSIANO YAKE NA JINI ALIEUA FAMILIA YAKE YOTE NA KUMTIA UPOFU/KWAKE MAKUBURN

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 160

  • @abdulrahmanhassan9254
    @abdulrahmanhassan9254 4 роки тому +14

    Mm nimependa hapo zukhaira alivyotoa dawa kumtibu kakake, yaani miaka 12 kitandani ila akapona kwa siku 3 tu kweli watu tunaangamia kwa kukosa maarifa.

  • @salumali3281
    @salumali3281 4 роки тому +6

    Na kwa wale wanaopenda kwenda kwa waganga wajue asilimia kubwa ya waganga ni wanga. Na km utachunguza ktk story nyingi za watu. Walio enda kwao kutafuata utajiri. Wameambiwa watoe kafara ya roho za watu (vikoa) kwa mashetani ya kichawi. Hata wanga wanawapa kafara km hizo mashetani yao ya kichawi. Na madhara mengine waganga baadhi yao ni wezi wa nyota za watu (bahati au mafanikio). Wanaichukua nyota yako anauziwa tajiri unajiona hupoi unazidi kudhoofika kumbe unatumiwa mtihani. Lakini kuenda kwa mganga kutaka tiba au dawa km mtu Ana matatizo hasa ya mauzauza sio kosa. Maana ukiwa una matatizo ya kichawi utafanyiwa duah au maombi inategemea na imani ya dini yako. Maana uchawi vizuri utumie na dawa za kienyeji. Jambo baya au kosa ni kuenda kumfanyia mtu ubaya (kumroga) au kutizamia (ramli au kuaguliwa) ndio dhambi. Halafu hiki kizazi cha JEJE kinaamini sana mchezo huu wa kuaguliwa. Na hui mganga au ustaadh km hujui kuagua huyo unae muambia akuague yeye haielewi hali yake 😀. Miko ya mganga ni kuficha siri hata km ataona hatakiwi kusema maana atagombanisha watu mf: Kaka yko mchawi au mjomba yko ndio mbaya inakua fitna. Kwa sie waislamu tumeusiwa na Mtume wetu Muhammad swala wallahu alaihi wasalam mganga atakaposema jambo hata km likatokea basi tuone km amebahatisha tu. Tusimchukulie km Mungu mtu anajua kila kitu hapo tutakua tumeingia kwenye mtego wa sheitwani (ibilisi) namalizia MCHAWI NI MTU YOYOTE MWENYE ROHO MBAYA KWAIYO BINAADAMU TUPENDANE HASA WANA FAMILIAR

  • @jamilaally3172
    @jamilaally3172 4 роки тому +9

    Dah kwer pamoja sana another episode my favourite chanel back again big up

  • @aishabeka5562
    @aishabeka5562 4 роки тому +3

    My davistar tuko pamoja tunaendelea kujifumza

  • @euniceeunice7680
    @euniceeunice7680 4 роки тому +2

    Alafu kaja anasema anataka kukusaidia then kaua mama ako😂😂😂😂😂jamani amna jini anae weza saidia binadamu majini wanakuja duniani kualibu ulimwengu tuu amna jini wala mganga mzuri duniani na mbinguni lzm muelewa ilo amna jini zuri jamani izo ni roho chafu zinakuja kualibu ulimwengu na kupeleka watu motoni 😥😥😥😥😥😥😥inauzunisha kweli jamani.....

  • @user-cr9mf7dg4k
    @user-cr9mf7dg4k 4 роки тому +2

    Asante davistar good job💐💐💐

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 4 роки тому +6

    Yaani wanaume mjirekebishe huwa mnapenda kufanya mapenzi na wadada kwa siku moja tu au hapohapo.. ndiomaana majini yanawangia kirahisi.

  • @katherinejerry1251
    @katherinejerry1251 4 роки тому

    Nakupenda sana davistar Mata big up

  • @tatukizunga1191
    @tatukizunga1191 4 роки тому +2

    Beibiiiii..kazi nzuriiii💞💞

  • @imagepower3641
    @imagepower3641 4 роки тому +2

    👏👏good jobs

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 4 роки тому +2

    Samahani Mr Fact naomba siku utakapokuja kumuhoji yule mganga wa majini basi umuulize swali hili , je kuna binadamu wasio logeka kichawi na hata kuingiwa na majini au kukubwa wapitapo njiani ?

