Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
PART2:KIJANA ASIMULIA MAHUSIANO YAKE NA JINI ALIEUA FAMILIA YAKE YOTE NA KUMTIA UPOFU/KWAKE MAKUBURN
- Додати в
- Мій плейлист
- Переглянути пізніше
- Поділитися
Поділитися
Вставка
Розмір відео:
- Опубліковано 27 сер 2020
КОМЕНТАРІ • 129
Наступне
Автоматичне відтворення
PART2:KIJANA ALIEROGWA NA WACHAWI ILI WAMLE NYAMA/NILIMZIKA NIKAMKUTA YUPO HAI SEHEMU NYINGINE/UCHIDavistar Mata Media
Переглядів 8 тис.
PART1:KIJANA ASIMULIA MAHUSIANO YAKE NA JINI ALIEUA FAMILIA YAKE YOTE NA KUMTIA UPOFU/KWAKE MAKUBURNDavistar Mata Media
Переглядів 28 тис.
NIMEZAA NA JINI MAHABA LA KIKE WATOTO MAPACHA WENYE KWATO ZA NG'OMBEMpalla Updates
Переглядів 24 тис.
😭ЛЮДИ ВОВКАМИ СТАЮТЬ....5 канал
Переглядів 1,6 млн
Алексей Воробьев - Всё остальное - лишь товар. «Профессор Тод Лебен» (лекция №5) Автор - А.ВоробьевАлексей Воробьев
Переглядів 3,1 млн
Алексей Щербаков разнес ВДВшниковBody Mania
Переглядів 8 млн
Слепой наказал на дороге 🚘 @tv3_international #второезрение #детектив #расследованиеТВ3 - сериалы и шоу
Переглядів 2,5 млн
PART1:DADA ANAETAMANI KUFA BAADA YA KUTESEKA NA UCHAWI/NIMEOZA FUNZA WANATOKA UKENI/ALIGEUKA FISIDavistar Mata Media
Переглядів 20 тис.
Kabaye akurubyiruko "RWABANYARWANDA" rwahagurukiwe nyumvira ibigiye kubaNiyoo tv
Переглядів 32
PART1:NILIFUNGA NDOA NA JINI NIKIWA NA MIAKA 13/NILITAKIWA KUWA MGANGADavistar Mata Media
Переглядів 3,9 тис.
PART33:SINYA MWIZI WA MIFUGO AELEZA SAFARI YAKE YA WIZI ILIYOMFANYA AINGIE KWENYE VITA NA WACHAWIDavistar Mata Media
Переглядів 2,9 тис.
MWANAUME ALIEFATA UTAJIRI WA GIZA NA KUISHIA KUUNGANISHWA KWENYE UCHAWI NA KUANZA KUFANYA UCHAWIDavistar Mata Media
Переглядів 12 тис.
MZEE ALIEENDA KUTAFUTA UTAJIRI KWENYE MACHIMBO YA MADINI AELEZA UCHAWI WALIOUTUMIA/TULIUA/JOKA NENEDavistar Mata Media
Переглядів 9 тис.
PART1:BINADAMU ALIECHUKULIWA NA MAJINI NA KWENDA KUISHI ULIMWENGU WA MAJINI/DAMU ZA WATU/NATESEKADavistar Mata Media
Переглядів 22 тис.
PART1:WEZI WALIOTUMIA UCHAWI KUIBA/TULIENDA KUIBA UCHI TUKIJUA HATUONEKANI KUMBE WANATUONA/NYETI ZE2Davistar Mata Media
Переглядів 15 тис.
PART1:KIJANA ALIEOA JINI AKIDHANI NI BINADAMU NA KUZAA NAE/AMEUA MAMA ANGU/WANAKUJA SAA 6 USIKU TUDavistar Mata Media
Переглядів 18 тис.
Hardest Basketball Shots Ever 😳Red Bull
Переглядів 38 млн
СТАСЯ МАКЄЄВА: СЕРДЮЧКА на гендер паті. Тато ЗРАДЖУВАВ, коли мама хворіла на РАК. Коли українською?Okay Eva
Переглядів 343 тис.
Прийшов додому на 5 хвилин, щоб попрощатися з батьками #shorts #війна #полонені #зниклібезвістиСуспільне Суми
Переглядів 346 тис.
🔥 Война пришла в РОССИЮ! Глубинный народ глотает ОТВЕТКУ за атаки по УкраинеFREEДOM. LIVE
Переглядів 381 тис.
Танки ВСУ в Курской области. Что происходит? Руслан Левиев о прорыве границыТелеканал Дождь
Переглядів 2,5 млн
ДИНАМО - РЕЙНДЖЕРС | Ліга Чемпіонів. Кваліфікація Q3 | 06.08.2024ФК «Динамо» Київ
Переглядів 337 тис.
А вы часто мамкайте?😳 #shorts #funny #millionviews #хелпик #юмор #ромаихелпик #приколРома и Хелпик
Переглядів 1,7 млн
😭ЛЮДИ ВОВКАМИ СТАЮТЬ....5 канал
Переглядів 1,6 млн
Kwa imani yangu inavyoniambia ni akuna chochote duniani chini ya jua kilicho na uwezo zaidi ya mungu unachotakiwa kufanya ni kumrudia mungu tuu kwa dhati rizki anatoa atoi binaadam wala jini rizki anatoa alietuumba so muombe sana mungu yote yatakwisha na utarudi kama zaman na utaishi maisha ya furaha
No 1 Kila kitu yaani ku like ku comment na kuvyuu
Like kwangu zoote wakuu maana nimefanya kazi ya ziada kufika hapa maana nimeshinda data wazi baada ya kusikia story za bi khaira mdogoake julieth wa Jay 17 na ndio dadake Mamu
⏩GUSA LINK👇👇KUFUATILIA SIMULIZI YETU MPYA
ua-cam.com/play/PLmrhBCf_RTIu44yi2zr1R02qBJ-nHJHqA.html
Wana kaa wame fanana na juliet
Siwezi mwabudu jini hata siku moja..Nitamwabudu Yesu mwana wa Mungu alie hai daima na milele 🙏🙏
utamuabudu baba mtoto 🤔🤔🤔
@@khadijaomari9344 🙄🙄🙄
Mwabudu Mwenyezimungu muumba ardhi na mbingu na vyote vilivyomo ndani yake
Jini sio Mungu hatakama ananguvu ya kukutia maradhi bado kuna Mungu. Kasomewe Dua na wewe mwenyewe ufanye ibada na uwe unamuomba Mungu akuepushe kwenye haya matatizo. Zipo Dua za kuuwa majini na kutoa mikosi ya kijini na husda zao. Tafuta mashekhe, ustadhi wakusaidie inshallah utapona Kwa uwezo wa Allah. Majini pia wanaomba Mungu iweje wewe ushindwe? Quaran ni tiba fanya tiba kupitia Quran.
Hakuna kitu kinaniuma kama Majini wanavyo tuuwa binadamu! Nanyinyi kaka zetu mnawakaribisha wenyewe kwa kupenda mteremko. Achaneni kujenga urafiki na majini kwasababu hao ni maadui zetu na waliapa mbele ya Allah kuwa sisi Binadamu ni maadui zao.
"Enendenyi nyinyi kwa mkawe maadui"(mola anamkusudia ibilisi(mwenye asili ya kijini) dhidi ya adam )ispokua mashaitwani hutokana na watu na majini hivyo kuna majini wema na wabaya ikiwa utamkaribisha jini mbaya tambua ana Mabaya yake na mazuri yake vivyo hivyo jini mwema ana mazuri yake endapo mtaishi ndani ya makubaliano(sheria)ila ukienda kinyume hata yeye utamuona mbaya kwa atakavyokufanya kwani hawa c viumbe wa longo longo kama binadamu ."onyo uctake kuishi nao kwa tamaa zako za kidunia ni hatari kama huna lengo"
Tafuta shekh usomewe Rukya duwa kwa kawachoma majini mahaba na majini na mashetan hata wanga. Hakuna chengine mana kama kweli umepata mitihani hiyo bas itakuwa amekuwachia nuksi to huyo na hiyo sihri inaondoka kwa kisomo cha qur'an .hata kama mkiristo hata asie na dini bas mdawa ni qur'an
kabsa kabsaaa
Jisalimishe kwa kristo
lilien
krısto haponyi ila Mungu ndıye anayeponya!