  • @LailaLumatila
    @LailaLumatila 4 роки тому +2

    Coco majini yapo jamani hata mimi nili meet mmoja wao ⛈

  • @latifajanja2375
    @latifajanja2375 4 роки тому +2

    Binafsi vitu kama hv nilikua naskiaga tuu zaman wala sikua najua hata kama kweli lkn sikuhz na mitandao twajionea mengi kwel dunia imebadilika sana aya c tunaenjoy tuh 😊big up Davistar mata media

  • @roseuwambe8089
    @roseuwambe8089 4 роки тому +3

    Umemkuta ila kwasasa hayupo kiswali noma😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣

  • @azizasayi97
    @azizasayi97 4 роки тому +3

    Wa 11 kaka Dv Asante tupo pamoja

  • @emmanelly6864
    @emmanelly6864 4 роки тому

    Tuned .................

  • @mathayoluoga5223
    @mathayoluoga5223 4 роки тому +6

    ANYWAY SAWA DM LAKINI SIO LAZIMA KUFUPISHA KWA NJINA NDO ULETE MAANA YA LOGO UNAWEZA KUTAFUTA LOGO MOJA KALI SANA ILA DEVISTAR MATA IKABAKI KAMA SLOGAN AU MOTOR YA KIEELEZI KIKUBWA SALUTE KWAKAZI YAKO

  • @nancychissamo379
    @nancychissamo379 4 роки тому +2

    Nimewaiiiiii💃💃💃💃💃👏

  • @salimmohamedsalim4448
    @salimmohamedsalim4448 4 роки тому +3

    Safarihii davista uwatembelee waganga wote dar upate story zaidi

  • @salumbunga240
    @salumbunga240 4 роки тому

    Davistar kijan wako hp mtu mwenye utu wang respect 👊

  • @griezmannmhalaka4338
    @griezmannmhalaka4338 4 роки тому +2

    Jamaa anauliza maswali yenyewe kabsa hongera 🙏🙏
    Et kufresh maindi ndio nn😀😀😀

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 4 роки тому +2

    Kwani majini hawajui kuwa sisi Binadamu hatuna shukrani wala fadhila iweje waje wafanye mahusiano na sisi? Sisi ndio Binadamu tunawezana wenyewe kwa wenyewe 😀😃

  • @rosecruiz4348
    @rosecruiz4348 4 роки тому

    Pole sana dede kwa yalio kufika

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 4 роки тому +3

    Majini bwana hawachagui mwanamme sisi binadamu wenyewe tunachagua wanaume hatuvamii kila mwanaume 😂😃 sijui kaka zao wa kijijni hawawafikishi 😅

  • @salmamohammed5623
    @salmamohammed5623 4 роки тому +2

    I love your shirt today. By the way I'm a woman, don't be fool by the name I'm using. 😀😀

  • @monicerz
    @monicerz 3 роки тому +2

    Mtot amaizing 😅😅😅😅

  • @jeaninemugisha6395
    @jeaninemugisha6395 4 роки тому +2

    Nami reo namba 2Lik

  • @feyfarid0448
    @feyfarid0448 4 роки тому +3

    Jini kampenda mtoto wa remi ongala duuu

    • @asiakinia9344
      @asiakinia9344 3 роки тому

      Jamanii😂😂😂😂Mwenzio kafresh maindi

  • @griezmannmhalaka4338
    @griezmannmhalaka4338 4 роки тому +5

    Hakika broo nakuona sehemu we ni zaidi mirad ayo

  • @fatmaswalehsaid8850
    @fatmaswalehsaid8850 Рік тому

    Subhanallah

  • @zeituninuru5632
    @zeituninuru5632 4 роки тому

    Good job davistar nasubiri part2

    • @gaumzamilu7735
      @gaumzamilu7735 4 роки тому +1

      Hayahaya kumekucha wamerudi tena wenye majini yao

  • @hebronsdaughter1661
    @hebronsdaughter1661 4 роки тому +2

    Story nzuri jamani wacha tuendelee kujifunza kupitia kwa wenzetu

  • @michaelvonsider3412
    @michaelvonsider3412 4 роки тому +3

    Wakumi na mbili leo

  • @omarsalim6330
    @omarsalim6330 4 роки тому +5

    Zakii jini ndo zeto ...Mr DM uko vizuri Asante bro kwa kutuletea story za kijini Mana mm natamani nimpate jini ila kwa simulizi iziii aaah wacha tu wakae tu