Huyo zuhaira alikuja na nia yakukuangamiza majini hawana uzuri au msaada wwte kwa binadami mregele mungu shika ibada na inshaAllah mambo yatafunguka
sahiihi kabsaa dada Amina
Hawa majin wanamakusudıo yao kwa wanadamu hakwezekan bndamu akaısh na jini et mahusiano mazurıı ! Hakunaaaaaa!
Dah kwer pamoja sana another episode my favourite chanel back again big up
Kanisani ndo msahada mkubwa ukajitoe vifungo na ukafunge milango ya mapepo baada ya kufunguliwa na vifungo ndipo mambo yko yataenda sawa bila ivyo kaka utajisumbua maana uyo jini alitumwa kuja kualibu maisha yko na kafanikiwa...pole sana aiseee
Kweli kabisa
Duuh aisee pole Sana...Nenda kwa M/Mungu ndio jibu pekee kwako
Asilimi nyingi ya watu wanaofatwa na majini ni watu wa maisha ya hali ya chini ndiomana wanawatawala kwa mali na pesa
Huyu kaka amenishutua kuomba no ya mtu anayeishi makaburini.
sawa
Okoka
No 1
⏩GUSA LINK👇👇KUFUATILIA SIMULIZI YETU MPYA
ua-cam.com/play/PLmrhBCf_RTIu44yi2zr1R02qBJ-nHJHqA.html
Mwenyezi mungu akufanyie wepesi Inshallah kikubwa dua 🙏
*Dah mtu makini uko juu big up*
Aaah xhehe unaona makabuli af unaomba namba ya simu duh pombe mbaya aisee
Da da daaaa...!!! Very sad demon is demon can not manege to stay with human being
Yan binadamu kbs unaomba msamaha kwa jini 😥😥😥😥jini anatuogopa wanadamu maana tuna nguvu za ki Mungu endapo utamkubali Mungu...nashukuru family yngu amna aya mambo ata kidogo aiseee tumewakataaa majini mashetani vimbwengo na kila mipango ya ibris tumeikataa nayo imekimbiaaa...
Yani watu wengi wamepigwa upofu wa Roho wanaona jini ana nguvu kutushinda ila ashukuriwe Mungu wetu maana ametupa mamlaka ya kukemea kila aina ya pepo na kutii
Kusema familia nzima mmeyakataa majn c kwel ukichunguza undan wa familia hakosekan mchawi humo ndan ukizama sana kat ya mama au baba au shangaz au bibi pande zote kwenu hakosekan mchawi ndo anaiset familia yenu mnaweza ona mnaish vizur bila mitihan lakn mbelen mtaelewa tu mkitaka kujua yaliyomo pale mnapokua mafukara mtajiuliza sn kuna nn ndo mtaielewa dunia vizur saiv ongea uwezavyo bado najua hujakua
@@annameela6750 kweli
@@annameela6750 ulimuelewa vibaya mwenzio haja ongelea uchawi napia kilicho msikitisha ni pale alipo msujudia jini kumuomba msamaha mm najua wabaya wapo kila kona ila ukiwa na ukaribu na Mungu wabaya wote wataisoma namba maana utakua na ulinzi wa kutosha
Hi kama ukweli !!!
Pamoja sana Mr Davista
Asante kwa mwendelezo
kma mwendelezo
Mungu kakusaidia tafuta kazi ufanye kaka angu.
Asaanteeeeee kaka Dv
Wajua zimejaaa mdomoni kwako kaka
Pole sana huyo hata kama nijini ama mtu wakawaida sio mtu maana amekuulia family zimaa
WAJUA 😫😫😫😫😫😫
Is it that from the very word go someone has no power to detect these beings? How will you even have that peace you are looking for knowing how your loved ones died? Anyway pole sana. Davistar shukran, watu wanapata maarifa hapa, siku watapata mitandio hawataifuata ama kuiokota.
Pole sana kk duu lakini punguzeni kupenda
Ohhh!!!! My God help us
Mtu makini katika ubora wako pamoja sana kaka angu wa ukweli endelea kutusomesha wanafunzi wako tunaelewa bila ya kutuchapa viboko
Sio mchezo aiseee,zakijini jini ndyo zenyewe 🇩🇪
Duuh pole sana dede
Pombe izo
Ndugu tuache tamaa kutongoza ovyo majini wamejaa ulimwenguni ni adui zetu
Pole sana daa majini aya mungu anayaona lakini wanavotesa binadam
Mhh!! Tukusaidie kiaje we kaka,,unataka tufuatwe ama🙆🙆🙆🙆. Zidi kuomba tu kwa mungu
Hawawekei nambar.zao.sivizur.mtu.yuko.na.matatizo.ww.wapotezea.nakama sikaz yako.bas wajulishe
Pamoja sana bro
Unamkimbia jini utaweza🤣🤣🤣🤣🤣
Mambo mtt rose
@@salimomary6279 Pw nambie best
muwache kutongoza ovyo vijana
Na watu wengi siku hizi kwa njaa zao wamekua na vikundi vya kusomea watu au wanajifanya watu wa maombi. Wengine wajiita wataalamu 😀 na wala sio kweli wizi mtupu. Yaani wafanyabiashara. Na km una mtu wako wa karibu anafanya kazi hizi hana kipaji. Yaani kwa ajili ya kupata pesa tu basi ni bora kumshauri aache atafute kazi ya kufanya laa sio hivo ipo siku atakuja kujuta Mtu anafanyiwa duah hapa tz na anapansisha jini. Kibinaadamu utasema huyu kiumbe keshapanda wengine tumpige mikwaju. Kumbe jini hayupo apo yupo china 🇨🇳 anamuangalia tu yule mgonjwa huku mtu yupo tz kapandisha. Kiufupi hizi kazi zina wenyewe sio kila mtu anaziweza. Mtu awe na elimu au kipaji (kajaaliwa na mungu) na asiwe mwepesi awe mzito (ana nguvu za kiimani) sio mchezo. morning ilove you people 😍
Magonjwa ya kawaida ni malaria, typhoid etc.... magonjwa zingine za ajabu ajabu sababu ni majini na Quran ndo dawa, inasikitisha muislamu akipatwa na shida kidogo eti anafata mtaalam ambayo tayari anaingilia shirk. Imani dhaifu hii na lazima turudishe imani thabiti kwa Allah na hawa majini hawata tukaribia
Sasa dede huku jua kua yeye pia ni jini mwengine ama zuhaira ndio kajibadilisha pole sana
Da nimechelewa
Jini ni jini kila siku
Hakuna jini mbaya au jini nzuri jini mwanzo itakuonesha upendo
lakini mwisho wa siku utajuta
Jini ni sawa sawa na shetani shetani atakupa kila kitu unachokihitaji afu utadhani kwamba anakupenda
lakini mwisho wa siku utayatapika
🤗🤗🤗
Hatr xna hii duuuh ee bwana htr
Nimewahi kidogo
Number unayopiga haipo? Huyo jini alikuwa anakuchezea anavyotaka jini kanywa damu za wazazi wako.. Endepo ungesimama na Mungu huyo zuhaira asingekusumbuwa hata wazazi wako asingewauwa..Jina la Yesu ni motoooo
Naku saidiya na maombi nothing else
Kwasababu wewe une fungwa na Yule jini
Na maombi ndiyo kitu pekee kinaweza kuku fungua... anyway pole sana bro😱🤔
Huyo jini alikuja kwenye maisha yako kukuangamiza tu
Da poyee ungelijua mapema kuwa jini ungemkatalia
Jamani Mungu atuhebushe namajini
Bona huweki nambar zao Ili wapate.kusaidiw nakama.siyo.kaz.yako.bas.wajulishe
Story ya huyu kaka nahisi muongo maana Ana unga unga
huyo brodher alikosa kujithamini unapo mpa nafasi jini nikosa vizuri nikumkatalia mapema.
Okoka bilaivo hatausaidiwe aje atakufatiriya tuuu hutofanikiwa
Awa majin wanatutesa kwakwel mung wang
Jini akikuletea mazoea unavuta bangeeee tu.