    • @maidevrasumbura1880
      @maidevrasumbura1880 4 роки тому

      😂😂😂

    • @omarsalim6330
      @omarsalim6330 4 роки тому

      @@maidevrasumbura1880 hhhhh

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 4 роки тому +1

      Unamatatizo ww unamtamani Jinii?? Pole sana

    • @fredichaki4868
      @fredichaki4868 4 роки тому

      Siyo yeye tu ukweli ata Mimi majini ya singekua na wivu ningevuta jini moja nikae naye sasa sema haya pendi michepuko ila niwahaminifu Sana wao kwenye mahusiano 🤣🤣🤣🤣

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 4 роки тому

      @@fredichaki4868 umekwisha yaitee😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @zunirasalim7660
    @zunirasalim7660 4 роки тому

    @davister part 2 vipii

  • @saidabdalla8996
    @saidabdalla8996 4 роки тому +2

    Kweli kilamtu anapitia mashaka yake

  • @maulididjuma4494
    @maulididjuma4494 4 роки тому +2

    Dhu nimechelewa leo kidogo ila fresh tu Davistor tupo sambamba

  • @is-hakayussuf9981
    @is-hakayussuf9981 4 роки тому

    *Nakubali kazi mtu makini*

  • @shukridjibril6848
    @shukridjibril6848 4 роки тому +2

    Watching from Paris France 🇫🇷 story nzuri MR FACTS big up bruv.

  • @iranangole7007
    @iranangole7007 4 роки тому

    Majin uwaga wanamapz ya Dhat awangalii pesa uyu uson jins alivyo ata akimbiwa na she nakupenda anajua anadanganywa

  • @latifahissa8581
    @latifahissa8581 4 роки тому

    👍👍👍

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 2 роки тому

    Jini km jini🤭😎😳dede😹

  • @AbdulAbdul-pr9qe
    @AbdulAbdul-pr9qe 4 роки тому

    sawa

  • @maidevrasumbura1880
    @maidevrasumbura1880 4 роки тому +5

    mbona wanawake ni wachache wanaume 2 ndo wanafatwa na majini 🌚

    • @iamchusse
      @iamchusse 4 роки тому

      wanawake hawapendi na majin kwasababu mwanamke kaubwa katikaemfumo wa kila mwez lazima apate hedhi kwaiyo majin hawapend uchafu na hata wanaume ili upendwe na jin bac huwe msafi wa kimwili mpaka nafs kwamaana ukiwa sio mdhinifu yan maana yake uwe unaweza kukaa hata miez mitatu au minnee iyo iwe kawaida yako yan lakin leo hii mtu week tu bila kutiwa au kutia ajisikii sasa tulud kwa wanawake wanawake kunavitu vingi sana ambavyo vinawafanya msitongozwe na majin kwasababu kama tulivyo ongea majin hayapend uchafu lakin unamkuta mwanamke ananywelee kichwan anadhin alafu anaoga lakin maji utosin haya mfiki wala kwenye kucha ayamfiki couse ana zile kucha za bandia kwaiyo inakuwa mala moja moja sana wanawake ambao wako neture kwenye mili yao lakin wengi wao wote dubliketi

    • @naythardarling1115
      @naythardarling1115 4 роки тому

      Maidevra sumbura unq balaa ww umewaza nn mpk umesema hivyo duh!! 😬😬Bora awafate wanaume tuu na c wanawake akuuuu🙉🙉🙉🙉🙈🙈🙈

    • @albeleenalberto158
      @albeleenalberto158 4 роки тому

      @@iamchusse unapenda majini?

    • @maidevrasumbura1880
      @maidevrasumbura1880 3 роки тому

      @@iamchusse sawa 😂😂😂maneno kuntu sijiu kweli 🏃🏃🏃

    • @ivaniavianarodrigo7201
      @ivaniavianarodrigo7201 3 роки тому

      majini wanawake ndo mazaifu kuliko unavyo zani

  • @amriyalibent8441
    @amriyalibent8441 4 роки тому

    Majini yana mambo

  • @deadcrush
    @deadcrush 4 роки тому +2

    SHIRT YA KIHINDI...

  • @ethanuk9437
    @ethanuk9437 4 роки тому

    David nataka ni invest vipi u shareholder....

  • @shebaminde7656
    @shebaminde7656 4 роки тому

    Dah kweli dunia ina mambo mhm

  • @somoeawadh7774
    @somoeawadh7774 4 роки тому +2

    💃💃💃

  • @salimomary6279
    @salimomary6279 3 роки тому

    Huyo jamaa mwongo. Mtu mzima km wew utafutiwe mke, hayo mambo yalikuwa miaka ya nyuma. Sio 2020

  • @deofred1517
    @deofred1517 4 роки тому

    Pamoja

  • @mwatimeabdallah7945
    @mwatimeabdallah7945 4 роки тому

    Mi wamwisho

  • @mussajuma3100
    @mussajuma3100 4 роки тому

    Brother mbona haumalizii ya dogo mfaume?

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 4 роки тому

    Nmewahi Leo

  • @mahmoudmussa8
    @mahmoudmussa8 4 роки тому

    No 9

  • @vaghoghontweki9827
    @vaghoghontweki9827 4 роки тому +3

    Mtu makini niunge kwenye grup ya wasapu ya simuliz,,,0759036028,,,au nomba utaratibu wa kujiunga

  • @kemyphilip4000
    @kemyphilip4000 4 роки тому

    Tuma sehem ya pili

  • @allykibabe8182
    @allykibabe8182 3 роки тому

    Mtt mzur kwel kwel kumbe mdudu

  • @ayushsaeed1051
    @ayushsaeed1051 4 роки тому

    Wamwisho zuhaira

  • @shenjamamzingi7950
    @shenjamamzingi7950 4 роки тому +2

    Bandika Bandua...Twende Davista...

  • @nasserkhoduri4087
    @nasserkhoduri4087 2 роки тому

    hv hakuna jina mkiristo🤔

  • @kashuradiocles1068
    @kashuradiocles1068 4 роки тому

    Aisee wenzangu na mie wapendwa totoz majin yanatuhusu

  • @asiakinia9344
    @asiakinia9344 3 роки тому

    Duuuh zukhaira balaa 🤔🤔

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 4 роки тому

    Dede navojua ni jina lakumwita mpenzi wako dede wangu nakuhezaa mno😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪kwetu lkn kwenu nijina kawaidaa tuende broo ikawaje ulipona..mtandio wakike👩‍💻👩‍💻👩‍💻sasa mtandio ulikufurahisha ukaona uokote ukakosaa kujiongezaa kiakili hapa ni beach 🤨🤨

  • @wantangosaimon5295
    @wantangosaimon5295 4 роки тому

    Tupe tupe mkuu pamoja xana

  • @aprilking8250
    @aprilking8250 3 роки тому

    My Jesus please help your people

  • @euniceeunice7680
    @euniceeunice7680 4 роки тому

    Kwaiyo mimi ndo wa 83?😥😥😥😥

  • @wisdomfitnessorganization8988
    @wisdomfitnessorganization8988 3 роки тому

    Davista ni Mchawi aliegraduate bado kuapishwa tu. Maana elimu aliyonayo kuhusu uchawi ni masters degree

  • @daudymlaule1418
    @daudymlaule1418 4 роки тому +2

    Leo umechangamka davistar hadi lahaaa nakubal sana

  • @hasnasaif1075
    @hasnasaif1075 4 роки тому

    Duu ngoja ni coment kwanza kabula cjaangalia maana kidogo nimewahi ni wa 41 haaaaaaa

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 4 роки тому

    Saa saba mida ya majin wanapenda kuwakumba wanadam

  • @credo7837
    @credo7837 3 роки тому

    Hii story sijui nilikuwag wap

  • @pilimbilinyi2610
    @pilimbilinyi2610 3 роки тому

    Na ushey..hahaha

  • @Limbakale260
    @Limbakale260 3 роки тому

    Warabu wa pemba tunajuana kwa vilemba, Mwana alikua anaenda kula bangi yake🤣

  • @eastafricaqualitychickenfa9916
    @eastafricaqualitychickenfa9916 11 місяців тому

    Sitori mbaya jamaa hajuwi kujieleza ovyo kabisa

  • @zaynabyusuf4324
    @zaynabyusuf4324 4 роки тому

    Mweusi huyooo Hadi rahaa

  • @lenniefei6710
    @lenniefei6710 4 роки тому

    Zukhaira ndio mpango mzima....