Sure unamlia kitu cha Jamaica tu
😂😂😂
Ni mungu tu kaka ndio mwokozi
Pole xana mambo ya pwani,majini majini ndo mpango mzima
Ww utakuwa unatafuta mtaji wa biashara.
Dav.
mm nakushauri uweke na namba zao ktk screen hapoo!
itakuwa vzr sanaaa!
+90552 from ujerumani
Kweli kabisa
Jini hanaga urafik wa kwel.
Nimesubiri haswaa hadi part 2 itoke
Kuna kitu na huyu jamaa ambacho hakiko sawa sawa
Mhhh ataree
😂nawaangalia2 ntaka kjua spid ya kuchat😂mpo vzr wakulungwa
⏩GUSA LINK👇👇KUFUATILIA SIMULIZI YETU MPYA
ua-cam.com/play/PLmrhBCf_RTIu44yi2zr1R02qBJ-nHJHqA.html
😂😂😂😂
Hahaaaaaaa
Naona watu wengi wanasikiliza sana za hawa viumbe wengine
Mr DM... nakubali jama hapa sisemi kitu 🤐🤐 tusikilieze story ...ila za kijini ndo zetu wewee
Dooohh Majin waadhabu Kali jaman kwn lazm kupendwa.
Huyu jamaa tatzo malay we unakutana na dem from no where unashoboka😂😂😂
Wa 2 japo bado sijamsikiliza huyu jamaa
⏩GUSA LINK👇👇KUFUATILIA SIMULIZI YETU MPYA
ua-cam.com/play/PLmrhBCf_RTIu44yi2zr1R02qBJ-nHJHqA.html
Awa unaofwata kuwauliza vtu km ivyo DM Ungekua unajalibu kutafuta na ushaidi alau Kwa majiran zao au baaz yawatu wao wkalibu kupata ukwel wa ayo wnayosimulia,,,c kwauyu tu na kwawengine
Ooh watu mko active
⏩GUSA LINK👇👇KUFUATILIA SIMULIZI YETU MPYA
ua-cam.com/play/PLmrhBCf_RTIu44yi2zr1R02qBJ-nHJHqA.html
na hao majini wahivo hawajileti wanatumwa sasa tama za wavijana ndo zinawaponza.
usitutishe bana
Team popo
⏩GUSA LINK👇👇KUFUATILIA SIMULIZI YETU MPYA
ua-cam.com/play/PLmrhBCf_RTIu44yi2zr1R02qBJ-nHJHqA.html
🇰🇪
⏩GUSA LINK👇👇KUFUATILIA SIMULIZI YETU MPYA
ua-cam.com/play/PLmrhBCf_RTIu44yi2zr1R02qBJ-nHJHqA.html
Ujinga Lakin huu, unaona makaburi halafu unaomba namba, duh ila wanaume kiboko
Jamaa kafanana na harm rapa kweli
🤣🤣🤣🤣🤣
Wa6. Leo
Sasa davi ww huna mkasa wako hhahahha hata wa mausiano simbaya,🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
⏩GUSA LINK👇👇KUFUATILIA SIMULIZI YETU MPYA
ua-cam.com/play/PLmrhBCf_RTIu44yi2zr1R02qBJ-nHJHqA.html
🤣😂 wwe umetisha kwa maoni yako
😂
🤣🤣
Kukuu we umepaa kimawazo.💪💪💪💪💪💪👊👊👊👊👊👊
Zuneira uko
nipo 😀😀😀😀
@@khadijaomari9344 hhhh
Jamaa hajui kihadithia kabisa yan ❌
Cheus manghala cjakuelwa lakin
Msaada wa kweli utaupata kwa YESU kristo tu
Tafuta kanisa la kiroho uombewe
🙉🙉🙉🙉
Ridhika unachpata hiki kidogo kinatosha tunatofautiana UWEZO wa kujielezea
Huyu kaka amenishutua kuomba no ya mtu anayeishi makaburini.
Daaaah kweli dunia inamambo shinda tamaa mbaya.
Samahani wakati ameshauwa familia yako?mwambie na yeye akauwe ndugu zake ndio wewe umsamehe.