  • @fatmafatoom6553
    @fatmafatoom6553 4 роки тому +1

    Iz too much wa bongo Kila mtu kapendwa na jini mbn waarabu huku siwasikii stor za maJini inamaana majin na shirik ziko Africa tuu ,,, n wazi Africa tumejiachia Sana kias Majin watutawale.

    • @rahmaabeid9353
      @rahmaabeid9353 4 роки тому +1

      Tatizo tamaa ya pesa

    • @eshalibaba1195
      @eshalibaba1195 4 роки тому

      Wapo sana labda kama ujawai kusikia

    • @zaitunijuma7831
      @zaitunijuma7831 4 роки тому +2

      hao warabu pia wana kumban nayo Sema hawaongei wanamalizan nayo kimy kimya

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 4 роки тому

      hao sindio wenyewe, hapigi tu hizo story lakin wanafahamu sawa sawa

    • @eshalibaba1195
      @eshalibaba1195 4 роки тому

      @@Mpakauseme wapuuzi warabu tena wanatengeneza majini kwa mikono yao....haya mambo uyasikie tuu usiombe uyashuudie

  • @OmarAli-dn8cn
    @OmarAli-dn8cn 4 роки тому

    P

  • @braxil1x359
    @braxil1x359 4 роки тому +1

    Leo nimewahi mm napenda story zaka kwakuwa unaenda mikoa mbalimbali kutafuta story tufanye mchango uwe unapata nauli ya safari davistar

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 4 роки тому +1

      Nikweli kbs. Hata mchango wa kununua vile vimaiki vidogo viwili anaumia mkono kushika maiki mda mrefu.

    • @DavistarMataMediaDM
      @DavistarMataMediaDM  4 роки тому +1

      Shukrani sana na jukumu la kuanzisha hilo group nawaachia nyinyi wenyewe kama mashabiki mimi nitawasaidia kuwataarifu wengine

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 4 роки тому

      @@DavistarMataMediaDM umoja ni nguvu nina imani utapata vimaike vidogo.. ukilidhia utaweka number ya kutuma pesa..Shukrani.

    • @zaynabyusuf4324
      @zaynabyusuf4324 4 роки тому +1

      Huku kuview Kila content anayoweka na mchango toshaaa,anaingiza hela mwenzio

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 4 роки тому

      @@zaynabyusuf4324 😂😂😂😂😂

  • @muaminhakizimana1671
    @muaminhakizimana1671 4 роки тому

    Joni nazo bana hazionagi wanaume wazuri?

    • @muaminhakizimana1671
      @muaminhakizimana1671 4 роки тому

      Majini hawajuwikuona uzuri wamwanadamu sizinicaguwe mimi

    • @shemsashemsa5811
      @shemsashemsa5811 4 роки тому +1

      Na mimi naona ivi awaonagi wanaume wazuru km uyo hahahahaha

    • @LoFi_120
      @LoFi_120 4 роки тому +1

      Majini wote ni wabaya ..wanavaa sura nzuri ili kuvutia wanaume ila kiundani ni wabaya

    • @hansiselemani8025
      @hansiselemani8025 3 роки тому

      Jin anacheki nyota ,,ukiwana nyota nzuri haijarish ataukiwa sokwe,,kwao nyota ndo ishuuu (hawajali utajir wala sura ya mtu)

  • @basiltobiasi6047
    @basiltobiasi6047 4 роки тому

    KunisAgatishiA

  • @oglinetv3941
    @oglinetv3941 4 роки тому

    Wa kwanza

  • @cutemaggie6720
    @cutemaggie6720 4 роки тому +2

    Upo vzr San lala Davistar

  • @georgegeorgejulius2788
    @georgegeorgejulius2788 3 роки тому

    Jamaa mbona haangalii camera?

  • @muaminhakizimana1671
    @muaminhakizimana1671 4 роки тому

    Si hamorapa huyu?

  • @omarabdulrahman6416
    @omarabdulrahman6416 Рік тому

    Chingq

  • @amriyalibent8441
    @amriyalibent8441 4 роки тому

    Majini yana mambo